@@saidnassoro9562 sikiliza thamani ya jengo,, , fanya tathmini ya jengo, , na tathmini ya furniture, bado upigaji upo kama tathmini ya pili italetwa utajionea
Baba Magufuli, mbona macho mekundu hivi? hakikisha unapata usingizi wakutosha baba yetu maana hizi kazi zisijekukuchosha sana ukaanguka...uso umejaa alafu macho kidogo mekundu alafu nguzi kama imekuwa wekundu flani..jemedari wetu jmni anachoka sana,,halali..eh Mungu wetu Tunakushukuru kwa yote unyotufanyizia pia tunaomba Uwakumbuke viongozi wetu nakuwalinda Amen
Engineering President 🏅🙏 when I listened to opposition parties policies in the year 2015 during campaign I knew it was difficult to implement but now my eyes is big as his excellence Magufuli doing things with no delay and by Tanzanian taxes, this is wonderful God bless you Mr President my vote u had already got 🏅🙏💥
magu ni mwalimu professionally kaka.sio engineer. Ndio maana anatumia taaluma ya ualimu za masomo ya philosophy & psychology, experience ya kazi na competence kuwaambua watu.
Wanaweza wakawa wamepiga Kama million 40 hivi coz hizo gharama ni pamoja na samani. Ila am sure ingekuwa ni awamu ya 4 au 3 ungesikia zimetumika billion 1.2 haki ya nani...! Awamu zilizopita wafanya Kazi wa umma walikuwa wanapiga hela...!
Hongera mheshimiwa rais bado watendaji wako hawajatafasiri neno hapa kazi warudi darasani awatafasirie msamiati ili wasizidi kukoroga wanajiondolea heshima utumishi bora haiwezikani watu wazima na elimu zenu mkawa mnakaripiwa kila wakati razima nanyi musome nyakati hii nifedheha kubwa kutozingatia dhamana mliyopewa nakiongozi mkuu wa nchi jamaani mbele ya hadhala hua mnajisikiaje...?
Hahahaha’ mtu anajua samaki wangapi wamo ziwa victoria ‘ Na samaki waliozaa na wenye mimba ‘ utakuja kumdanganya kizembe ‘ ..! Hesabu za nyumba huwa zinajionyesha zenyewe ‘ kuweni makini na Mh Rais ‘ msimdanganye mtaondoka...!
Uyu mzee mimi niupinzani ila uyu mzee kikwel nampenda namkubali ila watu wake tu cwapendi maana wanapenda sifa wanamtia doa ila magufuli sifa yake moja humuibii kwenye maswala ya ujenzi
This guy he didn't skip classes, hakufanyiwa mitihani huyo, wala hakufanyiwa assignments, leo kuna vibonde wengi wana degrees za kudanganya, aibu kabisa
Wabongo vichwa ngumu yani bado mpaka Mzee JPM bado wanataka kumpiga, nimechoka mwachie baba awatumbue mpaka wakae sawa.... na wata change tu kamatia hapo hapo baba.....
Watendaji wa serikali mna nini kinawshinda nini kufanya kazi bila kuiba inamaana hamjui izo pesa za wananchi au mnadhani nyie peke yake ndio mnafaa kufanya izo kazi acheni wizi
Meanwhile, the Kenyan President and Governors and the Vice President pride themselves in officiating the opening of toilets and mud classrooms for billions of KSH. I pray to God our nation gets a Magufuli also.
Mkenya na napenda Jpm...but sincerely speaking that house could cost that amount. It has a nice finishing plus we don't know the quantity of interior. It's unfair to do such kind of evaluation without considering the quantity of interior finishing
Huyu Wetu Hapa Kenya Hana Analo Tadhmini Kila Uchao Yeye Ni Mikopo Kutulimbikizia Madeni Sisi Wakenya ...Watanzania Mwenyezi Mungu Amewabariki Kuwajalia RAIS Muwandilifu ..Amna Madeni Pesa zinapatikana ndani ya nchi na Kufanya Miradi Mikubwa Ajabu Sembuse siyee Wakenya Mikopo Madeni Ya Mabillioni ya Pesa MIRADI YOTE HEWA Pesa Wamezipora.. Viingozi MAJAMBAZI KENYA..
rakini uyo anabatimbaya mm nashaga sana utasikia shule inajengwa milini miambiri arafu madarasa mawili najiurizaga jibu sipati mbona era nyingi sana rais uriangarie nairo
Mh Rais najisikia proud kuwa na kiongozi Kama wewe mwenye akili Sana. Safi Sana Mh Rais wetu, jamani watanzania Mimi naona hakuna haja ya kampen Wala uchaguzi, Kama kiongozi tumeshampata wa kujivunia kabisa Sasa tunataka kuchagua nini? Rais JPM ni Rais anaekubalika na kila mtu tena bila kupingwa tumuache aendelee kuikomboa Tz yetu na kuipa maendeleo ili tuzidi kupata heshima.
Daah! He is no more😭😭 I can't measure the pain am feeling!! This was only president I admired in Africa!!!
Baba Magufuli ungekuwapo tangu 1961 ungekuta Tz Kama ulaya.
Rais upo vizuri 👍 simple mathematics hakika 🙆🏽♀️
Hotuba za rais Magufuli zinafariji ,zinanifanya niipende nchi yangu Sana ,Asante Mungu kwa kumleta huyu mtu.
TUNAOMBA MUNGU KATBA IBADILISHWE HUYU RAIS MUNGU NDIO KATUTUNUKU AFIE MADALAKANI MAGUFULI OYEEEEÉÉEEÉEEEEEEEÉEEEEE
Yes
Masikin pole ndg yangu na kafariki ajamaliza MUDA wake nimeumia Sana nimelia sanaaa kumpoteza baba yetu😭😭😭
@@glorykarim1570 may his soul rest in peace 😪😪
😪😪 R.I.P bulldozer
God bless you, Kura yangu chukua💝💝💝💝💝💖💖💖
Magu we nomaaaaaa!!!
safi sana
Hatutapona madonda ya maumivu ya kutuacha pekee yetu kweliiii mungu umetuumiza Sana juu ya baba yetu huyuuu
mungu akupe maisha rais wetu
Aisee rais tunae😆😆
Sio Rais Ni shidaaa Rais,dunia nzima hakuna km JPM,na hakuna kwenda kwa wazungu wasituulie bure RAIS WETU JPM💪💪💪💪💪💪
Ila kama thamni inajumuisha na faniture.Sio mbaya sana.Isitoshe taratibu zote za ununuzi na vifaa huwa tofauti kidogo na ukijenga personally.
@@saidnassoro9562 sikiliza thamani ya jengo,, , fanya tathmini ya jengo, , na tathmini ya furniture, bado upigaji upo kama tathmini ya pili italetwa utajionea
Baba Magufuli, mbona macho mekundu hivi? hakikisha unapata usingizi wakutosha baba yetu maana hizi kazi zisijekukuchosha sana ukaanguka...uso umejaa alafu macho kidogo mekundu alafu nguzi kama imekuwa wekundu flani..jemedari wetu jmni anachoka sana,,halali..eh Mungu wetu Tunakushukuru kwa yote unyotufanyizia pia tunaomba Uwakumbuke viongozi wetu nakuwalinda Amen
Kama ulikuwa kwenye akili yangu. Niliwaza hivyo. Apate muda wa kupumzika amekuwa bize sana
@@elisantej5512 yaani kaka yangu adi huruma...kumbe nawe umeona boss wangu? hatari kweli. Mungu Amtie nguvu tuu
Mungu amlinde Raisi wetu. Kajitolea kwa watanzania
@@elizabethbaba8425 Kwa kweli
Mungu akutunze jpm
Ndio makufuli sawasawa mie ndio nikakutilia kura yangu kabisa mungu akuweke makufuli oyeeeee
Magufuli mungu akubariki sana baba kweli wewe ni jembe chapa kazi kura yangu kwako
mungu akuongeze raisi wetu
Hahahaha Bwana ni kiboko yao we love u jp u are very geniuses
Rais Bora bara Africa na duniani kote hongera mh:JPM
Can you imagine mtu anaiibia takukuru yaaan jengo la kupambana na rushwa limejengwa Kwa rushwa tz sihami
Mbuge chunga nyota zako mkuu😂😂
naidwa masoud magufuri ww top nimekukumbar baba angu
Magufuli 🔥🔥🔥(love you Mr President)
Exallent
Muheshimiwa rais ni lini darasa la 7 tutapata kz selikarin ???lianglie hili muheshm Kuna taalama km udereva sizan km utaitj elim y from four
Maguuuuuuuufuuuuuuuliiiiiiiiiii kura yangu chukua aiseee ww ni kiongozi bora kabisa
Mzee hata za kwenye kisosi??? Dah 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa nn kura yangu ni sikupe 2020 tena mapema
Wapeleke wote ndani
Anajua mpaka idadi ya dagaa
Hamkustukia hilo
Sema baba sema. Mungu yupo nawe
Apo ndio tunapata somo la hesabati maana hata nondo ikibaki inajulikana
Mashallah yani uyo ndio kiongozi wa kuigwa mungu akulende raic magufuli yani apo jembe hilo 😀
Aliposema hapa kazi tu watu wengine walidhani anakuja kufanya masiala.
Chezea magu ww
Kweli
Exactly. In reality
Wanajingata Leo hadi aibu. Ngumu kumeza rahisi kutema.
Hatakama wameiba kweli sawa lakin milion60 hiyo nyumba hujeng miaka mia
Duuuuh huyu mtu huyu Mungu katupa aiseee hongera Magu
Nachojuta nilichelewa kukujua ubora wako! Honestly, saizi tumebaki na ngonjela tuu
Da?! Tundu una lakusema hapo?? Umeona hizo hesabu??? Aloo!!
Hahah...."takukuru ng'ata"
Jamaica alikua mamba sna
PCM ya rais wetu sio ya kuunga unga ya Ukwel
Kama takukuru nao ni wezi, huko kwingine si ndio balaa
Vifaa vimepanda beiii
Baba 2nakuelewa
Mbona hauji Moshi baba
Yani akija huku Moshi kuna madudu ya kutosha
Mi nashindwa hata kumuelewa.cjui mosh tulimfanya nn huyu jamaa
Njoo baba tunakero,tumekereka ,Bora umetuondolea Kipe aende mwanakwenda,hata kwao hawampendi
Mimi hata kama umekufa naangalia video zako nakupenda rais wangu na mungu anajua nakupenda sana.
Yn mm siachagi kuangalia
Hata Mimi Rafiki yangu kati hotuba zake ninazozipitia sana
Watendaji mnamchosha rais wetu alishakuwa waziri Wa ujenzi. Hadanganywi
Engineering President 🏅🙏 when I listened to opposition parties policies in the year 2015 during campaign I knew it was difficult to implement but now my eyes is big as his excellence Magufuli doing things with no delay and by Tanzanian taxes, this is wonderful God bless you Mr President my vote u had already got 🏅🙏💥
My almighty God bless you Mr President Magufuli
magu ni mwalimu professionally kaka.sio engineer. Ndio maana anatumia taaluma ya ualimu za masomo ya philosophy & psychology, experience ya kazi na competence kuwaambua watu.
Magu Alisha sema mapema kuwa hata uloge vp atajua tu ukwel Sasa mheshimiwa mbuge apo umeumbuka uyo mzee Ni mjanja kuliko nyie hahah
Daa kweli aisee
Jamani uyo aibiwi mnajizaliliisha buree na kujiweka kwenye wakati mgumu
Yani watumishi wa umma sijui wana matatizo gani yani wao wizi tu ndio wana jua wao wakifukuzwa kazi wana lalamika
True
Wakifukuzwa wanaanza kulalamika Rais dikteta hana Democrasia mwee
Mweeee hivi unaiba pesa za Magufuli unataka nn wewe kama siyo kuumbuka 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 hapa tumeliwa, muwe makini na huyu mtu jamani haibiwi,takukuru ng'ata 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwli kabisa
Ngataa
@@stevenmaketa8051 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Magufulification Mathematics calculated
It means (ma ma can).
Ma ma ca
Wanaweza wakawa wamepiga Kama million 40 hivi coz hizo gharama ni pamoja na samani.
Ila am sure ingekuwa ni awamu ya 4 au 3 ungesikia zimetumika billion 1.2 haki ya nani...!
Awamu zilizopita wafanya Kazi wa umma walikuwa wanapiga hela...!
Hiyo nyumbani mpaka huo muonekano wa ndani na nje million 50 0r 60
Magufuri mimi nakupenda sana unanikosha sana na maneno yako ya ujasiri hakika huogopi mtu kabisa. Mungu akupe maisha marefu ktk utumishi wako.
Hongera mheshimiwa rais bado watendaji wako hawajatafasiri neno hapa kazi warudi darasani awatafasirie msamiati ili wasizidi kukoroga wanajiondolea heshima utumishi bora haiwezikani watu wazima na elimu zenu mkawa mnakaripiwa kila wakati razima nanyi musome nyakati hii nifedheha kubwa kutozingatia dhamana mliyopewa nakiongozi mkuu wa nchi jamaani mbele ya hadhala hua mnajisikiaje...?
Nampenda rais maguful atar japo nachukia neno ccm ila me magu namchagua tena kutoka moyon we love you dady
Hii Tanzania yetu sio ya awamu zilizo pita hakika tunae jemedari JPM 🙏🙏
Eti munataka nikaongelee wapi oficeni😁😁😁
Aisee kweli hiki ni chuma! Mnh?? Ningekuwa najua hesabu kamahuyu jamaa??
daah kweli hili ni jembe , sijapata ona rais km huyu africa,
We lost 😭
Ndiyo rais pendwa dunia nzima MAGUFULI wetu MUNGU ajuzidishie
Amiin
@@sophiakatogoro2234 ap
Munguakuzidishie maisha marefu rais Magufuli
Hahahaha’ mtu anajua samaki wangapi wamo ziwa victoria ‘ Na samaki waliozaa na wenye mimba ‘ utakuja kumdanganya kizembe ‘ ..!
Hesabu za nyumba huwa zinajionyesha zenyewe ‘ kuweni makini na Mh Rais ‘ msimdanganye mtaondoka...!
😂😂😂😂
Hahahaha! Hatari sana
Hakika
Wanakuja kumdanganya kwenye tofali znazohesabika😂😂😂😂😂
🤣
Uyu mzee mimi niupinzani ila uyu mzee kikwel nampenda namkubali ila watu wake tu cwapendi maana wanapenda sifa wanamtia doa ila magufuli sifa yake moja humuibii kwenye maswala ya ujenzi
Mpe kura aendelee kuwashikisha adabu wapenda vya bure
Huyu mzee hatari! 28 Oktoba 2020 ☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️100%
This guy he didn't skip classes, hakufanyiwa mitihani huyo, wala hakufanyiwa assignments, leo kuna vibonde wengi wana degrees za kudanganya, aibu kabisa
Ghai 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tutapate wapi kaa magu jamani tz Kyra kwa magu magu magufuli
Hata huku🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunatamani kuwa na raisi kama magu
Awajakuerewa bado.watanzania wamesha zoea.kufokewa.biraivo.awaendi.kabisa.atauyo baba.jeshi.ra.wananchi.wanariangusha.jamani.amujaerewa.bado.hona
Wabongo vichwa ngumu yani bado mpaka Mzee JPM bado wanataka kumpiga, nimechoka mwachie baba awatumbue mpaka wakae sawa.... na wata change tu kamatia hapo hapo baba.....
President teaching the engineer to do their BOQ...hehe...jamaani.
JPM is my hero. Hats off. RIP
Jamaa Nmeanza kumuelewa vyemaaaa ..... Sikupanga kupga kula lakini Ntakupgia Mzee wangu
Jembe la MATHEMATICS hudanganyi kitu hapo.
Wataelewa tu baba Magu. Mungu akuweke baba angu
Haukusema Mungu amuweke wapi...😜😜😜
Watendaji wa serikali mna nini kinawshinda nini kufanya kazi bila kuiba inamaana hamjui izo pesa za wananchi au mnadhani nyie peke yake ndio mnafaa kufanya izo kazi acheni wizi
Ifike mahari tujue uyuu mzee haibiwi,sasa watu hawaelewi yan
Meanwhile, the Kenyan President and Governors and the Vice President pride themselves in officiating the opening of toilets and mud classrooms for billions of KSH. I pray to God our nation gets a Magufuli also.
Mkenya na napenda Jpm...but sincerely speaking that house could cost that amount. It has a nice finishing plus we don't know the quantity of interior. It's unfair to do such kind of evaluation without considering the quantity of interior finishing
Kenyatta wa Kenya hako wapi askiye kiongozi kamili sio ufisadi
Mimi nipo Kenya ila natamani sana kurudi nyumbani nchi mla watu wake hii.yani hamna serikali inatafuna wananchi kama Kenya aisay
@@paulinemideva3591 Haujalazimishwa kukaa hapa
Kenyata nae Ng'ata....
Kwetu Kenya wanakunywa chai ya millioni nne pesa za Kenya. Hehehehe. Wezi tupu.
Rais wa kweli ndio atakikana hivyo
Mheshimiwa wewe ni nomaa sana..!! Hakika nakupa pongezi jinsi unavyo dhibiti mambo ambayo yalidhindikana
Yupo makini sana mungu ametupa rais
Acha tu jamani natamani aongoze milele
Kabisa
@milard ayo tufikishie salam zetu mueshimiwa tunamuitaj sana asiondoke
Nyumba 140ml na ukuta 1billion.Yaleyale ya kuuza ng'ombe na mbuzi kwa kesi ya kuku.
Mjomba itakuwa hom anaachaga hela ya wiki yaani simple mathematics hahahahahah
Hahahahahahah🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅
Aiseee uyu ndo RAISI WANGU KTK JAMUHURI NAYOIAMINI 🇹🇿💪
"Hapa tumeliwa"😆😆😆😆😆😆
takukuru leo wamejingata wenyewe
yaaani rais wa jamhuri yupo sawa kabisa wapigie hesabu za mabati na matufali hao wamezoea kuumiza wenzao
Si kweli hata kidogo, gharama ni zaidi ya milion 70, nje hapo ujenge kwa tofali mbichi
@@victorsanga2229 lkn ml 140 sasa inakuwaje
Huyu Wetu Hapa Kenya Hana Analo Tadhmini Kila Uchao Yeye Ni Mikopo Kutulimbikizia Madeni Sisi Wakenya ...Watanzania Mwenyezi Mungu Amewabariki Kuwajalia RAIS Muwandilifu ..Amna Madeni Pesa zinapatikana ndani ya nchi na Kufanya Miradi Mikubwa Ajabu Sembuse siyee Wakenya Mikopo Madeni Ya Mabillioni ya Pesa MIRADI YOTE HEWA Pesa Wamezipora.. Viingozi MAJAMBAZI KENYA..
Kwel kiongoz tunaye 😂 mtaisoma namba,,,,,,Hatanganyw ktu, Asantee Sanaaa baba Magufuri 🙏
Wewe ni Raisi ambaye Mungu baba ametupatia asee haijawahi toke tangu mwalim baba wa taifa aondoke
rakini uyo anabatimbaya mm nashaga sana utasikia shule inajengwa milini miambiri arafu madarasa mawili najiurizaga jibu sipati mbona era nyingi sana rais uriangarie nairo
Mpe hii kazi Mh Agrey Mwanry akusaidie anaweza sana hakika hatutaibiwa tena.
Mh Rais najisikia proud kuwa na kiongozi Kama wewe mwenye akili Sana.
Safi Sana Mh Rais wetu, jamani watanzania Mimi naona hakuna haja ya kampen Wala uchaguzi,
Kama kiongozi tumeshampata wa kujivunia kabisa Sasa tunataka kuchagua nini? Rais JPM ni Rais anaekubalika na kila mtu tena bila kupingwa tumuache aendelee kuikomboa Tz yetu na kuipa maendeleo ili tuzidi kupata heshima.
Yaan unaanzaje kudanganya hichi kichwa maana anakuumbua hapohapo kabla hata ujadanganya yeye kashaelewa mchezo
Unamuibia huyu jamaa unatafuta nini sasa kama sio kula ugali maharage tena ambayo hayajaungwa...!
Kumbe kuzidisha bei ni kawaida hata kwa TAKUKURU. MTULINDE TUNATEGEMEA MTOKOMBOE.
That's my president Mr number(mathematics) best president ever
Very proud being with such kind of president magu ur no1 in this world 🇹🇿🇹🇿
asee big up....takukuru ng'ata "nimeipenda sana"
Yani hapo mh raisi upo makini sana kwakweli wewe ni jembe, kwa mahesabu tu uko makini sana,
Et kuzungusha ukuta au fens Bilioni moja hawajamaa mungu anawaona
Piga hesabu upande huu na upande hule, jumlisha, Takukuru Ng'ataa😀😀😀
Baba tunanyoooka baba endelea kutunyooxhaa
Baba magufuli msema kweli mpenzi wa Mungu nakupenda baba magu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kura yangu chukua