Nchi haiongozwi na matamko ya MTU tuna katiba ni uwendawazimu kufikiria nguvu italeta mabadiliko uchguzi mkuu siyo WA chama kama tulivyo ona wanacheza filamu or maigizo kwenye mambo ya msingi hatutaunga oyaahaa wekezeni weledi wa kujua nchi inataka kwenda wapi
Muda umekupita mzee hutosheki Nyerere mkapa kikwete Mzee Ali jpm ssh upo nihatari hiyo
Mwenye Nguvu Mpishe na Aliye juu msubiri Chini pia Hayawi Hayawi huwa.Sisi yetu macho
Hivi huyu mzee kwao hana hata shamba akalime
Sijui kwa nini nchi inaendlea kutamkiwa na wazee ambao hata akili zimechoka
Toeni taarifa yenye video currently siyo stori
Nchi haiongozwi na matamko ya MTU tuna katiba ni uwendawazimu kufikiria nguvu italeta mabadiliko uchguzi mkuu siyo WA chama kama tulivyo ona wanacheza filamu or maigizo kwenye mambo ya msingi hatutaunga oyaahaa wekezeni weledi wa kujua nchi inataka kwenda wapi