Namna hotuba ya Mzee Mwinyi ilivyoleta faraja kwa wafiwa
HTML-код
- Опубликовано: 26 мар 2021
- “Mwanamke aliyekuzidi kwa shughuli…hata kwa kimo…ni mama huyo...” - Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Mzee Ally Hassan Mwinyi akitoa salamu za pole wakati wa maziko ya Hayati John Magufuli.
#BurianiMagufuli #RIPMagufuli #BurianiJPM
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Great speech. Rest in peace great man ❤
Kenyaaa chukuweeeni mfano wa mzee mwinyii kwa kuitangamanishhaa nchi kwa upend woo na Amani na imani….nchi ipateee kuendeleyaaaa….
Alhamdulillah
.mzee anaye ongea kwa ukakamavu mwingi sana
Mama Siti yuko pale panaitwaje vile hapa? (Chato)
Mwinyi alikuwa muungwana sana,Mungu amrehemu huko alipo
Pumzika Kwa amani Mzee Ali Hassan Mwinyi..tumekupenda sana..mtu mwema na muungwana sana.. Allah akupe kauli thabiti insha Allah
Tunaongalia 2024 tujuane
Good memories and is strikes
Mazishi yamwiny I
Innalillah waina lillah rajuuni Allah amsamehe makosa yake baba aitu wa taifa Allah anhehemu amlahemu
Mazishi yamwiny
Great Man. May his soul rest in erternal peace.
Mzee alitoa ya moyoni hasa. Na alimkubali sana Magufuli. Sasa wewe unayeponda kazi za Magufuli unataka kubishana na huyu mzee aliyeshika uraisi pande zote mbili za muungano.
RIP, GOOD SPEECH
R I P
Pumzika kwa amani mzee wetu mwinyi.comrade
Mzee anatambua lakini wajanja hawatambui, pole baba
Ni wewe uliumia mzee lakini watu wengine walifurahi,😭😭😭😭😭
Mungu ibariki tanzania uwabariki na viongozi wake🙏🙏🙏