DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
HTML-код
- Опубликовано: 6 окт 2019
- DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 07, amewasili mkoani Sumbawanga akiendelea na ziara yake nchini ya kukagua na kuzindua miradi mbalimbali...
Katika ziara yake ambayo ilianzia mkoani Songwe, Rais Magufuli, ameongozana na mawaziri mbalimbali akiwemo Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, Waziri wa mambo ya nje, Profesa Kabudi pamoja na naibu waziri wa michezo, Juliana Shonza..
#RAISMAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 739 750 910 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: ruclips.net/user/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
ruclips.net/user/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
ruclips.net/user/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
ruclips.net/user/playlist?list...
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u6Dk3QxRsVCJ7kW2e
Alieangalia mwaka huu gonga like
God bless Tanzania 🇹🇿🇹🇿 and rest in peace President Magufuli...much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
E mwenyezi Mungu nipe namimi kipaji cha kua kiongozi bora kama cha Rais wetu kipenzi Magufuri
🙄🤗🚶♀️
Rest in peace Doctor John Pombe Magufuli no one will replace your party
Really no one but maybe me
President JPM to be honest I appreciate you very much for your strong leadership You are the Gift from God to Tanzanians.. CCM didn't do mistake to nominate you.
He was one of the best African president
Mungu akuwezeshe
Akupe umri
Sijapata kuona kiongozi kama wewe MHESHIMIWA RAIS.
MIMI NI MKENYA NA NATAMANI NINGEKUWA MTANZANIA NIKAJIONEA NA KUFAIDI KATIKA UONGOZI WAKO.
Usijali kwani tutamchagua JPM kuwa raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki atakapomaliza awamu yake ya pili ya uraisi wa Tanzania.
Njoo Tz ndgu yngu sie tunaraha kama zote na MAGUFULI wetu kipenzi changu wanyonge 2020 bila kupingwa
Neema Alby
@@kiswahilikitukuzwe2547 ndugu zangu kizuri hakidumu.
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
🤝🤝🥰🥰
Well quoted bro
Nimegoma kuitisha uchaguzi 2020 namtaka MAGUFULI aendelee kuongoza
Makufuli i wish ww ungekuwa rahisi wa kenya jamani
Karibu Tanzania. Tunaenjoy kuwa na Rais Magufuli.
Kweli bro
Ndo nuru ya magufuli isha enda ALLAH ATUREHEMU FROM KENYA... SITOKUSAHAU
Mie 🇰🇪 ila nauliza wakenya wenzangu na waganda respectively,.. Je akifa uhuru na yoweri watu watauzunika kama alivyokufa jpm jmni naomba majibu yenu,. Rest in peace magu,.. Nalia sana
Na Uganda si Kenya tu
Mungu akulinde Rais wangu,Mungu akurehemu,Mungu akupe hekima uishi miaka mingi ili tuone nchi yetu itafika wapi,Viva Tanzania, Viva Rais Magufuli
😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿
😔😭😭
Asante Mungu kwa maisha na uhai uliompa JPM!
Tunakumiss sana rais wetu
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
For you to be leader you need to have wisdom from God.karibu Kenya uwe rais wetu hapa Kenya hakuna haki
Sidhani Kama kunasababu yakufanya uchaguz labda wawabunge tu lakini kiapnde hiki aapishwe tu Mambo yaende
Pesa za kampeni za 2020 ,zijenge zahanati na vituo vya afya ,2020✔️
Kweriii kabixa
Kàbisa mi kaa mkenya
Kiongoz wa soko naye mnenee 😂😂😂😂 daaah magu ni shidaaa sijui maneno anayatolea wap
Ernest Onesmo 😀😀😀
Utafika mbinguni umechoka
Aliesikia kuwa kiongozi wa soko ni mnene anipe like zang.
Always a pleasure listening to you JPM ❤
Lala Salama Nahoza wetu Jahazi umeliacha ila Manahoza wamekuwa wengi sasa na limeshazama 😭😭😭😭
Wajinga ndio viongoz.watanzinia mjuwe magufuli ni nyota 5 star
Hongera Rais wetu kwa kazi nzuri ya ufwatiliji unayofanya mungu akubariki
This man Magufli . It's only that we cannot question God , but we say 'let thy will be done'
Mh
Magufuli hoyeeeeeeeee
"Uzeni nyanya Uzeni dagaaa"
Hahhhhh Safiiiiii
We want president uhuru to do exactly this kind of work and he should start it with Wajir county goverment.
Hawezi
He was really a wise man I say, Rest in Peace Mr. President.
will there be another JPM?
it's a big Q
Kibonge ameongea kweli
Uyu ndio Rais wawatu banah,, acha mzee Magu awanyooshe
Daaah kwa Uncle Magu ukienda kichwaa kichwaa Unaumbukaa
Kuna mtu anasema eti utawala wa kisheria umekufa ulitaka sheria gani sasa inayobembeleza mpk lijengwe ghorofa wakat wafanyabiashara hawana tena soko,tunga sheria yako weka ghetto kwako we need to move far now
Ulituchelewesha, na watu huwa wanataka kupata mianya ya jato asilimia kumi. Tupilia kule
Pia ni mifumo ya kizungu
nice nice niceeee
Ila huyu mzee ni genius Sana ndo anasafisha njia hvyo 2020
Africa needs more presidents like jp magufuli
Tunakukumbuka Sana kwa ajili ya wanyonge unaenda peponi hayati magufuli
Long live magufuli. We truly shall miss you.
Sema ndo mungu tu ame mchukua lakini ninge pata kuku tana nae ninge mshauli kwenye mikutano yake tuwe tuna Ingia Kwa kiingilio jamaa alikuwa ana tupa mzuka kwelikweli
Allah ailaze roho yako mahali pema peponi amiin
Nakufuatilia vzr sanaaaaaaa baba. Na mm naomba kazi tuu ya kukusaidia. Maana upoooo vzr nkpnd presidaaaaa wanguu
Magu shikamoooo uko vzr 2020 kura yangu nakupa tu
I am Kenyan but I miss magufuli BaBa wa wanyonge
Raisi hawa viongozi wengi ni majanga tuu..usiwacheleweshee ktk taifa fagia tu..weka watu mwingine..
JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au
tupigie WhatsApp No: +255 657 955825 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.
Huu ujumbe wenu sijauewa mnatakaje
Huku kwetu tanga kuna mzee kamuoa mke mpka polisi waingilia kati
Unalipaje?
Habali zahuko. Mimi nipo Canada ila ninahabali into umiza kweli. Kama inawezekana tutafutane WhatsApp +1 204 615 4043
Mihi
2020 kura yangu na za familiya zangu zote kwa JPM 100%
Nikikuwa mutanzania mwaka 2020 na familiya yangu yote nikwa JPM 100% arakini niko murundi
tutakukumbuka daima rais John pombe magufuli
Hakuna uamuzi umenifurahisha Kama leo. In maana Hawa viongozi walikuwa hawayaoni mpk rais ajeeeeeeeee jamani. Tumbua woteee haoooo
Kweli Tanzania mungu katupa kiongoz mungu akbariki ras wet
Mungu akukinge na majanga ,
Raisi wangu unanigusa mpaka nashindwa kusema kitu....wanyonge tupo huru sasa..napenda twende wote pamoja mpaka mwisho MUNGU akulinde kwa kweli
hii comment😢😢😢😢 naliaa tulivimba
RIP Magufuri Rais wetu wa Africa Allah ailaze Roho yako mahari pema peponi Amiin
Simba amin
2020 kura yangu hiyooo
Sidhani kama Meya anastahiki kumjibia mkurugenzi
Mungu akubariki sana kwa kazi zurii mashallah nakuombea sana hunatafauti nakabus wallah
Nalia Sana kila nikitazama izi hotuba.JPM wetu jamani??😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿
Rest Easy President 😭😭we miss you alot
Taifa limepata Rais! Miaka inakimbia lkn Mungu hata sasa amtusaidia. Miaka 5 ijayo Mungu akupe afya njema umalize kazi njema uliyoianzisha
Mungu aiwekeroho yake mahali pema peponi,watanzania mlikua na ndume jasiri kweli Mungu alimpenda Zaidi..
Yani tundurisu na jamaa zake watasubiri sana
Mungu akusamehe rais wetu upumzike kwa aman sipati picha kbs kwamba atujikukuona tena ukiongea na ss
kiongozi wa soko nae ni mnene ,anakula hela nini?
Sijuti kura yangu Magu oyeeeee,2020 InshaAllah, utapita tu babalao!!
Sioni sababu ya kuchezea fedha kwenye uchaguzi wa raisi maana hata huyo anaeshindana na magu anajua wazi atashindwa kwa kura zote lamsingi tuangalie fedha za uchaguzi wa raisi zipelekwe kwenye mambo ya maendeleo na huduma za afya wabaki kwenye uchaguzi wabunge na wadiwani basi
Rest in peace my hero father
Mungu akuzidishie Raisi wangu. wewe una roho ya peke yako. Mungu akusimamie akupe umri furaha na afya njema katika maisha yako
Hahahaaa ngoja nimalize hili,mnababaisha tu,hahaaaa make some noise for the prezidaaaa.
salute nakuukubali sana raisi wangu mpendwa jpm heshima yako mkuu
Ahsante rais wa wanyonge mungu akupe uhai mrefu wenye mafanikio
Kwanin tuharibu mamilioni kwa ajili ya uchaguzi wa 2020?
umenena mzee
Elias Dioniz Katibu ndvyo inavyosema uchaguz n kila baada y miaka 5, sasa hayo mawazo yko tafuta sehemu sahihi y kuyasemeaa au kasome katiba vzur uielewe uache kuropokaropoka.
Lazaro Silayo Acha useng mangu atabak kuwa juuu
@@lazarosilayo6918 mbona kama unateseka unajibu kwa hasira na gazabu hayo ni mawazo yake tu kama yeye kwa mtazamo wake ameona hamna haja ya uchaguzi ni mtazamo wake yaheshim
@@lazarosilayo6918 😊 nidhahiri unateseka nahii spidi ya JpM. Mbona Mr Freeman mmempa uenyekiti w kudumu nawala hatusemi.?
Yan baba umepita kula yang 2020 we Chukua
Ahsante sana Rais.
Mama kasema bango moja mkuu wa mkoa/wilaya unatembea hizi kero zitawaondoa wengi.. baba alikuwa mpaka aje ndo kero zinasemwa dah 😔😔💔💔
Bravo my president
Anco magu hatari💥
Wezi wa Mali ya umma na wananchi ni wengi,unawasamehe bure Keisha wanakuzunguka na kukupigia makofi.
Ndo maana watu walizimia baada ya kifo chako baba🙏🙏
mbona sido mbeya wameweza
Kkkkk Mnene pesa za bure
Eeemwenyezi mungu mpumzishe mahari pemapeponi raisi wetu, Amina
Mm nakupenda sana rais wangu mungu akubariki
The best president in the world. i miss u Mr. Prezo. Continue to rest in peace.
Mungu akuleheem bb jmniiii duuuuuh. Hakika. Tumeumbukaaaa 💔💔💔😭😭😭
Mh hao wote ni wapiga dili, kwanini wanalazimisha kinyume na matakwa ya wahusika? 5b ni mzigo mkubwa kuna uwezekano watu wana 40% zao
Jamani jamani huyu Raisi daaa inauma sana mpendwa wetu
KAMA UNAMUONA MAKONDA HAPAA!! NDANI YA MAGUFULI
GONGA HAPA!!❤
Laa Rais wetu sijui tutakuja kupata mtumwingine kamawewe mungu atujalie
Ni vile nakupendaga raisi wa wote chapa kazi mzee baba mungu akubariki sana.
Baba kweli ndio maana tulizimia na kukata tamaa baada ya msiba wako kutokea. Pumzika kwa Amani Rais wangu JPM
Mungu akuepushie na mateso ya kuzimu na akuvishe taji ya Mbinguni nankukupa Raha ya mile Amina.....❤❤️🔥💗💓💞💕♥️🤍❤️🧡💛💚💙💜🤎
Fantastic article
Baba Uwe unaongea Polepole Mh a nap it a hapo utabaki na viongozi hao tena.
Thks god for give us Good leader🙏😊.
MashaAllah big up Mr prezzo for u're concerned
U are blessed guys...
Good leader passed away
Dua kwa wingi
Kwake
2020✔️
Kiongozi Wa soko nimnene
Hahahahahahahahaha!!!!
🤣🤣🤣
wanaposema hawa mataraamu weetu
Duhu mpka naumia Sana ka har hii tawala mpka mwenyez mungu akutwaee
Chezea magu wee 😂
Kunya Ngisii Pombe Magufuli🔒🔒🔒
Hakika Mungu amrehemu
Hongera rais wangu
uchaguzi wa urais ufanyike 2025 tu 2020 ifanyike wabunge na madiwani tu urais no hatutaki
àhahahahhaahahahahahahahahahahahHHahah
Mwenye haki akiwa na Amri watu hufurahi. Pumzika kwa amani Mhe.JPM
Magu oyeeee
Akiyamungu magufuli. Mungu aisamehe roho yako. Naukojuu akupeuongozi wowote. Tumekumiss sana
Kwanini uhuru wa Kenya hawesi kufanya kama huyu raisi wa Tanzania?
I wish magufuli ugekuja Kenya hii yetu uone vile viongozi wetu wanavyo kula pesa ya maskini kama chips funga ,mm kama mkenya tunavumilia tu as we Wait for the death ,nothing our leaders doing but being paid more money but doing nothing to common Kenyan, Rip pombe
namuona mzee magu anapiga kampen kutoka sasa.saf san magu unaakili hahaha
He was a rock presdent rest in cool our presdent