Profesa Kabudi Arudi Mlimani, Ajaribu Kuelezea Hoja Yake ya 'Kutolewa Jalalani'
HTML-код
- Опубликовано: 20 май 2024
- Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Professor Kabudi, moja kati ya vichwa vizuri sana tulivyobarikiwa kuwa navyo, mtu anaka degree kake kamoja tu anakuja kumtukana prof 🙌
Hivi ukiwa na degree zaidi ndiyo kusema unajua sana kuliko asiye na degree
Sana aiseee anajua sana
@@FridayMwassa huo ndo ukweli, mwenye degree 3 huwez mlinganisha na mwenye diploma,
Professor majalala
Keake kustaafu,ni kuwa jalalani!
Professor maneno. Professor ni utafiti wa kusaidia jamii
Ahahahaaaa umetukumbusha mbali
#ProKajalal
Mmmmh!!!!!😂😂😂😂
a.k.a MUHESHIMIWA MUNGU”
Kabudi huaminiki!,utaremba kwa misamiati mingi, lakini wewe hufai kuwa kiongozi!
Ukimdharau Proffessor Kabudi. Jitafakari
Professor wa jalalani
ameudhalilisha sana uprofesa wake na ubunge wake fake jitu la ovyo sana binadamu unamwabudu binadamu mwenzako kwa sbb amekupa cheo tu
Ukiwa na moyo wa kunyenyekewa hutaweza kushangaa maneno hayo ya unyenyekevu aliyoyasema Prof. Kabudi.
Tuwe wanyenyekevu
Usomi wa aina hii is useless. Uchawa. Useless
Usomi wenye kiburi haukufikishi popote. Kuwa mnyenyekevu hakuondoi Kariba Yako ya usomi.
Rudi jalalani
Ukishatoka umetoka boss😂😂
Kusema ukweli, Prof. Kabudi aliidhalilisha taaluma yake