Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
    Rais Dk John Magufuli amelitaka shirika la umeme nchini TANESCO kuwasaidia wabunifu na wazalishaji ili waweze kuzalisha umeme mwingi zaidi.
    Rais Magufuli ameyasema hayo leo alipokutana na John Mwafute pamoja na Gairos Ngairo ambao ni wakazi wa Mkoa wa Njombe wanaojishughulisha na uzalishaji umeme kwa njia ya maji na kusambaza kwa wakazi katika maeneo yao, Ikulu jijini Dar es salaam ambapo wazalishaji hao wamepewa jumla ya shilingi millioni 55 kwa ajili ya kuendeleza kazi zao, ambapo Rais amewachangia milioni tano,
    Aidha katika hatua nyingine Rais Magufuli ametoa maagizo wabunifu hao kupewa cheti cha kutambua mchango wao katika maendeleo ya Taifa, na kuongeza kuwa kwakuwa wao hawana elimu yoyote juu ya umeme CHETI hicho ndicho kitakuwa utambulisho wao.
    #IKULU
    Https://www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers
    Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 347

  • @pastorhermantv5420
    @pastorhermantv5420 7 месяцев назад +70

    Wangapi tunaangalia 2024 tunatamani siku ziludi nyuma tuwe na raisi wetu MGFL leo umeme umekua dhahabu 😢😢😢😢😢

    • @sixberthcostantini9290
      @sixberthcostantini9290 7 месяцев назад

      Dah inauma sana

    • @shahabdallah9407
      @shahabdallah9407 7 месяцев назад

      hamna tumlaumu tu si alikua dikteta? haya sasa na tujionee..... @@sixberthcostantini9290

  • @blackkid7377
    @blackkid7377 7 месяцев назад +22

    Nipo naangalia baada ya shida ya umeme kutokea 2024

  • @fakiikibakola1300
    @fakiikibakola1300 7 месяцев назад +4

    KAMA UNAAMINI MAGUFULI ATALUDI NGONGA LIKE HPA

  • @brianeliaki9436
    @brianeliaki9436 5 лет назад +23

    Huyu ndie kiongozi tunae mhitaji Tanzania. Na atakae kuja ajipange tunataka awe zaidi ya huyu "Tudhamini Vyetu kwanza".🇹🇿 kama tupo pamoja gonga like!

  • @khamishaji9508
    @khamishaji9508 7 месяцев назад +9

    Jamaa anatisha,, kweli hujui faida ya kitu mpaka kikutokee 😢😢

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 5 лет назад +26

    Huyu ni OUR HISTORY PRESIDENT KATIKA NCHI YETU,JAMANI SIJAWAHI KUPIGA KURA MAISHA YANGU,TO BE HONESTY KURA YANGU NA YA RAIS WANGU TU JPM,ni kuomba uzima tu INSHAALLAH tuombe uhai🙏🏻

  • @josephelisha8413
    @josephelisha8413 7 месяцев назад +7

    This man was something else... May his soul find eternal peace

  • @dicksonshekivuli3076
    @dicksonshekivuli3076 5 лет назад +28

    Mh. Rais hongera sana kwa kuwaona wabunifu wetu wa ndani. Hao watu wapewe kibali mh. Rais wauze umeme na wapewe makadirio wachangie kodi serikalini. MUNGU AKUBARIKI SANA

    • @amirisingitu1631
      @amirisingitu1631 5 лет назад +1

      Mh Rais wewe ni wamfano Duniani, Mwenyezi mungu akupe Afya njema ili ulitumikiye Taifa hili la Tanzania. Mh, Rais kwa uchapakazi ulionao wewe, miaka kumi ya kikatiba haitoshi , Mwenyezi mungu ametuchaguliya kiongozi sahihi, kwa maoni yangu, utuongoze miaka kumi na Tano, Inchi yetu itakuwa ya mfano wa kuigwa Duniani.

    • @saidysuleiman5360
      @saidysuleiman5360 4 года назад

      Raisi mwambie akujibu uyoo

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 5 лет назад +32

    Hapo umeanza kuzungumza
    Kama umesikia gonga like apa

  • @nwntz
    @nwntz 5 лет назад +14

    KAMA UMESIKIA MKURUGENZI AKIMWITA RAIS MH. WAZIRI GONGA

  • @luganosimon4111
    @luganosimon4111 5 лет назад +39

    Really if we go in this way really we are going to fly soon and reach to Canan, congraturations our beloved president

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 5 лет назад +20

    Mheshimiwa raisi, sisi wote tunakukubali.Kwa kweli ni hodari ktk. kila sekta, hudanganyiki. Tunakukubali ,hongera sana.

    • @kangongomusa9140
      @kangongomusa9140 5 лет назад

      jembe LA tz imulike manyara kiteto Sunya utaona mapungufu makubwa sana tena sana

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 5 лет назад +20

    Hili jamaa lina akili sana mpaka basi, a kind of genius president Tanzania ever had including Nyerere and Mkapa, big up JPM, karibia kila field anajua, engineering and Chemistry so far!.

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 5 лет назад +28

    Yani mpaka namuonea imani huyo Baba wa Tanzania 🇹🇿 badilikeni jamani tu m support Rais wetu haya maendeleo ni ya kwetu sio yake acheni ubinafsi watu mko kwa matumbo yenu tu

  • @henryford1571
    @henryford1571 3 года назад +7

    We miss you JPM,Itatuchukua miaka mingi sana kupata kichwa kama hiki

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 5 лет назад +15

    Asante hiyo point ya vyura,fuvu la mtu wa kale lipo karibu kuibiwa tanzania hii,hawamsaidii raisi

  • @husseinhussein4148
    @husseinhussein4148 5 лет назад +21

    So proud of this president. God Bless 🇹🇿

    • @bedashauri8179
      @bedashauri8179 5 лет назад

      Kunawakati mguu , useme utetee kazi

    • @mesutnyaryanga8932
      @mesutnyaryanga8932 Год назад

      And you will never see these type of people - kwasababu hamna 10% - hapa.

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 года назад +5

    Nashindwa niseme nini kumpoteza uyu baba mungu ndo anae jua.nitalia mpaka na Mimi nitakapo mfata uko aliko baba angu magufuri😭😭😭

  • @petermasele5692
    @petermasele5692 5 лет назад +34

    Rais miaka 10 hajanitosha Kwa maoni yang uendelee mpaka 2030 itakuwa powa Sana saluti kwako siyo Kwa ccm

  • @TheMakala21
    @TheMakala21 5 лет назад +15

    Najisikia kulia ninapoona Rais wangu anaumia kiasi hiki!!!
    Tubadilike jamani!!

  • @juvenalibrahim2929
    @juvenalibrahim2929 5 лет назад +13

    Duuu kufanya kazi na Magufuli inabidi uwe na akili nyingi sana. Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 5 лет назад +19

    Dah. Namkubali sana mkuu wa majeshi yetu. Hakuna keshe, mi ningejibu naenda sasa hivi mzee.

  • @josephyyohana7943
    @josephyyohana7943 5 лет назад +6

    Baba Nkulu Wiswe Magufuli Olame Welelo..Nakupongeza nakupenda raisi wangu!!Mungu NDIYE aliyekuleta Tanzani.Wabunifu tuko wengi tumsaidie baba.

  • @mtatiromgeka7270
    @mtatiromgeka7270 5 лет назад +10

    mungu wangu akuongezee hekima zaidi ktk haya

  • @danielmgonja9906
    @danielmgonja9906 5 лет назад +6

    kwel iv ndo kiongoz anatakiwa kuwa..,Dr.JPM I real appreciate this man.

  • @ramahawai7056
    @ramahawai7056 5 лет назад +2

    Raisi Mugufuli you are God sent. Mungu akulinde, akupe afya, na nguvu undelee na kazi njema unayofanya.

  • @maridadi8
    @maridadi8 5 лет назад +21

    Tatizo la Africa. Tunathamini technologia ya nje

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 4 года назад

      Uo ndio ukweli tunataka umoja wa mataifa pamoja na marekani waseme ndio tuone ni kweli au haki

  • @imanimasasa7042
    @imanimasasa7042 5 лет назад +13

    I'm proud of you my president! This country needs you more! May God bless you.

  • @dullydully8863
    @dullydully8863 5 лет назад +18

    Muheshimiwa Rais ww safi nakukubali sana 100% president ww geneus

  • @crispinbisimwa7397
    @crispinbisimwa7397 7 месяцев назад +2

    Want the full video.
    Rest in power Dr JPM 🎉 🙏
    Forever in our hearts 💕
    A true son of Africa.
    In our eyes, you will always be a hero ❤️

  • @clementmwaitebele7687
    @clementmwaitebele7687 5 лет назад +6

    Big up Mr President JPM yaani tulizoe maneno meeengi upigaji mwiingi lakini utendaji ulikuwa zero... Sasa Umeingia JPM maneno kidogo vitendo super.. Good.. I admire you so much...

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 4 года назад

      Walijua kutuibia kwa maneno wakishasema habari za tathimini na research basi tunaishia apo na ndio inakuwa imeisha

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat 7 месяцев назад +2

    Everlasting love and respect kwako uncle magufuli wewe kweli ni kocha mchezaji

  • @liliansamson4239
    @liliansamson4239 5 лет назад +12

    Rais Wangu. Mungu akutunze, akupe Maisha Marefu. Unahitajika sana. Mambo ni mengi inasikitisha sana. Mungu akutie Nguvu una kazi Ngumu sana.

  • @enockcharles6835
    @enockcharles6835 5 лет назад +4

    Kweli rais wetu Magufuli una utu ndani yako, Mwenyezi Mungu akujalie hekima, busara na uzalendo ambao unaendelea kuionyesha.
    Tunakuombea sana, we ni wetu

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 5 лет назад +7

    Magufuli has to be given more time to fix the country. Tanzanian should stand up and add more time for him

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 года назад +4

    Who is watching this after this big mess of Tanesco & Dawasco Nov 2021

  • @kuchenavhe0028
    @kuchenavhe0028 5 лет назад +13

    Tanesko wamejiumauma sana wanajifanya hawawajui hao wazee wkt wanawajua😂😂😂 Hao wazee wapo kitambo sana mitaa hiyo na habari zao zinafahamika sana

  • @bigowillythomaskayanda7763
    @bigowillythomaskayanda7763 5 лет назад +9

    Aisee Global TV online,, fatilia hii kitu hadi mwisho jamanii, .!!

    • @waryobamahunyo4990
      @waryobamahunyo4990 5 лет назад +1

      Aiseee Tanzania tumepata Rais, huyu ndio kiongozi bora kwangu.Viongozi wengine tujifunze kwa huyu.

  • @sabihimngetuka6971
    @sabihimngetuka6971 5 лет назад +11

    Rais ww wazir ww hii noma

  • @brianeliaki9436
    @brianeliaki9436 5 лет назад +5

    Na Global Tv. Tunahitaji Feedback za hawa Genious wa Tanzania... Please!!!!

  • @jacobcharles1604
    @jacobcharles1604 3 года назад +3

    Raisi wangu mm nakupenda sana Mungu akurinde skuzote na udumu miaka mingi ktk uongozi wako

  • @husseinkihame9542
    @husseinkihame9542 3 года назад +3

    Magu baba tunakukumbuka naendelea kujifunza kupitia kumbukizi zako #25/04/2021

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 7 месяцев назад +1

    Jamaa sayansi ilikuwa imelala kichwani

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 5 лет назад +10

    Hahahaaa. Kuna mjeshi kajibu naondoka nao. Safi sana, hapa kazi tu. Lazima tufike tu hata kwa bakora. Hakuna wiki tatu hapa. La saba yulee, kapata uboss juu. 😆😆😆Nani mwingine anataka kuongea. 😆😆😆

    • @issacknnko7822
      @issacknnko7822 3 года назад +1

      Lovely president its only God can provide a person like u

  • @paulowangoma4932
    @paulowangoma4932 5 лет назад +13

    Viongozi hawamsaidii Rais, plain and simple.

  • @julietsingerke3094
    @julietsingerke3094 5 лет назад +8

    Mimi ni mkenya lakini nafwatilia sana Raisi bombe magufuli wa Tanzania. Ni Raisi wa kumwenzi sana,nampa heko kwa Kazi nzuri anayo fanya.

  • @pilotmadata5791
    @pilotmadata5791 7 месяцев назад +3

    Baba ni baba ...ila mama hapa kwa tanesco kapoa sana ..

  • @masachihorticultureunitcol711
    @masachihorticultureunitcol711 5 лет назад +12

    Njombe kuna maporomoko mengi. Kuna opportunity ya kuzalisha umeme kwa bei rahisi

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Год назад +3

    Tutampata lini mtu kama magufuli? Ana akili, anambinu, mbinifu, anaamuzi. Haogopi hata kama lingeonikana gum kiasi gani

  • @faridyassin2116
    @faridyassin2116 3 года назад +2

    Kusema kweli Tanzania 🇹🇿 imepoteza kiongozi, Africa tunahitaji kiongozi kama huyu, Mungu mrehemu msamehe makosa yake na amlaze mahali pema peponi Amen.

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 Год назад +2

    Mungu akulinde mpaka tuonane, Watu wema maisha yao mafupi"Tungekuwa mbali Magufuli! Kama kulipita njama ya kuutoa uhai wako,Mungu atawaumbua mchana kweupe ' wameshaanza kuropoka hadharani"

  • @andrewluhamo6853
    @andrewluhamo6853 5 лет назад +5

    pongezi kwako Mh Raisi asee kwakweli una uchungu na hii nchi

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 5 лет назад +10

    Mguu pande mguu sawa ni mwendo wa KIJESHI tu no kubembelezana

  • @kelvinchidabwa2538
    @kelvinchidabwa2538 3 года назад +1

    HApo kazi TUUU MH Rais MAGUFUli utendaji bola

  • @zawadiyusuf538
    @zawadiyusuf538 4 года назад +1

    Hongera sana raisi wetu kwa kuongoza nchi kwa ufasaha na kuomba utukumbuke huku tanga lushoto baba asante

  • @jerrjamary2649
    @jerrjamary2649 Год назад +2

    Jamani ongeeni daaaah watu wanaogopa uyu mtu alikua kichwa sana

  • @bigowillythomaskayanda7763
    @bigowillythomaskayanda7763 5 лет назад +46

    Just tell me, to defend your job, Kama umesikia hiyo gonga like hapa..

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 7 месяцев назад +2

    2024 bado tunakuona upo hai Baba

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 5 лет назад +4

    Mkawe vibaruwa wa hawa huyu mzee noma sana 😅😅

  • @kivakumshana9388
    @kivakumshana9388 5 лет назад +6

    Kilichobaki ni kubadili tyu utaratibu JPM_5 agonge miaka kama 35 .,..niaminini wote jaman Tanzania itakuw kama ulaya

  • @salimsoho5515
    @salimsoho5515 3 года назад +1

    Mungu akupe maisha marefu

  • @johnbanzi884
    @johnbanzi884 5 лет назад +2

    I cant see a president like you GOD bless

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 5 лет назад +8

    Hiyo ndo rais viongozi wengi mbubu hawajui tunataka nini?

  • @omaryabdi2055
    @omaryabdi2055 4 года назад +2

    Huyu ndio mzalendo halisi wa Tanzania Rais J P M

  • @kuluthumuzalari
    @kuluthumuzalari 7 месяцев назад

    Akili nyingi mpaka zinamwagika,pumzika kwa amani baba Magufuli❤❤❤❤

  • @paschaljohnmwaisumo6180
    @paschaljohnmwaisumo6180 7 месяцев назад +1

    8:10 mungu turudishie john wetu japo nikama ninakukufuru ira tuurumie😢😢❤

  • @MarieHeleneEtienne-bf9ub
    @MarieHeleneEtienne-bf9ub 5 месяцев назад

    best president ever

  • @samirymwita7162
    @samirymwita7162 Год назад +1

    Ndio rais

  • @jitujitume2927
    @jitujitume2927 5 лет назад +2

    Namkubali sana Rais wangu mungu mkubwa

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu 7 месяцев назад +1

    Mama yupo Vatican city anakula bata nchi inaenda mlama🚮🛌

  • @pascalgodfrey686
    @pascalgodfrey686 5 лет назад +5

    Dharau za hao wasomi ndio maana hatupush technology ya kwetu, Hapo Costech walitakiwa kubanwa pia Na watumbue

  • @rojalitanda4462
    @rojalitanda4462 5 лет назад +2

    Safi sana mheshimiwa raisi yaaani upo vizuri sana katika uongozi wako mungu akuweke miaka mingi sana

    • @winstonkachema1731
      @winstonkachema1731 5 лет назад

      Safi sana wabunifu hawa wainuliwe ili kutatua changamoto vijijini. Cha kushangaza meneja tanesco kanda ile alikuwa kama anadiscourage wakati hadubin ilipofika ofsini kwao kuwahoji juu ya wanascience hawa.

    • @winstonkachema1731
      @winstonkachema1731 5 лет назад

      Three years unaona watu wanazalisha umeme 28kw unanyamaza kimya...industrial revolution ndio ilifanya nchi nyingi za ulaya kufika pale walipo...kulikuwa na wanascience wabunifu waligundua power na vitu vingine....Tanzania ya viwanda hoyee...safi sana JPM.

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 5 лет назад +2

    Kama umeona mr president akimfundisha jamaa wa tanesco toa comment yake

  • @htvtanzania3483
    @htvtanzania3483 7 месяцев назад

    Pwagu umepwagua Leo million 10 😢😢😢

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa3448 8 месяцев назад +1

    Dah pumzika kwa amani Baba Magufuri hakika sichoki kukusikiliza hakika

  • @nsengiyumvabienvenu8491
    @nsengiyumvabienvenu8491 5 лет назад +1

    Mungu akubaliki Baba
    🙏🙏🙏

  • @elizambilinyi2880
    @elizambilinyi2880 4 года назад +2

    Watu wanjombe Wana akili Sana. Pongezi kwa watu wanjombe🤸🤸👏👏

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini9290 7 месяцев назад

    Dah😢 inauma sana watamzania tulikuwa kwenye mwanga nakujikwamua kwenye umaskin
    Kwa mtu mahir na jasiri
    Daah tunaumia sana watanzania
    Hatuna jins tofaut nakumuombea Mungu
    R.i.p mwamba.tutakukumbuka daima😢

  • @Zungu_Mwamba
    @Zungu_Mwamba 7 месяцев назад

    TANESCO njooni huku

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b 7 месяцев назад

    MR. PRESIDENT 🇹🇿🇹🇿

  • @omarkanout8684
    @omarkanout8684 5 лет назад +1

    Nakukubali rais wangu kwenye utendaji

  • @emmanuelsanareemmanuelsana9137
    @emmanuelsanareemmanuelsana9137 Год назад +1

    Mungu utupe mwingine kama huyu ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jeninunu9177
    @jeninunu9177 5 лет назад

    Hongera sana Mheshimiwa Rais Magufuli kutuonyesha mapambano ya kila siku kuwafungua macho viongozi na raia

  • @francismkenda
    @francismkenda 5 лет назад +3

    Mheshimiwa rais yan wewe huna mpinzani mpka utakapoamua kustaafu.
    Mungu akulinde sana

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 года назад +2

    whose here after the pass on of our beloved President John Magufuli?

  • @ibrahimjoseph2789
    @ibrahimjoseph2789 3 года назад +1

    Hii ndio kasi ya aliyekuwa rahisi wetu, hakika umetutoka na umetupigania sana wallah, MUNGU akulipe heri uko ulipo.

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b 7 месяцев назад

    MR. PRESIDENT 💪

  • @heavenlightkombe8944
    @heavenlightkombe8944 7 месяцев назад

    Uliwah kusema tutakukumbuka si kwa mabaya bali kwa Mazur ..Dah😢

  • @kingkizitojulius260
    @kingkizitojulius260 4 года назад +1

    Naomba ushinde nauendelee na sela ya Tanzania ya viwanda ukiweka kipaumbele kiwanda cha kutengeneza matair ya maqari saiz zote

  • @noronhacompanylimited5370
    @noronhacompanylimited5370 5 лет назад

    Naomba Naomba sana Mheshimiwa Rais Magufuli aongezewe muda angalau miaka 20 katiba sio msahafu ibadilishwe!!!!!

  • @jacksonjackson2293
    @jacksonjackson2293 5 лет назад +6

    Mzee pwagu sema ukweli usiogope

  • @hamisjingu90
    @hamisjingu90 5 лет назад

    Very really.. Is sure...!! God bless our president.... The work you are doing..is much better than actual...wAkat mwingne tunapaswA kuwa makini ...watendaji wanapaswa kuwa wabunifu

  • @jofreysanga9520
    @jofreysanga9520 5 лет назад +1

    Nakupongeza sana Raisi wangu na ninakupenda sana tangia umeingia madarakani hata mimi nimepiga hatua kubwa sana katika maisha yangu.. hakika Mungu azidi kukupa pumzi zaidi ili watanzania tuzidi kunufaika

  • @senetornkwarz5714
    @senetornkwarz5714 7 месяцев назад

    Mungu unisameh!!🥹Naomba mrudishe Magufuli pls👏🏾🙏🏾

  • @SafeHaven_TV
    @SafeHaven_TV 5 лет назад

    Mhe Rais nakupenda mno kwa utendaji wa hali ya juu.Hongera sana my president.

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 7 месяцев назад

    Yaani hadi nimesisimka. Huyu jamaa tulikuwa nae kweli? Hakika hii kichwa duh,. Yako majitu makwamishaji tu😮😮😢😢

  • @range9882
    @range9882 7 месяцев назад

    2024 bado tunahangaika na tanesco dah tulimpoteza jembe

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b 7 месяцев назад

    Mr president aliipenda sana TANZANIA ❤

  • @jamesthomas390jj
    @jamesthomas390jj 3 года назад +1

    Hiki kikao kilisaidia kuanzishwa kiwanda cha kutengeneza transformer na nyaya hapa Tz

  • @sophyeliah954
    @sophyeliah954 5 лет назад +10

    10:40 Heart touching