aya mambo kumbe yanawezekana. watanzania waoga waliogopa lkn mwisho nao watasimama kama watanzania. tusimame pamoja kwa ajili ya tanzania tusimame kwa ajili ya future ya tanzania. Mungu ibariki Tanzania
Natamani JPM angempokea Mwl. nyerere , tungekuwa mbali sana leo . ila tusichoke tulimsubiri kwa mika mingi leo Mungu amemleta Rais (kama masiya vile) , tumombee Mungu amtangulie kila anapo pita, hakika maisha yetu yatabadilika tu. potelea mbali tutapata shida kwa kipindi kifupi tu ila tumaini lipo na linaonekana. 'Mungu akulinde baba'
The best negotiation ever to happen in Tanzania. The beat news ever. We are so blessed to witness that. God bless our leader JPM and give more wisdom and courage to our African leaders. Africa is not poor but poor mindset and poor vision. God help and bless Tanzania and Africa. We need hige Transformatio
The fact that Mr. Thornton said he is looking fwd to "Resolve" the "Problem" with a "Win-Win" situation clearly indicates that they were categorically aware the Mining activities in Tanzania were NOT a "Win-Win" scenario and that the Tanzanians were being looted! This is a big problem with Multinationals since they are only Profit oriented. Thank you JPM for putting the record straight.
Ukweli uliipenda nchiyako kwa moyo ote nasi tunaendelea kukupenda japo hat uko nawe tutaendelea kukuenzi na kuheshimu michangoyako sikuzote. R I P Baba
Najua kuna kupatwa na simanzi lakin tangu nimezaliwa na sasa mimi ni mtu mzima sukuwahi kupata simanzi niliyo pata kwa kifo cha j,p,m na sinitokaa nipate tena simanzi kama hiyo hapa duniani,R,ip shujaa wa nchi yangu tutaonana baadaye.
Ukweli Ni Kwamba Ninakuombea Kheir Akhera Na Nakukumbuka Kila Wakati Fulani. Na Hunitoka Machozi Kinamna Flani. NIMEKUELEWA BINADAMU HAFUNDISHWI HURUMA. NI UTU MAADILI BUSARA NA KUHESHIMU SHERIA. (ULALE PEMA. MUNGU AKUPUNGUZIE ADHABU ZA KABURI. AMEN
You have my vote 2020...ur the only president who can stand for his Nation in Africa. I'm proud being Tanzanian under Magufuli, I hope our father J.K Nyerere is happy & enjoying now in heaven having his substitute.
Prof kabudi, is so keen about the fact that all predecessors and successors president are embracing each other despite of declining democracy and human rights, i don't view that as achievement or something to be proud of.
All the way from California, USA. Congratulations Mr president. I'm proud of you. This is just the start. We are our own worst enemy for going into these bad contracts. But it's time we wake up and our future is in our own hands. Congratulations president Magufuli.
Ndoto za HAYATI JPMAGUFULI zinatoa matunda yaliyojaa haki, na haki tupu. Haki huinua Taifa. Nimejifunza, watanzania tumebarikiwa tutumie baraka hizi kupiga HATUA KUBWA KWA UCHUMI WA NCHI.
Kipokea uchumba kimetolewa , kikiongozwa na mwanasheria mkuu wa wakati huo Profesa wa jalalani (KABUDI) (TRAB NA TRACK).Wa Tz tumepigwa kipigo cha usanii wa Albunuwasi. Tume imeundwa na Magu na kuwapa ma V8 haitowataja asiotaka watajwe na kwasababu kapewa kijiti na Kikwete. Mkapa ktk kitabu chake kakiri kuchota mabilion ya pesa za walipa kodi.
Wewe ulikuwa mkombozi mkubwa wa watanzania ila nimejifunza kitu, itapofika MUNGU Atakapoinua hasira yake, kupitia maumivu ya mioyo yetu, tutapata mabadiliko, kama awamu ya Tano,
Kwa haka ka katoto Katundu Lisu kasichukuliwe hatua na hutwo twote tukina Msigwa, Kubenea, na twingine twingi twingi tujinga na tupotoshaji. Hutwo twote tunaotakia Tanzania na viongozi wake mabaya. Hayo magazeti kwa nini yasifutwe? Dunia nzima ukileta ujinga ujinga unashughulikiwa. Please, fanya kitu kwa hutwo tujamaa
Jpm ju juu juuzaidi wanafiki wote yamewashuka.wanafiki kwa kofia ya upinzani wamekwisha wanaona haya Asante Jpm mungu akutangulie. sasa mabush lowyer ongeeni na mpost kwenye mitandao mitazamo yenu. JPM mwendo ni huohuo kanyaga twendee kitaeleweka
Halafu leo mnasema JPM aliisamehe hiyo pesa .kabudi.mwigulu muogopeni mungu laana hii haitowaacha salama watu wanateseka nyingi Wala hamuoni Wala hamjali yaani hamna tofauti na marekani na washilika wake.
😂😂😂😂 wale wote vibaraka mliokua mna tutisha eti tuta shitakiwa mjiandae na kuburuzwa mahakamani na nyie wenye kumiliki magazeti njaa na tv zenu za ajabu ajabu dawa yenu ina chemka shikamoooo JPM pamoja na serikali yote kwa ujumla endeleeni kui nyoosha nchi yetu
Nashauri, viongozi wa dini wapewe nafasi ya kuombea kikao cha pili na hao 'wavunaji' kwani inatia mashaka namna akili za wasimamizi wa raslimali zetu huko nyuma zilivyoamua pasipo kumfikiria mtoto wa masikini huko kijijini asiye na Huduma Bora ya afya au hata wajukuu baada yao: Akili ya kawaida inagoma kuamini kwamba wasomi wetu walitoa madini yetu bure (asilimia nne!!!!!!) Kwa mgeni pasipo kusikia uchungu.......!!!!!!!
aya mambo kumbe yanawezekana.
watanzania waoga waliogopa lkn mwisho nao watasimama kama watanzania.
tusimame pamoja kwa ajili ya tanzania tusimame kwa ajili ya future ya tanzania.
Mungu ibariki Tanzania
thanks God for John Magufuli
Huyu@@olenyghosho7008
WHO IS WATCHING THIS WITH ME NOW!!?.............WE NEED TO RISE UP AND TAKE ACTIONS SUCH AS THIS FOR A BETTER AFRICA!
Rais wangu,Ni ukwel uciopingika moyo wangu unaamani sana,cna chakusema mkuu ila Allah atakulipa
im in UK and i together with my family we are now proud to Tanzanian #my president my coutry
Natamani JPM angempokea Mwl. nyerere , tungekuwa mbali sana leo . ila tusichoke tulimsubiri kwa mika mingi leo Mungu amemleta Rais (kama masiya vile) , tumombee Mungu amtangulie kila anapo pita, hakika maisha yetu yatabadilika tu. potelea mbali tutapata shida kwa kipindi kifupi tu ila tumaini lipo na linaonekana. 'Mungu akulinde baba'
The best negotiation ever to happen in Tanzania. The beat news ever.
We are so blessed to witness that. God bless our leader JPM and give more wisdom and courage to our African leaders.
Africa is not poor but poor mindset and poor vision.
God help and bless Tanzania and Africa.
We need hige Transformatio
Greatest Of All Time (G. O. A. T) ❤️💪
Nitabaki mzalendo kwa nchi yangu Daima---Gerry
Magufuli mtumwa wa Mwenyezimungu, ... Afya njema milele rais wangu
RIP mzee wetu JPM 😭😭😭
Ni kweli kuna watu wanachuki na Hawa wazee mungu atawalinda asante MUNGU
Umeondoka baba wa wanyonge, Mungu atakulipa kwa yale uliyotutendea Watanzania na bara hili. Vigumu kufutika katika nyoyo za wanyonge
Inauma sana lakini Mungu yupo
The fact that Mr. Thornton said he is looking fwd to "Resolve" the "Problem" with a "Win-Win" situation clearly indicates that they were categorically aware the Mining activities in Tanzania were NOT a "Win-Win" scenario and that the Tanzanians were being looted! This is a big problem with Multinationals since they are only Profit oriented. Thank you JPM for putting the record straight.
Mohammed Khimji asalam aleykum!
Mo khimji well said even if it was six years ago ...May he rest in peace!
Asante Raisi wangu,, Endelea kutupigania Mungu ndiye atakae kulipa inshaallah..
Sijuwi kwakweli kama atatokea mzalendo wa kweli kama huyu sijuwi kwakweli Jpm hongera sana
Kidume cha Africa
Utakumbukwa daima dad
Mungu awape uimara na upendo pia uzalendo. penda sana inchi yangu Rais wangu na wasaidizi wake wote. Mungu ibariki Tanzania
Mpaka kesho nntazidi kukuangaliaa... My prezdent na nmepata chakuwasimulia watoto..... Nataka kua kama wew
we remember your forever for every where you're
🔥🔥🔥 yani mpaka wazungu walikunja mikia. .. Lala salama Baba JPM.
Dah sasa mbona huyu mzee alikua anataka watanzania wote tunufaike ni kwanini walimuua baba wa watu jamani hizi mali tutaziacha jamani utu kwanza et
Tunakukumbuka sana JPM,
Ukweli uliipenda nchiyako kwa moyo ote nasi tunaendelea kukupenda japo hat uko nawe tutaendelea kukuenzi na kuheshimu michangoyako sikuzote.
R I P Baba
Mungu mlinde rais wetu magufuli.
We love JPM in our heart and we love Tanzania with all our heart
BABA kheri ungerudi uangalie taifa lako
huyo ndio raisi wa wanyonge Mungu akulinde Baba..Barikiwa
is same people the kili you father we never know but is fine we always pray God is good always
change date please 17 june 2017
well done Mr president
Vision with action can change the world thanks in advance Dot john pombe magufuli my president aluter continuer
Yohana umeleta njia tunamgonja Yesu ila hatujui ni lin?
Big up my President. Together we will go further.
Well said
Well done
We miss you dad
Najua kuna kupatwa na simanzi lakin tangu nimezaliwa na sasa mimi ni mtu mzima sukuwahi kupata simanzi niliyo pata kwa kifo cha j,p,m na sinitokaa nipate tena simanzi kama hiyo hapa duniani,R,ip shujaa wa nchi yangu tutaonana baadaye.
Pongezi kwa Mh. Raisi na Serikali yake nzima kwa kazi nzuri.
Mungu akutangulie tunakuombea Mkuu wetu.
mungu akupe maisha marefu baba yetu raisi ukiendelea hivi utawale daima
You are very positive my presdent JPM rest in peace
mungu akubaliki sana baba
Magufuli, ulengosha sana!
Ndowalikuja na sumu hao yakum.maliza baba yetukipenzi mabeberu hao washenzi sana nao wata farikitu one day is one day
asnte sana pongezi kwako mweshimiwa jpm wamezoea kutuibia wakamatwe hao walio saini mikataba na uwafunge Maisha
aibu ya Tundu Lisu kusema tutalipa badala ya kulipwa. yaan sijui kwanini ukiwa upinzani n lazima upinge hata vile ambavyo vinamasrahi kwa taifa
Upumzike kwa amani mzee wangu JPM
Ukweli Ni Kwamba Ninakuombea Kheir Akhera Na Nakukumbuka Kila Wakati Fulani. Na Hunitoka Machozi Kinamna Flani. NIMEKUELEWA BINADAMU HAFUNDISHWI HURUMA. NI UTU MAADILI BUSARA NA KUHESHIMU SHERIA. (ULALE PEMA. MUNGU AKUPUNGUZIE ADHABU ZA KABURI. AMEN
am feeling happy to a citizen of tz God bless me
You have my vote 2020...ur the only president who can stand for his Nation in Africa. I'm proud being Tanzanian under Magufuli, I hope our father J.K Nyerere is happy & enjoying now in heaven having his substitute.
Prof kabudi, is so keen about the fact that all predecessors and successors president are embracing each other despite of declining democracy and human rights, i don't view that as achievement or something to be proud of.
God bless you tanzania I love so much for tz ❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Rais wetu Mungu akubariki kwa moyo huo kiukweli hata mimi sikutegeme kama utachukua hatua Kali za namna hii kwa kweli ni uthubutu wa hali ya juu
SIMBA wa Africa
Pumzika baba
Mengi umefanya
Mungu ailaze Roho yako mahali pema peponi
Yaani huu wimbo ukiimbwa unapata ujumbe thati kutoka moyoni.
All the way from California, USA. Congratulations Mr president. I'm proud of you. This is just the start. We are our own worst enemy for going into these bad contracts. But it's time we wake up and our future is in our own hands. Congratulations president Magufuli.
t1910j wazawa tutakuwa tunakuja huko kama twaend k/koo 😉😆
Karibuni sana. I can't wait for the day that will be possible :-)
time is always the best healer!
Mungu akubariki rais wetu mpendwa Mh. Dr. John Pombe Magufuli
Gooood job comrade
Long live, the long awaited Rightful Ruler!!!
We waited 4 u Magufuli...... now u r our president.... Take us 2 da promice land
Tumepoteza rais wa kweli sioni kama Kuna rais anaweza kuja kuyafanya haya! RIP JPM tunaendeleea kukukumbuka daima!!
mungu akupe nguvu rais wetu magufuli.
Mr President
Rest in peace baba
Mungu naomba uibarik nchi yetu tanzania
Well done Mr. Prezzo...
Be Titus Maridhia kumbe nawe umemgunfua tundu lisu, yaani anapinga na Kisha anajipinga yeye mwenyewe.
NAIPENDA SANA HII
Hatuta kusahau
VIVA JPM
Pumzika kwa amani amri jeshi mkuu JPM 😭😭😭😭
Pumzika baba yetu utakumbukwa daima,hii nchi wewe ndo uliiwezea
ohoo
badilisha katiba utawale mpaka muumba atakapo kuiitaji
"The kind people live shortly". I don't think if Tz will get the ruler like JPM once again.
😂😂😂😂 mungu akulinde
Ndoto za HAYATI JPMAGUFULI zinatoa matunda yaliyojaa haki, na haki tupu. Haki huinua Taifa. Nimejifunza, watanzania tumebarikiwa tutumie baraka hizi kupiga HATUA KUBWA KWA UCHUMI WA NCHI.
Kipokea uchumba kimetolewa , kikiongozwa na mwanasheria mkuu wa wakati huo Profesa wa jalalani (KABUDI) (TRAB NA TRACK).Wa Tz tumepigwa kipigo cha usanii wa Albunuwasi. Tume imeundwa na Magu na kuwapa ma V8 haitowataja asiotaka watajwe na kwasababu kapewa kijiti na Kikwete. Mkapa ktk kitabu chake kakiri kuchota mabilion ya pesa za walipa kodi.
Saa hii vipi,nani kabadilisha hayo hadi mizigo inaondoka burebure na haitolewi hadharani migawo au mapato yatokanayo na Madini????????
Wewe ulikuwa mkombozi mkubwa wa watanzania ila nimejifunza kitu, itapofika MUNGU Atakapoinua hasira yake, kupitia maumivu ya mioyo yetu, tutapata mabadiliko, kama awamu ya Tano,
😭💔
Heaven Father protect this person at Heaven.
Kwa haka ka katoto Katundu Lisu kasichukuliwe hatua na hutwo twote tukina Msigwa, Kubenea, na twingine twingi twingi tujinga na tupotoshaji. Hutwo twote tunaotakia Tanzania na viongozi wake mabaya. Hayo magazeti kwa nini yasifutwe? Dunia nzima ukileta ujinga ujinga unashughulikiwa.
Please, fanya kitu kwa hutwo tujamaa
live forever mr.president
Kabudi babaa!!!!
😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘🤫
Daah Magufuli the really leader
Pumzika kwa aman baba kazi yake uliitenda vyema mwenye masikio alisikia na mwenye macho aliona leo hii yale yale kila kitu ovyo
Jpm ju juu juuzaidi wanafiki wote yamewashuka.wanafiki kwa kofia ya upinzani wamekwisha wanaona haya Asante Jpm mungu akutangulie. sasa mabush lowyer ongeeni na mpost kwenye mitandao mitazamo yenu. JPM mwendo ni huohuo kanyaga twendee kitaeleweka
John Haule sasa uchama unaingiaje tena apo!
John Haule sasa uchama unaingiaje tena apo!
Halafu leo mnasema JPM aliisamehe hiyo pesa .kabudi.mwigulu muogopeni mungu laana hii haitowaacha salama watu wanateseka nyingi Wala hamuoni Wala hamjali yaani hamna tofauti na marekani na washilika wake.
Baba
piga kazi rais wetu achana na hao wapumbavu Wa akil
Raisi ambae alishinda ata Mandela, baba wakweli wa taifa la Tanzania.
Bahatibukuku
Yote kayamaliza Mzee wetu Kabudi.
MUNGU kaz yako haina makosa wewe ndiye MUNGU wa wote tupe kiongozi mzuri kama huyu
Angalia haya maamuzi magumu yaani jamani Magu!!! Halafu tunamsema vibaya jamani!!
Tundulissu bhana ,anatujaza ujingaaa ili apate madaraka
😂😂😂😂 wale wote vibaraka mliokua mna tutisha eti tuta shitakiwa mjiandae na kuburuzwa mahakamani na nyie wenye kumiliki magazeti njaa na tv zenu za ajabu ajabu dawa yenu ina chemka shikamoooo JPM pamoja na serikali yote kwa ujumla endeleeni kui nyoosha nchi yetu
Nashauri, viongozi wa dini wapewe nafasi ya kuombea kikao cha pili na hao 'wavunaji' kwani inatia mashaka namna akili za wasimamizi wa raslimali zetu huko nyuma zilivyoamua pasipo kumfikiria mtoto wa masikini huko kijijini asiye na Huduma Bora ya afya au hata wajukuu baada yao: Akili ya kawaida inagoma kuamini kwamba wasomi wetu walitoa madini yetu bure (asilimia nne!!!!!!) Kwa mgeni pasipo kusikia uchungu.......!!!!!!!
Tumekukoswa magufuli sioni wa kuyafanya naona wengi wezi tu