TAJIRI ARUSHA AMSHANGAA MAKONDA - BILA WOGA AMUONESHA MADUDU ya KODI SERIKALINI - "MIMI ni BINADAMU"
HTML-код
- Опубликовано: 13 апр 2024
- TAJIRI ARUSHA AMSHANGAA MAKONDA - BILA WOGA AMUONESHA MADUDU ya KODI SERIKALINI - "MIMI ni BINADAMU"
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda amekutana na wadau wa utalii na watendaji Wakuu wa Sekta hiyo Mkoa wa Arusha na kufanya nao kikao chenye lengo la kusikiliza kero na changamoto zinazoikabili sekta hiyo. Kikao hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Aprili 13, 2014.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Acheni uongo basi wazee
We baba SIKUJUI ILA UMETUHESHIMISHA WAFANYA BIASHARA WOTEEEEE NCHI NZIMAAAA🎉
This business man is very bright person.
Uko vizuri mkuu
Broo makonda unaongoza vizuri sana one day iwishi uwe raisi wajamhuri , sipendi siasa lakini wanifanya nichome bando juu Yako, mungu akulinde.
MAKONDA you will ALWAYS be higher. Mungu amekupa. Hakuna atakaenyang'anya.
Namkubali sana makonda ni mchapa kazi kwa vitendo sio maneno manenoo,Mungu atulibdie makonda wetu
Safi sana Mweshimiwa Paul makonda piga kazi Baba Mungu yupo na wewe
Huyu nduguye tu safi kbsa alimshangaza hata Gavana
Yupo sawa makonda simamiya hao watu wanajitambuwa
dah hapo makonda umeongea nakubali kazi hii serikali inafukuza wawekezaji sanaa kwa njaa za wafanyakazi wa serikali
ukipata mentor km uyu mbaba aise future yako n guarantee hongera mzee so smart
its process, kafika hapo katengenezwa ila viajana kwa sasa ujuaji mwingi sana. yuko smart sana nakubaliana na wewe.
Makonda amefanya watu huru,wanatiririka bila woga.big up makonda.ndio maana Rais kukupeleka arusha
Asante sana mama kizi mkazi watu wanafaidika sana kwenye uongozi huu😢😢😢
Huyu Business man tuko vizuri Sana.Bravo makonda
Tatizo kila sector n ccm hamuwez kutoboaa maana hamuwez kuchukuliana hatua , at de end of Time mtakufa vibaya sana kwa laana
Mungu akuinue akulinde makonda
Nataman uwe rais wa hii nch kaka
Ila serikali yetu jaman
Arusha Kuna watu wanafaa kua Raisi km huyu mzee❤❤❤
Hii hati safi Arusha walipataje
😂😂😂Faza kiboko..yan anavielelezo vyote🔥🔥
Ana
Kahwaafe
Kile kihoteli kidogo Kile 😂 Kweli Maisha hayana usawa
Ahahaa Kibo et kihotel kidogo😂
Hawezi kuji sifia nayo ni njia ya kuto pigwa kodi kubwa kubwa harafu pia wachaga huwa wasiri sana ila pesa huwa wanazo..kimya kimyaaa.😂😂
Hehehehehe
Huyo Mzee mbona kama mzungu@@jeremiapeter683
Safiii sana sema kaka usiogope majizi ni mengi sana huko serikalini
Mwenyezi MUNGU yu pamoja nawe namuona raisi wangu wa future una MUNGU hakika
Ila hii nchi yetu ina mifumo ya ulipaji kodi wenye masharti ya ajabu ni ya kichaa tu ndo anaweza kuyakubali
Lifanyie kazi hilo mheshimiwa Makonda
Makonda mungu akuzidishie umri mlefu, nakupenda sana🌹
4ever grateful to u makonda🎉
Mkaburu mtu smart sana na haogopi 🙌🏽
Et mkaburu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Makonda ni future Vice PM halafu baaaaaaaaaaaaade huko Mr. Pres
Duuuuh kazi ipo wapigaji wapo kila mahala bila juhudi binafsi Kwa uongozi wa namna hii kodi hazikusanywi Kwa uaminifu tutakaoumia ni wananchi Kwa TOZO na laini za simu ooooh nchi yangu Tanzania makonda pekeako utaweza? Hiyo ni arusha tu na mikoa mingine vipi?😢😢😢
Mshua yuko very smart 🙏
Mchaga hadhulumiwi kabisa.
Nchi yetu nawatu wanaimba Sana
Nakubali baba makondaaa piga kaziiii🎉
Anaefanya kazi kwa haki hazibiwi,maana kazi zake zinaonekana na watu wanazifurahia,SI muda mrefu wasiotupenda walakahoi sisi, wataibua Mambo juu ya Makonda.
Tunawaomba mpeni Makonda nafasi atuhudumie sisi wanyonge.
Very friendly 🤗🤗
Hotel of owner is very bright person there very smart
Mkuu wa mkoa wangu huyu jamani❤❤
Aisee mkuu pambania wananchi na mungu akusimamie
Mwanaume yupo kazini 🙏🙏🙏
Hofu ya mungu itawale ndani ya mioyo yenu
Chambulo yuko vizuri anaga kona kona bos safi sana
Ana uelewa mkubwa sana!!
Big up makonda
Wezi sana
Hongera makonda
Piga kazi kaka songa mbele Mungu anakusudi na wewe
Great
Muogopeni mungu muwe na hofu yangu
Makonda Mungu akulinde,mimi mu kongomani,lakini napenda kazi ukonafanya wewe JPM🇨🇩🇨🇩
❤❤
Duuuu seeeee ih noma mpka cotrooo heeeee
Hatari sana
Kazi mnayo
Wazirudishe pesa zako
Umepigwa men
❤
Safi sana tajiri
Taji
Mpaka hapo makonda nakupa bigap nyingi sana
Nimefurahi kazinzito makonda piya ikumbushe serikari wilaya ya ukerewe mkowani mwanza wasanii tunateswa tunashindwa kuitangaza tz kupitia sanaa zetu
Inamaana mzigo unalipia kwa Control no na unachengeshwa vile vile ..jamaa kaona isiwe tabu au niwadai
Wanaweka control no zao
Hao wezi ndo wamekamatwa mbeya, Njombe na iringa wanakua na mashine feki
@@tinejuxfrancis729 yes
Machawa kwenye ubora😢😢
Huyu ni mtu mzuri sana, pole kwa changamoto zote
Neno unalolitafuta Bwana Makonda linaitwa "TRANPARENCY". Uwazi wa bei elekezi na gharama za kodi kwa kila mfanyabiashara. Mzee analalamika gharama za kodi ni tofauti kwa wafanyabiashara tofauti ambao wanafanya biashara ya aina moja. Possibility ya favourism kwenye kitengo. Haiwezekani kumkata mmoja kodi kwenye GROSS wakati mwingine anakatwa kwenye NET, hiyo lazima itamnyonya mmoja.
Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉
Kibooo
Angalia 😢na njia ni mbovu na hospital zimejengwa na akuna huduma njoo kwaugoro mtoto anataka chanjo ya miezi mitatu mpaka anatembea nauli ya pkpk mpaka USA ni elfu kumi ana ata nauli akuna usafi wakufika
Tuwaombee viongozi woootee waadilifu mungu awalinde ila hawa wezi mungu atashughulika nao pia
Opera Sana mkuu
Mazingira ya rushwa
Mh Makonda nakutalia jumapili njema
Jamani! “We need more operator. We need more hotel….” Kiingereza kigumu sana.
Mwamba unaweza sana makonda pambana kaka unajua kufanya kazi kwa kujitolea na ubunifu.
Mwehishimuwa rahisi hajakosea kukutuma Arusha pambana mweshimiwa
Mm napenda uigizaji kuimba naweza na ninazo singo 15 naitaji sapota
Huyu brother yupo vizur sana
Wajipange vizuri😅
Kweli hatuwaz nchi yetu tutaiachaje kesho,amini walaji wauawe coz hawatufai kabisa
Arusha Kwa mafisadi ni kibokoo mdo
Ayo yakosehemu nyingi
Hiii nchi ngumu sana, kutoka kwenye umasikini labda miaka 500 ijayo ndo
Heko
Samhan Tajiri nywele zimefayje😮
Uyu atakuwa ni mchaga aliechanganya na mtu mweupe nywele zinajieleza
Fix audio
😎
Mama kasema kula kuligana kamba uliofungwa asa jaama wanajizdixhia ulefu WA kamba
Is not a problem makonda aah boss😂😂😂😂😂😂
Hii ndo Tanzania yetu
Baadhi ya watendaji Serikalini wengi ni vilaza sana.
Huyu jamaa serikali wamchukue atawasaidia sanaa
Makonda angepewa mwenge angemlika sana
Ata control no tuseme ni geresha 😂😂
watu wanachekecha Sana
Sasa si wana tengeneza wenyewe Hizo number..yaani mbongo huwa hashindwi kitu.ume zuia cash Ana kwenda kuiba kwa Control number..😂😂
Wallaah natamani makonda awe au bc
Online
🎉❤
DAA INAUMIZA SANA MTU ANA OKOTAOKOTA UKO KWA KUJIBANA WATU WANAIBA WAZI DAA HII HATARI SANA POLE MZEE HII ICHI NGUMU SANA AWA NYOKO NI KUMPIGA RISASI NAKUMBUKA JPM
sisi wawekezaji wa hoteli ndg tunalipa kodi sawa na mahotel makubwa haina maana hyo kodi zimejuwa nyingi mno mpka watu wanauza na kukimbia
Na hizi control number zinahitaji utafiti,haziaminiki kabisa
Miloni 21 zirudishe Kwa HUYO mfanya biashara natusikie kwenye vyombo HABARI ashtakiwà nakufungwa ITAKUWA WA KUFUNGWA wakwanza KUFUNGWA mwenye pesa awamu HII. Ya 6…
Siasa mchezo mchafu xana😢😢