"HAPA HAMNA KITU, TUMELIWA"- RAIS MAGUFULI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 516

  • @Ress114
    @Ress114 3 года назад +17

    Daah! He is no more😭😭 I can't measure the pain am feeling!! This was only president I admired in Africa!!!

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 4 года назад +26

    Baba Magufuli ungekuwapo tangu 1961 ungekuta Tz Kama ulaya.

  • @happynakuzimiammassi8074
    @happynakuzimiammassi8074 4 года назад +35

    Rais upo vizuri 👍 simple mathematics hakika 🙆🏽‍♀️

  • @saidimazengo9934
    @saidimazengo9934 4 года назад +48

    Hotuba za rais Magufuli zinafariji ,zinanifanya niipende nchi yangu Sana ,Asante Mungu kwa kumleta huyu mtu.

  • @akilihabibu4203
    @akilihabibu4203 4 года назад +18

    TUNAOMBA MUNGU KATBA IBADILISHWE HUYU RAIS MUNGU NDIO KATUTUNUKU AFIE MADALAKANI MAGUFULI OYEEEEÉÉEEÉEEEEEEEÉEEEEE

    • @eveswai5501
      @eveswai5501 3 года назад

      Yes

    • @glorykarim1570
      @glorykarim1570 3 года назад

      Masikin pole ndg yangu na kafariki ajamaliza MUDA wake nimeumia Sana nimelia sanaaa kumpoteza baba yetu😭😭😭

    • @triplesitati2688
      @triplesitati2688 3 года назад

      @@glorykarim1570 may his soul rest in peace 😪😪

    • @triplesitati2688
      @triplesitati2688 3 года назад

      😪😪 R.I.P bulldozer

  • @saidwilsonnyabikwi.8242
    @saidwilsonnyabikwi.8242 4 года назад +7

    God bless you, Kura yangu chukua💝💝💝💝💝💖💖💖

  • @aludomakori4230
    @aludomakori4230 4 года назад +12

    Magu we nomaaaaaa!!!

  • @hemedrashid2921
    @hemedrashid2921 2 года назад +2

    Hatutapona madonda ya maumivu ya kutuacha pekee yetu kweliiii mungu umetuumiza Sana juu ya baba yetu huyuuu

  • @iddikibwana9185
    @iddikibwana9185 4 года назад +1

    mungu akupe maisha rais wetu

  • @nguyamtwartz5413
    @nguyamtwartz5413 4 года назад +49

    Aisee rais tunae😆😆

    • @lidyamathayo8343
      @lidyamathayo8343 4 года назад +6

      Sio Rais Ni shidaaa Rais,dunia nzima hakuna km JPM,na hakuna kwenda kwa wazungu wasituulie bure RAIS WETU JPM💪💪💪💪💪💪

    • @saidnassoro9562
      @saidnassoro9562 4 года назад

      Ila kama thamni inajumuisha na faniture.Sio mbaya sana.Isitoshe taratibu zote za ununuzi na vifaa huwa tofauti kidogo na ukijenga personally.

    • @nguyamtwartz5413
      @nguyamtwartz5413 4 года назад +2

      @@saidnassoro9562 sikiliza thamani ya jengo,, , fanya tathmini ya jengo, , na tathmini ya furniture, bado upigaji upo kama tathmini ya pili italetwa utajionea

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 года назад +13

    Baba Magufuli, mbona macho mekundu hivi? hakikisha unapata usingizi wakutosha baba yetu maana hizi kazi zisijekukuchosha sana ukaanguka...uso umejaa alafu macho kidogo mekundu alafu nguzi kama imekuwa wekundu flani..jemedari wetu jmni anachoka sana,,halali..eh Mungu wetu Tunakushukuru kwa yote unyotufanyizia pia tunaomba Uwakumbuke viongozi wetu nakuwalinda Amen

    • @elisantej5512
      @elisantej5512 4 года назад +1

      Kama ulikuwa kwenye akili yangu. Niliwaza hivyo. Apate muda wa kupumzika amekuwa bize sana

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 4 года назад +2

      @@elisantej5512 yaani kaka yangu adi huruma...kumbe nawe umeona boss wangu? hatari kweli. Mungu Amtie nguvu tuu

    • @elizabethbaba8425
      @elizabethbaba8425 4 года назад +1

      Mungu amlinde Raisi wetu. Kajitolea kwa watanzania

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 4 года назад +1

      @@elizabethbaba8425 Kwa kweli

    • @annalubango9899
      @annalubango9899 4 года назад +1

      Mungu akutunze jpm

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 4 года назад +1

    Ndio makufuli sawasawa mie ndio nikakutilia kura yangu kabisa mungu akuweke makufuli oyeeeee

  • @sankybadeetz4512
    @sankybadeetz4512 4 года назад

    Magufuli mungu akubariki sana baba kweli wewe ni jembe chapa kazi kura yangu kwako

  • @stewarthymakabila6982
    @stewarthymakabila6982 4 года назад +1

    mungu akuongeze raisi wetu

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 4 года назад +2

    Hahahaha Bwana ni kiboko yao we love u jp u are very geniuses

  • @pigapesa3622
    @pigapesa3622 4 года назад +5

    Rais Bora bara Africa na duniani kote hongera mh:JPM

  • @samwelndiletelevisionc3385
    @samwelndiletelevisionc3385 4 года назад +5

    Can you imagine mtu anaiibia takukuru yaaan jengo la kupambana na rushwa limejengwa Kwa rushwa tz sihami

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 года назад +20

    Mbuge chunga nyota zako mkuu😂😂

    • @jafaringomeni3471
      @jafaringomeni3471 4 года назад

      naidwa masoud magufuri ww top nimekukumbar baba angu

  • @jamalyl
    @jamalyl 4 года назад +1

    Magufuli 🔥🔥🔥(love you Mr President)

  • @geneouscravery3428
    @geneouscravery3428 Год назад

    Exallent

  • @kanukanute1514
    @kanukanute1514 4 года назад +9

    Muheshimiwa rais ni lini darasa la 7 tutapata kz selikarin ???lianglie hili muheshm Kuna taalama km udereva sizan km utaitj elim y from four

  • @salumnassor3845
    @salumnassor3845 4 года назад +4

    Maguuuuuuuufuuuuuuuliiiiiiiiiii kura yangu chukua aiseee ww ni kiongozi bora kabisa

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 года назад +14

    Mzee hata za kwenye kisosi??? Dah 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kyarajohn8768
    @kyarajohn8768 4 года назад +1

    Kwa nn kura yangu ni sikupe 2020 tena mapema

  • @originalkipara9784
    @originalkipara9784 4 года назад +1

    Wapeleke wote ndani

  • @victormneney8789
    @victormneney8789 4 года назад +1

    Anajua mpaka idadi ya dagaa
    Hamkustukia hilo

  • @allydugara7453
    @allydugara7453 4 года назад +1

    Sema baba sema. Mungu yupo nawe

  • @asmamohamedidi585
    @asmamohamedidi585 4 года назад +2

    Apo ndio tunapata somo la hesabati maana hata nondo ikibaki inajulikana

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 4 года назад

    Mashallah yani uyo ndio kiongozi wa kuigwa mungu akulende raic magufuli yani apo jembe hilo 😀

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan9254 4 года назад +2

    Aliposema hapa kazi tu watu wengine walidhani anakuja kufanya masiala.

  • @issakamangila9113
    @issakamangila9113 4 года назад +4

    Chezea magu ww

  • @meshackmlaki2066
    @meshackmlaki2066 3 года назад

    Kweli

  • @FMercuryEA
    @FMercuryEA 3 года назад

    Exactly. In reality

  • @robinajohanssen697
    @robinajohanssen697 4 года назад +1

    Wanajingata Leo hadi aibu. Ngumu kumeza rahisi kutema.

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 3 года назад

    Hatakama wameiba kweli sawa lakin milion60 hiyo nyumba hujeng miaka mia

  • @omaryirro9285
    @omaryirro9285 4 года назад

    Duuuuh huyu mtu huyu Mungu katupa aiseee hongera Magu

  • @francissgodlove
    @francissgodlove 2 года назад

    Nachojuta nilichelewa kukujua ubora wako! Honestly, saizi tumebaki na ngonjela tuu

  • @zablonnyanda6095
    @zablonnyanda6095 4 года назад +4

    Da?! Tundu una lakusema hapo?? Umeona hizo hesabu??? Aloo!!

  • @evancekimath7405
    @evancekimath7405 4 года назад +2

    Hahah...."takukuru ng'ata"

  • @HussenYusufu-d1g
    @HussenYusufu-d1g Месяц назад

    Jamaica alikua mamba sna

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 4 года назад +1

    PCM ya rais wetu sio ya kuunga unga ya Ukwel

  • @taifocuscompany9246
    @taifocuscompany9246 4 года назад +2

    Kama takukuru nao ni wezi, huko kwingine si ndio balaa

  • @azizamohd5728
    @azizamohd5728 4 года назад

    Vifaa vimepanda beiii

  • @zidadumwasongwe3560
    @zidadumwasongwe3560 4 года назад

    Baba 2nakuelewa

  • @lidyamathayo8343
    @lidyamathayo8343 4 года назад +3

    Mbona hauji Moshi baba

    • @mayrfrimi4759
      @mayrfrimi4759 4 года назад +1

      Yani akija huku Moshi kuna madudu ya kutosha

    • @joramkimario2666
      @joramkimario2666 4 года назад

      Mi nashindwa hata kumuelewa.cjui mosh tulimfanya nn huyu jamaa

    • @lidyamathayo8343
      @lidyamathayo8343 4 года назад

      Njoo baba tunakero,tumekereka ,Bora umetuondolea Kipe aende mwanakwenda,hata kwao hawampendi

  • @oscarkasalile8442
    @oscarkasalile8442 3 года назад +14

    Mimi hata kama umekufa naangalia video zako nakupenda rais wangu na mungu anajua nakupenda sana.

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 7 месяцев назад +1

      Yn mm siachagi kuangalia

    • @nyangimarwa3448
      @nyangimarwa3448 5 месяцев назад +1

      Hata Mimi Rafiki yangu kati hotuba zake ninazozipitia sana

  • @zamukahemele1505
    @zamukahemele1505 4 года назад +53

    Watendaji mnamchosha rais wetu alishakuwa waziri Wa ujenzi. Hadanganywi

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 4 года назад +55

    Engineering President 🏅🙏 when I listened to opposition parties policies in the year 2015 during campaign I knew it was difficult to implement but now my eyes is big as his excellence Magufuli doing things with no delay and by Tanzanian taxes, this is wonderful God bless you Mr President my vote u had already got 🏅🙏💥

    • @dinnahpraygod7860
      @dinnahpraygod7860 4 года назад +1

      My almighty God bless you Mr President Magufuli

    • @protasmangu6418
      @protasmangu6418 3 года назад +1

      magu ni mwalimu professionally kaka.sio engineer. Ndio maana anatumia taaluma ya ualimu za masomo ya philosophy & psychology, experience ya kazi na competence kuwaambua watu.

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 4 года назад +40

    Magu Alisha sema mapema kuwa hata uloge vp atajua tu ukwel Sasa mheshimiwa mbuge apo umeumbuka uyo mzee Ni mjanja kuliko nyie hahah

  • @evasaimon2101
    @evasaimon2101 4 года назад +67

    Jamani uyo aibiwi mnajizaliliisha buree na kujiweka kwenye wakati mgumu

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 4 года назад +5

      Yani watumishi wa umma sijui wana matatizo gani yani wao wizi tu ndio wana jua wao wakifukuzwa kazi wana lalamika

    • @deeruta9894
      @deeruta9894 4 года назад

      True

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 4 года назад +3

      Wakifukuzwa wanaanza kulalamika Rais dikteta hana Democrasia mwee

    • @letshikuku39
      @letshikuku39 4 года назад +3

      Mweeee hivi unaiba pesa za Magufuli unataka nn wewe kama siyo kuumbuka 😂😂😂😂

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 года назад +33

    🤣🤣🤣🤣🤣 hapa tumeliwa, muwe makini na huyu mtu jamani haibiwi,takukuru ng'ata 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @omarykilimtalitv546
    @omarykilimtalitv546 4 года назад +65

    Magufulification Mathematics calculated

  • @chiefmahucha6847
    @chiefmahucha6847 4 года назад +1

    Wanaweza wakawa wamepiga Kama million 40 hivi coz hizo gharama ni pamoja na samani.
    Ila am sure ingekuwa ni awamu ya 4 au 3 ungesikia zimetumika billion 1.2 haki ya nani...!
    Awamu zilizopita wafanya Kazi wa umma walikuwa wanapiga hela...!

    • @mossymtwana6422
      @mossymtwana6422 4 года назад

      Hiyo nyumbani mpaka huo muonekano wa ndani na nje million 50 0r 60

  • @enocksichone6112
    @enocksichone6112 4 года назад +8

    Magufuri mimi nakupenda sana unanikosha sana na maneno yako ya ujasiri hakika huogopi mtu kabisa. Mungu akupe maisha marefu ktk utumishi wako.

  • @abdallahrunwa1886
    @abdallahrunwa1886 4 года назад +5

    Hongera mheshimiwa rais bado watendaji wako hawajatafasiri neno hapa kazi warudi darasani awatafasirie msamiati ili wasizidi kukoroga wanajiondolea heshima utumishi bora haiwezikani watu wazima na elimu zenu mkawa mnakaripiwa kila wakati razima nanyi musome nyakati hii nifedheha kubwa kutozingatia dhamana mliyopewa nakiongozi mkuu wa nchi jamaani mbele ya hadhala hua mnajisikiaje...?

  • @japhetalex971
    @japhetalex971 4 года назад +17

    Nampenda rais maguful atar japo nachukia neno ccm ila me magu namchagua tena kutoka moyon we love you dady

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 года назад +45

    Hii Tanzania yetu sio ya awamu zilizo pita hakika tunae jemedari JPM 🙏🙏

    • @aliabmugh2362
      @aliabmugh2362 4 года назад +1

      Eti munataka nikaongelee wapi oficeni😁😁😁

    • @zablonnyanda6095
      @zablonnyanda6095 4 года назад

      Aisee kweli hiki ni chuma! Mnh?? Ningekuwa najua hesabu kamahuyu jamaa??

    • @restkalemile5274
      @restkalemile5274 4 года назад +1

      daah kweli hili ni jembe , sijapata ona rais km huyu africa,

    • @stelakiula917
      @stelakiula917 3 года назад +1

      We lost 😭

  • @tz7976
    @tz7976 4 года назад +68

    Ndiyo rais pendwa dunia nzima MAGUFULI wetu MUNGU ajuzidishie

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 4 года назад +43

    Hahahaha’ mtu anajua samaki wangapi wamo ziwa victoria ‘ Na samaki waliozaa na wenye mimba ‘ utakuja kumdanganya kizembe ‘ ..!
    Hesabu za nyumba huwa zinajionyesha zenyewe ‘ kuweni makini na Mh Rais ‘ msimdanganye mtaondoka...!

  • @abdulhamidy8920
    @abdulhamidy8920 4 года назад +1

    Uyu mzee mimi niupinzani ila uyu mzee kikwel nampenda namkubali ila watu wake tu cwapendi maana wanapenda sifa wanamtia doa ila magufuli sifa yake moja humuibii kwenye maswala ya ujenzi

    • @mossymtwana6422
      @mossymtwana6422 4 года назад

      Mpe kura aendelee kuwashikisha adabu wapenda vya bure

  • @gibsonntamamilo490
    @gibsonntamamilo490 4 года назад +48

    Huyu mzee hatari! 28 Oktoba 2020 ☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️100%

  • @prospermushi6168
    @prospermushi6168 4 года назад +6

    This guy he didn't skip classes, hakufanyiwa mitihani huyo, wala hakufanyiwa assignments, leo kuna vibonde wengi wana degrees za kudanganya, aibu kabisa

  • @esthernyaboke1764
    @esthernyaboke1764 4 года назад +5

    Ghai 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tutapate wapi kaa magu jamani tz Kyra kwa magu magu magufuli

    • @egideniyonkuru9705
      @egideniyonkuru9705 3 года назад

      Hata huku🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunatamani kuwa na raisi kama magu

  • @hashimnamanolo4018
    @hashimnamanolo4018 4 года назад +1

    Awajakuerewa bado.watanzania wamesha zoea.kufokewa.biraivo.awaendi.kabisa.atauyo baba.jeshi.ra.wananchi.wanariangusha.jamani.amujaerewa.bado.hona

  • @NeneMedia
    @NeneMedia 4 года назад +1

    Wabongo vichwa ngumu yani bado mpaka Mzee JPM bado wanataka kumpiga, nimechoka mwachie baba awatumbue mpaka wakae sawa.... na wata change tu kamatia hapo hapo baba.....

  • @mpesmail1834
    @mpesmail1834 3 года назад +6

    President teaching the engineer to do their BOQ...hehe...jamaani.
    JPM is my hero. Hats off. RIP

  • @victoruswazi3593
    @victoruswazi3593 4 года назад +8

    Jamaa Nmeanza kumuelewa vyemaaaa ..... Sikupanga kupga kula lakini Ntakupgia Mzee wangu

  • @masundelwa
    @masundelwa 4 года назад +34

    Jembe la MATHEMATICS hudanganyi kitu hapo.

  • @claudiangowi9585
    @claudiangowi9585 4 года назад +45

    Wataelewa tu baba Magu. Mungu akuweke baba angu

    • @pcazzo22
      @pcazzo22 3 года назад

      Haukusema Mungu amuweke wapi...😜😜😜

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 4 года назад +1

    Watendaji wa serikali mna nini kinawshinda nini kufanya kazi bila kuiba inamaana hamjui izo pesa za wananchi au mnadhani nyie peke yake ndio mnafaa kufanya izo kazi acheni wizi

  • @deodatusmdaku2226
    @deodatusmdaku2226 4 года назад +1

    Ifike mahari tujue uyuu mzee haibiwi,sasa watu hawaelewi yan

  • @naiskaurrai2464
    @naiskaurrai2464 3 года назад +4

    Meanwhile, the Kenyan President and Governors and the Vice President pride themselves in officiating the opening of toilets and mud classrooms for billions of KSH. I pray to God our nation gets a Magufuli also.

  • @francismwangi1885
    @francismwangi1885 4 года назад +2

    Mkenya na napenda Jpm...but sincerely speaking that house could cost that amount. It has a nice finishing plus we don't know the quantity of interior. It's unfair to do such kind of evaluation without considering the quantity of interior finishing

  • @mujahidmujahidin5504
    @mujahidmujahidin5504 4 года назад +64

    Kenyatta wa Kenya hako wapi askiye kiongozi kamili sio ufisadi

    • @paulinemideva3591
      @paulinemideva3591 4 года назад +2

      Mimi nipo Kenya ila natamani sana kurudi nyumbani nchi mla watu wake hii.yani hamna serikali inatafuna wananchi kama Kenya aisay

    • @macksonjuma5180
      @macksonjuma5180 4 года назад +2

      @@paulinemideva3591 Haujalazimishwa kukaa hapa

    • @mammyyassie7322
      @mammyyassie7322 4 года назад +1

      Kenyata nae Ng'ata....

    • @bonnybonny8337
      @bonnybonny8337 4 года назад +3

      Kwetu Kenya wanakunywa chai ya millioni nne pesa za Kenya. Hehehehe. Wezi tupu.

    • @mujahidmujahidin5504
      @mujahidmujahidin5504 4 года назад +1

      Rais wa kweli ndio atakikana hivyo

  • @rajabusungi5050
    @rajabusungi5050 4 года назад +4

    Mheshimiwa wewe ni nomaa sana..!! Hakika nakupa pongezi jinsi unavyo dhibiti mambo ambayo yalidhindikana

  • @lilianjosephat9151
    @lilianjosephat9151 4 года назад +33

    Yupo makini sana mungu ametupa rais

  • @salukabunda4049
    @salukabunda4049 4 года назад +5

    @milard ayo tufikishie salam zetu mueshimiwa tunamuitaj sana asiondoke

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 4 года назад +1

    Nyumba 140ml na ukuta 1billion.Yaleyale ya kuuza ng'ombe na mbuzi kwa kesi ya kuku.

  • @mdimistudio2741
    @mdimistudio2741 4 года назад +29

    Mjomba itakuwa hom anaachaga hela ya wiki yaani simple mathematics hahahahahah

  • @blingkingsa3102
    @blingkingsa3102 4 года назад +15

    Aiseee uyu ndo RAISI WANGU KTK JAMUHURI NAYOIAMINI 🇹🇿💪

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn6851 4 года назад +29

    "Hapa tumeliwa"😆😆😆😆😆😆

  • @kiariedavid8370
    @kiariedavid8370 4 года назад +34

    takukuru leo wamejingata wenyewe

    • @eddyhongeramaalimseifulipo6612
      @eddyhongeramaalimseifulipo6612 4 года назад

      yaaani rais wa jamhuri yupo sawa kabisa wapigie hesabu za mabati na matufali hao wamezoea kuumiza wenzao

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 4 года назад

      Si kweli hata kidogo, gharama ni zaidi ya milion 70, nje hapo ujenge kwa tofali mbichi

    • @salimugambe3712
      @salimugambe3712 4 года назад

      @@victorsanga2229 lkn ml 140 sasa inakuwaje

  • @hassanajiruu7793
    @hassanajiruu7793 3 года назад

    Huyu Wetu Hapa Kenya Hana Analo Tadhmini Kila Uchao Yeye Ni Mikopo Kutulimbikizia Madeni Sisi Wakenya ...Watanzania Mwenyezi Mungu Amewabariki Kuwajalia RAIS Muwandilifu ..Amna Madeni Pesa zinapatikana ndani ya nchi na Kufanya Miradi Mikubwa Ajabu Sembuse siyee Wakenya Mikopo Madeni Ya Mabillioni ya Pesa MIRADI YOTE HEWA Pesa Wamezipora.. Viingozi MAJAMBAZI KENYA..

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 года назад +3

    Kwel kiongoz tunaye 😂 mtaisoma namba,,,,,,Hatanganyw ktu, Asantee Sanaaa baba Magufuri 🙏

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 4 года назад +1

    Wewe ni Raisi ambaye Mungu baba ametupatia asee haijawahi toke tangu mwalim baba wa taifa aondoke

  • @jamilaomari2570
    @jamilaomari2570 4 года назад +1

    rakini uyo anabatimbaya mm nashaga sana utasikia shule inajengwa milini miambiri arafu madarasa mawili najiurizaga jibu sipati mbona era nyingi sana rais uriangarie nairo

  • @leonidaskalumuna8350
    @leonidaskalumuna8350 4 года назад +4

    Mpe hii kazi Mh Agrey Mwanry akusaidie anaweza sana hakika hatutaibiwa tena.

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 4 года назад +1

    Mh Rais najisikia proud kuwa na kiongozi Kama wewe mwenye akili Sana.
    Safi Sana Mh Rais wetu, jamani watanzania Mimi naona hakuna haja ya kampen Wala uchaguzi,
    Kama kiongozi tumeshampata wa kujivunia kabisa Sasa tunataka kuchagua nini? Rais JPM ni Rais anaekubalika na kila mtu tena bila kupingwa tumuache aendelee kuikomboa Tz yetu na kuipa maendeleo ili tuzidi kupata heshima.

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 4 года назад +1

    Yaan unaanzaje kudanganya hichi kichwa maana anakuumbua hapohapo kabla hata ujadanganya yeye kashaelewa mchezo

  • @Ibrah287
    @Ibrah287 4 года назад +1

    Unamuibia huyu jamaa unatafuta nini sasa kama sio kula ugali maharage tena ambayo hayajaungwa...!

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 3 года назад

    Kumbe kuzidisha bei ni kawaida hata kwa TAKUKURU. MTULINDE TUNATEGEMEA MTOKOMBOE.

  • @mohamedmiraj3117
    @mohamedmiraj3117 4 года назад +9

    That's my president Mr number(mathematics) best president ever

  • @amlannikatta7893
    @amlannikatta7893 4 года назад +6

    Very proud being with such kind of president magu ur no1 in this world 🇹🇿🇹🇿

  • @venancephilbert9397
    @venancephilbert9397 4 года назад +13

    asee big up....takukuru ng'ata "nimeipenda sana"

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 4 года назад +1

    Yani hapo mh raisi upo makini sana kwakweli wewe ni jembe, kwa mahesabu tu uko makini sana,

  • @allyfaraji1697
    @allyfaraji1697 4 года назад +3

    Et kuzungusha ukuta au fens Bilioni moja hawajamaa mungu anawaona

  • @allyfaraji1697
    @allyfaraji1697 4 года назад +3

    Piga hesabu upande huu na upande hule, jumlisha, Takukuru Ng'ataa😀😀😀

  • @mdogod3531
    @mdogod3531 4 года назад +5

    Baba tunanyoooka baba endelea kutunyooxhaa

  • @hylinenyakweba3435
    @hylinenyakweba3435 4 года назад +4

    Baba magufuli msema kweli mpenzi wa Mungu nakupenda baba magu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @hassanmugire1497
    @hassanmugire1497 4 года назад +16

    Kura yangu chukua