"RAIS WAMEKAMATA NDEGE TENA, YULE YULE" KABUDI AMVAA CAG MSTAAFU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 410

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz 4 года назад +51

    Mimi ni mwenye nchi. Mimi ni Mtanzania halisi najivunia kuwa Mtanzania. Naenda kinyume na watu wote wa ndani na nje ya nchi wasiopenda maendeleo ya nchi yetu.... najiuliza hizo ndege zisingenunuliwa huyo mkulima angezuia nin huko? Kweli ukifaninikiwa ndipo maadui wanazidi kushamiri...

    • @raphaelsamwel2640
      @raphaelsamwel2640 4 года назад +3

      Mna maendeleo gani kuliko canada mpaka muonewe wivu?? Ni maswala ya kisheria nendeni myamalize kisheria !! Si mnadaiwa afu mnaleta visingizio vya hovyo kutafuta huruma!!!!

    • @martinmetalworkstv1639
      @martinmetalworkstv1639 4 года назад

      Saana

    • @paull8659
      @paull8659 4 года назад

      Unajihangaisha tulipe deni tu.Kanada haiko kama Tz, wanafuta sheria. Hakuna cha ubeberu hapo, wacheni propaganda, haki ni haki we Prof.Jalalani.

    • @paull8659
      @paull8659 4 года назад

      Hizo ndege nani kazipitisha? Budget ipi? Zimenunuliwa kiasi gani? Prof.Jalalani🙉🙈🙈🙈🙈

    • @paull8659
      @paull8659 4 года назад

      @@raphaelsamwel2640 , kweli kabisa, hakuna anayetuonea wivu, tuna deni na lilipwe, Canada ituonee wivu????🙉🙉🙉Tuna nini sisi???? tunaishi kwa dola 1/ siku🙈🙉🙉

  • @bekamsafii8330
    @bekamsafii8330 4 года назад +18

    Hawata weza kamwe kwakuwa mungu yupo pamoja na taifa letu kwanza jpm na mkubali kabudi na mkubali na viongozi wengine wengi na wakubali

    • @lukandotv8101
      @lukandotv8101 4 года назад +1

      Dawa ya deni n kulipa,hz mbwembwe n hazina tija.

    • @jonaskilomba4094
      @jonaskilomba4094 4 года назад

      @@lukandotv8101 hivi wewe Ni mtanzania kweli

    • @nimrodsigulu2053
      @nimrodsigulu2053 4 года назад

      Kwa hiyo Mungu ni wa watanzania tu?...jaribu kuufikirisha ubongo

    • @yusuphomary6200
      @yusuphomary6200 4 года назад

      Mataila yanashitakiana nn c jui Leo?

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 4 года назад

      Haki uliinua taifa, Mungu huwanyeshea mvua wema na wabaya!

  • @p.be.s
    @p.be.s 4 года назад +7

    KOT would have been all over Canadians trolling them and demanding immediate return of the plane, if this had happened to Kenya. Colonialists have to be called out and put on blast. Tzed family...get on this sahii hii. AFRICA supports you all the way. Enough with WS. Black Power prevails all day every day.

  • @DrSanai
    @DrSanai 4 года назад +22

    Mungu aendelee kutusimamia Tanzania.

  • @mohdiddi8203
    @mohdiddi8203 4 года назад +7

    Huyu kabudi pia achunguzwe huenda sio mwaminifu

    • @peternichoraus5983
      @peternichoraus5983 4 года назад

      Mmh unamatatizo Kwel hiv watu mnashida gan ama Kwel ww tu hata uongoz wa shulen hukuwahi kuwa lkn unachokiongea kama hujasomavile

    • @mohdiddi8203
      @mohdiddi8203 4 года назад +1

      @@peternichoraus5983 sina uhakika ww umeishia la saba au form two. Kila mtu ana maoni yake na mtazamo wake, usisubiri mm nime comment then una reply kwny comment yng, ww comment kivyako kwa mtazamo wko.

  • @jimmytuwa4886
    @jimmytuwa4886 4 года назад

    Nakuona mbali sana Mh.kabudi.......naamini wewe ndie Rais wng baada ya Magufuri,Mungu akuguse na kukusemesha ndani yako kuwa unaweza na unatosha kuwanyoosha watanzania.

  • @jumamavind7713
    @jumamavind7713 Год назад

    Hongera sana mh Kabudi wewe nimzalendo wakweli

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 4 года назад +12

    Jamani inauma Mungu yuko pamoja na tanzania tutashinda.

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Hatuko South Africa kama zitatumika technicality haha dawa alipwe pesa zake serikali isilete uharam kwa kuzungumza kwa uchungu nae mwenye deni lake anao hivyo bora kulipa deni kuliko fedheha za kila siku

  • @kiyabonjemu9885
    @kiyabonjemu9885 4 года назад +14

    Mh kabudi nimeelewa, umeongea kizalendo sana, Nina iman sana na wewe, pia rais wetu ni msikivu anasikia! Nawaombea mkashinde kisheria huko CANADA

  • @josephtemu2633
    @josephtemu2633 2 года назад

    Kweli mungu ametuwekea hazina ingine mungu akulinde akuepushe na mabalaa yote

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 4 года назад +5

    We win and we will continously win...Allah is greater than all

  • @praisesamson8298
    @praisesamson8298 4 года назад +24

    Kabudi muache baba wa watu cag mstaafu apumzike nyie VP vitu vya muhimu alivitaja mkaviyeyusha tu

    • @shafiimsofe9975
      @shafiimsofe9975 4 года назад +3

      inaashiria bado kivuli chake kinawatesa sana, ndio maana hawaishi kumtajataja

    • @richardpeter7223
      @richardpeter7223 4 года назад +3

      Hakika wamuachee CAG Mstaafu......wanateseka sana wezi hawa.....alivyokosoa bunge mkamchukia....Leo mnamwandama...acheni unafiki!!!

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 4 года назад +2

      Shida gani asisema hati safi ilotolewa haikuwa sawa. Kila baya likemewe na kila nzuri lipongezwe

    • @p.be.s
      @p.be.s 4 года назад +1

      CAG akamatwe leo.

    • @praisesamson8298
      @praisesamson8298 4 года назад

      @@p.be.s ni kweli akamatwe kama kweli ili tuamini alafu yakafumuke na mengine kama yapo yaliyo jificha.

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster6691 4 года назад +16

    Mara paaaap! Watakuja kung'oa na SGR yetu swine hawa!

    • @Linkmycommunity
      @Linkmycommunity 4 года назад

      Hapa tunawaua

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 года назад

      ni kukwamisha tu kasi ya Jembe..woote wasenge hawa,usipokopa kwao ,ni shida.lol

    • @johnjulius3084
      @johnjulius3084 4 года назад

      Ahahahaaaaaa

  • @Itarusii
    @Itarusii 4 года назад +21

    Waangaike tu. Ndiyo kwanza wanaifanya Tanzania ifahamike vizuri. Ndege itakuja tu.

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 4 года назад +2

      😂

    • @pauljackson8120
      @pauljackson8120 4 года назад +2

      mhemiwa nimefuhi sana umezungumza kwa hisiya kweli wewe mzalendo wakweli

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Tanzania ifahamike vizuri kwa dhulma maana inadhaulumu kupita kiasi ifahamike kuwa serikali ya Tanzania wakaidi kulipa deni nyie mnaotetea upuuzi humu wa kila kosa la serikali mkaona sawa hamuipendi Tanzania yetu mahasidi wa nchu yetu hapo tunatakiwa kufuatilia kwa makini kuujuwa ukweli msitake kukoment kwa kuijipendekeza tunadaiwa tulipe hatuwezi kulipa tumuobe radhi sio kumsakama mwenye deni na kumbambikiya mijisifa tu viingozi kwa makosa MMungu nfie alokataza dhulma

  • @seiphkaira5372
    @seiphkaira5372 4 года назад +3

    Hakika tumewakabidhi imani yetu watanzania kwenu viongozi watiifu na shupavu na tumaini letu kuwa Tanzania bora ya mfano...Mungu awatie nguvu na maarifa muzidi kutupambania wanyonge wenu💪

  • @chinemaentertainment1110
    @chinemaentertainment1110 4 года назад +1

    Achana na cag fanya kazi yenu muacheni mzee apumzike

  • @rashidalshaid445
    @rashidalshaid445 4 года назад +2

    Dahh. Kabudi unafaa Sana Sana. Msaidie Rais wetu

    • @paull8659
      @paull8659 4 года назад +1

      Kabudi ndiye adui wa nchi, kumshauri raisi vibaya, wacha ushamba we

    • @hassanmirambo564
      @hassanmirambo564 4 года назад

      Paul L alimshauri nini kibaya hebu tujuze mdogo wake lisu na sisi tujue

    • @paull8659
      @paull8659 4 года назад +1

      @@hassanmirambo564 Prof.Jalalani ni very big propagandist na mnafiki no. 1. wa T Z, anatudanganya.
      1. Mkulima alikuwa anadai haki kwa kutumia mahakama yetu akashinda, tukaanza kumlipa. Awamu ya 5 kwa ubabe ikagoma na kumfukuza👉 kosa kubwa.
      2.Prof.Jalalani anajua mkulima anatuvizia huko nje kwa kutumia sheria za kimataifa👉 hakuna cha ubeberu, mkulima anadai haki zake.
      3. Tumefanya kosa inabidi tulipe. Na mwisho titumlipa.Hata mahakama zetu ,zilimpa haki wakati wa Mkapa.

    • @hassanmirambo564
      @hassanmirambo564 4 года назад +1

      Paul L hizo mahaka za ten parcent usiniambie sitaki hata kusikia sijui awamu ya JK wala ya BEN zilikuwa na udhalimu mkubwa sana huwezi ukasimama na tajiri mahakamani na ukashinda kesi ili hali haki ni yako,nadhani ulikuwa bado mdogo hili niache nichate na watu wazima wanaofahamu tulivyokuwa kwenye maisha ya kisenge wakati huo

  • @khadijashabaniiddy4137
    @khadijashabaniiddy4137 4 года назад +2

    Kama ulikua hujui viongozi wanafki wenye kuongea mbele za masultani kwa matakwa ya masultani basi huu ndio mfano mzuri wa kuwajua

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 4 года назад +5

    Tutapambana kwa sheria hizo hizo za kimataifa. Lkn tukishindwa tutalipa pesa zao ili ndege yetu ifike sbb pesa tunazo na hazina hisa na mabeberu

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza5339 4 года назад

    Ukiona vikwazo ujue Tanzania imeanza kuwa tishio duniani...na tukiweza kuvishinda na kuvivuka vipingamizi ujue tayari tutakuwa tumeingia katika orodha ya mataifa tishio na yanayojiweza duniani na katika ukanda Wa Afrika...
    Mungu mbariki Raisi John na Ibariki na watendaji wrote walio chini yake na Tanzania kwa ujumla wake

  • @fatmaally5944
    @fatmaally5944 4 года назад

    Ni maadui wa maendeleo ya tanzania coz abiria watakuwa na hofu kwa safari za nje kutumia ATC kwa kukamatwa bila taarifa kama south africa abiria wamesha check in wanashushwa very terrible

  • @yeasrmsafi7152
    @yeasrmsafi7152 4 года назад +2

    Kabudi namkubali sana tena sana

  • @josephkafumu3006
    @josephkafumu3006 2 года назад

    kabudi mungu akulinde saaaana

  • @sulabdul6007
    @sulabdul6007 4 года назад

    Viongozi wa afrika ni maselfish au wababe hawataki ushauri wanajifanya ni one man show! This way we will never ever move foward!! Tutapiga hatuwa 3 iksha tutarudi nyuma hatuwa 1.. mataifa ya wenzetu yanapiga hatuwa kwasababu wanafuata katiba na sheria sio sisi.

  • @cydemanchester2368
    @cydemanchester2368 4 года назад +1

    Kama suala ni la kisheria hakuna haja ya kulalamika kwa nguvu kubwa namna hiyo. Tusubiri haki itapatikana mahakamani

  • @emmanuelmussa8331
    @emmanuelmussa8331 4 года назад +16

    Dawa ya deni ni kulipa tu.

    • @tzmny4909
      @tzmny4909 4 года назад +1

      anadai nini?

    • @theleo3899
      @theleo3899 4 года назад +1

      Angekuwa anadai angeshnda kule south

    • @kiyabonjemu9885
      @kiyabonjemu9885 4 года назад

      Kuna sheria wewe

    • @mapesamale3379
      @mapesamale3379 4 года назад +1

      Mlikuwa mna mtetea CAG mmeona madudu yake?Ethiopia ubalozi wa Tanzania katoa hati safi kwa balozi wa Tanzania!ndiyo maana Asad anazidi kubwabwaja

    • @charleslwanga6301
      @charleslwanga6301 4 года назад

      Emmanuel Mussa 😂

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 года назад

    Wakienda wakaguzi wanapigwa cha juu anarudi kimya kimya.Shida viongozi walipewa safari za nje wanachota pesa dable payments nchini wanalipwa wakifika Ubalozini wanahudumiwa na Ubalozi huo ni Wizi. Asante Magufuli kwa kulinda hela za wanyonge

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 4 года назад +15

    HUYU MZEE KABUDI MMI WAGA NAMKUBALI SANA ANAVYOONGEA KWA KUJIAMINI SANA MAANA ANAAMINI KILE ANACHOKIJUA YEYE.

    • @gemkachar
      @gemkachar 4 года назад

      Kabudi mwanasheria wa ovyo. Eti sasa wa CAnada wamekuwa wabeberu. Anaogopa kumuambia bosi wake ukweli wa mambo. Serikali ya Canada pamoja na balozi wao hawana mamlaka ya kuingilia kesi lililoko mahakamani. Itaeleweka tu.

    • @salimmohamedsalim4448
      @salimmohamedsalim4448 4 года назад

      Kuongea sio vitendo endelea kumuamini👍

    • @zaym7769
      @zaym7769 4 года назад

      @@gemkachar hovyoooo wewe

  • @Cryptocurrency_Tanzania
    @Cryptocurrency_Tanzania 4 года назад

    tatizo lako prof.... hauongei toka moyoni unaongea kumfrahisha ndugu Raisi.... sa unamuangalia Raisi wakati unaowaambia wapo mbele.... kweli hapa hakuna mtu...

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 4 года назад +7

    pesa zake nisawa na samani ya ndege moja. ndo mana kaiziwiya ndege? huyo jama anastaili kulipa fidiya akishindwa

    • @devidpanja115
      @devidpanja115 4 года назад

      Kweli humu tupo wengi

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Ndio hivyo laka wanakaza macho kama wana tolewa roho kwa kusema uwongo lipeni deni yatakwisha au yata kukuteni ya nuni firauni

    • @eliadligima6554
      @eliadligima6554 4 года назад

      nanyie magamba mkishindwa case mlipe naya usumbufu! namimi nitakamata moja nyie subirini2!

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 4 года назад

    Watz hamuishiwi majungu na serikali yenu Tanzania lazima isonge mbele haijalishi wachawi mko wangapi

  • @titusmoses7
    @titusmoses7 4 года назад +1

    Mngekua mmemlipa fedha zake yote haya yasingekuwepo, dawa ya deni ni kulipa tu

  • @shukurumundandu3244
    @shukurumundandu3244 4 года назад

    Very painful, kabudi nakukubari sana unafaa kuwa Rais baada ya magufuli

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx 4 года назад +6

    Yangu macho tuu yajayo yanafurahisha.tunadaiwa tena?duuh.

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 4 года назад

      Hivi mnafurahishwa nini

    • @AbduRahman-os2vx
      @AbduRahman-os2vx 4 года назад +1

      @@blandinamwarabu5025 tunafurahishwa na serikali ambayo inadanganya raia kuwa inakusanya kodi vizuri na inatuletea maendeleo kwa madeni,kama una hoja karibu nikufungulie kitabu tatizo lenu mmezoea kudanganywa,hilo la ndenge mbona dogo kwa faida yako uliza serikali yetu inadaiwa fedha ngapi tangu uhuru na ni ccm...

    • @eliuspeter8163
      @eliuspeter8163 4 года назад +1

      Haya sio madeni ya serikali hii. Ni ya serikali zilizopita. Sasa wanafanya hujuma dhid ya serikali ya JPM

    • @AbduRahman-os2vx
      @AbduRahman-os2vx 4 года назад

      @@eliuspeter8163 serikali yetu tangu uanze mfumo wa vyama vingi imetawaliwa na chama gani?halafu jiulize serikali ni nini? Kama sio wewe raia maskini mlipa kodi kwa kunufaisha chama cha madikteta,jpm alikua waziri enzi hizo na uongozi mbalimbali alitetea nn,nakuacha na swali la mwisho kuna haja gani ya kutengeneza uwanja wa ndege chato na wakati huko huko chato raia wanahitaji barabara bora huduma za afya bora miundombinu bora pamoja na maji na umeme kama sio ubadhilifu wa fedha za raia maskini jitambue uzalendo kwanza..

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 4 года назад +1

      @@AbduRahman-os2vx wewe una akili kubwa sana watanzania wenye akili km ww bado ni wachache wengi wao bado wajinga wasiojitambua

  • @laurentnkanga9944
    @laurentnkanga9944 4 года назад

    Nampenda sana kabudi maana anauchungu sana na mali ya watanzania

  • @harountuesday9668
    @harountuesday9668 4 года назад +1

    Hongera sana kiongoz wetu umeongea kwa uchungu.

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Kama yeye ana uchungu na akazane alipe deni na mwenye deni lake nae anaona uchungu vile hata bado malipo ya kudhulumu ni mbaya sana

  • @ezrajuma8970
    @ezrajuma8970 4 года назад +2

    Huyu ni raisi wabadaye

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 4 года назад +22

    Hawataweza kwa lolote lile, tatizo tunajiamini watanzania.

    • @mcibralipuli640
      @mcibralipuli640 4 года назад +3

      Hivi uyo mwadamu anamatatizo gani lakini na Nchi yetu?mbona anaturudisha nyuma kimaendeleo? Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mickykiteu7446
    @mickykiteu7446 4 года назад +1

    Hi tz kuma mamae hadi ije naviongozi wasomi tuta pitia mengi sana wazungu mna waita mabeberu ila hao hao mnawaomba condom una Mwita balozi Wa Canada yeye ndomahakama ujinga huo fateni sheria au huko naye pelekeni polis wenu

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 4 года назад

    You are good Profesa.

  • @the_white_43.
    @the_white_43. 4 года назад +6

    mimi ni mtanzania mzalendo sana ...ila naona hizi ndege zinanipa pressure tu..kwanini asilipwe deni lake tumalizane nae ? huu ujinga ni wa viongozi wetu tu ...tulipe madeni bwana tuache kujimwambafy

    • @damascongongi1609
      @damascongongi1609 4 года назад

      Atalipwaje wakati kesi ya afrika kusini alishindwa na ameenda kufunga kesi hiyo hiyo nchi nyingine? Tuwe na Uhuru wa kifikra tutaona maendeleo na kuwa na uzalendo ktk taifa letu.

    • @polloz77
      @polloz77 4 года назад

      Hilo deni halishindwi kulipwa hila tatizo halilipiki kila hukilipa hatatoa madai mengine tena
      Na hanayoidai ni mtoto wa kambo siyo mtoto wake halisi wakishirikiana na watanzania watwana mwenyewe kudai hasa hamejitoa
      Lakini baadhi ya watanzania wameungana na huyo mtoto kuhujumu Tanzania pamoja na. Vyama vya upinzani ambavyo siyo wazalendo

    • @hadija846
      @hadija846 4 года назад

      Serikali inatuzinguwa tu wanawapa pesa nyingi mahakamani kesi inakwisha baadae yanatokea tena. Na pia anasema zaburi tu inamaana mabalozi wote ni wakiristo?

    • @josboy5384
      @josboy5384 4 года назад

      @@hadija846 kasema dini ambayo anaijua unataka azungumze dini ambayo haifahamu?

    • @barakakarama2232
      @barakakarama2232 4 года назад

      akimlipa huyo ataibuka mwingine so usiwaze hapa waza tu mbali

  • @ognecro8550
    @ognecro8550 4 года назад +1

    Ayo baba fanya uchunguzi maana uyo kaburu ana dai na ana mikataba yake kwa hiyo serekali ifanye uchunguzi sio kukurupuka kusema matepeli wakati wana dai haki yao

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 4 года назад +6

    Hasila hasara! Usipigane na mkuu anaekushinda wezo!.Kuwa najeuri kulusha mawe havisaidii wewe chapakazi.Hata wengine wanazinunua kelele hakuna!!.

  • @kinjeketilengwale1141
    @kinjeketilengwale1141 4 года назад +2

    Wanatujaribu waone tutafanya nini?wamekasirika kuona hatuwainamii tena,wanatafuta chokochoko ili tusambaratike tufikie malengo yetu hata hili tutavuka tu!

  • @michaelxfxana2470
    @michaelxfxana2470 4 года назад +1

    Pole kwahayo

  • @hamzaliganga7437
    @hamzaliganga7437 4 года назад +1

    Tutapata taabu saana watanzania tatizo tunaficha vitu ila chadema watatugungua masikio

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 года назад +4

    Even they real don't about Tanzanian people who needs help from them. what they do is Bussines only.

  • @josephmalisa2987
    @josephmalisa2987 4 года назад

    Ni mara ya kwanza kumwona rais Magufuli ana uso wa huzuni na kukasirika kama leo inanikumbusha taswira ya a uso wa rais wetu wa zamani Julius Nyerere alipokuwa anatangaza kumpiga Iddi Amin. Kwa uwezo wa mwenyezi Mungu na kuungwa mkono na watanzania wote au wengi wao atafanikiwa tu.

  • @maufundi5037
    @maufundi5037 4 года назад +2

    Kila mbabe ana mbabe mwenzio

  • @fabianialexmpunga8137
    @fabianialexmpunga8137 4 года назад +3

    Africa matatizo mufate sheria wazungu awanaga shida

    • @dollyandthedoliganeloi3025
      @dollyandthedoliganeloi3025 4 года назад

      Yaani ni kweli uku London ubalozi uko bond street katikati ya mji very expensive area

  • @fahimrahim1221
    @fahimrahim1221 4 года назад

    Nyie mnadaiwa mnasema ni hujuma nchi kama South Africa na Canada ni nchi za ki democracy sio ya ki communist kama Tanzania

  • @consolathambuya6580
    @consolathambuya6580 4 года назад +6

    Prof Kabud anafaa kuwa Rais 2025👍

    • @aaaaaah290
      @aaaaaah290 4 года назад +1

      Consolatha Mbuya
      Kwa lipi atii...
      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @erickkabelege7992
      @erickkabelege7992 4 года назад +1

      Naumiza sana Rais wetu anavotuangikia Tz kukuza uchumi lkn wachache wanaleta uchiza wao tunaomba NDEGE yetu irudi haraka kwanza wakpatkana hao wachukuliwe hatua kali ili iwe fundisho kwa wengne nmeumia sana kwa ss watanzania kwa kodi zetu kidogo hadi tunanunua ndege nalan sana hlo pepo walilonalo hao mabeberu wakaregee na kutapka

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 4 года назад

    Balozi wa Canada hafai namjua Muuza sura tu kingereza kingi but kazi hawezi ameshindwa Afya ni limbukeni sana..kwa nchi kama canada ateuwe very intelligent na loyal person..Huyu balozi hafai anajua ya kinafki sana..Magufuli amubadilishe akatibu si daktari huyo wa usingizi..tuna wahitaji nyumbani..kila leadership post haiwezi ni mtu limbukeni sana na tamaa za kuonekana na SI MTENDAJI HATA KIDOGO

  • @theresiangunda2298
    @theresiangunda2298 4 года назад +1

    Baba yetu JPM pole sana naona unaumia sana kushikwa kwa kitega uchumi chetu

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz 4 года назад +4

    Kabla ya kulaumu jiulize Jambo hili, UNGEKUA Ni WEWE NCHI JIRANI (SOUTH AFRICA AMA KENYA ) HAWATAKI KUKUPA HAKI YAKO UNGEJISIKIAJE?

    • @nestorycosmas5717
      @nestorycosmas5717 4 года назад

      Timing ndio inaleta wasiwasi ni kama kuna kanongwa ndani take. Walikuwa wapi hawa watu?

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 4 года назад

      Walituzurumu hao wezi walitaka kutupora Ardhi yetu

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 4 года назад

      Hapakuwa na kiongozi Imara wa kuyasimamaia hayo

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Uko sawa sawa kaka wao wanfukuza kazi wakandarasi wanaweka watu ndani bila ya kuwafungulia kesi mahakamani Rais ana biopolar mawaziri wana vigugumizi mahakama na mawakili wa serikali wana uziwi wa nyoyo na ukweli basi kazi kututaka akili zetu zisione udhalim wao wa serikali za mitaa walivyo ufamya kubaki wao waendelele madarakani watukamuwe mpaka tone la mwisho la damu aaa hii too much Subhanalla Wataala YAARABIY tupe viongozi wa kweli na waadilifu wenye imani za kweli na raia sio za kujionesha mitandaoni kila kukicha

    • @songorotv2530
      @songorotv2530 4 года назад

      Hakuna haki hapo, haki ya eneo la nchi nyingine ni upuuzi,, ardhi hii niyawatanzania na sio ya wageni,,

  • @sashaaishajamani1979
    @sashaaishajamani1979 4 года назад +2

    Sio pesa tu na watu wakifika pale wanashindwa kusaidiwa safisana

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 4 года назад +4

    Lazima wapige vita unafikiri ndege inaingza mapato kuasi gani biashara zao zimekufa wateja kuchi ney ss hasara ndio hz .walifikiria mpaka nabii issa anarudi bd tumelala khaaaaaaa😐😐😐

  • @wilbertfidelime9473
    @wilbertfidelime9473 4 года назад +4

    Mhe: Rais huyu ni tapeli hebu angalia hata macho yake tu kabisa ishara zinaonekana

  • @wilbertfidelime9473
    @wilbertfidelime9473 4 года назад +2

    Yaani mimi siwezi tembea kifua mbele kusema eti Kibudu ni Baba yangu au Meko

  • @ngajangaja4339
    @ngajangaja4339 4 года назад +2

    Nchi yetu inaongoza kwakulipa kodi sasa mbona hamtaki kumlipa huyo mkulima wawatu pesa yake kama kweli anatudai mpeni tuachane nae

  • @stephenkihongozi2171
    @stephenkihongozi2171 4 года назад +1

    Huyu jamaa anatufuatafata sana kwanini asishikiswe adabu yeye anataka ndege tu aende zake huko

  • @elimwazembe3631
    @elimwazembe3631 4 года назад

    Kwaiyo APA CAG,msitafu anatafutiwa kesi kwakuwapa hati safi kutoka isopia

  • @ibrahimkadibo810
    @ibrahimkadibo810 4 года назад +1

    Nendeni mkasome zabur: hiyo mlio ambiwa 105:1~11

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 2 года назад

    Tulipitiaga kipindi kigumu sana. Sasa bahari imetulia

  • @babangida322
    @babangida322 4 года назад +8

    CAG WA nini tena, khaa si mshamtema. Mnatamani kumchafua tu,

    • @mosesmaiga8600
      @mosesmaiga8600 4 года назад

      Kwahiyo asisemwe yeye ninani

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад +4

      @@mosesmaiga8600 Mbona hawasemi Mabalozi wawajibike.. Kama kuna ubadhilifu ubalozini, balozi hausiki?

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania 4 года назад

      Juma Jaffary Akikujibu nishtue😀
      Viongozi wa kisiasa wanajilinda ili wapate mwanya wa kuwahujumu hadi wataalamu ili wawaogope wafanye nje ya ueledi kufunika maovu yao.

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 4 года назад

    CAG mhh hati safi kumbe mabilioni yameliwa.

  • @ellysilwani9287
    @ellysilwani9287 4 года назад +2

    Jamani ,hebu mtuambie kwani kulikoni??!juzi tu tumepongezana kurudi kwa ile nyingine,sasa tena inakuwaje??!!,kuna nn nyuma ya pazia??!Professor tusaidie majibu,kuna shida gani?!maana hizo ni kodi za watanzania.

    • @paull8659
      @paull8659 4 года назад +1

      Mkulima alikuwa anadai haki yake akiwa hapa nchini, kwa ubabe wetu tukamfukuza.sasa anatukomoa huko nje, dawa ni kumlipa tu.

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 4 года назад +8

    Hivi angekuwa mtanzania mkulima kuidayi canada ingekuwaje?

    • @tzmny4909
      @tzmny4909 4 года назад +1

      walahaniwe wote wanao ujumu tanzania na mwenyezi mungu awape udhariri wa wazi

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 4 года назад

      Angelipwa kama kesi angeshinda, na asingelipwa kama angeshindwa kesi.

    • @allymadunda7931
      @allymadunda7931 4 года назад

      Angeshughulikiwa kisheria

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Angepuuzwa wala msaada serikali asingeupata serikali ya kihuni na wao hupata mhuni mwenzako walivyoona wameshinda in technicality sio kisheria wa kafurahi sasa nenda ukashinde tena na kokote mtakwenda ana haki ya kuzuwiya watu hawana matibabu wajane wnahangaika na maisha yameghalika kila mfanya biashara analalamika wewe unataka Rais usifiwe kwa ndege maskini gani ataepanda ndege hamna haya wala vibaya kila siku kutudanganya MMungu nae anamuona mja wake nae mlipeni haki yake kabla hizo ndege hazijaripuka mkatuulia Watanzania wenzetu kwa ukadi na kiburi chenu

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 4 года назад

    Mungu amuukuum .yaani mtu aunaenda mbele mwengine anakuvuta nyuma

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 4 года назад

    Rais wangu jpm kuwa jasiri... Haya ndo yaleee vita vya kiuchumi n vigumu mno. Nawaomba watanzania woote tuungane kuomba kwa mungu ndege yetu ya watanzania ije salama

  • @selesaid4367
    @selesaid4367 3 года назад

    love you my brother

  • @khafidhsaid7687
    @khafidhsaid7687 4 года назад +1

    Jamani mm Nauliza Simba jana ilishina ngapi? nilikua bize kidogo sikuangalia mpira.

  • @yussufshaaban7916
    @yussufshaaban7916 4 года назад +6

    Sauti Ya simba proffeser Palamaganda Kabudi Nimekuelewa

    • @frankndenga783
      @frankndenga783 4 года назад +1

      Mhsh,umetoa neno zito sana,Mungu akubariki zaidi.

  • @rashidinyegele4077
    @rashidinyegele4077 4 года назад +6

    Talking overconfident ...is he a President

    • @onesmojohnny3905
      @onesmojohnny3905 4 года назад

      Huyo jamaa ananini mpaka anashindana na serikali yetu?

  • @gemkachar
    @gemkachar 4 года назад +3

    dawa ya deni ni kulipa. Itaeleweka tu.

    • @hafidhkhamis4943
      @hafidhkhamis4943 4 года назад

      Hilo deni hakuliingia MZEE MAGUFULI ni watangulizi wake.

    • @gemkachar
      @gemkachar 4 года назад +1

      @@hafidhkhamis4943 Deni ni la taifa( Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Deni sio la kiongozi.

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 4 года назад +1

      @@gemkachar na ndio Maana waliotangulia walishindwa kufufua Air Tanzania waliyajua haya awakuwa wajinga au Sio kwamba walishindwa.... Sasa ndege zinanunuliwa kwa pesa kubwa na azileti faida maisha yatakuwa magumu sana Tanzania mpka watu wajitambue

    • @maherabubakar8046
      @maherabubakar8046 4 года назад

      mimi nataka baadae wawakamate na hawa viongozi wawazuie

  • @mussalameck4667
    @mussalameck4667 4 года назад +1

    Dawa ya Deni Ni kulipa

  • @abishaibahemu3345
    @abishaibahemu3345 4 года назад +3

    Mungu azidi kuwatia nguvu viongozi wetu,Mungu ibariki Tanzania

  • @fadhilmohamoud
    @fadhilmohamoud 4 года назад +3

    Dah uyu mzee kaongea kwa hisia sana leo

  • @jumaizungo9088
    @jumaizungo9088 4 года назад

    Nadhani,kwakua dawa ya deni ni kulipa,ningeshauri @ Mz achangie angalau elf 20, tungekua tayari ,tumelipa kuliko kuhama,viwanda,laa sivyo ndege ziruke hapahaapa2

  • @Gamba177
    @Gamba177 4 года назад +3

    Kabundi unaongea utumbo utumbo mtupu hamna msaada wowote kwa Pombe Makufuli bora ufukuzwe utumbuliwe cheo kikubwa umepewa lakini mpaka ndege imekamatwa huna lolote umefanya ila uwongo tu kumdanganya Mzee Pombe Makufuli.

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 4 года назад +5

    Pole kwetu sote ila pole sana muheshimiwa Raisi nimeona ulivyoumia

  • @renatusrevocatus3895
    @renatusrevocatus3895 4 года назад

    mbona neno dhaifu amelitumia yeye

  • @stevenkyando151
    @stevenkyando151 4 года назад

    Watanzania tumuunge mkono rais wetu katika maendeleo ya nchi

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 4 года назад

    Ahsante kabudi

  • @amouramekhamis5254
    @amouramekhamis5254 4 года назад +2

    Iyo ndege imekamatwa kwa sheria za canada acheni kutafuna maneno

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 4 года назад +5

    Yaani mitaa hy magu nakuamini wote wanaohusika sukuma ndani ikiwezekana ht kijeshi nchi itawaliwe haiwezekani kutufanya watanzania wajinga kiasi hicho imetosha hatutaki ujinga

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 4 года назад +2

    Watashindwa wenyewe, hope God will do. Rais Iran umetusahau hatuna balozi

  • @josephharri9015
    @josephharri9015 4 года назад

    Halo ndo ujue Pua Ndefu wanaumizwa namafanikio Yetu

  • @robertmichaelshayo9876
    @robertmichaelshayo9876 4 года назад +2

    Tatizo serikali yetu haipo wazi,,,, Kama kweli mlishinda kesi SA mbona safari ilifutwa????

    • @faridamin6383
      @faridamin6383 4 года назад

      Kwa akili ya kawaida tu....kama tungekuwa hatujashinda kesi ndege ingeachiwaje?

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 4 года назад +3

    muheshimiwa diwani Athumani watanzania tuna imani kubwa na wewe kwa utendaji wako mzuri hawa wanaotuhujumu mabeberu na mawakala wao waliopo nchini hebu dili nao watz tupo nyuma yako

  • @mashakaharuna405
    @mashakaharuna405 4 года назад +1

    Hivi kwanini msinunu maboti yakawa yanapishana tuko bukoba mwanza kila cku hadithi nihizihizi

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 4 года назад

    Hongera sana Mh. Kabudi...maneno mazito na ya kishujaa..Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki viongozi wetu!

  • @salumkarim69
    @salumkarim69 4 года назад +2

    itakua wanajiandaa kukamata msafara wa rais wahuni c watu wazuri

  • @daviskalikumbi2525
    @daviskalikumbi2525 4 года назад

    Safisha safisha katika public service lazima iendelee ili hatimaye watu wasio na mapenzi na nchi yetu wasiwepo kwenye maamuzi yanayohusu rasilmali ya nchi hii. Shughulikia vibaraka hawa bila woga wala aibu. LONG LIVE TANZANIA

  • @selesaid4367
    @selesaid4367 3 года назад

    love ya bro

  • @mussajuma1736
    @mussajuma1736 4 года назад +11

    shida mnawafumbia macho weka ndani wote tusonge mbele bgp makufuri usikate tamaa tupo nyuma yako.

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi7883 4 года назад +1

    Kabdi acha uongo kama anatudai kweli tutoe kodi tumlipe

  • @cydemanchester2368
    @cydemanchester2368 4 года назад

    Na kama tunadaiwa ni bora tulipe tu ili kuepukana na usumbufu wa kupeleka wanasheria kila mara nje ya nchi. Dawa ya deni ni kulipa tu na sio kusema kwamba ndege ipelekwe sehemu nyingine kwa ajili ya matengenezo. Najua kama huyu mdai asingekuwa na haki kisheria asingepata mamlaka ya kuzuia ndege yetu hivi hivi tu. Lazima kuna namna

  • @omarymahanja2948
    @omarymahanja2948 4 года назад +4

    Hizi ndiyo arakati za mabeberu kuturudisha nyuma ila tuombe mungu

  • @rayrobert524
    @rayrobert524 4 года назад

    Mungu atusimamie watanzania 🇹🇿🙌