MAGUFULI AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI - "UNAFANYA UPUMBAVU, HUWEZI KUNIDANGANYA"
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2019
- MAGUFULI AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI - "UNAFANYA UPUMBAVU, HUWEZI KUNIDANGANYA"
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli Leo Oktoba16, 2019 anaendelea na ziara yake Nachingwea na Masasi akiwa ameambatana na baadhi ya mawaziri...
#RAISMAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
ruclips.net/user/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
ruclips.net/user/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
ruclips.net/user/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
ruclips.net/user/playlist?li
Safi sana JPM piga kazi mzee kama unakubali anachokifanya Rais wetu dondosha like yako hapa.
Huyo mkurugenzi katumbuliwa tayari
i wish tungeweza pewa magufuli 1month Kenya ingenyooka
I wonder if President Uhuru and his Deputy watch such documentaries this is the proper leadership we need in Kenya.
From Rwanda magufuzi rais wawanyonge penda sana
Kuwa kiongozi sio mchezo ,wengine wakisha pata uongozi basi hufikiri in kubaki ofisini tu kumbe siyo, sasa mkuu wa nchi anawafundisha kazi wale waliozoea kawaida ya serikali zilizopita.
Yaan nilitaman siku moja afike hapa maana hii wilaya wapigaji walikuwa ni wengi mno
Betson Beatus mh kazi kazi fanya yanayo kuhusu ukizingua unakuwa jipu
Nakuombea uzima na uvumilivu rais wangu Mwenyez Mungu akupe kila lenye kher nawe 🤲👀
Ifikie time magufuli aeleweke jmn tutapata wap rais km huyu mweee mungu akulinde
Hahahahahahahaaaaaaa
Hakika mungu akupe miaka mingi rais wangu
Yaani, unaweza ukajuta kuwa kiongozi
Vizazi na vizazi vitapita lakini jpm, hutakuja kusahaulika ktk serikari ya tanzania, R.I.P BABA.
Watu kama hawa hata mungu anawapenda hongera sn rais bigup
Mungu akutangulie na ukupe nguvu
Nimempenda uyu mkurugenz ana confidence ya ela yote
Confidence kwenye kufanya zero alafu unasema ya hela yote, kama anaconfidence alitakiwa akatae siku anapewa hiyo nafasi aseme mimi nina hela so sihitaji kazi hiyo, so hicho unachocomment ni sawa na coment ya mbumbumbu!!
Aiseee Kama Rais Ninae
Mungu akubariki Rais wetu JPM 🇹🇿 Nakuombea sana
Kweli rais tunaye
Mkurugenzi yuko full conference big up sana
Popularity vs Professionalism
What do you really mean ?
@@sharif-ismailshah597 The President is gaining more popularity in that society while the director's professionalism is despised and seen useless..
Kweli Vasco una akilli Sana
100# uishiii kiongozi wangu mpaka frahaaa ya machozi hongera baba
bless up mr president this is a prove Magu is the man of the people.
Huu ni uongozi ambao utawafanya Watanzania wenye madaraka waamke na kuwatumikia walio wengi. Ubovu wa hawa wazembe na wezi unaanza kuonekana wazi kwa kila Mtanzania.
safi sanaa..... hapa kazi tuuuu... hatutaki ujinga.... ela za wananchi hizo.. zinapigwa.... mtakoma
Uyu ndo RAISI wetu...Atawale hata miaka 30
Bora ukosee njia lakini siyo kukosea kuchagua kiongozi sahihi wa kukuongoza,nashukuru Mungu kunipa Rais sahihi wa kuniongoza.Mungu akubariki sana na kukupa afya njema kila itwapo siku
Kwa hali hii tunasema pole sana mkurugenzi
Mkurugenzi jiuzuku umetia aibu Sana mpk sura inakusuta
Hongera.baba.ubarikiwe.sana
Nalilia kenya inchi yangu... Tungempata rais kama jpm tungekuwa mbali
Njoo tanzania
Kama umesikia maternity leave naomba like
Mh aibu mwenzangu
sisi kenya tulikosea wapi jameni😭😭😭
Pumzika kwa aman jemedali wetu vita umevipiga mwendo umeumaliza na iman hakika uliilinda vyema pumzika
Hatari sana baba
kwenye maswala ya uwajibikaji hapo wakuu wa wilaya na mkuu wa mkoa husika nao pia sio wawajibikaji kikazi wanajifungia mjini wanaacha kuzunguka vijijini ili kuzitolea ufafanuzi kelo hizi hapo mkulugenzi ni kama ile hadisi ya aliekutwa na ngozi
Mwl Mazingira Ni kweli
Daah magufuri rahaaa sanaaa
Na kwakweli mimi nasikitika sana kuwa kutembelea hizi miradi midogo midogo ni lazima uende wewe raisi. Naomba chambua tena team ya wakuu wa mikoa na wilaya maana naona kuna tatizo katika huu mkoa na hii wilaya!!!
Alexander Kapinga ndugu yangu ndo hayo madudu unayaona akiwaachia hakutekezwi kitu rais anapowatembelea anachochea uwajibikaji ambao ulikuwa haupo toka huko nyuma kaka eeee! Kwa nini hamumuelewi raised jamani!
Rip father africa
poor recording
magufuli twaomba uje kenya kwa miaka miwili pekee utunyoroshee taifa
Hata ningekuwa Mimi raisi nafikiri ningefanya hivyo
Safi sana Mkuu wa nchi 2020 kura yangu umepata kwa mara nyingine tena
Ila mambo mengine jamani watumishi wa umma wanajitakia wenyewe, mwaka mzima unatengeneza soko.!!
Mungu alikuleta duniani uwe shujaa wetu tanaomba siku moja uje soko la ilala watu wanapiga sana aise
Huyo mzee anamwaga upupu aisee
NAMPENDA SANA RAIS WANGU
Katoka marekan alafu anafanya kaz za.............. JPM MUNGU AKUBARIK🙏👀
JPM😄😄😄😄 Mashallah Mungu akuweke na kukupa nguvu ktk uongoz wako unanifurahisha sn.
Magufuli was not a joke mkurugenzi kakamatwa kashindwa kuongea kigugumizi mahesabu the man of wanyonge billions no market
😁😁😁😂 duuh huyu magufuli
Ew mwenyez mungu mbarki huyu mtu tujalie na ss zanzbr tupate raic mwenye akili kam huyu mana zanzbr ndo kula walafi kuliko ata huku
Uyu ali kuwa rais wa Marais Dunia nzima
Mie jasho limenitoka
Mashallah mkuu mungu akulinde sisemi kitu sina cha kusema kabisa namuachia mungu unatosha
Huyu ndie rais anaye jituma kwa wanyonge
Tundu ya yeo.
Kufanya kazi Marekani mpaka kurudi Tanzanzia. Mimi kazi za pressure sizipendagi
Yaani ni katika watu ambao hawajielewi na huna akili kwa 100%. So what is kufanya kazi Marekani??
@@alexanderkapinga700 wewe ndio hujielewi yaani kuondoka USA kuja kufanya kazi Tanzania. Unafikiri Marekani ni nchi ya kawaida Ile ni superpower country. Ndio maana hata Rais kamshangaa
Danford Mwabena
Shauri yako kama hupendi kazi za pressure! Jitenge na utupishe au rudi huko marekani ukapigwe risasi na Askari wa kizungu.
@@machaggechacha3422 kwani Marekani maaskari wa kizungu wanawapiga watu risasi tuu bila kosa lolote lile
Wewe unadhani kwa akili yako kufanya kazi kwenye super power nation na huku kusiko super power unadhan wapi kuna strees sasa. Fuatilia vizuri huwezi kwenda kimbumbumbu tu katika taifa kama lile na kingine wewe umezaliwa Tanzania unashadadia kufanya kazi katika nchi ya wenzako badala ya nchi yako, unadhangaza sana!!
Hahaha haha 😂 😂 😂 😂 😂 tumbua majipu baba baaaaa wekaaa bariaaaa
Keystar John alifukuzwa mbozi uyo ngoja wamtumbue tena
Mtumbue tens huyo mkuu wa mkoa kam ulivomtoa Kule mbozi
Sasa fedha zinazotoka wizara ya fedha, zinafanya kazi gani?? Mkurugenzi hapa atakuwa amekoroga mwenyewe. Aibu yake sasa. Yaan watu wengine hawafai hata kwa bure..au wanakula hela??? Mkurugenzi huyu ameniacha hoi kweli..
Kama ulimuona yule jamaa aliyesema tumbua majipu gonga like alafu sema MAGU Oyeeeeeee!!!
Watanzania wanafiki sana ! Kelele nyingiiii huwenda hata wanachokipigia kelele hawakifahamu
msuya first
Nadhani watanzania wanapigia kelele wanachokifahamu na kukielewa. Wewe ndie bububu huelewi. Masikio na ufahamu wako ni kama ule wa kenge. Amka!! Kumkucha!!
@@machaggechacha3422 nakueleza wa Tz niwanafiki walio wengi. Kama hutaki basi kaka. Mimi mwenyewe nipo huko may be wewe upo private ndio maana
@@machaggechacha3422 halafu jifunze staha kaka matusi au kejeli hazina maana. Umeona nimetukana? Mungu akupe hekima
first wengi wanakimbilia kutoa matusi badala ya hoja. Mbona mkurugenzi kajibu kwa unasha tuu. Na majibu mengine tanatakiwa kukaa chini si kujibu ovyo ovyo na pili huwezi kubishana na mkuu ktk umati wa watu namna ile. Mkurugenzi nampa pole sana kwa kuitwa mpumbavu ana familia jamaa marafiki wafanyakazi wenziwe.
Usikute ww ndo huelewi
Njooo na mafinga mufindi huku najua kabisa utatuokoa sana
steven msigala Vipi Hapi hajafika huko? 😂😂
Nakuombea Mungu akulinde
Ninakukubali sana rais wangu, mimi naona tubadrishe kariba uyu rais aongeze miaka 30
Hahahhah et tumbua majipu dah?
Kl os vp mag
Magufuli usiwaache hao watazoea
Good work
dah mzee anawakazia sana awa wapiga dili ad Uruma asee
Mh raisi njoo na huku Babati vijijini hakuna tofauti
Tupatie namba yako ya sim ili tufanye kazi
😂😂😂😂😂😂
Mtakoma c mlikazana kuiba kura ili awe raisi?nafurahi sana
Uwe mwangalifu kwenye sms zako unaushahidi wa wizi wa kura
Ufisadi kwetu umezidi, kama umemskia kijana gonga like😂😂😂
Fanya kazi baba uokoe wanyonge
Jembe letu ilo maguful kiboko
Ila chamahajabu bukoba mjini haji cjui kwann
Denise Promise usijali tuta kuja
Siyo mahajabu sema maajabu
Mheshimiwa Rais endelea na kazi bila kujali chochote na wala comments za kijinga kutoka kwa baadhi ya watu wachache wanaojifanya kujua lakini kumbe ni mbumbumbu wakutupwa maana mtu anafika level ya kusema eti marekani so what is marekani to development of our people!!!
0ngera rais wetu naamini mungu yupamoja nawe chapa kazi
Na wewe unajidai unajua kuongea sana, so you don't know what is marekani Google then you will get the answer......hapo unamuona mkurugenzi tu but hii kazi ina presha sana na pia sio kwamba hao waliotajwa ndio watendaji kazi hapo wapo watu wengi chini yao pia uwenda ndio wakwamishaji.
@@jennifermallya9648 dada yangu mie sina Muda wa kuhangaika na Marekani nahaika na Tanzania ndio inayonihusu we kama uko concerned na Marekani kagoogle mwenyewe na ukiona vipi nenda huko kaishi huko. My deal is Tanzania with my president so still my point is valid what is marekani when it comes to my country development. Mi binafsi unafiki nafiki sitaki, sisi tunanchi kubwa yenye kila aina ya natural resources ni kwasababu ya kukosa viongozi au kuwa na viongozi wajinga ndio tumepiga mark time all that time. Saivi tumepata the right man he is dealing with his country sio kwenda kupiga picha na wanamiziki na kuzunguka kuomba misaada kwa mataifa mengine. We deal with our country.
@@alexanderkapinga700 but raisi amemuuliza ulifanya kazi wapi angejibu nini? Ilibidi aseme hapa Tanzania au ilibidi aseme ukweli ni wapi alifanya kazi....mbona watanzania tuna nongwa hivyo?
@@jennifermallya9648 hujaelewa mpka mimi nikaongelea marekani tumetoka wapi hapo kwenye mjadala fuatilia vizuri
Hongera.baba.ubarikiwe.sana
Hakika mungu alitupatia chombo, bwana alitoa bwana ametwa jina la bwana lihimidiwe.