Masaa 54 ya utekaji wa ndege ya Air Tanzania-1982/AirTanzania plane hijack 1982

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Fuatilia kisa hiki cha vijana wa kitanzania walioteka ndege ya shirika la ndege la Tanzania kutoka walipotokea katika uwanja wa Mwanza mpaka kwenda kumalizia jaribio lao la utekaji jijini London. Ni tukio lililoteka vyombo vyote vya habari mwaka 1982.
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved

Комментарии • 78

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 5 месяцев назад +9

    Walifungwa jela uingereza. Baada ya kifungo walirejeshwa Tanzania ambako walifungwa pia. Baada ya kifungo waliomba msamaha na baadhi wakawa makada wa CCM. Mfano Yasin Memba.

    • @laurad32
      @laurad32 2 месяца назад

      Ahaaa kumbe hlf na ukada akapewa duh

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 2 года назад +21

    TBC wameificha hii ishu, kumbe kuna mambo mazito yamewahi kutokea Tanzania

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Год назад +8

    Baba yang alipenda kunihadithia story hii hakika alinihadithia ukweli RIP my dad John bidya this is your utube account ilove u..

  • @damianmstambi848
    @damianmstambi848 Год назад +7

    Kumbe kulikuwa na vijana wanajielewa kipindi hicho si saiv wote wamekuwa machawa serikal na viongozi wake wamekuwa washenzi wanafanya watakayo wao

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 8 месяцев назад +1

      Sababu zilizofanya wateke ndege wakati huo kwa sasa hazipo tena ndio maana memba alirudi na kuwa kada wa ccm,

    • @clousgabriel7713
      @clousgabriel7713 3 месяца назад

      😂

  • @jacksonmathayo3859
    @jacksonmathayo3859 10 месяцев назад +4

    Mmenikumbusha Mbali hongera sana,Nchi ilitaharuki wakati huo

  • @user-kx4wd5vb4j
    @user-kx4wd5vb4j 3 месяца назад +3

    Mbona hii issue kwa huku Zanzibar inafahamika kitambo tu.na utekaji wa ndege kwa Tz sio mara moja tu

  • @mwanamvuaally3570
    @mwanamvuaally3570 3 месяца назад +3

    Walipewa uraia ungereza kuna hawa wengine vijana wakizanzibari mpaka leo wapo uk wakati huo watu walikuwa na hamasa ya kwenda ulaya

  • @user-bs1od1zl4m
    @user-bs1od1zl4m 4 месяца назад +6

    Uistoria ya maisha nilikaa na mtekaji mmojawapo nilimwona mchamungu mpole mkarimu mnyenyekevu swalatano safi kule chukwani karibu na kiembe samaki kweli kugundua kilicho ndani ya mtu niuweza mwingine maana jamaa mmojawapo tumekuwa malafiki mpaka pale nilipopata habari yake naye hakunificha alipenda sana filamu ya mwanamke mmoja shineza mnyarwanda wa kike aliye patamatatizo ya mahusiabo nk ---------

  • @evancemuhenga5696
    @evancemuhenga5696 2 года назад +8

    Sikuwahi kusikia hii issue, hongera chanzo

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 3 месяца назад

      Sihii tuu vijana waliwahi kuteka ndege baada ya utekaji huu. Ndani ya ndege ile alikuwemo waziristan wa mambo ya ndani Generali fulani simtaji.vijana wale walitumia embe dodo nakudai kwamba ni bomb hatari sana. Rubani aliwahadaa watekaji akairudisha ndege Airport huku akiwaaminisha watekaji kuwa wanatua Nairobi Kenya ndipo wakakamatwa.

  • @dechardavid2555
    @dechardavid2555 3 месяца назад +3

    Nna miaka 28 leo ndio nasikia hii mbarangati asee

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 3 месяца назад +2

    Akili ya mwalim Nyerere❤allah amifaz

  • @idrisahmed1220
    @idrisahmed1220 2 месяца назад +2

    hawa watu walitakiwa wawepo sasa hivi maana serikali ya huyu bibi wala sielewi

  • @andrewkazungu6542
    @andrewkazungu6542 Год назад +3

    Nzrhyoo 🎧🎤🌟🇹🇿

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 3 месяца назад +3

    Kijana wa miaka21 anateka ndege, hivi hawa wa miaka21 leo wanaweza kufanya nini?

    • @Gift-q3j
      @Gift-q3j Месяц назад

      Kucheza kangaroo

  • @humbemusa3480
    @humbemusa3480 Год назад +5

    Haya mambo ni historia kali sana sijawahi kuisikia aseee haisemwi sana

    • @KhadijaG-rm8fu
      @KhadijaG-rm8fu 3 месяца назад

      Tanzania mambo mengi ni Siri kaka hata mapinduz ya zanzibar yamefichwa watu wamekaririshwa uongo ila ukwel upo sema kwel upotelee kusikojulikana😅😅

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 3 месяца назад +2

    Kumbe kuna familia 1 UKOO wa MEMBAA

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 3 месяца назад +2

    Watekaji ni vibaraka wa Uengereza kutokan na nyerere alikuw mtu wa kufuat Soviet sio magharibi

    • @salma0000
      @salma0000 3 месяца назад

      Itakua walitaka aachane na ukoministi, it makes sense.

  • @chage97
    @chage97 Год назад +3

    Matukio yapo mengii sana TBC ni maviii tuu

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 3 месяца назад +2

    Waengereza mbwa tu

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 Год назад +2

    Duh hatari sana

  • @HussainMaula-mw8vz
    @HussainMaula-mw8vz 10 месяцев назад +1

    Hujatuambia watekaji wamechukuliwa hatua zipi za kisheria.

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 22 дня назад

    Huo mdhiki naupenda Kuna watu wanajua kuchora.

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 3 месяца назад +2

    Kama watekaji hawakuwa na slaha hao wLio wapiga risasi walizipata wap

    • @omarcarlos4595
      @omarcarlos4595 3 месяца назад +2

      Nimefahamu kuwa watekaji hawakuwa na silaha za ukweli ila walikuwa na silaha bandia. Silaha walizipata kutoka kwa wahudumu ambao walikabidhiwa na abiria ambao walizisalimisha wakati wanasafiri. Ila hii habari hawakutuambia mwisho wa watekaji nyara ilikuwaje.

    • @SalumJuma-iz2gj
      @SalumJuma-iz2gj 2 месяца назад

      @@omarcarlos4595 p

  • @mustafakipuka2230
    @mustafakipuka2230 Год назад +2

    Je hiiiii Ndege asaiv ipo sehem gan

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 8 месяцев назад

      Ndege ilikuwa ni Boeing 737 sikumbuki ilienda wapi kama iliuzwa au imekufa hatujui

    • @bakrhussayn102
      @bakrhussayn102 2 месяца назад

      .

  • @Beidswalker
    @Beidswalker 2 месяца назад

    Ahh hii movie sasa

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h 3 месяца назад +2

    Ndiyo hivyo majina yametajwa

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi Год назад +1

    Sasa kwa usumbufu huu wote, mtu anafungwa miaka mitatu tu? Ingefaa kama miaka 15 hivi. Adhabu kali kwelikweli. Naona kipindi hicho ahhh Tanzania ni raha kwelikweli.

    • @hamidamrisho6908
      @hamidamrisho6908 8 месяцев назад +1

      Walifungwa Uingereza na hawajarudi mmoja alikuja kuwa lawyer mkubwa nchini UK mwamba anaitwa Yusuf Membe

    • @AllySarumbo
      @AllySarumbo 3 месяца назад

      Kwanini

  • @FrancisRM-ex8vf
    @FrancisRM-ex8vf Месяц назад

    mbna hii siku ya 26 february huwa haizungumziwi hata kwenye kalenda, au ndo inaweza kuhamasisha wakereketwa?

  • @arnoldmambali3770
    @arnoldmambali3770 Месяц назад

    magreth Tatcher Mfano halisi wa mwanamke nangai

  • @pierreh255
    @pierreh255 Месяц назад

    Mtafuteni hata muhanga mmoja mumuhoji atuhadithie ulivyokuwa

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 8 месяцев назад +1

    Hata sikuzaliwa bado daah

  • @abdulshaq-qx8wz
    @abdulshaq-qx8wz 3 месяца назад

    wa zanzibar waliiteka ndege wanakaa pale magomeni kwa najim walitaka wapelekwe ulaya

  • @w4058
    @w4058 Год назад +1

    Waliishia Uingereza

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Месяц назад

    Hao ndio wanaume washoka

  • @salvakimati1944
    @salvakimati1944 Год назад +1

    Gharama za kuweka mafuta katika hivyo viwanja mbalimbali zilikuwa zinalipwa na nani?

    • @subirae4619
      @subirae4619 11 месяцев назад

      Hata mim najiuliza hili swali

    • @rechalbarama6758
      @rechalbarama6758 8 месяцев назад

      Hii inaonesha ilikuwa dili ya uingereza hii

    • @nyawawawanyawawa935
      @nyawawawanyawawa935 7 месяцев назад

      Mafuta yalikuwa yanawekwa kwa sharti la watekaji ya tisho la kutokuilipua ndege.

    • @lugwetunje3896
      @lugwetunje3896 2 месяца назад

      Tanzania ililipa hata chakula

  • @khamisally9559
    @khamisally9559 3 месяца назад

    Documentary haijakamilika. Watekaji walipelekwa wapi? Baada ya kurudishwa Tanzania serikali ilichukua hatua gani? Kwanini wakimuhitaji Oscar Kambona? Ndege huyo iliishia wapi baada ya utekaji? Mngefanya utafiti mkaleta kitu kilichokamilika. Hovyo kabisa yaani?

    • @jnr_gong5815
      @jnr_gong5815 3 месяца назад

      Ongeza umakini kidogo utapata majibu ya maswali Yako video imeeleza vyote..

  • @ronaldsariah8760
    @ronaldsariah8760 2 года назад +3

    Watekaji wakaishia wapi?

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 2 месяца назад +1

    Hivi Kwa nini watekaji Huwa ni waislamu?

  • @seifjosph2056
    @seifjosph2056 Месяц назад

    Buu sijawahi sikia history Hadi nazeeka sasa

  • @carterkomm8639
    @carterkomm8639 2 месяца назад

    Nawajua

  • @wilfredmambu9635
    @wilfredmambu9635 Год назад +1

    Na hao jamaa walienda wapi?

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 8 месяцев назад

      Walipewa hifadhi na serikali ya uingereza baadae wengine wakarudi nyumbani

    • @abdulshaq-qx8wz
      @abdulshaq-qx8wz 3 месяца назад

      wa Zenj washazeeka

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 9 месяцев назад +1

    Kwahy majambazi ni wote ni waisilamu

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 8 месяцев назад

      Walikuwa watanzania sio waislamu vita ya uganda walipigana watanzania japo kuna mchanganyiko wa dini ondoa fikra za kidini jailing hoja

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 3 месяца назад

      Kwani kuna jambazi hapo?

    • @Muhammad1Suleiman
      @Muhammad1Suleiman 2 месяца назад

      Number hazikutosh

    • @user-qk4lx4hg7g
      @user-qk4lx4hg7g Месяц назад

      😅😅😅😅

    • @msabatozeson9023
      @msabatozeson9023 Месяц назад

      😂😂😂

  • @swalehaltooq5233
    @swalehaltooq5233 Год назад

    Aha sasahivi watu anachezewa akili kwa starehe😂

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 8 месяцев назад

      Na hao watekaji walikuwa na fikra za starehe pia kwani sababu za kuiteka ndege na kuilekeza uingereza ili wakapate hifadhi ya ukimbizi walijifanya ni wapinzani wa nyerere na ukizingatia wakati huo nyerere na wazungu walikuwa hawaelewani na walipewa hifadhi ya ukimbizi na familia zao watekaji gani wanateka hku wakiwa na familia zao watoto mke

    • @rechalbarama6758
      @rechalbarama6758 8 месяцев назад

      @@saidbakar-qo6ri😂😂😂