MPANGO WA BINADAMU KUIHAMA DUNIA NA KWENDA KUISHI SAYARI YA MARS (The Story Book)
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
tunakuomba msamaha professa jamal kumpa heshima mhudumu mtiga abdallaha aliyekua anatuletea chakula kipindi na kukudharau wewe mpishi mwenyewe 🙏🙏🙏tusamehe sana hatutakuja kukudharu tena mpishi mkuu wa hiki chakula bora cha ubongo🙌🙌🙌🙌
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ndio unaongea nn we yule mlevi t
Yan ikifikaga ijumaa usiku akili yooote ni storybook Kama sina bando Bora nikakope ❤️❤️
Hahaha jamali kuna watu unawatengenezea madeniii
😂😂
Asante sana endelea kututazama mengi mazuri yanakuja
@@ramxoketti7521
Kweli😂😂😂
Kama na wewe bado unajiuliza maswali mengi kuhusu vitu kama hivi na hupati majibu gonga like ya nguvu hapa twende sawa 😀
Very good. Proud of you
Kazi nzuri jombaaa mie kama mwalimu wa history na jiografia nimekuelewa unanipa maujanjaaa
Asante chief
its plutnum
Amakwel dunia IPO mkonon mwa mwanadam
Hujambo prof Jamal April, napenda sana historia, hongera from Kenya
It will end in tears , God knows why He put people and life on Earth only
Bonge la professor akili nyingi n mawazo telee
Jama Mustafa.. jamal April..Ahsnte💪💥
Kweli kabisa jamaa fundi
💪🤜
Jamaa Ni fund ila yule Mtigah ana Radha ya kipekee ,bac tu alizingua
ruclips.net/video/wRPhZP2M9WQ/видео.html
👆👆👆👆👆👆
Mfahamu shujaa aliekimbia Tanzania 😱 na kwenda kuiongoza Zimbabwe kivita kuipindua serikali 😳 Nimekuwekea video Gusa link
@@dadybjustice5901 yeah mtiga ndio lkn sie wengne tushamsahau maan April kawa mbunifu n anajua kuandkaah n saut ineshakaa saw
Sio taratibu ila kwa uharaka umerufanya tuone mtigana n wa kawaida sanaaa...umetuaibisha tulokubeza mwanzo big up professor
the story book Number one..!!
Bigg una mtu na nusu hpa #Professor
simba kweli au?
Ni kwer
Nakubali mtu nanus ukoseag
Kaka na ww hua nakufikiriaga sana akili zako maana unawazaga beyond in 3, 6 and 9 kaka simba na team yako hongereni mungu azidi kuwasimamia.
Ya leo noma sana gonga like kama we ni fun wa the story book #mohatvkenya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera Sana Kaka uko vizur nafatilia Sana vipindi vyako
Nampenda sana huyu msimuliaji daah Safi sana Mungu akubariki sana.
ata me jaman naomben like japo at wew unayesoma comment jaman🙏🙏🙏🙏
Hiv hizo like huwa n za nn
Nimeipenda hii sana kazi zuri
Asante baba yao master Jamal mustapha 🙏🙏💯💞 nimekuelewa vizuri sana 🙏🙏
Nakikubali san kipindi hichi💯👌#The story book
Nyie Wa Mars Nendeni Tu,Me Nabaki Zangu Duniani🙌
Ivi tutapaa woote dunia nzima kwani 🤣🤣🤣
Mimi pia
@@emmynellyson463 kama una TZS Milion 400 na ushee unaenda
Sio duniani tuu... Balia hapa hapa Bongoland...!
🤣🤣🤣
Hiv like zina kaz gani jaman ebu npeni namm nizione
Jamal we ni zaidi ya mwalimu hupo vizuri sana broo
Pesa kidogo2 wote mnataka kuamia Mars,,,,,......like zenu kwa professor Jamal 🔥
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥, professional jamal
big up Prof Jamal fanya na endelea kufungua akili za watu wenye uvivu wa kusoma na kufatilia mambo kiundani kupitia story zako tamu ✌️✌️
Kaka upo vizuri,Mimi napenda uandae nyingine ambazo ni za space
Napenda uizungumzie tita n,kepla Andromeda na vinginevyo, Asante
The first period to appreciate in wasafi media ,
KAMA UNAIKUBALI THE STORY BOOK NA WASAFI TV ACHA MAJUNGU GONGA LIKE YAKO HAPA
Mungu awabariki sana kwa story Book
F 🔥
Professor
Ila like zinasaidiaga nn kwani?
Hem nipeni na mm leo 😁
Waende tuu watuache kwenye dunia yetu, watupunguzie Jam 🤣🤣
Kama umependa the story ya leo gonga like twende sawa
Asante sana professor 🙏🙏😘😘❤ sie wengine tupo tu wallahi hatujui yanaojiri duniani zaidi ya kuamka nashukuru allah kumbe wenzetu pmj nakushukuru lkn wanafanya mengi mno
👑HIMSELF JAMAL APRIL 🙌THE STORY TELLER LEGEND💪
Professor @jamal king of story in the world 🌎🌎
No day human being will be like God, God have mercy on ur people. Lucy Kenya.
Story za kisanyasi huwa ni 🔥 🔥
Watching from new city nakuru kenya
Kwan mungu mjinga kutuwek tuish dunianii
Ndugu naomba Mungu akulite kwa kila makum yoyote from kenya
Swahili sound good respect to you guy here from Zambia🇿🇲🇹🇿
Me to🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
The language of Africa
0
@@dottokisaina7217 +bio hip
Unatoa Story tukiwa tumeshachoka kusubili jitaidi basi kuwa unawaisha Story Nakukubali sana
Nakukubali sana Kitu unachokifanya sio cha kawaida unajua sanaaaaaaa🙏🙏🙏
Kupitia story book hii nimepataa kuamini kuwa wazungu sio watu was kawaida yani wao wanawaza Sana kwenda juu sis ngozi nyeusi tunawaza kufanya kazi na kujenga nyumba tuu basi
😄
😂😂😂😂 Bora waendetu ili tuwehuru.
The Story Book... Chapa kazi... Good Job
Na mm leo nmewai wa 44 like jaman kwa profesor jamal
Jamal you should do this more and more you are the best
the story it's good and clear .... Bt ngependa kipind kijacho ujarbu kutuelkeza kuhusu miungu ya kigiriki 💪💪
Safi sana ...stor book ..napenda kuwa astronaut
Ulio angalia ten 2023 wek likes za kutosh
Your cool Professor 👨🏫👌👌
Professor naipenda lafudhi yako sana na unasimlia kwa hisia kali
Nice brother, unanifungua sn akili yangu, respect ✊.
Huyu jamaa anajua sana Jamal your a great story teller 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
The story book 📚 hinanielimisha vingi sana bana unatisha sana brother
Mungu aniweke nikapate na kujenga huko Mana sayar hii ni ngumu Sana😣🙏Mara corona sijui nn aah🚶🚶
Mie nitakuja kutembea nitakua mgeni wako inshallah ila makazi yngu hapa hapa tukijaliwa
Uko mtaishi na Binadamu wanaitwa Aliens. mimi sitaki kuona macho ya hao Aliens☺️☺️
😂😂😂
Keep it up professor u always blessing my heart with the true stories. One love from South Africa
Mpo vzr sana aise
kama na wewe ni mmoja wa wale wabongo tutakae achwa duniani, tukigonga supu ya pweza na alkaswis gonga like. mars hakuna pweza wajumbe mtapata tabu
😂😂😂
Ustufokee
😲😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😄😄😄😄🤣 daaaumetisha mwamba
Mmmm mungu nisaidie hakika sayansi jogharafia haijamuacha mtu salama katika kuamini ningumu Sana kuamini
Like Jamal u totally inspire me
mnasemaje atuletee story ya j.k. nyerere keep this sign 👍
Leo nmekuwa wa Mwisho, sijasikiliza wala kuona ila naamini ni Madini makini sana, tuko pamoja Pof Jamal.
Naiona The 100😊
Kabisa, alafu sikuimaliza inabidi niitafute
Kama unaikubali the story book acha majungu na wivu gonga like yako hapa
Jamal this channel became my favourite due to you.All love from scotland
Much love from Kenya
Talanta sio ndumba, hichi ni kipaji cha kipekee. Hongera Jamal
Safi sana brother
Wow, so interesting I love everything about planets ❤
Hello
ooh
Wow I like this planet
Na mimi jamani nahitaji like
Duu noma sana jamali
Just fantastic I love it
Asante sana kwa kuteelimisha
Nomaa sana
Kipindi changu pendwa kutoka wasafi 🔥🔥. #kondegang4life
✌️
Hahhhh mpinzani wetu, hatukutaki hahhhh
Ni alikasusi sio alikasusu lakini unajua kaka hongera sana
Hpn n hv hv al kasusu
Nomaa Mzee bongo tuna pro. Fesa
I got you prof..(you're stories is a key of my knowledge)
Wooooow!!!!!! Just wow❤
Kiukweli dunia ndio kila kitu mana ipo katk vitabu vya dini zote na mwisho wetu ni apa duniani uko tunatapa tapa tu dunia imejaa mengi na ina baraka kubwa tuache kuchunguza mungu mengine tuache tu yapite mana apo tunaingilia mpango wamungu ao watakao tupeleka watajiita mungu na kuonesha kuwa wao ni kwa uwezo wao mungu ameumba dunia akatawalisha manabii ktk dunia bas dunia ndio makaz yetu adi mwisho wetu 🙏🏻wanasayansi awa wana tapatapa kweli akimungu wana mchunguza sana mungu
Everything according to me is possible because aeroplane one day didn't exist but with time it can to existence and fully functional, transportation of human from one continent to another through the air being a dream come true..God is working in beings and that's y i concur with him in HIS CREATION that he mad man in his image,a special being...with full capacity to create as it is the CENTRAL CHARACTER of the GOD OF CREATION
Good researcher and story teller salute man
Anafaaa ,nimeipenda one love jamal
Pamoja Sana Kaka♥️♥️
Bwana unatisha sana ☝️☝️☝️
It is wonderful indeed
Asante sanaaa brother
NYC one bro
I love your story's
The story book naipenda xan
Inaonekana story hii imewaacha watu midomo wazi👻nimepitia coment karibuzote lkn wengi wameishia kuomba like tu😂
NB mungu aliuumba dunia kwa makusid yke, huko mars hakuna maisha tuwaache wazungu wakateketee sisi tutabaki inawezekana tukawa ndo inch ya ahadi aliyotuahidi mungu🙏🙏
Paka lini utawaachia wazungu?.lini utafanya nawew?(huna akili dogo)
Hongera sana
Much love ❤️❤️❤️ The story book
Professor 💯💯
Hakika Allah ni mkubwa kwa kila jambo na kitu tunachokiona kutoka kwake
Xafi xan jamaliiiii
I like it
Proff ur closing remark was amazing
Tupo tofauti sana na watu wenye ngozi nyeupe,hebu fikiria,mtu anapanga kufanikisha jambo lake kwa miaka 10 hadi 20 ijayo.hafikirii kushindwa,hafikirii kifo,hafikirii chochoti bali ni kujikita katika kukamilisha jambo lake...lakini angalia sisi waswahili na mipango yetu tunayojiwekea,imezidi sana mwezi mmoja na hata tukijaribu na ikashindwa tunaiacha kabisa,,,,nimejifunja kuwa na longtime planing na kushikilia mpango wangu hadi ukamilike.thank you bro.
Kuna kifo pia Ujipange Nacho.. Maana Hio Mipango Yako au Yao yoote Kifo Ndio Hustopisha Kila Kitu.. Hao Wazungu Walituletea mifumo ya Kuto Kushuhulika na Anasa za kidunia Ndio Maana maasi Kila kukicha
Nipate na likes na mimi leo Bas! 😂🙌🏻💕
Razima upate kaka mkubwa
Tuletee muendelezo wa danga bhana 😟
usisahau usb ya kunyongea mtu 😂😂😂😂
Hashuo!
Kkkkk
Tunaoangalia 2024 gonga like
big up sana kaka kipindi chako kizuri
Staki kumkufuru Mungu nabaki bongo hapa hapa