The Story Book: Ukweli Unaofichwa na Wazungu Kuhusu Historia ya Afrika

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 июл 2022
  • The Story Book: Ukweli Unaofichwa na Wazungu Kuhusu Historia ya Afrika
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 940

  • @macmut8957
    @macmut8957 Год назад +520

    This guy is a good researcher and is so creative...I love what you do bro.Much love from Kenya.🇰🇪🇰🇪
    Nipeni likes basi wenzangu😂

  • @pauloh.4133
    @pauloh.4133 Год назад +101

    The story book never lies! Kenya iko love!🇰🇪🇰🇪

  • @sultanmedia.666
    @sultanmedia.666 Год назад +63

    Broo Jamali natamani siku moja Tanzania ijue nini unafanya na kwamaana gani. Nakuelewa saana kaka na kila siku za maisha yangu utabaki kia kiigizo kwangu kaka.....!!

  • @alejpapsyoh809
    @alejpapsyoh809 Год назад +158

    Hapa nchini Kenya tunakupenda sana

  • @lukagatwechdeng578
    @lukagatwechdeng578 Год назад +26

    Wewe ni professor kweli kweli Jamal. Nimetoka sudani kusini napenda jinsi unayoadhia historia na utafiti ya ukweli.
    Stories telling is what make communities and great nation to be know can you tell our histories in English so that the world may know that we also have a unique history.
    🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸

    • @venaslulonga6690
      @venaslulonga6690 11 месяцев назад

      Uyubwana ni mbabe wa historia kwakweli

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад +19

    Mimi nilibishana sana na mtu mmoja jinga anasema eti Afrika hatuna jipya👏👏👏👏Jamal

  • @princesanita46
    @princesanita46 Год назад +18

    Nimejifunza kitu kikubwa sana ambacho sikuwai kijua hapo kabla niitamfundisha mwanangu mwenyewe kuhusu hii history ya Africa shukran sana 🙏

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Год назад +117

    Hizi sasa ndio storybook yenyewe inayo ongelea UKUU WA MWAFRIKA endelea kutupatia kama hizi itatusaudia wa afrika kujikubali zaidi na zaidi

  • @kelvinmahanga461
    @kelvinmahanga461 Год назад +18

    Kabisa Jamal na ndiomaana elimu yetu ya Sasa haitusaidii chochote zaidi tu inatujaza ujinga na kukalilishwa vitu visivyokuwa na maana Kwa lazima..... I. Lovu you Africa

  • @grispynentertainment8579
    @grispynentertainment8579 Год назад +69

    FINALLY PROFESSOR JAMAL HAS DONE ONE OF THE FAVOURITE TOPICS EVER...OPEN YOUR EYE AND SEE❤❤❤❤❤❤

  • @TheNaomie1987
    @TheNaomie1987 Год назад +21

    Tunakupenda sana Allah akupe maisha marefu ❤️

  • @fekechempare7510
    @fekechempare7510 Год назад +67

    Mungu ni mwema mno, Amini kuwa Africa inarudi katika ubora wake. Utawala wa wanzungu unaanza kuisha taratibu.

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988 Год назад +121

    Through Prof Jamal you can realise that History is the great subject. Even our schools should change the way of teaching history by narating than giving notes to learners

  • @Brandsonce-qs2yt
    @Brandsonce-qs2yt Год назад +10

    Ndugu yangu nakufurahia sana tena sana nikiwa mojawapo wa watu wanaoichi nchini ujerumani kwa historia utupatiyayo kutokana na the history book! Mimi pamoja na watoto wetu tunakusphukuru sana. Na hapo hapo ningekuomba sana kama ungetupatia historia ya wafarume wa mkoa wa kagera hasa Kyamutwara kama vile who is Kaitaba.

  • @sweetmeena5970
    @sweetmeena5970 Год назад +62

    Tatizo la Africa viongozi wanatuangusha sana dunia nzima inakontoliwa na mzungu lkn wenzetu wengine kidogo wanajielewa na wanathamini nchi zao mfano nchi za kiarabu wameendelea kwa sababu viongozi wao wanazithamini nchi zao Africa viongozi tamaa zimewazidi wanasahau hata nchi zao kikubwa wanajali matumbo yao tu na familia zao ndio sababu Africa haitawahi kuheshimiwa

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 Год назад +5

      All in all tuacheze kuabudu wazungu before our kids we are poisoning our generation yani it's sad siwezi andika Sana but inaumiza

    • @mrben227
      @mrben227 Год назад +3

      Umemaliza maneno kaka

    • @Chambuzilenu
      @Chambuzilenu 8 месяцев назад +1

      Na tamaa pia

    • @MosesOchieng-yi1xx
      @MosesOchieng-yi1xx 2 месяца назад

      Kuwa chanzo cha mabadiliko juu unaweza.Usisubiri mtu

  • @mohamedidd7385
    @mohamedidd7385 Год назад +31

    Darasa pekee ambalo halimchoshi mwanafunzi 🔥🔥🔥🔥

  • @dr.kitambi317
    @dr.kitambi317 Год назад +276

    Kwa ninavyoipenda Afrika na ninavyobishana na watu wanaotukuza ukubwa wa wazungu kuliko ukuu wetu yaani nimefurahi ile mbaya 🙌

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 Год назад +5

      AMINA mababu zetu haawa wajuzi walitudisapoint dah big time😵wametuuza wakakubali unyonge

    • @rayyanabdul955
      @rayyanabdul955 Год назад +4

      upo kama mimi nikianza kukinzana na wapuuzi wenyeakili za utumwa mbaka wanakimbia

    • @bobwhite9252
      @bobwhite9252 Год назад +1

      Unatoa wap nguvu za kutetea wakat mataifa yako ya africa had chupi na vijit vya meno wanaagiza nje😁... Siku ukija kutembea huku ulaya ndipo utajua sis waafrica tuna kasoro.. hawa jamaa maendeleo waliyofanya huku kwao ni kama miujiza. Sasaa unatoa nguvu ya kutetea wap ndugu yangu wakat bado chakula nguo na malaz ni bado janga.. miviongozi haina akil inafisad nchi.. utasema sis waafrica ni watu. Hata mim kabla sijaja huku niliko nilikua natetea sanaa nikikaa vijiwen. Nilipokuja huku kuish ndipo nimeamin sis watu weus tuna matatzo makubwa. Halaf tunajificha kwenye kichaka kwamba ukolon ndo umetufanya maskin..

    • @dr.kitambi317
      @dr.kitambi317 Год назад

      @@bobwhite9252 Unadhani nini chimbuko la matatizo yetu kiongozi kama waafrika?

    • @bobwhite9252
      @bobwhite9252 Год назад +5

      @@dr.kitambi317 chimbuko ni
      1.muda..tuko nje ya muda wenzetu walichangamka mapema kuanza mapambano
      2.uongozi mbovu na siasa chafu za kishamba
      3.uvivu na ubinafsi
      4.ukabila na udini.. uwe wa asili au udini wa kuiga/kuletewa na imani za ajabu ajabu.. kuamini miujiza ya kufanyiwa kuliko kujishugulisha
      5.ushamba na kutojiamini

  • @5Multpurpose
    @5Multpurpose Год назад +28

    Tuache utani jamali you are so creative bro

  • @fidelismsigwa9823
    @fidelismsigwa9823 Год назад +5

    Prof Jamal ninakupongeza sana kwa kazi nzuri, Mwenyezi Mungu Azidi kukujalia kujua mengi na kuhabarisha Tanzania na Dunia nzima.
    Nikirud Tanzania nitakutafuta tuonane
    Nakufuatilia sana kutoka Israel

  • @jescarobai1401
    @jescarobai1401 Год назад +14

    Thank you Jamal for this,unatufunza mengi sana tusiyoyafahamu,much love from Kenya🇰🇪🇰🇪

  • @lyakurwafamily2207
    @lyakurwafamily2207 Год назад +20

    daah ni kweli maana kila kitu tunawategemea wao hata ukitazama madawa watu tumeacha miti shama tunapambana na madawa yao

    • @oscarfrancis2464
      @oscarfrancis2464 Год назад

      I think the truth about the abilities and skills of africans can further been developed up to now if only our uncestors would developed it , so we are not conversant with those skills not because we don't know but because our uncestors fail to developed those skills so that we will also use those skills to develope our africa

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 Год назад +56

    Mimi kama mfuatiliaji wa kipindi cha the story book naomba sisi wote tunoa fuatilia tuwandae tuzo kwaajili ya huyu jamaa anastahili kabisa kwa madini anayo tupatia ila wakati wa kumkabidhi tuzo naomba aje na diamond tupige picha ya yeye 🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @Ones1mus
    @Ones1mus Год назад +40

    Love the story book 📖 from Kenya 🇰🇪
    Tufanyie story ya Fort jesus 🙏

  • @michelinebosibori4027
    @michelinebosibori4027 Год назад +40

    The best stories teller in the world, much respect Jamal professor mwenyewe💯%👍🥰

    • @barakawabuge5285
      @barakawabuge5285 Год назад +1

      Usiichukue TU kama story chukua kama elimu na hamasa

    • @hamudshabani7801
      @hamudshabani7801 Год назад

      This is the marvel story about African greatness; congrat's bro

  • @mathsnewdiscoveries
    @mathsnewdiscoveries Год назад +117

    In short Brother and my African relatives I have invented and discovered very interesting mathematical laws , theories, theorems, axioms, conjectures and formulas etc. After publishing them people in the whole world will be very shocked and amazed .

  • @sperishmjoker7568
    @sperishmjoker7568 3 месяца назад +1

    I just love this guy he is a good researcher 🎉 ady kusimulia 💯

  • @easyPie1
    @easyPie1 Год назад +26

    This story and more like such, should be the first topic in each history class all over the African classes.

  • @michaelramos6364
    @michaelramos6364 Год назад +6

    I love your story professor Jamal. siku moja nataka niwe kama wewe. I want to be the great person like you

  • @davidnaturazi893
    @davidnaturazi893 Год назад +8

    Professor Jamal I admire you very much, I love History and Philosophy but my father would not let me study my bachelor's degree in Philosophy or History undergraduate programme, he says history is nothing and philosophy is unrealistic instead he had me admitted to the institute of his choice where I have to what I don't want to but no way he is my father.

  • @ellyhussein5368
    @ellyhussein5368 Год назад +14

    Daaah ukweli daima hung'aa katikati ya uongo thank you professor Jamal 👏👏✊👊

    • @tigiyamhulilo202
      @tigiyamhulilo202 Год назад

      Neocolonialism ndio ya Leo Sasa, ukivumbua kitu Mwafrica Kuna Mambo matau. 1. Utachukuliwa kwa gharama yoyote ile na malipo ili ukatumikishwe kwao, 2. Utadanganywa scholarip na ukihitimu huko hutarudi Africa. 3. Ukiwa mgumu utatengenezewa kesi uwekwe ndani

  • @Chaggarlicious
    @Chaggarlicious Год назад +13

    Guy african let’s wake up tuendeleze africa yetu 💪🏽 tuamke wajameni

  • @ramadhanothmanabdalla21
    @ramadhanothmanabdalla21 Год назад +5

    keep it up we love u🇹🇿

  • @shabanisalumu4366
    @shabanisalumu4366 Год назад +9

    Sema weh jamaa ni mkali sana daaah, mungu akuzidishie zaid kwakweliii 🔥🔥

  • @mzeenammohe6652
    @mzeenammohe6652 Год назад +5

    Mungu akubaliki wanakupenda wengii wengi,,hawakomenti

  • @emanueldanstan8904
    @emanueldanstan8904 Год назад +14

    You're very bright my bro.i love you're story and the way you send a massage in a society.

  • @Dhulqarnain-qc6gz
    @Dhulqarnain-qc6gz Год назад +10

    Tutazame tulipojikwaa sio tulipoangukia.
    Tulipoteza dira baada ya kukubali kutawaliwa kifikra ujio wa waarabu lilikuwa pigo la kwanza tulipokubali kuacha mila zetu tukajifanya waarabu weusi na walipokuja wazungu tukageuzwa kuwa wazungu weusi.
    Unapokubali kufata mila ya wageni utadharau vitu vyako, elimu yako, ujuzi wako, majina yako,mungu wako, babu zako, asili yako, mungu ako na hata utu wako.
    Sasa hivi tumebaki tunabishana kati ya mungu wa waarabu na mungu wa wazungu nani ni mungu halisi na tuko tayari kutukanana na hata kuuwana tukipigania hao mungu wa wageni.
    Tunapaswa kujitamvua kwamba Mungu tulikuwa naye na tuko naye na ndiye aliwasaidia mababu zetu kupata mahitaji yao na kuwa na maendeleo tangu zama hizo kabla wageni/wavamizi hawajaja kutupotosha na kutulazimisha kufata mila zao.

    • @kizambohermaton3514
      @kizambohermaton3514 Год назад

      Kweli ndugu, walipo kuja warabu waliuwa wafrika kinyama ikabidi mababu waogope waka salimu amri. Mzungu alipo fika pia, akaya fanya hayo hayo. Ndio twajipata hapa. Uzuri, we go wetu bado twazifata mila zetu ingawa zingine zimetutoka.

    • @hashimhassan4812
      @hashimhassan4812 Год назад

      Kwani izo dini ndo zinavyotufundisha tugawane?

    • @mamaafrika7979
      @mamaafrika7979 2 месяца назад

      Habari kaka big up sana ...wewe utaweza kuamsha wenzetu waliolala...manake heshima ya mwafrika imepotea,Mila zimepotea, dini Zetu zimepotea tunafuata za watu .... je sisi hatukuwa na dini? Je ukiomba kizungu au kiharabu ,haya maombi yanaenda kwako ama yanaenda kwa hao wenye ndini zao, ....jamani tunatakiwa tuamke ( Mpapai hauwezi kizaa korosho, Yembo hawezi akazaa Simba . Na mbuyu hauwezi kifundishwa jinsi ya kizaa mabuyu ila ni asiliyeke ifikapo.mida wa kipeuwa matunda kinazaliwa kile.kinaxhostahilo katka huo mti au huyo mnyama . Inakuwaje Afrika tinafundishwa swala au Sala Ss uhalisi wetu uko wapi ebu tuamkeni tujue heshima yetu na tujiheshimu ndipo tuheshimiwe!

    • @Africatenshi
      @Africatenshi 2 месяца назад

      J

    • @Africatenshi
      @Africatenshi 2 месяца назад

      Africa lazima tujikubali kuwa NDO chimbuko la binadamu halisi.tujikubali jamani

  • @quitonkarani2260
    @quitonkarani2260 Год назад +30

    This story was so interesting...we look forward to more of this about African history

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 Год назад +3

    Ukitenda mema,basi jamii itakukumbuka kwa mengi,kama great person

  • @ctevelee4975
    @ctevelee4975 Год назад +8

    no world power without africa! thanks jamal april!

  • @omalik
    @omalik Год назад +26

    I love the way you contrast the story b4 it starts.. makes us watch till end.. big up🇰🇪

  • @geraldmollel30
    @geraldmollel30 Год назад +7

    Aminia xana prof-Jamal unachimba mambo na unajua kuyahadithia kwa uxtadi kama wote yaani...,big up brah ✌️✌️

  • @oscarboniface9690
    @oscarboniface9690 Год назад +5

    Big up sana Jamal kwa elimu hii ya kutuamsha kujitambua

  • @eddinembabaz5127
    @eddinembabaz5127 Год назад +5

    The talent you got, damn!!!!.... You found your purpose wallah.... ❤️❤️❤️

  • @azizyannelly5199
    @azizyannelly5199 Год назад +7

    Nakupata kaka, Asante sana kwa kuwakumbusha wenzetu.

  • @eliyadavid3629
    @eliyadavid3629 Год назад +8

    Kwakweli kaka Jamal kazi yako ni nzur sana natamani one day nchi itambue kazi yko hakika unakotupeleka mkono wa MUNGU ukahusike

  • @nahiyahamdan5281
    @nahiyahamdan5281 Год назад +2

    🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬👣 Asante saana kaka Kwa history nziri saana kuhusu Africa yetu pedwa

  • @simonmusembi5413
    @simonmusembi5413 Год назад +5

    Asante Sana nimepata elimu kupitia the story book.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mathsnewdiscoveries
    @mathsnewdiscoveries Год назад +18

    Hello My Brother Very Professor JAMAL You're more than good Researcher Brother, please Start also telling Us more about different Great Inventors and Discoverers individually, especially of Mathematics .

  • @malikjaii
    @malikjaii Год назад +7

    The story book haijai nipita hata siku moja kama Jamal mustapha ndiye dereva much love from Kenya 🇰🇪❤️❤️

  • @ciaydedoutashayo5365
    @ciaydedoutashayo5365 Год назад +18

    When I grow up I wanna be like u prof. One Of his own kind💪💪💪

    • @nawandafamito500
      @nawandafamito500 Год назад

      mungu na mimi pia nakuombea ndoto zako, zitimie na mungu wetu sio mchoyo ndoto itatimia.

    • @yustomlay4422
      @yustomlay4422 Год назад

      Pyramid zilijengwa na wayahudi karne 1 na 2

    • @habibukitwana1552
      @habibukitwana1552 10 месяцев назад

      ​@@yustomlay4422soma vitabu myahudi ni mtu mweusi hata Ibrahim mwenyewe anasema kwenye maandiko tazama ngozi yangu ilivyo nyeusi

  • @gaashbwoyke9890
    @gaashbwoyke9890 Год назад +11

    Asante sana professor kazi safi sana kutuelimishaa 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @dancanmwirigi5772
    @dancanmwirigi5772 Год назад +4

    thumbs up from kenya.......good research 👍👍

  • @francismuiruri6578
    @francismuiruri6578 Год назад +10

    Much respect from kenya

  • @diddyphilosopha4044
    @diddyphilosopha4044 Год назад +2

    Hii imenizengua😱😱😱. Indeed we all have within us the capacity to be great. #MawazoWise

  • @jonte.ak.
    @jonte.ak. 3 месяца назад

    Hello Jamal,I want to tell you that you are educating Africans very well and may Allah bless you

  • @kingibrah9400
    @kingibrah9400 Год назад +4

    Me I respect jamal this guy is wow he's a great researcher

  • @azariajanuarychongolo5479
    @azariajanuarychongolo5479 Год назад +9

    Africa 🌍 nimoja ya Bala la yenye watu wenye akili na matajili na watafiti kilakitu kimeanzia afrika , hakika namchukia mtu anae mtukuza mzungu mbele yangu au mbele ya jamii , naipenda Africa.

  • @user-os3tg5bo6v
    @user-os3tg5bo6v Месяц назад

    Uko sawa sawa, Mungu wa wote vitu vyote vya toka Kwa Mungu, Eb 3.4, Mwz 1.1,Eb 4.12. Eb 11.6,11.1, 2Pet 1.20-21, The word of God is not a sychlogycal humanism.Amen

  • @titussarkai2740
    @titussarkai2740 Год назад +2

    I this deep truth 💯 😪 from my heart God bless you brother 🙏

  • @youareoneinamilliontv1950
    @youareoneinamilliontv1950 Год назад +6

    Honestly Professor Jamal April you are one of the best story tellers of this generation in Africa and perhaps in the World.
    Coming back to the topic at hand, Africa is very much rich in many things and we Africans are so talented and skilled. Fir this reason whites try by all means to make sure that young generation of Africa does not realize this reality in order for them to continue stealing from us and making Africans feel inferior to them. It's time for an Africa child to wake up and realize his wealthy. I have the same wish as Kweme Nkrumah, "Having one Africa speaking the same language, agreeing in he things bringing development, having one goal." Speaking the same language doesn't mean we speak one local language the entire Africa but realizing our wealth and treating fellow Africans in the same way than we do now.
    Africa has all what it takes to cross boundaries.

    • @nathankitsao187
      @nathankitsao187 Год назад

      He comes second, next to Mkurugenzi Abel Mutua

  • @kenrop7047
    @kenrop7047 Год назад +8

    From Kenya we love you proffesor 😘😘😘

  • @slausmapunda9223
    @slausmapunda9223 Год назад +2

    Daaah p1 brother. Uko vizuri

  • @rogersjoseph7363
    @rogersjoseph7363 Год назад +1

    Uko vizuri kaka kazi yako njema Mungu akupe maarifa zaidi na kuku funulia mengi zaidi

  • @fatomwarsame5320
    @fatomwarsame5320 Год назад +9

    Much love professor ❤💕💗

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Год назад +4

    Yeah the Story Book Kwa hewa🔥🔥🔥🔥

  • @ERICKMAKENGO-cc9bk
    @ERICKMAKENGO-cc9bk 4 месяца назад

    Hiyo kweli bro ndo maanaxgrammy wametuachia sisi halafu wanasema za kibaguzi sisi afrikaxkwenye muziki tunacgreat melody I proudxof you Africa

  • @TibaIddy-mt2pf
    @TibaIddy-mt2pf День назад

    U made me win certificate of historian gaaaaal in our academy year🎉🎉🎉

  • @muhameddolfin573
    @muhameddolfin573 Год назад +14

    Very excellent 👏👏👏, professor

  • @glorymushi6507
    @glorymushi6507 Год назад +6

    Congratulations my model 💖

  • @catherinejerobon2893
    @catherinejerobon2893 Год назад +7

    Loving every story you tell..Big Up Jamal

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Год назад +2

    Mashaallah kaka shukran kwakutukumbusha from oman sipitwi story book

  • @jeffintabo90
    @jeffintabo90 Год назад +6

    I really love the way unaleta hii story ya Africa

  • @shadrackmwampote4615
    @shadrackmwampote4615 Год назад +21

    Tulitamani uongezwe mshahara ili utupe hadithi zako nzuri Mara mbili kwa wiki maana mpaka kufika ijumaa huwa tunazisubiri kwa hamu saana.

    • @kenmukono8141
      @kenmukono8141 Год назад +1

      Kabisaaa,,,natamani sana angetuletea story mara mbili Kwa wiki

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Год назад +1

    Kazi nzuri professor Jamal kiukweli umejiandaa vema kutupatia makala nzuri ya historia ya afrika

  • @masagara
    @masagara Год назад +2

    Mkuuu🔥🔥nimekutambua...msanii kutokea Kenya 🇰🇪

  • @emmanuelnjavike3488
    @emmanuelnjavike3488 Год назад +4

    Great contents! Safi sana. I really enjoyed this.

  • @divavlog2764
    @divavlog2764 Год назад +20

    Jamali I humbly request the whole story of this mnsa musa pls 🥺🥺I wish I could sub a million times 🥺🥺I just cant get enough of this story book 🥺🥺🥺

    • @fidelisdeusdedith3511
      @fidelisdeusdedith3511 Год назад

      Hii story book huwa inarushwa lini na saa ngap kwenye TV?

    • @rukiashenkome9575
      @rukiashenkome9575 Год назад

      Inarushwa wasafi tv kila ijumaa kuanzia saa tatu usiku na marudi0 ni jumamosi saa saba mchana

  • @salummambo1336
    @salummambo1336 Год назад +2

    Bro uko vzr mungu akutangulie kila Jambo ngumu liwe jepesi kwako

  • @Isacmussaadinane
    @Isacmussaadinane Год назад +1

    I love so much, I'm mozambican

  • @khalippertv3526
    @khalippertv3526 Год назад +9

    Jamal explore more brother, I all know this but the power is what am lacking to spread it out

    • @kelvinrobast5608
      @kelvinrobast5608 Год назад +1

      You will get the power some day.. Keep your head up.. Jamal is doing great content educating and entertaining at the same time.

    • @kingiryn8656
      @kingiryn8656 Год назад

      Someni vitabu mtapata maarifa zaidi siyo kusubiri makala kama hizi zilizofupishwa acheni uvivu

  • @mathsnewdiscoveries
    @mathsnewdiscoveries Год назад +6

    Mwamba ukovizuri Sana mno Brother, I appreciate your work very much.

  • @jasonjastinmatandala3037
    @jasonjastinmatandala3037 Год назад +2

    Nakubali kazi yako, endelea kuchimba Zaidi Africa

  • @aggreylabule289
    @aggreylabule289 Год назад +3

    Big up bro keepaking us aware

  • @barakasammy9511
    @barakasammy9511 Год назад +5

    Genius mind professor Jamal much love brother

    • @elizabethraphy2659
      @elizabethraphy2659 Год назад

      Mungu na akubariki sana maana unawafungua waafrica hata kama tumepoteza kwa kuibiwa kwa jina ya eti tuwashamba lakini naomba tuamke tujitegemee sasa asante Jamaica.

  • @siriyamungukelvin5050
    @siriyamungukelvin5050 Год назад +1

    Nchini Congo Wana kukubali sana .istory zako zinampa mutu imani na nguvu za kujiamini

  • @hamisikalama1286
    @hamisikalama1286 Год назад +1

    Karibu kaka Kenya twakupenda

  • @emmanuelkimeli9397
    @emmanuelkimeli9397 Год назад +5

    Much love bro from Kenya

  • @nurukiponza1705
    @nurukiponza1705 Год назад +6

    Genious mind set professor Jamal April

    • @mwanjalajordan9503
      @mwanjalajordan9503 9 месяцев назад

      Mwanzilishi wa chama cha skauti duniani Sir ROBERT SMITH BARDEN POWELL akiwa afrika kusini aliona mashujaa wakiwafundisja watoto ukakamavu na upelelezi akapenda na alivyorudi chini kwao akawafundisha watoto wa kizungu wakafurahia mafundisho na ukawa mwanzo wa uskauti duniani.kwa maana iyo waafrika tunajua mengi tangu zama na si kama wanavyotuaminisha wazungu

  • @godeebrown1448
    @godeebrown1448 Год назад +1

    Professor we ni noma mikono juu bro, chakula cha ubongo hasa kwa wavivu wasiosoma history za mambo yanayoendelea duniani wewe unayaleta kwenye story book

  • @kennedykaira9696
    @kennedykaira9696 Год назад +2

    Uko sahihi bro Wala hudanganyi

  • @dianandendya8845
    @dianandendya8845 Год назад +5

    The only one professor l have 👊🏾👊🏾up Brother Jamal

  • @gwakisastafford1284
    @gwakisastafford1284 Год назад +5

    Profesor🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @davidedwin2278
    @davidedwin2278 Год назад

    Shukrani kwa kazi nzuri.heko professor..ila naamini kua unajua mambo zaidi ya simulizi,ombi langu ni utambue izo Siri kabisa ujuavyo

  • @sklagat4825
    @sklagat4825 Год назад +2

    My favourite, keep pumping knowledge

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 Год назад +6

    The story book 🧡♥️

  • @faithmwende4575
    @faithmwende4575 Год назад +5

    Doing amazing ,wish to have one grate Africa.

  • @enockmtonyole7149
    @enockmtonyole7149 Год назад

    Bro heshima yako aseh. Barikiwa.

  • @jacobmalange3450
    @jacobmalange3450 Год назад +1

    Big brother I appreciate you much endelea kutuchambulia historia 👊✨👏

  • @rodrickkimbi5582
    @rodrickkimbi5582 Год назад +3

    Much respect bro

  • @maulidimrisho4229
    @maulidimrisho4229 Год назад +4

    Naam hapo ni kweli kabisa sisi sio wa kuburuzwa