Profesa Kabudi Arudi Mlimani, Ajaribu Kuelezea Hoja Yake ya 'Kutolewa Jalalani'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 май 2024
  • Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 22

  • @jonathanmlinda2580
    @jonathanmlinda2580 2 месяца назад +2

    Professor Kabudi, moja kati ya vichwa vizuri sana tulivyobarikiwa kuwa navyo, mtu anaka degree kake kamoja tu anakuja kumtukana prof 🙌

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 месяца назад +1

      Hivi ukiwa na degree zaidi ndiyo kusema unajua sana kuliko asiye na degree

    • @user-wc3hn4kt1x
      @user-wc3hn4kt1x Месяц назад +1

      Sana aiseee anajua sana

    • @jonathanmlinda2580
      @jonathanmlinda2580 Месяц назад

      @@FridayMwassa huo ndo ukweli, mwenye degree 3 huwez mlinganisha na mwenye diploma,

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda9450 2 месяца назад +3

    Professor majalala

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 2 месяца назад +2

    Keake kustaafu,ni kuwa jalalani!

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y 2 месяца назад

    Professor maneno. Professor ni utafiti wa kusaidia jamii

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 2 месяца назад

    Ahahahaaaa umetukumbusha mbali

  • @samsonsamwel8782
    @samsonsamwel8782 2 месяца назад

    #ProKajalal

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 2 месяца назад

    Mmmmh!!!!!😂😂😂😂

  • @ibnkhaldoun9694
    @ibnkhaldoun9694 2 месяца назад

    a.k.a MUHESHIMIWA MUNGU”

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 2 месяца назад +4

    Kabudi huaminiki!,utaremba kwa misamiati mingi, lakini wewe hufai kuwa kiongozi!

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 2 месяца назад

    Ukimdharau Proffessor Kabudi. Jitafakari

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y 2 месяца назад +2

    ameudhalilisha sana uprofesa wake na ubunge wake fake jitu la ovyo sana binadamu unamwabudu binadamu mwenzako kwa sbb amekupa cheo tu

    • @gallusmbaga5522
      @gallusmbaga5522 2 месяца назад

      Ukiwa na moyo wa kunyenyekewa hutaweza kushangaa maneno hayo ya unyenyekevu aliyoyasema Prof. Kabudi.
      Tuwe wanyenyekevu

  • @abelabba7809
    @abelabba7809 2 месяца назад

    Usomi wa aina hii is useless. Uchawa. Useless

    • @gallusmbaga5522
      @gallusmbaga5522 2 месяца назад

      Usomi wenye kiburi haukufikishi popote. Kuwa mnyenyekevu hakuondoi Kariba Yako ya usomi.

  • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
    @yosephatMasanyiwa-oh1rl 2 месяца назад +3

    Rudi jalalani

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 2 месяца назад

      Ukishatoka umetoka boss😂😂

  • @hamisimahenge5807
    @hamisimahenge5807 2 месяца назад

    Kusema ukweli, Prof. Kabudi aliidhalilisha taaluma yake