HADUBINI: VUTA NI KUVUTE ZA KUMPATA MGOMBEA CCM 1995. SIKILIZA MANENO YA KIKWETE BAADA YA KUSHINDWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
    Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
    App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
    Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
    Twitter: / tbconlinetz
    Instagram: / tbc_online
    Facebook: / tbconetanzania

Комментарии • 364

  • @mckamongo5354
    @mckamongo5354 4 года назад +34

    Hongela sana TBC hiki ndicho nilitamani kukiona kama kijana waleo nimependa history hiyo

  • @timorpathsullusi7055
    @timorpathsullusi7055 4 года назад +44

    Kikwete dah! Ulikua umekomaa kisiasa, had Mwl. Nyerere akasimama kukupigia makofi.👍👍

  • @delphinusbarakamathphytuto7012
    @delphinusbarakamathphytuto7012 4 года назад +49

    Hekima sio mvi.... hata wapumbavu wanazeeka, mh. J.M.K alionesha ukomavu mkubwa hapo.. Asanteni sana TBC online.

  • @maverickcreativesolutions8285
    @maverickcreativesolutions8285 4 года назад +47

    This is some good content. tunaomba vitu kama hivi tuoneshe vizazi vyetu tuweze kutambua historia ya nchi yetu. Proudly Tanzanian

    • @emperor5330
      @emperor5330 3 года назад +2

      i admire you tanzanians.........................am kenyan

    • @sketchbabu
      @sketchbabu 3 года назад

      Kabisa kabisa, hara kama mtaiweka exclusive content tutafurai sana.

    • @vailethamin8439
      @vailethamin8439 3 года назад

      Kabisa

    • @theonlyeye9738
      @theonlyeye9738 2 года назад

      .i.loo

    • @davidbochela1441
      @davidbochela1441 2 года назад

      Nchi imetoka mbali...sana.

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 4 года назад +30

    Man of the People Lt Col(rtd) Comrade Kikwete alitumia mbinu za kimkakati za Kijeshi kujiandaa kuwa Rais hii inaitwa "Long Term Information Before the War."

  • @leonarddamian
    @leonarddamian 4 года назад +35

    Nyerere alifurahi sana kwa sababu kikwete aliongea kitu ambacho alitaka kusikia.

  • @swahiliforex
    @swahiliforex 4 года назад +221

    Kama Umekuja Kwa Ajili Ya Kikwete, Anaanzia 8:33

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 3 года назад +26

    Tumetoka mbali, tunakwenda mbali, mungu ni mwema sana ,
    Mungu ibariki Tanzania

  • @amanisengele9684
    @amanisengele9684 3 года назад +6

    Hongereni Tbc kwa utunzaji wa makala nzur Kama hizi n msaada kwa vizaz vijavyo

  • @rashidngwawile9062
    @rashidngwawile9062 3 года назад +15

    Wazeee wa zamani walikuwa na busara hebu msingie mwl nyerere na Al khasani Mwinyi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍

  • @majulakizango943
    @majulakizango943 3 года назад +3

    Kumbukumbu nzuri Sana, maneno mazuri ya Jknyerere,JKikwete, R.I.P Jemedali Mkapa great president aliefungua pazia la kuwa president ndani ya vyama vingi....big up TBC this is fantastic memory

  • @juliusmaricha8836
    @juliusmaricha8836 3 года назад +11

    JK n genius

  • @issamunga9039
    @issamunga9039 4 года назад +22

    Kwa kweli Mzee alikuwa na busara saana ingawa mimi binafsi si kumuelewa wakati ule , lakini kwa sasa nimabaini kuwa alifanya maamuzi ya kuiokoa nchi kweli. Chaguo lake kwa Mkapa lilikuwa sahihi.

    • @misanamaige490
      @misanamaige490 2 года назад

      Tanzania yetu ni nchi nzuri sana. Wapumzike kwa amani Julius Nyerere na Benjamin Mkapa. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha viongozi wetu wastaafu mzee Ali Hassan Mwinyi na mzee Jakaya Mrisho Kikwete. Busara na hekima zao bado zinahitajika kuendeleza amani na umoja wa Watanzania. Kidumu chama cha mapinduzi

  • @abdullahomar8687
    @abdullahomar8687 4 года назад +12

    Shaaban Kisu maa shaa allah umejaaliwa Sauti adhym iliyonegesha makala hii ahsanteni....

    • @audaxbizimana8084
      @audaxbizimana8084 2 года назад

      Huyu jamaa amepewa sauti amazing na anaitendea kazi

  • @sharifunchimbi785
    @sharifunchimbi785 4 года назад +27

    Nyerere alionaa kikwetee anakitu kikubwaa sanaaa

  • @athumangullam3854
    @athumangullam3854 3 года назад +10

    A man and half ..Jakaya 💪

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 3 года назад +52

    Kama umegundua wajumbe walianza zaman na si mwaka huu kama mm nipe like 🥰🥰🥰

    • @mutalemwagabrie9791
      @mutalemwagabrie9791 3 года назад +4

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila watu jamani 😂😂😂😂😂😂

    • @user-mw1wy4lm6d
      @user-mw1wy4lm6d 2 месяца назад

      Aliye mwona ummy teacher!

  • @jackobchibago1812
    @jackobchibago1812 3 года назад +14

    Nilichojifunza mimi hapo ni kuwa, uzee unakuja kwa kasi. Kikwete wa miaka 25 iliyopita ni kijana mdogo kabisa. Mcheki leo. Hivyo tunapaswa kutambua tu kuwa ujana ni maji ya moto.

  • @samwelkibogoyo1958
    @samwelkibogoyo1958 4 года назад +68

    Mpaka wazee wakasimama ama kwli busara za jakaya ni kubwa sana,,tump haki yake

    • @salimhusseni4784
      @salimhusseni4784 4 года назад +6

      Hiyo ndio matunda ya mwalim nyerere kwabusara nahekima alifanikiwa kwajenga akina ally hassan mkapa na jakaya mrisho kikwete wamelelewa kwenye mikono salama ya baba wataifa leo hii tunaona viongoz wavyama wanakosa busara hekima hawana ni waongo wapo kimaslai yaho hawajal ata kama taifa litaingia kwenye mitego yawalafi na misukosuko wapo tayar ilimrad wahowafanikishe matakwa yaho wapi tunakwenda hakuna hajuae ni mwenyeez mungu tu ndie hajuae InshaAllah tuepushe na shari ambazo zitaligawa taifa letu Amin

    • @innocentmtashobya1102
      @innocentmtashobya1102 2 года назад

      Kabisa jamaa ana busara sana sio wale jamaa wababe "nimesema,.kuanzia leo stak........"

  • @jamalmuhsini9954
    @jamalmuhsini9954 4 года назад +19

    Hongereni TBC kutupatia historia sisi vizazi vichanga

  • @venturejackson6357
    @venturejackson6357 3 года назад +6

    Dah we mzee ulijaliwa busara sana mungu akutunze mstaafu jk

  • @ayubuadamu8587
    @ayubuadamu8587 3 года назад +11

    Baba Jakaya hakika hekima zako ni kubwa sana🙌🙌

  • @elijahaywago7274
    @elijahaywago7274 3 года назад +12

    Sijui Tanzania mlifanyia mungu nini kusudi awape viongozi wazuri hivi. Mimi si Mtanzania lakini nitawapa watoto wangu fursa ya kuwa watanzania kwa kuoa mtanzania eheheh

    • @elijahaywago7274
      @elijahaywago7274 3 года назад

      @@rashidseif6095 Kiongozi wetu wa kwanza alifanya juu chini akauwa wapinzani wake. Wanasiasa shupavu kama Tom Mboya (rafiki mkubwa wa Nyerere) na wengine walipigwa risasi na kuwawa sababu za ki siasa. Rais huyo pia alieneza ukabila na kuweka jamaa zake uongozini. Pesa nyingi ziliibuwa na hiyo iliendelea kufanyika ata kwenye atamu wa rais wa pili. Tanzania najuwa pia mko na changamoto zenu lakini ukabila na ufisadi pamoja na mapendeleo ya ki jamii haijawathiri sana kama sisi. Ata wakenya wengi wanaomba kupata rais kama magufuli au nyerere.

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 3 года назад +20

    I always appreciate JK for the way he is.

  • @petroerinest6962
    @petroerinest6962 3 года назад +29

    Kikwete alikua mdogo saana lakini akili yake ilikua komavu sana,hongera sana kikwete

    • @josephkisaro1377
      @josephkisaro1377 2 года назад +1

      Kikwete hakuwa mdogo alikuwa na miaka 50, mkapa 60, mwinyi 68 na mwalimu alikuwa na 70 ..

    • @zamzamseif5637
      @zamzamseif5637 Год назад +1

      @@josephkisaro1377alikua na miaka 44!! Mdogo tu.

  • @davidnyambuche352
    @davidnyambuche352 4 года назад +43

    Kikwete amenifurahisha mnoooo

  • @wakusinitv
    @wakusinitv 3 года назад +5

    Tulio kuja huku baada ya kummiss magufuli tulike hapa

  • @potiyowatz836
    @potiyowatz836 3 года назад +3

    Safi TBC.Vijana wa leo tumejifunza mambo kadhaa kutoka kwenye hii vidieo rekodi.asante

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 4 года назад +9

    TBC, mmefurahisha Moyo wangu,,, TBC inogile!!!

  • @mtopelamussa7440
    @mtopelamussa7440 2 года назад +7

    Du! Kikwete noma alikuwa anataka ashike madaraka akiwa msela

  • @kimwerionlinetv5574
    @kimwerionlinetv5574 4 года назад +35

    Mh. Jakaya ni bonge la diplomatic leader

    • @jameskileo955
      @jameskileo955 4 года назад +4

      Hakika huyu ni jungu kuuu

    • @jameskileo955
      @jameskileo955 4 года назад +3

      Watu kama huyu baba ni wachache mno ktk nnchi zetu hasa linapokuja swala la Democrasia

  • @annasanana5192
    @annasanana5192 3 года назад +4

    Hongera sana J.M.kikwete

  • @raphaelnyigo8740
    @raphaelnyigo8740 3 года назад +5

    JK yuko vizuri sanaa.

  • @kondonassoro7770
    @kondonassoro7770 2 месяца назад

    Kumbu kumbu nzur sana ahsante TBC

  • @clemencejames7279
    @clemencejames7279 2 года назад

    Asante Sana TBC hakika nimefarijika mno kuona namna wazee wetu walivyokua Wana Jenga hoja lakin nimefurahi kuona namna Mh wetu JK Alivyothubutu kugombea akiwa na umri mdogo Sana ,,,!!!!!! Vijana tuendeleee kupambanaa,,!!!!! Asante TBC ,,,,!!!!!!

  • @allymsega5639
    @allymsega5639 3 года назад +7

    Hapo kikwete alikuwa mdogo xn asingeweza kupewa nchi

    • @kileohemed4958
      @kileohemed4958 6 месяцев назад

      Kapewa na Utuuzima wake kipi alichokifanya aaaah Shit...

  • @tawfiqmbagwa9407
    @tawfiqmbagwa9407 4 года назад +12

    Mzee Jk anabadilika ngozi na nywele tu kwa uzee ila kiungeaji, tabasamu, kicheko na body language viko vilelvile. Nimefurahi sana maana kipindi hicho bado nanyonya ziwa la mama

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 3 года назад +19

    Nan kaona watu walikua wengi na nguo za nyumban kuliko kijani ya leo 🥰🥰🥰

  • @sylvesterchisenga3707
    @sylvesterchisenga3707 4 года назад +5

    Wa magomeni mpoooooooooo! ...tupooooooooooooo!
    Hilo vibe sio poa! ...siasa ni maisha!

  • @luganomasebo6606
    @luganomasebo6606 3 года назад +10

    Yaani moja ya stori niliyoipenda hii na mtangazaji wangu Wa muda wote sued mwinyi

  • @maryamrubea34
    @maryamrubea34 2 года назад +1

    Hadi leo nawasikiliza Mungu ibariki Tanzania wabariki viongozi wetu.....Mungu walaze pema waasisi wetu walotanguliaa

  • @eliahinnocent9419
    @eliahinnocent9419 4 года назад +7

    Dah mheshimiwa mkapa alikua na bahat sana
    kupigiwa kampeni na Nyerere ushindi lazima

    • @joezeno8
      @joezeno8 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels555 3 года назад +3

    Asante sana TBC kwa post hii. Siasa za Tanzania zina mvuto wa aina yake katika bara la Afrika. Hii ni kwa ajili ya ustaarabu na usafi wake. Afrika in mengi ya kujifunza kutokana na siasa pia historia ya Tanzania.

  • @amidumselle5659
    @amidumselle5659 4 года назад +21

    Its like Hon. Benjamin Mkapa is still alive. May you continue resting in peace legendary

  • @kusekwasita1576
    @kusekwasita1576 4 года назад +18

    Aliweka akiba ya 2005,,,
    Kizazi cha kina membe kinasepaga aisee

  • @kedmonjosephrugundu9125
    @kedmonjosephrugundu9125 3 года назад +2

    Safi na hongela shabani kisu nimependa maneno ya kikwete mwanasiasa mkongwe mkomavu mvumilivu

  • @wazirimavilu5710
    @wazirimavilu5710 4 года назад +31

    Never forget you, president JAKAYA,masomo yako kila siku yanazidi kueleweka.ninaushauri mkubwa kwa ccm ipo siku nitautoa.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад

    éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz... Siasa bado zilikuwa na mvuto ...siyo kwa sasa

  • @godfreykacholi121
    @godfreykacholi121 4 года назад +28

    Concession speech of Dr. Kikwete was an indication of his maturity in politics.

  • @christianmwashala276
    @christianmwashala276 4 года назад +29

    Kikwete akiongea uwa mda wote anacheka tyu hanaga noma uyo

    • @ThobiasMarandu
      @ThobiasMarandu 4 года назад +2

      Kikwete is very Intelligent, Kama mara kumi ya Magufuli hivi.

    • @idanysedrc1200
      @idanysedrc1200 6 месяцев назад

      Ogopa sana watu wanaongea hvyo wanaakili nyingi mno i.e Nyerere

  • @godfreyeustard8044
    @godfreyeustard8044 4 года назад +2

    Hongera sana tbc kwa kumbukumbu hii kwa kizazi cha leo

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 4 года назад +6

    Nakumbuka vizuri, Kikwete alibadili suti siku hio kama vile a naenda kuowa

  • @africanuschalamila2740
    @africanuschalamila2740 3 года назад

    Nawapongeza sana TBC kwa kuandaa kipindi hiki, kwakweli kinafundisha historia halisi ya Tanzania kitawasaidia sana vijana na watoto wetu na vizazi vijavyo tulikotoka kama nchi. Hongera kwa kazi nzuri ya kutukuka.......

  • @mossilamanne3350
    @mossilamanne3350 2 года назад +1

    Jk ni noma sana alimfanya mwalimu anyanyuke ,halafu leo hii umfananisha na watu wasiojulikana

  • @acstv7185
    @acstv7185 2 года назад +1

    Jk.ingekuwa wapinzani wa tanzania wana akili nzuri kama ya father jakaya. Wangesha itoa ccm madarakani.lakini kwa jinsi wapinzani walivyo sasa watasubiri sana.jk mfano bira sana Africa.asante

  • @vailethamin8439
    @vailethamin8439 3 года назад +3

    Tanzania nnchi yangu nakupenda sana

  • @efraimobadia4944
    @efraimobadia4944 3 года назад +2

    Kwa mara ya kwanza namuona mwal. Nyerere
    Mwenyez

  • @lyakaonlinemedia.1428
    @lyakaonlinemedia.1428 3 года назад +2

    Kipindi kizuri sana , hongereni TBC

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 11 месяцев назад +1

    Mwenyezi mbarik JK , amekomaa Kisiasa saana

  • @thabitiykitwana1271
    @thabitiykitwana1271 4 года назад +2

    Ongera Sana tbc hakika nimejifunza kitu kikubwa sana

  • @babanicole815
    @babanicole815 2 года назад +1

    Jakaya Mrisho Kikwete. Nakukubali sana sanaaa.

  • @ausonjustinian5494
    @ausonjustinian5494 3 года назад +2

    ASNT TBC. HIZI HISTORY ZINATUSAIDIA KUJUA TUMETOKA WP. TUKO WP. TUNAENDA WP. NA TUNAENDAJE ENDAJE. ASNT.

  • @wawajunior6633
    @wawajunior6633 3 года назад +3

    Kikwete charismatic leader

  • @salumkanju1732
    @salumkanju1732 4 года назад +7

    Mwalimu alisimama kumpgia kikwete makofi kwakuwa lengo kuu lilishakamilika, hongera jakaya kwa uvumilivu wako hatimae nawew ukawa president

  • @charlieadam646
    @charlieadam646 3 года назад +5

    Wale wa 93. tujuane... Tuna miaka 2 apo.. maji pia hatuezi kuita Mma😂😂

  • @jessicabrown5885
    @jessicabrown5885 3 года назад +7

    Kikwete looks young and handsome lol

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 4 года назад +11

    Kikwete tokea kijana kbs ika kikwete kwakwel Ni mtu Wa busara sana

  • @reyneajoxeph1301
    @reyneajoxeph1301 3 года назад +2

    jakaya kikwete arikuwa anakubarika tokaezi hizo hadinyerere kafrai

  • @shaibumandova6108
    @shaibumandova6108 4 года назад +16

    Kikwete alionesha furaha ya wazi kabisa na ni sawa Mungu alimlipa fadhila zake kwa kuwa rais aliyefuata. Siyo miaka ya hivi karibuni anayekosa nafasi hukasirika.

    • @salumismail6253
      @salumismail6253 4 года назад

      Ni kweli wengi wanakuwa wamejawa na tamaa za harakaharaka kutaka kuongozà

  • @abdulkatalango2890
    @abdulkatalango2890 3 года назад +2

    toka zamani kikwete ni mtu kutabasamu,ameshindwa lkn alikuwa na tabasamu,sasa wale wanaomtaka leo awe stone face hawajui haya ndio maumbile yake?

  • @saidishebuge4796
    @saidishebuge4796 3 года назад +3

    He was bright kikwete

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 2 года назад

    TBC upo vizuri sana kwa kutunza kumbukumbu

  • @johnbernad3407
    @johnbernad3407 3 года назад +3

    R.I.P NYERERE R.I.P MKAPA R.I.P DR OMARY R.I.P DR JUHN POMBE MAGUFULI

  • @nkyabosi4827
    @nkyabosi4827 4 года назад +22

    Kikwete has always had charisma

    • @Gracemima
      @Gracemima Год назад +2

      Kikwete was a useless leader

  • @wanderenyeura9011
    @wanderenyeura9011 3 года назад +3

    Mtangazaji ananikumbusha RTD RADIO TANZANIA DAR -ES- SALAAM

  • @ahmadjuma2538
    @ahmadjuma2538 6 месяцев назад

    Respect kwa mzee Kikwete maneno aliyoyasema kwa situation ile ni watu wachache sana wanaoweza.
    Wengine wangeshahama chama lakini yeye alichagua hekima na kuheshimu wakubwa

  • @nehemiaemmanuel1386
    @nehemiaemmanuel1386 3 года назад +4

    Naona ndani ya chimwaga hall😁😁😁leo hi tunatumia kama darasa wa udom-chss wanaelewa

  • @rajimoonsima7984
    @rajimoonsima7984 3 года назад +3

    Dah hayati baba wa taifa kasimama kwa hotuba ya mzee kikwete

  • @helgaaporinaly2811
    @helgaaporinaly2811 3 года назад +4

    Kongole sana Mzee Jk kwa busara zako nyingi

  • @ginonochachaisaya7357
    @ginonochachaisaya7357 3 года назад +3

    Hekima za Kikwete ni kipaji na ni fundisho kwamba mvumilivu hula mbivu, na wakati wa Mungu ndo bora zaidi, muda wake ulifika akawa rais na akaongoza vizuri sana. Pia ukiona mtu anashindwa mchujo anahamia chama kingine basi hizo ni tamaa

    • @mapenzighasia5270
      @mapenzighasia5270 2 года назад

      Mgombea urais mshindi wapili ccm hakuamia chama kingine Bali aliongeza nguvu kwa mshindi wakwanza ccm hayati B.W.Mkapa,naona vijana mmejifunza kitu kizuri sana

  • @castosemiono7155
    @castosemiono7155 Год назад

    JK ni mtu na nusu. One of the most legendary politicians in Africa. Kudos.

  • @allykiba9727
    @allykiba9727 2 года назад +1

    Mwisho nilifarijika na hotuba ya Kikwete na namna mwl.Nyerere alivyo pigia makofi hotuba ya Kikwete

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 4 года назад +7

    J.K great president ever!!

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 3 года назад +8

    Kweli hatutapata kiongozi mjuzi wa siasa Kama Kikwete barikiwa baba.

  • @maryndilleh6942
    @maryndilleh6942 3 года назад +3

    Kwikwete cheko na furaha yako kila wakati inafanya uongeze siku za kuishi nimejifunza kitu kutoka kwako mda wote unafuraha itokayo moyoni sio ya kinafiki kumbe ni sawa eeeeh!

  • @othmansuleiman6140
    @othmansuleiman6140 3 года назад +3

    kunautofauti kati ya hutba ya hayati William Mkapa na Mh. Kikwete

  • @katyalengajua6716
    @katyalengajua6716 3 года назад +1

    Alafu mzee nyerere alipiga titedi Safi kabisa sijui ipo makumbusho pale

  • @masundelwa
    @masundelwa 4 года назад +6

    Ka kikwete kalikuwa kadooooooooogooo sanaaa ndo maaana WAJUMBE walimkata daaaaaa🤗😅

    • @kaswakija6002
      @kaswakija6002 4 года назад +3

      Kametoka Mbali aise kamepambana sana🥰🙏

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 3 года назад +1

      Alipata baba wa taifa aliona tu muda wake bado aliongoza wakiwa wa 3 hayati kigoda na mkapa mkapa na yeye .

  • @johnbernad6806
    @johnbernad6806 3 года назад +4

    Kikwete hasa wewe ni mkomavu wa kisiasa usiye kuwa na chuki hakika wewe umebaki kuwa hazina ya taifa

  • @jumakondo3527
    @jumakondo3527 2 года назад

    JAKAYA BONGE LA KIONGOZI MANENO MAZURI SANA KAONGEA PIA NI KIONGOZI MWENYE SUBIRA

  • @khamisibinamu5323
    @khamisibinamu5323 3 года назад +3

    Kumbe jk kucheka hajaanza cku hz tangu zamani ni mcheshi

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 4 года назад +10

    R I P Ben Mkapa

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 4 года назад +6

    TBC hoyeeee...mmetukumbusha kitu muhimu sana ya kwamba bila ya.CCM nchi hii vyama vingine bado saaana..viongozi.wanaotokana na CCM wanaongoza kwa ufahamu wao

  • @aliymwazoa3051
    @aliymwazoa3051 2 года назад +1

    Sijawahi kusisimuliwa na siasa za nchi hii kama mwaka huu.nilianza kumpenda rasmi mhe Kikwete maana aliweza kumfanya mzee nyerere asimame kutoka kitini kwake nakuanza kumpigia makofi.ilikua heshima kwake na heshima ya Taifa letu.Aliweka msingi mzuri wakupingana kimawazo na sio kupambana binafsi

  • @dullasakume7902
    @dullasakume7902 3 года назад +2

    Jk ni mtu simat sana kama mama samia suluhu vile kum amusha mwalim na kupiga makofi si swala dogo

  • @ramahamis5793
    @ramahamis5793 3 года назад +3

    JK mungu aendelee kukulinda tuone BUSARA ZAKO

  • @trio9911
    @trio9911 4 года назад +12

    Kumbe wajumbe walikuepo tangia apo

  • @rodgersmbonea7417
    @rodgersmbonea7417 2 года назад +1

    Hatari Sana

  • @franciskomba8057
    @franciskomba8057 2 года назад +1

    Dah japokua sijakuwepo ila kikwete kanikosha sana kaongea kikubwa sana

  • @othmansuleiman6140
    @othmansuleiman6140 3 года назад +5

    huyu ni Mh. Kikwete na Kikwete hapa duniani ni mmoja tu