HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 июн 2015
  • HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013

Комментарии • 209

  • @leonnyntandu7318
    @leonnyntandu7318 3 года назад +78

    Ambao leo tumekutana leo kufuatilia speech za jemedari wetu aliyetumwa na MUNGU kwaajili yetu tuseme Asante Mungu wewe ni mkuu sana Asante kwa zawadi. Amen

  • @zarunaamwanajimba1950
    @zarunaamwanajimba1950 3 года назад +22

    Daaa!! Mzalendo kutoka zamani, mchapakazi haswaa jamaniiii Pumzika Baba tutakukumbuka milele!

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 года назад +34

    Huyu mtu alikuwa halali! Hajui cha usingizi. Acha tu, pumzika baba. Sitakusahau hata kwa sekunde mmoja. Acha tu nimwage machozi yangu.

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir7 3 года назад +22

    Ulianza kitambo kuijomboa Tanzania yetu ya sasa😭😭😭tungekuwa na uwezo tungekubakiza miaka 10000

  • @kamaukamau6233
    @kamaukamau6233 3 года назад +31

    Hon.JPM was a man from the beginning displaying boldness from the start..may his soul RIP

  • @simonmayunga6252
    @simonmayunga6252 3 года назад +23

    This is unanswered cry, magufuli ww ndiyo baba wa taifa wa pili

  • @aizackkajika5086
    @aizackkajika5086 3 года назад +37

    Nani yuko hapa baada ya kamanda kuzikwa chato

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka4607 3 года назад +7

    Pumziko la milele umpe Ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie. Apumzike kwa amani Amina. Nahisi ulijitoa sadaka kubwa hadi ukasahau moyo wako na ukauchosha kweli kweli. Mungu Baba msamehe dhambi zote na umpokee mbinguni.

  • @khamislisso9137
    @khamislisso9137 3 года назад +33

    Magufuri siamin Kama umetuacha Baba 😭😭😭

  • @mlalikwabiswalo7804
    @mlalikwabiswalo7804 3 года назад +24

    Kumbe tangu zamani alikua haandiki speech anatoa kichwani tu ni hatari sana

  • @Ramadhanimsingwa
    @Ramadhanimsingwa 3 года назад +6

    Shujaa Wa Tanzania hotuba zinatufariji Mungu akupe pepo na mapumziko mema tutakukumbuka daima

  • @lucymangwela5275
    @lucymangwela5275 3 года назад +15

    Nilitamani sana uwe Rais miaka 50 lakini haukuwa mpango wa Mungu,umetuacha katika wakati mgumu sana,Taifa lilikuwa bado linakuhitaji Baba,inaniuma sana

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 3 года назад +22

    Tutakumisi sana baba yetu

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 3 года назад +7

    Jamani,Jamani.Mtumbua Majipuuu,........Mungu akupumzishe kwa Amani.

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Год назад +3

    Asante Sana kwa kuweka kumbukumbu sawa kumbe katika utawala Jakaya Kikwete aliweza kujenga mtandao wa Barabara wenye jumla ya KM 11100,bado hujaongerea umeme wa REA chini ya Prof Sospiter Mhongo nk.

  • @agripinaaudax168
    @agripinaaudax168 3 года назад +10

    Dah Mungu anamakusudi yake nimeamini hii Leo vyenye Simuoni tena raisi wetu

  • @allynazareth9684
    @allynazareth9684 3 года назад +5

    Huyu jamaa alikuwa ana conference nzuri sana haijapata kutokea hapa anaongea kama yeye ndo alikuwa rais ila mawaziri wa sasa wakiwa mbele ya rais wanaongea kwa hofu na kujipendekeza ila huyu mwamba alikuwa wa tofauti sana mungu amsamehe makosa yake amlaze pema

  • @yusuphissa9613
    @yusuphissa9613 3 года назад +8

    Ulitakiwa uwe Rais wetu kuanzia 2012

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo 2 месяца назад

    Mungu akulaze mahali pema peponi amefanya kazi kwa haki bila kutaka ambacho sio chake mungu akubariki sanaaaa

  • @vailetikulanga5393
    @vailetikulanga5393 3 года назад +10

    Dah hapa alikua wazir😭😭

  • @imanijohn6069
    @imanijohn6069 3 года назад +9

    Dah, alikuwa anajiamini sana aisee, ameenda kuwa kiongozi wa malaika

  • @Ronald-gh6jl
    @Ronald-gh6jl 3 года назад +4

    Kiongozi supavu,, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi

  • @danielupendo6748
    @danielupendo6748 3 года назад +4

    Baba etu atutakusaau kamwe😭😭😭😭😭kwa upendo wako kwetu,ulitupa upendo wa kweli ,pumzika kipenzi Cha TANZANIA kea amani,amina

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile631 3 года назад +3

    Eeh mungu mpe pumziko la amani mja wako katika ufalme wako milele Amina

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 3 года назад +9

    Rest In peace Rais John Pombe Magufuli, Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏

  • @sospetershijah5619
    @sospetershijah5619 3 года назад +13

    Alikuw mkweli Sana. Rest in peace my president

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 4 года назад +26

    This Man is very humble and hard working....God bless you JPM

    • @godlizenmolla2192
      @godlizenmolla2192 3 года назад +3

      Appreciated, one year ago. 🙏🙏

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Год назад

      According to your statement to say this one was humble, I think the meaning of the word humble has changed, you surprised me by called an assassinator Humber instead of dictator

    • @thegreatsource2953
      @thegreatsource2953 Год назад +1

      @@romanamassawe814 Mapumbu yako wewe😡

  • @mwamengele
    @mwamengele 3 года назад +16

    RIP JPM tutakukumbuka daima

  • @peterludaila8499
    @peterludaila8499 3 года назад +3

    Kumbe alikuwa hivi hivi toka mwanzo mungu mpe pumziko la milele

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 3 года назад +15

    Kikwete ametukanwa Sana kumbe barabara kaanza kujenga yeye

    • @msetikebwasi1469
      @msetikebwasi1469 3 года назад

      Sema alikoswa hela kwa kushindwa kukusanya kodi.

  • @user-xd5pi5vj4s
    @user-xd5pi5vj4s 3 месяца назад +1

    Iv,watu,kama,hawa, tayari watatokea,tena,inch,yetu,ijengwe,upya,kweli, kamanda huyu,badotunamlilia,sana,tena,sana, Mungu,akupuzishe, huko,ulil❤

  • @jameskagulu4228
    @jameskagulu4228 9 месяцев назад +2

    Mzee documentary sana hadi raha kumsikiliza

  • @amigodossantos4129
    @amigodossantos4129 Год назад +3

    Jamani, amesema Watanzania wanapenda kushurukuru watu waliyekufa :)) dahh ni ukweli sasa umeondoka ndiyo wote wanaupenda

  • @herrygaudence904
    @herrygaudence904 3 года назад +5

    Daaaah kweli wanashukuru mtu ukishaenda

  • @sameermilo4907
    @sameermilo4907 3 года назад +5

    Pumzika kwa Amani Kamanda JPM 🇹🇿

  • @ombeninnko9332
    @ombeninnko9332 3 года назад +7

    Alichelewa sana kuwa rais. ..rest in peace

  • @liberatusnsekela3997
    @liberatusnsekela3997 2 года назад +2

    Hongera sana mtumishi was Mungu.

  • @elkpddos1781
    @elkpddos1781 4 года назад +6

    Proud of him,that is my presedent magufuli no doubt he is the man salute you my lovely presedent

  • @gooddeeds162
    @gooddeeds162 5 лет назад +7

    Honest and straightforward man since day one , 🙌 Mr President.
    ProudlyTanzanian

  • @bonneanneebizimana2788
    @bonneanneebizimana2788 10 месяцев назад +1

    Hatutakupata tena mungu akulaze mahari pema peponi

  • @jumamazengo9604
    @jumamazengo9604 2 года назад +2

    Hon. Joseph P. Magufuli a later president of Republic Tanzania your image will exist anymore in our country. R.I.P Dad.

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 3 месяца назад +1

    Alikuwa ana upako wa kisiasa..tena akijua anaelekea urais 2015

  • @jacksonhonorat3078
    @jacksonhonorat3078 3 года назад +5

    RIP mzee wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @kudraahmad5670
    @kudraahmad5670 3 года назад +5

    Shujaaa muongoza njia

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 3 года назад +4

    Daah,,,Hapa kazi tuu kweli" 2013 iyo Ila hotuba ya Mwamba kama ya jana vle,,,aliziishi kauli zake, iyo kichwa kumbukizi kama kompyuta vle,,mmoja wa Raisi aliyefanikiwa kunishawishi kupiga kura yapata miaka 25 tangu nitimize umri wa kupiga kura sikuwahi kupata wa kunishawishi kumpa kura ila Mwamba alifanikiwa kunishawishi...Rest in Power JPM

  • @Julius_Lugwisher
    @Julius_Lugwisher 2 года назад +1

    Dah😭😭 our magufuli, anaongea kwa hisia kweli lkn Mungu ampumzishe kwa amani dah,

  • @mduduonline8116
    @mduduonline8116 3 года назад +7

    RIP BABA MAGUFULI

  • @ambertektv8568
    @ambertektv8568 3 года назад +7

    Daaahh mheshimiwa Rais mama SAMIA TUNAKUOMBA FATA NYAO ZA MAGUFULI KUTUONGOZA

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 3 месяца назад +1

    Maono alikuwa nayo kitambo.....ana beji ya africa

  • @miketimejah4280
    @miketimejah4280 2 года назад +4

    2022.. we still remember you Baba...

  • @maribaisack8389
    @maribaisack8389 3 года назад +4

    Pumzika kwa Amani mzee

  • @YosiaYohana
    @YosiaYohana Месяц назад +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭acheni kunikumbusha majonzi cjui yataisha lin mpak ntakapo kufa

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 2 года назад +1

    Mungu akulaze mahala pema peponi

  • @Renardnho-gd8ib
    @Renardnho-gd8ib 9 месяцев назад +1

    Aaaaaa😢 mwamba tutakukumbuka sana😢😢😢😢😮

  • @evansmunga6662
    @evansmunga6662 2 года назад +5

    A great man he was. I Miss him

  • @johngachugu305
    @johngachugu305 Год назад

    Na imekuja mpaka hapa Uyovu, Uyovu, Uyovu kutoka Dar-es-Salaam, urekosha sana hadi nimecheka kweli WaTanzania mulijaliwa na kiongozi kama Magufuli

  • @emmanuelgwaay4773
    @emmanuelgwaay4773 4 года назад +9

    Hajawahi kupindisha ukweli tokea day one

  • @AbdulrahmanMurshid
    @AbdulrahmanMurshid Год назад +1

    Apumzike kwa aman jemedal wetu na watu wahivi niwachache dunian wenye mapenz kwa wananchi wanyonge ambao wakotayal kujitoa kwa nia ya dhat kutka moyon ili kuwatetea

  • @psitanzania9146
    @psitanzania9146 3 года назад +4

    R.I.P kamanda

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 3 года назад +6

    Hapa alikua waziri wa ujenzi

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v 2 месяца назад

    Marais wetu hakika wanaishi kishkaji nakuvumiliana sana

  • @athumansuphian5891
    @athumansuphian5891 Год назад +1

    Huyu jamaa alikua jiniasi kwakweli haandiki hutuba anatoa kwenye computer kichwani R.I.P MAGUFULI

  • @Epicmark_Group
    @Epicmark_Group 4 года назад +7

    MY PRESIDENT

  • @sniper93999
    @sniper93999 2 года назад +5

    DAIMA utakubukwa milele JPM ww kwel ni shujaaa ulianza kupigania maendeleo zamani sana 😭😭we still tunakukumbuka hata na kizazi kijacho
    REST IN PEACE JPM

  • @emmanuelbenson6330
    @emmanuelbenson6330 3 года назад +10

    Nashangaa kuona dislike hapa, kweli haters hawakosi

    • @RD-ml7pi
      @RD-ml7pi 3 года назад

      Wengine awaelewag maana yake

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 года назад

      Emmanuel; hao sio HATERS hao ni WENDAWAZIMU

  • @AliHussein-lk2gw
    @AliHussein-lk2gw 3 года назад +3

    Daa inauma kweli

  • @lichilasalumu7983
    @lichilasalumu7983 3 года назад +3

    Nimemuona majaliwa Apo.

  • @bahatimirambo6358
    @bahatimirambo6358 2 года назад +1

    Pumzika kwa amani baba uliyoyatenda Tanzania ni makubwa Sana

  • @mwaitwalilechannel2024
    @mwaitwalilechannel2024 3 года назад +3

    RIP my president

  • @eenpaard3915
    @eenpaard3915 3 года назад +6

    Chuma chetu

  • @user-ji6fu9lo2g
    @user-ji6fu9lo2g 3 месяца назад

    Nimekumbushia 2024

  • @kenslogistics4377
    @kenslogistics4377 3 года назад +2

    Mheshimiwa raisi........x 1000000000

  • @stephanojmafumbira5369
    @stephanojmafumbira5369 3 года назад +7

    Kama upo duniani vile

  • @paulsingano674
    @paulsingano674 4 года назад +6

    Mchapa kazi toka zamani

  • @ibrahimjobu9141
    @ibrahimjobu9141 4 года назад +5

    Ahahahahahahahahahahahah saizi Baba ndio umeshika rungu sio kwa kutunyoosha huko na uzidi kutunyoosha mbaka tukubali wenyewe

  • @YosiaYohana
    @YosiaYohana Месяц назад

    I miss you dady

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 3 года назад +2

    Hii ndio ilikua safari ya kwenda Ikulu

  • @mrinjamwanga1423
    @mrinjamwanga1423 3 года назад +5

    Kwli baba sio wote watakushukur ,,hata wewe hawajakushukuru ,nashangaa kuona mataifa mengine yakikulilia na kutamani ungekua wakwao,hapo ndo utagundua kibaya ni saile unacho

  • @yusuphissa9613
    @yusuphissa9613 3 года назад +6

    Nashindwa hata niseme nini

  • @mosenetor7882
    @mosenetor7882 Год назад +1

    Nakukumbuka BABA Yale uliyokuwa unayatetea hayapo tena

  • @iddymalole3922
    @iddymalole3922 3 месяца назад

    Kitunda on làini tv

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 3 года назад +5

    Pumzika kwa Aman Shujaa wetu wa Africa 😭😭😭🙏

  • @erneuslugusi1785
    @erneuslugusi1785 3 года назад +3

    Jembeeee hiloo

  • @saimonpeter3788
    @saimonpeter3788 3 года назад +4

    😭😭😭😭 tutakukumbuk Bab

  • @tugesyegemwakatumbula9857
    @tugesyegemwakatumbula9857 3 года назад +7

    Mzee wa kutunza kumbukumbu

  • @stephanomsuya9414
    @stephanomsuya9414 Год назад

    Super JPM, pumzika mzee wetu

  • @yasinnyembo8249
    @yasinnyembo8249 3 года назад +3

    R.i.p chuma

  • @ivankivinge2987
    @ivankivinge2987 3 года назад +9

    Rest in peace baba 🙏🙏🙏

  • @mcutanorsonvanwillson2991
    @mcutanorsonvanwillson2991 3 года назад +3

    Rest in peace magu

  • @stn4873
    @stn4873 3 года назад +5

    Huyu mzee angekua na nguvu kama hivi hadi leo kungechimbika😂😂😂😂😂

  • @robertonesmo8892
    @robertonesmo8892 3 года назад +2

    R.l.P

  • @mwakasegeshukuru3720
    @mwakasegeshukuru3720 3 года назад +3

    Upo vzr magu

  • @frapescience9709
    @frapescience9709 3 месяца назад

    Huyu alikuwa kiongozi mkeli sana.

  • @joharibatenga9686
    @joharibatenga9686 8 месяцев назад

    R.I.P our lovely presidaa

  • @godfreypaulo8355
    @godfreypaulo8355 3 года назад +4

    Nimemuona majaliwa hapo alikuwaga nani?

  • @bennie7239
    @bennie7239 2 года назад +1

    Mnaofake uongozi hili jiwe ni FUNZO kwenu huyu mwamba alizaliwa alivokuwa; msijifanye mnatembelea Magufulification ambayo kiuhalisia HAMNA. RIP Mr. President..

  • @eliayeremialeli1806
    @eliayeremialeli1806 Год назад

    Asante umetufungua macho

  • @hidnakirungi6546
    @hidnakirungi6546 3 месяца назад

    Nkweli kabsa wako watu hawajui kushukulu!!

  • @ezekielkazingo6055
    @ezekielkazingo6055 3 года назад +3

    Waziri adi rais wapekee

  • @alfredyfredrick8955
    @alfredyfredrick8955 3 года назад +2

    Daaah Chuma R.I.P