MSTAAFU MWINYI AWAVUNJA MBAVU MSIBANI KWA JPM , MAMA JANETH ASHINDWA KUVUMILIA, WALINZI WAMUONDOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • #millardayoUPDATES

Комментарии • 279

  • @mirajintandu9787
    @mirajintandu9787 7 месяцев назад +47

    😢😢😢😢leo tr.29 nmerudi tena hapa baada ya kufariki mzee wetu mzee wa Ruksa. R.I.P mzee wetu

  • @silvanqueen3205
    @silvanqueen3205 7 месяцев назад +46

    Nani anasikiliza hii hotuba baada ya mzee wetu Ali Hassan Mwinyi kufariki ni nani? Inna lilah Wainna ilayhi Raajiuun.

    • @SalumKanju-ik1bk
      @SalumKanju-ik1bk 7 месяцев назад +2

      ndio naisikiza hapa, mungu ampokee mwinyi katika waja wema

    • @habibusalum1849
      @habibusalum1849 7 месяцев назад +1

      Kunajambo la kujifunza

    • @lucypius4414
      @lucypius4414 6 месяцев назад

      Nakata vitunguu hapa😢😢😢

  • @thobiasodhiambo9553
    @thobiasodhiambo9553 3 года назад +34

    Mungu akupe maisha marefu mzee wetu, baba yetu, babu yetu mzee Mwinyi. Wewe ni CHUMA nakukubali sana. Sikuisikiliza hotuba yako hii laivu lakini imenilazimu kuitafuta ili nipate kukusikiliza. Nimefarajika sana kwa busara zako. Kama nawe unamtakia maisha marefu mzee Mwinyi, achia LIKE za kutosha.

  • @joycefelix9047
    @joycefelix9047 3 года назад +115

    Jamani nimerudia sana kumsikiliza huyu Mzee Wetu. Hasa yale maeneo aliyotuvunja mbavu......kama nawe umerudia achia like please

    • @tausially1377
      @tausially1377 3 года назад +3

      Yule mwanetu aitwa nani vile mungu akulinde babu

    • @AzainTv
      @AzainTv 3 года назад +2

      @@tausially1377 😂😂

    • @lucytewele2211
      @lucytewele2211 3 года назад +1

      Kwa kweli nampenda

    • @lucytewele2211
      @lucytewele2211 3 года назад +1

      Namsikilizia mpk saiv jamani anaongea kweli

  • @suma2553
    @suma2553 3 года назад +18

    Nimependa zaidi pale alipomuadress mwanae wa kumzaa, "Mheshimiwa Dr. Hussein Mwinyi". Kubwa sana hili

  • @ngedekimolo8512
    @ngedekimolo8512 7 месяцев назад +8

    Inna LILLAH wainna ilayh raajiuun.
    Ameenda Mzee mwinyi kwa mila wake.Allah akusamehe makosa yako na akujaalie qaul thaabit

  • @lynelee5846
    @lynelee5846 3 года назад +14

    Wazee wa busara kama hawa ukifaulu kuwafikia hakikisha unapokea neno la kukufaidi toka kwao Maana wana vitu vingi sana vya kutuachia kama vijana na sio rahisi sana kuwapata walio zeeka na akili timamu much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🙌

  • @abubakarimlyandi8966
    @abubakarimlyandi8966 3 года назад +38

    Mwinyi mungu akujaalie afya na nguv pamoja na uhai mreefu baba wewe ni mshauri

    • @neemajoseph7146
      @neemajoseph7146 3 года назад +2

      Mungu akulinde baba binafsi nakupenda 2. Nikiulizwa. Kwanii nakupendasijuwi

    • @neemakaluwa2146
      @neemakaluwa2146 3 года назад +1

      @@neemajoseph7146 wajina 🤣🤣🤣

    • @neemajoseph7146
      @neemajoseph7146 3 года назад +1

      @@neemakaluwa2146 nambie wajina

  • @theafricanphilosopherqueen3032
    @theafricanphilosopherqueen3032 3 года назад +51

    Reading without glasses at 95!wow, much respect, President Mwinyi, thank you for making the widow smile 🙂

    • @kamaratsalimsafari8838
      @kamaratsalimsafari8838 3 года назад +1

      Much respect great n funny speech without glasses but nime notice karatasi ya kwanza ameiregelea mara 2 almost to start third reading from the same notes🤣poni na huyu kaka aliekuja muonyesha nxt notes about Mama Samia 🤣so funny

    • @noelimafwele602
      @noelimafwele602 3 года назад

      96

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 года назад +1

      mamaangu ni mtu mzima na havai glasses , ameekewa glass ndani ya macho yake .inawezekana naye yuko hivyo.

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 года назад +2

      hizi lenses wanazovaa warembo kuweka na kuondoa ni km zile zakuonea ila hiyo inaeka chini ya ugamba wa jicho kwenye duara nyeusi .

    • @JANEBGOYA
      @JANEBGOYA 7 месяцев назад

      Yaani ni neema

  • @fatunam7721
    @fatunam7721 3 года назад +29

    I just love former President Mwinyi. Ingawa tuko kwenye huzuni lakini katufariji sana na vichekesho vyake

  • @lysabantu2490
    @lysabantu2490 3 года назад +25

    Jamani, that was sweet. Mwenyezi mungu akulinde. You are such a blessing Baba Mzee Alhassan Mwinyi. Thank you very much for bringing laughter on such a somber day.🙏🏾🇹🇿💚

  • @theshindikasfun5198
    @theshindikasfun5198 7 месяцев назад +9

    What a great tribute ! RIP our dear Presidents, Magufuli and Mzee Mwinyi 🙏🏿🤲🏼🫶🏾

  • @Minsirerickjuniorofficial1272
    @Minsirerickjuniorofficial1272 3 года назад +17

    Nampenda sana huyu raisi kwa unyenyekevu na heshima yake,hana kiburi ya kustaafu ,mungu akupee maisha marefu babu

  • @glorykalunga4849
    @glorykalunga4849 3 года назад +13

    Mungu akupe maisha marefu baba hakika unafurahisha

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 3 года назад +20

    Umeongea katika ukweli kutoka moyoni Nimependa risala yako kwa Watanzania wote na Mwwnyezi Mungu atakulinda

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 3 года назад +21

    Mzee wetu Huyu amemfurahisha mjane wetu angalau amecheka nasi tumefarijika sana

  • @thebosslady4597
    @thebosslady4597 3 года назад +25

    Mwinyi yuko vizur anasoma bila miwani God bless you grand papaa

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 3 года назад +50

    Lipo kusudi la MUNGU kwa kulala huyu Kijana wetu, watanzania tuwe na amani! Maana hata walionia mabaya juu ya taifa letu hawawezi kwa jina la Yesu kwa sababu MUNGU wetu yupo juu ya maadui zetu! Na MUNGU wetu atatupigania........maono ya kweli hayafi!

  • @conrad4950
    @conrad4950 3 года назад +17

    Oh wow..may God bless President Mwinyi..such a humorous soul..iv laughed so hard even though I was sad. RIP Mangufuli.

  • @ayubumdolo259
    @ayubumdolo259 3 года назад +15

    Nafarajika sana kumuona raisi ambaye hakuniongoza yaan nilikua bado sijazaliwa leo namskia nimefarijika sana ubarikiwe sana

  • @habibasimba1387
    @habibasimba1387 3 года назад +33

    Mzee wa ruska 😍😍😍😍 my mum told me alot of goods abt him

  • @mwadinihaji7740
    @mwadinihaji7740 3 года назад +10

    Masha Allah , yaani mpaka raha mzee Mwinyi

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 года назад +12

    Amina mzee Mwinyi maneno mazuri RIP John Magufuli

  • @mjahmed3809
    @mjahmed3809 3 года назад +7

    Babu hassan mwinyi long life bi idhni Llahah, you made my day

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 3 года назад +12

    Aisee kuna Watu MUNGU kawajaalia udongo mzuri’ miaka 96 bado angali anafanya baadhi ya mambo kwa ufasaha...!...Ahsante Mzee Mwinyi Kwa kuwafariji wafiwa ..!

    • @amidumselle5659
      @amidumselle5659 3 года назад +2

      Anasoma bila hata kuwa na miwan lakin vijana wa miaka 12 tu saizi hawezi kukaa bila miwani

  • @sashasaah526
    @sashasaah526 3 года назад +14

    I love this man man shaa Allah love from 🇷🇼

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 3 года назад +8

    Nakuunga mkono mzee Mwinyi, kweli JPM kafanya mengi mno, mno, makubwa na mazuri ya maana.
    RIP JPM baba!!!!!!!!

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 3 года назад +16

    Umeongea mambo mengi sana ya msingi japo umetufurahisha sana umefanyi kamfaraja

  • @salmaabduli700
    @salmaabduli700 3 года назад +7

    Baba mung akuwek meno ujang, oa hat moj namuach mazim mungu azid kukuwek akup uwah mref san

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 7 месяцев назад +7

    Dah!! Innalillah wainna ilayh rajiun Mzee Ruksa 😭😭😭
    Ulikuwa huna baya maskini baba wa watu.

  • @amenemhurt8817
    @amenemhurt8817 3 года назад +32

    95 but still going strong. Much respect 🙏 Rest in peace JPM🙏

    • @everkabete6645
      @everkabete6645 3 года назад +2

      wooow is 95,I can't believe it because he doesn't look that age

    • @yusufmohamed8874
      @yusufmohamed8874 Год назад +1

      And he can read without glasses 👓

  • @sniperislam4547
    @sniperislam4547 7 месяцев назад +5

    umeondoka leo nakuckilza tenah mzee wetu 😢

  • @aminaathumani3148
    @aminaathumani3148 3 года назад +11

    Kweli kulia kupo na kucheka kupo asante mzee wetu mwinyi umefanya tutabasam haliyakuwa tunamajonzi makubwa

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 3 года назад +17

    Ishi miaka mingi mh mstaafu Ally Hassan Mwinyi.

  • @swaleheismail46
    @swaleheismail46 3 года назад +6

    Jamanii ukiona kitu hukijui we nenda ukamuulize mama siti ,daaaahhh mzee Allah akupe umri mrefu zaidiiii

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 3 года назад +2

    MZee mwinyi. umli umeenda unatuchekesha bana.Asante kwakuleta tabasam kwa wafiwa

  • @calmandrelaxationessential2407
    @calmandrelaxationessential2407 3 года назад +21

    Amemfanya Adi mama Janeth acheke

    • @yasodishonest9792
      @yasodishonest9792 3 года назад

      Umli ushaenda mzee wenu anatuchekesha wezie tunamajonzi

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 3 года назад +1

      @@yasodishonest9792 mwache atuchekeshe angalao majonzi yapungue

    • @muzneali387
      @muzneali387 3 года назад +4

      @@yasodishonest9792 Ni ngumu lkn hivyo ndio inavyotakiwa yaani Machungu aliyonayo Mama Janeth Hakika hayana mfano Mungu ndie ajuae walau akipata ahueni ya kupoza Machungu sio vibaya

  • @Gracedmbosssa
    @Gracedmbosssa 7 месяцев назад +1

    RIP mzee mwinyii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 nilikupenda Sana hii siku ulitufurahisha but now haupo nas .. pumzika kwa Aman😭😭😭😭😭😭😭

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 3 года назад +8

    Ulijua kutupotezea stress kwa muda Baba😂😂😂

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 7 месяцев назад +4

    Uliwahi ona waombolezaji wakipiga makofi? Marachache sana. Mzee wa busara huyo RIP Mzee Mwinyi.

  • @NafisaUsu
    @NafisaUsu 7 месяцев назад +1

    Hii ndiyo hotuba pendwa toka kwa mzee Rukhsa 😂 mpk watu walisahau km wamefiwa, nilitamani ufikishe miaka 100 tukufanyie birthday ya Taifa lakini Mungu amekuhitaji kabla.. Nakuliliaa mzee Mwinyi. Allaahumma ghfirlahu wa Arhamahu wa Maskanahu fil JANNATUL FIRDAOUS... Innaa lillaah wainnaa ilayhi raajioun 🙏🙏🙏

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 3 года назад +2

    Thank you for making Janet smile at least. You are aging with your charm and wisdom grandpa

  • @azizamuhali5531
    @azizamuhali5531 3 года назад +1

    Mimi binafsi nakupenda Mh. Rais mstaa babu yangu Mwinyi ni utukufu kwa Mungu kukupa maisha marefu na akujaalie zaid na zaid ili atukuzwe sana Mungu wetu 😁😀😊

  • @hi_lo574
    @hi_lo574 3 года назад +5

    President Mwinyi is God sent to heal us in this time of need and the loss of loved one Dr JPM. He made Baba and his Angels smile in Heaven 🙏🙏🙏😀😀😀just like he made us smile . He lightened up our spirit and soul.
    Long life and God Bless President Mwinyi and be strong Tanzania.
    Love and Best wishes from the USA 🇺🇸🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mohammedmbaya5194
    @mohammedmbaya5194 3 года назад

    Asante mzee wetu kwa kutufaliji mungu akupe umri mrefu

  • @edithmakwakwa9489
    @edithmakwakwa9489 3 года назад +3

    Be blessed Mr.Mwinyi

  • @yahyamohagust5619
    @yahyamohagust5619 3 года назад +7

    Allah akupe umri mrefu mzee mwinyi

  • @conneykinya2395
    @conneykinya2395 3 года назад

    Mungu akujalie maisha marefu,yenye afya na nguvu..through this anointing of life,I tap the same in Jesus name.Amen,Amen.

  • @AllyMwazoa
    @AllyMwazoa 6 месяцев назад

    Moyo mweupe msafi wa kidhahabu alioumiliki huyu mzee mungu amrehemu na amuweke mahala pema peponi

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 3 года назад +11

    Raha sana kuwa na mzee kama wewe

  • @joycefelix9047
    @joycefelix9047 3 года назад +17

    Mzee uishi Miaka mingi zaidi

  • @salmajamal
    @salmajamal 7 месяцев назад

    Innallillah rajiun,nimeirudia hii hotuba ya Mzee wetu hakika Mungu amechukua jembe lake ,Allah akupe kauli thabiti babu yetu

  • @mikelinagomezi1766
    @mikelinagomezi1766 3 года назад +3

    Mzee wa ruksa umli ime kwenda, baba mungu akulinde

  • @rithamzuri
    @rithamzuri 7 месяцев назад +2

    Rest in power Babu yangu..yn umeenda hata miwani hujavaa?

  • @khalidjimmy5774
    @khalidjimmy5774 3 года назад +2

    Mungu ampe afya njema Sana mzee wangu

  • @benabdillahahmed8760
    @benabdillahahmed8760 3 года назад +1

    Former president I wished you more life and healthy to be able to get a good feel for your family and your friends amen

  • @MwahijaJumaKikome
    @MwahijaJumaKikome 10 месяцев назад

    Unastahiki pongezi mzee wetu mwinyi kwakumpongeza ayati mpedwa wetu ayati joni magufuli.❤

  • @eenpaard3915
    @eenpaard3915 3 года назад +3

    Mwinyi yupo leo na kaona maendeleo mengi sana ya nchi

  • @samahamed2418
    @samahamed2418 3 года назад +5

    Nice 1 mzee mwinyi😀👏👏

  • @ibrayomapenzi7048
    @ibrayomapenzi7048 3 года назад +5

    MI NI FUNDI MIWANI MARA NYING SANA WATU WAKIFIKA MIAKA 40 Wanaanza kuvaa miwani za kusomea LAKINI MZEE MWINYI BADO YUPO NGANGARI HAIJALISH MIAKA GANI YUPO ILA BADO ANASOMA BILA YA MIWANI , NA UJASIRI WA KUONGEA UPO VILE VILE NIMEPENDA SANA

    • @jonaskabonda741
      @jonaskabonda741 3 года назад

      Kweli kabisa mzee Mwinyi yeye wa kipekee

  • @juliethdionise6448
    @juliethdionise6448 3 года назад +6

    Mwinyi kazaliwa 1925 daaah naomba mmngu nizeeka ivyo

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 7 месяцев назад +1

    Nae kaenda jamqn 😢😢daaaa wazeee wa busara wanaondoka 😮😮😢

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 3 года назад +5

    Ha ha ha 🤣Nimejishtukizia tu nacheka automatically 🤣Hawa ndo wahenga wetu, na sikweli ka nxt generation tutapata tena wazee wenye busara na matamshi ya ucheshi ka hawa

  • @allysultani1089
    @allysultani1089 3 года назад +1

    Mzee mwinyi ishi miaka mingi amiin.

  • @ummukuluthumikoki7002
    @ummukuluthumikoki7002 3 года назад +1

    Allah akulipe kher

  • @AdiaAhmad-i6q
    @AdiaAhmad-i6q 7 месяцев назад

    Pole baba alla akubalimsamaha wako. Amina

  • @khadijamzuri8679
    @khadijamzuri8679 3 года назад +4

    Sasa na mwanao hussen ajipange na yy nae ni rais ayafanye kama hayo

  • @philiporobert9047
    @philiporobert9047 3 года назад +1

    Upo vizuri mzee wetu

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 7 месяцев назад +2

    Nimegundua hakuwa mnafiki huyu baba!

    • @AnnaBahenge
      @AnnaBahenge 7 месяцев назад

      Hanaga unafiki huyu baba

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 7 месяцев назад

      Kabisa he was such a good soul 😢

  • @OmanOman-sm6dv
    @OmanOman-sm6dv 3 года назад +14

    Hafadhari kawatoa watu kwenye majozi😂😂

  • @jackjudy9182
    @jackjudy9182 3 года назад +1

    ❤️😍angekua babu yangu ni kusmile tu

  • @sophiakatondo2016
    @sophiakatondo2016 3 года назад +1

    Babu bado uko. Vizuri. Endelea kutuasa yaliyo mema. Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu afya njema pmj na Bibi. Siti.

  • @mrmhenipm
    @mrmhenipm 3 года назад +3

    Mpambe ameshindwa kujizuia ,,imemlazimu acheke tu maana mzee Mwinyi ameamua kuwatoa kwenye huzuni

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen 7 месяцев назад +2

    Leo nimerudi kuzitazama hii hotuba ya Raisi wangu Mwinyi upunike kwa kwa Amani

    • @BestaNyambalafu
      @BestaNyambalafu 7 месяцев назад

      Mimi pia nimerudi tena kuitazama Rest in peace Mwinyi

  • @WahuBackzy
    @WahuBackzy 7 месяцев назад +2

    R I P wazee wetu mwinyi na magufuli😭😭😭

  • @sniperislam4547
    @sniperislam4547 7 месяцев назад +2

    Nimejikuta nacheka alivyo sema inatosha eeenh 😂😂😂 dah allah akupe qauli thaabit na kaburi lako liwe viwanja miongon mwa viwanja vya peponi nakukumbuka ulikuja shulen kwetu azam kufungua msikit pale azam complex kwa sheykh twalibu

  • @mansourameir3605
    @mansourameir3605 7 месяцев назад +1

    Aisee mzima huyu hadi umri huu havai miwani ila watoto wake wote hawaoni hadi kwa miwan pumzika salama

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 7 месяцев назад

    M/mungu akujaalie Pepo njema

  • @Maiya-cg8cy
    @Maiya-cg8cy 7 месяцев назад

    Inalillah waina illah rajiun tutakukumbuka kwaucheshi mzee wetu msalimie jpm😢😢😢😢

  • @monicajoseph1677
    @monicajoseph1677 Год назад +1

    Kuswali lakaa 5 kila cku na kufanya ibada kwa mda mrefu na kufata alotuelekeza mwnyezi mungu na kutenda mema ni tiba tosha kwa kila binadam

  • @khadujifuad9360
    @khadujifuad9360 3 года назад

    Nlicheka sanah though was in pain of loosing a my president.. much love to all the Tanzaniaz presidents..

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 7 месяцев назад +1

    Old is gold

  • @mamarachel9286
    @mamarachel9286 3 года назад +3

    At 1:13-20. Kwa mara ya kwanza ndo naona bodydguard wa rais anacheka. I've never seen that b4

  • @margarethmziray635
    @margarethmziray635 7 месяцев назад +1

    Mzee Ruksa will miss you with your jokes

  • @haroungwiyamabuzohera-jk3vl
    @haroungwiyamabuzohera-jk3vl 7 месяцев назад

    Kweli kabis🎉a wewe BABA MWEMA SANA. MWENYEZI MUNGU AKUZIDISHIE KILA LA KHERI. RIP BABA

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 7 месяцев назад

    So wise...

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 7 месяцев назад

    Mungu akulaze mahali pema peponi ulikuwa mwema sana kama mwanao Hussein Mwinyi

  • @jumajuma6704
    @jumajuma6704 7 месяцев назад +2

    R I P Mzee Mwinyi

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 7 месяцев назад

    Allah akupe furaha na ulipo yarabb

  • @yustinakunambi98
    @yustinakunambi98 7 месяцев назад +1

    Pumzika kwa amani mzee mwinyi😢

  • @JANEBGOYA
    @JANEBGOYA 7 месяцев назад

    Great 👍

  • @gracealexander1450
    @gracealexander1450 3 года назад +1

    MUNGU AKUBARIKI SANA BABA YETU

  • @saudangalleni388
    @saudangalleni388 3 года назад

    Mung akupe maisha maref rais wetu mstaaf mchesh

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 3 года назад +8

    Wazee wetu na baba zetu walipata wake bora sana
    Balaaa tunalo sie tuliozaliwa miaka ya 90 mpaka 2021 tunajuta kuijua hii dunia

  • @esctasyhaiti2693
    @esctasyhaiti2693 3 года назад

    The first smile 😃
    Thx Mzee

  • @jambia4515
    @jambia4515 7 месяцев назад

    Mzee Mwinyi alitumia sana muda kuwatoa watu kwenye msiba kuwasahulisha kama wapo kwenye majonzi kwa muda molla mpe kauli thabiti Mzee Mwinyi

  • @rupertoako8417
    @rupertoako8417 3 года назад +2

    Babu wetu wa nchi jaman lazima babu awe mchezi

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 7 месяцев назад +1

    Uzee unaweza kuwa tatizo?

  • @abdillahnyembeya1433
    @abdillahnyembeya1433 3 года назад +2

    Ama kweli kizuri hakidumu nashindwa ata kuamini

  • @jamesswai6583
    @jamesswai6583 3 года назад

    Mwinyi Uishi miaka Zaid. God bless u.