Duh! ASKARI KIBURI Abishana na MAGUFULI Mbele ya RPC - "AMENIINUA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Duh! ASKARI KIBURI Abishana na MAGUFULI Mbele ya RPC - "AMENIINUA"
    Rais Dkt John Magufuli, amefanya ziara ya kushtukiza katika gereza la Butimba lililopo mkoani Mwanza..
    Alipofika gerezani hapo Rais Magufuli, amefanya mazungumzo na wafungwa wa gereza hilo na kusikiliza kero zao..
    #JPM
    www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 128

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 года назад +13

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

  • @danmarley4648
    @danmarley4648 3 года назад +4

    Magufuli ana kiburi zaidi....kama sio mungu kuinua hata yeye hangekua hapo.....

  • @kabete1099
    @kabete1099 4 года назад +16

    Confidence is key in life. Usitishiwe na MTU ata rais atatoka tu.

    • @lepadrechief4642
      @lepadrechief4642 3 года назад

      Bible inasema tiini mamlaka ya waliokua juu yenu

    • @moanahlavidas3962
      @moanahlavidas3962 3 года назад

      we jau kichiz u think kujibu hvyo ilipendeza?, ye anaulizwa anajibu jeur et kaniinua kias flani hii wananchi wengin ban et confidence...

    • @kabete1099
      @kabete1099 3 года назад +2

      Haha😂😂 kumbe naeza kua mhenga. Nlitabiri mwisho wa magufuli na imekua kweli.

  • @Bennymwangaza
    @Bennymwangaza 3 года назад +5

    The Police Man acted professionally

  • @richardbuhatwa1940
    @richardbuhatwa1940 3 года назад +3

    Safi kamanda anajiamini hiyo sio kumnyenyekea sana mwanadamu mwenzako

  • @alibabu4818
    @alibabu4818 3 года назад +4

    Ana mshukuru mungu kAinuliwa

  • @samwelmbua4193
    @samwelmbua4193 3 года назад +2

    Anamshukuru Mungu kapata kuinuliwa ili atoe kero yake juu ya hao wafungwa, he was right i think that statement meant like that.

  • @ashab2537
    @ashab2537 5 лет назад +16

    Huyo mfugwa aliyemchongea, ajiandae kupata mateso mara mia

  • @sntiaratiara7211
    @sntiaratiara7211 5 лет назад +12

    i love this man he has coufedce i wish ugandans have a prsdua lyk him💪💪💪

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      Ofkoz!!!

    • @parkermekhi4728
      @parkermekhi4728 3 года назад

      i guess I am kinda randomly asking but does anyone know a good website to watch new movies online?

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 5 лет назад +8

    Mimi mkenya ila Rais Magufuli ni kiongozi anayestahili shada👌👌👌

  • @allymbonyinshuti7200
    @allymbonyinshuti7200 4 года назад +3

    Ma shaa Allah

  • @amnotthefather1518
    @amnotthefather1518 3 года назад +2

    Apana tishwa

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 4 года назад +3

    Anajiamini na kazi yake,maswali mengi amesababisha ajikwae ulimi

  • @stellapeter7208
    @stellapeter7208 5 лет назад +3

    Askar anatakiwa awe hivyo.cheo cha kikatiba na kimafunzo tofauti acheni uoga

    • @asumaabibu5687
      @asumaabibu5687 5 лет назад

      Askar yuko sawa jmn

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      Kabisa!!! moja ya sifa ya askari ni kijiamini, bahati mbaya sana kujiamini mbele ya viongozi wa nchi hii ni UJEURI/KIBURI

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 лет назад +4

    Huyu atakosa kazi

  • @gaudencemlowe8399
    @gaudencemlowe8399 Год назад +1

    Safi sana

  • @yusuphmeshack2157
    @yusuphmeshack2157 3 года назад +2

    Duh tujiajili tu

  • @januarimagobe59
    @januarimagobe59 4 года назад +3

    Nimecheka basi tu

  • @linalinhwefwe6584
    @linalinhwefwe6584 3 года назад +1

    Mbona kwenye media

  • @abdallahomari8680
    @abdallahomari8680 5 лет назад +17

    Huyo askari anahaki yakujieleza naniuhuru wake hanakosa alichokisema nisahihi kilamtu anakazi yake naafanye kazi kulingana nasheria Rais hayupo juu yasheria. Hapo hakuna cha kuomba msamaha Rais wetu magufuli si Mungufuli.

    • @dominicomakungwa729
      @dominicomakungwa729 5 лет назад

      Mzeee tumbua huyo

    • @amourfaki8737
      @amourfaki8737 5 лет назад

      Mh nawe kajifunze nidhamu

    • @yohanandalahwa983
      @yohanandalahwa983 5 лет назад

      kama ungelikuwa mchezaji wa mpira tungesema umekimbilia kucheza Rafu bila kujua hata kuwa mwenzio mpira ukifika tu anatoa pass,halafu wewe unamkwatua watu wanabakia wana kushangaa.........umekimbilia ku comment hata hujajua huyo asikari kasema nn hadi jpm ka kasirika....

    • @asumaabibu5687
      @asumaabibu5687 5 лет назад

      Ata mm nashangaa rais hajamtendea haki.

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      @@yohanandalahwa983 pumba

  • @erickmoenga1206
    @erickmoenga1206 3 года назад +4

    Nimekuja hapa ili wewe uinuliwe? Wewe naona uko na kiburu🤣😂😂

  • @abuukajembe2885
    @abuukajembe2885 4 года назад +2

    Kwel afande

  • @luckygona3494
    @luckygona3494 5 лет назад +6

    ...Maguful your the best president in afrika...GOD Bless you...

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 5 лет назад +11

    Haaahaaaa jaman 😂😂😂🤣🤣ameinuliwa

  • @aishamussa9799
    @aishamussa9799 5 лет назад +1

    Jamaa hana woga kabisa kuzungumza hivyo na Mh rais

  • @patientkambaza5686
    @patientkambaza5686 4 года назад +2

    Dady love you

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 3 года назад

    Huyo si askari,mpumbavu sana na afutwe kazi mara moja.Haiwezekani askari kujibishana na Rais.

  • @ramadhanmatinya7053
    @ramadhanmatinya7053 3 года назад +1

    Usalama weshafanya kazi zao wamesha toa taarifa kitambo mno

  • @furahakefa4806
    @furahakefa4806 5 лет назад +3

    Sukuma ndaniiiiiiiii apotelee huko

  • @elienezarumisha9996
    @elienezarumisha9996 5 лет назад +4

    Et Kapewa Kiki😂😂😂😂

  • @lovekissseries4099
    @lovekissseries4099 5 лет назад +1

    Kweli yuko kama amelewa yan hiyo mikono amefanyaje

  • @naharajr6745
    @naharajr6745 5 лет назад +3

    Kabisaa maskar kama hawa ndio wanaoalibu nchi

  • @franklinekipkoech9453
    @franklinekipkoech9453 5 лет назад +3

    Englishmen say power is like a pendulum. Today on your side tomorrow on the other side.

    • @amourfaki8737
      @amourfaki8737 5 лет назад

      Mh dikteta bas wazee wetu

    • @abedichande2497
      @abedichande2497 5 лет назад +1

      Ujue kuna watu wapo hapa tanzania lkn sina uakika na ulaia wao et dikteta hahahaha....kwel uchawi upo we jamaa utakuwa mchawi wewe

  • @dignajohnball5571
    @dignajohnball5571 5 лет назад +2

    Nimekaa kota ukigoma kwenda shamba eti useme unaumwa cha moto utakiona yaani mgonjwa asiyewez kutembea na kazidiwa hata kuongea lakini maumivi tuuuu kazi utafanya tuuuuu

  • @thomasnyalianga242
    @thomasnyalianga242 5 лет назад +7

    Mimi nampa siku utasikia katumbuliwa au kashushwa cheo chake

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer6120 5 лет назад +4

    Askari jeuri hili,tena anabahati angetumbuliwa

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      Sifa ya askari ni kujiamini, bahati mbaya sana kujiamini mbele ya baadhi ya viongozi wa nchi hii ni ujeuri/kiburi!!

  • @dianafyondi3265
    @dianafyondi3265 5 лет назад +3

    Huyu askari hafai kabisa. Inaonekana ana dharau sana. Tena imeonyesha wazi kama kunawafungwa wako chini yake wanapata taabu sana.

    • @shaabanramadhan6770
      @shaabanramadhan6770 5 лет назад

      Yeah ameonesha dharau mbele ya rais imekula kwake

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      Huyu askari yuko vizuri Sana, ndio wanaotakiwa kama hao!!!

  • @lucywilliam3559
    @lucywilliam3559 5 лет назад +1

    askari sidhani kama alipita JESHI. huwezi kuwa na maneno mengi ktk swali la jibu MOJA

  • @tomdee7504
    @tomdee7504 3 года назад

    Baba wa mwezetu Huyu ana nyanyasika kwenye utaftaji wake wa ugali watoto wake wakale huyo mfungwa atakoma

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад +1

    Sifa moja ya uaskari ni kujiamini, bahati mbaya sana, kujiamini mbele ya baadhi ya viongozi wa nchi hii ni ujeuri/kiburi!!!

    • @daudijohn6429
      @daudijohn6429 4 года назад +2

      Siyo kila sehemu pakujiani inategemeana unajiamini sehemu gani fukuza huyoo

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад +1

      @@daudijohn6429 huna unalolijua!!!!

  • @mako331
    @mako331 5 лет назад +3

    Askari magereza wengi wanauonevu sana mateso mengi huko mkuu

  • @abdilale52
    @abdilale52 3 года назад

    R.I.P

  • @moanahlavidas3962
    @moanahlavidas3962 3 года назад

    huyu kiburii..... alitaka aweke kwenye memes

  • @ismailmashimba3470
    @ismailmashimba3470 5 лет назад +5

    Huyo askari ni kumchota na kumsukuma ndani

  • @evodiuskivili7499
    @evodiuskivili7499 4 года назад +1

    Ahaha kamanda

  • @user-rb9kv7bm6m
    @user-rb9kv7bm6m 8 месяцев назад

    Nyundo imepigilia mapaa mengi itajumbukwa

  • @jawawahab4689
    @jawawahab4689 3 года назад

    Ku

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 5 лет назад +8

    hahahahah Magu bana utatuvunja mbavu mkuu,huyo jamaa ameinuliwa haha

  • @awardhakimu4777
    @awardhakimu4777 3 года назад

    Huyu atakua mndali huyu

  • @kavisille1815
    @kavisille1815 3 года назад

    Mr president himself

  • @chaucassim4123
    @chaucassim4123 Год назад

    Baba etu. Magufuli

  • @daudichirstopher6727
    @daudichirstopher6727 3 года назад

    R I P

  • @samwelmbua4193
    @samwelmbua4193 3 года назад

    Mikwara haifai., msionee watu wapeni UHURU wa kusema.

  • @tinamzava834
    @tinamzava834 3 года назад

    Amechoka

  • @sammysammy2001
    @sammysammy2001 3 года назад

    Nae cheza mnyoe Sina huruma Mimi

  • @assaandrew2411
    @assaandrew2411 4 года назад

    Huyu afande anaconfidance

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 3 года назад

    Toa nyota zake uyooo...

  • @jimisonpius8100
    @jimisonpius8100 4 месяца назад

    magu

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 5 лет назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣hyo afande hana chake hpo hamjui magu ati ameniinua hpo hana kazi tena kiburi chake hakina faida

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 3 года назад

    Yahni unajua ukiwa na akili afu mjinga ni losi kubwa sana

  • @fadhilmawazo9009
    @fadhilmawazo9009 5 лет назад +1

    Muhma kitu chengine, cjui kama haja saura!!

  • @penpoomsukuma1818
    @penpoomsukuma1818 4 года назад

    Una pita

  • @husseininteligence6234
    @husseininteligence6234 4 года назад +1

    Huyo mfungwa atakiona cha moto rais akiondoka

  • @ithewakui4839
    @ithewakui4839 5 лет назад +5

    Huyu rais mkoloni kweli dictator!!!

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 5 лет назад

      fafanua...au ndo unaamka?

    • @ithewakui4839
      @ithewakui4839 5 лет назад

      @@errydeo8865 anasomea aje mwanamme ka bibi yake?

  • @dadakijembe3706
    @dadakijembe3706 5 лет назад +2

    Hyu askar jela ni mfisadi huyu mwizi kabisa

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 года назад +1

    Hhhhhhhhhjj uyu jamaa noma askari noma

  • @georgekinabo68
    @georgekinabo68 5 лет назад +1

    🤣🤣🤣🤣 sipati picha uko alipo huyo askar sasa

    • @saraphinamichael2203
      @saraphinamichael2203 5 лет назад

      GEORGE KINABO 😂😂😂😂
      Askari mavi si mavi mkojo si mkojo🤣🤣🤣

    • @georgekinabo68
      @georgekinabo68 5 лет назад

      @@saraphinamichael2203 🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂

  • @bonabonala42
    @bonabonala42 4 года назад

    Jpm hayo afande unamuonea2

  • @latifahabib8413
    @latifahabib8413 5 лет назад

    Wanyonge peponi😀😀😀😀😇😇😀😇😀😇😇😇😬😬😉😡😢😢😇😇

  • @neemamassawe3029
    @neemamassawe3029 5 лет назад +3

    Kiburi chake kipo wapi?

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      Yaani we acha tu,,,,lakini ndio kule kujimwambafy kulikosemwa!!!!!

    • @soudybrown1494
      @soudybrown1494 4 года назад

      Askari cku zte ni ndio afande hata kma unaonea malalamiko baadae,askari hutakiw kubishana na mkuu wako wa kazi hata kma hayuko sahihi na hyo ndo nidhamu ya kijeshi na ndo ipo hvyo

  • @b.3940
    @b.3940 4 года назад +1

    Aliinuliwa kivipi? Hela ama mahaba?

  • @dignajohnball5571
    @dignajohnball5571 5 лет назад +1

    Yaani huyomfungwa atakuwaanapigwa atajuta kasemea nin namwonea hurum

  • @ezekielmalibani1484
    @ezekielmalibani1484 4 года назад

    Dicteter kweli

  • @mahony1664
    @mahony1664 4 года назад +1

    Huyo askari amejieleza hamna cha kuomba msamaha..magufuli ni dictator na ndiye ako na kiburi

  • @Danmetrofm
    @Danmetrofm 3 года назад

    Hehehe

  • @nasbakari1849
    @nasbakari1849 5 лет назад +3

    😂😂😂😂😂😂

  • @yussufdegea6662
    @yussufdegea6662 3 года назад

    😆😆😆😆😆😆

  • @eliasinyamoya7959
    @eliasinyamoya7959 4 года назад

    H

  • @shabaniiddi5081
    @shabaniiddi5081 3 года назад

    Xxx
    L

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 4 года назад

    Maswali mengine yakudhalilishana tu.

  • @edwardlucas8912
    @edwardlucas8912 3 года назад

    😂😂😂😂😂