TAJIRI ARUSHA AMSHANGAA MAKONDA - BILA WOGA AMUONESHA MADUDU ya KODI SERIKALINI - "MIMI ni BINADAMU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 апр 2024
  • TAJIRI ARUSHA AMSHANGAA MAKONDA - BILA WOGA AMUONESHA MADUDU ya KODI SERIKALINI - "MIMI ni BINADAMU"
    Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda amekutana na wadau wa utalii na watendaji Wakuu wa Sekta hiyo Mkoa wa Arusha na kufanya nao kikao chenye lengo la kusikiliza kero na changamoto zinazoikabili sekta hiyo. Kikao hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Aprili 13, 2014.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 232

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  20 дней назад +9

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 16 дней назад +13

    We baba SIKUJUI ILA UMETUHESHIMISHA WAFANYA BIASHARA WOTEEEEE NCHI NZIMAAAA🎉

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 19 дней назад +26

    This business man is very bright person.

  • @StephenMaduhu-sn2dl
    @StephenMaduhu-sn2dl 15 дней назад +12

    Broo makonda unaongoza vizuri sana one day iwishi uwe raisi wajamhuri , sipendi siasa lakini wanifanya nichome bando juu Yako, mungu akulinde.

  • @salatielmwakyambiki8383
    @salatielmwakyambiki8383 17 дней назад +6

    MAKONDA you will ALWAYS be higher. Mungu amekupa. Hakuna atakaenyang'anya.

  • @mconedimple5364
    @mconedimple5364 4 дня назад

    Namkubali sana makonda ni mchapa kazi kwa vitendo sio maneno manenoo,Mungu atulibdie makonda wetu

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q 19 дней назад +16

    Safi sana Mweshimiwa Paul makonda piga kazi Baba Mungu yupo na wewe

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 21 день назад +13

    Huyu nduguye tu safi kbsa alimshangaza hata Gavana

  • @user-zd9dh6ml4l
    @user-zd9dh6ml4l 21 день назад +14

    Yupo sawa makonda simamiya hao watu wanajitambuwa

  • @user-kl5yn6tq1u
    @user-kl5yn6tq1u 13 дней назад +1

    dah hapo makonda umeongea nakubali kazi hii serikali inafukuza wawekezaji sanaa kwa njaa za wafanyakazi wa serikali

  • @amanikafonogo9695
    @amanikafonogo9695 17 дней назад +4

    ukipata mentor km uyu mbaba aise future yako n guarantee hongera mzee so smart

    • @peterkolam8193
      @peterkolam8193 16 дней назад

      its process, kafika hapo katengenezwa ila viajana kwa sasa ujuaji mwingi sana. yuko smart sana nakubaliana na wewe.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 21 день назад +17

    Makonda amefanya watu huru,wanatiririka bila woga.big up makonda.ndio maana Rais kukupeleka arusha

  • @user-yr8er5fv6g
    @user-yr8er5fv6g 16 дней назад +2

    Asante sana mama kizi mkazi watu wanafaidika sana kwenye uongozi huu😢😢😢

  • @neemacocorico2022
    @neemacocorico2022 17 дней назад +2

    Huyu Business man tuko vizuri Sana.Bravo makonda

  • @lucasmwiga2656
    @lucasmwiga2656 8 дней назад +1

    Tatizo kila sector n ccm hamuwez kutoboaa maana hamuwez kuchukuliana hatua , at de end of Time mtakufa vibaya sana kwa laana

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 18 дней назад +4

    Mungu akuinue akulinde makonda

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 19 дней назад +9

    Nataman uwe rais wa hii nch kaka

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 21 день назад +8

    Ila serikali yetu jaman

  • @noelahmartine6625
    @noelahmartine6625 16 дней назад +1

    Arusha Kuna watu wanafaa kua Raisi km huyu mzee❤❤❤

  • @leonardjohnson2058
    @leonardjohnson2058 21 день назад +7

    Hii hati safi Arusha walipataje

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 21 день назад +20

    😂😂😂Faza kiboko..yan anavielelezo vyote🔥🔥

  • @weslaus7750
    @weslaus7750 21 день назад +19

    Kile kihoteli kidogo Kile 😂 Kweli Maisha hayana usawa

    • @njaujustin56
      @njaujustin56 21 день назад +1

      Ahahaa Kibo et kihotel kidogo😂

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 19 дней назад +6

      Hawezi kuji sifia nayo ni njia ya kuto pigwa kodi kubwa kubwa harafu pia wachaga huwa wasiri sana ila pesa huwa wanazo..kimya kimyaaa.😂😂

    • @abdihassan562
      @abdihassan562 18 дней назад

      Hehehehehe

    • @HassanHamza-qx9cm
      @HassanHamza-qx9cm 18 дней назад

      ​Huyo Mzee mbona kama mzungu​@@jeremiapeter683

  • @Vuvuzelaz1
    @Vuvuzelaz1 19 дней назад +2

    Safiii sana sema kaka usiogope majizi ni mengi sana huko serikalini

  • @user-px7ef5oc2x
    @user-px7ef5oc2x 14 дней назад

    Mwenyezi MUNGU yu pamoja nawe namuona raisi wangu wa future una MUNGU hakika

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 18 дней назад +5

    Ila hii nchi yetu ina mifumo ya ulipaji kodi wenye masharti ya ajabu ni ya kichaa tu ndo anaweza kuyakubali

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 21 день назад +3

    Lifanyie kazi hilo mheshimiwa Makonda

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 16 дней назад

    Makonda mungu akuzidishie umri mlefu, nakupenda sana🌹

  • @user_asak2023
    @user_asak2023 18 дней назад

    4ever grateful to u makonda🎉

  • @frankahhm
    @frankahhm 16 дней назад +2

    Mkaburu mtu smart sana na haogopi 🙌🏽

    • @LugyPlan
      @LugyPlan 11 дней назад

      Et mkaburu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kabletv
    @kabletv 17 дней назад +2

    Makonda ni future Vice PM halafu baaaaaaaaaaaaade huko Mr. Pres

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 21 день назад +1

    Duuuuh kazi ipo wapigaji wapo kila mahala bila juhudi binafsi Kwa uongozi wa namna hii kodi hazikusanywi Kwa uaminifu tutakaoumia ni wananchi Kwa TOZO na laini za simu ooooh nchi yangu Tanzania makonda pekeako utaweza? Hiyo ni arusha tu na mikoa mingine vipi?😢😢😢

  • @paschalsanya8339
    @paschalsanya8339 6 дней назад

    Mshua yuko very smart 🙏

  • @user-lc2em8uz6z
    @user-lc2em8uz6z 21 день назад +9

    Mchaga hadhulumiwi kabisa.

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 21 день назад +6

    Nchi yetu nawatu wanaimba Sana

  • @erefeconc
    @erefeconc 15 дней назад

    Nakubali baba makondaaa piga kaziiii🎉

  • @ConsolataBageni-ir6mb
    @ConsolataBageni-ir6mb 21 день назад +1

    Anaefanya kazi kwa haki hazibiwi,maana kazi zake zinaonekana na watu wanazifurahia,SI muda mrefu wasiotupenda walakahoi sisi, wataibua Mambo juu ya Makonda.
    Tunawaomba mpeni Makonda nafasi atuhudumie sisi wanyonge.

  • @officialshelomwangole256
    @officialshelomwangole256 18 дней назад

    Very friendly 🤗🤗

  • @ayubzaka1598
    @ayubzaka1598 17 дней назад

    Hotel of owner is very bright person there very smart

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 18 дней назад

    Mkuu wa mkoa wangu huyu jamani❤❤

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 18 дней назад

    Aisee mkuu pambania wananchi na mungu akusimamie

  • @user-lt7yx2ms7h
    @user-lt7yx2ms7h 21 день назад +13

    Mwanaume yupo kazini 🙏🙏🙏

  • @user-ex8jm1wg6q
    @user-ex8jm1wg6q 18 дней назад +1

    Hofu ya mungu itawale ndani ya mioyo yenu

  • @user-xh3es4ws9w
    @user-xh3es4ws9w 17 дней назад

    Chambulo yuko vizuri anaga kona kona bos safi sana

  • @cosmasduxo7809
    @cosmasduxo7809 19 дней назад +2

    Ana uelewa mkubwa sana!!

  • @yusuphbendera7544
    @yusuphbendera7544 16 дней назад

    Big up makonda

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 21 день назад +1

    Wezi sana

  • @stevekayala6569
    @stevekayala6569 18 дней назад

    Hongera makonda

  • @mc.dr.nnyaka
    @mc.dr.nnyaka 19 дней назад

    Piga kazi kaka songa mbele Mungu anakusudi na wewe

  • @MohamedSalumMtumwene
    @MohamedSalumMtumwene 7 дней назад

    Great

  • @user-ex8jm1wg6q
    @user-ex8jm1wg6q 18 дней назад

    Muogopeni mungu muwe na hofu yangu

  • @BienvenueBisimwa-rn9rn
    @BienvenueBisimwa-rn9rn 18 дней назад +1

    Makonda Mungu akulinde,mimi mu kongomani,lakini napenda kazi ukonafanya wewe JPM🇨🇩🇨🇩

  • @gloryedson9311
    @gloryedson9311 10 дней назад

    ❤❤

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 21 день назад +3

    Duuuu seeeee ih noma mpka cotrooo heeeee

  • @mbiu023
    @mbiu023 15 дней назад

    Hatari sana

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 18 дней назад +1

    Kazi mnayo

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 21 день назад +3

    Wazirudishe pesa zako

  • @mangimosha95
    @mangimosha95 12 дней назад

    Umepigwa men

  • @BarakaBaraka-wm9ok
    @BarakaBaraka-wm9ok 12 дней назад

  • @charzlyimo381
    @charzlyimo381 15 дней назад

    Safi sana tajiri

  • @ChiristinaKapinga
    @ChiristinaKapinga 18 дней назад

    Mpaka hapo makonda nakupa bigap nyingi sana

  • @RamadhaniMgeta
    @RamadhaniMgeta 14 дней назад

    Nimefurahi kazinzito makonda piya ikumbushe serikari wilaya ya ukerewe mkowani mwanza wasanii tunateswa tunashindwa kuitangaza tz kupitia sanaa zetu

  • @charlesmoshi1983
    @charlesmoshi1983 21 день назад +7

    Inamaana mzigo unalipia kwa Control no na unachengeshwa vile vile ..jamaa kaona isiwe tabu au niwadai

  • @timothkatwela
    @timothkatwela 17 дней назад +1

    Machawa kwenye ubora😢😢

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 17 дней назад

    Huyu ni mtu mzuri sana, pole kwa changamoto zote

  • @kabwela2859
    @kabwela2859 14 дней назад

    Neno unalolitafuta Bwana Makonda linaitwa "TRANPARENCY". Uwazi wa bei elekezi na gharama za kodi kwa kila mfanyabiashara. Mzee analalamika gharama za kodi ni tofauti kwa wafanyabiashara tofauti ambao wanafanya biashara ya aina moja. Possibility ya favourism kwenye kitengo. Haiwezekani kumkata mmoja kodi kwenye GROSS wakati mwingine anakatwa kwenye NET, hiyo lazima itamnyonya mmoja.

  • @hamisimtaki5680
    @hamisimtaki5680 10 дней назад

    Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sirongamollel7032
    @sirongamollel7032 17 дней назад

    Kibooo

  • @user-lr7em1ch8g
    @user-lr7em1ch8g 21 день назад

    Angalia 😢na njia ni mbovu na hospital zimejengwa na akuna huduma njoo kwaugoro mtoto anataka chanjo ya miezi mitatu mpaka anatembea nauli ya pkpk mpaka USA ni elfu kumi ana ata nauli akuna usafi wakufika

  • @geofkabo7843
    @geofkabo7843 19 дней назад

    Tuwaombee viongozi woootee waadilifu mungu awalinde ila hawa wezi mungu atashughulika nao pia

  • @LucasMasalu-pn3ls
    @LucasMasalu-pn3ls 6 дней назад

    Opera Sana mkuu

  • @donatusngowi2267
    @donatusngowi2267 18 дней назад

    Mazingira ya rushwa

  • @grecemichael7567
    @grecemichael7567 21 час назад

    Mh Makonda nakutalia jumapili njema

  • @user-hz7wp4kk7e
    @user-hz7wp4kk7e 15 дней назад

    Jamani! “We need more operator. We need more hotel….” Kiingereza kigumu sana.

  • @user-er4vg2tv3x
    @user-er4vg2tv3x 20 дней назад

    Mwamba unaweza sana makonda pambana kaka unajua kufanya kazi kwa kujitolea na ubunifu.

    • @universitylink
      @universitylink 19 дней назад

      Mwehishimuwa rahisi hajakosea kukutuma Arusha pambana mweshimiwa

  • @RamadhaniMgeta
    @RamadhaniMgeta 14 дней назад

    Mm napenda uigizaji kuimba naweza na ninazo singo 15 naitaji sapota

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 19 дней назад +4

    Huyu brother yupo vizur sana

  • @MbozyoEntertainment
    @MbozyoEntertainment 11 дней назад

    Wajipange vizuri😅

  • @RichardNdeki
    @RichardNdeki 18 минут назад

    Kweli hatuwaz nchi yetu tutaiachaje kesho,amini walaji wauawe coz hawatufai kabisa

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 21 день назад +3

    Arusha Kwa mafisadi ni kibokoo mdo

  • @JastiniKaijage
    @JastiniKaijage 21 день назад

    Ayo yakosehemu nyingi

  • @husseinbongo7447
    @husseinbongo7447 19 дней назад +1

    Hiii nchi ngumu sana, kutoka kwenye umasikini labda miaka 500 ijayo ndo

  • @PatriceSobera
    @PatriceSobera 21 день назад

    Heko

  • @MarthaDaniely
    @MarthaDaniely 11 дней назад

    Samhan Tajiri nywele zimefayje😮

    • @user-hp6pq9fb2l
      @user-hp6pq9fb2l 11 дней назад

      Uyu atakuwa ni mchaga aliechanganya na mtu mweupe nywele zinajieleza

  • @tripletalcantara6531
    @tripletalcantara6531 20 дней назад

    Fix audio

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 13 дней назад

    😎

  • @MkindwaDeus
    @MkindwaDeus 15 дней назад

    Mama kasema kula kuligana kamba uliofungwa asa jaama wanajizdixhia ulefu WA kamba

  • @Qtep-eb3og
    @Qtep-eb3og 8 дней назад

    Is not a problem makonda aah boss😂😂😂😂😂😂

  • @EmmanuelMaghway
    @EmmanuelMaghway 18 дней назад

    Hii ndo Tanzania yetu

  • @bonamikina2666
    @bonamikina2666 16 дней назад

    Baadhi ya watendaji Serikalini wengi ni vilaza sana.

  • @toremanase4162
    @toremanase4162 16 дней назад

    Huyu jamaa serikali wamchukue atawasaidia sanaa

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 21 день назад

    Makonda angepewa mwenge angemlika sana

  • @SamwelMeyasi
    @SamwelMeyasi 21 день назад +4

    Ata control no tuseme ni geresha 😂😂

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 20 дней назад

      watu wanachekecha Sana

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 19 дней назад

      Sasa si wana tengeneza wenyewe Hizo number..yaani mbongo huwa hashindwi kitu.ume zuia cash Ana kwenda kuiba kwa Control number..😂😂

  • @DianaWilly-mr2pf
    @DianaWilly-mr2pf 15 дней назад

    Wallaah natamani makonda awe au bc

  • @simiyujustuswafula337
    @simiyujustuswafula337 17 дней назад

    Online

  • @ElishaJohn-zm6ek
    @ElishaJohn-zm6ek 16 дней назад

    🎉❤

  • @AngerusLijuja-bg6sb
    @AngerusLijuja-bg6sb 17 дней назад

    DAA INAUMIZA SANA MTU ANA OKOTAOKOTA UKO KWA KUJIBANA WATU WANAIBA WAZI DAA HII HATARI SANA POLE MZEE HII ICHI NGUMU SANA AWA NYOKO NI KUMPIGA RISASI NAKUMBUKA JPM

  • @user-kl5yn6tq1u
    @user-kl5yn6tq1u 13 дней назад

    sisi wawekezaji wa hoteli ndg tunalipa kodi sawa na mahotel makubwa haina maana hyo kodi zimejuwa nyingi mno mpka watu wanauza na kukimbia

  • @thelalas9204
    @thelalas9204 19 дней назад +1

    Na hizi control number zinahitaji utafiti,haziaminiki kabisa

  • @user-qe5cb7vy6o
    @user-qe5cb7vy6o 18 дней назад

    Miloni 21 zirudishe Kwa HUYO mfanya biashara natusikie kwenye vyombo HABARI ashtakiwà nakufungwa ITAKUWA WA KUFUNGWA wakwanza KUFUNGWA mwenye pesa awamu HII. Ya 6…

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 17 дней назад

    Siasa mchezo mchafu xana😢😢