MWANZO MWISHO HOTUBA YA TUNDU LISSU BAADA YA KUKABIDHIWA OFISI YA MBOWE, AWAPA MATUMAINI WANACHADEMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 23

  • @DominickSangu
    @DominickSangu 7 дней назад +4

    Very good mh lissu ❤❤❤ tunakukubali sana.

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes 7 дней назад +6

    President of the hearts Tanzania's people

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 7 дней назад +3

    Kwa nia Njema kabisa Mwenyekiti anasema Bila mabadiliko ya uchaguzi basi hakuna uchaguzi nchi hii,kama Serikali inawapenda wanachi na nchi yao hii mabadiliko ni kitu chepesi sana hata siku moja likitoka tamko kwa Raisi linaweza kuleta hayo mabadiliko kwa masaa kadhaa

  • @Sedeckia
    @Sedeckia 7 дней назад +6

    Mbona kama kuna watu mnateseka hvi? Kuna wakati ukiumia moyo usiseme chochote kaa kimyaaaaaaaaaaaaaa.. Utaheshimika sana. Mh. Lisu chapa kazi kadri ya uwezo wako.

  • @abubakarimussa1955
    @abubakarimussa1955 7 дней назад +3

    Wapo wengi wanateseka

  • @HeriswidaNjau
    @HeriswidaNjau 7 дней назад +2

    Unafaa kushika dola

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 7 дней назад +3

    Lissu achana na mambo ya uchaguzi njoo na strategies namna ya kushika Dola 😢😢Kila siku uchaguzi tu

    • @wasaficlassicshoes
      @wasaficlassicshoes 7 дней назад +1

      Uchaguzi ni jambo muhimu nimfano kinachopaswa kifanyike Tanzania lazima kurudiwe ili wajifunze kwetu

    • @vickytorry100
      @vickytorry100 7 дней назад

      Anataja mambo ya uchaguzi kwa kuwa ‘he is feeling guilty’ kwa dhihaka zake kwa Mbowe! Mungu atalipia

    • @vickytorry100
      @vickytorry100 7 дней назад

      Guilty conscience itamtafuna

    • @YasriThomas
      @YasriThomas 7 дней назад +1

      ujuw kwann kutwa anasema uchaguz maana umekuwa uchaguz wahaki na maonyesho ko anataka ata mwez10 uchaguz mkuuu waigeee ili uwee wahakii ili uone CCM itakavyopigwaaa chini

    • @sittandaki2135
      @sittandaki2135 7 дней назад

      ​@@vickytorry100Nikajua umesha komaa kihakili kumbe Bado sana wewe ni mtoto achana na siasa

  • @abdunoor3775
    @abdunoor3775 7 дней назад

    Watoto wa watanzania wanakwenda ingizwa barabarani ,wale watapiga watoto wa kitizedi watakiwa taget

  • @isayawilliam-n1m
    @isayawilliam-n1m 7 дней назад

    Lissu ,bora utafte njia ya kuchukua nchi mkuu, achana na mambo ya chaguzi hizo ambazo zipo vile vile ,Kila sku ....

  • @majiniuhaimnu9150
    @majiniuhaimnu9150 7 дней назад

    Nikiwa Kama mwanachama wa chama hiki napendekez lisu abadilishe mnyoo wake huo

  • @nicodemosidadi
    @nicodemosidadi 7 дней назад

    👏

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 7 дней назад +1

    Hii busara kubwa tena ya kusema na kutenda maana kwa wezi na wajinga ni hofu na mashaka yakuondoka kwenye viti walivyonyang'anya

  • @raphaelantony2160
    @raphaelantony2160 7 дней назад +4

    Jembe kama jembe

  • @Mzalendowetu
    @Mzalendowetu 7 дней назад

    Tunasema tutaona kwa kuwa mmetutukana sana sisi pamoja na mwenyekiti wetu kana kamba hatukufanya chochote sawaa fanyeni nyie tuone