NAOMBA KUJIUNGA NA JKT - JESHI LA KUJENGA TAIFA MHE RAIS, NIPO CHINI YA MIGUU YAKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Mhe Rais shikamo, naitwa Elia Batom, napata kipato cha chini sana ila nachangia elfu 10, Mhe Rais ombi langu naomba nijiunge na Jeshi la kujenga Taifa la JKT.
    Rais Magufuli amefanya harambee ya kuchangia ujenzi wa shule ya Msingi iliyopo Kijijini Soga ambapo jumla ya TZS Mil.68.5 na mabati 100 yamepatikana, kati ya hizo Rais Magufuli amechangia TZS Mil.5. Ameagiza ujenzi huo ukamilike haraka.

Комментарии • 53

  • @piliabdalla3121
    @piliabdalla3121 4 года назад +4

    Asante RAISI kwa mchango mkubwa kwa sisi wa nakijiji wa soga

  • @SamsonnChacha-dc9zg
    @SamsonnChacha-dc9zg 7 месяцев назад

    Ppp

  • @kiehbhzh7044
    @kiehbhzh7044 4 года назад

    muheshmiwa rais uje na uku kwetu mkoa pwani ya mtwala na sisi tuna changamoto ya shule na zahanati

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 4 года назад +1

    Yani mpaka rais anawasemea kero zenu nyie mnaoishi hapo hamjui🤣🤣🤣

  • @midoeast9819
    @midoeast9819 4 года назад

    Hondohondo like

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 4 года назад +1

    Hivi Hawa viongozi wabunge na madiwani Nani anawachagua? Hawana enough details, wanashindwa kuelezea Matatizo ya wananchi , kwa Nini Hadi Raisi ndio aamue yeye mwenyewe kufuatilia?? Fuck viongozi wote

    • @costerprima4145
      @costerprima4145 4 года назад

      Tafuta kauli nyingine yakufikisha ujumbe kaulinyingine zita kucost

  • @faustinefesto7705
    @faustinefesto7705 4 года назад +1

    Hakika wwe n mpango wa Mungu nakupenda sna rais wng JPM.
    Viongoz wote wangepita nyayo zako taifa lingekuw mbali xna

  • @marcuspeter8942
    @marcuspeter8942 4 года назад +4

    😂😂😂😂😂watu wa msoga mnaniloga nini?

  • @peterkyelela6023
    @peterkyelela6023 4 года назад +2

    Anatetemeka kuongea mbele ya raisi kunaitaji ujasiri

  • @seifdisail3007
    @seifdisail3007 4 года назад +4

    Najovunia kuwa na RAIS MAGUFULI💪

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 4 года назад

    Wananchi wa soga hamjui kujielezea kero zenu? Mmepata bahati ya kusikilizwa mnajiumauma tu.huyo diwani ndio sifuri kabisa hana analojua.hata hajui kero za kata yake🤣🤣 hyo kata pigeni chini huyo diwani anawacheleweshea maendeleo

  • @stevenobillo7100
    @stevenobillo7100 4 года назад +1

    Rais wetu ni mubunifu sana hasa kwenye ishu za michango kama hiyo

  • @fatumaally3266
    @fatumaally3266 4 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣msoga achen kumroga maguful baba lao

  • @salummtizi1043
    @salummtizi1043 4 года назад +2

    Amazing presidaa from tanzania djpm

  • @faridaomary9100
    @faridaomary9100 4 года назад +1

    Safi sana Anko Magu

  • @nelsonwolden6878
    @nelsonwolden6878 4 года назад +3

    Mungu mbariki raisi wetu mungu bariki tanzania

  • @godlizennassari5501
    @godlizennassari5501 4 года назад +1

    Baba la baba nakukubali sana

  • @captaincloud7youngpol692
    @captaincloud7youngpol692 4 года назад +3

    Kihere here na kujipendekeza mpaka aibu. Kueleza shida bwana diwani unakwama wapiiiiiiii

  • @YasrFak
    @YasrFak Год назад

    Salti ya mkuu wa usalama

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 года назад

    Angekuw chama pinzan hoho

  • @binbaya923
    @binbaya923 4 года назад

    Hongera Mh. M/Mungu atakuongoza ktk harakati zako🇹🇿🇦🇷

  • @RobertMagava
    @RobertMagava 4 месяца назад

    Very Good jpm

  • @johnwanganga2729
    @johnwanganga2729 4 года назад +1

    Good mzee

  • @omavkksndbd3068
    @omavkksndbd3068 4 года назад

    Kampuni ya nini hiyo maana wanamwaga mihela hakika tanzania sio maskini mungu ibariki tanzania na laisi wangu magufuri

    • @calvinkapinga8341
      @calvinkapinga8341 4 года назад

      si kuongeza uhusiano maana wameona Tanzania kuna fursa za kazi maana ndio inajengeka

  • @makaveliblandy2886
    @makaveliblandy2886 2 года назад

    Mmh

  • @trishakibago6326
    @trishakibago6326 4 года назад

    Bora jamani shida ipungue

  • @frankcorbinian3821
    @frankcorbinian3821 4 года назад +1

    Kusikiliza shida za watanzania mpaka ujue ni chama gani ebo kiongozi gani huyo

    • @aminahassan561
      @aminahassan561 4 года назад +1

      Hiyo lazima ajulikane kiongozi wa chamaa gani hamchelewi na uongo wenu wapinzani bwana

  • @thamu3133
    @thamu3133 4 года назад

    Nmeipenda hii sana aki hahahahahaa magu hoyeee

  • @francolazaro8646
    @francolazaro8646 4 года назад

    Wanajesh michango Yao tu 🤣🤣🤣🤣

  • @omarnzaro31
    @omarnzaro31 3 года назад

    Magu Rest in peace

  • @kaizasamson8639
    @kaizasamson8639 4 года назад

    Asante mh .

  • @polycarpaugustino
    @polycarpaugustino 4 года назад

    Hana akili uyo mtu alioomba

  • @fadytashfeen8090
    @fadytashfeen8090 4 года назад

    Djpm

  • @akshaydavid159
    @akshaydavid159 4 года назад

    Jamaa amekaushiwa ombi lake la kujiunga na JKT, huhuhuu

    • @martinemasanja1633
      @martinemasanja1633 4 года назад

      JKT ni taasisi inayojitegemea na inamuongozo wake hivyo raisi hawezi kuingilia utaratibu wao

    • @calvinkapinga8341
      @calvinkapinga8341 4 года назад

      kuna taratibu zao s mtu n mtu tu ye mwenyewe ni jemadari mkuu

  • @danielmlengu7456
    @danielmlengu7456 4 года назад +1

    diwali chenga like hapa

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 4 года назад

    Huyo mwenyekiti katisha,anajua kero zote.sio huyo diwani

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 4 года назад +1

    Safi sana.

  • @mwayayamashaka6708
    @mwayayamashaka6708 4 года назад

    Nashukuru mikeroyangu mutendaji wakijianahamisamipaka kwenye uwajawagu kisaetiniuze

    • @fatumaally3266
      @fatumaally3266 4 года назад +1

      Lool hujuwi kusoma tulia2 unaandika maneno hayasomeki duh pole 🌚🌚🌚🌚🌚

    • @shabankumalija1929
      @shabankumalija1929 4 года назад

      Wewe ni nuru ya inchi yetu.

  • @linnageorge7795
    @linnageorge7795 4 года назад

    Wakola,waitu,

  • @danielmlengu7456
    @danielmlengu7456 4 года назад

    diwali chenga like hapa

  • @edwinekahatano8472
    @edwinekahatano8472 4 года назад

    Uwii jkt na corona hii