MAGUFULI AMKAANGA KIGOGO TAKUKURU "MNAJIPENDEKEZA KWANGU, MIMI MOYO USHAKUA SUGU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июл 2020

Комментарии • 197

  • @joharijumbe6543
    @joharijumbe6543 3 года назад +26

    Jamani katiba ingekuwa inaruhusu magufuli angekaa ata miaka 30 tunakupenda sana raisi

  • @benedictaustard3423
    @benedictaustard3423 3 года назад +18

    Huyu ndiye Mh.Raisi Magufuli.
    Unanifanya nitembee kifua wazi mzee wangu!.

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 3 года назад +20

    Super Mheshimia Dkt Magufuli unamiliki kona zote Katika Nchi nzima pamoja na Rushwa ya kila siku hongera sana

  • @razakpaulo6407
    @razakpaulo6407 3 года назад +16

    Nampenda sana raisi wangu nakuombea miaka buku jero ukiwa raisi wa Tanzania

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 3 года назад +22

    Kweli ofisi ni nzuri sana,naijua na inafaa mno, hii ni bahati kweli msema kweli mpenzi wa Mungu, Hongera Mh Rais

  • @janeyoj8228
    @janeyoj8228 3 года назад +25

    "Mjipendekeze Chato wakati nimeshaondoka kwenye uraisi"
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Safi JPM...
    Haya wale wakupinga, mpinge na hili

  • @aaaaaah290
    @aaaaaah290 3 года назад +28

    WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate1488 3 года назад +13

    Rais anaongea point sanaa akwepeshii uyuu ndiee mwanamume sio mwanaume ni #MWANAMUME

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 3 года назад +15

    MHANDISI + DOCTOR UTAMDANGANYA NINI HUYU MZEE JPM 😍😍😍

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 3 года назад +39

    Aiseee watanzania tuna bahati sana,
    Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa.
    Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.

    • @clifordmsongole1134
      @clifordmsongole1134 3 года назад

      Amen

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 года назад

      Ni Maombi yetu kwa mungu tupate mtu kama huyu

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 года назад +1

      Kweli kizuri akidumu tulimpenda lakini mungu alimpenda zaid

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 года назад

      Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha

    • @user-cz9sk1yq7r
      @user-cz9sk1yq7r Год назад

      kabisa😊😊

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 3 года назад +11

    Binafs nataman uwe Rais hata miaaka 20

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 3 года назад +17

    Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 3 года назад +17

    Huwa silijutii bando langu ninapokusikiliza rais wanguu, nakuombea kwa mungu uwe raisi wa tanzania, milele na milele mpk mwisho wa uhai wakoo

  • @angelshio2617
    @angelshio2617 3 года назад +15

    Tangia asubuhi ninakufuatilia baba uwe mkweli siku zote waache kujipendekeza

  • @generaltanzania1810
    @generaltanzania1810 3 года назад +11

    Inatia Matumaini, Rais JPM Watanzania nina imani wote wanakupenda. Piga kazi Baba.

  • @setholivier4862
    @setholivier4862 3 года назад +11

    Hapa ndo vizuri unamwambia mtu waziwazi, ili hata viongozi wanao jipendekeza wakitizama hii clip waache kujipendekeza

  • @bornifaceshombe4159
    @bornifaceshombe4159 3 года назад +7

    Safi,naona viongozi waliowengi hawajaelewa maono ya Raisi wangu.Mungu ibariki Tanzania.

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 3 года назад +11

    Wewe mzee wewe hapo nyuma ebu sema baba😁😁imekaje kaaje usiogope hakuna wa kukufukuza😊😊😊JPM oyoooooo🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 3 года назад +10

    Ukweli na uwazi unasema ukweli mheshimiwa.

  • @cheupestefano5424
    @cheupestefano5424 3 года назад +15

    Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people

  • @fredrickphilomena8613
    @fredrickphilomena8613 3 года назад +22

    Hila ukiambiwa unajipendekeza inauma hiyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад

      Sana,,,ila kauli kama hiyo haipendezi sana !!!

    • @solemba595
      @solemba595 3 года назад +4

      Huo ndio ukweli Kuna Viongozi wanafanyakazi kwa kujiendekeza, Uzuri JPM amesha shtukia mchezo

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 3 года назад +1

      Inauma sanaaaaa😂😂😂😂😂waache kujipendekeza

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 3 года назад

      Ndo waache kujipendekeza

    • @user-un3df1sl2h
      @user-un3df1sl2h 3 года назад

      Kuambiwa unajipendekeza inauma sana,mimi mwenyewe nikiambiwa najipendekeza ata kama nindugu yangu,nakaa nae mbali sana

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 года назад +2

    Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏

  • @said306nyatu9
    @said306nyatu9 3 года назад +9

    Kaaa bwana nisije nikasema izi nyota nimekupa za bure

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba3028 3 года назад +5

    Huyu mzee baba ananifurahisha sana anaonaga mbaaaaliiii eti dalili za rushwa duuh mwangaluka

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 3 года назад +16

    Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...

    • @claudiangowi9585
      @claudiangowi9585 3 года назад

      Acha tu kakangu

    • @alexkihongola798
      @alexkihongola798 3 года назад +3

      JPM mwamba mno, Hakuna wa kumfananisha nae, na hajazaliwa Bado, wengine marais wa maonyesho tu.

    • @muganyiziemmanuel4897
      @muganyiziemmanuel4897 3 года назад +1

      Nasema hivi anaeweza kuwa kama yeye ni Dr kakulwa katibu mkuu wa ccm

    • @wazirikhamisi4828
      @wazirikhamisi4828 3 года назад

      HAKUNA KAMA MAGU BWANA

  • @richardjoseph9642
    @richardjoseph9642 Год назад +3

    Mungu akupunguzie azabu ya kabr kamanda

  • @salimsalim8421
    @salimsalim8421 3 года назад +4

    Hongera, hakuna mchezo na pesa za wana nchi, lazima mtu akae sana tuu

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 3 года назад +5

    " Mimi moyo ulishakuwa sugu"...😂😂😂😂😂😂

  • @theeyechannel8601
    @theeyechannel8601 3 года назад +5

    Nisije ni kakuona nimekupa nyata za bure!! Kainyoshe nchi hiyo Mzee wanyike.

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 3 года назад +5

    Ndio shida ya kufanya kazi kwa mihemko hiyo itawakost

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom6340 3 года назад +3

    Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote

  • @alimarezi7543
    @alimarezi7543 3 года назад +5

    Magufuli ukimaliza mhula wako njoo uku kwetu Kenya,tukupe urais,huyu wetu ni boya sana

    • @majidially4363
      @majidially4363 3 года назад

      😂😂😂😂😂eti boyaa,,, Dah

  • @yasinigao3589
    @yasinigao3589 3 месяца назад +1

    Sawa pambana na ufisandi Rais wetu

  • @ednajeremiah8671
    @ednajeremiah8671 3 года назад +5

    Wakomeshe baba hapa kazi tu

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 2 года назад

      Nivigumu kumpata kama jpm lakini kwa mungu yanawezekana

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza9564 3 года назад +4

    Hii inaitwa makavu live 😃

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 3 года назад +4

    Haaaaa baba hao wanakuvuruga kweli ....bado hawajakujua vizuri😀😀😀

  • @petermatonya8078
    @petermatonya8078 3 года назад +2

    Mungu akupe maisha malefu lais wabgu

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 3 года назад +2

    Mungu amuekee huyu mzee magufuli kwa kweli..oohhh ..magufuli oyeee

  • @mamaahmad8615
    @mamaahmad8615 3 года назад +2

    Yaani nakupenda sana baba rais wetu tumbuwa tumbuwa hao warudishe hela watumbuwe

  • @justusmuendo7823
    @justusmuendo7823 Год назад +3

    Very insightive,magufuli continue resting in peace

  • @markkayuni99
    @markkayuni99 3 года назад +4

    Mweshimiwa Rais kura yangu umepata sema hao wakujipendekeza kwa kukufuraisha wewe na wachinja kilakitu ndio ndio wa kina msukuma hao

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 2 года назад +1

    Hii ndo ilkua Serikali bna,RIP mr President JPM much love to you

  • @patrickjohnlucas3827
    @patrickjohnlucas3827 3 года назад +6

    Kweli mweshimiwa

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 3 года назад +11

    Hotuba kam hiz n tam san yani zaidi ya sali n sukari

    • @saumsaid5717
      @saumsaid5717 3 года назад

      Yani we baba nakupenda mpaka naumwa

    • @tebogolucia6889
      @tebogolucia6889 3 года назад

      C.simba Johannesburg magufuli nakukubar sn mzee Wang

  • @MukandilwaProspere-th2xu
    @MukandilwaProspere-th2xu Год назад +1

    Courage baba wetu Sisi watoto wa Congo tunakuliliya mungu akulaze Mali pema

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 3 года назад +5

    Takukuru😂soma iyoooo😁😁😁😁

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe7321 3 года назад +4

    unajua mtanivuruga hapa

  • @justinaissa2278
    @justinaissa2278 3 года назад +3

    Mh uko sawa kabisa

  • @lemameasi1723
    @lemameasi1723 3 года назад +3

    NI VIGUMU KUPATA RAIS ALIYEKO SERIOUS KAMA JPM HUKU AFRICA

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Год назад +1

    Alikufa Kiongozi wa Tanzania 😭

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 3 года назад +4

    Duh usitake nione nyota nilizo kupa za bure 🤣

  • @allykingo3558
    @allykingo3558 3 года назад +4

    Wamejikologa lolote litalokea hapo lazima

  • @mbonijabut1405
    @mbonijabut1405 3 года назад +3

    Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 3 года назад +1

      wapi huko? Wa kulaumiwa ni hao waliompigia tena kura za maoni.

  • @kambiibrahim415
    @kambiibrahim415 3 года назад +2

    Thank you so much Mr.President much love to you

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Год назад +1

    Tanzania ilikua na Rais kweli lakini Leo hii hatuna Rais tuna mafisadi

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 3 года назад +2

    Duh JPM hahaaaa hatari sana! Usiombe ubananishwe naye😅

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 3 года назад +2

    Tumbua huyo na mkuuwao kwanini mnajipendekeza huyo ndo Rais tunaemuhitaji sio mliomtaka

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 3 года назад +2

    Safi sana Rais wangu

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 3 года назад +3

    Tumuongezee mda huyu Rais wetu ainyooshe nchi!

    • @pendomsulwa5806
      @pendomsulwa5806 3 года назад

      kula yangu haikupotea kabisaa MUNGU akuweke pia natamn utawale miaka yotee

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 3 года назад +2

    Baba maliza wabaya wote

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 3 года назад +3

    Nchi iwe Safi hii wamezoea hao

  • @salmahillu
    @salmahillu 28 дней назад

    Mungu aiweke robo magu peponi amina

  • @abubakarsuleiman1588
    @abubakarsuleiman1588 3 года назад +2

    Ahsante MH rais

  • @musasabu6969
    @musasabu6969 3 года назад +3

    Wanajpendekeze had wanakela

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 3 года назад +4

    Magu anajuwa adumu milele ewe mwenyezi mung jaliya ameni...😘😘

  • @jameschubiri9453
    @jameschubiri9453 3 года назад +2

    Huyu mzee kwanini hamtaki kumuelewa jamani

  • @mshumbusideogratias9567
    @mshumbusideogratias9567 3 года назад +2

    Nmesikiliza Mara 10

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 3 года назад +1

    Safiiiii. Mzee magufulii oyeeee...

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 3 года назад +2

    Yes..
    Preach father preach.!!

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 3 года назад +2

    Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...

  • @mlashanikisinini6020
    @mlashanikisinini6020 3 года назад +2

    Safi sana mheshimiwa

  • @majaliwakavinga2752
    @majaliwakavinga2752 3 года назад +1

    Hongera sana Rais.

  • @yaletbweye5565
    @yaletbweye5565 3 года назад +2

    Uyu Mzee ni mfano wa Dunia

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 3 года назад +1

    Safi sana mh Raisi

  • @erickendrick3330
    @erickendrick3330 3 года назад +2

    Daaah.....J.P.M ni Noma sana .🙌🙌🙌

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 3 года назад +1

    Jamaniii huyu mzee aendelee tu ..huyu ndio rais tunaemtaka

  • @mtorosenga1272
    @mtorosenga1272 2 года назад +1

    😆😆😆 unaionaje hiyo??? Mzee anajiuma

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 3 года назад +1

    Kenya tungepata kiongozi Kama huyu.ningejivunia kuwa mkenya sana, NAVUMILIA TU!MILEVI MIIZI.

  • @meshackkanyetisahani5584
    @meshackkanyetisahani5584 2 года назад +1

    Was a geneous person may god rest in peace our lovelly president

  • @bashiryusuph6750
    @bashiryusuph6750 3 года назад +1

    😂😂😂wamesha fanya no dili walijua huwaangaliii 🤣🤣🤣wapigadili mbona same hamna jengo la takukuru mnajipendekeza kwa babu 🤣🤣🤣🤣

  • @rehemanmkumbo5631
    @rehemanmkumbo5631 2 года назад +1

    Huyu baba apumzike kwa amani

  • @fakihibakari7701
    @fakihibakari7701 3 года назад +2

    Sidhani kama Takukuru watajing'ata wenyewe. TAKUKURU NG'ATA.

  • @elisanteelisante172
    @elisanteelisante172 3 года назад +2

    Baba Ng'ataaaaaa

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje1215 3 года назад +1

    Mkulu kashasema hataki shobo
    Ziteendeeni mema izo pesa Kuna vitu kibao vya kufanya

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu 6 месяцев назад

    Daima utakuwa mioyon mwetu😢😢🙏🙏

  • @allyfaraji1697
    @allyfaraji1697 3 года назад +4

    rais kauzu kweli, et anamwambia yule mjeda kaa bhana nicjute hzo nyota nilizokupa 😀😀😀 kwa kweli bado najiuliza ukauzu huu nani anauweza ? Takukuru Ng'ata😀😀😀🔙 leo nimecheka mpaka machozi yametoka. Uyu mzee anatufariji sana sisi wananchi, yaani tunaishi bila ya hof swaaaaaf kabisa😀😀😀. Lini tena utahutubia hata kama nina safar nisiende ctak kuadisiwa mimi 😀😀😀.

  • @fadhilharuna9804
    @fadhilharuna9804 Год назад +1

    Good president magufuri

  • @sixmangwela4543
    @sixmangwela4543 3 года назад +2

    vua nyota izo anatia haibu jeshi

  • @prosperthedubaiexplorer8980
    @prosperthedubaiexplorer8980 3 года назад +2

    awakujui baba watoboe

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 3 года назад +1

    Sio rushwa mzee ila hiyo ni kujipendekeza kwako

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c 3 месяца назад

    Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu Rais

  • @mwakamtungirehi4773
    @mwakamtungirehi4773 3 года назад +2

    Takukuru ng'ata

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 года назад

    Mzee magu polesana kwakazi ngumu uliyonayo yani sijui kwanini huwa hawakuelewi usichoki kwene ukweli mungu yupo nawewe

  • @petermokami2273
    @petermokami2273 29 дней назад

    Bila kubuluzwa hawaelewi Hawa viongozi

  • @hassanimussa5776
    @hassanimussa5776 3 года назад +3

    Chuma kinazungumza

  • @55goodmen
    @55goodmen 3 года назад

    Ukweli unauma duh huyu rais hana upuuzi ni straight forward yani. wezi wote wanaogopa yani JPM oyeeeh.....

  • @alimadmaulid2567
    @alimadmaulid2567 3 года назад

    Mmmmmh kweli mkuu nakubali kazi yako

  • @matindembaratani6221
    @matindembaratani6221 3 года назад +1

    Mwanakulitafuta Mwanakulipata 😂😂😂😂

  • @solomonkikeke2795
    @solomonkikeke2795 3 года назад

    Tazama hapa pia uone Wimbo mzuri wa Maombolezo ya mheshimiwa BENJAMIN MKAPA Kutoka kwa TUNDA MAN pa1 na producer ZEST

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 года назад

    Huyo baba pua imemshupaa, piga kazi rais wetu