Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
RAIS MWINYI AFUNGUKA USIA ALIOACHIWA NA BABA YAKE MZEE MWINYI
- Добавить в
- Мой плейлист
- Посмотреть позже
- Поделиться
Поделиться
HTML-код
Размер видео:
- Опубликовано: 5 сен 2024
Комментарии • 77
Следующие
Автовоспроизведение
MASKINI MTOTO WA MZEE MWINYI, AMWAGA MACHOZI MSIBANI AKIZUNGUMZA MBELE YA RAIS SAMIAWasafi Media
Просмотров 49 тыс.
Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais MagufuliAzam TV
Просмотров 94 тыс.
RAIS MWINYI ATAKA KULIA - "KABLA BABA HAJAFA ALITUITA - AKANIAMBIA NIONGOZE FAMILIA -MUNGU NISAIDIE"Global TV Online
Просмотров 191 тыс.
DanTDM Reacts to The Minecraft Movie TrailerDanTDM
Просмотров 813 тыс.
The World's Best Ever TeamChuffsters
Просмотров 469 тыс.
We’re serving up the NFL this season!Applebee's Grill & Bar
Просмотров 548 тыс.
USS Wasp service members assaulted in TurkeyWAVY TV 10
Просмотров 174 тыс.
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATIONKishki Online TV
Просмотров 19 тыс.
MAGUFULI ALIVYOMNYANYUA KIKWETE NA MWINYI KUZUNGUMZA "SWAUMU IMEMCHOSHA"Millard Ayo
Просмотров 188 тыс.
MSTAAFU MWINYI AWAVUNJA MBAVU MSIBANI KWA JPM , MAMA JANETH ASHINDWA KUVUMILIA, WALINZI WAMUONDOAMillard Ayo
Просмотров 383 тыс.
Watoto 12 wa Mzee Mwinyi (6 wa kiume,6 wa kike), watajwa kwenye wasifu wake,Elimu na mengine yatajwaSimulizi Na Sauti
Просмотров 244 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /34/ #loveBabaJoan
Просмотров 53 тыс.
🔴#LIVE:KUMWEMBE AMCHAMBUA SAMATTA NA MSUVA Ndani Ya Kipindi Cha JANA NA LEO Cha WASAFI FM - 5/9/2024Wasafi Media
Просмотров 3,7 тыс.
HOTUBA YA RAIS SAMIA WAKATI WA KUAGA MWILI WA HAYATI ALHAJ MWINYI UWANJA WA AMANI ZANZIBARIkulu Tanzania
Просмотров 4,2 тыс.
Msukuma acharuka Bungeni #Efatha #kiboko ya wachawiMWANA WA MFALME TZ🎵
Просмотров 284
Mzee Mwinyi alivyosoma hotuba yake nusu na kumwachia mwanae Abdullah aimalizieSimulizi Na Sauti
Просмотров 259 тыс.
Друг без машины #непосредственнокахаК-Media
Просмотров 2,2 млн
How to get Spongebob El Primo FOR FREE!Brawl Stars
Просмотров 13 млн
В Турции активисты надели мешок на голову американскому солдату. #турция #сша #политика #военныеАТН: новости Беларуси и мира
Просмотров 1,1 млн
Шавҳарам талоқамро додааст, аммо ором намегузорадАsia-Plus TV
Просмотров 156 тыс.
ИЗ-ЗА ЭТОГО Я ПОЛУЧИЛА СУПЕРСПОСОБНОСТИ #луана #мультик #анимацияЛуана
Просмотров 125 тыс.
ИГНОРИРУЮ СЕСТРУ 24 ЧАСА 🤯 АМИНА В БЕШЕНСТВЕKamil_Kikido
Просмотров 442 тыс.
Путин - госизменщик! Россиянка подала заявление в ФСБ на Путина и депутатов Госдумыsotavision
Просмотров 239 тыс.
ЭТО мне КУПИЛИ ПОДПИСЧИКИ 📦Милс Кел
Просмотров 729 тыс.
Pole sana Rais wetu Allah akupe subra na yeye ampe pepo yake ya FIRDOUS amin.. najua unaumia sana lkn kazi ya ALLAH haina makosa.
Aamin rablaallah min
Poleni sana Allah awape subira kipindi hili Allah amlinde Rais wetu amlinde na shari za mahasidi ameen
Pole saana Raisi wetu ALLAH akupeni subra tuko p1 ktk dua ya mzee wetu
Pole sana Rais wetu Allah akupe subra ampokee Mzee wetu katika kheir..
Kama kuna tunu kaiacha mzee mwinyi basi ni kijana wake huyu.mungu amulinde usiku na mchana.amin.❤
Kama Kuna Tunu kaiacha Mzee mwinyi basi Ni kijana wake huyu
Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu na Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na Peponi yakaende kuwa makazi yake...🙏🙏🙏
Pole sana raisi wang Allah akupe subr na amlaze mahali pema pepon
Pole yanini ikiwa Ali mwinyi alibarikiwa kuishi karne moja ni bahati hiyo, mm nafurahia tu mzee wetu mwinyi kapumzika kwa aman alikuwa mtu mwema sana
Allah akupe subra na amrehemu mzee wetu
lakini kuna neno nataka nikwambie kabla ya kukwbia nakuomba msamaha kwanza
job lenyewe ni hio huzuni ulionayo kwa kuondokewa na mzee wako ujuwe na sisi tulipata huzuni nyingi mulipowapiga risasi ndugu zetu bila kosa
Pole rais wetu kipenzi Allah atamlaza pahala pema peponi
Hongera sana mama etu na Rais wetu Mh Samia Suluhu kwa moyo safi na uungwana.
May Allah SWT make it easy for u
😢😢inalilah waina ilaih rajiun sote njia yetu ni moja😢
Allah akufangie wepesi
Nilikuwa nangoja deni kuhusu Usia wa baba yetu kweli alisema azikwe Mkuranga au wazushi wamezua .M/ Mungu amlehemu kipenzi chetu Ameni
Pole sana mungu akutie guvu
Mungu ampe wepes
Poleni sana.
Poleni sana Allah awape subra in sha Allah
TUNAKUOMBEA RAIS HUSSEIN MWINYI NINAKUPA POLE KUPOTELEWA NA MZEE WETU HAYATI RAIS MSTAFU ALLY HASSAN MWINYI NAFARJIKA KWAMBA UNA HEKIMA KAMA YA MZEE WETU MWINYI AMBAYE ALIKUWA MKWELI ASIYE NA HILA NA WEWE NINAKUONA HIVYO MUNGU AKUTUNZE WEWE NI HAZINA WA TAIFA
Hakupotelewa alikwemda kwao ambako nasisi tunaenda
Mungu akujalie
Pole sana Mr President
Mola amrehemu Mzee Hassan mwinyi
Pole sana mheshimiwa rais
Mungu atubariki sote maana hizo pesa za wananchi na sie tupate kheri
Poleni sana familia.
Kiongoz we2 kua pole sn na mungu akufanikshe kucmama wima kuendelea na majukumu, ucsahau kumuombea dua.
Allahumma bareek inshaallah 🤲
Nakukubali sana rais ,mzee wetu apumuzike salama
Pole sana kipenz chetu
Pole sana rais wetu
Mola amrehemu Al Hajji Ali Hassan Mwinyi
Poleni sana wafiwa
Ameen🙏🤲
Mama Samia mungu akulipe kila la heri
Alhamdulillah
Assalaam, Poleni kwa Mziba wa Mzee Wetu Mzee Mwinyi Magandi,Mzee Ruksa".HIVI NI KWELI MAMA SAMIA NI MTOTO WA MZEE RUKSA?,AU UZUSHI TU WA WAPEMBA WAISHIO BARA..MOLA AMPE FIRDAUSI MZEE RUKSA,ALIKUWA RAHIM NA MKARIMU SANA MWENYE HOFU YA MUNGU.
Royal family always V.I.P
Pole sana kiongoz
Maandishi ndio proof.
maandishi...
Not blah! blah!
Msimamizi wa familia kwa sababu una ulwa kuna mali na utajiri vyeo connection na mengineyo alipaswa akuusie kuhusu uadilifu maana jukumu lako ni kubwa mno
Yeye mwenyewe hakuwa muadilifu .
Habari ya mzee kwenda kuzikwa mkuranga mbona hujaeemw
Mbona nyinyi mumekalia roho mbovu tu wewe kwani zanzibar ni peponi mbona tunaroho mbaya kiasi hichi acheni izo habari tubadilikeni
Walikuwa hivyooo madactar kwasabu raisi mstafu ingekuwaa mm na wa nyongee wengine tusinge hudumiwa hivyooo
Huna akili ww..
Jitahidi na ww uwe rahisi na baadae uwe rais mstaaf .
@@eddydbenasante umejibu vema,,,
Agombee urais
We mtangazaji vp,unamwita mtu hayati lhali keshakufa
Raisi samia ili tumuelewe ni lazima afanye kama magufuli alivyokuwa akifanya. Magufuli alikuwa sio m'baguzi na ndio sababu aliwachukia sana wezi. Marehemu mzee mwinyi alimkubali sana jembe magufuli. Mzee Mwinyi alinkubali JPM kwa dhati kabisa na sio kinafki kama wengine.
Kwn mlkua na shida gan yakupewa msaada?? Iz ni matumiz mabaya ya pesa za serkali familia inakila kitu kwnn rais atumie pesa kumpleka nje kwnn familia mna hela msitumie kumpeleka, pia mzee mwinyi hakua muhujum Mungu ampumzishe pema
Acha kukurupuka Wewe,Mzee Mwinyi ni Rais wa Jamuhuri ya Tz msitaafu na Rais wa Zanzibar mstaafu,kwani katiba inasemaje kuhusu huduma mbalimbali kwa Viongozi wastaafu wa Kitaifa inasemaje?Hebu soma katiba kisha urudi hapa ucoment na anayewajibika kuwapa huduma hao Wazee ni Rais aliyeko madarakani ambaye ni Mama Samia nae akistaafu atahufumiwa na Rais atakayekuwepo madarakani ni sheria kikatiba!
Unacho kiongea kinaonesha udogo wa akili yako
@@gustavompemba1781 wee akili yako km ni kubwa unazan zipo familia maskn ngapi watu wanaokufa kwa kukosa matibabu, tz wajinga wengi ndio wanajiona wanaakl nyng, hio ndio shda ya tz, wajnga wanajiona wana akili
Walimuhudumia coz yy alikuwa rais mstafu ingekuwa kapuku mm weeee wasingekesha
#Wosia
Ni jambo jema raisi samia kugharamia matibabu na sasa dua ya marehemu mzee mwinyi. Mungu akujaze kheri. Lakini kuhusu matibabu mbona raisi samia hatumuoni kwa raia wa kawaida tunamuona sana akijitolea kwa viongozi tu!! Marehemu magufuli aliteremka kwa sana huku chini kwasababu aliamini huku chini ndiko kunahitajika msaada sana. Mnakumbuka JPM alichofanya muhimbili alipokuta wagonjwa wanalala chini sakafuni?
Kabisaa
Acheni zenu hizo, mpaka haonekane kwenye tv
Yaah na nifamilia kubwa zeny uwezo bado znagaramiwa
Mkiumwa nyie kimbilieni ulaya raia wenu wengine hata kula hawana hawana pakukaa leo hata majumba viongozi wa nchi ndio wanapeana wakati mnamiliki majumba kibao hii si haki na kwa allah mtakwenda kujibu
Chuki na roho mbaya haijawahi kumuwacha Balahau
Hata wewe unasema raisi wetu au wewe kumbe ni gavanor tu
Ndio mama Samia ni Rais wa Jamuhuri ya muungano ni Rais wake pia
Tanzania 🇹🇿 ni kubwa kuliko Zanzibar huelewi Nini Samia ni Rais wa jamhuri ya muungano
Kuna watu wana maswali ya kijinga hajitambui mpaka sasa 😂
Chuki tu na roho mbaya dah Mabalahau hata mumchukie vipi huyo Allah tayari amembariki wacheni roho ya kwanini dah
sasa huo wasia sisi unatuhusu nni si akae tu na familia yake wayaonge ahhhh...miyeyusho tu
Acha roho mbaya makasiriko ya nn
Sio vibaya hisia zako kushare na wenzio, ili mwenye na uzowefu na jambo la kufiwa na mzazi ampe ushauri mzuri, anatoa shukurani
Yaani ww choko kweli apo pia unataka kuweka jealous acha roho mbaya yakishamba ww alafu ndio anajiita muislamu na jina kuitwa Abdul Hakimu
Wewe muislamu gani mwenye roho yakishenzi.
Naww umefata nini na una comment kitu gani wakati msiba haukuhusu
@@mohdkhamis2914umenena😂😂😂Kuna majitu mashenzi sana