NAOMBA KUJIUNGA NA JKT - JESHI LA KUJENGA TAIFA MHE RAIS, NIPO CHINI YA MIGUU YAKO
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Mhe Rais shikamo, naitwa Elia Batom, napata kipato cha chini sana ila nachangia elfu 10, Mhe Rais ombi langu naomba nijiunge na Jeshi la kujenga Taifa la JKT.
Rais Magufuli amefanya harambee ya kuchangia ujenzi wa shule ya Msingi iliyopo Kijijini Soga ambapo jumla ya TZS Mil.68.5 na mabati 100 yamepatikana, kati ya hizo Rais Magufuli amechangia TZS Mil.5. Ameagiza ujenzi huo ukamilike haraka.
Asante RAISI kwa mchango mkubwa kwa sisi wa nakijiji wa soga
wewe
Ppp
muheshmiwa rais uje na uku kwetu mkoa pwani ya mtwala na sisi tuna changamoto ya shule na zahanati
Yani mpaka rais anawasemea kero zenu nyie mnaoishi hapo hamjui🤣🤣🤣
Hondohondo like
Hivi Hawa viongozi wabunge na madiwani Nani anawachagua? Hawana enough details, wanashindwa kuelezea Matatizo ya wananchi , kwa Nini Hadi Raisi ndio aamue yeye mwenyewe kufuatilia?? Fuck viongozi wote
Tafuta kauli nyingine yakufikisha ujumbe kaulinyingine zita kucost
Hakika wwe n mpango wa Mungu nakupenda sna rais wng JPM.
Viongoz wote wangepita nyayo zako taifa lingekuw mbali xna
😂😂😂😂😂watu wa msoga mnaniloga nini?
Anatetemeka kuongea mbele ya raisi kunaitaji ujasiri
Najovunia kuwa na RAIS MAGUFULI💪
Wananchi wa soga hamjui kujielezea kero zenu? Mmepata bahati ya kusikilizwa mnajiumauma tu.huyo diwani ndio sifuri kabisa hana analojua.hata hajui kero za kata yake🤣🤣 hyo kata pigeni chini huyo diwani anawacheleweshea maendeleo
Diwani ni kilaza mno
Rais wetu ni mubunifu sana hasa kwenye ishu za michango kama hiyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣msoga achen kumroga maguful baba lao
Amazing presidaa from tanzania djpm
Safi sana Anko Magu
Mungu mbariki raisi wetu mungu bariki tanzania
Ameen!
Baba la baba nakukubali sana
Kihere here na kujipendekeza mpaka aibu. Kueleza shida bwana diwani unakwama wapiiiiiiii
Salti ya mkuu wa usalama
Angekuw chama pinzan hoho
Hongera Mh. M/Mungu atakuongoza ktk harakati zako🇹🇿🇦🇷
Very Good jpm
Good mzee
Kampuni ya nini hiyo maana wanamwaga mihela hakika tanzania sio maskini mungu ibariki tanzania na laisi wangu magufuri
si kuongeza uhusiano maana wameona Tanzania kuna fursa za kazi maana ndio inajengeka
Mmh
Bora jamani shida ipungue
Kusikiliza shida za watanzania mpaka ujue ni chama gani ebo kiongozi gani huyo
Hiyo lazima ajulikane kiongozi wa chamaa gani hamchelewi na uongo wenu wapinzani bwana
Nmeipenda hii sana aki hahahahahaa magu hoyeee
Wanajesh michango Yao tu 🤣🤣🤣🤣
Magu Rest in peace
Asante mh .
Hana akili uyo mtu alioomba
Djpm
Jamaa amekaushiwa ombi lake la kujiunga na JKT, huhuhuu
JKT ni taasisi inayojitegemea na inamuongozo wake hivyo raisi hawezi kuingilia utaratibu wao
kuna taratibu zao s mtu n mtu tu ye mwenyewe ni jemadari mkuu
diwali chenga like hapa
Huyo mwenyekiti katisha,anajua kero zote.sio huyo diwani
Safi sana.
Nashukuru mikeroyangu mutendaji wakijianahamisamipaka kwenye uwajawagu kisaetiniuze
Lool hujuwi kusoma tulia2 unaandika maneno hayasomeki duh pole 🌚🌚🌚🌚🌚
Wewe ni nuru ya inchi yetu.
Wakola,waitu,
diwali chenga like hapa
Uwii jkt na corona hii