MTOTO wa MZEE MWINYI AMWAGA MACHOZI - AMLIZA HADI KAKA'KE RAIS MWINYI - "HAKUWAHI KUUMWA KABLA"...
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- MTOTO wa MZEE MWINYI AMWAGA MACHOZI - AMLIZA HADI KAKA'KE RAIS MWINYI - "HAKUWAHI KUUMWA KABLA"...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Sisi Wakenya tunaendelea kuwaombea. Mungu awape nguvu familia ha Raisi mstaafu Mheshimiwa Mwinyi. Mungu awape nguvu serikali ya Tanzania na ndugu zetu Watanzania ❤
This is guy is strong, and of course he has a very command of speeches. Mwinyi raised intelligent sons!
Swahili pliz
I agree
Poleni sana yote ni mapenzi ya Mungu na ni njia ya kila mtu amin
Inna Lillahi Waina Ileyhi Rajiun,
Allah [S.W] ampe kauli thabit ,amuondole adhabu ya moto na ya kaburi, ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia na amuweke miongoni mwa waja wema JANNAT FIRDAUS, pia na wazee wetu na families walio tangulia tukutane tena Allah atukutanishe tena kwenye pepo yake
ALLAH ATUPE SUBRA FAMILY NA SISI SOTE KUONDOKEWA NA MZEE WETU , KIONGOZI , MENTOR ,ROLE MODEL, MWALIMU BABU NA BABA YETU MPENDWA
ALLAH AKURAMU.
Kufiwa hakuna ukubwa kiukweli inaumiza Mungu awape subra
Mungu alitoa na bwana ametwaa jina la baba lihimidiwe amina
Poleni wanafamilia kwa kuondokea na mzee wenu mpendwa inauma ila kazi ya mungu Haina makosa nmetokwa na machozi pole rais wetu mpendwa kuweni na subra
Amemaliza safari yake.
Mungu ampuzishe Kwa Amani Mzee wetu Mwinyi 🙏
Pole sana kaka Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumuuuuuu sana pamoja na Sisi watanzania wote kwa ujumla pumzika Kwa aman Mzee wetu Babu yetu kipenz yote ni mipango ya Mungu ishallaah Allaah ❤️😭
Inaonyesha aliwapenda sana watoto wake, ndio maana wanasikia huzuni. Shukrani Mzee Mwinyi kwa zawadi ya maisha yako kututumikia Watanzania vema na kwa unyenyekevu.
Allah amfanyie wepes katika safari yake inshaallah
Allah amsameh,amrehem amjaalie kaburi liwe ni miongoni mwa viwanja vya peponi..Amiin
Poleni sana wanafamilia nimeumia sanaa kwa kweli uyu kaka kaniliza kbs 😢😢
Poleni Sana Allah Akupeni Moyo Wasubra Hili Niletu Sote Allah Ammpe Malazi Meme Amughufiriye Kilaalilokosea Ndio Mja Allah Amjaalie Qaulthabit Yarabiy Amjaalie Qabriyake Liwe Minalriaadhiljannnah Yarabiy..
Innalilah waina ilaih Rajiun. Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu. Mwenyezi mungu aiweke roho ya mzee wetu pahala pema inshallah
Poleni sana familia ya Mzee Ally Hassan Mwinyi. Hayati Mzee Mwinyi atakumbikwa daima Kwa uungwana, ukarimu, utu na uzalendo Kwa Taifa lake!
R. I. P Mzee Mwinyi
Mungu amlaze mahalipema pepon Amin kikubwa kwa Sasa nikumuombeya duwa t tuweni pole 😭😭😭
Aa Poleni sana ameondoka mtu wa watu na akipenda watu.Allah amuweka mahala pema peponi❤❤❤Frm Kenya
Poleni sana ndugu zetu mungu amrehemu pema peponi apumzike kwa amani mzee wetu .
Pole sana mwenyezi mungu awapeni subira na uvumirivu
Kwa wakati huu mgumu
Mungu amlaze mahali pema peponi usilie kaka jikaze umeniliza sana
Asante,groba
Poleni Sana Alla awatie nguvu nasitupo pamoja ktk kipind hiki kigum Allah ampe kauli dhabit ktk balizaaa
Poleni sana familia ya mzee Mwinyi,,pole Rais wetu(mama Samia).
Allahuma arhamhu waskinahum fil jannah🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭
Innalillah wainaillahim rajiunah Allah amsamehe alipomkosea na ampokee akiwa ameridhia mzee wetu Mwinyi
Hapo anaejua machungu ya kufiwa ni yule mfiwa mwenyewe ila wengine ni kutoa saport tu na kuchekelea na kuchambuana basi
Allah awatie nguvu wafiwa wote
Mungu ampumzishe mzee wetu tuta kukumbuka sana I'll mungu amekupenda Zaid sisi tuko nyuma yako baba🙏🙏
Poleni sana familia ya babu yetu mzee mwinyi
Allahuma ghfirlahu waarhamhu wamaskanahu filjannah 🤲
Pole sana familia ya mzee wetu🤲🏽🤲🏽
Tuombe Mungu tuwe wakishua 🙏
Allah amrehemu mzee wetu inshaAllah.....
Peni sana familia ya mzee mwinyi. Apumzike jwa amani. Ni ngumu sana ila Allah ampe pumziko la milele
انلله ؤان اليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه الفردوس الأعلى
امين 🤲🤲انشاء الله
Poleni Sana familia ya Mwinyi Kila nafsi itaonja mauti Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi
Poleni sana wana familiy wote na watz kwa ujumla hakika tumeumia pumzika kwa amani babu yetu hakika tutakukumbuka😢😢 msalimie mzee jpm
إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك مع الصديقين والشهداء والصالحين
Mungu Amrehemu Rais wetu he is indeed a role model kwenye kila sector
Polen sana wafamilia.Mungu awatie moyo. Pia On green Madktari wa Hospital ya Mzena kwa kazi nzuri.
Pole swahiba yangu Abdallah
Dah mwenyez ndie anajua yote mzee mwinyi pumzika kwa Aman
Allah amsamehe mzee wetu madhambi yake.
Kufiwa usikie kwa jirani tu,omba usifikwe japo ni ngumu😢😢Mungu awape nguvu na faraja familia,ndugu jamaa na watanzania wote kwa ujumla... Innalillah wainalillah rajiun,Mola wetu mtukufu tunakuomba umpokee Mzee wetu umpe jaanat firdaus,nasi tunakuomba utupe neema ya mwisho mwema Allaumah Amiin Rarab🤲
Mwacheni Alieee jamani, mzazi anaumaaaa, haijalishi kafa na umri ganiii, na ukizingatia upendo wa huyu baba Kwa familia yake na hata kwa nchi yake ...huyu kaka ameniliza hata mimi, maumivu ya kumpoteza mzazi nayajuaa...
Poleni Sana wanafamilia na watanzania wotee 😭😭🙏
Poleni sana, ndio maandiko ya Allah Muhimu subra na Dua kwake ili safari yake iwe nyepesi
Mungu awape subra wakee na watoto wa mzee Ali Mwinyi na awalipe ujira mkubwa.
Mungu Ampe Pumziko la Amani
Apumzike kwa Amani Mzee Wetu!
Allah amsamehe makosayake
Inalilah wainalilah rajighun kazi yake mungu haina makosa leo kwake kesho kwetu yaarabi tupe njia sahihi nas tupe mwisho mwema
He raised a very wised mans
Mm namuelewa.. nimeondokewa na baba yangu mzazi mwaka jana na hadi sasa nahc uchungu mwingi sana😢
Has confidence on his speech.. like father like son
Ni kweli siku nzito baba ni baba mama ni mama mzazi wako hata akiwa mtu mzima bado unamtamani poleni
Kulia sio kutia aibu kaka, just cry huyo ni baba yako mzazi. We understand you
Wanalia Nini Mungu Alimjalia Baba yao Baraka za Ajabu, Alimpa Kibali cha Kukubalika na Kupendwa Dunia Nzima Amempa Maisha Marefu Ya Karibu Miaka 100. Ati Unalia Mwenye Shukurani na Fadhila Angemshukuru Mungu WAACHE UCHURO... Kuna Mama Anakufa Pale Hospitalini Akizaa Mtoto wake wa Kwanza Hy Wakilia Nitawaelewa! TUACHE KUMKUFURU MUNGU. Mimi Sipendi Unafiki Nasema Ukweli
Ukweli upi sasa hapo? Huna uchungu kwa kuwa sio mzazi wako mzazi ni mzazi hata akiwa na miaka 200 unaumia akifa mana utaumisi upendo wake
Mzazi hana mbadala ata awe na miaka elfu akiondoka utaumia tuu sababu ni mzazi wako mazoeaa
Mpumbavu wewe
Halijakufika likikufika utajua kwann wanalia mbali na neema alizo pewa baba yao
Inna lillahi wainna ilayhi raajiuun Ee Mwenyezi Mungu mpokee vyema hayati Ali Hassan Mwinyi
Amina pole sana
Innalillah wainna illah rajioun. Allah ampe kaul thabir
Mungu amlaze mahari pema pepon 😭😭
Apumzike kwa aman babu yetu kiongozi wetu ameen
Poleni sana Allah awape subira ishaallah
Poleni Sana
Poleni sana wanafamilia kwa kweli tuna majonzi watanzania😭😭😭😭😭😭😭
ila nimejifunza kitu kupitia hii msimba kwakweli ukiishii n watu vizuri utakapo ondoka wengii watabaki wasema mazuri yko n hio ndio mwishomwema 😢 Allah amjalie awe miongoni watakao ingia jannatulfirdaus Allahummah Ameen 🤲
Pole familia ya mzee mwinyi,
Poleni sana
Napenda sana familia ya Mzee mwinyi amnaga habari za viele ele kama familia za watoto wa viongozi wengne 🤝🤝
ALLAH AWAPE SUBRA.KUONDOKEWA SI MCHEZO.MZAZI HATA AWE NA MIAKA 200 LAKINI AKIONDOKA UTAUMIA.
MZAZI HANA MBADALA UNALOSEMA NI HAKIKA
Kabisaa, eti watu wako muache aende amezeeka, life kisikie kwa jirani jamani kisiingie ndani.
FAMILIA NZIMA YA MZEE WETU MH:HAYATI RAIS MWINYI,MUNGU AWAPE FARAJA KUU ,AMIIN
Mungu akupe pumziko la milele na mwanga wa milele akuanganzie . Amina 🙏🙏🙏
Innalilah wainnailah rajiuun,kitachowaliza kila cku ni mazoea ya baba enu,mu gu awape moyo wa subra
Mushukuruni Mungu sana hamna hata haja ya kulia , wenzenu sisi wazee wetu wote walituacha tukiwa wadogo na wala hawakutuachia mtu wala kitu ni majonzi ya kudumu mpaka Leo tunaomboleza , ila nyie mmebarikiwa heshima na Mari na Mzee wenu kaishi myaka mingi sana. 😢
Hajalishi kifo kinauma kaka mtu ni Bora kuliko mali inauma
R.i.p mzee wetu😢😢😢
Ni ukweli kupiteza mzazi sio rahisi....lalini kukaa mirele hawiwezekani....mumushukulu mungu mumekuwa na bahati
Baba ,mama ,mke ,mume mtoto na rafiki kipenzi wanauma sana wakifa
Mungu akulaz mahala pema peponi Baba yake Ali Hassan mwinyii
Poleni sana Wana familia na Taifa kwa ujumla
Poleni sana Kila chenye mwanzo akiksi mwisho
Mungu awatie nguvu katikati kipindi hiki kigumu poleni sana wanafamilia
Pole sana wazalendo wa Tanzania
Polen Allah awape subra
Janna furdaus iwe makazi yake Amiin Amiin Amiin
Safari yake iwe ya salama Mungu tunakuomba dua zetu
Pumzika Babu yetu
Poleni sana, allah amsamehe
poleni wana familia na watanzania kwa ujumla na wale wote walioguswa na msiba huu
Pole sana na msiba
Na kakako muombe awe kama babake muadilifu aitendee haki Zanzibar ni jukumu kubwa alilonalo amuone babake anavosifiwa na watu.
Maskinii sautii" kama ya Babake akiongea😢
My condolences to the family
Allahumma ghafrillahu waskanahu fil janah🤲🤲
Pole sana bro
Poleni sana Kwa msiba
Allah amjaalie kauli thabit amsamehe makosa yake amiin
Pole sana kiongozi.
Polen sana familia na taifa kwa ujmla
Mungu awatie moyo
innah lillaah wainnah ilaihum rajiuun allaa awape subra nyote familia amiin