Tunataman kujua sera na vipaumbele vya vyama na sio majibiano sisi hatuna Dora Wala nguvu za kijeshi tunataka kupata mapinduzi ya kweli Kwa amani tukumbuke aman ni kitu muhimu sana kwenye nchi yetu asa sisi wananchi wa chin Kwa sababu Hawa viongozi wetu Huwa tukiandama wewe ukimbia nchi sisi tunafungwa jera ila cha muhimu heche tuonyenye njia sahihi❤❤❤❤❤ tanzania❤❤❤❤❤ chadema
Ni kweli mama Samiaaa unazingua Sana'a hii nchi sio Nchi inavyotakiwa kuendeahwa unazinguaa uteuz unaofanya n isharaa kuwa hiyo ndio kauli yako na umekaaa kimyaaaa unasnap chat
This is the is vsry difficult team hech v tundulisu ccm you have job to Wark remember chadema election it has been worching by deferent ambassador when heche say something they will do it is up to Tanzania police crush chadema but will be big impact in shot time to came on lntanationol community
Comde Heche. Nashindea hadi sasa ni jina gani litamfaa huyu bwana kati ya haya mawili: Steave Biko au Che Guevara. Tundu Lissu hakunipa shida. Yeye ni Thomas Sankara.
>Mwlm. John Heche elimu ya utambuzi inaeleweka! >Viongozi CCM kama Wafalme wameshiba hadi kuvimbiwa na kutowajali wananchi walio wengi maskini wa kipato katikati ya nchi tajiri!
Ire kauri ya mkuu wamkoa wadar kwakweri ire kauri yake nirimuona pumba sanaa kiongozi anaejierewa hawezi kuongea maneno yare tena kwenye mkutano wawatu wenye akiri timamu
Acha ujinga wewe unashindwa kuelewa hata kidogo maneno ya uungwana wanayo yafanya akina charamila wwe unayafurahia angekuwa mamako ndo anakuzaa wewe ci ungukufa ucionekane duniani kabisa
@@ramadhanmahongole9293Haswa! Umemjibu vizuri! Ameachwa kuwa mjinga ili aendelee kupumbazwa na kutawaliwa bila shida. Chawa gani wanakuwa na elimu ya kueleweka?
Chadema safi sana. Wakiongea mpaka mwili unasisimuka. Mungu tunaomba kilnde chama hiki 🙏🏽
we're behind you guys....our country is on your shoulder ✌
KAENI CHINI, ANDAENI "ROAD MAP" TEKELEZENI KWA MANUFAA YA TAIFA NZIMA
Sema cham chenu kipo mabegan mwao sio nchi au nchi gani unaiongelea wew.
HECHE nakukubali sana kaka...mungu akulinde na kukusimamie pia
John heche monawetho nakupenda sana kwanzia 2019 wewe ni mwamba
Nawakubali sana chadema mungu yupo tutafika tu
Wewe ni kiongozi, hongera sana.
Tukazane kukijenga Chama. Mungu Baba Mwenyezi Awe wa Kwanza katika kila tunalolifanya.❤
Nakukubali sana
Good heche tuko pamoja na nyie sasa❤❤❤
Mungu ibariki Tanzania,bariki wote wenye Nia njema na watanzania,
Tunataman kujua sera na vipaumbele vya vyama na sio majibiano sisi hatuna Dora Wala nguvu za kijeshi tunataka kupata mapinduzi ya kweli Kwa amani tukumbuke aman ni kitu muhimu sana kwenye nchi yetu asa sisi wananchi wa chin Kwa sababu Hawa viongozi wetu Huwa tukiandama wewe ukimbia nchi sisi tunafungwa jera ila cha muhimu heche tuonyenye njia sahihi❤❤❤❤❤ tanzania❤❤❤❤❤ chadema
Safi sana heche nimependa hiyo Tutashulika nyie kiu lalo ulalo.
Nakuombea maisha marefu sana. Wewe ni Rais ajae❤
Bingwa wa misimu yotee ✊🏾Jonh Heche
Hatarii sana
hawa ndoooo watu nawakubari maisha yangu yote
Hiyooo
Kwakuwa mna nia njema na taifa letu wapenda mageuzi lazima tutawaunga mkono
Upo sahihi kiongozi Taifa.
Ahsante
Wahasira aache hasira
Kwani Kuna ulazima wa kupigia kura ndani kwanini masanduku ya kura yasiwekwe nje tu tupige kura , i.s democracy
Ni kweli mama Samiaaa unazingua Sana'a hii nchi sio Nchi inavyotakiwa kuendeahwa unazinguaa uteuz unaofanya n isharaa kuwa hiyo ndio kauli yako na umekaaa kimyaaaa unasnap chat
Kuma kweli wew anazingua nin chako kala
Nikweli mbwa mzee hafundishiki
mwamba rema nakuona umeuchuna tu bing up sana
Saf san bro nakukubal san
Huyu ni kiongozi bora
Msiongelee huko juu tuuu, njooni chini huku mtusajili sasa.
Ukiangalia kwa undani zaidi utagundua heche ni mkali zaidi kuliko lissu
Huyu sumu
Kweli
Hongera viongozi makini Tundulissu na John Heche, Mungu awalinde nyote, Ameni. "NO REFORMS NO ELECTION"
Nyiee leta mdomo
Mimi naomba sana viongozi wa chadema mnapo ongea tumieni luga yaki swahiili tu
Huyu jamaa😂
ASANTE HECHE NAKUKUBALI NAKUJA KUCHUKUA KADI YANGU NEXT WEEK
wenye uelewa tupo kwa cdm
Kabisa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wewe Huna jipya hii nchi hatuwezi kuwapa wahuni,nchi hii hamtaingiza ushoga wala uhuni maana huo ndo mpango wenu
Pumbavu sana
This is the is vsry difficult team hech v tundulisu ccm you have job to Wark remember chadema election it has been worching by deferent ambassador when heche say something they will do it is up to Tanzania police crush chadema but will be big impact in shot time to came on lntanationol community
Hiyo kauli ya mkuu wa mkoa wa dar ni kauli mbaya Sana,wameshiba madaraka hao hana uchungu na mwanamke aliye mleta duniani
Rais
Cama kinacho sapoti ushoga
Kwan ushoga haupo broo
Heche tunafaham misimamo yako tunaomba mtupeleke mbele makamanda tuko pamoja
Mshuke mikoani mtusajili,
Mpaka kieleweke, ccm mpaka itatoka tu madarakani..
Comde Heche. Nashindea hadi sasa ni jina gani litamfaa huyu bwana kati ya haya mawili: Steave Biko au Che Guevara. Tundu Lissu hakunipa shida. Yeye ni Thomas Sankara.
Uchungu wa kujifungua na simu tuache
Mimi nitakuwa nawe
>Mwlm. John Heche elimu ya utambuzi inaeleweka!
>Viongozi CCM kama Wafalme wameshiba hadi kuvimbiwa na kutowajali wananchi walio wengi maskini wa kipato katikati ya nchi tajiri!
Kimamae zenu wote chadema
Ire kauri ya mkuu wamkoa wadar kwakweri ire kauri yake nirimuona pumba sanaa kiongozi anaejierewa hawezi kuongea maneno yare tena kwenye mkutano wawatu wenye akiri timamu
Mlevi huyu wananchi gani waliofurahi?
Duuuh we chawa au kunguni
Atakosa yeyw usingizi,Mzee wasira akose usingizi kwa lipi
Mashoga kama wewe huwezi kuelewa choko 😂😂😂😂😂
kwani wasira ni nani kwenye nchi hii bwege wewe
Hamna lolote hizo ni siaasa tu
Acha usenge taja sera zako zionekane kama zinamashiko na uzalendo ktk ichi sio kulalamika lalamuka
Sera ndo hizo hatutaki viongozi ambao hawana maadili
Mwislamu mdini na mpumbavu unatetea viongozi wapumbavu
Sera unazojua wewe ni zipi
Acha ujinga wewe unashindwa kuelewa hata kidogo maneno ya uungwana wanayo yafanya akina charamila wwe unayafurahia angekuwa mamako ndo anakuzaa wewe ci ungukufa ucionekane duniani kabisa
Sasa unakosea kuongea kiingereza sisi hatujasoma
Ilaumu ccm iliyo kupa elimu mbovu ya kushindwa hata kujua lugha ya kingereza
@@ramadhanmahongole9293Haswa! Umemjibu vizuri! Ameachwa kuwa mjinga ili aendelee kupumbazwa na kutawaliwa bila shida. Chawa gani wanakuwa na elimu ya kueleweka?
@@theophilmakumbuli ccm wanataka watu wasijue kingereza waendelee kuwa wajinga ili wawatawale miaka 200
hamna.mkataba wa kiswahili
Nacho kupendeaga hujuwagi tukana watu