LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #JPM #MAGUFULI

Комментарии • 102

  • @HopesonGamadzi
    @HopesonGamadzi 4 месяца назад +28

    Watanzania mulikuwa na kiongozi mwema.much love from Malawi 🇲🇼

    • @awadhgugu317
      @awadhgugu317 4 месяца назад +1

      Wewe hujielewi

    • @etemesiedward1508
      @etemesiedward1508 4 месяца назад

      pombe best

    • @CharlesWanyeche-er6rw
      @CharlesWanyeche-er6rw 4 месяца назад

      Kweli kabisa tena mtetezi wa wanyonge

    • @zitojosempakama8918
      @zitojosempakama8918 2 месяца назад

      Tatizo huko Tanzânia kuna wa2 waovyo sana. Kama huyo jamaa apa

    • @HopesonGamadzi
      @HopesonGamadzi Месяц назад

      @@zitojosempakama8918 yah. Bila shaka. Africa nzima ilimulilia raisi wa Tanzania ila watanzania wengine bado hawajui kwamba mangufuli alikuwa best in Africa.

  • @osircharles9371
    @osircharles9371 4 месяца назад +7

    Mungu amweke mahali pema peponi,Kwa kazi aliefanyia wanainchi mungu mukumbuke

  • @joelkiiru1223
    @joelkiiru1223 Месяц назад +3

    He was a man by the people for the people, sijawahi kuumwa na kifo cha mtu Kama chake magufufi tangu kuzaliwa, I literally cried when I was alone kwa nyumba, I will name my son after him, it's a must bora nipate mtoto wa kiume.

  • @blackhunter455
    @blackhunter455 4 месяца назад +7

    Nikimkumbuka "Jembe" nakuja hapa tu,kamwe hatusahau ❤

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p Месяц назад +2

    Rip legendary tunakukumbuka sana sana usingelala tungekuwa ulaya ulaya 😢 wakuregenzi walikomaga mana na vilikuwa viizi vya kufikia

  • @tumainichengo1477
    @tumainichengo1477 Месяц назад +2

    Tanzania ilipoteza RAIS mchapa kazi,your the one and only sir.wewew ndio mr.president wa kweli

  • @etemesiedward1508
    @etemesiedward1508 4 месяца назад +9

    Best president in Africa

  • @victorgerryson2695
    @victorgerryson2695 4 месяца назад +7

    MPAKA SAS TZ IMEPATA MARAISI WAWILI TU, HAYATI MWALIMU NYERERE NA JPM

  • @user-tp8fq9mb8e
    @user-tp8fq9mb8e Месяц назад +1

    Respectfully Dr. John Magufuli and Mr. Dr Paul kegame. We as East African countries or as other African countries we always wish for a president like John Magufuli from Chato city Tanzania and Paul Kagame from Urundi city Rwanda. We have dream one day to be stable like Rwanda and Tanzania. From Esta Africa

  • @PauloLeonard-ol5oo
    @PauloLeonard-ol5oo 4 месяца назад +8

    Daaaaaaaah.spati picha mpaka Leo magufuli angekuwepo cdhani kama kuna inch africa ingetufikia kiuchumi lakin leo hii,😂.

    • @PriscaMohamed-l7z
      @PriscaMohamed-l7z 28 дней назад

      Tunaongozwa kama vipofu tupotupo tu kama yatima

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 16 дней назад +1

    Hivi uwa najiuliza Tanzania ipo siku tutapata Rais Kama Magufuri.

  • @RASHIDIKAHINDI
    @RASHIDIKAHINDI Месяц назад +2

    Nitakumbuka daima mimi niko Masumbwe❤❤

  • @TysoniTarimo
    @TysoniTarimo Месяц назад +2

    Mwenyenzi mungu amrehemu na amlaze kulingana na matendo yake

  • @tumainichengo1477
    @tumainichengo1477 Месяц назад +2

    mungu akulaze mahali pema palipo na wewe RAIS POMBE

  • @ibrahimmungure7493
    @ibrahimmungure7493 4 года назад +6

    Mh.magufuli Miaka Kitano mbele haitoshi bado una kazi kubwa kuinyoosha Tanzania .

  • @ubunifulifestyle3492
    @ubunifulifestyle3492 10 месяцев назад +21

    Huyu jamaà waliomchukia walimkosea sana na kulikosea taifa hili, aliju😢kubalanci mambo

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p Месяц назад

      Wewe ni mbinafsi tu angeliuliwa baba yako kwa uonevu,kaka zako,wajomba zako wangelitekwa na kutoweka mazima kwa uonevu tu ungelikuwa na uthubutu wa kuandika hayo basi wenzako kwa mamia yamewafika hayo wapendwa wao wengi waliuwawa na wengine kutekwa hadi leo hawajaonekan tena.Tuwe na ubinadamu,utu,kujaliana na kuhurumiana si kukifanya kumpenda mtu kwa maneno yake ya kinafiki.Anahubiri amani nyuma kafichs panga linavuja damu.

    • @ubunifulifestyle3492
      @ubunifulifestyle3492 Месяц назад

      @@JaziraMustafa-g9p we bwana weee skiliza babu na acha ulimbukeni, kutekwa kupotea kuuuawa hakutoisha kamwe mpaka siku ya mwisho, mama yu madarakani mbonana kunawatu wanalalamika wanatekwa kwahio magu yupo? Acha fikra binafsi na acha hisia na mawazo ya mtu au watu yaongeee, hupendezwi nayo kausha

  • @NakoyowaDickson
    @NakoyowaDickson 26 дней назад +1

    Moyo unaniuma sana Magufuli

  • @MaikoManeno-v9r
    @MaikoManeno-v9r 5 месяцев назад +5

    Tunakukumbuka sana rais wetu pendwa ulikua mchapakazi makini sana 😢😢

  • @MuendoJusto
    @MuendoJusto 5 месяцев назад +3

    Best President in Africa,,, continue resting in peace

  • @AnordJoseph-e2e
    @AnordJoseph-e2e 2 месяца назад +1

    Eti raisi samia nae Raisi mhhh ata ningekuwa mm mbona naweza, Raisi alikuwa huyu Toka Tanzania ianzishwe

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 2 месяца назад +4

    Mpakaa leoo nafwqtilia hotuba zako babaa 😢😢😢 R.i.p jembe letu😢😢

  • @TysoniTarimo
    @TysoniTarimo Месяц назад

    Mwenyenzi mungu aturehemu zone na atuepushie na adhabu ya kabuki a moto wa jeanamu

  • @CharlesWanyeche-er6rw
    @CharlesWanyeche-er6rw 4 месяца назад +2

    R.I.P Dady nakukumbuka sana utumishi mwema wenye kujali maslahi ya taifa zima.

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Месяц назад +1

    Chuma jpm I'm still watching 2024..R I P😢

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 15 дней назад

    Nchi za nje walikuwa wanamtaka sana uyu kiongozi akawe kiongozi wao wabongo hawakmtaka alipokuwa saivi wanajuta

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 16 дней назад

    Jembe lilifaa sana kwenye urais

  • @godwinshoo5032
    @godwinshoo5032 17 дней назад

    Kifo cha magufuli kinamuuma kila mpenda maendeleo!Ni wachache sana tena wasio wakamilifu ndiyo wasioumia!

  • @MobileDawat
    @MobileDawat Месяц назад

    Magufuli,Traore nyinyi ndiyo wa Africa wenyewe!wengine wezi tu!!!

  • @DansonMasai
    @DansonMasai 14 дней назад

    Pumzika Kwa amani anko magufuli

  • @hongeramgaya714
    @hongeramgaya714 4 года назад +2

    Rais mwenyewe huwa anaongea kingereza wakati mwengine kidogo Sana siku izi kapunguza lakini huwa anaongea.

  • @hastings456
    @hastings456 5 месяцев назад +3

    A true leader who loved to deliver for his people

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 4 месяца назад +1

    Magu alichifeli ni kutaka lissu afe tu ila mambo mengine alikuwa shwali sana

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 4 года назад +2

    Duniani kwenyewe wanamtambua kwa jina la "BULL~DOZER" alafu nyie bado mnajifanya anko wenu. Atafunga mutu hapa. FANYENI KAZI/ NO JANJA NYANI 😁 ALA!

  • @happydavid4346
    @happydavid4346 26 дней назад

    Pumzika kwa Amanii babaangu,

  • @paulmatonange6718
    @paulmatonange6718 4 года назад +1

    Fukuza mukulugenzi kwanza hajui anachofanya hana cha maana

  • @SELEMANITEKETEKE
    @SELEMANITEKETEKE 19 дней назад

    Magufuri

  • @IadoBoy
    @IadoBoy 7 дней назад

    Jaman.tumuombee.kwa.mngu

  • @ROBERTMAXIMILIAN
    @ROBERTMAXIMILIAN 4 месяца назад +1

    Utumishi wa Umma ni zaidi ya Utumwa

    • @IshipalemyPasko
      @IshipalemyPasko 4 месяца назад +1

      Nenda dunia nzima ndo ilivyo ukiona mtu kaajiliwa na serikali harafu hataki ahoijiwe jua haitumikii serikali au wananchi

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 2 месяца назад

    Huyu Mwamba Sio Poa Duuh 😂😂😂
    Anatukana Watu Na Familia Zao
    R.I.P JPM

  • @SELEMANITEKETEKE
    @SELEMANITEKETEKE 19 дней назад

    Huyu ndiye kio changu

  • @benardmartine244
    @benardmartine244 4 года назад +2

    Hene bangosha ise yaniye Hiiiiiii!

  • @mcgabby
    @mcgabby 4 месяца назад +1

    Msiwe mna mpost tu huyu mzee coz yanayo endelea hayaendani walai😢😢😢😢

    • @LeonardLukongola
      @LeonardLukongola 4 месяца назад

      Inaumaaa sanaa 😢😢😢

    • @CharlesWanyeche-er6rw
      @CharlesWanyeche-er6rw 4 месяца назад

      Yaan we acha maumivu Mungu tu atusimamie tunakoelekea

    • @naphtalleyakoyi1336
      @naphtalleyakoyi1336 Месяц назад +1

      Mii ,Mkenya najiuliza Raisi Samia Huwa Anaya fuatilia mazungumzo haya kweli?

  • @MageeDaudi
    @MageeDaudi 19 дней назад

    ❤❤❤❤❤

  • @paschalnghomba4671
    @paschalnghomba4671 Месяц назад

    Naomba Makonda awe Rais hakika ni Magufuli mtupu

  • @zakiazakia4552
    @zakiazakia4552 4 года назад +1

    Mfunge kifungo cha maisha pumbavu

  • @salimshaban7120
    @salimshaban7120 4 года назад +1

    Ni shida kweli

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 4 года назад +3

    Mwandishi ni "NITAKIFUNGA" au "NITAKUFUNGA". Kuweni Makini katika Uandishi

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 4 месяца назад

    Bb pumzika kwa amani haitatokea kiongozi kama wewe mwenyeudhubutu kama wewe hakikatutakukumbuka

  • @shijakaswahili1374
    @shijakaswahili1374 3 месяца назад

    Atakubukwa sana mwenda zake

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 4 месяца назад

    Hapana bora awatukane weweumepewa hela miaka 3 hujafanya chochote nahela unayotu nchihiii nishida

  • @solemba595
    @solemba595 4 года назад

    Sijui inakuwaje kila siku viongozi mpaka wakumbushwewajibu wao, wakati pesa wameshapewa...

  • @DjamilaNdikumagenge
    @DjamilaNdikumagenge 2 месяца назад

    Magufuri sitakusau maisha

  • @mohamedomar4037
    @mohamedomar4037 4 года назад

    Kiingereza ni kiswahili ya Dunia

  • @awadhgugu317
    @awadhgugu317 4 месяца назад

    Dunia tunapita tu haijalishi wewe ni nani utaiacha tu dunia mchew!!!

  • @nazirnoor4160
    @nazirnoor4160 4 года назад

    Majitu mazima hadi aibu.
    Mnashindwa kufanya vitu vyepesi namna hiyo.
    FUKUZA TU HAYO MAJITU

  • @kenedzouma9406
    @kenedzouma9406 4 года назад +1

    viongoz na watumishi kaz mnayo😂😂😂😂😂

    • @kevinjohn4507
      @kevinjohn4507 4 года назад

      Wamekua wazembe sana mpaka wapigwe pigwe mgongoni ndiyo waende

    • @IadoBoy
      @IadoBoy 7 дней назад

      Tutakukumbuka.daim.mag

  • @ShadrakaJohn
    @ShadrakaJohn 5 дней назад

    Mangufuli amubanani shamuchina

    • @ShadrakaJohn
      @ShadrakaJohn 5 дней назад

      Mangufuli amubanani shamuchina

  • @kenedymbangule9105
    @kenedymbangule9105 5 месяцев назад

    Huyu Rais mungu

    • @awadhgugu317
      @awadhgugu317 4 месяца назад

      Wacha kufru na ushirikina wewe

  • @jeremiahjoseph3358
    @jeremiahjoseph3358 Месяц назад

    Nmeielewa hyo

  • @SalimaOmary-o5b
    @SalimaOmary-o5b 22 дня назад

    😮

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 4 месяца назад

    Babaafrica nakumisssi

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 4 года назад

    Kiswahili kwanza (Africa) ayo tv no 1

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 4 года назад +2

    Amekataa Kiingereza cha Mkurugenzi na Mkurugenzi alitamka "nukta" lakini Magufuli amesema "point", je point ni lugha gani?!😂😂😂

    • @MaryNgeni
      @MaryNgeni 3 месяца назад

      😂,😅

    • @MirajiSimba-qi7zj
      @MirajiSimba-qi7zj 2 месяца назад

      We unatakaje kwan ongea wew bhc wew hayupo tena ongea zamu yake

  • @eng.lazarongoro
    @eng.lazarongoro Месяц назад

    hakutaka kupambwa

  • @philosophicallearning.3194
    @philosophicallearning.3194 4 месяца назад

    👏👏

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 4 месяца назад

    Much tears for you JPM😂😂

  • @mashaurimasolwa2601
    @mashaurimasolwa2601 Месяц назад

    Vibarua😂

  • @MaryMapunda-xm3ek
    @MaryMapunda-xm3ek 3 месяца назад

    😊

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 4 года назад

    Wafukuze wote

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery 4 года назад +3

    Huyu Raisi anadhalilisha sana watu! Iko siku yako!

  • @michaelnzunda7347
    @michaelnzunda7347 4 года назад

    mbona unaonekan mpumbavu sana ww...,hajahahaha..

  • @fredrickotsieno9775
    @fredrickotsieno9775 4 месяца назад

    Lala pema jembe

  • @DavidSoka-b7h
    @DavidSoka-b7h Месяц назад

    😂

  • @waziriwaziri4330
    @waziriwaziri4330 4 месяца назад

    H

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 4 года назад +1

    hapo kuambiwa mpumbavu imevuka kabisa taratibu za maelekezo kazini. Hayo nimatusi mbele ya familia yako

    • @kevinjohn4507
      @kevinjohn4507 4 года назад +3

      Mpumbavu kabisa huyu Pesa inatolewa wanashindwa kuzielekeza ktk kazi za maendeleo

    • @PoulFred
      @PoulFred Месяц назад

      Sasa wew ulitaka rais asemeje kwa watendaji wazembe au na wew ni kipumbavu nn

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 Месяц назад

      @@PoulFred mwehu si lazima atembee uchi hata katika kauli hujulakana

  • @anthonymchilika3224
    @anthonymchilika3224 4 года назад +2

    Mtanyooka mwaka huu🤣🤣🤣🤣😂😂😂huy msukuma ana sifa hadi raha