Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • #TheChanzoDocumentary
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved

Комментарии • 116

  • @lizykiwia7427
    @lizykiwia7427 24 дня назад +4

    Moja kati ya makala bora sana iliyosheheni historia ya nchi, hongera sana the Chanzo

  • @khalifamuhudi2235
    @khalifamuhudi2235 Год назад +13

    Laiti kambona angepata nafasi nchi ingekua mbali

    • @maghanighanichali9519
      @maghanighanichali9519 Год назад

      Mbona Mbambabay hakukuwa na chochote? alibadililishwa akili na wazungu huyu Kambona.alikuwa na uchu wa madaraka huyu Kambona.

    • @khalifamuhudi2235
      @khalifamuhudi2235 Год назад +6

      Unajua tatizo letu watanzania tumelishwa sumu mbaya yakuamini kua mpinzani yoyot wa chama tawala ni mtu mwenye uchu wa madaraka kama nihivyo basi hata hawa watawala pia ni wachu wa madaraka maana isingekua ivyo wasingekua bize kuwashukhulikia wapinzani wao badala yak wange shukhulika kutatua matatizo ya wananch

    • @Devotha-h5m
      @Devotha-h5m 6 месяцев назад +1

      Kabisa ndugu km hangekuw wTu Safi wangepokezana madalaka

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 20 дней назад

      Acha ujinga.

  • @m-tatu1050
    @m-tatu1050 2 месяца назад +2

    Oscar utadhan kijana wa bongo fleva. Aliishi mbele ya muda

  • @moxasaidi3398
    @moxasaidi3398 2 месяца назад +3

    Nyerere ndio chanzo cha kuitia tanganyika umasikini

  • @mustaphamilao7220
    @mustaphamilao7220 9 месяцев назад +4

    Kama tungeanza na Kambona Tz isingekua hivi tungekua kama Afrika kusini

  • @Devotha-h5m
    @Devotha-h5m 6 месяцев назад +3

    Kambona alikuwa shujaa sana ilasematu hawa watawala hawaitaji kukosolewa

  • @mustaphamilao7220
    @mustaphamilao7220 9 месяцев назад +3

    Harafu mambo yote aliofanya Kambona hajatajwa kabisa yani hatumfahamu kabisa

  • @tegemeomadebeli5169
    @tegemeomadebeli5169 Год назад +4

    Kumbe toka kipindi hicho
    Ukiwa na wamazo tofauti Serikali hii ya CCM ilikuona Adui mkubwa.
    Kambona ni Shujaa wa Nchi hii Alipigania Mambo ambayo Tulianza kuyaona mwaka 1992+

  • @kaimabuji
    @kaimabuji Год назад +5

    si msaliti

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 Год назад +3

    Osca kambona ni Alikuwa shujaa

  • @mustaphamilao7220
    @mustaphamilao7220 9 месяцев назад +2

    Kambona hakua msaliti na alikua hana tamaa ya madaraka ndio mana alimwambia nyerere kue na vyama vingi. Daa Kambona ni chuma kilichopotezwa na watu wenye tamaa ya madaraka...jamaa alikua mjanja sana na alikua na hakili nyingi..

  • @mohamedbadbess6230
    @mohamedbadbess6230 Год назад +2

    NYERERE ALIZOROTESHA UCHUMI WA NCHI. LAKINI KWA KIASI FULANI ALILETA USAWA NA AKAONDOSHA MATABAKA KATI YA WATANZANIA. NA BORA ZAIDI HAKUWA MFISADI.

  • @mustaphamilao7220
    @mustaphamilao7220 9 месяцев назад +2

    Kama ningekuwepo ningewa upende wa Kambona

  • @tumazabazjabrjbr4458
    @tumazabazjabrjbr4458 Год назад +3

    Kwa kiburi uchawi na roo yake mbaya nyerere watanzania ikaakosa kisomo

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 Год назад +4

    Tumemuimba Osca kambona Kama msaliti,kumbe alikuwa na mawazo chanya za kusaidia WaTZ,siasa ya ujamaa Ni chanzo Cha umaskini wa Tanzania,"Socialism is the phylosophy of failure,alisema Winston Churchill aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza!

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Год назад

      Hilo swali aliulizwa Nyerere na wazungu na alilijibu kwamba siasa ya ujamaa na kujitegemea ilikua fairule. Anyway tuseme siasa ya ubepari ndo ilikua njia nzuri ya kuupiku Umasikini 😂😂, Nigeria ni Tajiri ?pamoja na mafuta yake. Vipi Malawi etc.

    • @YusufuChinengo-zn4xu
      @YusufuChinengo-zn4xu Год назад

      ​@@TM.Sullusi 😅

    • @meshackngaboss1236
      @meshackngaboss1236 6 месяцев назад

      😂😂siasa ya ujamaa ni chanzo cha umaskini😂😂😂 unaijua Urusi na China et "socialism is the pslosophy of failure" yaani ubepari wa watu wachache kujilimbikizia mali ndio utajiri na usawa tumia akili na sio mihemuko yaani unataka kuniambia mfumo wa tajiri kumuibia maskini ndio mfumo bora wa kuondoa umaskini 😅😅😅

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 6 месяцев назад

      @@meshackngaboss1236 Tatizo la wavivu wa kufikiri Ni kuaminishwa kwamba tajiri Ni mwizi ,fisadi.Nchi yoyote haiwezi kuendelea bila kuwa na matajiri wanaoisukuma sekta binafsi,Ndiyo maana Viwanda vyote Tanzania vilikufa kwasababu hapakuawa na kiwanda Cha mtu binafsi,wenzetu Kenya Viwanda vyao vipo na vinachapa kazi sababu ni.vya watu binafsi,Tanzania siyo nchi ya kuifananisha na urusi na china,labda tujaribu Kenya.

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 6 месяцев назад

      @@meshackngaboss1236 Tatizo kubwa la wavivu wa kufikiri Ni kuaminishwa kuwa " Tajiri Ni mwizi,Imani hiyo bado inazagaa hapa Tanzania,uchumi wa nchi yoyote duniani unapaishwa na sekta binafsi,sekta binafsi Ni matajiri ambao wanasaidia kutoa ajira,kulipa Kodi serikali na uchumi unakua,Hakuna sababu nyingine iliyoua Viwanda vya Tanzania isipokuwa Ni kwasababu ya kumilikiwa na serikali,Wenzetu Kenya Viwanda vyao vipo na vinachapa kazi kwasababu Ni Mali ya watu binafsi,Ni kosa kuifananisha Tanzania na Urusi&China,maana china ya ujamaa Ni Ile ya Mao Zetung siyo hii ya Sasa!

  • @AmraniRamadhani
    @AmraniRamadhani Месяц назад +1

    Kambona alikuwa mtu mwenye mawazo ya demokrasia, Nyerere alikuwa hautaki demokrasia

  • @Njasulu
    @Njasulu Год назад +6

    Makala nzuri sana, tunaona historia kama hizi ziendelee kuletwa katika mwanga. Aidha siasa za mlengo wa kushoto si ukomunisti bali ubepari 1:01:11

  • @PhilipCharlesBukuku
    @PhilipCharlesBukuku 10 дней назад

    Abed Amani Karume, Oscar S Kambona and Edward Moringe Sokoine great Heroes of the United Republic of Tanzania😊😊😊😊

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Год назад +5

    Chanzo tv.
    Utambulisho wenu uwe ni huu.maana sio wote wanapokea umbea na Mambo ya hovyo mitandaoni.

  • @selelilumambo2157
    @selelilumambo2157 4 месяца назад +7

    what a talent in his heart oscar kambona angekuwa rais hii nchi ingekuwa na uchumi mkubwa kutokana na utajiri ilionao, madin , vivutio maziwa nk. ndio maan alipinga ujamaa sera ya chama kimoj aliona mbali sana

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад +7

    KAMBOMA ALIONEWA!!
    HAKUKUBALIANA NA SIASA YA KUWAPORA WATU MALI ZAO!!

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 Год назад +2

    Osca kambona alikuwa shujaa

  • @PhilipCharlesBukuku
    @PhilipCharlesBukuku 10 дней назад

    3rd December, 1972 Beautiful Sunday St Francis Xavier.THE DARKEST DAY in our Nations History. Divine Intervention saved me and our nation.

  • @rajabuadam2558
    @rajabuadam2558 Год назад +2

    Kambona ni jasiri sana huyo ni mwamba na pia ni mfano kwa watu Roma apo ndio pakuhiga...

    • @Devotha-h5m
      @Devotha-h5m 6 месяцев назад

      Sana Viva roma viva

  • @PhilipCharlesBukuku
    @PhilipCharlesBukuku 10 дней назад

    Chadema**who will cast the first stone Jenerali, Kubenea, Freeman, Lema,, Antipas and Sugu==Jehovah God.Jehovah is watching and Dr Samias Guardian Angels are protecting Africa's greatest Leader. Don't fight against Almighty God. Sauti ya watu ni Sauti ya Mwenyezi Mungu. Repent or perish with other cowards. Mteis CHADEMA has gone to the dogs but not Hon John Mnyika a true son of Africa.😊😊😊😮😮😮

  • @PhilipCharlesBukuku
    @PhilipCharlesBukuku 10 дней назад

    R.I.P Oscar S Kambona and your beloved son who died in Britain. The son-s done is still a mystery😮😮😮

  • @FrankJulius-ou7op
    @FrankJulius-ou7op Год назад +9

    Oscar was a hero but never outshine your master ...

  • @SonofNyanda
    @SonofNyanda Год назад +5

    amazing jornalism
    my favorite Tanzanian news outlet;Vienna

  • @Manasehphilip404Alfa
    @Manasehphilip404Alfa Год назад +4

    Iko vizuri sana hii makala...mmefanya research ya kutosha...kudos kwa Chanzo

  • @sangimgeni354
    @sangimgeni354 18 дней назад

    In my eyes, he's an unsung hero. Man ahead of his time. May you rest in peace. Africa once again, has silenced a great mind.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Год назад +4

    Tatizo kubwa la Kambona alikuwa hajajikwamua kifikra. Nyerere alimwamini sana Kambona lakini baadaye kambona kwa kutaka ku-advance ubepari alijikuta njia panda! Mohammed, asante sana kwa kuwaelezea watanzania hususani vijana ambao wamezaliwa baada ya multi-party system Tanzania. Oscar alirudi Tanzania kwa humanitarian reasons, Nyerere alikubali Kambona arudi kwa sababu tayari alikuwa ni mgonjwa.

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 Месяц назад +1

      Wakati anarudi Kambona Rais ni Ali Hassan Mwinyi na Waziri wa Mambo ya Ndani alikuwa Marehemu Augustino Mrema ambaye alikuwa moto sana wakati huo na aliweka wazi kuwa akija tu Tanzania atamkamata na kumuweka ndani,hivyo macho ya watu wengi yaliingojea hiyo siku wajionee moto,mzee Mwinyi ndiye alimzuia Mrema na hizo hatua Mzee Mwinyi alicheza karata nzuri pia kwa marehemu Abdulrahman Babu ambaye naye alikimbia nchi kwenda Uingereza akihusishwa na kifo cha Karume...Nyerere hakuwa tena na sauti ya kuruhusu au kutoruhusu .

  • @PhilipCharlesBukuku
    @PhilipCharlesBukuku 10 дней назад

    Kambona one of true Sons of Africa🎉🎉🎉

  • @thomjunior9947
    @thomjunior9947 Год назад +4

    Thanks kwa makala hii brother.. keep up the good work

  • @itsbazil5787
    @itsbazil5787 Год назад +2

    Platform nyingi wanaandika makala unaona kabisa wameunga kupata pesa tuh, nimependa hiki full research let's have another one

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 8 месяцев назад +1

    Waalim wa enzi hizo walikuwa wanafikia malengo yao ila hawa sasa Wapo bize na kutongoza vibinti wavitowe bikra tu tena nasikiya eti huwa wanashindana.

  • @PhilipCharlesBukuku
    @PhilipCharlesBukuku 10 дней назад

    Truth will make us free.🎉🎉🎉

  • @marynjau2068
    @marynjau2068 22 дня назад

    Shujaa Safi Sana...

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 3 месяца назад +2

    Genious

  • @AlexMakoko
    @AlexMakoko 6 месяцев назад +1

    Huyu ameitendea vyema taaluma yake❤, achana na wale chawa🤔

  • @PhilipCharlesBukuku
    @PhilipCharlesBukuku 10 дней назад

    To God be all the glory.

  • @paullutonja5904
    @paullutonja5904 9 месяцев назад +1

    👏 a very good documentary!
    walau na kizazi kipya kiwe na hadithi in digital form, kama hizi

  • @PhilipCharlesBukuku
    @PhilipCharlesBukuku 10 дней назад

    Son-s death....

  • @rausathsued8852
    @rausathsued8852 Год назад +3

    Hii makala hii🏆🏆

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Год назад +3

    Tunashukuru kwa makala nzuri

  • @jitathminitv3429
    @jitathminitv3429 11 месяцев назад +1

    Nilikuwa natamani kumjua uyo mwamba asanthe sana chanzo

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Год назад +4

    Waliopigania Uhuru wote Tanzania walididimizwa sana

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 4 месяца назад +1

    Now ndio namuelew Mzee Nyerere.❤❤

  • @ebitariho9720
    @ebitariho9720 Год назад +10

    Kumbe ndio maana watu waita siasa ni mchezo mchafu. Yaani kumbe uongo na siasa za uragai alianzisha Nyerere ndani ya ccm.

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Год назад +2

      Kwani hujui hilo kua umafia wa CCM wote uliasisiwa na Mwalim Nyerere......Na ndio chanzo Cha hii nchi kua Rais ndio muamuzi wa Kila kitu na hapingwi kwa lolote lile

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Год назад

      @@hasnuumakame9219 Halafu Nyerere alijifunza wapi?😂😂, si hukohuko ambako mnasema kuna maendeleo.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад +1

    PIA HAKUKUBALIANA NA UJANJA WA NYERERE WA KUPORA MADARAKA YOTE BADALA YA KUWA KIONGOZI AKAWA MFALME JEURI NA KATILI!!

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Год назад

      True kabisa....Alipinga madaraka yote kumilikiwa na mtu mmoja..

  • @AbirahIssa
    @AbirahIssa 21 день назад

    Duuh kweli kambona Mwamba leo Nimejua Historia ya Ujamaa na kujitegemea ulikuwa kutudidimiza Ndugu zetu wamepitia matatizo kama haya yanayo endelea kumbe ni tabia zetu kukamata kamaka na utwekaji💪💪

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Год назад +4

    Kwa documentary hii Nyerere na chama chake ni useless kama angekua anajiamin angeweka vyama ving ashindane na kambona just challenge

    • @tumainimatandala1847
      @tumainimatandala1847 9 месяцев назад +1

      Nikweli kabisa. Lakini nachokiona ni kimoja, kambona alikua smart na alikua na influence kubwa. Lkn hakua kiongozi bora. Kambona alikua Engine ila sio hakua na kipawa cha uongozi.

  • @PhilipCharlesBukuku
    @PhilipCharlesBukuku 10 дней назад

    🎉🎉🎉❤❤❤🎉🎉🎉

  • @PhilipCharlesBukuku
    @PhilipCharlesBukuku 10 дней назад

    🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Год назад +1

    Kwa Baadhi ya Audio Niliyosikia Inaonyesha Kambona hakuwa Mtu Mwenye Uwezo Mkubwa wa Kuzungumza, Hakufikia hata robo ya Charisma ya Nyerere

    • @bennyframa4505
      @bennyframa4505 Год назад

      Ni kweli. But still he was a great prominent leader behind tanganyika independence

    • @tanzaniatest4529
      @tanzaniatest4529 2 месяца назад +2

      Kama ninkwel nyerere asingekuwa anamtuma jamaa kwenda kuonana na wazungu.....

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Месяц назад

      Maneno matupu hayavunji mfupa

  • @johnntandu6944
    @johnntandu6944 2 месяца назад

  • @PhilipCharlesBukuku
    @PhilipCharlesBukuku 10 дней назад

    😢😢😢🎉🎉🎉

  • @sahimsaleh8118
    @sahimsaleh8118 Месяц назад

    Yani hii documentary imekosa sound nzur tu ila ni hatari🔥🔥🔥🔥

  • @abbytv4659
    @abbytv4659 Год назад +2

    Kubwa sana hii

  • @yusuphnundu6113
    @yusuphnundu6113 2 месяца назад

    Kambona aliishi mbele ya muda .. yeye anafikiri leo wengine wanakuja kufanya baada ya miaka 30 haswa mambo ya vyaka vingi na mambo ya katiba yenye nguvu ya kujenga nchi 🔥🔥

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Год назад +3

    Nyerere mtu alipokua maaarufu au kupendwa na watu anakuchukia tunakalilishwa tu ila Nyerere si baba wa taifa ni dhana tu ila hamna kitu roho mbaya sana

  • @NellyCastor-ny2sp
    @NellyCastor-ny2sp Год назад +1

    Jamani

  • @erickcharles-300
    @erickcharles-300 Год назад +1

    The dar mutiny of 1964

  • @kcstarztorch248
    @kcstarztorch248 Год назад +1

    Oscar Kambona

  • @bobwangwe748
    @bobwangwe748 Год назад +2

    🔥🔥

  • @kaburumacha315
    @kaburumacha315 Год назад +4

    Asante sana kwa makala hii. Nilikua na kiu ya huyu mwamba aliemnyima Mwalimu usingizi.

  • @mustaphamilao7220
    @mustaphamilao7220 9 месяцев назад

    Oscar Ali wahi kupata ujanja

  • @tysonpuraty3098
    @tysonpuraty3098 Год назад +1

    *Promo sm* 🤘

  • @erickmmbando1909
    @erickmmbando1909 Год назад +1

    Nice

  • @khalifamuhudi2235
    @khalifamuhudi2235 Год назад +8

    Nyerere alikua dikteta na amekwamisha uchumi wetu

  • @franciskobelo
    @franciskobelo Год назад

    Mungu amrehemu hayati kambona ni shujaa hakika

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 4 месяца назад +1

    Sijui kwanini mzee Nyerere hajamtia mikwaju, mn mzee Nyerere hana mbambamba ukizinguwa anakutia viboko utajuwa mwenyewe

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад +1

    🇹🇿✌️

  • @conradolomi9580
    @conradolomi9580 Год назад +1

    Makala imepangwa vizuri🤝💯

  • @shobimzawa
    @shobimzawa Год назад

    Shukrani sana kwa hii ✌

  • @georgeikinya2779
    @georgeikinya2779 2 месяца назад +1

    Beautiful narrated history of Tanzania. I have heard about this son of the soil Oscar kambona but never knew much his role in liberation of Tanzania and the acrimonious parting of ways between him and Nyerere. In so many ways he was brilliant and finally was vindicated. It seems almost everywhere dirty African politics in newly independent African nations robbed the continent the benefits of many of its great minds.Thanks much

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 Год назад +6

    Oscar; Never outshine your Master...!!

  • @NellyCastor-ny2sp
    @NellyCastor-ny2sp Год назад +1

    Msaliti

    • @Devotha-h5m
      @Devotha-h5m 6 месяцев назад +1

      Uliuwepo wakati huo

  • @milley7185
    @milley7185 Год назад +1

    ni malaya malayaaaaaaaa

  • @JoshuaDarema-ts4ir
    @JoshuaDarema-ts4ir Год назад +2

    Nashukur Kwa nakala huu keep it up!!!👍

  • @tumainimatandala1847
    @tumainimatandala1847 9 месяцев назад

    Kambona alikua influencer but Nyerere was a true Leader. Wangelewana tungekua mbali.

  • @LugomboMaKaNTa
    @LugomboMaKaNTa Год назад +1

    Huyu alikuwa na njaa ya madaraka hadi kumsingizia Nyerere kuwa anaficha pesa nje! Tunamshukuru Kwa kushiriki mapambano! RIP Kambona.

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Месяц назад

      Wewe Leo Tu umemsikia kambona...lini ulimjua kambona???

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Год назад +1

    alikuwa kibaraka wa wareno na makaburu wa SA kwa ufupisho