Juma Zangira: Afisa Usalama wa Taifa Aliyeshitakiwa Kwa Kosa la Ujasusi Dhidi ya TZ (Espionage) 1977

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Hii ni Makala maalumu kuhusu mkasa wa Juma Thomas Zangira, Mtanzania wa kwanza kushitakiwa na kufungwa kwa kosa la ujasusi (Espionage) dhidi ya Tanzania mwaka 1977.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 63

  • @apostleck
    @apostleck 2 месяца назад +12

    Mheshimiwa, hii kazi ya documentaries za aina hii ni utaalamu wa hali ya juu na husaidia sana jamii kufahamu historia, matukio nyeti kwenye jamii, na upanuzi wa demokrasia na uhuru wa taarifa katika jamii.
    Hongera sana, mheshima kwa taaluma hii haba katika nchi yetu. Hii ndiyo kwa kitaalamu huitwa forensic journalism. Ni.moja ya taaluma ambayo imechochea sana ukuaji wa demokrasia na maendeleo katika nchi nyingi zilizoendelea. Nakutia moyo ukuze kipaji hicho na kukiendekeza. Mwenyezi Mungu akupe kheri 🙏

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 2 месяца назад +18

    Duh umenikumbusha mbali sana chanzo Mzee Tena mbali sana mchambuzi wa chanzo Shafiee KHAMIS so nice to remember that I still remember I was small boy on that time thks so much

    • @shafiihamisi1984
      @shafiihamisi1984 2 месяца назад +2

      Pamoja sana brother!

    • @user-km1do5lq7c
      @user-km1do5lq7c 2 месяца назад +3

      Sasa ndio zangira ashitakiwe et anauza Siri za inchi ya Tanzania Nini Tanzania inacho chakujivunia upuzii mtupu

    • @shafiihamisi1984
      @shafiihamisi1984 2 месяца назад

      @@user-km1do5lq7c 🤣🤣

    • @allyshomari7417
      @allyshomari7417 2 месяца назад +3

      🙏🙏

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 месяца назад +1

      Duuuuu umenikumbusha mbali sanaaaa nikiwa mfanyakazi binti mdogo Nationalist Uhuru

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 2 месяца назад +4

    Sharper man zangira, very iodiotic one

  • @JamshidiKiobya
    @JamshidiKiobya 2 месяца назад +1

    Duu#Bado yuko salama Zangira,,nimemlinda sana Butimba-Mwanza

  • @user-oe1ew9de9h
    @user-oe1ew9de9h 2 месяца назад +6

    Africa tuna roho za ajabu sana yaani unadiliki kuisaliti nchi yako doh

    • @Mapenzi2635
      @Mapenzi2635 2 месяца назад

      Tuna akili nyingi sana hivyo hatuna maarifa

  • @mshengajuma.9113
    @mshengajuma.9113 2 месяца назад +2

    Ahsante sana the chanzo

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 2 месяца назад +2

    KAMA HAUNA KARAMA HII UNAWEZA KWELI KUTOA MAELEZO YOOOOTE HAYA❤

  • @MinskBelarus-il2tl
    @MinskBelarus-il2tl 2 месяца назад +4

    Je,huyo Juma Zangira,alitumikia kifungo chake, bado yuko Hai,na hakuwa na Washirika katika ujasusi huu. Ningeshauri AFANDE MSIKA atengeneze Filamu ya tukio hilo

  • @HassanWasiwasi-lq1kh
    @HassanWasiwasi-lq1kh 2 месяца назад +1

    KAZI nzuri 🎉

  • @eliaezekiel6766
    @eliaezekiel6766 2 месяца назад +5

    Mwamba Shafie Khamis anajua kushika masikio ya msikilizaji

    • @shafiihamisi1984
      @shafiihamisi1984 2 месяца назад +2

      Pamoja sana bro Elia

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 месяца назад

      ​@@shafiihamisi1984TUPE STORI ILE BARUWA BOMU ILIO MUUWA MONDLANI NA KIJITI KILIENDELEZWA NA SAMORA MASHEL PLZ

  • @rausathsued8852
    @rausathsued8852 2 месяца назад +3

    Makala nzuri Sana, Ila sauti imetushika masikio 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 2 месяца назад

    Hongera sana, Ndugu Shafii

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 2 месяца назад +1

    Let's be patriotic as was during nyerere days

  • @rshidmwasa8493
    @rshidmwasa8493 2 месяца назад +3

    Makala nzuri

  • @aflahrajabu9919
    @aflahrajabu9919 2 месяца назад +1

    Hongera sana kamanda mssika

  • @mwaikuka
    @mwaikuka 2 месяца назад +1

    Great

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 2 месяца назад +1

    Daraja la salenda kuna stori moja matata sana naiomba kwa sauti mkuu

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 2 месяца назад +1

    Je zangira yupo hadi sikuhizi?

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 2 месяца назад +5

    Where is zangira now ??

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 2 месяца назад +1

      Hilo ndio Swali zuri sana.

    • @boban16
      @boban16 2 месяца назад +1

      hawezi kuwa hai hata siku moja

    • @shafiihamisi1984
      @shafiihamisi1984 2 месяца назад +1

      Zangira alitumikia kifungo chake na alipomaliza alitoka akawa huru...baadae alifariki

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 2 месяца назад

      @@shafiihamisi1984 Ooh,Asante kwa Taarifa🙏🙏

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 2 месяца назад +2

    Somo zuri kwa vizazi vyetu

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 2 месяца назад +1

    Je alitoa hizo siri?...

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 2 месяца назад +1

    Aah zangira , aah zangira why this?

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema 2 месяца назад

    Huyo alikuwa haini kabisa wala hakuwa raia mwema na hakustahili kulitumikia taifa letu pendwa. Inastaajabisha na ni aibu kubwa sana walimjuaje kuwa anafanya hiyo kazi nyeti mpaka wakamtumia? Hatari sana.

  • @MichaelShigela
    @MichaelShigela 2 месяца назад +3

    Huyuu ndio DOUBLE AGENT mkuu😂😂😂

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 2 месяца назад

    Yaani hakuna anaejua alipo Juma Zangira?

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 2 месяца назад

    HONGERENI WATUMISHI WOOOOOTE WA USALAMA WATAIFA WANA KAZI KUBWA SANA.

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 2 месяца назад

    NI KARAMA HIYOOO KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 2 месяца назад +4

    Mssika yupo hai mpaka leo

  • @anastaziuscyriacus5415
    @anastaziuscyriacus5415 Месяц назад

    Tz ilipanic tu,

  • @EmmaMselle
    @EmmaMselle 2 месяца назад

    Makachero

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 2 месяца назад

    MUNGU AWALINDENI TU

  • @OttoChiduo
    @OttoChiduo 2 месяца назад +1

    Huyo hakuwa tena jasusi Bali kibaraka wa mabeberu, mhaini na msaliti wa Taifa !

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 2 месяца назад

      Jua kwanza maana ya ujasusi..

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 месяца назад

    ✌️👍👊.

  • @LishaPasha
    @LishaPasha 2 месяца назад +1

    saafi sana.
    tu document historia na matukio ya nchi yetu