HAJI MANARA AFUNGUKA KUHUSU ALLY KAMWE "HAKUNA BOSS" | TUTAFANYA KAZI PAMOJA | AJIBU MASWALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
    Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv

Комментарии • 104

  • @bisejulius4100
    @bisejulius4100 Месяц назад +21

    Karibu sana mwamba, tulikumis.

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 Месяц назад +10

    Karibu sana Bugati tulikumiss sana kwenye mpira

  • @manasecharles894
    @manasecharles894 Месяц назад +12

    Mwamba huyu hapa 🤝🤝🔥💛🔰

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Месяц назад

      Sema tena🤣🙈🙈huyu kiboko

  • @SmilingBubbleTea-vm3nz
    @SmilingBubbleTea-vm3nz Месяц назад +14

    Nimefurahi sana kufunguliwa kwako Haji Manara

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm Месяц назад +5

    Tunamtaka manara kitengo Cha Usemaji Kamwe Abaki Afsa Habar!!! Safiii sanaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ manara

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 12 дней назад

      Nyooooo😏😏hatumtaki

  • @abednego1042
    @abednego1042 Месяц назад +15

    We nae unataka kują kutuvuruga tu! Najua Eng. Atakutafutia kitengo, ile kwenye usemaji , tumesharidhika sana na Ali Kamwe

    • @alicenice1711
      @alicenice1711 Месяц назад +3

      We utakua kolo😂😂

    • @martinemaganga5253
      @martinemaganga5253 Месяц назад

      Huyu huwa siyo msemaji wa yanga ila huwa mhamasishaji wa yanga

    • @MastaMbwilo
      @MastaMbwilo Месяц назад +1

      Chukua Pepsi big. Unahoja nakuunga mkono.

    • @MaxMatinde
      @MaxMatinde Месяц назад

      Umeona ee

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Месяц назад +2

      Mokolo hawampendi Manara kwasababu tangu atoke simba timu lao Makolo halifanyi vizuri

  • @ismailmsoke3730
    @ismailmsoke3730 Месяц назад +7

    Uko sawa

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c Месяц назад

    Ajj kudadeki nimependa unavojibu maswal kwel wew ni giant🤝🤝🤝

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Месяц назад +8

    Aibu kwa visununu walio hamia kule. --- kutoka kule " wanajitoa mpaka ufahamu kwasababu ya chuki binafsi "

  • @rashidmalilo3657
    @rashidmalilo3657 Месяц назад +3

    Huna lolote unafata tonge tu mwachie kijana wa watu ally kamwe Paige kazi tunampenda kijana mwenzetu

  • @kadito-o3j
    @kadito-o3j Месяц назад +2

    Boss ni Mungu fanyeni heshima watangazaji😂😂

  • @EliaMkumbo-wn7bm
    @EliaMkumbo-wn7bm Месяц назад +10

    Bugatti kama Bugatti hatimaye karudi twende kazi

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Месяц назад +1

    Ally Kamwe kazi anayo,,,,,shida ishamkuta!!

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Месяц назад +2

    Namkumbuka Dr Sule alisema Domo lamanara linahofisha Ynga itachukua makombe Back to back

  • @MtashobyaJosia-wt9jq
    @MtashobyaJosia-wt9jq Месяц назад +2

    mtashobya josia nikiwa Kenya isibania karibu Sanaa kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho jibu maswari machache wasikuweke Tena kweye majaribu kuwa makini bugati

  • @SteveKamwaya
    @SteveKamwaya Месяц назад

    Sawa

  • @EliaMkumbo-wn7bm
    @EliaMkumbo-wn7bm Месяц назад +8

    Gonga like kwa Bugatti hapa

  • @MohamedShivji-v6i
    @MohamedShivji-v6i Месяц назад

    Safi sana bugatti.. Karibu sana mpambambanaji

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 7 дней назад

    Fanya kazi ya kuipeleka Dini mbele acha Tena na Mambo ya kipuuzi

  • @MudyMuzungu-g9g
    @MudyMuzungu-g9g Месяц назад

    Ndo ukubwa uo I prisiate that😊

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 Месяц назад

    Welcome Back Bugati

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 7 дней назад

    Huyu Hana lolote wakati hafanyi Mambo ya kumpendezesha Allah

  • @patrickfulano5282
    @patrickfulano5282 Месяц назад

    Interest ni Football " a pin point"

  • @rasakakaombwe
    @rasakakaombwe Месяц назад

    Nakubali sana haji

  • @VaiEliass
    @VaiEliass Месяц назад

    Turikumiss sana

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Месяц назад +1

    Boss wa Yanga ni mmoja tu, naye ni Engineer Rais Hersi Said! Hakuna sababu ya uchonganishi na uchochezi!

  • @OmaryShemgomba
    @OmaryShemgomba Месяц назад

    Nakubali manara

  • @faustinlufungulo1976
    @faustinlufungulo1976 Месяц назад +1

    manara fanya mambo mengine pale yanga ally anatosha

  • @LivadoBrayson
    @LivadoBrayson Месяц назад

    Nakubal

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Месяц назад

    Bugatii baba lao,shusha like

  • @MudyMuzungu-g9g
    @MudyMuzungu-g9g Месяц назад

    Xafi xanaaaaaa

  • @stephano263
    @stephano263 Месяц назад +1

    Alikamwe anatosha kaka

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Месяц назад +2

    Sawa Bugatti

  • @abdulkarimsalum356
    @abdulkarimsalum356 Месяц назад

    Ali kamwe hamfikii manara.
    apo sas makoro watajuwa hawajui 😂

  • @aboubakarylilah2396
    @aboubakarylilah2396 Месяц назад

    Haji kuwa na kauli nzuri sie sote yanga usiwaje watu usimi

  • @justusmukurasi4383
    @justusmukurasi4383 Месяц назад +1

    😂 Sure

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 Месяц назад

    Ila unapenda UKUBWA NA SIFA,

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 Месяц назад +1

    Bugatti ni kifaa Hana baya aisee

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Месяц назад

    ............is back😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Месяц назад

    Kalibu mwamba wetu tubebe kombe la CAF

  • @ismailmsoke3730
    @ismailmsoke3730 Месяц назад +2

    Nakukubali

  • @ahnafaykhan698
    @ahnafaykhan698 Месяц назад +1

    sema tulia na mkeo shenz kabisa

  • @YonaHizza
    @YonaHizza Месяц назад

    Mgali fulan mkuubwaaaaa😅😅😅 tens kalibu

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Месяц назад +1

    Nakupenda bugati,zaylissa niachie sasa inatosha bhana 😂😂😂

  • @MariaJakobo
    @MariaJakobo Месяц назад

    Tunakuitaji bugati wanachi wamekumis sana

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Месяц назад

    Manara wewe ndio kilakitu.lazima wewe ndio ubaki.huyo mwingine anatumia nguvu sana sio mambo yake hayo.wewe ndiyo ubaki tunakupenda manara.tulikumiss

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Месяц назад +1

    Ali Kamwe kwisha habari yake

    • @Lusindehalima-si3ej
      @Lusindehalima-si3ej Месяц назад

      Manara wallah nakukubali sana kwa shughuli za mpira wengine wanaiga

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 Месяц назад

    Ila Wenye D 2 tumeelewa kuwa bosi ni yupi!.

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Месяц назад

    😂😂wanyoshe waandishe waandishi wamchongo😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @NwakaMwangajapho-p3h
    @NwakaMwangajapho-p3h Месяц назад

    ata mtukane karudi kama amtaki tuachie tunae mtaka kawakosea nini

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer Месяц назад

    Umeanza kumsema boss wako😅😅😅😅😅

  • @VaiEliass
    @VaiEliass Месяц назад

    Mwaka huu watakoma mwamba karudi

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 7 дней назад

    Na huyo mke wako msitiri

  • @TumainiBraytoni
    @TumainiBraytoni Месяц назад

    Apo manara Ana jipendekeza tuu😂

  • @user-lv7zy7mx9i
    @user-lv7zy7mx9i Месяц назад

    Mungo huyo kamwe hana lake

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Месяц назад

    Uyu Manara anasema kwenye wametoka kumya5 camana dufahamishe kumyaka5 nakumyaka 2 huoni utfauti??? Kumya2 kombe2 kumyaka5 irikuwaje?? Uyu Manara nimagoma naba2😛😛😛😛

  • @deejeydaev
    @deejeydaev Месяц назад

    Mwandishi kapigwa mbata.. soma hahaha

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Месяц назад

    Uo ushamba wa kumchukua zailisa tujue ndoulumbukeni au Acha ujinga mbona kina ingenear wanita comfrenc hatuoni wake zao ulimbuken haji hunaishu unaliwa pesa tu apo😊

  • @makamelila
    @makamelila Месяц назад +2

    Wasemaji 2 naonhawa mh haya

  • @AnnoyedDove-oo3kk
    @AnnoyedDove-oo3kk Месяц назад

    Kwani bado umeajiliwa

  • @jseventz
    @jseventz Месяц назад

    ally abaki msemaji ameipa mafanikio team huyu ni kama mzee magoma tu

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 Месяц назад

    Yanga anatawala Tanzania kwa mpira Nchi kwa misimu mitatu ndo anatawala acha Uongo zungu😂😂😂

  • @JonayMbelwa
    @JonayMbelwa Месяц назад

    Bro bugatti nakuelewa ww piga kaz maneno yapo 2

  • @yoramzakeyo7261
    @yoramzakeyo7261 Месяц назад

    ss Ali kamwe anatutosha jaman uyu nae tena

  • @antonykpatricj2864
    @antonykpatricj2864 Месяц назад +2

    Bugatti mmoja 2

  • @salehhassan87
    @salehhassan87 Месяц назад +3

    Bugatti ninavyokujua Kwa Ali Kamwe , mtagombana tu , na kwenye office yoyote lazima kuwe na boss kwa Mujibu wa Taratibu za yanga Haji manara ni msemaji wa yanga na Ali Kamwe ni Meneja wa Habari na Mawasiliano , hivyo Ali Kamwe ni Boss

  • @habibseif8989
    @habibseif8989 Месяц назад +3

    Manara anakuja kuivuruga idara ya habari ya Yanga

  • @faustinlufungulo1976
    @faustinlufungulo1976 Месяц назад

    mimi naona ally kamwe anatosha hersi mtafutie haji manara cheo kingine

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Месяц назад +1

    Bos wako alli kamwe wewe acha ujinga yule alikamwe nibos wako wewe

  • @SamsonLigaile
    @SamsonLigaile Месяц назад

    Acha zako wewe Ally kamwe boss wako huwez ondoka

  • @user-ws9no8hz8k
    @user-ws9no8hz8k Месяц назад

    Atuachie kamwe wetu

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Месяц назад

    Sasa upere umemkuta mkunaji uyu ndiyo mtu wa hamasa kiukweli kama mwana yanga nimefurahi sana

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 Месяц назад

    Labda co operative n ugomvi Huna jipya

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 Месяц назад

    Kazeeka Asee ... Afu huyu zai Nae Hata kama NI Hela Asee Daaah

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Месяц назад

      Haji sio Mzee kiivyo, ni ngozi zao Tu ndio zilivyo na ndio zinazomfanya aonekane Mzee,,,,

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Месяц назад

    Soga tu huyu hatumtaki yanga mnafiki maluku huyu simba

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Месяц назад

    Manara huna lolote Unalongolongotu Aca Ally Kamwe aendereze kwenye urishindiwa tumefika mbari na Ally Kamwe acamaneno sasa iyimyaka miwiri Yanga ingekuwawapi??? Rudi simba tuwaciye Ally wetu

  • @katalisajuka-fl3st
    @katalisajuka-fl3st Месяц назад

    Mmmm Kamwe kazi anayo

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Месяц назад

    Kumekucha kumekucha

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 Месяц назад

    Mwamba gani.mvuta sogara huyo

  • @rashidsaid678
    @rashidsaid678 Месяц назад

    Bugati ni mmoja

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад

    Mbona unazeeka sana Nakushauri hii Fani ya usemaji uachane nayo hora uwe kocha wa uto

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Месяц назад

    Magoma shugulika na huyu naye

  • @senisamwel4048
    @senisamwel4048 Месяц назад

    Ali kamwe na privaldinho vitumbua vimetiwa mchanga

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Месяц назад

      Shida wanayo,,,,maana huyu bwana ni mtu wa tulumbatulumba

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад

    Thubutuu hizo pesa unatoa weee kenge wee jenga wee huo uwanja kama rahisi mbona hana nyumba huna na unapanga hadi leo

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA Месяц назад

    HAJI MANARA UKO VIZURI ILA ITAPENDEZA ZAIDI UKIREJEA SIMBA SPORTS CLUB

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Месяц назад

      Alishafukuzwa SIMBA

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA Месяц назад

      @@jumakapilima7295 JE PALIKUWA NA UHALALI WA YEYE HAJI MANARA KUFUKUZWA SIMBA? Hata kama kafanya MAKOSA HAJI MANARA ANASTAHILI MAUA YAKE.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Месяц назад

      @@YOSHUAMWAMPETA hakuna aliyejuu zaidi ya taasisi

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA Месяц назад

      @@jumakapilima7295 JE HIYO NI HOJA YAKO?

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад

    wewe ni chawa lazima Rafiki zako wote wawe na pesa