MANARA AFUNGUKA ALLY KAMWE NDIYO MSEMAJI NA AFISA HABARI WETU? MKUTANO WAZUIWA MASWALI KWA WAANDISHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 200

  • @jamessilayo240
    @jamessilayo240 2 месяца назад +7

    Yanga bingwaaa 😂😂thanks . Anae bisha akufeeeeee😊

  • @YusuphMalimi
    @YusuphMalimi 2 месяца назад

    The return of champion

  • @InnocentPius-g3x
    @InnocentPius-g3x 2 месяца назад +5

    Kweli kabisa iyo iko sawa Ali kamwe yuko pw❤

  • @SixbertMartin
    @SixbertMartin 2 месяца назад

    Hiyo ndio Yanga ❤❤ yanga

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 месяца назад +2

    Hongereni sana wana wa Jangwani tunawapenda sana

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 2 месяца назад +1

    uko powa sana nakuelew
    🎉🎉🎉 Yanga hatuna Malumbano wanaopitisha maneno ya kamwe na manara washindwe

  • @mcgabby
    @mcgabby 2 месяца назад +20

    Aaah ukituliza kichwa huyu jamaaa yuko vizuuuriii mnooo mashineee ya kuongea😂😂😂

  • @SixbertMartin
    @SixbertMartin 2 месяца назад

    Hiyo ndio Yanga ❤❤ naipenda mpaka naumwa

  • @SekelaBraison
    @SekelaBraison 2 месяца назад +4

    Nimefurahi sana Ally kamwe kuendelea kuwa msemaji wa jangwani.

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 2 месяца назад +12

    Buggati manara namba moja duniani

    • @mrsab303
      @mrsab303 2 месяца назад +1

      ❤❤❤❤❤

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations 2 месяца назад +5

    Hatar saana

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 месяца назад

    Haji manara una hekima sana 👍🏽💚💛

    • @fnnyanda5993
      @fnnyanda5993 2 месяца назад

      Mr.Manara,Hammjui sawasawa,HUYU HAAMINIKI,Mwaka 2025 Atarudi Simba tena.PERIOD.

  • @salimnassoro8754
    @salimnassoro8754 2 месяца назад +27

    Khaji Sande Mannara ni Afisa muhamasishaji na Ally Shabani Kamwe ni Afisa habari

    • @MzansiDiski27
      @MzansiDiski27 2 месяца назад +2

      Manara anaweza kuhamasisha mataahira tu.

    • @EdwinAdAstra
      @EdwinAdAstra 2 месяца назад +2

      ​@@MzansiDiski27 hahaha. Matahira wenzake

    • @peacerichard8970
      @peacerichard8970 2 месяца назад

      Pole sana kolo wizard,wivu huo​@@MzansiDiski27

    • @HamzaMduda
      @HamzaMduda 2 месяца назад

      Tuliza kijambio​@@MzansiDiski27

    • @HamzaMduda
      @HamzaMduda 2 месяца назад

      Tuliza boll

  • @yassindibwe-sb7mq
    @yassindibwe-sb7mq 2 месяца назад +7

    Wananchiiiiiiiiiiii,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 2 месяца назад

    Professor

  • @MassoudAbdalla-v9g
    @MassoudAbdalla-v9g 2 месяца назад +8

    Bugart karibu tena jangwan

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 2 месяца назад

    Professional

  • @AbdiSele-94
    @AbdiSele-94 2 месяца назад +18

    Hata jeshi tutafwatua wanayanga
    Hatushindwi
    YANGA oeeeeeeeeeeeee

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 2 месяца назад +7

    Tuimzoea sn kamwe anajua sn hana panick

  • @GodfreySarakikya
    @GodfreySarakikya 2 месяца назад

    NJAA MBAYA

  • @mahamedally5129
    @mahamedally5129 2 месяца назад

    Manara arudi itakuwa poa sanaaa

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq 2 месяца назад +3

    Ali kamwe awe msemaji huyo manara,hafaiii

  • @MudluckmTitus
    @MudluckmTitus 2 месяца назад

    ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 2 месяца назад +1

    Mmecheza na kikosi cha watoto wadogo wa Kaizer chiefs

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459
    @mohamedhamismagoraonlinetv459 2 месяца назад

    Upo vizuri Hajjy Sunday Manara.

  • @VaiEliass
    @VaiEliass 2 месяца назад

    Tunawapenda wote sisi sio wanafiki yanga ya upendo

  • @gwakisakaswaga5249
    @gwakisakaswaga5249 2 месяца назад

    Nashauri .... jitahidi kutulia kwenye kiti. Too much swinging unaharibu concentration ya wasikilizaji

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 2 месяца назад +15

    Ushakuwa msemaji mzee tunataka vijana kizazi hiki ni Cha gz

  • @Sam-Pozzeh
    @Sam-Pozzeh 2 месяца назад +3

    Waje BAYERN MUNICH

  • @NasriMalogo-iz2tb
    @NasriMalogo-iz2tb 2 месяца назад

    Mi namkubari manara jamaa hatarii uyu

  • @MudluckmTitus
    @MudluckmTitus 2 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Frenkchipaga
    @Frenkchipaga 2 месяца назад

    Bukati kama.Bukati msemaji Afrika

  • @ZainulKiondo
    @ZainulKiondo 2 месяца назад

    mnafiki

  • @SaidyIbrahim-f4h
    @SaidyIbrahim-f4h 2 месяца назад

    aweee Tena IPO nayo sawa kaka

  • @jamesnyakia-um7iu
    @jamesnyakia-um7iu 2 месяца назад

    Karibu tena Bughat...
    Yanga inaendelea kushinda

  • @kelvinedward1405
    @kelvinedward1405 2 месяца назад

    Kila wakati na zama zake hizi zama za ally kamwe huu usemaji wa kupayuka payuka umeshapita tyr

  • @SamwelMaziku
    @SamwelMaziku 2 месяца назад

    Manala hongela sana unaju kuhamasisha

  • @KinotaSon
    @KinotaSon 2 месяца назад

    Ni shidaaaaaaaa

  • @alfredmhilu5095
    @alfredmhilu5095 2 месяца назад +13

    Ali kamwe ni bora kuliko manara

    • @enjoysoccer1
      @enjoysoccer1 2 месяца назад +1

      uongo huo uongo huo

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 месяца назад

      Kila mtu ana Karama yake!

  • @antonymodestus2872
    @antonymodestus2872 2 месяца назад

    Unazeeka vibaya we mzee

  • @SalminiJuma-p1v
    @SalminiJuma-p1v 2 месяца назад

    Tunamuitaj Ali kamwe ndo awe msemaj wetu

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala4540 2 месяца назад

    Kwa hiyo yeye ni Nani?

  • @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
    @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN 2 месяца назад

    Wewe ni chavichavi

  • @mailacamillius
    @mailacamillius 2 месяца назад

    Ulikurupuka Serena hotel. Sasa mabosi wamekuambia karekebishe makohozi uliyoyatema

  • @ChoghoghweDaudi
    @ChoghoghweDaudi 2 месяца назад +7

    Yanga wakimuacha kamwe wamebugi bugati kashapoteza mvuto

  • @AnnaMark-cm8ch
    @AnnaMark-cm8ch 2 месяца назад

    Yanga inanikuna kunako

  • @LukasIbramovic
    @LukasIbramovic 2 месяца назад +4

    Young mabingwa tenaa 2:21

  • @nshishiponsian8853
    @nshishiponsian8853 2 месяца назад +3

    Nane shekh

  • @sabatoongara8763
    @sabatoongara8763 2 месяца назад

    Yanga ni tanuru acheni wafanye kazi

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 2 месяца назад +1

    Kwakweli Haji huwa anaongea vizuri kuliko Ali

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l 2 месяца назад

    acha kutembelea nyota ya ally kamwe

  • @kassimbawazir8300
    @kassimbawazir8300 2 месяца назад +1

    oya acha kashfa kwa manara yeye ndiyo kazi iliyomwajiri na ally kamwe alikaimu baada ya kufungiwa kama hujui uliza uambiwe , ally kamwe amefanya vizuri sana apewe kazi nyingine ili awepo yanga

  • @Michaelmhina-rt3kp
    @Michaelmhina-rt3kp 2 месяца назад

    Big team

  • @awazioga1823
    @awazioga1823 2 месяца назад +3

    Bugati kama bugati ally kamwe pamoja wote waaajiwa wa yanga

  • @JuliusiMasanja
    @JuliusiMasanja 2 месяца назад

    KAMA ALI KAMWE HAYUPO HATUJI

  • @noelmbise9157
    @noelmbise9157 2 месяца назад

    😂😂😂mzee wa madem huyo

  • @waziriwaziri4330
    @waziriwaziri4330 2 месяца назад

    Hi

  • @JumaJuma-g5e
    @JumaJuma-g5e 2 месяца назад

    Arrbaah. Bin. Sufuurr

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 2 месяца назад

    Naona Leo hajaja na twiga

  • @akilipeter1660
    @akilipeter1660 2 месяца назад

    haji manala ni influencer na ally kamwe ni msemaji

  • @JohnGoryo
    @JohnGoryo 2 месяца назад

    We rudi simba umeanza kumuchokonoa ally kamwe wetu

  • @ShalomChamgeni
    @ShalomChamgeni 2 месяца назад

    🎉🎉🎉

  • @SiemreTz
    @SiemreTz 2 месяца назад

    Ha ha h..yanga..raha sanaaaaa

  • @LucyMbwambo-w4d
    @LucyMbwambo-w4d 2 месяца назад

    Manara atafutiwe kazi nyingine ndani ya yanga,saiz amwachie dogo kamwe aendeleze alipoishia

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 месяца назад +3

    Yanga waanzishe kurugenzi ya wanachama/wanachama/wapenzi, na iongozwe na haji manara. Usemaji wa mambo timu abaki Ally kamwe

  • @richardmrosso976
    @richardmrosso976 2 месяца назад

    Haji ni na pale yanga?

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha3055 2 месяца назад +2

    Acha stori nyingi maelezo marefu

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 2 месяца назад +1

    Mmechemka mmetafta kibonde hamna lolote...

  • @ShukurkollAngel
    @ShukurkollAngel 2 месяца назад +3

    Manara ana uzoefu na umahiri mkubwa. Ni mtu mwenye uwezo wa kujibadili badili. Kwa mfano kuonekana Mzee na kuonekana kijana tena kijana mtukutu akaleta furaha kwenye kadamnasi. Kwa ukweli ni Mahiri sana. Huyu ana kipaji kikubwa sana. Lakini Ally Kamwe naye ni mzuri ana staili zake. Basi wote wawe pamoja tutakuwa na Klabu kubwa siyo tu kwa wachezaji bali hata wasemaji.

    • @mrsab303
      @mrsab303 2 месяца назад

      ❤❤❤❤❤❤

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 2 месяца назад +1

      Manara hii ni karama yake.

  • @omaryshabani3480
    @omaryshabani3480 2 месяца назад +12

    Huyu ndio mtu nilikuwa namsubiri mnoo..arudi kwenye hili soka letu sasa baasiii..mmekwishaaa..😂😂😂🙌🙌

    • @LindaMbilinyi
      @LindaMbilinyi 2 месяца назад +2

      Kaisha nan?

    • @mcgabby
      @mcgabby 2 месяца назад +1

      Mashine ya kuongea hiyoo😂

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 2 месяца назад

      Namkubali sana huyu jamaa akiamia timu yoyote na Mimi ni bendera fuata upepo

  • @MunsiCosmas-tg2df
    @MunsiCosmas-tg2df 2 месяца назад

    Ww ni simba sema wana kusaka tonge wezako

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 2 месяца назад

    Kaizer amesha potea ndiyo anajitafta kurudisha makali yake nafasi ya 10 msim uliopita wamedrop sana

  • @Marjeby
    @Marjeby 2 месяца назад +11

    Daah wee jamaa mkariakoo mwenzangu nakupenda kama binadamu mwingine yoyote yule but sipendi hata kigodo kukuona ndani ya YANGA yetu hata kidogo.
    Ally Kamwe anatosha sana kwanza wewe umri wako umeisha kwenda aiseee ona aibu

    • @rajabumtuga7372
      @rajabumtuga7372 2 месяца назад

      Kila mtu amesimama kweny cheo chake.. unataka ukienda hela ukirud mke hawez kuw wako?

  • @joycemlay5762
    @joycemlay5762 2 месяца назад +2

    Kama umeona pua kama matundu ya choo like hapa

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 месяца назад

      Pua zako kama za kiboko!!! Acha kutukana wewe ndo umemuumba😣😣

  • @bahi_bay24
    @bahi_bay24 2 месяца назад

    Haji nakukubali sana… unaongea kwa mpangilio 🎉

  • @motivation-ic3nf
    @motivation-ic3nf 2 месяца назад +1

    Wote awa wanashindana na mtu mmoja au basi

  • @NasriMalogo-iz2tb
    @NasriMalogo-iz2tb 2 месяца назад

    Manara bhn linajua

  • @lydiamartine7970
    @lydiamartine7970 2 месяца назад +1

    Sàsa kama waliwaita waandishi why wasiwaulize maswali? Hakukua na ulazima wa kuwaita hao waandishi

  • @GoodluckNjau-km3ym
    @GoodluckNjau-km3ym 2 месяца назад

    Broo mwachie dogo usemaji bakia na ile biashara ya kuoa na kuacha

  • @gabrieldoseti5729
    @gabrieldoseti5729 2 месяца назад

    Mimi yanga damu awe Ali kamwe au Dila Boss Bugatti wote vyuma

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 2 месяца назад

    Nilidhan kombe kumbe kikombe😂😂😂

  • @mashakalukinda2350
    @mashakalukinda2350 2 месяца назад

    Kiti ndo kinazuguka au mara ndo anazungusha

  • @MassoudAbdalla-v9g
    @MassoudAbdalla-v9g 2 месяца назад +4

    Inshallah kwa uwezo wake rabuka tutafika huko

  • @ItangoMsabila
    @ItangoMsabila 2 месяца назад

    kamwe mic u sana mzeee nakukubal

  • @JummaSammata-ny5xf
    @JummaSammata-ny5xf 2 месяца назад

    Du hii NI dhambi

  • @juchaonline4084
    @juchaonline4084 2 месяца назад

    Kichwa cha habar unauliza?au unatuambia

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l 2 месяца назад

    wanachama wanamsikiliza mwana chawa manara huko hutakiwi wala hawakuelewi mwachie ally kamwe mtoto huyo usimtoe roho baba acha kupanda gari la watoto

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 2 месяца назад +1

    umepoteza muelekeo manara😂😂

    • @Shebbytvs
      @Shebbytvs 2 месяца назад

      Kwahyo hapo anaongelea mapishi ama yupo chooni kama kweli amepoteza muelekeo?? Je ww ulishawah kuwepo hapo alipo?

  • @HafidhSuty
    @HafidhSuty 2 месяца назад +1

    Maneno umemaliz simba huna la kuongea muachie mwenyewe kamwe kitu chke uto ww

  • @LukasIbramovic
    @LukasIbramovic 2 месяца назад

    Sanaaaa mabingwaaas

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 2 месяца назад

    Mbona kama kaamka na faida

  • @halidimsuya-cy9bl
    @halidimsuya-cy9bl 2 месяца назад

    Napenda haji akiongea

  • @HappyGrant
    @HappyGrant 2 месяца назад +1

    Muludishe dogo kamwe Hilo

  • @AhmedAdan-q9l
    @AhmedAdan-q9l 2 месяца назад +1

    Kamwe mbona hajielewi jamani

  • @GULIELMAS
    @GULIELMAS 2 месяца назад

    Dawa yenu inawiva.

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 месяца назад

    Ali pale kivuli tu..habar zote unazsema ww

  • @MohamedHamsini
    @MohamedHamsini 2 месяца назад

    HATAKIWI ANANG ANG ANIZA BAFASI ATA ISIYOKUWEPO YANGA....
    ATAKUWA MC TU HABARI TUNAZO

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 2 месяца назад

    Huna jipya mzee retire upishe watoto waendeleze gurudumu

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz 2 месяца назад

    Mzee wa kufungiwa 😂😂😂😂 tibua tibua

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 месяца назад

    ❤❤❤ KUMBE MANARA BADO N FIRE WANASIMBA KAZ MNAYO TUNAWAGONGA KUANZIA KWA WASEMAJ MPAKA UWANJAN😂😂😂