I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
kiongozi bora huletwa na mungu,huyu mzee nimzalendo,pia nimkali sana. kwahapa tulipofika tanzania tunahitaji rais wa dizaini hii,umenishawishi na kura yangu ikuongezee ushindi JPM
Tuache mbwembwe, huyu ni kiongozi bora.... anae bisha sitaki ubishi wakati you tube ni watunza kumbukumbu anagalia mwenyewe..... waziri gani amejituma kama yeye Mh. Magufuli? Amefanikiwa kuninasa na kura yangu ameinasa pia, nimejiridhisha na utendaji kazi wake
Hapo tu ni wazir angalia anavyo jituma wanao muona anatumika madalaka vbaya watakuwa wanamkosea sana yy ndio utendajiwake huwo apend kuleta siasa kwenye ukwel yy kaz tu 👍
Mm natazama akiwa hatunaye tena..... hawa watu wa aina hii wapo wengi sana nchi hii ILA kuwapata ni kazi sana kutokana na mfumo wa kujuana uliokithiri nchi hii..... Hawa watu huzaliwa hivyo hivyo kama walivyo wala sio kitu cha kufundishwa au kuadopt, when you adopt things, later on tends to filter out and things remain same..... But huu mwamba ukianza kazi walisema nguvu ya soda, baadae wakakubali, wakasema vyuma vimekaza, baadae wakazoea wakafurahia maisha, wakasema atapoa, yeye akazid kuchemka tu mpk wakawa wanaomba poh😂😂😂... Hizi ni karama mtu anazaliwanazo...MUNGU AMUWEKE MAHALI PEMA PEPONI DR JPM
Nimefatilia crip nyingi sana za Magufuli amin nawambia huyu mtu hakuwa mtu wa kawaida aliandaliwa na allah hakika kwanza hajawah acha kuvaa beji ya africa kwenye koti lake la suti kama alivyokuwa gadafi
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Lala salama magufuri
Nione like za kamanda wetu R.I.P
Wanaotazama kazi za huyu jemedari wakati yupo mwanza kuagwa nipe like zoote,.. R.I.P our president
We are so many
Anaye muangalia huyu mwanaume wa shoka 2019 alike hapa
Mtambo huu
huyu sio wa sport sport
Ajanza leo😂😂
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
Tulioangalia mwaka 2024 tulike hii...
Tutakukumbuka Daima Mzee Magufuli ulisimamia ukweli na hukutaka kuyumbishwa na mtu yeyote.
Rest easy our Hero JPM ♥️♥️♥️
jamani nipo apa 2021 an dah naumia sana 😢😢😢
Da Mungu hii Damu ispotee bure usikae kimya. Alikua anapenda Watanzania Siku nyingi
Ubarikiwe Babaangu
Ambaye anafuatilia 1 Julai 2020/shughuli za Magufuli Alisa waziri was ujenzi. Gonga like.
My Fellow Tanzanians, let’s support our President.
Pumzika Kwa amani Dk John POMBE JOSEPH Magufuli Mungu Akupe pumziko la milele.
Mungu akulaze mahari pema pepon msema ukweli,mchapa kazi mungu akutangulie🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Utabaki kuwa rais wangu milele we baba ulale Salam mpendw 🙏🙏😭😭😭😭
kiongozi bora huletwa na mungu,huyu mzee nimzalendo,pia nimkali sana. kwahapa tulipofika tanzania tunahitaji rais wa dizaini hii,umenishawishi na kura yangu ikuongezee ushindi JPM
NDO MAANA HUWA TUNASEMA MTU UWA HAFI MOJA KWA MOJA. AKIFA HUWA ANA KUWA CONVERTED KWA NJIA NYINGINE. " NYERERE IS BACK "
Tuache mbwembwe, huyu ni kiongozi bora.... anae bisha sitaki ubishi wakati you tube ni watunza kumbukumbu anagalia mwenyewe..... waziri gani amejituma kama yeye Mh. Magufuli?
Amefanikiwa kuninasa na kura yangu ameinasa pia, nimejiridhisha na utendaji kazi wake
+petro mwamlima MATATIZO WAKO wangapi kama yeye CCM? Kazungukwa na majambazi tuu. Atafukuza kila mtu.
😂😂😂😂 safi sana
Wewe Rais tulikutarajia Hawa kunguni wanaongata makario Yao acha waendelee wewe chapa kazi mungu akulinde
Anayeangalia hii Video Dec 23/2023 plz like hapa 😢
Imagine...wakati huu Dkt. Magufuli alikuwa tu waziri
imagine!!!
Huyu Mzee namkubali sana HAPA KAZI TU
Aisee kumbe mzee alianza ukali na ufuatiliaji wa mambo zaman sana
He was a pure African who loved his continent with her people
Kumbe toka kitambo mkuuu uko sawa.
Ulitisha na unaendelea kutisha ntaendelea kuangalia RUclips kazi zako za nyuma
Hapo tu ni wazir angalia anavyo jituma wanao muona anatumika madalaka vbaya watakuwa wanamkosea sana yy ndio utendajiwake huwo apend kuleta siasa kwenye ukwel yy kaz tu 👍
you deserved to be a president Dkt. Magufuli
Dah😢sidhan kama tutapata jembe kama dk magufuli tena... Alikua na upekee wake.. Mungu amlaze mahali pema ameen!!
Rais J.M.P nimzalendo wa ukweli Tz sijawahi kuona kwa kweli kwa sasa.
good mtafiti
mweshimiwa jpm we nikiongozi2 hakuna mwingine uko juu big up kwakweli
JPM waonyeshe jinsi ya kufanya kazi mawaziri utakaowachaguwa!
KAMANDA ON ACTION
Jaman jaman jaman
We will forever miss you President JPM 💔
Huyu ni kiongozi
Dah rest in peace magu
Inauma sana huyu mzee daaaa
mh. jpm mungu aendelee kukulinda una moyo wa dhati kuleta mageuzi ktka taifa.
Gd
Huyu jamaa anauchungu na nchi hii Mungu amlinde
Kabisa hii ni zawadi ya watanzania kutoka kwa mungu.
mabadiliko ya kweli yanatoka kwa magufuli. Sina shaka na ww pia kura yangu umeipata.
Pumzika kwa amani JPM. Umefanya kazi kubwa nchi hii
Mh rais weng wetu tumerud ccm kw ajir yko hongera sana
Hapa alikua waziri
Kiongozi bora
Magufuli 💯💪🏻🇹🇿❤️
Huyu ndiye Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli tumsaidie huyu ndiye Rais wetu.
jpm nakuibiya Siri njoo kwenye barabara ya mtwara Tandahimba yani uone vituko uku
He is a competent leader since born
Sanasana sasa wewe ndo mwenye maamzi njoo hata huku kigoma uone Mzee mambo hayaendi mkubwa
Tbc muwe nakipind maalumu chukuen krip zake toka nyuma akiwa wazir watu wajifunze cyo mpaka mtu afe ndo mwanze kutuwekea maklipu nawaombeni
comment yako inanitoa machozi 😢
Hata mimi naumia sana
Najua wew ni jembe la kazi na ndo maana nilikupa kura yangu
Kweli baba mungu alikuteuwa uwe mkweli na mkombozi wa Tanzania Tanzanian owe owe
Baba ulikuwa mwamba hata kabla ya kuwa Rais. Nilikukubali ndani ya moyo wangu. Rest in peace daddy.,💔💔💔🙆🙆
Mm natazama akiwa hatunaye tena..... hawa watu wa aina hii wapo wengi sana nchi hii ILA kuwapata ni kazi sana kutokana na mfumo wa kujuana uliokithiri nchi hii..... Hawa watu huzaliwa hivyo hivyo kama walivyo wala sio kitu cha kufundishwa au kuadopt, when you adopt things, later on tends to filter out and things remain same..... But huu mwamba ukianza kazi walisema nguvu ya soda, baadae wakakubali, wakasema vyuma vimekaza, baadae wakazoea wakafurahia maisha, wakasema atapoa, yeye akazid kuchemka tu mpk wakawa wanaomba poh😂😂😂... Hizi ni karama mtu anazaliwanazo...MUNGU AMUWEKE MAHALI PEMA PEPONI DR JPM
ndo maana nilimpgia kura...cz alionekana before..mungu azidi kumbariki raisi wetu
Tutakukumbuka dingii
Mzee huyu ana uchungu xana na hii nchi
Mawaziri wa sasa, hebu jaribuni kufuatilia clip za Mh. Rais Magufuli akiwa waziri.
Najivunia kuwa Na Rais anayepigania maslahi ya watanzania,hakika watanzania tupo nyuma yako Mh Rais Magufuli.
Kikwete mwenyewe alimpa jina lá tingatinga gurubosa huyu mheshimiwa anamisimamo ya kuitakia maendeleo Nchi yetu ya Tanzania tangu akiwa Waziri.
mungu akulaze salama
Daaaaa jamaa kalala jamani R I P
Jembee letu hilii
Nimefatilia crip nyingi sana za Magufuli amin nawambia huyu mtu hakuwa mtu wa kawaida aliandaliwa na allah hakika kwanza hajawah acha kuvaa beji ya africa kwenye koti lake la suti kama alivyokuwa gadafi
Nipo hapa 8/9/2024 namuangalia mwanaume
njoo kwenye barabara ya mtwara Tandahimba uone vituko wameanza kujenga nyumba zao za kukaa Na bati juu zimeaza kuingia kutu bado barabara aijaisha
Hakika ulistahili Viatu hivi Baba ,Kanyaga twende.!
hapo alikuwa ni waziri tu
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
jembe sana mhe. Magu
Message sent and message delivered 😂😂😂😂😂
Safi sana shujaa wetu
Ilikua nzuri
Daima utabaki mioyoni mwetu
Jembe kama Jembe, Magufuli the boss
Wewe shikamooo!!
is the best leader ever but is it 30 ft or 30m road reserve ?
Rest in peace magufuli ulikuwa jembe jwa ufisadi n nchj ilipata maendeleo
Hapa alikua waziri wa ujenzi ila hii dunia ina neema nyingi sana neema ambazo huwezi kuziona mpaka neema hizo zikutoke
Ulidesrv siku nyingi kwa utendaji
huyu ndie ataleta mabadiliko
Hongeramaguful
Cosmas ndo yule was vtc kwa askofu?
hongera mh rais
Magu kama mag
Jamaa uyo alieshika cm simuelewi anampa lais cm au anamrekon mbona hana heshima
neyma mchau hahahahahaha
Alikuwa waziri kipindi hicho
2024
Uju jamaa alikua wapekeake
Kumbe kutoka zaman ulikuwa c mbabaishaji!!!
Pumzika Rais wa watu
Alikua mtu wa kazi kweli kweli lkini shida alokua nayo ni ukatili na uuwaji hakutaka kukosolewa
Mungu hafundishwi alijua alichokipanga.
😭😭😭😭 leo umeenda zako
Tuendelee kupata madini 2022✅️✅️ like hapa🔩
Du hatar iiiiiiiiiiiiiiiiiii magu
2024❤❤❤
Huyu jamaa kumbe mwendo wake ni huohuo?hana mchozo toka kitambo
Big up
Kura yangu haikupotea 2015
Nomaaa sana huyu mwamba
Rais saaafiii mno. Angekuwa China angenyongwa
Dah! Kwakwel huy rais habatis,
Nabii hapati heshima nyumbani kwao. Wema umeutenda malipo ni kejeli!
Namuona injinia nyuma pale.
Inauma asikwambie mtu