Tundu Lissu : Mkakati Unakuja, Tunapigania Demokrasia na Tunapigania Kwa Njia za Kideomokrasia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA, anawasili rasmi katika Makao Makuu ya chama yaliyopo Mikocheni, Dar es Salaam, kuanza majukumu yake ya uongozi. Tukio hili linafuatiliwa kwa karibu na viongozi wa chama, wanachama, na wafuasi wa CHADEMA kutoka kote nchini.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.

Комментарии • 160

  • @WilliamShinka
    @WilliamShinka 7 дней назад +14

    Tanzania finest ❤ Tundu lisu,more love from kenya

  • @mokoenaaa-f9d
    @mokoenaaa-f9d 7 дней назад +19

    Tanzania finest Tundu Lissu 4:30 ✌️

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 7 дней назад +10

    Kwa msada wake mora tutashinda aminaaaaaaaaa

  • @PolRicric
    @PolRicric 7 дней назад +2

    Viva #Lisu M/Mungu aendelee kukuweka wa Tanzania🇹🇿tuna imani naww na tuko pmj naww,ukigombea uraisi kula yangu ni ya kwanza ✅

  • @DennisAnthony-j5y
    @DennisAnthony-j5y 7 дней назад +16

    Na iwe hivyo kwa uwezo wa Mwenyezi Munguuuuui

  • @AgustnoBoaz-m4m
    @AgustnoBoaz-m4m 7 дней назад +13

    Asante sana Mh Lissu unajibu hayo maswali ya hao waandishi habari uchwara vzuri adi wenye kiburi na kinyongo dhidi ya uongozi wako wanapatwa na hali ya aibu! Karibu sana kazini na ofisini kwako rasmi.

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 7 дней назад +11

    Hakuna kwenda kwenye uchaguzi bila mageuzi ya reform

  • @PaschalBoi-z8h
    @PaschalBoi-z8h 7 дней назад +5

    Big up lisu na heche,very well said,ccm na serikali ni mambwa tu tunawajua

  • @robertmhikwa8174
    @robertmhikwa8174 7 дней назад +15

    Tanzania is on your shoulder...Lissu for real✌

  • @erestizacharia4758
    @erestizacharia4758 7 дней назад +8

    Good

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf 7 дней назад +9

    Mwaka huu imekula ..walitaka kumweka mbowe kama boshen kumbe sasa hivi sio enzi zile za wazee vijana tumeshtuka ..na tunahasira kinoma na hili life ..mm mwenyew najitafita mbaya naona umri unasonga alafu bado ni ngozi alafu mm bado eti nimnanganie yule yule anae niahidi kila siku nakupeleka kwenye inchi ya asali na maziwa mwaka huu kunashughuli ..na sasa hivi hakuna boya hapa mm nazeeka bado viongozi ni walewale..blad fuu

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 7 дней назад +5

    Lisu mungu akubariki na umeagizwa namungu uje utukomboe naulikomboe taifa liwe kwenye mkono salama

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 7 дней назад +6

    Kwani. Kenya walipataje tume huru ni kwa shurut ya nguvu ya umma kwa hiyo kitaeleweka tu. Na mungu atasimama

  • @malikimrisho7844
    @malikimrisho7844 7 дней назад +5

    Lissu💪💪

  • @Gloryburetta
    @Gloryburetta 7 дней назад +1

    Good sana tundu lisu

  • @assenganews9435
    @assenganews9435 7 дней назад +7

    Huyu Lissu ni hatari sana

  • @hoseamwambambale3503
    @hoseamwambambale3503 7 дней назад +8

    Ccm wanajua kitakacho tokea wakikubali kubadilisha katiba

  • @palisa-m2k
    @palisa-m2k 7 дней назад +1

    Lisssuuu

  • @abuually7797
    @abuually7797 7 дней назад +10

    Mwenyekit sasa kapatikana

  • @AmosSniper
    @AmosSniper 7 дней назад +9

    Lissu ana akili nyingi sana!

  • @Amani_eliastz
    @Amani_eliastz 7 дней назад +15

    Lissu ananipa matumaini mapya

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 дней назад

      @@Amani_eliastz yes angalau atatusaidi kupata kiongozi bora imara Kama Ibrahim Traore wa Burkina Faso na Assimi Goita wa Mali.
      Lissu anaweza kupiga debe vizuri sana na kunyoosha njia. Ili tupate kiongozi ambaye hatawachekea wala kujipendeleza kwa mabeberu wasio na huruma na nchi zetu za afrika. Wanaotunyonya tu rasilimali zetu Kama shamba la bibi halafu wanatucheka ati sisi ni masikini. Lazima tuwaoneshe tumeamka na tunachumga mali zetu kwa wivu mkubwa. Rasilimali zetu no utajiri wetu mkubwa sana. Hatutaki blabla na mali zetu. Hatutaki urafiki na Canada wala marekani wala china wala ufaransa Kama hatufaidiki na wao. Hatutaki mikataba kandamizi hapa kwetu. HATUTAKI UNAFIKI.
      Tumechoka.

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 дней назад

      @@Amani_eliastz ilimradi asiote kugombea urais. Hapo atachemka. Urais hapana kwa kweli. Hawatendana na kina Traore sababu wao hawana mapenzi na mabeberu wala wezi wa rasilimali zao. Hawana mpango na kukopakopa na wanajenga nchi kwa speed bila mikopo. Wanasimamia tu rasilimali za taifa wao wenyewe na kujenga viwanda. Lazima tupate kiongozi mwenye mirengo sahihi Kama hiyo ili tupate afrika moja yenye uhuru bila kutegemea mabeberu au mikopo au misaada sababu sisi ni matajiri.

    • @Amani_eliastz
      @Amani_eliastz 7 дней назад

      @Maria-cx4kn ni kweli mimi matumaini yangu ni kwamba ataweza kuisaidia Tz kuwa na mfumo wa kumpata rais/kiongozi/viongozi ambae atashinda uchaguzi kwa haki, wazi na uhuru, yeye kugombea kutokugombea, kuwa rais au kutokuwa ni jambo ambalo sijali sana, tupate kwanza mfumo bora wa uchaguzi, tuwaache wananchi waamue wataongozwa na nani, wakiongozwa vibaya tuwalaumu wao kwa kufanya uchaguzi mbovu ili wachague mwingine anaefaa zaidi.

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 6 дней назад

      @ yes naunga mkono

    • @Amani_eliastz
      @Amani_eliastz 6 дней назад

      @Maria-cx4kn 🤝hoja zako pia ni za msingi sana

  • @ramamahanyu9314
    @ramamahanyu9314 7 дней назад +8

    Hii ndio chadema sasa

  • @silverman6930
    @silverman6930 7 дней назад +5

    Intellectual curiosity

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf 7 дней назад +2

    ✌️✌️💪💪💪💪

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 7 дней назад +9

    Ni yeye

  • @FanuelySule
    @FanuelySule 7 дней назад +1

    🎉🎉

  • @ahmedjaffari9375
    @ahmedjaffari9375 7 дней назад +1

    Sijui ni mimi tu au hii inawatokea na watu wengine... kila mara nikimsikiliza Tundu Lissu najifunza vitu kadhaa, yaani ni kama vile nipo darasani nafundishwa na mwalimu jambo/mambo ambayo sikuwa nayafahamu kabla.

  • @JuliusNicodemo-t7v
    @JuliusNicodemo-t7v 7 дней назад +7

    Tupo pamoja

  • @JosephMminza
    @JosephMminza 7 дней назад +4

    Nothing Goes without POLITICS

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 дней назад

      No without democracy

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 дней назад

      @@MohdIkra-d7s
      Nop….without money.

  • @GraceDeo-g1n
    @GraceDeo-g1n 7 дней назад +8

    Lissu wwe ndo kiongozi ulienyoka

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 дней назад

      Sana. Ni kiongozi shupavu mjanja asiyekuwa mwoga kukemea au kutetea.
      Natamani angekuwa anawawakia na mabeberu nyonya rasilimali kwa ukali huo huo kama ulibrahim Traore na Assimi Goita walivyofanya. Tena atumie utaalam wake wa sheria kuwararua wakome kabisa kitumalizia madini yetu na kwa bure bure weupe halafu wanatukebehi kuwa sisi ni masikini….pumbavu sana.
      Awakemee kwa nguvu hizo hizo Kama kweli anatupenda na yuko kwa maslahi ya taifa. atathubutu tumsikie

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 7 дней назад +7

    Na walimu hawafai kabisa maana ni shida tu

  • @Zanijasy-hy7vm
    @Zanijasy-hy7vm 7 дней назад +14

    Ndimi mbili za Samia moja inasema 4R moja inamua Mzee AliKibao. LISSU ni SHUJAA.!

  • @kingj9606
    @kingj9606 7 дней назад +1

    Mnyika usiogope😂, hakuna kujificha kanisa catholic mbezi this time ukiona difenda zinakuja😂😂.

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 7 дней назад

    Safi

  • @GraceDeo-g1n
    @GraceDeo-g1n 7 дней назад +6

    Mbowe ameingia mitini

  • @IsayahMwangungulu
    @IsayahMwangungulu 7 дней назад +2

    Hanaaaa!!!

  • @ndaimtambo8845
    @ndaimtambo8845 7 дней назад

    😮

  • @AdebeKabuka
    @AdebeKabuka 6 дней назад

    Chadema mmefili bora Ata mngemchagua mh Heche

  • @BossiLaizer
    @BossiLaizer 7 дней назад

    Viongozi wa Kenya na raia wao wanajiamini

  • @ndaimtambo8845
    @ndaimtambo8845 7 дней назад

    Naamini lissu no mtu sahii katika kukabiliana na hawa wakoloni weusi

  • @musa-v3f
    @musa-v3f 7 дней назад +1

    CCM ndio wana siasa za kistaharabu? kuengua wagombea, kupora matokeo, kuiba kura, kuteka na kuua wagombea wa upinzani!! hawa ndio unataka Lissu abembelezane nao? Mbowe alifika wapi alipojaribu siasa za kistaharabu?

  • @FaustaPaskal
    @FaustaPaskal 7 дней назад +1

    Tulikuwa tumesubir kwa hamu kuja kwa mwokozi wa nnchi

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 7 дней назад +1

    Huo msimamo utarudisha imani ya wapiga kura

  • @MedardLutelemba
    @MedardLutelemba 7 дней назад +1

    Mwenyekiti mbona umenona hivyo umependeza sana sijui kamera au roho imerizika

  • @ProphetM-c9o
    @ProphetM-c9o 7 дней назад

    Naunga mkono hoja. Haiwezekani kushiriki uchaguzi ambao tayari tunajua watahijumu. No reforms no election.

  • @alexmkuki933
    @alexmkuki933 7 дней назад +1

    Chuma hicho

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 7 дней назад

    KUNA FAIDA GANI MTU AIPATAYO YA KWENDA KUPIGA KURA ISIYOHESABIKA ? YAANI UNACHAGUA KIONGOZI ASIYECHAGULIKA !!

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 7 дней назад

    Makamanda msikubali kwenda kwenye uchaguzi na matapeli CCM, hayakubaliki yanatumia nguvu na wagombea wao hawauziki hata kidogo,

  • @BossiLaizer
    @BossiLaizer 7 дней назад

    😂😂😂😂😂 ngoja TU nicheke , je utabaki mpka mwisho na msimamo huu au ukionjeshwa asali utasaliti!

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 7 дней назад

    Kama muda hautoshi, uchaguzi usogezwe mpaka 2026

  • @kelvinmisana7924
    @kelvinmisana7924 7 дней назад

    4:45

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 7 дней назад

    Mimi sipigi kura kama tume huru ya vyama vyote haipo

  • @musa-v3f
    @musa-v3f 7 дней назад +1

    Tatizo sio muda Tatizo ni CCM hawana nia ya kufanya mageuzi

  • @feyxalbarry4595
    @feyxalbarry4595 7 дней назад

    Eti mkapate nin lissu acha kudanganya wenzako ww ushaamdaliwa fungu ubeligiji unachukua unatia mfukoni unataka wenzako wakose nafasi naa haki zako

  • @Jumamtafya-ie9zp
    @Jumamtafya-ie9zp 7 дней назад +3

    La hakika ww ni jembe

  • @OscarKasalile
    @OscarKasalile 7 дней назад

    Tutakuunga mkono hata kama mimi sio chadema wewe ni mkweli

  • @GraceKilingala
    @GraceKilingala 7 дней назад +2

    Sema yote lakini muache Marehem Magufuli nje ya matusi yako. Kura utapigiwa na Watanzani. Idadi ya watanzania wanaompenda Hayati Magifuli ni kubwa sana. Kumusema unafanya chama chako kuchikiwa na watanzania wengi. Ni watanzania ndiyo wana uwezo wa kukupa madaraka HUWEZI kumuchafuwa Magu. Watanzania hawatakubali uwongo na ujinga unao ongea kuhusu MAGUIFULI, unawauudhi watanzania wengi.

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 7 дней назад

      Hizo ni fikira zako za kimfu kabisa ,kwani magufuri alikuwa malaika?

    • @dennissamora729
      @dennissamora729 7 дней назад

      Nitajie tusi gani katukanwa huyo muuaji wako Magu! Kumbuka vile vile Magu ndiye aliyemtia kilema cha maisha Lissu

  • @ndaimtambo8845
    @ndaimtambo8845 7 дней назад

    Safari hii bampa to bampa akiimbii mtu

  • @JohnKipalile-e2y
    @JohnKipalile-e2y 7 дней назад

    Samahani naomba kuuliza swali, je tukichukua uamuzi wa kugoma kushiriki uchaguzi,kwa upande wetu tutapata impact gani zaidi?
    Maana vyama vingine vitashriki uchaguzi kasoro sisi ,

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 7 дней назад

      Vyote vitashirikishwa na ndio maana kasema acha wakapange mikakati

  • @kiluiWanguvu
    @kiluiWanguvu 7 дней назад +2

    Tuna serikali ilio bora Africa mashariki na Africa yote

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 дней назад

      Duh….!
      Hii Kali

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 дней назад +1

      What? Africa?
      Umepata wapi hii taarifa?
      Hivi unamfahamu Ibrahim Traore kweli?
      Umemsikia? Na Assimi Goita unamfahamu? Na Yule wa Mali? Hao ndio miamba wa afrika. Wanatisha dunia. Miamba watatu wa Sahel Kama unawajua….wanatisha

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 7 дней назад +1

      Unahitaji kujielimisha. Ibrahim Traore wa a wits rais wa afrika ndiye rais pekee afrika nzima aliyealikwa na Donald Trump mwenyewe kwenyesherehe ya kuapishwa. Unajua kwa nini? Jiulize.
      Na mwamba hakwenda alitolea nje akabakia kujenga nchi yake nyumbani. Hakwenda.
      Nani angekataa?

    • @simonmwasile4377
      @simonmwasile4377 7 дней назад +1

      Punguza upambaf kidoogo, Mshenzi mwili mzima

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 7 дней назад +1

      Awa wanakuaga mashogaa

  • @JohnJohn-ij4ou
    @JohnJohn-ij4ou 7 дней назад

    ila shuruti😅😅😅

  • @PystyBuyabara
    @PystyBuyabara 7 дней назад

    Ni manemo maneno tu. Chadema hawana uwezo wa kuzuia uchaguzi. Watajitoa kwenye uchaguzi. Hawatakuwa na mbunge wala diwani. Watapotea jumla

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 7 дней назад

      Ujielewi ww sikiliza vizulii usisikilize na makalio sikiliza na masikio chizi ww

    • @JohnKipalile-e2y
      @JohnKipalile-e2y 7 дней назад +1

      ​@@RomanMwinyiachaneni nae huyu katumwa

  • @RashidHaroun-c2j
    @RashidHaroun-c2j 7 дней назад

    Lisu jitathmini kwenye siasa hakuna neno shurti na huwezi fanikiwa kwa style hii

    • @simonmwasile4377
      @simonmwasile4377 7 дней назад

      Punguza upambaf kidoogo Mshenzi mwili mzima

    • @jamesmwanakombe
      @jamesmwanakombe 7 дней назад +1

      kausha kuma ww watu kama nyiny chadema atuwataki k ww

    • @kingtheswaggerdon
      @kingtheswaggerdon 7 дней назад

      soma historia, soma vitabu .Elimika kijana.

    • @RashidHaroun-c2j
      @RashidHaroun-c2j 7 дней назад

      @kingtheswaggerdon historia inasemaje mkuu kwenye hili

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 7 дней назад

      Wewe chizii kauzee matako nyuma uko mabaasha wana kusubulii

  • @RashidHaroun-c2j
    @RashidHaroun-c2j 7 дней назад +1

    Kwaiyo unataka kutwambia tuvunje tume tutafute watumishi wapya tuvunje katiba tuanze upya ivi kwa akili yako ao watumishi wapya wanatokea mbinguni au ni wa hapa hapa ?

    • @KelvinBamuhiga-f8n
      @KelvinBamuhiga-f8n 7 дней назад

      Tulia utakuja kuelewa baadae

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 7 дней назад

      Jifunze kusikiliza na kuelewa.Mara zote alipotaja watu wale wale alisema na kwa sheria zilezile maana yake kuna vitu viwili hapo yaani watu na sheria. Hakuna muujiza kama hivyo vitu viwili vipo kama zamani,matokeo yatabaki kama zamani.

    • @RashidHaroun-c2j
      @RashidHaroun-c2j 7 дней назад

      @KelvinBamuhiga-f8n tuje tuone pamoja nawe

    • @RashidHaroun-c2j
      @RashidHaroun-c2j 7 дней назад

      @Joe-tr2vk kwaiyo wee unataka kutwambia nini izo sheria mtungaji nani

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 7 дней назад

      @@RashidHaroun-c2j Tunaweza kubadilisha hata kanuni za uchaguzi na muundo wa tume tu. Kufanya mambo yaleyale kwa namna ileile na kutegemea matokeo tofauti ndiyo uchizi wenyewe.

  • @musamabura5200
    @musamabura5200 7 дней назад

    Kwa huo mfumo wa shuruti ushafeli brother 😂This is Tanzania

    • @jamesmwanakombe
      @jamesmwanakombe 7 дней назад

      kausha k

    • @simonmwasile4377
      @simonmwasile4377 7 дней назад

      Umesikika mpumbavu wewe!

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 7 дней назад

      Bongo mashoga awa ishii wauzaa matako wengi kama nyinyi njoo tuku fiiiilere

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 7 дней назад

      CCM ndio wana siasa za kistaharabu? kuengua wagombea, kupora matokeo, kuiba kura, kuteka na kuua wagombea wa upinzani!! hawa ndio unataka Lissu abembelezane nao? Mbowe alifika wapi alipojaribu siasa za kistaharabu?

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 7 дней назад

    CDM munaogopa uchaguzi

  • @RashidHaroun-c2j
    @RashidHaroun-c2j 7 дней назад

    Shurti inaweza kufanyika ubelgiji ila tanzania shurti haina nafasi

    • @AmanSabugo
      @AmanSabugo 7 дней назад +1

      Mbona unateseka sana kutuma msg nyingi, wee kaa utulie dawa itawaingia tu safari hii.

    • @RashidHaroun-c2j
      @RashidHaroun-c2j 7 дней назад

      @AmanSabugo izo ni ndoto za hashuo unaota mchana ndugu yangu

    • @simonmwasile4377
      @simonmwasile4377 7 дней назад +1

      Kuma la mamako

    • @jamesmwanakombe
      @jamesmwanakombe 7 дней назад

      kuma ww we kausha una chochote cha kutwambia twachie chadema yetu na lissu wetu kuma ww

    • @RashidHaroun-c2j
      @RashidHaroun-c2j 7 дней назад

      @jamesmwanakombe kuma mamako alotiwa mimba baa ukapatikana

  • @giztony2009
    @giztony2009 7 дней назад +1

    Shuruti kwa nchi yetu haiwezekani mtaishia jela

    • @evansdecaprio8196
      @evansdecaprio8196 7 дней назад +1

      Akili mgando kwenye hi nchi imebaki kwa wachache sana

    • @ephraimkalanje7105
      @ephraimkalanje7105 7 дней назад +1

      Jela wameenda mara ngapi? Ni kitu kigeni kwao au kwako? Umewasikia wakizungumza kuiogopa hiyo jela? Hicho chama kina waliokwenda jela, waliotekwa, waliobambikiwa kesi za uongo, waliokufa....na mengineyo mengi mabaya! Kudai haki na mageuzi siyo lelemama. Hilo wanalifahamu na wasipopambana huo uhuru wa kweli na haki vinapatikanaje! Hiyo njia unayoitaka wewe imelifikisha wapi taifa hili! Unajitoa ufahamu?

    • @SylvesterKameo
      @SylvesterKameo 7 дней назад +1

      Kwani kwako neno shurti una liewaje? Je, ni uhaini mpaka watu watishiwe kupelekwa jela?

    • @robertmwakitwange7292
      @robertmwakitwange7292 7 дней назад +1

      Kwani jela ni ya chadema tu hata wao watakwenda

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 7 дней назад +1

      ata ww jela una enda ukiuza vizulii matako

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela6299 7 дней назад

    Umshurutishe nani we tundu labda hao chadomo wenzio😅😅

    • @simonmwasile4377
      @simonmwasile4377 7 дней назад

      Kumayo, chadema mkundu wa mamako

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 7 дней назад

      We chiziiii ngojea dawa ikuingie matakoni uko

    • @emmanuelnjelekela6299
      @emmanuelnjelekela6299 7 дней назад

      @@RomanMwinyi skuiz tangu mama anawachekea mnatutukana et eee subirin operation nyamazisha mashoga itaanza soon😀🇹🇿👊💪

  • @RenatusMatungwa-o7c
    @RenatusMatungwa-o7c 7 дней назад +5

    Tupo pamoja

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 7 дней назад

      HAKI HUINUA TAIFA. ILA DHAMBI NI AIBU KWA WATU WOTE

  • @musasiame6138
    @musasiame6138 7 дней назад +4

    Ni yeye

  • @yunusyusuph
    @yunusyusuph 7 дней назад

    4:45

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 3 дня назад

    Tuko pamoja tutengeneze katiba mpya ndio mambo yote