The Story Book : Tukifa Tunazaliwa Upya ! REINCARNATION
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Sijui nilitoa wap hii Imani but nimekuwa nikiishi na kuamin hivi hivi tangu nikiwa mdogo. Asante doctor
Asante
ni kweli ila bible inatuambia ile roho itendayo zambi Ndio hufa Kwa maana ya kua haitaingia ktk huo mzunguko vile vilevile tumeona mzunguko huo nikama wa elia ambae alikuja tena Duniani Kama yohana mbatizani na yesu akiongea na wanafunzi wake aliwaambia amini amini nawaambia miongoni mwetu wako ambao hawataonjà umauti mpaka ule mwisho umefika Kwa maana hio miongoni mwa wale aliokua akiongea nao tuko nao mpaka leo wakiusubili ule mwisho
Kwa sababu ukomiongoni wale walio reincarnate they are called the chosen ones
Jamal professor, we ni mwandishi na muwasilishaji bora sana wa simulizi. Tanzania ijivunie wewe🙏🇹🇿💯💪
Swali nikwamba nani anatoa roho kutoka kwenye mwili wa kiumbe mmoja na kumpa kiumbe mwingine. Jibu ni Mungu kwahyo uwepo wamungu bado upo na utakuwepo
Mungu ndo kilaktu tuzidi kumuamin katika imani
Anasema Mwenyezi Mungu "Wanakuuliza(Muhammad) kuhusu roho,waambie roho ni katika mambo yanayohusiana na MoLa wangu,wala hamkupewa elimu ila kidogo tu" Quran chapter 17:_
Haaaaswa Hakuna anae jua elimu ya roho ila kidogo mno, hakika Quran haijaaacha kitu
Allah ndio mujuzi wa mambo yote.
Io ila kidog ndo io elimu kidog sasa iliopo
Nyinyi kwanza Quran imewapumbaza ndio maana hamna elimu ya sayansi hamna kitu nyinyi
Ndio io kidg tumejua😅😅
Hakuna mwanadamu anejua elimu ya Roho ispokua Allah pekee, yeye ndio anaejua wapi anapozihifadhi roho.....
Kwa maoni yangu , wengi wa Hawa waliotajwa ni watu waliouwawa , je ebu tupe story ya waliokufa vifoo vya kawaida . Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sorry sipo kuamini asemayo 100 bali kaa filiria kiundani unaweza fika sehemu mbaaali sana na unapoishi na hukuwahi kufika ila ukifika siku ya kwanza roho yako inakwambia kama ilo eneo hushawahi fika na kama unapakumbuka hivi
Na unaweza kuwa siku Moja kikatokea issue halaf kumbukumb zako kama vile icho kitu kilishawah kutokea lkn aukumbk ni wap Kuna kitu ni Siri ya mungu ila roho kuhamia mwili na kuzaliwa upya inawezakuwa ukwel kwa % kadhaa
@@KelvineMaswikweli labisa
Hakik sis ni wamwenyez mungu na kwake tutarejea na hakika adi ya mola wangu mlezi ni kwel tupo kila nafsi itaikuta iliyo tanguliza mikono
Hii inaweza kuwa kweli kabisa maana mimi ni Moja ya watu ambao Huwa nakumbuka matukio ambayo ni kama nimeshayafanya mimi lakini sikumbuki eneo husika ni wapi na ni mwaka gani
That is me, yaan huyu n mm for sure yaan hata leo kuna matukio nkama nimeshawah kuona hii hali mara nyingi inanitokea huwa nasemag may be I'm crazy
Mimi pia
@@jescafrank8797 Adi mimi Ishatokeaga iyo nakuwa naona kama kuna mambo nishayaona alafu kama inaludia ivi
Deja vu
@@herimaguye4727 kweli lakni haimanishi kma uliwai kuishii
Big up, Prof Jamal. April, much love from Kenya 🇰🇪 love you, brother.
Dah..... Nataman Sana niamin hiki k2 ila nikiamini tyu maswali yanakuja kichwn mwangu
1. Je hakuna mungu
2. Je dunia Aina mwisho
3. Kwann tunakufa
4. Je wale wanaosema tukifa twaenda mbingun au moton walitunga tuuuu
5. Na Kama nikwel xaxa kwann bdo watu wanaendeleea kuongezeka dunian.
Hii ni kweli.....Kuna mahala nilifika na ni Kama nilishawai kuwepo hapo lakini ndo ilikuw mara yangu ya kwanz kufik na nilienda na mzazi wangu akanambia hapa hujawai kufik Leo ndo mara yko ya kwanza
😁😁😁
Nakufaham wewe
inaitwa deja vu
Daaaaah Ila kuna Siri kubwa Hata Mimi imewahi Kunitokea
Hakuna msimuliaj km jamal april ap AFRICAA 🌍 saluteee jamal good work Tanzania we proud of you
Nenda Rwanda ambae anaitwa Rocky kimomo utakua kuwa kuna watu wen vipaji
Mungu pekee ndio anajua maisha ni siri sana
Ata wewe unajua
Kwl kbx
KAZI ZA MUNGU HAZICHUNGUZIKI,EEH MUNGU UTUPE MWISHO MWEMA🤲🤲🤲🤲
Amen
Imani yako ndo itakuokoa hapo ndo msimamo wangu upo kwa kuwa nitakili mbele ya baba yangu katika kiti cha enzi na goti litapigwa wala hakuna yeyote atapiga goti la mweziwe 🙏🙏
Nobody knows how the end of life really mean all in all are myths and assumptions we humans keep telling ourselves. Good work professor jamal as na historian and story teller
Ama kweli mungu acha haitwe mungu🤲🙏
Kuna uwezekano mkubwa hii imani ya kuzaliwa upya ikawa kweli, Dunia ina mambo mengi ya ajabu
Acha kudanganya watuu Mungu ni moja tu
Na kufa tuta kufa
Nafsi yako utaulizwa matendo yako uki fanya mazuri utalipwa na Allah baada yakufa
Na ukifanya mabaya aliyo yakataza Allah Adhambu moto una kusubiri
Ulivyotoka wasafi nikajiuliza hivi ni kweli ndo sitoona tena the story book ila baada ya miezi mitatu umeludi wasafi hongera sana
Aliyekuambiaa ametoka nan!? Au unasikiliza story za vijiweni!??
Alietoka wasaf alkua @mtiga abdallah sio jamal april
Alitoka mkubali mkatae
@@salim02tv24 the story book haijapostiwa miezi mitatu kulikuwa na shida kwa jamal
@@teacherkizumbe kwel aseew
Roho ni sirj ya Mwenyezi Mungu tu.
Reincarnation imeongelewa kiundani kwenye QUR'AN ijapo professor naona umeamua kubaki solid kuhusu dini maana hapo panahitajia ufafanuzi wa kina kulihusu .... Shukran ijapo kila mmoja ana imani anavyoitakidi
Inasemaje shekhe
Tuelezee jaman!
Mbona hakuna mwafrika ata mmoja, Kwani sisi wa Afrika tukifa roho zetu huenda wapi, naona watu wote ni waliorudia wote ni wazungu tu so sisi wa Afrika tukifa Roho zetu huenda kwa Baba Mungu 🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ss hatuna watafiti
Nakubali sana kipindi chako
Nakuomba naomba usimulie kisa cha nabii yussuf siku ukipata muda nilikisikia kupitia mtiga ila nataka kusikia kutoka kwa sauti yako kwan inamambo mengi
Ni mm mdau wako
Uki Tafakar ya Musa Uta yaona ya virauni nime jiuliza mpka nachanganyikiwa
Mamb mengine tuachie Mungu............ 11:04 11:09
Kweli kàbisa pia mm nakumbuka nilikua Kwa hii Dunia kitambo Sana hata na kumbuka tulivyo ijenga Forth Jesus ambayo iko Mombasa
Weeeee
😂😂😂😂
😅😅acha bhan
Bro Jamal you really make me see the world in other side. Nakubaliana na wewe sana
I have been really waiting for this Jamal, from Kenya
Ndg zangu ukweli kuhusiana na reicanation …ni kwamba sisi ni wamoja na MUNGU….na haya ndio mafundisho ya awali yaliyokuwepo kwenye dini zetu zote….nikiwa na maanisha ukristu,ubuddha,uhindu,uislamunk…waanzilishi wa dini kristu,gautama sirithati ,lao tzu,confusious..na wngn wengi hawakueleweka vzr…na mafunzo yao yakapotea…nawashauri tu ukitaka kujifunza ukweli…anza kujifunza universal conscioussness utamuelewa vzr yesu,buddha,lao tzu ,confusion ndio utarudi hapa na kuelewa reincanation lkn saaiv utaona ni hadithi tu…maana hata waliofundishwa reincanation kwny dini zao(wabuddha,wahindu)hawakuelewa vzr zaidi sana tumefungwa na ego
Vp kuhusu swala la mbingu saba
Hallo professor Jamal
I always waits for the next story book. Your stories has real teach me alot. Wish you God's blessings and long life you continue to bless us with great stories. Kenyan in Duesseldorf Germany.😊
Hello mambo vp
this is just the story, try to look peoples who realy enjoyed the reality of death
this is just the story, try to look peoples who realy enjoyed the reality of death
I TRULY BELIEVED THIS STORY! BEC I DREAMS N FEELS MANY THINGS IN MY LIFE TIME! WHICH THOSE THINGS ARE OLD! THEN MY AGE👌 THANKS FOR SHARING🙏👌 GOD! BLESS U ALWAYS👌🙏🤝👏👍🏽 AMEEN🤲 I LOVE IT❤💙💜💚👌
Kbsaaaa
its never death its transition! YOU CARRY YOUR MEMORIES TO THE SPIRITUAL WORLD
Nothing like that!!
@Costapritesilas001 keep sleeping
Weee jamani mungu anakuona mimi na muamini mungu sikubaliani na maneno yako mungu alie umba mbingu na alidhi ndie anaejua 🙏
Rencarnation ni dhana iliyotapaka sana bara la Asia especially Indian's. Wakiamini watu huzaliwa upya kama msimuliaji anavyoelezea, lakin kwenye baadhi ya din pia ipo wanaposema kuna kufufuliwa ndio rencarnation yenyewe, lakin kuna haja pia ya kujua maana halisi ya neno rencarnation maana yake hasa ni Nini? (Maana yake ni kitu kilekile kukirudia kama kilivyo). Moja ya sifa ya maumbile ni kutofanana kwa vitu, Kila kitu ni tofaut na kingine ata kama kwa muonekano vipo sawa. Lakini pia vitu hivyo (ikiwemo mwanadamu) hupitia mabadiliko wakati wote na moja ya mabadiliko hayo ni kifo. Tangu ungali hai hadi ukifa hakuna mtu atakae kua ni wewe kabisa ata akizaliwa huyo ni kiumbe mwengine kabisa. Ivyo dhana ya rencarnation bado inamaswali mengi ila kwa vile ni imani Basi inabaki kama ilivyo. Kuhusu watu kuzaliwa au kua na access ya taarifa za kale Kila mmoja wetu anao uwezo wa ku access past na aka feel kabisa kua ni yeye. Iko iv Kila kitu apa tulipo adi mwanadam ni ufaham wa aina Fulani ambao Kila mmoja wapo unajitegemea ila inaweza kuingiliana. Sasa kuna ambao wanazaliwa na direct connection ya ku access past au future ambapo wengine uo uwezo upo ila upo dormant adi wapewe mbinu ndio waone. Sasa kwa kuingia kule unaweza kua ufahaam fulani na uka experience Yale maisha na ukajiona ni wewe kabisa au ata ukawa unapata insight fulani za Mambo yaliopita iyo inawezekana. Ila mtu ukifa habari ya kurudi haipo maisha yanaendelea na unatoa nafasi ya vitu vingine kujieleleza.
Very fact unakitu utafika mbali bro
Sensei institute
kuhusu swala la kukumbuka zamani hata mimi ilisha nitokea naweza kwenda mahari ambapo sijawahi fika lakini nikahis kama nilisha wahi kuwepo ila Mungu atukuzwe ktk yote na atusamehe sana
Ndio maana watu wanafanana,,r.i.p Mom 💔 2022.02.12
Mum 💖
Infact ndio kuna uhalisia wa hili jambo
Kwel
Sure
Ila wewe
I believe in that and you have teach me more God bless you
Asante Jamal Kwa Makala nzuri ya kuvutia..👏👏👏
Jamani hakiamungu hata mimi jambo hili limenigusa tena lina ukweli ndani yangu naweza kuwaeleza kirefu sana na hata msipo amin ila hili suala ni kweli lipo mimi siku nyingi sana nilikua najiuliza je kila mwanadamu yupo kama mimi anayakumbuka haya na kuna baadhi ya matukio mengine yanajirudia na nikipita hata sehem zingine huwa naona kama nimewahi kupita duuh jaman 😭😭🙏🙏
Deja vu
Yaaah! Tena hunaweza kuta ni mbali sana na unapo ishi and kunatukio linakutoke unaisi kama ni marudio
Hata mm hvohvo
Hizo ni nguvu za roho walio kufa zilizo kataa kwenda zilipo amuliwa adi siku ya hukumu ndiposa unapata familia nyingi kusumbuliwa kwa yeyote akuzikwa kwa njia inayofaa,,wakati mwingne waweza kujiona kiumbe chenyewe mbali inafaa tu kwamini bibilia ambapo kila goti litapigwa mbele ya mwenyezi mungu na pia akuna maali mtatokea watu watatu kwa nyoyo Moja🙏🙏hiyo kuamini kwangu kama bado utamini kuwa tukio la ol...ni sawa Sina shaka
Leo ndo Derby ya Kariakoo, Simba vs Yanga wakati unasubiri mechi unaangalia story book km hivi. Salute kwako Jamal....✔️✔️🙌🙌🙌🙌💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
😂😂
19 Derby 2024
Sio kweli shida ya watu weusi tunahamini sana wazungu wanajua kila kitu ndio maana wanatupoteza sana mimi hii story book si amini❤ kabisa
Uwezi kuamini kwasababu ya imani ya huyo mzungu alie kuletea dini hili usiweze kujitambua ila jamal anasema kweli mtupu
Kweli atamm siamn nimemuuliza swal ukifa kaburini wanakuja malaika wawili munkar na nakir. Ao ni malaika wanao kuja kukuuliza maswali juu ya matendo yako yote duniani ss km roho yako kapewa mtu mwengn ww utapt wp roho ya kujibu maswali ., Naomba munisaidie 😊
Leta yako ya kiafrica
@@yassiraliy7652 huamin sababu ya dini uliyopandikizwa na muarabu mbona huyo muarabu umemuamin kama ni kweli wakati huna uthibitisho wa hicho alichokuambia. Unauhakika gan kama kweli unaulizwa ulishawahi kufa ukarud au... hiyo ni iman tu ambayo hakuna aliyethibitisha maana hakuna aliyeenda akarud
Huamini ivi visa vya wazungu lakini unaamini dini walizokuletea… kuna tatizo kwenye ubongo wako 😁😁😁
Haya mimi naamini kuna pepo na jehanamu full stop kwa kweli
Imani ni kuamini kuwa kuna Mungu na yeye ndie muumbaji wa kila kitu duniani !NDUGU Jamal kafiri mpotoshaji musimuamini bali muaminini Mungu na vitabu vyake
Acha uboya wewe hiyo ndio jitihada yake yaufahamu Sasa wewe muelimishe kile ukijuacho nasio kumkufurisha
Thanks a lot professor!!
This is the real meaning of the story!!
Haujawai kuniangusha professor jamali big up sana
Professor I wish one day I be like u🤗🤲
Hiyo Imani ni dhaifu, Rudi kwenye vitabu vitakatifu.
Huo ni upotofu.
Am glad you're back 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😘😘 Welcome
We mzee soma neno lamungu ujuw ukweli unacokiongeya ni ongo mtupu katika maandiko matakatifu mtu akifa loho inaludi kwa yule aliewupana nimemanusha yakwamba loho kuludi kwa mungu namwili kuludi udongoni ambapo ulipotoka
Kusema tu ukweli Niko hapa Kenya kiambu county thika town na natambua huyu babuu😍😍😍
Nipo Makongeni
@@squirreltech4815 7:04
@@squirreltech4815 7:32 :32 7:26
@@squirreltech4815 8:49
Niko Thika pia
Thank you professor Jamal
Documentary Evidence, Great Story Keep It Up Pro.Jamal.
it takes 500-1000 years to reincarnate......at this stage it gas forgotten everything after undergoing all the stages of incarnation but nowadays souls are reincarnating faster than usual as humans continue to mature spiritually
You're absolutely right bro
Fundisho la kuzaliwa upya ni kampeni chafu za baadhi wazungu kuukana uungu kwa hakika linatokana na kutoelewa kuamini maisha ya akhera ambayo ni uzima wa milele
Well said hizi imani za atheistic za wasioamini Mungu
Yesss
Punguza chuki dhidi ya wazungu
Punguza chuki dhidi ya wazungu
Mungu mwenhewe ndo anadjua Allá atupe mwisho mwema amén 🤲🤲🤲
Thank you professor Jamal 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mmh huo niongo broh, ndugu juwa mungu yupo na kiama kipo, ukifa ujue unaxubili palapanda2 mengine niubatili
Wapagani mutakubaliana na Jamar na uwongo huuu, tunayemuamini mungu gongeni like apa tujuane.
Hii ni namna ya kupinga Mungu, pia ni Imani ya wapagani
Africa hawapo waliozaliwa upya
Hivi nyinyi amuelew maana ya imani au kuamini mitishamba haina maana humuamin Mungu
MUNGU na sio mungu
𝙢𝙚 𝙣𝙖𝙖𝙢𝙞𝙣𝙞 𝙝𝙞𝙞 𝙠𝙬𝙖 70𝙥𝙚𝙧𝙘𝙚𝙣𝙩
Yesu aliwaambia wanafunzi wake: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi.” Lakini Yesu hakumaanisha kwamba Lazaro alikuwa amepumzika. Yesu akaendelea kusema: “Lazaro amekufa.” (Yohana 11:11-14) Kwa hiyo Yesu alilinganisha kifo na usingizi. Hakusema kwamba Lazaro alikuwa mbinguni au pamoja na watu wa familia yake waliokufa zamani. Wala hakusema Lazaro anateseka katika moto wa mateso au amezaliwa upya akiwa mwanadamu au mnyama kiufupi kama nafsi bado iko hai basi wewe hujafa
Jamal mara hii hukuja na madoidoi yako ya kuipamba sauti katika simulizi zako. Story zako ni nzuri ila huzidi uzuri unapozidisha yale madoidoi ya sauti yako.
Eiwaa😊
Eiwaa😊
Yes ni sawa kabisa brother ila kwa sisi waswahili waeza sema umesharogwa ukisema maisha yako ya nyuma😅😅😅
Mimi nakumbuka zamaani sana kipindi nikiwa mdgo bibi yangu mzaa mam aliwah kunambia hii story na nilimuamin ..
Professor tshunga sana usije ukakufuru maana unapotosha watu wengi sana, inna lillahi wa inna ilaihi rajiun.
Asante baba profess🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿
Hapana umeanza kupindua nenola mungu haiwezekani unawadanganya mamia namaefu tafadhari kwaudanganyifu wako
Your the best professor 🤝🏾
I really appreciate your work jamal April
Tunashkuru sana professor Jama , Hapa pia tunajifunza pengine hata gays waliowengi huwenda rohozao kabla ya kuingia kwenye miili Yao ,ziliishi katika miili ya wanawake.... am seriously😅
Ni Imani za wapagan lkn Imeandikwa Neno la MWENYEZ MUNGU linasema mtu akifa atakuwa amelala anasubili siku ya hukuma
Ni kweli Kama mnafatilia vizuri Arusha Kuna mtoto mzungu lakini anaishi maisha ya kimasai na hatamani kuvaa style yeyote ile Ni Masai tu na anapenda utamaduni up jiulze Sasa aliwezaje na ujasiri aliutoa wapi mpaka akaweza kuishi ivyo
Your master plan brother
Yesu alipokuja kwa wayahudi alitoa mapepo kwa Kila aliyeuguwa kudhihirisha kuwa mapepo utafuta makao kwenye mioyoo ya wanadamu.
The soul becomes unconscious when one faces death. The same way like we don’t remember the things when we were a year old kid, the soul forgets all the memories in it’s previous birth. It does reborn in a new physical form (might be human, animal, insect or anything). It adapts to it’s environment and starts it’s next journey of life.
The only way to find this out is when we face death.
If that is the end, nothing matters any more. If it’s not the end and we do reborn into another but however lose all our memories and conscious, again nothing matters any more. But if we reborn and still have those memories, just think will we be arguing about this if this case had already happened?
Absolutely
That’s a deep one fam…this is the most debatable question in world with many plausible explanations/ theories.it’s creepy to think of returning as a bug😂..who knows what the future holds..ever heard of time travel??
I agree with you
its never death its transition! YOU CARRY YOUR MEMORIES TO THE SPIRITUAL WORLD
Daah inakuja kbs kichwan ata m niliwah kuota maisha ya zaman nikiwa uturuk wakat ata sijawah kufk
I just like your art, keep them coming.
Marehemu kafukaliwa kakutwa ana majeraha ha haaa mwachen Mungu aitwe Mungu hachunguzik
This is making sense Bro ❤
Thanks Jamal April.God Bless you.Tuandalie Story ya Entebe wakati wa Idi Amin.Tafadhali.
Daah mbona hata mimi nazidi kutafakari kama vile naamini pengine imani inagoma kabisa kwanza nimejiuliz maswali ambayo sipati jibu sahihi nawaza kama kweli duniya itakwisha kwa sasa watu wanazidi kuzaliyana na kuongezeka duniyani wanaozaliwa niwengi kuliko wanao kufa kuusu hoja ya Jamali hapo naomba jibu? Swali la pili inamaana Mungu bado anaumba watu kwa udongo mpaka sasa? Ao inakuwa aje watu wanazidi kujaa duniyani ao wa toto wanao wekwa tumboni Mungu anawatowa wapi kabla awatiye kweny viuno vya wa wanaume?? Waliyomo makaburini wana lala mdaa mrefu sana zaidi kuliko urefu wa uhai wao na nikitizama waliyo kufa niwengi sana tukianziya kwa Adam mpaka kizazi hiki nabado wengine wanazidi kuzaliwa kweli nisaidiyen maan nikicukuwa mdaa kuyawaza hayo kuna mda nahisi kucanganikiwa ila majibu siyapati kabisa nabakiliya kusem tu kuwa Mungu anasiri kubwa na yeye ndo mfumbuzi wa siri hizi .
Bro unatakiwa ufungue akili yako kwanza. Pili Mungu haumbi watu kwa udongo kwasasaivi kwasababu tayari ndani ya viuno vya mwanaume ameweka uhai wa mtu kwanjia ya shahawa. Ukifa kimwili tutakuzika ila tambua roho yako (nafsi) itakuwa hai milele na ndio kitu pekee Mungu atadili nacho, usipotoshwe na hizi story kwasababu wengine wanatunga kwaajili yakupata umaarufu. HUJIULIZI KWANINI HAYO MAMBO HAYATOKEI AFRICA?
@@kinggwaky4421 daah Asante san kwa kunifunguwa akili
@@kinggwaky4421 sio kwamba hayatokei africa, hakuna research inayofanyika uku kwetu
@@wilsonjuma08 Point yangu iko hapohapo juu ya hao wanaofanya research. Jiulize kwann hawafanyi Africa? Utapata jibu kuwa wao ndio wanataka umaarufu ili africa tuwaone wao ni watu special. Sasa hapo kuna mengi yatafanywa eitha mtu atunge story au wengine imewatokea kweli. Thats why nakuomba hata ww usiamini kila story
4 this time tunaish kwa story kiufupi ni kwamba amini unachoona kuwa nafsi yako unaona kuwa ni sahihi kukiamin but asilimia kubwa ya watu now tunaishi kwa mapokeo shorty usiamini iman yoyote yamtu amini kilicho ndan ya nafsi yako coz mambo yote aya tunaletewa2 be4 ya din afrika watu tulikua vip!???
Much respect bro for ever 👏👍
Acha kudanganya watu na ujue adhabu yako ipo. Kama ingekuwa ivo basi na roho ya watumishi wa mungu walio pita miaka mingi iliyopita wangezaliwa kama wanyama wa kufugwa tuwale ili mungu apate faida gani wee acha izo swaga
Brother drop another one upo vizuri story book ni kama tamaduni me na wafanyakazi wenzangu uwa tunakaa tunaangalia
Asante sana my roll mode wangu
This is very true.. Me being an old soul it's true,,, nilikufa maji in my past life mpka Leo hii siwezi ongelea naongopa maji hata ya swimming pools..
Mmmh umejuaje kama ulikufaga?
@@salmaalimusa6809 naitymares and dreamz
Mzee kama hujazaliw kijijin huwez ogelea😂😂
@@salmaalimusa6809pay attention to your dreams u will know your past life. That's what we have dreasm in the first place.
M/mungu Ameumba roho zote kwa idadi
Tunapenda kazi yako
Ahsante Kwa taarifa ya habari kutoka this story book.
😂
Toa another story book upo vzr kaka nakukubali kinoma 🎉❤
Sio kweli kbs mnakwepa kwenda jeanamu kwenye ukumu za mungu ayo yote mumesema nyie mungu muacheni anajua mwenyewe
This is how I believe before seeing this, I can't tell why but I feel it inside me
Same as me bro
Jamal muogope MUNGU zingatia unayoyasimulia kw faida yko n ulimwengu. ila usipozingatia utakuja kujikuta siku y mwisho ulikua ni msaada mkubwa wa kuwapotosha watu. napenda sn kaz unayofny kw sbb inawez kua sabb y uongofu mkubwa kw wengine ila kw njia nyngn zinawez kua sbb y upotev w w2 wengi. keep on doing your magic work but deeply critically think on what your are saying and finally fear the ALMIGHTY GOD
Watching from Kenya ❤
Hemu tuwachukuwe watoto 100 tu hapa kwetu Kisha watuhadithie WA nakumbuka nn kabla ya kuzaliwa kwao
Hii inakuja kabisa,Mimi kuna muda huwa najiwa na kumbukumbu za maisha niliyowahi kuishi,na Kuna eneo niliwahi kwenda kule moshi,sikuwahi kufika,lakini nikawa najihisi kama ni sehemu ninayoifahamu,but sikuwahi kufika na ilikuwa Mara yangu ya kwanza kufika
Eeeh wacha ,kumbukumbu zako za zamani ,zinakujia ? Wow hongera sana . Kwa kumbukumbu
Sio zinakuja,ila nilikuwa nahisi ni kama sehemu ninayoifahamu
Sikuwahi kufika kabla ila ni kama naifahamu hiyo sehemu
Oyah ata mm iliwah nitokea.. unafika sehemu.. lkn unahisi kama ulisha wahi kuiona
Ni kweliiii kabisaa hiii kitu hutokea
Mystery are something very special which wonders
Professor ni mmoja tu🎉
Ni kweli naamin mm nmeumbwa zaidi ya mara 1
na mm najua history nzima ya Ubuntu (Africa) najua watu wageni wakwaza kuja Africa na kumbuka kila kitu na hata hizo birth mark niko nazo nyingi tuu
Kwa hesabu hizi ikitokea loho Yako ni ilikufa kabla ya kumkili mungu ndo inaludi lakini ukimkili mungu roho hailudi duniani na nimpango wa mungu mwenyewe mnajitahidi kuzijua Siri hongereni na hakuna atakae wambia hata wew Leo ukipatwa na janga usipate mda wakukili unamwamini mungu au shetañi ukajifanya upo katikati lazima uzaliwe upya mpaka itakap kuja kukili ndipo utakwenda mbinguni
nikwelii hata mimi nilikua nikimsimlia mzazi wangu vitu vingi sana vya kale nae alinihoji sana mpaka sasa hua ananisimlia vile nilikua namwambia yaani nilikufa nikiwa katikati ya mapigano makali ya ufalme flani ukipigana na ufalme flani mimi nikiwa kama kiongozi tuliwekwa kati kisha kufyatuliwa mishale kwa pamoja
Alooo