HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 май 2017
  • HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU 24 MAY 2017

Комментарии • 111

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Год назад +8

    Lala salama baba, vita ulivipigana😭😭😭😭😭😭 nikikuona machozi yanatililika. Mwenyezi MUNGU akupe makao salama huko uliko. Raha ya milele umpe e bwana, na mwanga wa milele umwangizie apumzike kwa amani Amina. Roho za waamini wapate rehema kwa MUNGU, wapumzike kwa amani, AMINA.

    • @onelovetz7935
      @onelovetz7935 Год назад

      Uko Kama Mimi kilip mbili tu machozi yananilega

  • @peterkabigi
    @peterkabigi 7 лет назад +8

    Kwa hili kila raia mwenye nia njema na nchi atakuunga mkono.Hongera saana Rais.

    • @pizzaboy3640
      @pizzaboy3640 2 года назад

      HUWA cwezi kujizuia kabisa MACHOZI yanavyo nimwagika nikisikiliza hotuba ya huyu mwanajeshi kamanda rais aliye jitolea mhanga kwa ajili ya Taifa letu hakika wewe ni SHUJAA japo umelala RIP J P M

  • @alfredlucas972
    @alfredlucas972 2 года назад +5

    Mungu akupe wepesi katika pumziko lako la milele rais wetu wa wanyonge

  • @motelalasem6755
    @motelalasem6755 2 года назад +10

    Upumzike salama namungu akusamehe makosa yako yote nakulilia kwauwazi na uzalendo kwa nchi yetu inaumasana,

  • @mathewben6833
    @mathewben6833 2 года назад +7

    Kuna wakati hua siamini kama rais niliyemkubali nikamchagua hayupo tena duniani,daaah! YAHWEH is great.Pumzika kwa amani JPM hakika me binafsi kwa jitihada zako nakukumbuka

  • @frans_dede
    @frans_dede 3 года назад +5

    Mungu akupe pumziko la milele Raic we2 mpendwa Dr. JPM tutaendelea kulia mpak mwak 20100

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 3 года назад +5

    Chuma hicho, najickia faraja sana japo kwa muda wake mfupi impact yake ni kubwa sana, naifananisha na super sub iliyoingia ikapiga hatrick na kuchukua point tatu,

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 7 лет назад +6

    hongera sana rais wangu mpendwa .ninakupongeza sana kwa kuwanyoosha hao wanaojiita wajanja . namuomba allah akulinde na akupe umri mlefu wenye mafanikio

  • @ismailkipalanga2812
    @ismailkipalanga2812 2 года назад +5

    Kila nisikilizapo hii hotuba, bado naamini kuna siku utarudi tena kuja kuwa hata mshauri tuu. RIP mzalendo wa kweli

  • @mbokaandbahatitv8509
    @mbokaandbahatitv8509 7 лет назад +9

    Wewe ni rais wangu, siku zote nitakuheshimu, Mungu akutunze daima.

  • @davidcharles5674
    @davidcharles5674 7 лет назад +5

    this is what I was asking leaving myself with unanswered qns. why were we not talking of natural minerals as OUR MAJOR SOURCES OF INCOME .... WHY WERE WE DEPENDING ON TBL, TCC...? THANX OUR PRESIDENT YOU KEEP ON ,,, WE TZ WER SUPPOSSED TO BE DONORS

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 года назад +4

    Allah akulinde na kila shari rais wetu utuongoze kwa ufanisi kam unavyotuongoza insha Allah🤲

  • @Lex_review
    @Lex_review 7 лет назад +9

    one day they will value your presidency

  • @tatulalia8211
    @tatulalia8211 Год назад +3

    That's truth Dad but RIP God bless you for your jobs

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Год назад +2

    😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumepoteza mtu muhimu Sana ktk nchi yetu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @fettysalum8290
    @fettysalum8290 7 лет назад +2

    Mungu akupe uhai zaid rais wa Tz uendelee kufanya mema kwetu wa tz

  • @kelvinchadulaga310
    @kelvinchadulaga310 2 года назад +3

    RIP mwamba wa african

  • @rozinajumbe4237
    @rozinajumbe4237 Год назад +2

    Tunakukumbuka Baba ! Tumebaki wakiwa Baba wanyang'anyi wanatafuna urithi wa nchi yetu

  • @alfredjustinian9753
    @alfredjustinian9753 2 года назад +1

    Daah tutakkumbuka mzee aisehe lkn nmemuona proffeser anashangaa kwelikweli aisehe

  • @heridadia9634
    @heridadia9634 2 года назад +3

    R.i.p JPM 😭😭

  • @yohanabiby3581
    @yohanabiby3581 Год назад +1

    Yohana E Biby

  • @offblogmedia
    @offblogmedia Год назад +2

    Come take your chair father, we miss you already!! ( And, you knew it)

  • @manstiko5890
    @manstiko5890 Год назад +1

    Rest in paradise chuma tutakukumbuka daima

  • @denismsanzya7145
    @denismsanzya7145 Год назад +1

    Upumzike kwa amani kaka yetu

  • @abdallahmngoi8538
    @abdallahmngoi8538 7 лет назад +1

    mwishimiwa endelea kuchapakazi safi sana

  • @Dantaata
    @Dantaata Год назад +1

    hatuna la kufanya baba tangu siku umeondoka hadi leo tunaumia,, m/mungu asikuache baba yetu kipenzi

  • @lgatura
    @lgatura 2 года назад +4

    Kila ninapo skiza hotuba ya Rais Magufuli , huwa si amini eti hayupo tena nasi , aisee ina uma sana , Sema mambo ya Mungu hayana Makosa , Pumzika kwa amani Rais wetu kipenzi, Mungu akupe pumziko la amani .. RIP

  • @geopolitics94
    @geopolitics94 3 года назад +10

    Rest in Peace our beloved President 🇹🇿❤️

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 Год назад

    Akika ulikuwa .nguli wa uongozi, kazi yako ni ilikuwa nzuli sana,

  • @januaryevarist2093
    @januaryevarist2093 24 дня назад

    Hii is miss you Dr jonh

  • @ramadhanndemeye6932
    @ramadhanndemeye6932 7 лет назад +2

    lema uko wapi? mbona husemi?

    • @dct4lif
      @dct4lif 7 лет назад +2

      Tundu Lisu tayari ashaongea ujinga kama kawaida yake

  • @adelaidaruta2930
    @adelaidaruta2930 2 года назад

    Mwenyezi Mungu akuruhusu kutoka huko uliko uzidi kulipigania Taifa hili kama ulivyo lipigania ukiwa duniani mimi nitakukumbuka daima

  • @sethmotto4513
    @sethmotto4513 2 года назад

    Maisha Ndivyo Yalivyo!Kazi iendelee!

  • @ISSAMITWE-iq1bo
    @ISSAMITWE-iq1bo 7 месяцев назад

    sintamsahau hayati magufuri ktk maisha yangu yote.mungu mpumzishe kwa aman amin.

  • @kikosikaziupdate
    @kikosikaziupdate Год назад

    Tutakukumbuka daima

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 года назад +4

    Jembedali wetu JPM ulisema tutakukumbuka kweli tumeanza maana uku Prof Muhongo hataki tena Bwawa la umeme la Rufuji ambalo ilikuwa ndoto ya Mwl Nyerere na ndio ukombozi wetu. Nakumbuka Mzee Mengi aliwai sema prof Muhongo ni Muongo...RIP Mengi.
    Alafu Ndugai anataka kuwaleta wachina na ule mradi wenye masharti ya ajabu ajabu. Ambapo tayari tunajua Sri Lanka wanatesena na mradi wa namna hii.😭😭😭
    Ila hata kama haya yatakwama ss vijana tayari umetuonesha njia siku moja tutakuja kuyafufua kama wewe ulivyo fufua iliyokuwa ndoto ya Mwl Nyerere.
    RIP NYERERE NA JPM 💪🏿🙏🏿

  • @mrishoselemani7521
    @mrishoselemani7521 7 лет назад +1

    MWENYEZI MUNGU AKULINDE

  • @adammrisho1990
    @adammrisho1990 8 месяцев назад

    Mpl

  • @veromakoe5017
    @veromakoe5017 Год назад

    Mm

  • @kamuchidyblez2136
    @kamuchidyblez2136 Год назад +1

    Daaa ulale salama aisee kaz yake mola haina makosa

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 Год назад

    Sawa bac ninaumia sana nikifikiri

  • @bizzosela6186
    @bizzosela6186 2 года назад

    😭😭😭

  • @farajastudioandstationery5798
    @farajastudioandstationery5798 2 года назад +1

    Nimemis Hii sauti kiukweli...!

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 2 года назад

    Ikulu haina hizi video kweli ? including mkataba wa bandarui ya bwagamoyo ?

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад

    Hii hotuba Ni ya kulikomboa taifa kwa vizazi vyote....tupate wapi Rais Kama JPM Tena.. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @clementmentusela171
    @clementmentusela171 Год назад

    In

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 7 лет назад +2

    nakupenda rais wangu 2020 ukishinda badili katiba uongoze mpaka utakopochukuliwa na mwenyezi mungu inauma sana lisu kachukua rushwa ya wazungu anabwatuka ovyoo piga kazi baba

  • @JacobAlexander-sc1oh
    @JacobAlexander-sc1oh 2 месяца назад

    sna la kusema kizuri hakidumu

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 Год назад

    Hakuna atakeye kufikia kwa uadilifu wako na uzalendo na ubingwa wa ufufuaji uchumi bila kuomba omba mikopo.Hata wafanye vipi,tayari uliwaumbua.Tunawaona 0 tu . Haupo kimwili lakini Roho yako ipo na inaona hali ilivyo hii leo.Mungu atalipa hapahapa ktk ardhi na wote watashuhudia

  • @abushirikijaji4014
    @abushirikijaji4014 2 года назад

    Ewe mngu tunakuomba umuweke mahala pema peponi rais wetu mpendwa natunakuomba uturudishiye rais ajae awe mkweli kama mpendwa wetu magufuli

  • @mgeni1233
    @mgeni1233 Год назад

    Alikuwa mkweli na ukiwa mkweli jua maisha yako mafupi

  • @elishebawerema7155
    @elishebawerema7155 2 года назад

    😭😭😭😭😭

  • @daudikapange9203
    @daudikapange9203 Год назад

    😢

  • @jonasjaphetthomas6434
    @jonasjaphetthomas6434 2 года назад

    We ndo rais sasa tunayemtaka watanzania walobaki woteni .....Watajua wenyewe wapo kundi gan siwapendi sijui kwanini!

  • @dmstephano8643
    @dmstephano8643 6 лет назад

    Jamen

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 Год назад

    Hivi huyu jamaa alikuwa na kasoro gani jamani katika Nchi hii lkn!!?? 😭 Tutakukumbuka baba

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 Год назад

    Mzee uko sawa Tanzania tuna watu wa ajabu sana, uwatunawafikiria hatupati majibu,

  • @godfreykwejah
    @godfreykwejah Год назад

    Kwa kweli utaendelea kuishi mioyoni mwetu, na akili zetu bado zinakuenzi!

  • @konzerasokoni1773
    @konzerasokoni1773 2 года назад

    Natamani siku zirudi nyuma ufufuke ungetawala milele... Wengi washakuelewa lakin ndo ivo too late

  • @elipidiuskweyamba1394
    @elipidiuskweyamba1394 Год назад

    RIP

  • @nuhunyambulapi5320
    @nuhunyambulapi5320 2 года назад

    We missed you today Mwamba

    • @arjunelly540
      @arjunelly540 2 года назад

      😭😭😭😭😭Inauma jamn

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 7 лет назад +1

    Kimenuka Shamba la Bibi

  • @blackmartin2395
    @blackmartin2395 Год назад

    😭😭😭😭😭 kwel tulipoteza

  • @clausemanuel9891
    @clausemanuel9891 7 лет назад

    daaah

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 3 года назад +1

    Mbabe kaenda na ubabe wake haaaaaa

  • @johnnestory9970
    @johnnestory9970 Год назад

    JPM utakumbukwa daima,kwa mazuri mengi uloyafanya kwa watanzania wengi!

  • @ramadhanndemeye6932
    @ramadhanndemeye6932 7 лет назад +2

    nchii ina wajinga wengi kazi yao kupiga kelele bungeni

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 Год назад

    Mzalendo wetu, leo tunaubiriwa neno uzalendo, najiuliza sipati jibu, Magufuli uko wapi? Kama nchi inaitaji wazaleno!!

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 Год назад +3

    This guy was a legend

  • @paulcosmas8031
    @paulcosmas8031 Год назад

    Pumzika kwa aman baba

  • @moshykimario7601
    @moshykimario7601 2 года назад

    The life time president

  • @vandamemaress1350
    @vandamemaress1350 3 года назад

    Og

  • @lameckmulokozi4685
    @lameckmulokozi4685 2 года назад

    Tutakuenzi baba lala kwa hamn

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 2 месяца назад

    Jeembehiro bwana pumzika salama

  • @sadamkuntukumu3672
    @sadamkuntukumu3672 Год назад

    Kwanin samia suluhu afanyi hivi

  • @avitimushi1541
    @avitimushi1541 7 лет назад +6

    The president and his TUME have walked the walk after the talk. Viva President Magufuli. Viva Tanzania

  • @allykingu1752
    @allykingu1752 2 года назад

    Jembe toka chato?

  • @susannaikuni8595
    @susannaikuni8595 Год назад

    Shujaa hutasahao lika milele lala salama

  • @hermanisaay1904
    @hermanisaay1904 2 года назад

    Itv

  • @maluhismadila9593
    @maluhismadila9593 Год назад

    Pumzika kwa amani bd tunakukumbuka baba

  • @halajanyerere3512
    @halajanyerere3512 2 года назад

    Jpm rest in peace

  • @paulkapele2797
    @paulkapele2797 Год назад

    Mahubiri,ya,moses,Maghembe,t,ag

  • @isackkubimba819
    @isackkubimba819 Год назад

    Dodoma

  • @innocentmalingumu1541
    @innocentmalingumu1541 Год назад

    Pumuzika xalamal rais

  • @emmanuelshilinde2512
    @emmanuelshilinde2512 Год назад

    JPM

  • @ramadhanndemeye6932
    @ramadhanndemeye6932 7 лет назад

    je hicho chombo kina uzwa bei gani?

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 7 лет назад

      Ramadhan Ndemeye I love this man true Patriot...... Tanzanians are cursed how can we be so stupid and dumb

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 3 года назад +1

    bado unadumu ata hujafa baba wa pili wa taifa

  • @user-vh2pe9lu1v
    @user-vh2pe9lu1v 9 месяцев назад

    😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😅😅😅😊😊😊😊😅😊😅😅😊😊😅😊😊😊😅😅😅😅😅😅😊😊😊😅😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😅😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😅😊😊

  • @bumsnyagenda9639
    @bumsnyagenda9639 3 года назад +1

    Kwa nchi za kiafrica hata hawakuelewi hata Kama ni wasomi watakuona unawabana tu maana wenyewe wanasema hili bara la wajinga
    Ila upo sahihi mzee

  • @yohanabiby3581
    @yohanabiby3581 Год назад +1

    Yohana E Biby

  • @nicholaus6859
    @nicholaus6859 Год назад

    Tuta kukumbuka baba