"MARIDHIANO" YAMPONZA WASIRA VITA NA LISSU YAIBUKA AKINZANA NA SERA ZA TUNDU LISSU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 6

  • @VuaiVuai-l7q
    @VuaiVuai-l7q 11 дней назад

    Muda umekupita mzee hutosheki Nyerere mkapa kikwete Mzee Ali jpm ssh upo nihatari hiyo

  • @matungamartine5216
    @matungamartine5216 12 дней назад

    Mwenye Nguvu Mpishe na Aliye juu msubiri Chini pia Hayawi Hayawi huwa.Sisi yetu macho

  • @PeterBwana-s4n
    @PeterBwana-s4n 11 дней назад

    Hivi huyu mzee kwao hana hata shamba akalime

  • @BarakaMsusa-m4s
    @BarakaMsusa-m4s 11 дней назад

    Sijui kwa nini nchi inaendlea kutamkiwa na wazee ambao hata akili zimechoka

  • @JAPHETBUNZARYNKILIJIWA
    @JAPHETBUNZARYNKILIJIWA 8 дней назад

    Toeni taarifa yenye video currently siyo stori

  • @Ramadhanilawoga
    @Ramadhanilawoga 12 дней назад

    Nchi haiongozwi na matamko ya MTU tuna katiba ni uwendawazimu kufikiria nguvu italeta mabadiliko uchguzi mkuu siyo WA chama kama tulivyo ona wanacheza filamu or maigizo kwenye mambo ya msingi hatutaunga oyaahaa wekezeni weledi wa kujua nchi inataka kwenda wapi