DR MAGUFULI AKAGUA NDUNDU SOMANGA 65 KM I

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • DR MAGUFULI AKAGUA NDUNDU SOMANGA 65 KM II

Комментарии • 137

  • @alphachanneltz2668
    @alphachanneltz2668 3 года назад +38

    Lala salama magufuri
    Nione like za kamanda wetu R.I.P

  • @bigdreamer8857
    @bigdreamer8857 3 года назад +49

    Wanaotazama kazi za huyu jemedari wakati yupo mwanza kuagwa nipe like zoote,.. R.I.P our president

  • @abednego3876
    @abednego3876 5 лет назад +102

    Anaye muangalia huyu mwanaume wa shoka 2019 alike hapa

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 года назад +12

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

  • @rajabomary4222
    @rajabomary4222 6 месяцев назад +6

    Tulioangalia mwaka 2024 tulike hii...

  • @gitiganiibrahimdanhi7692
    @gitiganiibrahimdanhi7692 3 года назад +15

    Tutakukumbuka Daima Mzee Magufuli ulisimamia ukweli na hukutaka kuyumbishwa na mtu yeyote.
    Rest easy our Hero JPM ♥️♥️♥️

  • @carubryant6471
    @carubryant6471 3 года назад +13

    jamani nipo apa 2021 an dah naumia sana 😢😢😢

  • @claramhina9605
    @claramhina9605 3 года назад +8

    Da Mungu hii Damu ispotee bure usikae kimya. Alikua anapenda Watanzania Siku nyingi

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 8 лет назад +14

    Ubarikiwe Babaangu

  • @kishimbamusic5116
    @kishimbamusic5116 4 года назад +6

    Ambaye anafuatilia 1 Julai 2020/shughuli za Magufuli Alisa waziri was ujenzi. Gonga like.

  • @uwezo86
    @uwezo86 5 лет назад +15

    My Fellow Tanzanians, let’s support our President.

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko2546 3 года назад +6

    Pumzika Kwa amani Dk John POMBE JOSEPH Magufuli Mungu Akupe pumziko la milele.

  • @RD-ml7pi
    @RD-ml7pi 3 года назад +5

    Mungu akulaze mahari pema pepon msema ukweli,mchapa kazi mungu akutangulie🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @saimonpeter3788
    @saimonpeter3788 3 года назад +15

    Utabaki kuwa rais wangu milele we baba ulale Salam mpendw 🙏🙏😭😭😭😭

  • @lawrencem3682
    @lawrencem3682 9 лет назад +32

    kiongozi bora huletwa na mungu,huyu mzee nimzalendo,pia nimkali sana. kwahapa tulipofika tanzania tunahitaji rais wa dizaini hii,umenishawishi na kura yangu ikuongezee ushindi JPM

  • @marcodominico9503
    @marcodominico9503 5 лет назад +5

    NDO MAANA HUWA TUNASEMA MTU UWA HAFI MOJA KWA MOJA. AKIFA HUWA ANA KUWA CONVERTED KWA NJIA NYINGINE. " NYERERE IS BACK "

  • @petromwamlima4120
    @petromwamlima4120 9 лет назад +42

    Tuache mbwembwe, huyu ni kiongozi bora.... anae bisha sitaki ubishi wakati you tube ni watunza kumbukumbu anagalia mwenyewe..... waziri gani amejituma kama yeye Mh. Magufuli?
    Amefanikiwa kuninasa na kura yangu ameinasa pia, nimejiridhisha na utendaji kazi wake

    • @eliasnavytanga
      @eliasnavytanga 9 лет назад +2

      +petro mwamlima MATATIZO WAKO wangapi kama yeye CCM? Kazungukwa na majambazi tuu. Atafukuza kila mtu.

    • @masasirichard2709
      @masasirichard2709 5 лет назад +1

      😂😂😂😂 safi sana

  • @idrissapetro6515
    @idrissapetro6515 5 лет назад +12

    Wewe Rais tulikutarajia Hawa kunguni wanaongata makario Yao acha waendelee wewe chapa kazi mungu akulinde

  • @baloziwairamba7945
    @baloziwairamba7945 9 месяцев назад +3

    Anayeangalia hii Video Dec 23/2023 plz like hapa 😢

  • @chrismutisya
    @chrismutisya 8 лет назад +24

    Imagine...wakati huu Dkt. Magufuli alikuwa tu waziri

  • @zachariasinda4844
    @zachariasinda4844 9 лет назад +23

    Huyu Mzee namkubali sana HAPA KAZI TU

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 7 месяцев назад +1

    Aisee kumbe mzee alianza ukali na ufuatiliaji wa mambo zaman sana

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka1239 7 месяцев назад +1

    He was a pure African who loved his continent with her people

  • @saidiomali3324
    @saidiomali3324 5 лет назад +10

    Kumbe toka kitambo mkuuu uko sawa.

  • @williamenos7641
    @williamenos7641 6 лет назад +11

    Ulitisha na unaendelea kutisha ntaendelea kuangalia RUclips kazi zako za nyuma

  • @hamismbotoni5531
    @hamismbotoni5531 5 лет назад +6

    Hapo tu ni wazir angalia anavyo jituma wanao muona anatumika madalaka vbaya watakuwa wanamkosea sana yy ndio utendajiwake huwo apend kuleta siasa kwenye ukwel yy kaz tu 👍

  • @yohanamaiga3031
    @yohanamaiga3031 6 лет назад +11

    you deserved to be a president Dkt. Magufuli

  • @smstore5535
    @smstore5535 3 года назад +4

    Dah😢sidhan kama tutapata jembe kama dk magufuli tena... Alikua na upekee wake.. Mungu amlaze mahali pema ameen!!

  • @anthonykusita7102
    @anthonykusita7102 7 лет назад +13

    Rais J.M.P nimzalendo wa ukweli Tz sijawahi kuona kwa kweli kwa sasa.

  • @yustojastine9236
    @yustojastine9236 7 лет назад +11

    good mtafiti

  • @mariethapesha2845
    @mariethapesha2845 8 лет назад +8

    mweshimiwa jpm we nikiongozi2 hakuna mwingine uko juu big up kwakweli

  • @msafiriabdallah7648
    @msafiriabdallah7648 9 лет назад +14

    JPM waonyeshe jinsi ya kufanya kazi mawaziri utakaowachaguwa!

  • @mathiasbuyobe3512
    @mathiasbuyobe3512 7 лет назад +13

    KAMANDA ON ACTION

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 3 года назад +5

    Jaman jaman jaman

  • @geopolitics94
    @geopolitics94 3 года назад +6

    We will forever miss you President JPM 💔

  • @faustintour8513
    @faustintour8513 9 лет назад +17

    Huyu ni kiongozi

  • @ibrahimovicstanson3761
    @ibrahimovicstanson3761 3 года назад +8

    Dah rest in peace magu

  • @edwardedward2520
    @edwardedward2520 6 лет назад +7

    mh. jpm mungu aendelee kukulinda una moyo wa dhati kuleta mageuzi ktka taifa.

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 5 лет назад +4

    Huyu jamaa anauchungu na nchi hii Mungu amlinde

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 5 лет назад +6

    Kabisa hii ni zawadi ya watanzania kutoka kwa mungu.

  • @geraldjacksonmasalu4989
    @geraldjacksonmasalu4989 9 лет назад +11

    mabadiliko ya kweli yanatoka kwa magufuli. Sina shaka na ww pia kura yangu umeipata.

  • @martinswai8031
    @martinswai8031 3 года назад +4

    Pumzika kwa amani JPM. Umefanya kazi kubwa nchi hii

  • @salarytz6911
    @salarytz6911 5 лет назад +21

    Mh rais weng wetu tumerud ccm kw ajir yko hongera sana

  • @alfazaalhaji5988
    @alfazaalhaji5988 5 лет назад +8

    Kiongozi bora

  • @sameermilo2492
    @sameermilo2492 5 лет назад +6

    Magufuli 💯💪🏻🇹🇿❤️

  • @gideonkalumbu5220
    @gideonkalumbu5220 4 года назад +3

    Huyu ndiye Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli tumsaidie huyu ndiye Rais wetu.

  • @tzkwanza3861
    @tzkwanza3861 5 лет назад +7

    jpm nakuibiya Siri njoo kwenye barabara ya mtwara Tandahimba yani uone vituko uku

  • @hamismbwani4655
    @hamismbwani4655 6 лет назад +9

    He is a competent leader since born

    • @bundalamakanga9133
      @bundalamakanga9133 5 лет назад +1

      Sanasana sasa wewe ndo mwenye maamzi njoo hata huku kigoma uone Mzee mambo hayaendi mkubwa

  • @furahafedrick8501
    @furahafedrick8501 3 года назад +3

    Tbc muwe nakipind maalumu chukuen krip zake toka nyuma akiwa wazir watu wajifunze cyo mpaka mtu afe ndo mwanze kutuwekea maklipu nawaombeni

  • @mjuba
    @mjuba 5 лет назад +3

    Najua wew ni jembe la kazi na ndo maana nilikupa kura yangu

  • @jumakapo9914
    @jumakapo9914 5 лет назад +4

    Kweli baba mungu alikuteuwa uwe mkweli na mkombozi wa Tanzania Tanzanian owe owe

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 года назад +3

    Baba ulikuwa mwamba hata kabla ya kuwa Rais. Nilikukubali ndani ya moyo wangu. Rest in peace daddy.,💔💔💔🙆🙆

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 года назад +1

    Mm natazama akiwa hatunaye tena..... hawa watu wa aina hii wapo wengi sana nchi hii ILA kuwapata ni kazi sana kutokana na mfumo wa kujuana uliokithiri nchi hii..... Hawa watu huzaliwa hivyo hivyo kama walivyo wala sio kitu cha kufundishwa au kuadopt, when you adopt things, later on tends to filter out and things remain same..... But huu mwamba ukianza kazi walisema nguvu ya soda, baadae wakakubali, wakasema vyuma vimekaza, baadae wakazoea wakafurahia maisha, wakasema atapoa, yeye akazid kuchemka tu mpk wakawa wanaomba poh😂😂😂... Hizi ni karama mtu anazaliwanazo...MUNGU AMUWEKE MAHALI PEMA PEPONI DR JPM

  • @nuhakamgisha3505
    @nuhakamgisha3505 6 лет назад +5

    ndo maana nilimpgia kura...cz alionekana before..mungu azidi kumbariki raisi wetu

  • @dechardavid2555
    @dechardavid2555 Год назад +1

    Tutakukumbuka dingii

  • @allymkwepu7949
    @allymkwepu7949 5 лет назад +5

    Mzee huyu ana uchungu xana na hii nchi

  • @hojajmagingila1099
    @hojajmagingila1099 5 лет назад +9

    Mawaziri wa sasa, hebu jaribuni kufuatilia clip za Mh. Rais Magufuli akiwa waziri.

  • @paschalsamwel5921
    @paschalsamwel5921 5 лет назад +5

    Najivunia kuwa Na Rais anayepigania maslahi ya watanzania,hakika watanzania tupo nyuma yako Mh Rais Magufuli.

  • @man.lule.585
    @man.lule.585 5 лет назад +3

    Kikwete mwenyewe alimpa jina lá tingatinga gurubosa huyu mheshimiwa anamisimamo ya kuitakia maendeleo Nchi yetu ya Tanzania tangu akiwa Waziri.

  • @hasanelisha2576
    @hasanelisha2576 2 года назад +1

    mungu akulaze salama

  • @amangervacy879
    @amangervacy879 3 года назад +5

    Daaaaa jamaa kalala jamani R I P

  • @tugesyegemwakatumbula9857
    @tugesyegemwakatumbula9857 4 года назад +3

    Jembee letu hilii

  • @hassanlamata2312
    @hassanlamata2312 3 года назад +1

    Nimefatilia crip nyingi sana za Magufuli amin nawambia huyu mtu hakuwa mtu wa kawaida aliandaliwa na allah hakika kwanza hajawah acha kuvaa beji ya africa kwenye koti lake la suti kama alivyokuwa gadafi

  • @mohamedykabwanga1647
    @mohamedykabwanga1647 19 дней назад

    Nipo hapa 8/9/2024 namuangalia mwanaume

  • @tzkwanza3861
    @tzkwanza3861 5 лет назад +4

    njoo kwenye barabara ya mtwara Tandahimba uone vituko wameanza kujenga nyumba zao za kukaa Na bati juu zimeaza kuingia kutu bado barabara aijaisha

  • @lawarencemacheta7326
    @lawarencemacheta7326 5 лет назад +5

    hapo alikuwa ni waziri tu

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 4 года назад +1

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @yohanamaiga3031
    @yohanamaiga3031 6 лет назад +6

    jembe sana mhe. Magu

  • @material_liv4674
    @material_liv4674 5 лет назад +9

    Message sent and message delivered 😂😂😂😂😂

  • @joelnnko5578
    @joelnnko5578 6 лет назад +3

    Ilikua nzuri

  • @rutakihama3523
    @rutakihama3523 2 года назад +1

    Daima utabaki mioyoni mwetu

  • @georgekapongo962
    @georgekapongo962 4 года назад +2

    Jembe kama Jembe, Magufuli the boss

  • @mathiasnsegenelo7598
    @mathiasnsegenelo7598 5 лет назад +3

    Wewe shikamooo!!

  • @davidmihambo3051
    @davidmihambo3051 7 лет назад +3

    is the best leader ever but is it 30 ft or 30m road reserve ?

  • @HumphreyKarua
    @HumphreyKarua Год назад

    Rest in peace magufuli ulikuwa jembe jwa ufisadi n nchj ilipata maendeleo

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 4 месяца назад

    Hapa alikua waziri wa ujenzi ila hii dunia ina neema nyingi sana neema ambazo huwezi kuziona mpaka neema hizo zikutoke

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 3 года назад +1

    Ulidesrv siku nyingi kwa utendaji

  • @cosmaspeleka6767
    @cosmaspeleka6767 9 лет назад +8

    huyu ndie ataleta mabadiliko

  • @ibrahimkasimo7870
    @ibrahimkasimo7870 5 лет назад +1

    hongera mh rais

  • @fredycrisant2862
    @fredycrisant2862 4 года назад +2

    Magu kama mag

  • @neymamchau7311
    @neymamchau7311 6 лет назад +4

    Jamaa uyo alieshika cm simuelewi anampa lais cm au anamrekon mbona hana heshima

  • @MAGIDACHIMIJA
    @MAGIDACHIMIJA 5 месяцев назад +1

    2024

  • @naseebmshuzatz2224
    @naseebmshuzatz2224 3 года назад +2

    Uju jamaa alikua wapekeake

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 5 лет назад +1

    Kumbe kutoka zaman ulikuwa c mbabaishaji!!!

  • @denistarange5580
    @denistarange5580 3 года назад +2

    Pumzika Rais wa watu

  • @mamlee7983
    @mamlee7983 Год назад

    Alikua mtu wa kazi kweli kweli lkini shida alokua nayo ni ukatili na uuwaji hakutaka kukosolewa

  • @hindisaid2413
    @hindisaid2413 2 года назад

    Mungu hafundishwi alijua alichokipanga.

  • @cosmasmpwage2576
    @cosmasmpwage2576 3 года назад +2

    😭😭😭😭 leo umeenda zako

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez786 2 года назад

    Tuendelee kupata madini 2022✅️✅️ like hapa🔩

  • @shukurusaid2159
    @shukurusaid2159 6 лет назад +2

    Du hatar iiiiiiiiiiiiiiiiiii magu

  • @derickjuma4251
    @derickjuma4251 5 месяцев назад

    2024❤❤❤

  • @mhojamsafiri2273
    @mhojamsafiri2273 5 лет назад +3

    Huyu jamaa kumbe mwendo wake ni huohuo?hana mchozo toka kitambo

  • @vpangani1036
    @vpangani1036 6 лет назад +2

    Big up

  • @vladiminlenin8883
    @vladiminlenin8883 5 лет назад +1

    Kura yangu haikupotea 2015

  • @mabulamahozola5317
    @mabulamahozola5317 2 года назад

    Nomaaa sana huyu mwamba

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 5 лет назад

    Rais saaafiii mno. Angekuwa China angenyongwa

  • @vodaphone9825
    @vodaphone9825 3 года назад

    Dah! Kwakwel huy rais habatis,

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 3 года назад

    Nabii hapati heshima nyumbani kwao. Wema umeutenda malipo ni kejeli!

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 3 года назад

    Namuona injinia nyuma pale.

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 9 месяцев назад

    Inauma asikwambie mtu