MAGUFULI AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI - "UNAFANYA UPUMBAVU, HUWEZI KUNIDANGANYA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2019
  • MAGUFULI AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI - "UNAFANYA UPUMBAVU, HUWEZI KUNIDANGANYA"
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli Leo Oktoba16, 2019 anaendelea na ziara yake Nachingwea na Masasi akiwa ameambatana na baadhi ya mawaziri...
    #RAISMAGUFULI
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ---------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEWS:
    ruclips.net/user/playlist?li

Комментарии • 115

  • @issazakaria9704
    @issazakaria9704 4 года назад +50

    Safi sana JPM piga kazi mzee kama unakubali anachokifanya Rais wetu dondosha like yako hapa.

  • @monicawanza8779
    @monicawanza8779 4 года назад +9

    i wish tungeweza pewa magufuli 1month Kenya ingenyooka

  • @smkinuthia6094
    @smkinuthia6094 4 года назад +3

    I wonder if President Uhuru and his Deputy watch such documentaries this is the proper leadership we need in Kenya.

  • @citizen250tv6
    @citizen250tv6 4 года назад +2

    From Rwanda magufuzi rais wawanyonge penda sana

  • @williamissaya8091
    @williamissaya8091 4 года назад +10

    Kuwa kiongozi sio mchezo ,wengine wakisha pata uongozi basi hufikiri in kubaki ofisini tu kumbe siyo, sasa mkuu wa nchi anawafundisha kazi wale waliozoea kawaida ya serikali zilizopita.

  • @betsonbeatus7543
    @betsonbeatus7543 4 года назад +7

    Yaan nilitaman siku moja afike hapa maana hii wilaya wapigaji walikuwa ni wengi mno

    • @victorkwicha9237
      @victorkwicha9237 4 года назад +1

      Betson Beatus mh kazi kazi fanya yanayo kuhusu ukizingua unakuwa jipu

  • @seifminal1890
    @seifminal1890 4 года назад +1

    Nakuombea uzima na uvumilivu rais wangu Mwenyez Mungu akupe kila lenye kher nawe 🤲👀

  • @gbbuku4714
    @gbbuku4714 4 года назад +7

    Ifikie time magufuli aeleweke jmn tutapata wap rais km huyu mweee mungu akulinde

  • @teophilmbalamwezi
    @teophilmbalamwezi 4 года назад +3

    Yaani, unaweza ukajuta kuwa kiongozi

  • @jemedarikalimasi5754
    @jemedarikalimasi5754 2 года назад +1

    Vizazi na vizazi vitapita lakini jpm, hutakuja kusahaulika ktk serikari ya tanzania, R.I.P BABA.

  • @fredrickbochela6509
    @fredrickbochela6509 4 года назад +1

    Watu kama hawa hata mungu anawapenda hongera sn rais bigup

  • @japhetnzunda99
    @japhetnzunda99 4 года назад +4

    Mungu akutangulie na ukupe nguvu

  • @godfreymushi13
    @godfreymushi13 4 года назад +4

    Nimempenda uyu mkurugenz ana confidence ya ela yote

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 4 года назад +2

      Confidence kwenye kufanya zero alafu unasema ya hela yote, kama anaconfidence alitakiwa akatae siku anapewa hiyo nafasi aseme mimi nina hela so sihitaji kazi hiyo, so hicho unachocomment ni sawa na coment ya mbumbumbu!!

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma7581 4 года назад

    Aiseee Kama Rais Ninae
    Mungu akubariki Rais wetu JPM 🇹🇿 Nakuombea sana

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 4 года назад +2

    Kweli rais tunaye

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 4 года назад +3

    Mkurugenzi yuko full conference big up sana

  • @vascostanleymbisse4477
    @vascostanleymbisse4477 4 года назад +6

    Popularity vs Professionalism

    • @sharif-ismailshah597
      @sharif-ismailshah597 4 года назад

      What do you really mean ?

    • @vascostanleymbisse4477
      @vascostanleymbisse4477 4 года назад

      @@sharif-ismailshah597 The President is gaining more popularity in that society while the director's professionalism is despised and seen useless..

    • @msovietimjamaa3017
      @msovietimjamaa3017 4 года назад +1

      Kweli Vasco una akilli Sana

  • @priscamedadi1108
    @priscamedadi1108 3 года назад +1

    100# uishiii kiongozi wangu mpaka frahaaa ya machozi hongera baba

  • @cldmichashukim5864
    @cldmichashukim5864 4 года назад +1

    bless up mr president this is a prove Magu is the man of the people.

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 4 года назад +2

    Huu ni uongozi ambao utawafanya Watanzania wenye madaraka waamke na kuwatumikia walio wengi. Ubovu wa hawa wazembe na wezi unaanza kuonekana wazi kwa kila Mtanzania.

  • @modestusndunguru4638
    @modestusndunguru4638 4 года назад

    safi sanaa..... hapa kazi tuuuu... hatutaki ujinga.... ela za wananchi hizo.. zinapigwa.... mtakoma

  • @mirajikinuke9849
    @mirajikinuke9849 4 года назад +4

    Uyu ndo RAISI wetu...Atawale hata miaka 30

  • @evelynemachange5305
    @evelynemachange5305 4 года назад

    Bora ukosee njia lakini siyo kukosea kuchagua kiongozi sahihi wa kukuongoza,nashukuru Mungu kunipa Rais sahihi wa kuniongoza.Mungu akubariki sana na kukupa afya njema kila itwapo siku

  • @unaonaniniplatform5244
    @unaonaniniplatform5244 4 года назад +5

    Kwa hali hii tunasema pole sana mkurugenzi

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 4 года назад +1

    Mkurugenzi jiuzuku umetia aibu Sana mpk sura inakusuta

  • @hadijamahande2374
    @hadijamahande2374 4 года назад

    Hongera.baba.ubarikiwe.sana

  • @benardobiri5523
    @benardobiri5523 4 года назад +3

    Nalilia kenya inchi yangu... Tungempata rais kama jpm tungekuwa mbali

  • @maximilianjoseph7896
    @maximilianjoseph7896 4 года назад +2

    Kama umesikia maternity leave naomba like

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 4 года назад +1

    Mh aibu mwenzangu

  • @militocalito7422
    @militocalito7422 4 года назад +1

    sisi kenya tulikosea wapi jameni😭😭😭

  • @ricksonlyimo2662
    @ricksonlyimo2662 2 года назад +1

    Pumzika kwa aman jemedali wetu vita umevipiga mwendo umeumaliza na iman hakika uliilinda vyema pumzika

  • @khadijamohamed6961
    @khadijamohamed6961 4 года назад

    Hatari sana baba

  • @mwlmazingira8705
    @mwlmazingira8705 4 года назад +2

    kwenye maswala ya uwajibikaji hapo wakuu wa wilaya na mkuu wa mkoa husika nao pia sio wawajibikaji kikazi wanajifungia mjini wanaacha kuzunguka vijijini ili kuzitolea ufafanuzi kelo hizi hapo mkulugenzi ni kama ile hadisi ya aliekutwa na ngozi

    • @kiatu
      @kiatu 4 года назад

      Mwl Mazingira Ni kweli

  • @sheikhmahmoud3127
    @sheikhmahmoud3127 4 года назад

    Daah magufuri rahaaa sanaaa

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 4 года назад +2

    Na kwakweli mimi nasikitika sana kuwa kutembelea hizi miradi midogo midogo ni lazima uende wewe raisi. Naomba chambua tena team ya wakuu wa mikoa na wilaya maana naona kuna tatizo katika huu mkoa na hii wilaya!!!

    • @williamissaya8091
      @williamissaya8091 4 года назад

      Alexander Kapinga ndugu yangu ndo hayo madudu unayaona akiwaachia hakutekezwi kitu rais anapowatembelea anachochea uwajibikaji ambao ulikuwa haupo toka huko nyuma kaka eeee! Kwa nini hamumuelewi raised jamani!

  • @NOVATISIYAME
    @NOVATISIYAME 3 месяца назад

    Rip father africa

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 года назад +3

    poor recording

  • @militocalito7422
    @militocalito7422 4 года назад +1

    magufuli twaomba uje kenya kwa miaka miwili pekee utunyoroshee taifa

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 4 года назад +1

    Hata ningekuwa Mimi raisi nafikiri ningefanya hivyo

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 4 года назад +3

    Safi sana Mkuu wa nchi 2020 kura yangu umepata kwa mara nyingine tena

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 4 года назад +1

    Ila mambo mengine jamani watumishi wa umma wanajitakia wenyewe, mwaka mzima unatengeneza soko.!!

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 4 года назад

    Mungu alikuleta duniani uwe shujaa wetu tanaomba siku moja uje soko la ilala watu wanapiga sana aise

  • @abelyhokororo8622
    @abelyhokororo8622 4 года назад +1

    Huyo mzee anamwaga upupu aisee

  • @peteralfonce5848
    @peteralfonce5848 4 года назад

    NAMPENDA SANA RAIS WANGU

  • @seifminal1890
    @seifminal1890 4 года назад

    Katoka marekan alafu anafanya kaz za.............. JPM MUNGU AKUBARIK🙏👀

  • @seifminal1890
    @seifminal1890 4 года назад

    JPM😄😄😄😄 Mashallah Mungu akuweke na kukupa nguvu ktk uongoz wako unanifurahisha sn.

  • @yusufmohamed9843
    @yusufmohamed9843 3 года назад

    Magufuli was not a joke mkurugenzi kakamatwa kashindwa kuongea kigugumizi mahesabu the man of wanyonge billions no market

  • @jamilaomar9860
    @jamilaomar9860 4 года назад +3

    😁😁😁😂 duuh huyu magufuli

  • @inginiakipirakipira1380
    @inginiakipirakipira1380 4 года назад

    Ew mwenyez mungu mbarki huyu mtu tujalie na ss zanzbr tupate raic mwenye akili kam huyu mana zanzbr ndo kula walafi kuliko ata huku

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 2 месяца назад

    Uyu ali kuwa rais wa Marais Dunia nzima

  • @sekundambilinyi5450
    @sekundambilinyi5450 4 года назад

    Mie jasho limenitoka

  • @abdallahmohameddaniel659
    @abdallahmohameddaniel659 4 года назад

    Mashallah mkuu mungu akulinde sisemi kitu sina cha kusema kabisa namuachia mungu unatosha

  • @austinegona1415
    @austinegona1415 4 года назад

    Huyu ndie rais anaye jituma kwa wanyonge

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 4 года назад

    Tundu ya yeo.

  • @masachihorticultureunitcol711
    @masachihorticultureunitcol711 4 года назад +4

    Kufanya kazi Marekani mpaka kurudi Tanzanzia. Mimi kazi za pressure sizipendagi

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 4 года назад +1

      Yaani ni katika watu ambao hawajielewi na huna akili kwa 100%. So what is kufanya kazi Marekani??

    • @masachihorticultureunitcol711
      @masachihorticultureunitcol711 4 года назад

      @@alexanderkapinga700 wewe ndio hujielewi yaani kuondoka USA kuja kufanya kazi Tanzania. Unafikiri Marekani ni nchi ya kawaida Ile ni superpower country. Ndio maana hata Rais kamshangaa

    • @machaggechacha3422
      @machaggechacha3422 4 года назад

      Danford Mwabena
      Shauri yako kama hupendi kazi za pressure! Jitenge na utupishe au rudi huko marekani ukapigwe risasi na Askari wa kizungu.

    • @masachihorticultureunitcol711
      @masachihorticultureunitcol711 4 года назад

      @@machaggechacha3422 kwani Marekani maaskari wa kizungu wanawapiga watu risasi tuu bila kosa lolote lile

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 4 года назад

      Wewe unadhani kwa akili yako kufanya kazi kwenye super power nation na huku kusiko super power unadhan wapi kuna strees sasa. Fuatilia vizuri huwezi kwenda kimbumbumbu tu katika taifa kama lile na kingine wewe umezaliwa Tanzania unashadadia kufanya kazi katika nchi ya wenzako badala ya nchi yako, unadhangaza sana!!

  • @John_sadick1
    @John_sadick1 4 года назад +5

    Hahaha haha 😂 😂 😂 😂 😂 tumbua majipu baba baaaaa wekaaa bariaaaa

    • @rehemakasebele6254
      @rehemakasebele6254 4 года назад

      Keystar John alifukuzwa mbozi uyo ngoja wamtumbue tena

    • @rehemakasebele6254
      @rehemakasebele6254 4 года назад +1

      Mtumbue tens huyo mkuu wa mkoa kam ulivomtoa Kule mbozi

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 года назад

    Sasa fedha zinazotoka wizara ya fedha, zinafanya kazi gani?? Mkurugenzi hapa atakuwa amekoroga mwenyewe. Aibu yake sasa. Yaan watu wengine hawafai hata kwa bure..au wanakula hela??? Mkurugenzi huyu ameniacha hoi kweli..

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 4 года назад +2

    Kama ulimuona yule jamaa aliyesema tumbua majipu gonga like alafu sema MAGU Oyeeeeeee!!!

  • @msuyafirst1370
    @msuyafirst1370 4 года назад +6

    Watanzania wanafiki sana ! Kelele nyingiiii huwenda hata wanachokipigia kelele hawakifahamu

    • @machaggechacha3422
      @machaggechacha3422 4 года назад +1

      msuya first
      Nadhani watanzania wanapigia kelele wanachokifahamu na kukielewa. Wewe ndie bububu huelewi. Masikio na ufahamu wako ni kama ule wa kenge. Amka!! Kumkucha!!

    • @msuyafirst1370
      @msuyafirst1370 4 года назад +1

      @@machaggechacha3422 nakueleza wa Tz niwanafiki walio wengi. Kama hutaki basi kaka. Mimi mwenyewe nipo huko may be wewe upo private ndio maana

    • @msuyafirst1370
      @msuyafirst1370 4 года назад

      @@machaggechacha3422 halafu jifunze staha kaka matusi au kejeli hazina maana. Umeona nimetukana? Mungu akupe hekima

    • @herculesthepower1544
      @herculesthepower1544 4 года назад

      first wengi wanakimbilia kutoa matusi badala ya hoja. Mbona mkurugenzi kajibu kwa unasha tuu. Na majibu mengine tanatakiwa kukaa chini si kujibu ovyo ovyo na pili huwezi kubishana na mkuu ktk umati wa watu namna ile. Mkurugenzi nampa pole sana kwa kuitwa mpumbavu ana familia jamaa marafiki wafanyakazi wenziwe.

    • @modernfarming5938
      @modernfarming5938 4 года назад

      Usikute ww ndo huelewi

  • @stevenmsigala2612
    @stevenmsigala2612 4 года назад +2

    Njooo na mafinga mufindi huku najua kabisa utatuokoa sana

  • @markbitta692
    @markbitta692 4 года назад +1

    Ninakukubali sana rais wangu, mimi naona tubadrishe kariba uyu rais aongeze miaka 30

  • @peterelisha1828
    @peterelisha1828 4 года назад +1

    Hahahhah et tumbua majipu dah?

  • @rajabukheri8962
    @rajabukheri8962 4 года назад

    Kl os vp mag

  • @neemajoseph9231
    @neemajoseph9231 3 года назад

    Magufuli usiwaache hao watazoea

  • @kombuchahluckyMartin
    @kombuchahluckyMartin 4 года назад

    Good work

  • @emmanuelmollel3008
    @emmanuelmollel3008 4 года назад +1

    dah mzee anawakazia sana awa wapiga dili ad Uruma asee

  • @ibrahimtatock5725
    @ibrahimtatock5725 4 года назад

    Mh raisi njoo na huku Babati vijijini hakuna tofauti

    • @drtobias_
      @drtobias_ 4 года назад

      Tupatie namba yako ya sim ili tufanye kazi

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 4 года назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @suleimanbakar6097
    @suleimanbakar6097 4 года назад +1

    Mtakoma c mlikazana kuiba kura ili awe raisi?nafurahi sana

    • @lingwamalagila3003
      @lingwamalagila3003 4 года назад +1

      Uwe mwangalifu kwenye sms zako unaushahidi wa wizi wa kura

  • @gidosalapion8222
    @gidosalapion8222 4 года назад +5

    Ufisadi kwetu umezidi, kama umemskia kijana gonga like😂😂😂

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 4 года назад

    Ila chamahajabu bukoba mjini haji cjui kwann

    • @abusaeed9037
      @abusaeed9037 4 года назад

      Denise Promise usijali tuta kuja

    • @selector728
      @selector728 3 года назад

      Siyo mahajabu sema maajabu

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 4 года назад

    Mheshimiwa Rais endelea na kazi bila kujali chochote na wala comments za kijinga kutoka kwa baadhi ya watu wachache wanaojifanya kujua lakini kumbe ni mbumbumbu wakutupwa maana mtu anafika level ya kusema eti marekani so what is marekani to development of our people!!!

    • @townhc2953
      @townhc2953 4 года назад

      0ngera rais wetu naamini mungu yupamoja nawe chapa kazi

    • @jennifermallya9648
      @jennifermallya9648 4 года назад

      Na wewe unajidai unajua kuongea sana, so you don't know what is marekani Google then you will get the answer......hapo unamuona mkurugenzi tu but hii kazi ina presha sana na pia sio kwamba hao waliotajwa ndio watendaji kazi hapo wapo watu wengi chini yao pia uwenda ndio wakwamishaji.

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 4 года назад

      @@jennifermallya9648 dada yangu mie sina Muda wa kuhangaika na Marekani nahaika na Tanzania ndio inayonihusu we kama uko concerned na Marekani kagoogle mwenyewe na ukiona vipi nenda huko kaishi huko. My deal is Tanzania with my president so still my point is valid what is marekani when it comes to my country development. Mi binafsi unafiki nafiki sitaki, sisi tunanchi kubwa yenye kila aina ya natural resources ni kwasababu ya kukosa viongozi au kuwa na viongozi wajinga ndio tumepiga mark time all that time. Saivi tumepata the right man he is dealing with his country sio kwenda kupiga picha na wanamiziki na kuzunguka kuomba misaada kwa mataifa mengine. We deal with our country.

    • @jennifermallya9648
      @jennifermallya9648 4 года назад

      @@alexanderkapinga700 but raisi amemuuliza ulifanya kazi wapi angejibu nini? Ilibidi aseme hapa Tanzania au ilibidi aseme ukweli ni wapi alifanya kazi....mbona watanzania tuna nongwa hivyo?

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 4 года назад

      @@jennifermallya9648 hujaelewa mpka mimi nikaongelea marekani tumetoka wapi hapo kwenye mjadala fuatilia vizuri

  • @hadijamahande2374
    @hadijamahande2374 4 года назад

    Hongera.baba.ubarikiwe.sana

  • @jemedarikalimasi5754
    @jemedarikalimasi5754 2 года назад +1

    Hakika mungu alitupatia chombo, bwana alitoa bwana ametwa jina la bwana lihimidiwe.