Historia ya OSCAR KAMBONA Rafiki Wa NYERERE Aliyegeuka Adui Hadi NYERERE Kutomzika

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024
  • #HomeOfUntoldStories #CharlesKombe #nyerere #oscarkambona
    Ahsante kwa kuendelea kufuatilia, please Subscribe!
    If you’ve got a thirst for knowledge that never quits, join a community of 100k thousand and grow! We have a good time, so take your shoes off, kick back, and make yourself at home here at the home of untold stories!
    ___________________________________________________________________________
    MATUKIO YA KUTISHA: rb.gy/zol9ix
    MAKALA ZA KUSISIMUA: rb.gy/h3pkse
    MAKALA ZA HISTORIA: rb.gy/wg2aax
    For brand, partnership inquiries: charleskombetz@gmail.com

Комментарии • 300

  • @charleskombe
    @charleskombe  Год назад +40

    Asante sana kwa kuendelea kufuatilia channel hii. Please subscribe!

    • @anithadavid5668
      @anithadavid5668 Год назад +10

      Unapaswa upewe pongezi kwa jhud ulzofny

    • @henrywambura7753
      @henrywambura7753 Год назад +1

      Kulingana na maelezo niliyoyasikiliza Osca kambona ilikuwa na tamaa ya ya kuwa RAISI WA NCHI HOI

    • @StarMerinyo
      @StarMerinyo 2 месяца назад

      Wee unayesema mwalimu Alikuwa mbaya kwa lipi na wakati kambona Alikuwa na tamaa yakutska kumpindua ili awe raisi yeye siku zote taamaa mbaya Nyerere apewe sifa kututoa utumwani bila kumwaga damu yanmtanzania

    • @SKY-fk3fz
      @SKY-fk3fz 2 месяца назад

      Ingekuwa anatamaa asingekimbia

    • @deusmengo7881
      @deusmengo7881 Месяц назад

      😅😮😮😊

  • @ernoldmligo110
    @ernoldmligo110 9 месяцев назад +10

    Asante kwa taarifa. Nyerere alikufa akiwa hana mali yo yote nchini wala nje ya nchi. Hakuwa na tamaa ya utajiri kama Oscar Kambona.

  • @isaacmashauri
    @isaacmashauri Год назад +34

    Asante kwa historia ya Kambona. Yote yatapita lakini neno la Yehova Mungu halitapita. Naitakia Amani TANZANIA kwa jina la Yesu

    • @PrinceMbwana-i5o
      @PrinceMbwana-i5o 2 месяца назад

      ameni ameni ameni

    • @jeftatimothy2259
      @jeftatimothy2259 2 месяца назад

      Amani itapatikana katika ufalme wa mungu pekee kwan mwanadamu hana uwezo wa kumtawala mwanadamu mwenzie

  • @zainabmkwepu5498
    @zainabmkwepu5498 3 месяца назад +8

    Asante kwa history ya kambona aliwahi kuja nyumbani kwetu mwaka 1994 yeye na chipaka mwenyez mungu amrehemu

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 месяца назад +14

    Nyerere Alikua Mtu Mwema Sana Alijua Kutujenga Pamoja Kuondoa Ukabila Na Mungu Alipanga Iwe Ivo Hao Wengineo Na Elimu Zao Tz Ingekuwa Kama Mataifa Mengine Ya Changu Ni Changu Na Chako Kitakua Changu Iwe Isiwe Lakini Mungu Alijua Kumfanya Nyerere Kuwa Baba Wa Taifa Kwa Ukombozi Wa Ukabila Kuondoa Uchafu Wa Ukabila Kwaivo Izi Habari Zisiwe Sababu Ya Muona Habari Kutukana Mwili Wa Nyerere Ukiwa Unajua Amani Yako Apo Ulipo Ulipozungukwa Na Makabila Kama Sita Lakini Uko Na Amani Iweje Useme Nyerere Alikua Afai Anajipenda Yeye Hi Sio Sawa Kwako Izi Kumbukumbu Za Kale Ubaya Wake Wewe Ujaujua Zaidi Ya Kusoma Sifa2

    • @sebastianmoshi7200
      @sebastianmoshi7200 3 месяца назад +3

      Kwani Zambia hawana amani?, Zambia hawana makabila?, Zambia kulikuwa na Nyerere?, Zimbabwe hakuna amani?, Zimbabwe kulikuwa na Nyerere?, Wewe hizo propaganda umekaririshwa ni upuuzi tu, huyo mtu alikuwa mshenzi sana.

    • @awadhrajabu1403
      @awadhrajabu1403 3 месяца назад

      @@sebastianmoshi7200 Siku Zote Usipende Kuusemea Moyo Wa Mtu Ambae Kama Alikua Mwema Mema Uonekana Na Aujifichi Ukiona Anatajwa Nyerere Ujue Alifanya Kazi Kubwa Sio Kupigana Bali Hata Iyo Nchi Unayotajwa Wewe Wamegundua Kama Nyerere Pia Aliona Mbali Apa Niliko Nimezungukwa Na Makabila Kama Sita Tunaishi Kwa Fulaa Unazani Kenya Kinachowatafuna Nini Wanajua Kabila Fulani Likiwa Ndani Basi Viongozi Wengi Watatokea Uko Sasa Viongozi Walioko Ndani Wataona Asala Kukuza Ajenda Mambo Kuwa Moto Wakichunguza Watajua Kama Ukabila Unawatafuna Namsifu Nyerere Amekuza Ujamaa Umoja Angekuwa Mwema Uyo Angelindwa Na Mungu Na Usingepata Tabu Kusaka Habari Zake Jitahidi Kuacha Isitoriya Hata Kwa Familia Yako Mana Hata Ndani Ya Nyumba Baba Kiongozi Pia Ukiwa Mzembe Hata Wosia Wako Unatupwa Kapuni Na Watoto Wako Kwanini Asilimia Bado Kwa Vichwa Vya Watoto

    • @FrankMyenjwa-ms5fr
      @FrankMyenjwa-ms5fr 2 месяца назад +2

      Mzeee angewachekea tungekua Kama Congo kwa akina mabutu wa zabanga

  • @frankotembo
    @frankotembo Год назад +9

    Charles kombe unaitaji support na nguvu katika kazi yako nzuri sana,inatufikia vizuri sana apa UNITED KINGDOM
    MUNGU AKUBARIKI SANA

    • @charleskombe
      @charleskombe  Год назад

      Shukran sana Frank kwa kufuatilia na kwa maoni yako yenye kutia nguvu. Barikiwa pia

    • @jerryalfredngailo6106
      @jerryalfredngailo6106 Год назад

      Ilikuwa si rahisi kukaa na MTU huyu wa Musoma. Alipenda kuonekana yeye tu

    • @HasnuuMakame
      @HasnuuMakame 10 месяцев назад

      ​@@jerryalfredngailo6106 Mzee alikua dikteta sana ila hakujidhihirisha, pia hakua focused kwenye maendeleo ya nchi..

    • @PrinceMbwana-i5o
      @PrinceMbwana-i5o 2 месяца назад

      Ameni

  • @111dudi
    @111dudi 3 месяца назад +6

    Nyerere hakutaka fikra zaidi ya fikra zake. Mpaka anatoka aloiacja Tanzania masikini sana. Mungu amrehem Mwinyi aliyeleta ruksa, nchi ikaanza kuendelea.

    • @emmanuelkyandochali990
      @emmanuelkyandochali990 2 месяца назад +1

      Soma vizuri historia kuhusu tanzania wakati wa Nyerere misukosuko aliyopitia,vita alizopigana angekuwa raisi wa kawaida tanzania isingejuwepo

    • @111dudi
      @111dudi 2 месяца назад

      @@emmanuelkyandochali990 Kama vita ya Uganda haikumhusu kabisa.

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад

      ​@@111dudi 😂😂😂 haikumuhusu unahis nan anasain mikopo ya silaha

    • @bili-films
      @bili-films Месяц назад

      Nyerere sifa zilimponza sh. Ilisimama akaidondosha mdgomdgo mpka hawa sasa hivi wanaendelea kuodondosha​@@emmanuelkyandochali990

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 Год назад +13

    Makala hii unasimulia vizur Sana hongera kwa kazi nzuri.

  • @lessomwinyimkuu1268
    @lessomwinyimkuu1268 Год назад +21

    Never outshine the Master....

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Год назад +6

      Mwalim huo ujinga kauanza yeye na ndio karithisha ma CCM wenzake hadi Leo hii wao hawataki kupingwa wanayoyataka wao yawe......hii ndio ujinga wa nchi kuongozwa na ideas za mtu mmoja

  • @haggairaywer7002
    @haggairaywer7002 Год назад +5

    Shukran kwa kutujulisha yaliyowatofautisha Mwalimu Nyerere na Oscar Kambona

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 4 месяца назад +10

    Napenda nyerere ❤kwni asigekuwa makini leo tungekuwa kama wa cocomani

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 25 дней назад

    Nyere alipambana na mambo mengi, Bibititi alitaka kuingiza mambo ya dini ktk siasa kitu ambacho ni tatizo KUBWA sana.
    Kumbe amani tulio nayo ni misimamo ya Nyerere.
    Mungu amlaze mahala pema peponi Amen.

  • @dbarrik4108
    @dbarrik4108 3 месяца назад

    Asante sana. Tuletee Historia ya Field Marshal Joseph Okelo

  • @fulgencekanuti2622
    @fulgencekanuti2622 6 месяцев назад +2

    Asante sana Bwana Kombe

  • @ObediMeyan-j8c
    @ObediMeyan-j8c 2 месяца назад

    Hongera Sana kwa kutuandalia xtori tamu Kam hii

  • @stephennditi
    @stephennditi Год назад +1

    Asante bro. Life goes on ila hatujui mwisho wetu.

  • @erycah
    @erycah Год назад +9

    Watanzania tusingekua na fitina tungekua mbali sana

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 6 месяцев назад +8

    Nyerere alichangia nchi hii kuwa maskini

    • @farajiissa560
      @farajiissa560 4 месяца назад +1

      Kachawi afu tukaaminishwa ndo baba wa taifa na lichama lake la kifisad

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад

      Sasa wewe ukitaka baba yako ndyo awe baba wa Taifa😅

  • @IbrahimMakame-oi7wn
    @IbrahimMakame-oi7wn Год назад +1

    Asante kwa historia nxuri

  • @AmraniRamadhani
    @AmraniRamadhani 2 месяца назад +3

    Kambona alikuwa shujaa sana, mungu amrehem

  • @faizahalidi7084
    @faizahalidi7084 Год назад +1

    Interesting thank you

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Год назад +5

    Umemchambua vizuri sana

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 Год назад +9

    Nyerere , , mtu mwenye busara, , na hekima

    • @denistoyi3926
      @denistoyi3926 Год назад

      Habarinyelele

    • @Kimware-kb1yb
      @Kimware-kb1yb 2 месяца назад

      Hakuna na baya na binadamu ila 2 ni wenye wevu ndo wanarudxha nchi nyuma

  • @thabitbatenga1775
    @thabitbatenga1775 Год назад +5

    Inauma sana kwa marafiki kuitilafiana

  • @HamisiHemediWaguga
    @HamisiHemediWaguga Месяц назад

    Duh nimekuja kujua nilokuwa sijui asnte sana

  • @abdullahmuhammadKambona
    @abdullahmuhammadKambona Месяц назад +2

    Nyerere hakupenda mabadiliko kambona aliyoyataka akageuka adui kwa Nyerere,,na ndio aliyaleta tena mwinyi

  • @ibrahimasambyasaleh4027
    @ibrahimasambyasaleh4027 Год назад +3

    Kwakweli uadui haukuanza Leo na kila siku marafiki ndiyo maranyingi wanakuja kuwa maadui hatuwezi jua kati ya Nyerere na kambona yupi alikuwa mkweli kwa mwenzie Ila Mwenyezi Mungu peke yake ndiye alijuwa lakini kwa sasa wote hawapo tena Duniani kile wailicho kifanya watajibu mbele za Muumba

  • @ElizabethKibiki-h2j
    @ElizabethKibiki-h2j Год назад +2

    Asante kwa historia za viongozi wetu waliopita tunajifunza kitu

  • @davidowino3022
    @davidowino3022 Год назад +2

    Very interesting story

  • @neykidoti102
    @neykidoti102 20 дней назад +1

    Mmmh 😮

  • @kenMakokha-od4tp
    @kenMakokha-od4tp Год назад +1

    Story interestinge

  • @Alihamdulil
    @Alihamdulil Год назад +36

    Nyerere julias alikuwa mnafiki sana tena mtuu mmbaya ni iletu watanzania hamjui historia kuhusu uyo Nyerere

  • @ibrahimmaxmillan1430
    @ibrahimmaxmillan1430 Год назад +3

    Mwanangu unasound vizuri sanaaaaa

  • @mohamedallyrajabu205
    @mohamedallyrajabu205 Год назад +6

    Ninavyo jua hakuna nchi duniani ambayo haija fanya mabaya, katika kuakikisha mafanikio ya dhati na hayo yote hutokea sababu anaekua na nafasi ya uongozi wakati huo anakua na wasiwasi na kuto kujua nani wa kumuamini na nani wa kuto kumuamini, kwaiyo aliyo yafanya Nyerere wakati wake ni kile alicho amini ni kizuri kwa taifa na ile ilikua starting point ya taifa letu kutoka kwa watu weupe, si rahisi na haikua rahisi sababu binadamu tuna chuki na tamaa hivyo sio wote watakupenda au kukueshimu, maoni yangu tujiulize saizi tunaenda wapi na kila mwenye nafasi yakutetea hili taifa kwa namna yake afanye, sababu waliopita wamefanya kwa kiasi chao.

  • @MICHAELANDREW-t8u
    @MICHAELANDREW-t8u Месяц назад +2

    Kambona alikuwa smart kuliko Nyerere

  • @marynjau2068
    @marynjau2068 Месяц назад +2

    Ee bwana ee kumbe ni Kambona alitupeleiea kiswahili BBC? Waoo rest in peace sir !!

  • @GideonMalyego
    @GideonMalyego Год назад +3

    Hv kwa matukio kama hya unawezaje kusema Nyerere alkuwa mtakatifu wkt alkuwa na element za udikteta

  • @raymondonyona.2736
    @raymondonyona.2736 Год назад +8

    Kwa stori ya Nyerere na Kambona, nakubaliana na Sera ya nje ya Marekani kuwa," Marekani hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu."

  • @piusundisputed
    @piusundisputed Год назад +2

    Napenda sana makala zako

    • @charleskombe
      @charleskombe  Год назад +1

      Shukran sana Pius. Nashukuru kwa kuendelea kufuatilia channel hii.

  • @oscarsimanto1519
    @oscarsimanto1519 День назад

    Kumbe oscar kambona katupelekea kiswahili BBC

  • @BartholomewJoseph-dy6me
    @BartholomewJoseph-dy6me Месяц назад +1

    Nyerere ni mtu shujaa sana

  • @ALEXBUNDI-b2t
    @ALEXBUNDI-b2t Месяц назад

    Kambona,,only,nyerere umpenda

  • @Husenimuddi
    @Husenimuddi Год назад +7

    Nikweli kambona alikua anatumika kisiasa na captalism block

    • @HaleluyaKalalu
      @HaleluyaKalalu Год назад

      Bila capitalism usingeshika hata thumuni wewe mpakachupi ungevaa ya kitenge

    • @vascooscar3967
      @vascooscar3967 2 месяца назад

      Socialism imewafikisha wapi

  • @DawnMurcas-pz4uq
    @DawnMurcas-pz4uq 7 месяцев назад +1

    Kambona commander

  • @erickmuli1030
    @erickmuli1030 Год назад +21

    Gonga lyk kama unaamin Tz tunaish kwa vsasi.

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 4 месяца назад +2

    Nyerere mnafik sana simpend mm

  • @AmraniRamadhani
    @AmraniRamadhani 2 месяца назад +1

    Nyerere Kwa kambona alikuwa anaufyata,kambona alikuwa msomi mkubwa mwenye maarifa mengi kuliko nyerere

  • @marynjau2068
    @marynjau2068 Месяц назад

    Waoo jamani historia ya Tanzania iandikwe upya.....

  • @liverpoolvsrangers2273
    @liverpoolvsrangers2273 Год назад +8

    Sema kambona alioa miss Tanganyika kipindi iko

  • @raymonddeodatuskyara
    @raymonddeodatuskyara Год назад +1

    Tumetoka mbali sana.

  • @barthazalluboyelwa6278
    @barthazalluboyelwa6278 2 месяца назад +1

    Nyerere Ni Mtus sio uwongo pia Ni Mtus Hatari sana Aliwafanya Watanzania Wakimbizi wa ndani kwenye nchi Yao kwa kuanzisha vijiji vya ujamaa namengine mengi machafu kwa Raia wa Tanzania

  • @jamesmilanzi3336
    @jamesmilanzi3336 5 месяцев назад +1

    Nimejifunza kwamba madaraka yanalevya always

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi9514 4 месяца назад

    Ilikuaje akawa Balozi London?

  • @martinemalembela1740
    @martinemalembela1740 22 дня назад

    Nilivyokuwa mdogo nilikuwa namshangaa sana baba yangu alikuwa happening Nyerere.Alikuwa anasema alileta umaskini.Sikumuelewa kabisa baba yangu.Ilikuwa miaka ya 80 na 90 hivi.
    Hasa akisimulia miaka ya maduka ya vijiji ambapo walikuwa wengine hawaruhusiwi kuuza.Alikuwa.anasema walikuwa.wanapata mahitaji kwa zamu

  • @silwambalackson9941
    @silwambalackson9941 Месяц назад +2

    Kumbe Kambona hakuwa mbaya vile, kwani matarajio yake ndiyo yako sasa -multi party democracy.

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 25 дней назад

    Usimwamini binadamu mwenzako hapa Duniani. Binadamu hubadilika.

  • @michaelmkisi6999
    @michaelmkisi6999 Год назад +3

    It's fine hakuna binadamu asiye na adui

  • @MichaelChristopher-q2e
    @MichaelChristopher-q2e Месяц назад +1

    Mechi ngumu toka Zaman mpaka leo

  • @kashebojassonyrwezaula7402
    @kashebojassonyrwezaula7402 Год назад +2

    kweli urafiki wa kisiasa hauna maana

  • @BekaBiz
    @BekaBiz 3 месяца назад +1

    Ama kweli rafiki wa kweli anaweza badilika akawa adui sababu ya wazfa au maslahi 😢

  • @mfebricknkuna7106
    @mfebricknkuna7106 9 месяцев назад +1

    Maneno ya kurushiana kati ya Mwalim Nyerere na Oscar Kambona ni siasa tu, ila ukweli unabaki kuwa tumenyimwa na haki ya kumjua mtu muhimu katika historia ya n'nchi yetu. Inasikitisha hata sanamu la kumbu'kumbu hana, ila mchango wake ni mkubwa sana katika historia ya n'nchi yetu.

  • @mohammedputta5821
    @mohammedputta5821 Год назад +7

    Kambona alijiuma Nyerere akimaliza miaka 10 angehombea yeye urais lakin Nyerere alikuwa hataki Wasomi kipindi chake wengi TU aliwaweka kizuizini ila Kambona alikuwa smart

  • @MangenyeJames
    @MangenyeJames 3 месяца назад +3

    Nyerere alikuwa mpigania uhuru wa wa Efrica kambona alikuwa na Ilimu ya kuwahi angepata mpaka Leo tusingekuwa na ardhi.

    • @MangenyeJames
      @MangenyeJames 3 месяца назад +1

      Alibabaika na maisha ya ulaya alikuwa na elimu nzuri ila alikuwa anataka kujitajirisha kwanza kabla ya kuangalia elimu uliyoipata itawasaidia nn wandugu zako

  • @AlkafaaMarket
    @AlkafaaMarket Месяц назад

    Nyerere ndie alieimaliza Zanzibar fisadi yule

  • @NgomaMbago-dk3gp
    @NgomaMbago-dk3gp Год назад +3

    Nimejifunza kumbe rafiki kipenzi anaweza kuwa msaliti na adui mkubwa kwako

  • @SimonMagija
    @SimonMagija 3 месяца назад +1

    Tuwache hao walio tanguli mbele za haki yupo mwe nyewe aliye wapa kipaji hicho atawahukumu mwenyewe na sisi tupambane tuivushe nchi wametuachia, vyama viko vingi tuingie tupambane kama mpina anavyopambana

  • @abbymkombozi4382
    @abbymkombozi4382 Год назад +6

    Laki 8 kwa mdahuo nisawa na bilion 8 kwasasa

  • @ALEXBUNDI-b2t
    @ALEXBUNDI-b2t Месяц назад

    NYerere alikuamwalimu bado yesu ni mwalimu

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 4 месяца назад +3

    Nyerere kwa kambona alikua hawez kitu vingine propaganda ila kambona alikua genious sana

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад

      Kambona ni zao la magharibi Nyerere zao la mashariki

  • @Yacena
    @Yacena 3 месяца назад

    Kiboko ya Nyerereka

  • @LazarokisiaNyakamande
    @LazarokisiaNyakamande 4 месяца назад +1

    sio kisasi Nyerere uko sawa ukiwa mnafiki mwishowake ndo huo

  • @jastinkanjost4454
    @jastinkanjost4454 Год назад

    Kambona kuwa mhaya huwa inatokana na nn👏👏

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Месяц назад

    Kambona kumbe hakua mzarendo

  • @mohammedjafar7242
    @mohammedjafar7242 Год назад +13

    Nimejifunza hii ichi maraisi wote watu wa visasi

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Год назад +2

      Ndio fitna zetu Tanzania na Nyerere ndio muanzilishi wa hayo na CCM wa Sasa ndio wanaendeleza tu

  • @suitbertmaro6690
    @suitbertmaro6690 Год назад +1

    Mkuu Leta story ya Dossa Azizi

  • @mansourlikamba6289
    @mansourlikamba6289 Год назад +2

    Laki 8 ya enzi zetu ni kama Bilioni 80 ya sasa hv

  • @DaudiPaulo-j5h
    @DaudiPaulo-j5h 10 месяцев назад +1

    Ubaya hauna kwao

  • @sauljotam115
    @sauljotam115 Год назад +3

    Kweli hii nchi kumbe ilikuwa ngumu tokea ilipopata uhuru🥲🥲

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Год назад

      Kabisaaa kaka....Kuna mengi Mwalim kayaficha mabaya yake.......katufanya tuamini mema yake tu

  • @dededshud7047
    @dededshud7047 2 месяца назад

    Historia ya uwongo iyo

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 28 дней назад

    Kipindi hicho USD 1= Tsh 5, ina maana ni sawa na kua na USD 200,000 kwa sasa.

  • @kiddyadams
    @kiddyadams Год назад +15

    Kambona, bibi titi, Tewa , sokoine, malima, ally Juma, karume etc … Nyerere aliwapoteza kimtindo 😅bongonyoso Hakuna rais mwema TZ.

    • @charleskombe
      @charleskombe  Год назад

      Hatari kweli kweli....Historia ya BIBI TITI tayari nishakuwekea brother, waweza itazama ktk channel hii.

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 Год назад

      Nasikia Sokoine alikuwa vizuri katika uongozi, kwa sasa tunaweza kumfananisha na Majaliwa. Wanasema Sokoine aliuawa na Mawaziri wenzake na sio Nyerere.

  • @111dudi
    @111dudi 11 месяцев назад

    Mbona mtoto mzungu na Kambona alikuwa mwafrika mweusi?

  • @JamesMkama
    @JamesMkama 3 месяца назад +1

    Siyo peter mbwimbo ni Petro Bwimbo

  • @KamugishaSperatus-qx5kt
    @KamugishaSperatus-qx5kt Год назад +6

    Kambona angelishirilian na nyerer nchi ingelifika mbali lakin tatizo ni elimu ya ulaya aliyoipata ,

    • @elisantenyange8751
      @elisantenyange8751 Год назад

      Wote walikuwa na elimu ya ulaya.

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Год назад

      Kwani Mwalim hakua na elimu ya ulaya?.........Mzee alikua na roho mbaya alitaka awe yeye tu Nyerere, wengine wote wasionekane

  • @bili-films
    @bili-films Месяц назад

    Hii uonevu wa viongozi kwa raia kumbe ni nature kwenye Taifa hili.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 месяцев назад

    👊✌👍.

  • @BartholomewJoseph-dy6me
    @BartholomewJoseph-dy6me Месяц назад

    Nimbaya dah😢😢😢😢😢

  • @ALEXBUNDI-b2t
    @ALEXBUNDI-b2t Месяц назад

    Singeamini kama kungeenda hivo

  • @omary7517
    @omary7517 5 месяцев назад +3

    Kambona alikuwa msaliti mkuu

    • @FrankMyenjwa-ms5fr
      @FrankMyenjwa-ms5fr 2 месяца назад

      Msaliti mwenye tamaa Sana Angela mamiss wote mjinga

  • @bettingmastertz
    @bettingmastertz Год назад

    🔥🔥🔥

  • @hasankawanje4279
    @hasankawanje4279 Год назад +2

    Saf sana

  • @HassanKaposa
    @HassanKaposa Год назад +1

    Mnafiki sana nyerere

  • @davidcurtis175
    @davidcurtis175 Год назад +14

    Inasikitisha sana jamaa aliambiwa si mtanzania, jamaa ndio pekee alikuwa anapinga hoja za Nyerere tena bungeni na kitwa muasi inasikitisha sana, nchi yetu kipindi hicho haikutaka wasomi maana tuliamishwa kwa njozi zaidi kuliko kwa fact, nimeota muvua itanyesha hvi karibuni kumbe ni habari za hewa duniani na wakati huo kumiliki redio ya mbao wewe ni bilionea, Huyu kambona alikuwa alikuwa akisikilizwa sana sana na wanajeshi hivyo ilikuwa hofu kubwa kwa mwalimu maana alikuwa anapinga hoja zake waziwazi.

    • @omarikinyory5785
      @omarikinyory5785 Год назад +2

      Uyu ni babu yangu mzaa baba kambona😭💔

    • @ireneaurelian907
      @ireneaurelian907 Год назад +2

      @@omarikinyory5785 haya kambona pole jmn

    • @omarikinyory5785
      @omarikinyory5785 Год назад +2

      Sema sikuwai kumuwona nime ishiwa pewa istory2 tena juzi juzi ndio tuna juzwa kikubwa duwa2 innalilahi wahina lilahi rajun

    • @seifismail6041
      @seifismail6041 Год назад +1

      @@omarikinyory5785 VP na ww unawanyoosha uko shule

    • @joycemosha1898
      @joycemosha1898 Год назад +1

      Kampong ni wa kwanzza kutangaza kiswahili London laakini wanatnga salimkke na zuhura yunusi tena walipigania uhuru na nyryr mpaka kulala chumba kimoja huko London

  • @BLENDEROMASHINE
    @BLENDEROMASHINE 2 месяца назад

    Nimekurewa historia ninzuri nirikuwa sijui hapo nime erewa

  • @davykisabo875
    @davykisabo875 3 месяца назад +1

    Hata katiba tuliyinayo Nyerere ilimlinda naweza kusema alijitengenezea

  • @EliudHaule-zx3jd
    @EliudHaule-zx3jd 2 месяца назад

    Naam hayo ndio mambo ❤❤❤

  • @OthmanThabitJuma
    @OthmanThabitJuma 2 месяца назад

    Lakini huyo mis Tanzania anaonekana mzuri japokuwa picha haikuwa na kiwango

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 Год назад

    Hivi nisahihi kusema "SWAHILI au KISWAHILI"?

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад

      Duuh alafu wewe ni mswahili inategemea unataka kutumia wapi hayo maneno

  • @oduorevans3493
    @oduorevans3493 4 месяца назад +2

    Nyerere husifiwa lakini alikua dictator sana

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад

      Hakuna mtu asiyenamabaya hata wewe unaukrasa ambao hutaman hata mtu aujue

  • @mbaroukothman3626
    @mbaroukothman3626 Год назад +2

    wakati nasomewa makala hii (mimi sijui kusoma) kama msomaji hakutia yake nimegundua kuogopwa kwa mfumo wa serikali 3 Tanzania ni kuenzi fikra za baba wa Taifa na pia chuki hazikuwa kwa kambona peke yake kwa wote watakaojulikana wana ukambonakambona