Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- #TheChanzoDocumentary
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved
Moja kati ya makala bora sana iliyosheheni historia ya nchi, hongera sana the Chanzo
Laiti kambona angepata nafasi nchi ingekua mbali
Mbona Mbambabay hakukuwa na chochote? alibadililishwa akili na wazungu huyu Kambona.alikuwa na uchu wa madaraka huyu Kambona.
Unajua tatizo letu watanzania tumelishwa sumu mbaya yakuamini kua mpinzani yoyot wa chama tawala ni mtu mwenye uchu wa madaraka kama nihivyo basi hata hawa watawala pia ni wachu wa madaraka maana isingekua ivyo wasingekua bize kuwashukhulikia wapinzani wao badala yak wange shukhulika kutatua matatizo ya wananch
Kabisa ndugu km hangekuw wTu Safi wangepokezana madalaka
Acha ujinga.
Oscar utadhan kijana wa bongo fleva. Aliishi mbele ya muda
Nyerere ndio chanzo cha kuitia tanganyika umasikini
Kama tungeanza na Kambona Tz isingekua hivi tungekua kama Afrika kusini
Kambona alikuwa shujaa sana ilasematu hawa watawala hawaitaji kukosolewa
Harafu mambo yote aliofanya Kambona hajatajwa kabisa yani hatumfahamu kabisa
Kweli kabisa...kadhulumiwa
Kumbe toka kipindi hicho
Ukiwa na wamazo tofauti Serikali hii ya CCM ilikuona Adui mkubwa.
Kambona ni Shujaa wa Nchi hii Alipigania Mambo ambayo Tulianza kuyaona mwaka 1992+
si msaliti
Osca kambona ni Alikuwa shujaa
Kambona hakua msaliti na alikua hana tamaa ya madaraka ndio mana alimwambia nyerere kue na vyama vingi. Daa Kambona ni chuma kilichopotezwa na watu wenye tamaa ya madaraka...jamaa alikua mjanja sana na alikua na hakili nyingi..
NYERERE ALIZOROTESHA UCHUMI WA NCHI. LAKINI KWA KIASI FULANI ALILETA USAWA NA AKAONDOSHA MATABAKA KATI YA WATANZANIA. NA BORA ZAIDI HAKUWA MFISADI.
Kama ningekuwepo ningewa upende wa Kambona
Kwa kiburi uchawi na roo yake mbaya nyerere watanzania ikaakosa kisomo
Tumemuimba Osca kambona Kama msaliti,kumbe alikuwa na mawazo chanya za kusaidia WaTZ,siasa ya ujamaa Ni chanzo Cha umaskini wa Tanzania,"Socialism is the phylosophy of failure,alisema Winston Churchill aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza!
Hilo swali aliulizwa Nyerere na wazungu na alilijibu kwamba siasa ya ujamaa na kujitegemea ilikua fairule. Anyway tuseme siasa ya ubepari ndo ilikua njia nzuri ya kuupiku Umasikini 😂😂, Nigeria ni Tajiri ?pamoja na mafuta yake. Vipi Malawi etc.
@@TM.Sullusi 😅
😂😂siasa ya ujamaa ni chanzo cha umaskini😂😂😂 unaijua Urusi na China et "socialism is the pslosophy of failure" yaani ubepari wa watu wachache kujilimbikizia mali ndio utajiri na usawa tumia akili na sio mihemuko yaani unataka kuniambia mfumo wa tajiri kumuibia maskini ndio mfumo bora wa kuondoa umaskini 😅😅😅
@@meshackngaboss1236 Tatizo la wavivu wa kufikiri Ni kuaminishwa kwamba tajiri Ni mwizi ,fisadi.Nchi yoyote haiwezi kuendelea bila kuwa na matajiri wanaoisukuma sekta binafsi,Ndiyo maana Viwanda vyote Tanzania vilikufa kwasababu hapakuawa na kiwanda Cha mtu binafsi,wenzetu Kenya Viwanda vyao vipo na vinachapa kazi sababu ni.vya watu binafsi,Tanzania siyo nchi ya kuifananisha na urusi na china,labda tujaribu Kenya.
@@meshackngaboss1236 Tatizo kubwa la wavivu wa kufikiri Ni kuaminishwa kuwa " Tajiri Ni mwizi,Imani hiyo bado inazagaa hapa Tanzania,uchumi wa nchi yoyote duniani unapaishwa na sekta binafsi,sekta binafsi Ni matajiri ambao wanasaidia kutoa ajira,kulipa Kodi serikali na uchumi unakua,Hakuna sababu nyingine iliyoua Viwanda vya Tanzania isipokuwa Ni kwasababu ya kumilikiwa na serikali,Wenzetu Kenya Viwanda vyao vipo na vinachapa kazi kwasababu Ni Mali ya watu binafsi,Ni kosa kuifananisha Tanzania na Urusi&China,maana china ya ujamaa Ni Ile ya Mao Zetung siyo hii ya Sasa!
Kambona alikuwa mtu mwenye mawazo ya demokrasia, Nyerere alikuwa hautaki demokrasia
Makala nzuri sana, tunaona historia kama hizi ziendelee kuletwa katika mwanga. Aidha siasa za mlengo wa kushoto si ukomunisti bali ubepari 1:01:11
Abed Amani Karume, Oscar S Kambona and Edward Moringe Sokoine great Heroes of the United Republic of Tanzania😊😊😊😊
Chanzo tv.
Utambulisho wenu uwe ni huu.maana sio wote wanapokea umbea na Mambo ya hovyo mitandaoni.
what a talent in his heart oscar kambona angekuwa rais hii nchi ingekuwa na uchumi mkubwa kutokana na utajiri ilionao, madin , vivutio maziwa nk. ndio maan alipinga ujamaa sera ya chama kimoj aliona mbali sana
Ww bwana kin tundu lisu blaaa blaa nying
kweli aise , mpaka leo tunaishi kwenye sera zake
KAMBOMA ALIONEWA!!
HAKUKUBALIANA NA SIASA YA KUWAPORA WATU MALI ZAO!!
Osca kambona alikuwa shujaa
3rd December, 1972 Beautiful Sunday St Francis Xavier.THE DARKEST DAY in our Nations History. Divine Intervention saved me and our nation.
Kambona ni jasiri sana huyo ni mwamba na pia ni mfano kwa watu Roma apo ndio pakuhiga...
Sana Viva roma viva
Chadema**who will cast the first stone Jenerali, Kubenea, Freeman, Lema,, Antipas and Sugu==Jehovah God.Jehovah is watching and Dr Samias Guardian Angels are protecting Africa's greatest Leader. Don't fight against Almighty God. Sauti ya watu ni Sauti ya Mwenyezi Mungu. Repent or perish with other cowards. Mteis CHADEMA has gone to the dogs but not Hon John Mnyika a true son of Africa.😊😊😊😮😮😮
R.I.P Oscar S Kambona and your beloved son who died in Britain. The son-s done is still a mystery😮😮😮
Oscar was a hero but never outshine your master ...
amazing jornalism
my favorite Tanzanian news outlet;Vienna
Iko vizuri sana hii makala...mmefanya research ya kutosha...kudos kwa Chanzo
In my eyes, he's an unsung hero. Man ahead of his time. May you rest in peace. Africa once again, has silenced a great mind.
Tatizo kubwa la Kambona alikuwa hajajikwamua kifikra. Nyerere alimwamini sana Kambona lakini baadaye kambona kwa kutaka ku-advance ubepari alijikuta njia panda! Mohammed, asante sana kwa kuwaelezea watanzania hususani vijana ambao wamezaliwa baada ya multi-party system Tanzania. Oscar alirudi Tanzania kwa humanitarian reasons, Nyerere alikubali Kambona arudi kwa sababu tayari alikuwa ni mgonjwa.
Wakati anarudi Kambona Rais ni Ali Hassan Mwinyi na Waziri wa Mambo ya Ndani alikuwa Marehemu Augustino Mrema ambaye alikuwa moto sana wakati huo na aliweka wazi kuwa akija tu Tanzania atamkamata na kumuweka ndani,hivyo macho ya watu wengi yaliingojea hiyo siku wajionee moto,mzee Mwinyi ndiye alimzuia Mrema na hizo hatua Mzee Mwinyi alicheza karata nzuri pia kwa marehemu Abdulrahman Babu ambaye naye alikimbia nchi kwenda Uingereza akihusishwa na kifo cha Karume...Nyerere hakuwa tena na sauti ya kuruhusu au kutoruhusu .
Kambona one of true Sons of Africa🎉🎉🎉
Thanks kwa makala hii brother.. keep up the good work
Platform nyingi wanaandika makala unaona kabisa wameunga kupata pesa tuh, nimependa hiki full research let's have another one
Waalim wa enzi hizo walikuwa wanafikia malengo yao ila hawa sasa Wapo bize na kutongoza vibinti wavitowe bikra tu tena nasikiya eti huwa wanashindana.
Truth will make us free.🎉🎉🎉
Shujaa Safi Sana...
Genious
Huyu ameitendea vyema taaluma yake❤, achana na wale chawa🤔
To God be all the glory.
👏 a very good documentary!
walau na kizazi kipya kiwe na hadithi in digital form, kama hizi
Son-s death....
Hii makala hii🏆🏆
Tunashukuru kwa makala nzuri
Nilikuwa natamani kumjua uyo mwamba asanthe sana chanzo
Waliopigania Uhuru wote Tanzania walididimizwa sana
Ni sahihi
Now ndio namuelew Mzee Nyerere.❤❤
Kumbe ndio maana watu waita siasa ni mchezo mchafu. Yaani kumbe uongo na siasa za uragai alianzisha Nyerere ndani ya ccm.
Kwani hujui hilo kua umafia wa CCM wote uliasisiwa na Mwalim Nyerere......Na ndio chanzo Cha hii nchi kua Rais ndio muamuzi wa Kila kitu na hapingwi kwa lolote lile
@@hasnuumakame9219 Halafu Nyerere alijifunza wapi?😂😂, si hukohuko ambako mnasema kuna maendeleo.
PIA HAKUKUBALIANA NA UJANJA WA NYERERE WA KUPORA MADARAKA YOTE BADALA YA KUWA KIONGOZI AKAWA MFALME JEURI NA KATILI!!
True kabisa....Alipinga madaraka yote kumilikiwa na mtu mmoja..
Duuh kweli kambona Mwamba leo Nimejua Historia ya Ujamaa na kujitegemea ulikuwa kutudidimiza Ndugu zetu wamepitia matatizo kama haya yanayo endelea kumbe ni tabia zetu kukamata kamaka na utwekaji💪💪
Kwa documentary hii Nyerere na chama chake ni useless kama angekua anajiamin angeweka vyama ving ashindane na kambona just challenge
Nikweli kabisa. Lakini nachokiona ni kimoja, kambona alikua smart na alikua na influence kubwa. Lkn hakua kiongozi bora. Kambona alikua Engine ila sio hakua na kipawa cha uongozi.
🎉🎉🎉❤❤❤🎉🎉🎉
🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤
Kwa Baadhi ya Audio Niliyosikia Inaonyesha Kambona hakuwa Mtu Mwenye Uwezo Mkubwa wa Kuzungumza, Hakufikia hata robo ya Charisma ya Nyerere
Ni kweli. But still he was a great prominent leader behind tanganyika independence
Kama ninkwel nyerere asingekuwa anamtuma jamaa kwenda kuonana na wazungu.....
Maneno matupu hayavunji mfupa
❤
😢😢😢🎉🎉🎉
Yani hii documentary imekosa sound nzur tu ila ni hatari🔥🔥🔥🔥
Kubwa sana hii
Kambona aliishi mbele ya muda .. yeye anafikiri leo wengine wanakuja kufanya baada ya miaka 30 haswa mambo ya vyaka vingi na mambo ya katiba yenye nguvu ya kujenga nchi 🔥🔥
Nyerere mtu alipokua maaarufu au kupendwa na watu anakuchukia tunakalilishwa tu ila Nyerere si baba wa taifa ni dhana tu ila hamna kitu roho mbaya sana
Jamani
The dar mutiny of 1964
Oscar Kambona
🔥🔥
Asante sana kwa makala hii. Nilikua na kiu ya huyu mwamba aliemnyima Mwalimu usingizi.
Oscar Ali wahi kupata ujanja
*Promo sm* 🤘
Nice
Nyerere alikua dikteta na amekwamisha uchumi wetu
Usiongelee kile usichokijua.
@@DUL69qq aww
@@DUL69qq aww q
Unaongea usichojua.
Mungu amrehemu hayati kambona ni shujaa hakika
Sijui kwanini mzee Nyerere hajamtia mikwaju, mn mzee Nyerere hana mbambamba ukizinguwa anakutia viboko utajuwa mwenyewe
🇹🇿✌️
Makala imepangwa vizuri🤝💯
Shukrani sana kwa hii ✌
Beautiful narrated history of Tanzania. I have heard about this son of the soil Oscar kambona but never knew much his role in liberation of Tanzania and the acrimonious parting of ways between him and Nyerere. In so many ways he was brilliant and finally was vindicated. It seems almost everywhere dirty African politics in newly independent African nations robbed the continent the benefits of many of its great minds.Thanks much
Oscar; Never outshine your Master...!!
Nyerere did and so did Nkurumah
Wewe mtumwa nini???
Msaliti
Uliuwepo wakati huo
ni malaya malayaaaaaaaa
Nashukur Kwa nakala huu keep it up!!!👍
Kambona alikua influencer but Nyerere was a true Leader. Wangelewana tungekua mbali.
Huyu alikuwa na njaa ya madaraka hadi kumsingizia Nyerere kuwa anaficha pesa nje! Tunamshukuru Kwa kushiriki mapambano! RIP Kambona.
Wewe Leo Tu umemsikia kambona...lini ulimjua kambona???
alikuwa kibaraka wa wareno na makaburu wa SA kwa ufupisho
Ulikuwepo????wewe NI Leo Tu kumjua