DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2019
  • DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
    Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 07, amewasili mkoani Sumbawanga akiendelea na ziara yake nchini ya kukagua na kuzindua miradi mbalimbali...
    Katika ziara yake ambayo ilianzia mkoani Songwe, Rais Magufuli, ameongozana na mawaziri mbalimbali akiwemo Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, Waziri wa mambo ya nje, Profesa Kabudi pamoja na naibu waziri wa michezo, Juliana Shonza..
    #RAISMAGUFULI
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 739 750 910 au +255 784 888982)
    ---------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY: ruclips.net/user/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEWS:
    ruclips.net/user/playlist?list...

Комментарии • 470

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 месяца назад +3

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u6Dk3QxRsVCJ7kW2e

  • @KelvyKessy-sy4dd
    @KelvyKessy-sy4dd Месяц назад +9

    Alieangalia mwaka huu gonga like

  • @carlmax2221
    @carlmax2221 Год назад +32

    God bless Tanzania 🇹🇿🇹🇿 and rest in peace President Magufuli...much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @goldgod9963
    @goldgod9963 4 года назад +70

    E mwenyezi Mungu nipe namimi kipaji cha kua kiongozi bora kama cha Rais wetu kipenzi Magufuri

  • @yusraswalah4734
    @yusraswalah4734 3 года назад +44

    Rest in peace Doctor John Pombe Magufuli no one will replace your party

  • @rajabukhalfan3026
    @rajabukhalfan3026 4 года назад +32

    President JPM to be honest I appreciate you very much for your strong leadership You are the Gift from God to Tanzanians.. CCM didn't do mistake to nominate you.

  • @neemaalby5825
    @neemaalby5825 4 года назад +63

    Mungu akuwezeshe
    Akupe umri
    Sijapata kuona kiongozi kama wewe MHESHIMIWA RAIS.
    MIMI NI MKENYA NA NATAMANI NINGEKUWA MTANZANIA NIKAJIONEA NA KUFAIDI KATIKA UONGOZI WAKO.

    • @kiswahilikitukuzwe2547
      @kiswahilikitukuzwe2547 4 года назад +7

      Usijali kwani tutamchagua JPM kuwa raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki atakapomaliza awamu yake ya pili ya uraisi wa Tanzania.

    • @happymsaki1720
      @happymsaki1720 4 года назад +4

      Njoo Tz ndgu yngu sie tunaraha kama zote na MAGUFULI wetu kipenzi changu wanyonge 2020 bila kupingwa

    • @yasingawaza3087
      @yasingawaza3087 4 года назад

      Neema Alby

    • @lastborn6620
      @lastborn6620 2 года назад

      @@kiswahilikitukuzwe2547 ndugu zangu kizuri hakidumu.

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 года назад +45

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 4 года назад +16

    Nimegoma kuitisha uchaguzi 2020 namtaka MAGUFULI aendelee kuongoza

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 4 года назад +36

    Makufuli i wish ww ungekuwa rahisi wa kenya jamani

    • @kelvinjohn6851
      @kelvinjohn6851 4 года назад +4

      Karibu Tanzania. Tunaenjoy kuwa na Rais Magufuli.

    • @victorsudi2687
      @victorsudi2687 4 года назад

      Kweli bro

    • @aliandrew3537
      @aliandrew3537 3 года назад +3

      Ndo nuru ya magufuli isha enda ALLAH ATUREHEMU FROM KENYA... SITOKUSAHAU

    • @hamissuche6576
      @hamissuche6576 3 года назад +1

      Mie 🇰🇪 ila nauliza wakenya wenzangu na waganda respectively,.. Je akifa uhuru na yoweri watu watauzunika kama alivyokufa jpm jmni naomba majibu yenu,. Rest in peace magu,.. Nalia sana

    • @nsanzetito1453
      @nsanzetito1453 3 года назад

      Na Uganda si Kenya tu

  • @fabiankyando1189
    @fabiankyando1189 4 года назад +37

    Mungu akulinde Rais wangu,Mungu akurehemu,Mungu akupe hekima uishi miaka mingi ili tuone nchi yetu itafika wapi,Viva Tanzania, Viva Rais Magufuli

  • @davidmayenga48
    @davidmayenga48 3 года назад +15

    Asante Mungu kwa maisha na uhai uliompa JPM!

  • @emmanuelraphael679
    @emmanuelraphael679 2 года назад +13

    Tunakumiss sana rais wetu
    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @wilisonastone660
    @wilisonastone660 4 года назад +12

    For you to be leader you need to have wisdom from God.karibu Kenya uwe rais wetu hapa Kenya hakuna haki

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 4 года назад +28

    Sidhani Kama kunasababu yakufanya uchaguz labda wawabunge tu lakini kiapnde hiki aapishwe tu Mambo yaende

  • @ernestonesmo405
    @ernestonesmo405 4 года назад +23

    Kiongoz wa soko naye mnenee 😂😂😂😂 daaah magu ni shidaaa sijui maneno anayatolea wap

  • @saidntisi5994
    @saidntisi5994 4 года назад +31

    Aliesikia kuwa kiongozi wa soko ni mnene anipe like zang.

  • @presidentzenith
    @presidentzenith 10 месяцев назад +6

    Always a pleasure listening to you JPM ❤

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 2 года назад +6

    Lala Salama Nahoza wetu Jahazi umeliacha ila Manahoza wamekuwa wengi sasa na limeshazama 😭😭😭😭

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 4 года назад +22

    Wajinga ndio viongoz.watanzinia mjuwe magufuli ni nyota 5 star

  • @orgenessjasper7649
    @orgenessjasper7649 4 года назад +7

    Hongera Rais wetu kwa kazi nzuri ya ufwatiliji unayofanya mungu akubariki

  • @arthurochieng386
    @arthurochieng386 3 года назад +14

    This man Magufli . It's only that we cannot question God , but we say 'let thy will be done'

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu2327 4 года назад +24

    Magufuli hoyeeeeeeeee
    "Uzeni nyanya Uzeni dagaaa"
    Hahhhhh Safiiiiii

  • @guleedadan3403
    @guleedadan3403 3 года назад +11

    We want president uhuru to do exactly this kind of work and he should start it with Wajir county goverment.

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 3 года назад +19

    He was really a wise man I say, Rest in Peace Mr. President.

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 4 года назад +11

    Kibonge ameongea kweli

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 4 года назад +8

    Uyu ndio Rais wawatu banah,, acha mzee Magu awanyooshe

  • @stanydizzy480
    @stanydizzy480 4 года назад +11

    Daaah kwa Uncle Magu ukienda kichwaa kichwaa Unaumbukaa

  • @mcmwasha9668
    @mcmwasha9668 4 года назад +10

    Kuna mtu anasema eti utawala wa kisheria umekufa ulitaka sheria gani sasa inayobembeleza mpk lijengwe ghorofa wakat wafanyabiashara hawana tena soko,tunga sheria yako weka ghetto kwako we need to move far now

    • @pendael02
      @pendael02 4 года назад +1

      Ulituchelewesha, na watu huwa wanataka kupata mianya ya jato asilimia kumi. Tupilia kule

    • @pendael02
      @pendael02 4 года назад +1

      Pia ni mifumo ya kizungu

    • @neemahalisi9302
      @neemahalisi9302 4 года назад

      nice nice niceeee

  • @Mariaclala536
    @Mariaclala536 4 года назад +18

    Ila huyu mzee ni genius Sana ndo anasafisha njia hvyo 2020

  • @br.luckieafrica9233
    @br.luckieafrica9233 2 года назад +8

    Africa needs more presidents like jp magufuli

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta6641 2 года назад +5

    Tunakukumbuka Sana kwa ajili ya wanyonge unaenda peponi hayati magufuli

  • @felixkanyimbu6862
    @felixkanyimbu6862 3 года назад +11

    Long live magufuli. We truly shall miss you.

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 2 года назад

      Sema ndo mungu tu ame mchukua lakini ninge pata kuku tana nae ninge mshauli kwenye mikutano yake tuwe tuna Ingia Kwa kiingilio jamaa alikuwa ana tupa mzuka kwelikweli

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 Год назад +4

    Allah ailaze roho yako mahali pema peponi amiin

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 года назад +6

    Nakufuatilia vzr sanaaaaaaa baba. Na mm naomba kazi tuu ya kukusaidia. Maana upoooo vzr nkpnd presidaaaaa wanguu

  • @biashaallyally3701
    @biashaallyally3701 4 года назад +19

    Magu shikamoooo uko vzr 2020 kura yangu nakupa tu

  • @omarbunu3412
    @omarbunu3412 8 месяцев назад +11

    I am Kenyan but I miss magufuli BaBa wa wanyonge

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 4 года назад +9

    Raisi hawa viongozi wengi ni majanga tuu..usiwacheleweshee ktk taifa fagia tu..weka watu mwingine..

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 года назад +22

    JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au
    tupigie WhatsApp No: +255 657 955825 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.

    • @drtobias_
      @drtobias_ 4 года назад +1

      Huu ujumbe wenu sijauewa mnatakaje

    • @dicksontillya5843
      @dicksontillya5843 4 года назад +2

      Huku kwetu tanga kuna mzee kamuoa mke mpka polisi waingilia kati

    • @didimhutila8985
      @didimhutila8985 4 года назад +4

      Unalipaje?

    • @umojatunzwetv
      @umojatunzwetv 4 года назад +1

      Habali zahuko. Mimi nipo Canada ila ninahabali into umiza kweli. Kama inawezekana tutafutane WhatsApp +1 204 615 4043

    • @masoudtwaufik4953
      @masoudtwaufik4953 3 года назад

      Mihi

  • @alphoncenestorybishirangon1836
    @alphoncenestorybishirangon1836 4 года назад +17

    2020 kura yangu na za familiya zangu zote kwa JPM 100%

    • @cassiusniyimpagaritse5347
      @cassiusniyimpagaritse5347 4 года назад +2

      Nikikuwa mutanzania mwaka 2020 na familiya yangu yote nikwa JPM 100% arakini niko murundi

  • @dismassabinus7031
    @dismassabinus7031 3 года назад +6

    tutakukumbuka daima rais John pombe magufuli

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 года назад +10

    Hakuna uamuzi umenifurahisha Kama leo. In maana Hawa viongozi walikuwa hawayaoni mpk rais ajeeeeeeeee jamani. Tumbua woteee haoooo

    • @lazarosailepu5666
      @lazarosailepu5666 4 года назад +1

      Kweli Tanzania mungu katupa kiongoz mungu akbariki ras wet

    • @khalidjohn6576
      @khalidjohn6576 3 года назад +1

      Mungu akukinge na majanga ,

  • @athumanyusuph1099
    @athumanyusuph1099 4 года назад +13

    Raisi wangu unanigusa mpaka nashindwa kusema kitu....wanyonge tupo huru sasa..napenda twende wote pamoja mpaka mwisho MUNGU akulinde kwa kweli

    • @johanesbina1302
      @johanesbina1302 2 года назад

      hii comment😢😢😢😢 naliaa tulivimba

  • @simbaboy9435
    @simbaboy9435 3 года назад +12

    RIP Magufuri Rais wetu wa Africa Allah ailaze Roho yako mahari pema peponi Amiin

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 4 года назад +10

    2020 kura yangu hiyooo

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei2927 4 года назад +5

    Sidhani kama Meya anastahiki kumjibia mkurugenzi

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 4 года назад +5

    Mungu akubariki sana kwa kazi zurii mashallah nakuombea sana hunatafauti nakabus wallah

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Год назад +4

    Nalia Sana kila nikitazama izi hotuba.JPM wetu jamani??😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿

  • @delicateone9214
    @delicateone9214 3 года назад +7

    Rest Easy President 😭😭we miss you alot

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 4 года назад +9

    Taifa limepata Rais! Miaka inakimbia lkn Mungu hata sasa amtusaidia. Miaka 5 ijayo Mungu akupe afya njema umalize kazi njema uliyoianzisha

  • @willywaire50
    @willywaire50 2 года назад +3

    Mungu aiwekeroho yake mahali pema peponi,watanzania mlikua na ndume jasiri kweli Mungu alimpenda Zaidi..

  • @kibajetihassan6218
    @kibajetihassan6218 3 года назад +5

    Yani tundurisu na jamaa zake watasubiri sana

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 3 года назад +3

    Mungu akusamehe rais wetu upumzike kwa aman sipati picha kbs kwamba atujikukuona tena ukiongea na ss

  • @abdulfatahjuma5355
    @abdulfatahjuma5355 4 года назад +6

    kiongozi wa soko nae ni mnene ,anakula hela nini?

  • @samiraali5505
    @samiraali5505 4 года назад +4

    Sijuti kura yangu Magu oyeeeee,2020 InshaAllah, utapita tu babalao!!

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 4 года назад +3

    Sioni sababu ya kuchezea fedha kwenye uchaguzi wa raisi maana hata huyo anaeshindana na magu anajua wazi atashindwa kwa kura zote lamsingi tuangalie fedha za uchaguzi wa raisi zipelekwe kwenye mambo ya maendeleo na huduma za afya wabaki kwenye uchaguzi wabunge na wadiwani basi

  • @imaninjau9135
    @imaninjau9135 Год назад +8

    Rest in peace my hero father

  • @mussasuleiman2287
    @mussasuleiman2287 4 года назад +6

    Mungu akuzidishie Raisi wangu. wewe una roho ya peke yako. Mungu akusimamie akupe umri furaha na afya njema katika maisha yako

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 4 года назад +4

    Hahahaaa ngoja nimalize hili,mnababaisha tu,hahaaaa make some noise for the prezidaaaa.

  • @abuyabally5086
    @abuyabally5086 4 года назад +3

    salute nakuukubali sana raisi wangu mpendwa jpm heshima yako mkuu

  • @mariammatitu6392
    @mariammatitu6392 3 года назад +3

    Ahsante rais wa wanyonge mungu akupe uhai mrefu wenye mafanikio

  • @nameless533
    @nameless533 4 года назад +41

    Kwanin tuharibu mamilioni kwa ajili ya uchaguzi wa 2020?

    • @nelsonnmwaipaja6980
      @nelsonnmwaipaja6980 4 года назад +2

      umenena mzee

    • @lazarosilayo6918
      @lazarosilayo6918 4 года назад

      Elias Dioniz Katibu ndvyo inavyosema uchaguz n kila baada y miaka 5, sasa hayo mawazo yko tafuta sehemu sahihi y kuyasemeaa au kasome katiba vzur uielewe uache kuropokaropoka.

    • @issamaulidi8407
      @issamaulidi8407 4 года назад +3

      Lazaro Silayo Acha useng mangu atabak kuwa juuu

    • @mbwanaomary7537
      @mbwanaomary7537 4 года назад +3

      @@lazarosilayo6918 mbona kama unateseka unajibu kwa hasira na gazabu hayo ni mawazo yake tu kama yeye kwa mtazamo wake ameona hamna haja ya uchaguzi ni mtazamo wake yaheshim

    • @nameless533
      @nameless533 4 года назад +1

      @@lazarosilayo6918 😊 nidhahiri unateseka nahii spidi ya JpM. Mbona Mr Freeman mmempa uenyekiti w kudumu nawala hatusemi.?

  • @chuwaloonlinetv6672
    @chuwaloonlinetv6672 4 года назад +4

    Yan baba umepita kula yang 2020 we Chukua

  • @samwelmbaule5003
    @samwelmbaule5003 4 года назад +4

    Ahsante sana Rais.

  • @polycarphildbrand851
    @polycarphildbrand851 3 года назад +1

    Mama kasema bango moja mkuu wa mkoa/wilaya unatembea hizi kero zitawaondoa wengi.. baba alikuwa mpaka aje ndo kero zinasemwa dah 😔😔💔💔

  • @kelvinkaniki7186
    @kelvinkaniki7186 4 года назад +6

    Bravo my president

  • @elijahm.muthini
    @elijahm.muthini 4 года назад +7

    Anco magu hatari💥

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 4 года назад +4

    Wezi wa Mali ya umma na wananchi ni wengi,unawasamehe bure Keisha wanakuzunguka na kukupigia makofi.

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Год назад +2

    Ndo maana watu walizimia baada ya kifo chako baba🙏🙏

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 4 года назад +5

    mbona sido mbeya wameweza

  • @famitoissanawanda6295
    @famitoissanawanda6295 4 года назад +10

    Kkkkk Mnene pesa za bure

  • @samwelmlingi7822
    @samwelmlingi7822 2 года назад +2

    Eeemwenyezi mungu mpumzishe mahari pemapeponi raisi wetu, Amina

  • @adinanipaulobogaadinanipau3665
    @adinanipaulobogaadinanipau3665 3 года назад +2

    Mm nakupenda sana rais wangu mungu akubariki

  • @wanzambinya8501
    @wanzambinya8501 Год назад +2

    The best president in the world. i miss u Mr. Prezo. Continue to rest in peace.

  • @maryamalhabsi4364
    @maryamalhabsi4364 3 года назад +2

    Mungu akuleheem bb jmniiii duuuuuh. Hakika. Tumeumbukaaaa 💔💔💔😭😭😭

  • @johnmbugani6532
    @johnmbugani6532 4 года назад +1

    Mh hao wote ni wapiga dili, kwanini wanalazimisha kinyume na matakwa ya wahusika? 5b ni mzigo mkubwa kuna uwezekano watu wana 40% zao

  • @josephmanyama435
    @josephmanyama435 3 года назад +2

    Jamani jamani huyu Raisi daaa inauma sana mpendwa wetu

  • @awiloligola7674
    @awiloligola7674 13 дней назад +1

    KAMA UNAMUONA MAKONDA HAPAA!! NDANI YA MAGUFULI
    GONGA HAPA!!❤

  • @chachamwita9987
    @chachamwita9987 2 года назад +2

    Laa Rais wetu sijui tutakuja kupata mtumwingine kamawewe mungu atujalie

  • @siwemawillson9735
    @siwemawillson9735 4 года назад +4

    Ni vile nakupendaga raisi wa wote chapa kazi mzee baba mungu akubariki sana.

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire7684 3 года назад +6

    Baba kweli ndio maana tulizimia na kukata tamaa baada ya msiba wako kutokea. Pumzika kwa Amani Rais wangu JPM

  • @user-zk8sg3iw1z
    @user-zk8sg3iw1z 4 месяца назад

    Mungu akuepushie na mateso ya kuzimu na akuvishe taji ya Mbinguni nankukupa Raha ya mile Amina.....❤❤️‍🔥💗💓💞💕♥️🤍❤️🧡💛💚💙💜🤎

  • @sammygichuki5664
    @sammygichuki5664 3 года назад +2

    Fantastic article

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад +2

    Baba Uwe unaongea Polepole Mh a nap it a hapo utabaki na viongozi hao tena.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 года назад +10

    Thks god for give us Good leader🙏😊.

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 4 года назад +7

    2020✔️

  • @anithagilibert6808
    @anithagilibert6808 4 года назад +12

    Kiongozi Wa soko nimnene

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 3 года назад +2

    Duhu mpka naumia Sana ka har hii tawala mpka mwenyez mungu akutwaee

  • @saumuguni2638
    @saumuguni2638 4 года назад +12

    Chezea magu wee 😂

  • @allyiddkinga935
    @allyiddkinga935 4 года назад +2

    Kunya Ngisii Pombe Magufuli🔒🔒🔒

  • @claudekimu9511
    @claudekimu9511 2 года назад +3

    Hakika Mungu amrehemu

  • @yohanajakobo6051
    @yohanajakobo6051 4 года назад +3

    Hongera rais wangu

  • @abuyabally5086
    @abuyabally5086 4 года назад +4

    uchaguzi wa urais ufanyike 2025 tu 2020 ifanyike wabunge na madiwani tu urais no hatutaki

  • @pastorrusagarajosephsolo8692
    @pastorrusagarajosephsolo8692 2 года назад +2

    Mwenye haki akiwa na Amri watu hufurahi. Pumzika kwa amani Mhe.JPM

  • @zenamilanzi1471
    @zenamilanzi1471 4 года назад +5

    Magu oyeeee

  • @rastalukumai
    @rastalukumai 2 года назад +1

    Akiyamungu magufuli. Mungu aisamehe roho yako. Naukojuu akupeuongozi wowote. Tumekumiss sana

  • @francisgichuhi4337
    @francisgichuhi4337 2 года назад +2

    Kwanini uhuru wa Kenya hawesi kufanya kama huyu raisi wa Tanzania?

  • @patrickwatene196
    @patrickwatene196 3 года назад +2

    I wish magufuli ugekuja Kenya hii yetu uone vile viongozi wetu wanavyo kula pesa ya maskini kama chips funga ,mm kama mkenya tunavumilia tu as we Wait for the death ,nothing our leaders doing but being paid more money but doing nothing to common Kenyan, Rip pombe

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 4 года назад +4

    namuona mzee magu anapiga kampen kutoka sasa.saf san magu unaakili hahaha

  • @shalua8337
    @shalua8337 3 года назад +3

    He was a rock presdent rest in cool our presdent