aya mambo kumbe yanawezekana. watanzania waoga waliogopa lkn mwisho nao watasimama kama watanzania. tusimame pamoja kwa ajili ya tanzania tusimame kwa ajili ya future ya tanzania. Mungu ibariki Tanzania
The best negotiation ever to happen in Tanzania. The beat news ever. We are so blessed to witness that. God bless our leader JPM and give more wisdom and courage to our African leaders. Africa is not poor but poor mindset and poor vision. God help and bless Tanzania and Africa. We need hige Transformatio
Natamani JPM angempokea Mwl. nyerere , tungekuwa mbali sana leo . ila tusichoke tulimsubiri kwa mika mingi leo Mungu amemleta Rais (kama masiya vile) , tumombee Mungu amtangulie kila anapo pita, hakika maisha yetu yatabadilika tu. potelea mbali tutapata shida kwa kipindi kifupi tu ila tumaini lipo na linaonekana. 'Mungu akulinde baba'
The fact that Mr. Thornton said he is looking fwd to "Resolve" the "Problem" with a "Win-Win" situation clearly indicates that they were categorically aware the Mining activities in Tanzania were NOT a "Win-Win" scenario and that the Tanzanians were being looted! This is a big problem with Multinationals since they are only Profit oriented. Thank you JPM for putting the record straight.
Ukweli uliipenda nchiyako kwa moyo ote nasi tunaendelea kukupenda japo hat uko nawe tutaendelea kukuenzi na kuheshimu michangoyako sikuzote. R I P Baba
Najua kuna kupatwa na simanzi lakin tangu nimezaliwa na sasa mimi ni mtu mzima sukuwahi kupata simanzi niliyo pata kwa kifo cha j,p,m na sinitokaa nipate tena simanzi kama hiyo hapa duniani,R,ip shujaa wa nchi yangu tutaonana baadaye.
You have my vote 2020...ur the only president who can stand for his Nation in Africa. I'm proud being Tanzanian under Magufuli, I hope our father J.K Nyerere is happy & enjoying now in heaven having his substitute.
All the way from California, USA. Congratulations Mr president. I'm proud of you. This is just the start. We are our own worst enemy for going into these bad contracts. But it's time we wake up and our future is in our own hands. Congratulations president Magufuli.
Ukweli Ni Kwamba Ninakuombea Kheir Akhera Na Nakukumbuka Kila Wakati Fulani. Na Hunitoka Machozi Kinamna Flani. NIMEKUELEWA BINADAMU HAFUNDISHWI HURUMA. NI UTU MAADILI BUSARA NA KUHESHIMU SHERIA. (ULALE PEMA. MUNGU AKUPUNGUZIE ADHABU ZA KABURI. AMEN
Ndoto za HAYATI JPMAGUFULI zinatoa matunda yaliyojaa haki, na haki tupu. Haki huinua Taifa. Nimejifunza, watanzania tumebarikiwa tutumie baraka hizi kupiga HATUA KUBWA KWA UCHUMI WA NCHI.
Prof kabudi, is so keen about the fact that all predecessors and successors president are embracing each other despite of declining democracy and human rights, i don't view that as achievement or something to be proud of.
Kipokea uchumba kimetolewa , kikiongozwa na mwanasheria mkuu wa wakati huo Profesa wa jalalani (KABUDI) (TRAB NA TRACK).Wa Tz tumepigwa kipigo cha usanii wa Albunuwasi. Tume imeundwa na Magu na kuwapa ma V8 haitowataja asiotaka watajwe na kwasababu kapewa kijiti na Kikwete. Mkapa ktk kitabu chake kakiri kuchota mabilion ya pesa za walipa kodi.
Wewe ulikuwa mkombozi mkubwa wa watanzania ila nimejifunza kitu, itapofika MUNGU Atakapoinua hasira yake, kupitia maumivu ya mioyo yetu, tutapata mabadiliko, kama awamu ya Tano,
Jpm ju juu juuzaidi wanafiki wote yamewashuka.wanafiki kwa kofia ya upinzani wamekwisha wanaona haya Asante Jpm mungu akutangulie. sasa mabush lowyer ongeeni na mpost kwenye mitandao mitazamo yenu. JPM mwendo ni huohuo kanyaga twendee kitaeleweka
Halafu leo mnasema JPM aliisamehe hiyo pesa .kabudi.mwigulu muogopeni mungu laana hii haitowaacha salama watu wanateseka nyingi Wala hamuoni Wala hamjali yaani hamna tofauti na marekani na washilika wake.
Kwa haka ka katoto Katundu Lisu kasichukuliwe hatua na hutwo twote tukina Msigwa, Kubenea, na twingine twingi twingi tujinga na tupotoshaji. Hutwo twote tunaotakia Tanzania na viongozi wake mabaya. Hayo magazeti kwa nini yasifutwe? Dunia nzima ukileta ujinga ujinga unashughulikiwa. Please, fanya kitu kwa hutwo tujamaa
Magufuli nampenda sana na ni busara kuwapa maraisi wastaafu kinga lakini mimi binafsi sitakaa niwasamehe. Mikataba yote isingeweza kupitishwa bila idhini ya raisi. Nchi imeoza rushwa watu wanasafiri Ulaya kama unaenda Manzese wakati mama ztu hospitalini hawana vitanda. Nyerere mwenyewe alitubu dhambi zake kabla ya kustaafu ndo sembuse Kikwete na Mkapa ? Umaskini wakujitakia umeletwa na hawa wawili na tumuombe mungu tusiwahi kuwapata Maraisi wabovu wasio na chembe ya uzalendo wenye ubinafsi kama hao wawili. MUNGU IBARIKI TANZANIA
Barrick ni mayahudi ambao wanaamini kila madini duniani kote ni ya kwao, ni company ambay iko nyumba ya masonic societies kukuuwa hawa jamaa ni kit km rahisi sana ila mwamba amewakalisha huy hapo RIP Mr. President
aya mambo kumbe yanawezekana.
watanzania waoga waliogopa lkn mwisho nao watasimama kama watanzania.
tusimame pamoja kwa ajili ya tanzania tusimame kwa ajili ya future ya tanzania.
Mungu ibariki Tanzania
thanks God for John Magufuli
Huyu@@olenyghosho7008
im in UK and i together with my family we are now proud to Tanzanian #my president my coutry
The best negotiation ever to happen in Tanzania. The beat news ever.
We are so blessed to witness that. God bless our leader JPM and give more wisdom and courage to our African leaders.
Africa is not poor but poor mindset and poor vision.
God help and bless Tanzania and Africa.
We need hige Transformatio
Rais wangu,Ni ukwel uciopingika moyo wangu unaamani sana,cna chakusema mkuu ila Allah atakulipa
Natamani JPM angempokea Mwl. nyerere , tungekuwa mbali sana leo . ila tusichoke tulimsubiri kwa mika mingi leo Mungu amemleta Rais (kama masiya vile) , tumombee Mungu amtangulie kila anapo pita, hakika maisha yetu yatabadilika tu. potelea mbali tutapata shida kwa kipindi kifupi tu ila tumaini lipo na linaonekana. 'Mungu akulinde baba'
WHO IS WATCHING THIS WITH ME NOW!!?.............WE NEED TO RISE UP AND TAKE ACTIONS SUCH AS THIS FOR A BETTER AFRICA!
Kidume cha Africa
Utakumbukwa daima dad
Mpaka kesho nntazidi kukuangaliaa... My prezdent na nmepata chakuwasimulia watoto..... Nataka kua kama wew
Dah sasa mbona huyu mzee alikua anataka watanzania wote tunufaike ni kwanini walimuua baba wa watu jamani hizi mali tutaziacha jamani utu kwanza et
Greatest Of All Time (G. O. A. T) ❤️💪
The fact that Mr. Thornton said he is looking fwd to "Resolve" the "Problem" with a "Win-Win" situation clearly indicates that they were categorically aware the Mining activities in Tanzania were NOT a "Win-Win" scenario and that the Tanzanians were being looted! This is a big problem with Multinationals since they are only Profit oriented. Thank you JPM for putting the record straight.
Mohammed Khimji asalam aleykum!
Mo khimji well said even if it was six years ago ...May he rest in peace!
Asante Raisi wangu,, Endelea kutupigania Mungu ndiye atakae kulipa inshaallah..
Nitabaki mzalendo kwa nchi yangu Daima---Gerry
Umeondoka baba wa wanyonge, Mungu atakulipa kwa yale uliyotutendea Watanzania na bara hili. Vigumu kufutika katika nyoyo za wanyonge
Inauma sana lakini Mungu yupo
Magufuli mtumwa wa Mwenyezimungu, ... Afya njema milele rais wangu
Ni kweli kuna watu wanachuki na Hawa wazee mungu atawalinda asante MUNGU
Ukweli uliipenda nchiyako kwa moyo ote nasi tunaendelea kukupenda japo hat uko nawe tutaendelea kukuenzi na kuheshimu michangoyako sikuzote.
R I P Baba
Mungu awape uimara na upendo pia uzalendo. penda sana inchi yangu Rais wangu na wasaidizi wake wote. Mungu ibariki Tanzania
change date please 17 june 2017
RIP mzee wetu JPM 😭😭😭
Najua kuna kupatwa na simanzi lakin tangu nimezaliwa na sasa mimi ni mtu mzima sukuwahi kupata simanzi niliyo pata kwa kifo cha j,p,m na sinitokaa nipate tena simanzi kama hiyo hapa duniani,R,ip shujaa wa nchi yangu tutaonana baadaye.
Sijuwi kwakweli kama atatokea mzalendo wa kweli kama huyu sijuwi kwakweli Jpm hongera sana
we remember your forever for every where you're
Vision with action can change the world thanks in advance Dot john pombe magufuli my president aluter continuer
is same people the kili you father we never know but is fine we always pray God is good always
We love JPM in our heart and we love Tanzania with all our heart
Mungu mlinde rais wetu magufuli.
Tutampata wapi wa aina his?
You have my vote 2020...ur the only president who can stand for his Nation in Africa. I'm proud being Tanzanian under Magufuli, I hope our father J.K Nyerere is happy & enjoying now in heaven having his substitute.
asnte sana pongezi kwako mweshimiwa jpm wamezoea kutuibia wakamatwe hao walio saini mikataba na uwafunge Maisha
huyo ndio raisi wa wanyonge Mungu akulinde Baba..Barikiwa
BABA kheri ungerudi uangalie taifa lako
well done Mr president
Big up my President. Together we will go further.
Yohana umeleta njia tunamgonja Yesu ila hatujui ni lin?
Well said
Well done
All the way from California, USA. Congratulations Mr president. I'm proud of you. This is just the start. We are our own worst enemy for going into these bad contracts. But it's time we wake up and our future is in our own hands. Congratulations president Magufuli.
t1910j wazawa tutakuwa tunakuja huko kama twaend k/koo 😉😆
Karibuni sana. I can't wait for the day that will be possible :-)
time is always the best healer!
Ukweli Ni Kwamba Ninakuombea Kheir Akhera Na Nakukumbuka Kila Wakati Fulani. Na Hunitoka Machozi Kinamna Flani. NIMEKUELEWA BINADAMU HAFUNDISHWI HURUMA. NI UTU MAADILI BUSARA NA KUHESHIMU SHERIA. (ULALE PEMA. MUNGU AKUPUNGUZIE ADHABU ZA KABURI. AMEN
Mungu akutangulie tunakuombea Mkuu wetu.
God bless you tanzania I love so much for tz ❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
You are very positive my presdent JPM rest in peace
mungu akupe maisha marefu baba yetu raisi ukiendelea hivi utawale daima
mungu akubaliki sana baba
Ndowalikuja na sumu hao yakum.maliza baba yetukipenzi mabeberu hao washenzi sana nao wata farikitu one day is one day
am feeling happy to a citizen of tz God bless me
aibu ya Tundu Lisu kusema tutalipa badala ya kulipwa. yaan sijui kwanini ukiwa upinzani n lazima upinge hata vile ambavyo vinamasrahi kwa taifa
🔥🔥🔥 yani mpaka wazungu walikunja mikia. .. Lala salama Baba JPM.
Pongezi kwa Mh. Raisi na Serikali yake nzima kwa kazi nzuri.
Rais wetu Mungu akubariki kwa moyo huo kiukweli hata mimi sikutegeme kama utachukua hatua Kali za namna hii kwa kweli ni uthubutu wa hali ya juu
We miss you dad
SIMBA wa Africa
Pumzika baba
Mengi umefanya
Mungu ailaze Roho yako mahali pema peponi
Mungu akubariki rais wetu mpendwa Mh. Dr. John Pombe Magufuli
Upumzike kwa amani mzee wangu JPM
Yaani huu wimbo ukiimbwa unapata ujumbe thati kutoka moyoni.
Gooood job comrade
Tumepoteza rais wa kweli sioni kama Kuna rais anaweza kuja kuyafanya haya! RIP JPM tunaendeleea kukukumbuka daima!!
We waited 4 u Magufuli...... now u r our president.... Take us 2 da promice land
Ndoto za HAYATI JPMAGUFULI zinatoa matunda yaliyojaa haki, na haki tupu. Haki huinua Taifa. Nimejifunza, watanzania tumebarikiwa tutumie baraka hizi kupiga HATUA KUBWA KWA UCHUMI WA NCHI.
Jpm bas Mzee wangu endelea kupumzika kwa amani my president
Magufuli, ulengosha sana!
Long live, the long awaited Rightful Ruler!!!
Prof kabudi, is so keen about the fact that all predecessors and successors president are embracing each other despite of declining democracy and human rights, i don't view that as achievement or something to be proud of.
Saa hii vipi,nani kabadilisha hayo hadi mizigo inaondoka burebure na haitolewi hadharani migawo au mapato yatokanayo na Madini????????
Kipokea uchumba kimetolewa , kikiongozwa na mwanasheria mkuu wa wakati huo Profesa wa jalalani (KABUDI) (TRAB NA TRACK).Wa Tz tumepigwa kipigo cha usanii wa Albunuwasi. Tume imeundwa na Magu na kuwapa ma V8 haitowataja asiotaka watajwe na kwasababu kapewa kijiti na Kikwete. Mkapa ktk kitabu chake kakiri kuchota mabilion ya pesa za walipa kodi.
Wewe ulikuwa mkombozi mkubwa wa watanzania ila nimejifunza kitu, itapofika MUNGU Atakapoinua hasira yake, kupitia maumivu ya mioyo yetu, tutapata mabadiliko, kama awamu ya Tano,
Jpm ju juu juuzaidi wanafiki wote yamewashuka.wanafiki kwa kofia ya upinzani wamekwisha wanaona haya Asante Jpm mungu akutangulie. sasa mabush lowyer ongeeni na mpost kwenye mitandao mitazamo yenu. JPM mwendo ni huohuo kanyaga twendee kitaeleweka
John Haule sasa uchama unaingiaje tena apo!
John Haule sasa uchama unaingiaje tena apo!
Pumzika baba yetu utakumbukwa daima,hii nchi wewe ndo uliiwezea
Mr President
Rest in peace baba
mungu akupe nguvu rais wetu magufuli.
Tunakukumbuka sana JPM,
Mungu naomba uibarik nchi yetu tanzania
Be Titus Maridhia kumbe nawe umemgunfua tundu lisu, yaani anapinga na Kisha anajipinga yeye mwenyewe.
"The kind people live shortly". I don't think if Tz will get the ruler like JPM once again.
Well done Mr. Prezzo...
Halafu leo mnasema JPM aliisamehe hiyo pesa .kabudi.mwigulu muogopeni mungu laana hii haitowaacha salama watu wanateseka nyingi Wala hamuoni Wala hamjali yaani hamna tofauti na marekani na washilika wake.
Chunga sana hukiona handshake
Ya mzungu kwa mtu mweusi kuna kitu hameona 😱😱😱
Pumzika kwa amani amri jeshi mkuu JPM 😭😭😭😭
Pumzika kwa aman baba kazi yake uliitenda vyema mwenye masikio alisikia na mwenye macho aliona leo hii yale yale kila kitu ovyo
Kwa haka ka katoto Katundu Lisu kasichukuliwe hatua na hutwo twote tukina Msigwa, Kubenea, na twingine twingi twingi tujinga na tupotoshaji. Hutwo twote tunaotakia Tanzania na viongozi wake mabaya. Hayo magazeti kwa nini yasifutwe? Dunia nzima ukileta ujinga ujinga unashughulikiwa.
Please, fanya kitu kwa hutwo tujamaa
badilisha katiba utawale mpaka muumba atakapo kuiitaji
NAIPENDA SANA HII
Hatuta kusahau
😂😂😂😂 mungu akulinde
VIVA JPM
Raisi ambae alishinda ata Mandela, baba wakweli wa taifa la Tanzania.
Sauti ya unafiki
Daah Magufuli the really leader
Magufuli nampenda sana na ni busara kuwapa maraisi wastaafu kinga lakini mimi binafsi sitakaa niwasamehe. Mikataba yote isingeweza kupitishwa bila idhini ya raisi. Nchi imeoza rushwa watu wanasafiri Ulaya kama unaenda Manzese wakati mama ztu hospitalini hawana vitanda. Nyerere mwenyewe alitubu dhambi zake kabla ya kustaafu ndo sembuse Kikwete na Mkapa ? Umaskini wakujitakia umeletwa na hawa wawili na tumuombe mungu tusiwahi kuwapata Maraisi wabovu wasio na chembe ya uzalendo wenye ubinafsi kama hao wawili. MUNGU IBARIKI TANZANIA
Heaven Father protect this person at Heaven.
Hicho kingereza !!
MUNGU kaz yako haina makosa wewe ndiye MUNGU wa wote tupe kiongozi mzuri kama huyu
live forever mr.president
Angalia haya maamuzi magumu yaani jamani Magu!!! Halafu tunamsema vibaya jamani!!
ohoo
Tumekukoswa magufuli sioni wa kuyafanya naona wengi wezi tu
you finally made it it...congrants
Kabudi babaa!!!!
Barrick ni mayahudi ambao wanaamini kila madini duniani kote ni ya kwao, ni company ambay iko nyumba ya masonic societies kukuuwa hawa jamaa ni kit km rahisi sana ila mwamba amewakalisha huy hapo RIP Mr. President
Baba