MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
HTML-код
- Опубликовано: 25 мар 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Mh Jakaya Mrisho kikwete Asante kwa hutuba yko nzuri zidumu fikra za Magufuli ,tusicheze na ngoma za maaduwi ,Watanzania tushikamane ,tumuunge mkono mh Samia Suluhu mwisho namuomba mh Samia asichoke kusimama barabarani nakusikiliza kero za wananchi pls masuala ya lockdown mwiko TUDUMISHE FIKRA ZA MH JOHN POMBE MAGUFULI
Mungu tu ndiye aliyebaki kutunusuru!
Umeongea vizuri sana Mzee Jakaya Kikwete tuendelee kushikamana ndugu zangu Watanzania
Oh good be with us
Allah azidi kukupa umri mrefu wenye manufaa Mh. RAIS WETU MSTAAFU, JAKAYA KIKWETE, AAMIIN.
Amiina
Rais Kikwete is very articulate 👌 RIP Rais magafuli ✝️🕊️🕊️🕊️till we meet again God willing
Mbonaweweunatosha namamayetu Samia tunawaombea muishi miaka mingi
Mungu ibariki Africa mungu ibariki tanzania mungu wabariki watanzania wote mungu ibariki familia ya mzee kikwete'
Mungu ndio anajua
Kikwete i love you sooo much my dear father my x president.. busara zako nazipenda sanah
Mwenyezi mungu akupe umri mrefy wenye afya njema
Amin
Kila siku maneno ya shetani Nitamu Sana kuliko ya mungu kifo cha Rais wetu Tunakuchuku Sana lakin mungu ndiyo ujibu yote hakuna Atakae ichi milele duniani
Nm
Kabisa hujakosea
MH. JAKAYA MWENYEZI MUNGU Aendelee kukupa maisha marefu
Congratulations my former President Hon.Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.💟💟💟👍👍👍
Mungu anakuona ila hiyo safari ujue yakila mmoja sasa tunamwachia mungu atatenda kwawakati wake namajira yake Sisi Kama watanzania tumemkabidhi Mungu Kama kweli we...... Mungu akubariki Sana
Acha ujinga usiongelee vitu bila data
Pole Sana mstaafu, Mungu akupe siha njema na umri mrefu.Napenda Sana hikma zako.
John Pombe, is a an outstanding leader that shall be remembered in East, central and southern Africa for being a worker for the nation of Tanzania.
z
L
Poleni watanzania kwa msiba wenu ila Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
Poleni ndugu zetu watanzania. Tumepoteza kiongozi asiye was kawaida. Tulimupenda JPM ijapo sisi so watanzania. Nafurahia sana Tanzania kuwa na viongozi wenye nia nzuri.
Mzoefu kweli ulichokifanya tunakiona nchi nzm na dunia yoote asante kikwete Mungu anakuina
Kwa kweli Mimi ni murwanda lkini
Nilipenda sana raisi magufuri
Yn inaniuma cn Kipind cha lais wet makufuli wat walikuwa wanaaman sana biashala kokote unafanya lakin sasaiv wat wanafukuzwa ovyoo amani akuna km kweli mlikuwa pamoja na lais wet makufuli faten alokuwa anafanya yy mbona kufa kwake km nifulah kwa watu kaliakooo wat wanafukuzwa Biashala azifanyik km kweli mnauchungu bc wachen watu wawe hulu katika mambo alotaka lais wet makufuli mungu amlaze mahali pema lais wet makufuli uko alip inaniuma cn asante laisi wetu
Mstaafu jakaya km kweli mungu anakuon asant
This speech is lit 🔥 this Swahili is great
Mh. Rais mstaafu Jakaya Kikwete ubarikiwe kwa busara na hekima zako 🙏🏼🙏🏼😥
mzee kwa speech ,huwa nakaa kwa kusikiliza sana busara zako since ukiwa Rais.
Ila mzee wetu rais wetu mstaaf JK pls tunaombatu utaratibu aloweka huyu mdogo wako alotangulia mbele ya haki ungeni mkono utimizwe sio kafa na alivyotengeneza vife naomba zingatieni hilo napia muogopeni mungu wetu. Mungu mpumzishe pema aamen 😭😭😭😭
Wameshabadilika ndugu
Unaongea najizi hilo
Nahasira sqna
JK Mwenyezi MUNGU Akubarik sana ni watu wajinga wakiwango Cha juu Ambao hawakuelewi ,Mwamba sana JK
Wisdom man I currently understand
Huyu mzee safi sana
Am in Kenya Nyandarua county I love Kikwete
Hapa hukumumunya maneno mstaaf kikwete hengera Sana kwa hutuba nzur
Da inauzunisha kwa kweli mungu akuzidishie umri mrefu raisi wetu mstaafu mh kikwete il uendelee kuungana na rais wetu mh Samia tukiwa na watanzania tusiyumbe tusiiyumbishe Tanzania yetu Mana nyinyi ndio tegemezi letu na mungu yu pamoja nasi na mungu ilaze roho ya mpendwa wetu ,jembe letu ,mkombozi wetu J.P.Magufuli mahali pema pepon amii ama kweli ili pigo kwa watanzania
Haya sasa ndo washaungana na samia kinaendelea nn
Allah saidia Tanzania yetu
Mungu ashambulie wote wasemao uongo.
Hasa
Nakumbuka ulimpenda Sana membe awe raisi nasiyo JPM mungu akasema huwasipangiwi Mambo nataka JPM awe raisi chini kwachini mtaftano ukaaza nidhambi Sana lakini tunahasira mioyoni mwetu
Can u imagine hii nchi bwana tuna jificha uso ila moyo ni siri
.....mm na magufuli wangu tuuu...pumzika magu wetu....
Ushammaliza Sasa roho yako imetulia, nakama kweli we utatapa Sana, namwisho utakuja kuongea ukweli, mwanaume mmbaya we, halafu hata chembe ya aibu huna, tulia Sasa utachokitaka utakipata, nakama wekweli vile vile machozi wa baadhi ya watanzania hayatakuacha salama
Dua la kuku lisilompata mwewe
@@andersonmwenda6390 atakufa tu mbona kwani kuna atakaye dumu ety 🖕
Ogopa sn na nidhambi kubwa SN kumnenea mtu kitu sicho MUNGU YUPO YEYE NDO ANAJUA NANI
@@hadijamagufuli2661 wewe ndio hutokufa?
Mungu akulinde atuzidishie amani tanzania
Badosana
Yaani. Nakuprndaga sana msaafu wetu
Yani kuongea kwako msitaafu huwa sichoki kukusilia umejariwa sana hekima na busara mungu akuweke na pole sana na kuumia
Mungu ibariki Afrika Mungu ibariki Tanzania Mungu baridi familia ya magufuri
Allah ampumzishe aliyekuwa Rais wetu Magufuli Mahali Pema Peponi, Aamiin.
Kumbe mzee wetu ndio ulimpendekeza Raisi wetu Jembe safi sana....na ajakuangusha pia pole sana kwa msiba
Big up! Ww ni raisi, hotuba zako kwa kweli huchoki kuzisikiliza.
Kikwete is still a best president in providing speechs in this country
Kikwete mda wote wakulaumiwa, mbona na yeye hammlaumu? Kikwete ni mtu mtulivu sana.
Nilichojivunza kutoka kwa Rais kikwete tangu 2013 alisemwa kutoka kila kona ya Tanzania ila aliwajibu kwa kutabasamu tu.
Kikwete still handsome 🤩🙌🏽
Yaa Sana handsome
Unaongea nn keba
Kenge mkubwa
From From 🇧🇮 Saudia sote njo jia bab yet
Rest in internal peace magufuli
phenomenal speech!
Namkubali sana Kikwete.
Pole sana Raisi mstaafu Kikwete..na asante kwa kumpigania mzee wetu Raisi wetu Magufuli na katuongoza mpk katuacha Salama
Dah!! Nashindwa kuyazuia machozi yangu 😭😭😭😭😭😭
unachoongea na kilichokuwa kinaendelea havina ushirikiano nadhan umeshindwa mamna nzuri ya kupangilia nn cha kusema Mungu n mwema kakunyima maneno ya kuongea.. so everything was being put clear kwa hiyo siku... RIP JPM tutaonana baadae......
Unajikosha kwenye hiyo public...unajiuma umaa tu but damu hiyo ipo juu yenu..gonna payed but GOD
When it comes to a speech, EAC bows to JK
Makerere University Product🇺🇬
Ila huyu baba nampenda sana mzee wa hekima na tabasam tu
HATA MM NAMPENDA SANAA
Daaaa! Mzee wetu umetoa maneno yenye busara mungu akuongezee miaka mingi
Huyu jamaa kwenye hotuba amebarikiwa! Na anaonekana ni mtu mnyenyekevu.
Outstanding speech ! 🙌
Mh kumbe mmependa kufa magufuli mungu atawaona
Nimeipenda hii xhukran mh rais mstaafu kwa ekma zako
Kikwete vumilia maneno ya wachache ambayo wanakuzushia bila wewe kuwajibu.. na Mkapa nani kamuua?
Nyerere nani kamuua?
Imani imekwisha na watu wamebakia na dhana tu
Yeye turn.
R I P JPM, mungu ibariki Tanzania hongera J m k kwa hotuba nzuri usia wangu Kwa wenye maneno yasio na ushahidi tumuogopeni mungu,
Uyu mzee huwa akurupuki kijibu.
Huyu ndo kikwete bhana 🔥
Touched speech
Mama janet kama hakuskilizi hivi anakuona kabisa sio mtu mwema kwake
Sikulia kwa sauti ila nilijikuta machozi yananitoka, Asante mzee wangu
Hayo maneno yanatoka moyoni haya bwana mungu anajua Kila kitu
Wakati mwingine hata shetani hugeuka kua malaika😷
Very nice speech kutoka kwa Dr. Kikwete
Pole Sanaa JK
Nimejisahau muda wote najua namsikiliza Mr president JK daah huyu ana busara maneno yake huchoki kumsikiliza
Nilikupenda,nitakupenda daima kwa hekima na busara zako doctor JK
Huko vizuri mh jk
Napenda hotuba zako bure
Wape pole wafiwa tu, mengine siyo sehemu na wakati wake
Kweli
Great speech ....
Fucken SPEECH
Poleni sana kwa msiba huo,mwenyezi Mungu awapeni farija.
Waliopita walipita ktk kuongoza nchi hii ni safi sasa kama wataruhusiwa hawa watu tutarudi shidani hatupendi kurudi nyuma mambo mengi yalizorota yamewekwa sawa,sitegemei myachafue.
Wananyemelea
Kukaa na rafiki asiye na faida
Ni sawa na kukaa na adui asiye kudhuru
Aliyatimiza aliyoyakusudia. Sasa alifariki tarehe 15/03 au alifariki tarehe 17/03. Ulijua nini kilichokuwa kinaendelea
Tutakukumbuka dady jpm!!!!!!
Jk wa pili mkwere wa chalinze msoga mlima mananas mtan wangu umeronga byeeeee kweli wew ni mzee wa hekima
Mungu ndiye anayejuwa kilichomkuta.
Pole Muheshimiwa Kikwete kwa kuondokewa na Hayati Magufuli apumzike kwa amani.
Mzee wa tabasam nakupenda sana raisi wetu
Manenoyakoyananitia moyo
Hotuba faridi, pevu na yenye uchanganuzi mwafaka.
Kongole Rais Mstaafu JK.
Buriani Rais JPM...lala salama Jembe
Watanzania wanaumia sana kila cku bila kupumua😭😭😭😭
This speech❤️
Kweli baba we we ni mzalendo wa kweli
Duh! Usilolijua ni usiku wa giza.... Nimekuelewa JK nimechagua kuyaamini maneno ya kinywa chako kuliko kuyaamini maneno yasiyo yako....REST IN PEACE JPM
JK haya bhana !!! Tanzania tuimbe tumwimbie mungu
Kama angekuwa hamtaki asingeweza kukaa uwaziri muda wa miaka kumi... wadangaji njaa wengi sana duniani Kweli mzee wangu JK
Kweli kaka
Mungu amlaze maaalapema popon amen
Kauli hiyo ya Kikwete kuwa hakujua Hadi akaona kwenye TV Ni uongo!
Mtu mkubwa kama wew huwez kutuambia hukuwa na habari juu ya kifo cha mdogo wako...mim nnachojua akiondoka duniani taarifa zinapelekwa kwanza kwa watu wakubwa then ndo zinasambazwa kwa ndugu na majiran
Daha kwa kweli imeniuma sana
Very interesting protocol.Retired president pia hakupewa tanzia rasmi
.mmmhhhhh Mungu kweli ulituficha sana kuona ya moyoni ya mtuuu
Huyo magufuli atakumbukwa daima pamoja mlikuwa mnampiga vita maneno yote aliyokuwa amesema mama samia kwenye grip zake wala hatukutegemea mungu amlaze mahali pema peponi hayati magufuli
me nakuchukia sana kikwete nakuchukia sana,haiwezekani baada ya kifo cha mpendwa wetu jpm maneno yanazagaa mitandaoni kwamba ww ndo unahusika asilimia 100,lisemwalo lipo kwa nini asisemwe mwinyi,ujue kama unahusika basi umetengeneza vita na MUNGU machozi y watanzania masikini yatakulilia daima.
Namie nasema kama kweli, kwakweli amelia watu nawengine kupoteza ndugu zao wakati wakiaga mwili wa magu, kwahyo kama kweli ameuwa mpaka was na hatua huyu baba da acha 😭😭
Tutamkumbuka alisema namkumbuka na Nina muombea am week pena pepon mungu wewe ndiio kimbilio
Tatizo ukweli ulitakiwa kuhusema wakati akiwa Hai.kinacho tupa mashaka,JPM aliongea hivi,wewe lazima umpinge.mpaka JPM aliwambia wazee wastaafu,kaeni kimya.wakati mnatawala hakuna aliye waingilia.mikataba iliyo sainiwa kwenye ndege,......TUTAMKUMBUKA JPM DAIMA.
Kama kweli umemua makufuli kwa ajiri ya kusaini mikataba yako kihuni mungu atajibu
Msoga Kama msoga ,🤔🤔🤔😩😩😩
Hv mpaka makamo warais anatangaza msiba wamagu ww hunahabari jamani
Choir. if I can be used for the delay in getting back
Good example he has left for all leaders, to die with upright principle, avoid selfishness.
You know nothing shutup
Mungu.amlaze.mahalapema.amina
Baaada ya kifo cha jpm na mienendo ya maneno yalivyo endelea inanipa mashaka saana uhai huuu tunaootumia ni wa mungu namachozi ya watanzania wengi mungu anayaona sizani Kama wanashiba yuda daada ya kumsaliti yesu kwa pesa aliona amefaulu kilichomfanya akajinyonga nn tena no comment
kuna nyimbo naitafuta naoma anaye ufahamu aniaandikie jina lake hapa ni bolingo ya hapahapa bongo kuna sehemu wanaimba "yuda alimuuza bwana yesu...kuna maneno yanendelea mbele ila siyakumbuki.
Inamalizikia akafia msalabani na kufufuka siku ya tatu
@@amrikibazo9429 izo sasa fujo mi niko serious labda sikutakiwa kuuliza umu,nimejaribu ulizia wanaonizunguka pia hawajua.ni bolingo sio ya dini
Akudo impact
Kaini alimuua Abel....FM academia..wimbo unaitwa ACHA TAMAA
nadhani ni ile Yesu alivyomjibu Yuda "wamsaliti mwana wa Adam kwa kumbusu"
Appreciate