Ambao leo tumekutana leo kufuatilia speech za jemedari wetu aliyetumwa na MUNGU kwaajili yetu tuseme Asante Mungu wewe ni mkuu sana Asante kwa zawadi. Amen
Pumziko la milele umpe Ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie. Apumzike kwa amani Amina. Nahisi ulijitoa sadaka kubwa hadi ukasahau moyo wako na ukauchosha kweli kweli. Mungu Baba msamehe dhambi zote na umpokee mbinguni.
Nilitamani sana uwe Rais miaka 50 lakini haukuwa mpango wa Mungu,umetuacha katika wakati mgumu sana,Taifa lilikuwa bado linakuhitaji Baba,inaniuma sana
Asante Sana kwa kuweka kumbukumbu sawa kumbe katika utawala Jakaya Kikwete aliweza kujenga mtandao wa Barabara wenye jumla ya KM 11100,bado hujaongerea umeme wa REA chini ya Prof Sospiter Mhongo nk.
Huyu jamaa alikuwa ana conference nzuri sana haijapata kutokea hapa anaongea kama yeye ndo alikuwa rais ila mawaziri wa sasa wakiwa mbele ya rais wanaongea kwa hofu na kujipendekeza ila huyu mwamba alikuwa wa tofauti sana mungu amsamehe makosa yake amlaze pema
According to your statement to say this one was humble, I think the meaning of the word humble has changed, you surprised me by called an assassinator Humber instead of dictator
Daah,,,Hapa kazi tuu kweli" 2013 iyo Ila hotuba ya Mwamba kama ya jana vle,,,aliziishi kauli zake, iyo kichwa kumbukizi kama kompyuta vle,,mmoja wa Raisi aliyefanikiwa kunishawishi kupiga kura yapata miaka 25 tangu nitimize umri wa kupiga kura sikuwahi kupata wa kunishawishi kumpa kura ila Mwamba alifanikiwa kunishawishi...Rest in Power JPM
Apumzike kwa aman jemedal wetu na watu wahivi niwachache dunian wenye mapenz kwa wananchi wanyonge ambao wakotayal kujitoa kwa nia ya dhat kutka moyon ili kuwatetea
DAIMA utakubukwa milele JPM ww kwel ni shujaaa ulianza kupigania maendeleo zamani sana 😭😭we still tunakukumbuka hata na kizazi kijacho REST IN PEACE JPM
Kwli baba sio wote watakushukur ,,hata wewe hawajakushukuru ,nashangaa kuona mataifa mengine yakikulilia na kutamani ungekua wakwao,hapo ndo utagundua kibaya ni saile unacho
Mnaofake uongozi hili jiwe ni FUNZO kwenu huyu mwamba alizaliwa alivokuwa; msijifanye mnatembelea Magufulification ambayo kiuhalisia HAMNA. RIP Mr. President..
Ambao leo tumekutana leo kufuatilia speech za jemedari wetu aliyetumwa na MUNGU kwaajili yetu tuseme Asante Mungu wewe ni mkuu sana Asante kwa zawadi. Amen
tupo kamanda
Lala salama shujaa wetu
Asante mwenyezi mungu
Mungu alimtuma.... na amemwondoa ! Mungu anatupenda.
Dah
Daaa!! Mzalendo kutoka zamani, mchapakazi haswaa jamaniiii Pumzika Baba tutakukumbuka milele!
Huyu mtu alikuwa halali! Hajui cha usingizi. Acha tu, pumzika baba. Sitakusahau hata kwa sekunde mmoja. Acha tu nimwage machozi yangu.
Ulianza kitambo kuijomboa Tanzania yetu ya sasa😭😭😭tungekuwa na uwezo tungekubakiza miaka 10000
Hon.JPM was a man from the beginning displaying boldness from the start..may his soul RIP
This is unanswered cry, magufuli ww ndiyo baba wa taifa wa pili
Nani yuko hapa baada ya kamanda kuzikwa chato
Pumziko la milele umpe Ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie. Apumzike kwa amani Amina. Nahisi ulijitoa sadaka kubwa hadi ukasahau moyo wako na ukauchosha kweli kweli. Mungu Baba msamehe dhambi zote na umpokee mbinguni.
🙏
Hii imenigusa sana!😭😭😭
Magufuri siamin Kama umetuacha Baba 😭😭😭
Kumbe tangu zamani alikua haandiki speech anatoa kichwani tu ni hatari sana
Jembeeeeeeeeee likikuwa
Kbs
Shujaa Wa Tanzania hotuba zinatufariji Mungu akupe pepo na mapumziko mema tutakukumbuka daima
Nilitamani sana uwe Rais miaka 50 lakini haukuwa mpango wa Mungu,umetuacha katika wakati mgumu sana,Taifa lilikuwa bado linakuhitaji Baba,inaniuma sana
Bc alikuwe awe mfalme
Tutakumisi sana baba yetu
Jamani,Jamani.Mtumbua Majipuuu,........Mungu akupumzishe kwa Amani.
Asante Sana kwa kuweka kumbukumbu sawa kumbe katika utawala Jakaya Kikwete aliweza kujenga mtandao wa Barabara wenye jumla ya KM 11100,bado hujaongerea umeme wa REA chini ya Prof Sospiter Mhongo nk.
Dah Mungu anamakusudi yake nimeamini hii Leo vyenye Simuoni tena raisi wetu
Huyu jamaa alikuwa ana conference nzuri sana haijapata kutokea hapa anaongea kama yeye ndo alikuwa rais ila mawaziri wa sasa wakiwa mbele ya rais wanaongea kwa hofu na kujipendekeza ila huyu mwamba alikuwa wa tofauti sana mungu amsamehe makosa yake amlaze pema
Ulitakiwa uwe Rais wetu kuanzia 2012
Mungu akulaze mahali pema peponi amefanya kazi kwa haki bila kutaka ambacho sio chake mungu akubariki sanaaaa
Dah hapa alikua wazir😭😭
Dah, alikuwa anajiamini sana aisee, ameenda kuwa kiongozi wa malaika
Kiongozi supavu,, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
Baba etu atutakusaau kamwe😭😭😭😭😭kwa upendo wako kwetu,ulitupa upendo wa kweli ,pumzika kipenzi Cha TANZANIA kea amani,amina
Eeh mungu mpe pumziko la amani mja wako katika ufalme wako milele Amina
Rest In peace Rais John Pombe Magufuli, Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏
Alikuw mkweli Sana. Rest in peace my president
This Man is very humble and hard working....God bless you JPM
Appreciated, one year ago. 🙏🙏
According to your statement to say this one was humble, I think the meaning of the word humble has changed, you surprised me by called an assassinator Humber instead of dictator
@@romanamassawe814 Mapumbu yako wewe😡
RIP JPM tutakukumbuka daima
Kumbe alikuwa hivi hivi toka mwanzo mungu mpe pumziko la milele
Kikwete ametukanwa Sana kumbe barabara kaanza kujenga yeye
Sema alikoswa hela kwa kushindwa kukusanya kodi.
Iv,watu,kama,hawa, tayari watatokea,tena,inch,yetu,ijengwe,upya,kweli, kamanda huyu,badotunamlilia,sana,tena,sana, Mungu,akupuzishe, huko,ulil❤
Mzee documentary sana hadi raha kumsikiliza
Jamani, amesema Watanzania wanapenda kushurukuru watu waliyekufa :)) dahh ni ukweli sasa umeondoka ndiyo wote wanaupenda
Daaaah kweli wanashukuru mtu ukishaenda
Pumzika kwa Amani Kamanda JPM 🇹🇿
Alichelewa sana kuwa rais. ..rest in peace
Hongera sana mtumishi was Mungu.
Proud of him,that is my presedent magufuli no doubt he is the man salute you my lovely presedent
Honest and straightforward man since day one , 🙌 Mr President.
ProudlyTanzanian
Hatutakupata tena mungu akulaze mahari pema peponi
Hon. Joseph P. Magufuli a later president of Republic Tanzania your image will exist anymore in our country. R.I.P Dad.
Alikuwa ana upako wa kisiasa..tena akijua anaelekea urais 2015
RIP mzee wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Shujaaa muongoza njia
Daah,,,Hapa kazi tuu kweli" 2013 iyo Ila hotuba ya Mwamba kama ya jana vle,,,aliziishi kauli zake, iyo kichwa kumbukizi kama kompyuta vle,,mmoja wa Raisi aliyefanikiwa kunishawishi kupiga kura yapata miaka 25 tangu nitimize umri wa kupiga kura sikuwahi kupata wa kunishawishi kumpa kura ila Mwamba alifanikiwa kunishawishi...Rest in Power JPM
Dah😭😭 our magufuli, anaongea kwa hisia kweli lkn Mungu ampumzishe kwa amani dah,
RIP BABA MAGUFULI
Daaahh mheshimiwa Rais mama SAMIA TUNAKUOMBA FATA NYAO ZA MAGUFULI KUTUONGOZA
Mh
Maono alikuwa nayo kitambo.....ana beji ya africa
2022.. we still remember you Baba...
Pumzika kwa Amani mzee
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭acheni kunikumbusha majonzi cjui yataisha lin mpak ntakapo kufa
Mungu akulaze mahala pema peponi
Aaaaaa😢 mwamba tutakukumbuka sana😢😢😢😢😮
A great man he was. I Miss him
Na imekuja mpaka hapa Uyovu, Uyovu, Uyovu kutoka Dar-es-Salaam, urekosha sana hadi nimecheka kweli WaTanzania mulijaliwa na kiongozi kama Magufuli
Hajawahi kupindisha ukweli tokea day one
Apumzike kwa aman jemedal wetu na watu wahivi niwachache dunian wenye mapenz kwa wananchi wanyonge ambao wakotayal kujitoa kwa nia ya dhat kutka moyon ili kuwatetea
R.I.P kamanda
Hapa alikua waziri wa ujenzi
Marais wetu hakika wanaishi kishkaji nakuvumiliana sana
Huyu jamaa alikua jiniasi kwakweli haandiki hutuba anatoa kwenye computer kichwani R.I.P MAGUFULI
MY PRESIDENT
DAIMA utakubukwa milele JPM ww kwel ni shujaaa ulianza kupigania maendeleo zamani sana 😭😭we still tunakukumbuka hata na kizazi kijacho
REST IN PEACE JPM
Nashangaa kuona dislike hapa, kweli haters hawakosi
Wengine awaelewag maana yake
Emmanuel; hao sio HATERS hao ni WENDAWAZIMU
Daa inauma kweli
Nimemuona majaliwa Apo.
Pumzika kwa amani baba uliyoyatenda Tanzania ni makubwa Sana
RIP my president
Chuma chetu
Nimekumbushia 2024
Mheshimiwa raisi........x 1000000000
Kama upo duniani vile
Mchapa kazi toka zamani
Ahahahahahahahahahahahah saizi Baba ndio umeshika rungu sio kwa kutunyoosha huko na uzidi kutunyoosha mbaka tukubali wenyewe
I miss you dady
Hii ndio ilikua safari ya kwenda Ikulu
Kwli baba sio wote watakushukur ,,hata wewe hawajakushukuru ,nashangaa kuona mataifa mengine yakikulilia na kutamani ungekua wakwao,hapo ndo utagundua kibaya ni saile unacho
Nashindwa hata niseme nini
Nakukumbuka BABA Yale uliyokuwa unayatetea hayapo tena
Kitunda on làini tv
Pumzika kwa Aman Shujaa wetu wa Africa 😭😭😭🙏
Jembeeee hiloo
😭😭😭😭 tutakukumbuk Bab
Mzee wa kutunza kumbukumbu
😆😆😆😆😅
kwa kumbukumbu tu duh
Kazi ya samaki hiyo
Super JPM, pumzika mzee wetu
R.i.p chuma
Rest in peace baba 🙏🙏🙏
Rest in peace magu
Huyu mzee angekua na nguvu kama hivi hadi leo kungechimbika😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
R.l.P
Upo vzr magu
Huyu alikuwa kiongozi mkeli sana.
R.I.P our lovely presidaa
Nimemuona majaliwa hapo alikuwaga nani?
Alikua Naibu waziri tamisemi
Mnaofake uongozi hili jiwe ni FUNZO kwenu huyu mwamba alizaliwa alivokuwa; msijifanye mnatembelea Magufulification ambayo kiuhalisia HAMNA. RIP Mr. President..
Asante umetufungua macho
Nkweli kabsa wako watu hawajui kushukulu!!
Waziri adi rais wapekee
Daaah Chuma R.I.P