MTOTO wa MZEE MWINYI AMWAGA MACHOZI - AMLIZA HADI KAKA'KE RAIS MWINYI - "HAKUWAHI KUUMWA KABLA"...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • MTOTO wa MZEE MWINYI AMWAGA MACHOZI - AMLIZA HADI KAKA'KE RAIS MWINYI - "HAKUWAHI KUUMWA KABLA"...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 239

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  7 месяцев назад +11

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @TheB920
    @TheB920 7 месяцев назад +24

    Sisi Wakenya tunaendelea kuwaombea. Mungu awape nguvu familia ha Raisi mstaafu Mheshimiwa Mwinyi. Mungu awape nguvu serikali ya Tanzania na ndugu zetu Watanzania ❤

  • @essammanyologa3934
    @essammanyologa3934 7 месяцев назад +18

    This is guy is strong, and of course he has a very command of speeches. Mwinyi raised intelligent sons!

  • @EdnaMrema
    @EdnaMrema 7 месяцев назад +16

    Poleni sana yote ni mapenzi ya Mungu na ni njia ya kila mtu amin

  • @savannacollection5205
    @savannacollection5205 7 месяцев назад +6

    Inna Lillahi Waina Ileyhi Rajiun,
    Allah [S.W] ampe kauli thabit ,amuondole adhabu ya moto na ya kaburi, ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia na amuweke miongoni mwa waja wema JANNAT FIRDAUS, pia na wazee wetu na families walio tangulia tukutane tena Allah atukutanishe tena kwenye pepo yake
    ALLAH ATUPE SUBRA FAMILY NA SISI SOTE KUONDOKEWA NA MZEE WETU , KIONGOZI , MENTOR ,ROLE MODEL, MWALIMU BABU NA BABA YETU MPENDWA
    ALLAH AKURAMU.

  • @ايتيتووينويو
    @ايتيتووينويو 7 месяцев назад +9

    Kufiwa hakuna ukubwa kiukweli inaumiza Mungu awape subra

  • @Petro-ip8mi
    @Petro-ip8mi 7 месяцев назад

    Mungu alitoa na bwana ametwaa jina la baba lihimidiwe amina

  • @shadyasaid1908
    @shadyasaid1908 7 месяцев назад +11

    Poleni wanafamilia kwa kuondokea na mzee wenu mpendwa inauma ila kazi ya mungu Haina makosa nmetokwa na machozi pole rais wetu mpendwa kuweni na subra

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 7 месяцев назад +6

    Mungu ampuzishe Kwa Amani Mzee wetu Mwinyi 🙏

  • @ZainabuIddy-r1o
    @ZainabuIddy-r1o 7 месяцев назад +2

    Pole sana kaka Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumuuuuuu sana pamoja na Sisi watanzania wote kwa ujumla pumzika Kwa aman Mzee wetu Babu yetu kipenz yote ni mipango ya Mungu ishallaah Allaah ❤️😭

  • @abelimwakijungu1226
    @abelimwakijungu1226 7 месяцев назад +2

    Inaonyesha aliwapenda sana watoto wake, ndio maana wanasikia huzuni. Shukrani Mzee Mwinyi kwa zawadi ya maisha yako kututumikia Watanzania vema na kwa unyenyekevu.

  • @Kazijahajj
    @Kazijahajj 7 месяцев назад

    Allah amfanyie wepes katika safari yake inshaallah

  • @ashuumuhammad8269
    @ashuumuhammad8269 7 месяцев назад +1

    Allah amsameh,amrehem amjaalie kaburi liwe ni miongoni mwa viwanja vya peponi..Amiin

  • @NeemaLwoga-s4c
    @NeemaLwoga-s4c 7 месяцев назад +4

    Poleni sana wanafamilia nimeumia sanaa kwa kweli uyu kaka kaniliza kbs 😢😢

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 7 месяцев назад +2

    Poleni Sana Allah Akupeni Moyo Wasubra Hili Niletu Sote Allah Ammpe Malazi Meme Amughufiriye Kilaalilokosea Ndio Mja Allah Amjaalie Qaulthabit Yarabiy Amjaalie Qabriyake Liwe Minalriaadhiljannnah Yarabiy..

  • @mwajabuswedi2252
    @mwajabuswedi2252 7 месяцев назад

    Innalilah waina ilaih Rajiun. Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu. Mwenyezi mungu aiweke roho ya mzee wetu pahala pema inshallah

  • @athanasmalatabu7573
    @athanasmalatabu7573 7 месяцев назад +1

    Poleni sana familia ya Mzee Ally Hassan Mwinyi. Hayati Mzee Mwinyi atakumbikwa daima Kwa uungwana, ukarimu, utu na uzalendo Kwa Taifa lake!
    R. I. P Mzee Mwinyi

  • @UstadhImran
    @UstadhImran 7 месяцев назад +5

    Mungu amlaze mahalipema pepon Amin kikubwa kwa Sasa nikumuombeya duwa t tuweni pole 😭😭😭

  • @TwalaaTaib
    @TwalaaTaib 7 месяцев назад +1

    Aa Poleni sana ameondoka mtu wa watu na akipenda watu.Allah amuweka mahala pema peponi❤❤❤Frm Kenya

  • @RaphaelMgonja-zd6kp
    @RaphaelMgonja-zd6kp 7 месяцев назад +1

    Poleni sana ndugu zetu mungu amrehemu pema peponi apumzike kwa amani mzee wetu .

  • @ayshaaysha2165
    @ayshaaysha2165 7 месяцев назад +2

    Pole sana mwenyezi mungu awapeni subira na uvumirivu
    Kwa wakati huu mgumu

  • @nasramassawe5794
    @nasramassawe5794 7 месяцев назад +6

    Mungu amlaze mahali pema peponi usilie kaka jikaze umeniliza sana

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115
    @rabanphotostudionyakanazi_4115 7 месяцев назад +1

    Asante,groba

  • @NuruJumanneHamimu
    @NuruJumanneHamimu 7 месяцев назад +1

    Poleni Sana Alla awatie nguvu nasitupo pamoja ktk kipind hiki kigum Allah ampe kauli dhabit ktk balizaaa

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 7 месяцев назад

    Poleni sana familia ya mzee Mwinyi,,pole Rais wetu(mama Samia).

  • @rizikinassor5618
    @rizikinassor5618 7 месяцев назад

    Allahuma arhamhu waskinahum fil jannah🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭

  • @bibiejuma5094
    @bibiejuma5094 7 месяцев назад +4

    Innalillah wainaillahim rajiunah Allah amsamehe alipomkosea na ampokee akiwa ameridhia mzee wetu Mwinyi

  • @johnsonmajura552
    @johnsonmajura552 7 месяцев назад +5

    Hapo anaejua machungu ya kufiwa ni yule mfiwa mwenyewe ila wengine ni kutoa saport tu na kuchekelea na kuchambuana basi

  • @magrethnkuba2643
    @magrethnkuba2643 7 месяцев назад +2

    Allah awatie nguvu wafiwa wote

  • @ChidAlly
    @ChidAlly 7 месяцев назад

    Mungu ampumzishe mzee wetu tuta kukumbuka sana I'll mungu amekupenda Zaid sisi tuko nyuma yako baba🙏🙏

  • @greysonmandai132
    @greysonmandai132 7 месяцев назад +1

    Poleni sana familia ya babu yetu mzee mwinyi

  • @mossimakamba8095
    @mossimakamba8095 7 месяцев назад

    Allahuma ghfirlahu waarhamhu wamaskanahu filjannah 🤲

  • @SamaTime-n9z
    @SamaTime-n9z 7 месяцев назад +2

    Pole sana familia ya mzee wetu🤲🏽🤲🏽

  • @stanslaushaule170
    @stanslaushaule170 7 месяцев назад

    Tuombe Mungu tuwe wakishua 🙏

  • @hassankatram5697
    @hassankatram5697 7 месяцев назад

    Allah amrehemu mzee wetu inshaAllah.....

  • @clememallya4257
    @clememallya4257 7 месяцев назад

    Peni sana familia ya mzee mwinyi. Apumzike jwa amani. Ni ngumu sana ila Allah ampe pumziko la milele

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 7 месяцев назад +6

    انلله ؤان اليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه الفردوس الأعلى

    • @Kauthar-ve6dk
      @Kauthar-ve6dk 7 месяцев назад

      امين 🤲🤲انشاء الله

  • @LeahNjavike
    @LeahNjavike 7 месяцев назад

    Poleni Sana familia ya Mwinyi Kila nafsi itaonja mauti Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 7 месяцев назад +1

    Poleni sana wana familiy wote na watz kwa ujumla hakika tumeumia pumzika kwa amani babu yetu hakika tutakukumbuka😢😢 msalimie mzee jpm

  • @Manyanyatv8551
    @Manyanyatv8551 7 месяцев назад +3

    ‏‎‎إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك مع الصديقين والشهداء والصالحين

  • @noelahmsuyashawa8134
    @noelahmsuyashawa8134 7 месяцев назад

    Mungu Amrehemu Rais wetu he is indeed a role model kwenye kila sector

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 месяцев назад

    Polen sana wafamilia.Mungu awatie moyo. Pia On green Madktari wa Hospital ya Mzena kwa kazi nzuri.

  • @michilita2959
    @michilita2959 7 месяцев назад +10

    Pole swahiba yangu Abdallah

  • @RichadiMsofe
    @RichadiMsofe 7 месяцев назад

    Dah mwenyez ndie anajua yote mzee mwinyi pumzika kwa Aman

  • @himbokomussa3419
    @himbokomussa3419 7 месяцев назад

    Allah amsamehe mzee wetu madhambi yake.

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 7 месяцев назад

    Kufiwa usikie kwa jirani tu,omba usifikwe japo ni ngumu😢😢Mungu awape nguvu na faraja familia,ndugu jamaa na watanzania wote kwa ujumla... Innalillah wainalillah rajiun,Mola wetu mtukufu tunakuomba umpokee Mzee wetu umpe jaanat firdaus,nasi tunakuomba utupe neema ya mwisho mwema Allaumah Amiin Rarab🤲

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 7 месяцев назад +1

    Mwacheni Alieee jamani, mzazi anaumaaaa, haijalishi kafa na umri ganiii, na ukizingatia upendo wa huyu baba Kwa familia yake na hata kwa nchi yake ...huyu kaka ameniliza hata mimi, maumivu ya kumpoteza mzazi nayajuaa...
    Poleni Sana wanafamilia na watanzania wotee 😭😭🙏

  • @amoursalum7486
    @amoursalum7486 7 месяцев назад +2

    Poleni sana, ndio maandiko ya Allah Muhimu subra na Dua kwake ili safari yake iwe nyepesi

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 7 месяцев назад

    Mungu awape subra wakee na watoto wa mzee Ali Mwinyi na awalipe ujira mkubwa.

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 7 месяцев назад

    Mungu Ampe Pumziko la Amani

  • @jk40895
    @jk40895 7 месяцев назад +1

    Apumzike kwa Amani Mzee Wetu!

  • @hajimuhidini1903
    @hajimuhidini1903 7 месяцев назад +3

    Allah amsamehe makosayake

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 7 месяцев назад

    Inalilah wainalilah rajighun kazi yake mungu haina makosa leo kwake kesho kwetu yaarabi tupe njia sahihi nas tupe mwisho mwema

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 7 месяцев назад +2

    He raised a very wised mans

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 7 месяцев назад

    Mm namuelewa.. nimeondokewa na baba yangu mzazi mwaka jana na hadi sasa nahc uchungu mwingi sana😢

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 7 месяцев назад

    Has confidence on his speech.. like father like son

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 7 месяцев назад +2

    Ni kweli siku nzito baba ni baba mama ni mama mzazi wako hata akiwa mtu mzima bado unamtamani poleni

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 7 месяцев назад

    Kulia sio kutia aibu kaka, just cry huyo ni baba yako mzazi. We understand you

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 7 месяцев назад

    Wanalia Nini Mungu Alimjalia Baba yao Baraka za Ajabu, Alimpa Kibali cha Kukubalika na Kupendwa Dunia Nzima Amempa Maisha Marefu Ya Karibu Miaka 100. Ati Unalia Mwenye Shukurani na Fadhila Angemshukuru Mungu WAACHE UCHURO... Kuna Mama Anakufa Pale Hospitalini Akizaa Mtoto wake wa Kwanza Hy Wakilia Nitawaelewa! TUACHE KUMKUFURU MUNGU. Mimi Sipendi Unafiki Nasema Ukweli

    • @sabinahobe3478
      @sabinahobe3478 7 месяцев назад

      Ukweli upi sasa hapo? Huna uchungu kwa kuwa sio mzazi wako mzazi ni mzazi hata akiwa na miaka 200 unaumia akifa mana utaumisi upendo wake

    • @mwanaidiomari2183
      @mwanaidiomari2183 7 месяцев назад

      Mzazi hana mbadala ata awe na miaka elfu akiondoka utaumia tuu sababu ni mzazi wako mazoeaa

    • @mohamedhamismagoraonlinetv459
      @mohamedhamismagoraonlinetv459 7 месяцев назад

      Mpumbavu wewe

    • @ummyngayonga6522
      @ummyngayonga6522 7 месяцев назад

      Halijakufika likikufika utajua kwann wanalia mbali na neema alizo pewa baba yao

  • @amneali2804
    @amneali2804 7 месяцев назад

    Inna lillahi wainna ilayhi raajiuun Ee Mwenyezi Mungu mpokee vyema hayati Ali Hassan Mwinyi

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie 7 месяцев назад

    Innalillah wainna illah rajioun. Allah ampe kaul thabir

  • @AdelisaGaudin
    @AdelisaGaudin 7 месяцев назад

    Mungu amlaze mahari pema pepon 😭😭

  • @SleepyBallet-yp2cu
    @SleepyBallet-yp2cu 7 месяцев назад

    Apumzike kwa aman babu yetu kiongozi wetu ameen

  • @SabahHassan-z7d
    @SabahHassan-z7d 7 месяцев назад +1

    Poleni sana Allah awape subira ishaallah

  • @aminamkumbi2054
    @aminamkumbi2054 7 месяцев назад +3

    Poleni Sana

  • @MatandikaOmari
    @MatandikaOmari 7 месяцев назад

    Poleni sana wanafamilia kwa kweli tuna majonzi watanzania😭😭😭😭😭😭😭

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k 7 месяцев назад +1

    ila nimejifunza kitu kupitia hii msimba kwakweli ukiishii n watu vizuri utakapo ondoka wengii watabaki wasema mazuri yko n hio ndio mwishomwema 😢 Allah amjalie awe miongoni watakao ingia jannatulfirdaus Allahummah Ameen 🤲

  • @erastolyimo2423
    @erastolyimo2423 7 месяцев назад +1

    Pole familia ya mzee mwinyi,

  • @JOSEPHKIDENYA-rs5hj
    @JOSEPHKIDENYA-rs5hj 7 месяцев назад +1

    Poleni sana

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 7 месяцев назад

    Napenda sana familia ya Mzee mwinyi amnaga habari za viele ele kama familia za watoto wa viongozi wengne 🤝🤝

  • @AshaSalum-v6e
    @AshaSalum-v6e 7 месяцев назад +2

    ALLAH AWAPE SUBRA.KUONDOKEWA SI MCHEZO.MZAZI HATA AWE NA MIAKA 200 LAKINI AKIONDOKA UTAUMIA.

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 7 месяцев назад +1

      MZAZI HANA MBADALA UNALOSEMA NI HAKIKA

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 7 месяцев назад

      Kabisaa, eti watu wako muache aende amezeeka, life kisikie kwa jirani jamani kisiingie ndani.

  • @TillionsMon
    @TillionsMon 7 месяцев назад +1

    FAMILIA NZIMA YA MZEE WETU MH:HAYATI RAIS MWINYI,MUNGU AWAPE FARAJA KUU ,AMIIN

  • @PhilomenaSteven-x9h
    @PhilomenaSteven-x9h 7 месяцев назад

    Mungu akupe pumziko la milele na mwanga wa milele akuanganzie . Amina 🙏🙏🙏

  • @issacalley5145
    @issacalley5145 7 месяцев назад

    Innalilah wainnailah rajiuun,kitachowaliza kila cku ni mazoea ya baba enu,mu gu awape moyo wa subra

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 7 месяцев назад +1

    Mushukuruni Mungu sana hamna hata haja ya kulia , wenzenu sisi wazee wetu wote walituacha tukiwa wadogo na wala hawakutuachia mtu wala kitu ni majonzi ya kudumu mpaka Leo tunaomboleza , ila nyie mmebarikiwa heshima na Mari na Mzee wenu kaishi myaka mingi sana. 😢

    • @alicemwanjali1833
      @alicemwanjali1833 7 месяцев назад

      Hajalishi kifo kinauma kaka mtu ni Bora kuliko mali inauma

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 7 месяцев назад +2

    R.i.p mzee wetu😢😢😢

  • @bubulini645
    @bubulini645 7 месяцев назад

    Ni ukweli kupiteza mzazi sio rahisi....lalini kukaa mirele hawiwezekani....mumushukulu mungu mumekuwa na bahati

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 7 месяцев назад

    Baba ,mama ,mke ,mume mtoto na rafiki kipenzi wanauma sana wakifa

  • @Alishaib-zp2yn
    @Alishaib-zp2yn 7 месяцев назад

    Mungu akulaz mahala pema peponi Baba yake Ali Hassan mwinyii

  • @abdibilali4186
    @abdibilali4186 7 месяцев назад

    Poleni sana Wana familia na Taifa kwa ujumla

  • @AllyMakelo
    @AllyMakelo 7 месяцев назад

    Poleni sana Kila chenye mwanzo akiksi mwisho

  • @SumiraMengi-tu1hs
    @SumiraMengi-tu1hs 7 месяцев назад +1

    Mungu awatie nguvu katikati kipindi hiki kigumu poleni sana wanafamilia

  • @MildredBrenda-v4l
    @MildredBrenda-v4l 7 месяцев назад

    Pole sana wazalendo wa Tanzania

  • @shekhakhamis6586
    @shekhakhamis6586 7 месяцев назад

    Polen Allah awape subra
    Janna furdaus iwe makazi yake Amiin Amiin Amiin

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 7 месяцев назад

    Safari yake iwe ya salama Mungu tunakuomba dua zetu

  • @MamaEmmah
    @MamaEmmah 7 месяцев назад +1

    Pumzika Babu yetu

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 7 месяцев назад +2

    Poleni sana, allah amsamehe

  • @SalimSilima-ze9ep
    @SalimSilima-ze9ep 7 месяцев назад

    poleni wana familia na watanzania kwa ujumla na wale wote walioguswa na msiba huu

  • @MwihindiWetu
    @MwihindiWetu 7 месяцев назад

    Pole sana na msiba

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 7 месяцев назад

    Na kakako muombe awe kama babake muadilifu aitendee haki Zanzibar ni jukumu kubwa alilonalo amuone babake anavosifiwa na watu.

  • @Barakatabudul
    @Barakatabudul 7 месяцев назад

    Maskinii sautii" kama ya Babake akiongea😢

  • @PascalMlutu
    @PascalMlutu 7 месяцев назад +2

    My condolences to the family

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502 7 месяцев назад

    Allahumma ghafrillahu waskanahu fil janah🤲🤲

  • @JumaDea
    @JumaDea 7 месяцев назад

    Pole sana bro

  • @Rukia-g2l
    @Rukia-g2l 7 месяцев назад

    Poleni sana Kwa msiba

  • @batulially4314
    @batulially4314 7 месяцев назад

    Allah amjaalie kauli thabit amsamehe makosa yake amiin

  • @MACKMLUMA-f2j
    @MACKMLUMA-f2j 7 месяцев назад

    Pole sana kiongozi.

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn 7 месяцев назад

    Polen sana familia na taifa kwa ujmla

  • @Yonahmalaki
    @Yonahmalaki 7 месяцев назад

    Mungu awatie moyo

  • @khatimabdallah8143
    @khatimabdallah8143 7 месяцев назад

    innah lillaah wainnah ilaihum rajiuun allaa awape subra nyote familia amiin