JOHN HECHE AMRARUA VIKALI STEVEN WASIRA " UMESHACHOKA HUNA JIPYA"
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Asanteni sana viongozi wetu kwa kuonyesha dunia kwamba cdm ni chama cha damokrasia tunawaunga mkono na Mungu atakuwa upande wa haki kwakuwa yeye ni wa haki
Asante Heche uko vizuri tutawaunga pamoja sana
Mungu ibariki chadema pamoja uongozi wake hakika nchi hii itafika mbali. Kupitia Mh. Tundulisu na Heche mpo imara sana na mna jipya ahsante sana sichoki kuwasikiliza
Hongera heche..umenyooka vibaya
From kenya ❤fifa chadema ,
Heche power ❤
Oky welcome one day Tanzania 🇹🇿
"Mzee Wasira yeye bado yupo"😅😅😅
Lipo
Lema kagombee ubunge banna...we need u
Hamna huyu hana msaada wowote
Safi sana 🎉🎉🎉🎉
Kweli kabisa WAsira ni sawa na mbwa mzee hawezifundishwa sheria mpya za kuwinda😂😂
Mbwa mzee anabweka tu...
Nimewasikia namm nipo tayari kwa kazi💪💪💪
Watu muhimu sana katika taifa
Heche nkukubar sana hamjawai pindapinda tuko pamoja
Majembe yako kazini
Safi sana Makamu mwenyekiti tupo naww
Kumekuchaaaa😅
Niulize kidogo ivi wasila anaumwa mashavu au namuonaga vibaya😅😅😅😅😅
Na wajiandae kweli kweli wanakazi si ndogo..
Wasira amekula ujana woote na uzee wote sijui amebakiza nini huyu mzee apa dunian na hawez kutetea maendeleo ya nchi saabu n chawa wa Samia
Acha Chadema wampe Babu Wasira vipande vyake maana kaanzisha maneno mwenyewe!! Wasira mwenyewe akikaa kwenye mkutano wwote anasinzia anashusha mpka denda anajilowesha tumbo. Bora Wasira anyamaze tu maana hana uwezo wa kujibishana nao
Kwisha ccm mzee wasira amezeeka hajui tena wananchi wanataka nn amebaki kutetea tumbo lake😂😂
Detel nzuri sana hizi ndio hoja zinazotizibua masikio macho,kila chama Ile hoja nzitto,
Mungu Awabariki
Huyo Mzee Hana aibu Kweli ana shida gani huyo
Mbwa mzee
Mm nimeshahamia chadema
Saizi tupo hukuu 😂😂😂
Kalib kamanda mpya ndani ya chadema🎉🎉
Like capten sankara
Chalamila mungu anakuona
Huwez kumfundisha mbwa Mzee kuwinda
Mungu akulinde heche
Our own Traore is on Making🎉
Namfananisha na Martin Luther King.Hongera.
Heche ni Binaaadam ninaependa sana Spich zake za Kizalendo ila mimi ni CCM dam
Sasa ccm bado unafany nin hamia Airtel wewe mtandao ulio na kasi zaid
@joshuahamis2738 ngoja nijifikirie na niuone Upepo wa Tundu kwanza
Hata mmi Ccm Damu ila heche na Lissu wanaongea kizalendo hamna siasa wala unafiki
This Man is genuine
Ukweli hawana utu ni kama mashtani
Mama mjamzito anahitaji uangalizi wa hali ya juu sana sana jamani hizo kauli ni za kisheni sujawahi kusikia kiongozi wa kiserikali akiongea hovyo namna hio kwa mama mjamzito
Hongera Sana Tata unaongea Sana poiti Tata
Mzee Wasira please, achana na siasa pumzika ulinde heshima yako. Uwepo wako Unawakera kwanza wanasisiemu vijana lakini pia unajiingiza kwenye meno ya wapinzani😂😂😂 You will soon regret
Mbona kama chadema mnaviongozi wenye akili hivi .....congrats 🎉
Heche Vs Wassira 😅😅
Ndo laha ya Kuchagua wasomi so kama CCM kuna wasiojua kusoma na kuandika😂😂
Safi hii nimeipenda
Kiongozi mzuri ni mwenye akili na sura ya furaha people Power
Lema rud bungeni llz plz
Hotuba nzuri sana wenye misisitizo
Heche ni kiongozi na nusu
🎉🎉🎉
Mungu akubariki sana kaka John heche. Wakati wa marais wanaoitwa kina JOHN afika.
Kuna John wa Mali kuna John wa Ghana ametangulia John JPM wetu nalist inaendelea.
Bado sasa John Heche rais wa Tanzania.
Ni wakati wa marais vijana mkaungane na Ibrahim Traore rais kijana kuliko wote Africa na dunuani na Sahel ili niunganishe aftika yote.
Huyu kijana Anafanya maajabu kule Burkina Faso kwa muda mfupi just like JPM.
Amekataa kabisa ukibaraka wa mabeberu na anajenga taifa lake bila mabeberu kwa mwendo wa kasi hadi inatisha.
Kila la heri mkuu. Nakutabiria urais japo sikufahamu. Ila nimesikia hotuba zako, nimekusikiliza huku nikipims maneno yako inaonekana yanayoka moyoni na kufatuatilia watu mitaani wanavyokupenda.
Huna mshikamano kabisa na mabeberu wala wazungu wanafiki. Na zaidi ya yote unazikubali kazi nzuri za JPM
🔥🔥
Kiukweli inauma sana nawakati mwingine najiuliza ndio challamila wa JPM mbona kabadilika pakubwa sana mama anamhoji unataka kujifungua JPM angepita nae kichwa
Vijana tuko na nyinyi stronger together, uchawa ni utumwa vijana tujitambue
Safi Heche
Well done Heche umemuelezea vizuri sana huyo mzee alochoka kama gari bovu WASIRA.. wizi wakubwa CCM ni maadui wa nchi
heche uko vizuri tutafika salama safari yetu.
Wakina butiku na akna warioba hawataki izo nafasi za uchawa, wasira amepewa hii nafasi saabu n wa bei cheee ananunulika kwa bei chee
Ni mchumia tumbo
Chama changu jamani kumuweka mzee wasira jamani
Msahaulifu, msinziaji anashusha denda😂😂😂😂😂
Naomba utaratibu wa kupata kadi ya chadema hiki ndo chama ma genz tunataka kile cha wazee hpn
Maneno huumba ndg Naibu wa mwanakiti Mh Lissu hiyo kauli 'either tumekufa ama tuko gerezani itaumba. Mnapopata nafasi kubwa za kiongozi tafuteni Hekima ya Mungu kama Mfalme Suleimani. Usipoifuta kauli hii jua fika itakuwinda kwani shetani will use this statement against you.
Unafaa kuwa rais as long as unatambua unakubali na unaunga mkono kazi kubwa na nzuri za kujitoa muhanga alizoxifanya Magu. Tutataka mtu shupavu wa kuziendeleza na kuzimalizia. Hata Kama hukumpenda yeye binafsi lakini kazi zake hazijifichi zinaonekana wazi kabisa ni za mfano kabisa kagika afrika bila kumumunya maneno huo utabakia kuwa ukweli. Ndiyo maana watu wamempenda sana ibrahim Traore sababu anafanana mno na JPM kikazi anafuata nyayo zile zile. Anawakumbusha watu JPM kwenye mioyo wanampenda hapo usikosee kuangalia. Kosa fogobla kiufundi linaweza kuharibu imani ya watu na ukashindwe kujenga tena.
Hilo usilisahau. Traore amekuja kukumbushana watu umagufuli wote kabisa.
Kazi kwako kutambua hilo
Ccm haipangi safu kulingana na nyakati hivyo umri wa wasira kumpa uenyekiti kisa mzee imepitwa wakati walipaswa wampe umakamu mwenyekiti mtu mwenye umri wa kati miaka 50 au 60 kulingana na nyakati tulizonazo
Wasira yupo 😂😂😂😂
Tv ya chogo aiwezi kiahindana na flate screen,land Rover 109haiwezi kushindana na Discover, Mwaka 1950 hamuwezi kua sawa na Mwaka 2025 mawazo ya mwaka 1960 sio sawa na mawazo ya Leo,idadi ya watu WA mwaka 1950 sio sawa na Mwaka 2025,wasomi WA mwaka 1950 sio sawa na WA mwaka 2025 technology ya mwaka 1950 sio sawa na ya mwaka 2025
Huna hoja, wasira humuwezi kisiasa kabisa. Kelele tu. ccm wanaona mbali sana
Ukilisikiliza liWasira huoni cha maana..
Kashazeekaaaaa😂😂😂😂😂
Time will tell
Dah bado naumia sana chadema isipo shiriki uchaguzi wabunge kama profesa heche lema dah
Against all oppression and scorn of CCM,we need this kind of people ......
John Heche namkubali ni mwamba kwelikweli
Wasira nisokwe ariee msituni amechoka kama ccm wasira anasinziaga bungeni
Bwana John Heche Mungu akubariki sana na akulinde na hila zote za mabaya ya hao ccmizi,ukweli tu ni kwamba tunahitaji watu km nyie hongera sn brother
Màendeleo ,umeme vijijini,maji,barabara,mipo vioni,usafiri wa maji,madaraja,reli za kimataifa,mama Samia hoyee,Wasira hoyee ccm hoyeee.Kazi iendelee
Huna akili
Kichwa chako kina shida hakiko sawa
Mungu akukinge na mabaya yote 🙏
Ukweli huwa unatenda haki na humuweka mtu huru pia, lkn viongozi wetu nahisi hawako huru maana kwa ulinzi wanaowekewa 🤔🤔 twende tuone huenda Mungu anaenda kutufunulia palipo funikwa na shetani, popote ulipo kama unapenda haki na kuitenda bc tupambane kwa nafasi zetu kwenye family kama wewe ni Baba au Mama play you part kwakuilelea family kwenye misingi inayofaa
Pamoko sana chadema damudamu
Kiongozi kanyie safi nchi itatembea vinzur
Heche ni mtu hatari kuliko Lissu
Anastafu mtu wa miaka 74 wanaweka mzee miaka 80😂
Lema we need you
Sera iliyopo ni ya kupigania badiliko la sheria
Chuma
😅😅😅😅😂 CHADEMA people s power
nili penda kauli ile iliyo sema vijana wa ccm wao kazi Yao kupiga makofi tuu mada laka kwa wazee walio Anzia tokea Nyerere duu
Mpo vizuri..ila naomba mumuache kwanza mama amalizie kwanza then tufanye mabadiliko...
🤣🤣🤣🤣🤣
Chalamila anatatizo la afya ya akili chalamila kalewa madaraka
Ila kila chama kinawazee wasirra naye ni Mzee wa chama chake hoja tu itamfanya awe muelewa sio Matusi,
Wasira toka 1954 yumo kwenye mfumo, hivi hakuna vijana??
yan kila Account inayoipost CHADEMA kila Coment inaipongezaa CHADEMA iv CCM wapo wap au niwasaniii ndio ccm
Wasira kwa sasa hafai kuwa hata barozi wa nyumba kumi
waleee CCM wote n Bendela wako kule kulinda biashala zao tu ata Lisuu akichukua kiti cha Urais wotee watakuwa CHADEMA ili kulinda biashala zao tu sasa wananchi tueleweni kitu apoooo
Mjitahidi sana wanasiasa ACHENI KUCHANGANYA LUGHA bila sababu ya MSINGI. Kwenye lugha mchanganyiko unasababu nyingi kama vile majivuno au kujiona unaijua lugha kuliko wengine au kujifanya wewe mwongeaji ni MSOMI ZAIDI YA WENGINE. SABABU NYINGINE NI KUKOSA MSAMIATI AU KUKOSA MISAMIATI. Sababu nyingine ni ULIMBUKENI WA LUGHA YA KIGENI KUWA NI BORA ZAIDI kuliko lugha ya nyumbani. MSIPUUZE WASIRA YUKO MAKINI
😂😂😂mtu akifika miaka 80 IQ yake inakua sawa na kijana wa miaka 30???
Muraaa vs uraaa
Fresh blood vs the outdated and expired blood😮
Huge issue kumfundisha Bibi yako jinni yakunyonyesha uhuru tumeleta wewe ndio unazaliwa rudi shuleni toahoja,
Heche upambane na Wassira kwa hoja za mazungumzo!
Iko ivi ccm haina plani zaid ya ubabe so wabanchi wafunguke
Chadema viongozi muna midomo michafu bila mfano hakuna siasa ila matusi tu
Chalamila bwege sana
Lina gangania madaraka. Lichawihiro
Mze wasira yupo
Chadema hawawezi kuchukua uongozi nchi hii inayoitwa Tanzania kwa sababu wote ni wanafiki...!!! Ni lini ulimuona mke na watoto wa heche wakiwa kwenye huduma za kijamii za kawaida?
Pumbavu
@JustinMwanawima lakini wewe ni mbumbumbu😂😂😂
Km ulivosema Ccm kaz wanayo lzm tuwatoe mabarakani
hilo sahau kabisa ndugu
@@chihoma-m4fkwa nini Mungu tu asiyewezekana ndugu yangu kama sanduku la kura likiheshimiwa hiyo inawezekana LAKINI kama ni kutumia polisi hapo kweli hawapenyi labda Watanzania waelimike
Lisu hana hadhi ya kuzungumza samia
Kama kweli wasira amejibu hivyo kama kweli basi hafai na hta umri wake hafai kua kiongozi
Unawadanganya.subiri mwidho wa mwaka
Kiburi na jeuli ya madaraka,,yaani chalamila apo hata mimi kaniboa
Wasira umezeeka waachie vijana
CHADEMA JIFUNZENI NCHI ZINGINE ZA KIAFRIKA ZIMEJIKOMBOAJE KUTOKA KATIKA CHINI YA MKOLONI MWEUSI. MIFANO YA NCHI HIZO NI KAMA VILE BURKINAFASO, BOSWANA, MALI, KENYA, N.K. IGINE NCHI HIZO.
Mbona nyingine ziilpindua serikali unashauri nini hapo?