TEUZI ALIZOFANYA RAIS SAMIA, MZEE MAKAMBA AFUNGUKA, SAMIA APONGEZWE ANAFANYA KAZI NZURI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 437

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 2 месяца назад +20

    Huyu Mzee stakagi kumsikiliza maana alisemaga kuwa WENYE ROHO MBAYA TUMEWAZIKA.KAURI YAKE HIYO HAIWEZI KUSAULIKA HATA AJIKOSHE VIPI.

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 2 месяца назад +41

    Mzee makamba kichwa kina umma🎉🎉🎉 wazuri hawatolewi kwenye nafasi zao ❤❤❤

  • @EmmanuelMwangelengel
    @EmmanuelMwangelengel 2 месяца назад +1

    Uko vizuri Sanaa mzee wangu Masha malefu kwako ❤❤❤❤❤❤

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 2 месяца назад +43

    NAmpongeza rais kwa kazi nzuri. Tunahitaji wachapa kazi sio janja janja.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад +3

      Sio tumpongeze tu cha msingi kama kweli kuna wizi wa kura unafanyika tumuombe rais na chama chake wakomeshe mara moja kwani inawezekana haya aliyoongea Nape ni ukweli mtupu.kumbuka hata Ally Karume alishasema huko Zanzibar chaguzi zote CCM haikuwahi kushinda.

    • @ismailchibonda5005
      @ismailchibonda5005 2 месяца назад

      @@johnnkelebe7360 kwa toto la yule mzee nimefurahi Sana nimeumia kwa Jeri slaa angebaki pale pale kwenye ardhi.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 месяца назад +5

      ​@@MathewNathan-yb2bz Uchaguzi ni mpira wa kona hakuna siku utaacha kugombaniwa na hii ipo duniani kote. Ni upuuzi kudhani CCM haijashinda. Hata ndani ya vyama vyenyewe ambako CCM haipo figisu za kura tunazisikia.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад

      @@hajihassan5433 acha ujinga na upuuzi kwa kuwa na dhana hiyo.Kuna mataifa kibao Afrika yanayoendesha chaguzi zao kwa njia ya haki kibao.Hapa kwetu tunaosababisha tuibiwe kura ni sisi wenyewe watanzania kwa kutopenda kwetu Haki na taifa lisillopenda haki hilo ni taifa la shetani.watu wanakwenda kanisani na misikitini na tuna dini mbalimbali lakini watu bado tu tumemkumbatia shetani na kazi zake.

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 месяца назад

      unampongeza nini wakat ye namakamba ndio wamezunguka nchi zote kuuza rasilimali nalile lijumba lakifahar dubai nilao baada wameiba mali na fedha zote ndio anawaweka pembeni wakasimamie mamiradi yao nchi za nje halafu unampongeza kwa lipi ? nchi imebaki nyeupe haina chochote ndio kajifanya kuwatoa unadhani nape alikua anaropoka vile bila kujua analofanya? wamajipanga na rais wao ili watoke huko juu wakasimamie mamirad yao walio yaweka nje ya nchi

  • @CharlesMarupa
    @CharlesMarupa 2 месяца назад +22

    Jerry Slaa angebakia wizara ya ardhi.

    • @MandevuAmon
      @MandevuAmon 2 месяца назад +3

      Kweli kabisa Slaa hakutakiwa atoke ardhi ametatua kero nyingi kama Lukuvi

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 2 месяца назад

      Lukuvi hakuwa mzuri au unajisahaulisha dogo.
      Lukuvi ni mjinga na mbaguzi tu​@@MandevuAmon

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 2 месяца назад

      Amegusa sehemu nyeti, unajua haki hatakiwi

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 2 месяца назад

      @@CharlesMarupa uwezi kuingilia mipango ya rais, kwani hapo mwanzo ulijua kama Slaa atakuwa kwenye hiyo wizara??

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 2 месяца назад +8

    Hongera SANA mzee makamba kwa maneno YAKO hakika mzee umeiva Kisiasa! Kwa sababu haya wakati wa Uongozi wenu figisufigisu zilikuwepo sana,Lakini kikubwa ni kuangalia Utendaji wa kazi wenye mafanikio,Kwani Kwani majaribu na Makwazo ya Adui shetani hayaepukiki kiurahisi bali tunazidi kupambana naye KILA itwaapo leo kwa kufunga na kuomba kwa sisi wakristo!( Biblia,Kitabu cha Isaya 41:10 na AYUBU 5:12 na Yeremia 15:20 Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth) Zaburi 119:165) Kazi iendeleeeeee Amani,Utulivu na Mshikamano! Tanzania ni Taifa teule na mwenyezi Mungu subbahhannah wattallah!

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 2 месяца назад

      Unafiki huo anaongea wakati chin chin anawatumia wazee mwanae arudishwe

    • @graysonpastory1918
      @graysonpastory1918 2 месяца назад

      Mnafiki huyu kaiva wapi?

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 2 месяца назад +2

      Anajikosha tuuu Hana lolote

    • @EmmaculateGembe
      @EmmaculateGembe 2 месяца назад +1

      Hakuna mtu mbaya kama mzee Makamba ndiye aliyeleta Rushwa ndani ya ccm akiwa katibu mnafiki Mkubwa msiba alisema

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 2 месяца назад

      Usituletee mambo ya kidini ktk uongozi wa nchi ambayo haina dini.ni ujinga ujue

  • @LushugembeMboje
    @LushugembeMboje 2 месяца назад +15

    Mzee makamba wazuri hawatenguliwi kinyume chake unakijua mwenyewe.

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 2 месяца назад

      Wabaya ndy wanatangulia.......unaona .fulan........yupo😂.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 2 месяца назад +19

    Yaani mwigulu nape januari ni ziro kabisa hawatufai kabisa mama hongera Sasa mwigulu Bado mtoe mamaa

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 месяца назад +4

      SSH ni mjanja msione kama kuna unafuu CCM ni ile ile lengo lao ni lilelile msibweteke mnaopingana nayo

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 2 месяца назад +4

      ​@@marcokaroje8980hahahaaaa, una akili nyingi sana wewe! Kampeni zimekaribia, watawekwa maraika wema, ili kutengeneza mapito ya shetani, mashetani hao watarudishwa tena kwenye nafasi zao, au kubwa zaidi.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 месяца назад +2

      ​@@martinisadru9899CCM kuna malaika kweli? Mi simuoni wote mashetani! Umesema kweli kwenye kurudishwa, hii ni danganya tu watawapa nafasi nyingine hawa watoto wao lazima wawaweke kwenye nafasi ya Kula hela za serikali

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi 2 месяца назад +2

      Bado bosi wa dar nae apitiwe

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 2 месяца назад

      Comment ya Maana Kabisa🎉

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege2904 2 месяца назад +32

    Tunamshukuru mh.rais kwa kufanya Baharia umetulia Sasa kwa kutuondolea majambazi

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад +4

      Sio tumpongeze tu rais ,kikubwa rais anatakiwa akomeshe kabisa wizi wa kura unaofanywa na chama chake wakati wa uchaguzi.Nape pia tumpongeze kwa kusema ukweli.Kuna baadhi ya wana ccm pia ambao no wazalendo na wacha Mungu wanakerwa sana na tabia hii ya wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali.

    • @RamadhaniBendera-j1s
      @RamadhaniBendera-j1s 2 месяца назад

      Mnajidanganya iyo inaitwa triki tu​@@MathewNathan-yb2bz

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад

      @@hassanimngetege2904 Rais kumuondoa Nape sio kwamba kaondoa majambazi wote.Hapo cha msingi Rais anatakiwa achukukue hatua kwa kukomesha kabisa wizi wa kura unaofanywa na chama chake.kumbuka hata Ally karume alisema katika kila chaguzi huko Zanzibar ccm haijawahi kushinda.Hii inadhirihisha ni kweli kabisa kuna wizi unafanyika.Tumpongeze Nape kwa kusema ukweli na pia tumpongeze rais kwa kumtumbua Nape ila kubwa tumuombe rais sasa achukue hatua ya kukomesha kabisa wizi wa kura. na pia awachukulie hatua wale mafisadi wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG.

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 2 месяца назад +2

      ​@@MathewNathan-yb2bzuko sahihi kabisa, na naamini hawa watawala wasingekuwa wanaiba kura kwenye chaguzi zetu hata moto wa kuhitaji katiba mpya usingewaka kiasi hiki.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад

      @@jumakisailo8496 CCM wanakera sana na huu ndio wakati wa kumsihi Rais Samia na chama chake waache kabisa na wakomeshe kabisa wizi wa kura katika chaguzi zijazo na waendeshe chaguzi hizi kwa njia ya HAKI.Nape kaongea ukweli na pia Ally karume pia alisema kuwa huko Zanzibar kila chaguzi zinapifanyika huko visiwani CCM haijawahi kushinda,pia kitabu cha Mkapa jinsi alivyowauwa Wazanzibari na wengine kufia baharini kwa kutetea haki yao ya ushindi,pia uchaguzi wa 2019 na 2020 ulioporwa.Hii ina dhihirisha kweli CCM wanaiba kura.Hivyo tunamuomba Rais akomeshe dhambi hii ya wizi wa kura unaofanywa na CCM.kuiba kura ni uhaini,ni dhambi,ni kuvunja sheria na katiba ya nchi.Tunamuomba rais afanye mageuzi kwa kuongoza nchi kwa kufuata Utu,ubinadamu,haki,sheria na katiba ya nchi.

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 2 месяца назад +4

    Slaaa arudi ardhi tafadhali tafadhali

  • @MathiasMongo-jk9so
    @MathiasMongo-jk9so 2 месяца назад +13

    MWIGULU NCHEMBA Nae hafai

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 2 месяца назад +5

    Nampongeza Rais kwa kuondoa mizoga serikalini

  • @EmmanuelSimion-d3e
    @EmmanuelSimion-d3e 2 месяца назад +47

    UNAJUA kiukweli January makamba hatufai kabisa akiwemo na Rizwan hawatufii ndyo maana hata hayati Magufuri hakutaka hata kusikia harufu zao!

    • @thomastemu3332
      @thomastemu3332 2 месяца назад +1

      @@EmmanuelSimion-d3e hahaa hahaa wanajulikana ata kwa data hawafai

    • @NassoroMbawala
      @NassoroMbawala 2 месяца назад +1

      Ww ni kuma toa sababu unazosema hawatufai sikuzote inchi inaongozwa kwa sheria sio maamuzi je muheshimiwa raisi ameweka wazi sababu ya kuwafuta kazi mpaka unaropoka tu hawatufai je kesho wakiludi tena utasemaje tunakatiba mbovu sana kwenye hii nchi raia hana thamani ktk serikali yy ni mtu wakupelekeshwa tu😢😢😢😢

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 месяца назад +4

      ​@@NassoroMbawalasasa ndo nini kumtukana mwenzio? Hovyooooooo akili mbovu tu, na wewe si utoe hoja yako.

    • @NassoroMbawala
      @NassoroMbawala 2 месяца назад +2

      We naye choko mnawivu wa kimaendeleo nape kasema ukweli kunabahazi ya maeneo wanahiba kula kuipatia ccm ushindi mfano si mmeuona uchaguzi wa mwaka 2020

    • @Richkinji-n1g
      @Richkinji-n1g 2 месяца назад

      ​@@NassoroMbawalasasa matusi ya nn mbn mwishoni umeelezea vzr

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 2 месяца назад +40

    Hili zee silipendi hata kidogo

    • @brownjulius8514
      @brownjulius8514 2 месяца назад

      Hata Mimi kusema kweli mzee wa hivyo kabisa

    • @RehemaMagoire
      @RehemaMagoire 2 месяца назад

      Hahahaha

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 2 месяца назад

      ​@@brownjulius8514kuna mwingine yule wa msoga; ogapa mtu anayekuchekea hata kama umekosa anasubili umpe kisogo

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 2 месяца назад +2

      Kwani alikufanyaje? Tujifunze kusamehe, na kumchukia mwana-adamu mwenzako ni sawa na kumchukia MUNGU.

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 2 месяца назад +4

    Nape na Makamba hawatoshi sema ni huko kubebana kwao kunawapa nafasi ya kuendelea kuonekana serikalini 😢

  • @MwangaPhilbert
    @MwangaPhilbert 2 месяца назад +16

    Huyu nape alishajifanya ndo mwenye nchi safi safi sana

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 2 месяца назад +1

      Moyo kumbe ulikuwa una kuuma swali? kwa sasa mshahara wa nape unalipwa wewe?

    • @alfredndau9195
      @alfredndau9195 2 месяца назад +3

      Mshahara unathamani kuzidi utu wa watanzania mkuu?

  • @Albertogasper88
    @Albertogasper88 2 месяца назад +21

    Sasa mtamuwelewa Magufuli...... Bado kurusi kimoja waziri wa fedha....

    • @msafirithomas7751
      @msafirithomas7751 2 месяца назад

      We mnafiki

    • @joezeno8
      @joezeno8 2 месяца назад +1

      Chalamila naye

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 2 месяца назад +4

      Huyu mzee ni mnafiki sana. Alisema vibaya kuhusu kifo cha mjomba. Tunangoja aishi miaka 6000.

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 2 месяца назад

      ​@@kolosii4351. Alisemaje 😲😲😲

    • @NurudinZuberi
      @NurudinZuberi 2 месяца назад

      @@kolosii4351kabisa kizee kina roho mbaya

  • @JeremiahElishaMwanyesya
    @JeremiahElishaMwanyesya 2 месяца назад

    Ongera mama wetu...kwa kazi nzuri.

  • @GabiMag
    @GabiMag 2 месяца назад +3

    Wanaosema Hawarudi Tena
    Gonga like

    • @AGM19697
      @AGM19697 2 месяца назад

      Subiri watarudi tu

  • @ChachaNyabare
    @ChachaNyabare 2 месяца назад +6

    Magu aliwaona hawana uwezo mama akawarudisha kumchalenji mangu sasa kazi zao hakuna bdo mmoja wazir wa fedha

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 месяца назад +2

      Mama nae si ndo walewale? Atawapa sehemu nyingine waendelee kucheza na kuiba ni watoto wao g

  • @andreauisso3225
    @andreauisso3225 2 месяца назад +16

    Wemzee makamba ndiyo ulisema watu wabaya hawafi RIP JPM

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 месяца назад

      Ndo huyo huyo! Hawa ndo wanajiona Tanzania ni nchi yso

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 месяца назад

      Jpm alikua detector uchwara

    • @MeenaHassan-fd9vv
      @MeenaHassan-fd9vv 2 месяца назад

      ​@@robertphilip385makamba na mwanae makamba wote ni machoko tuuu na wasipewe position yoyote makuma hao

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 месяца назад

      @@MeenaHassan-fd9vv kwani ndani ya ccm nanini anafaa? Wote wezi tu

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 2 месяца назад

      ​@@MeenaHassan-fd9vvAcha matusi wewe mjinga.
      Toast point zinazojieleza

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 2 месяца назад +14

    Tunataka jerry slaa arudishwe Ardhi pls

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 2 месяца назад

      Kabisa nampenda ana khof ya mungu ndio Maana anaweza

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sf 2 месяца назад +15

    Janja janja mzee 😅😅😅😅

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 2 месяца назад +1

    Kwa kauli za Zee hili, ni kwamba wameondolewa ili uchaguzi ukipita warudishwe. Huu ni mchongo tu wala hawajaondolewa watarudi tena ni mambo ya kisiasa.

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 2 месяца назад +1

    Makamba yupo vizur saana. Ameongew point.

  • @Burange666
    @Burange666 2 месяца назад +7

    Mama kakosea kumtowa Jerry Silaa nafasi yake Waziri wa ardhi, inaonyesha mama yetu anapenda migogoro irudie tena hiyo migogoro mpaka leo haijamalizika na Slaa alikuwa anaitatua migogoro kwa akili sana, nimeshtuka sana kuona huyu Mama Samia anataka hii migogoro na matapeli warudi tena Ardhi kuendeleza wizi sababu yule kiboko ya matapeli kaondolewa sijui huyu mama ana Nia gani kuhusu hii migogoro inaelekea mama Samia anapendelea walalahoi waendelee kunyonywa viongozi wanahusika na wizi wa viwanja ndiyo imebidi mumtowe Jerry nafasi yake ???

    • @JoyceStive
      @JoyceStive 2 месяца назад

      Bando

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 месяца назад

      Jerry alikua serious sana na siasa Ccm hayo mambo hawayataki

    • @thomastemu3332
      @thomastemu3332 2 месяца назад

      Yaani jamaa yangu nimeshangaa na kwa uchungu mkubwa nimesikitika sana kuona Jerry slaa anatolewa Ardhi arudi. Alikua amemakinika sana na kufats sheria. Mi nilitungushwa na ati miaka 3 ddma hadi mwshimiwa Jerry slaa alipoanzisha Klinik ya ardhi faili lange likapatiksna wakati walikua wanasema halionekani..yaani mm akitaka achaguliwe kwa kishindo amrudishe Jerry slaa Ardhi pls tunakuomba raisi wetu

  • @elizabethjacob6090
    @elizabethjacob6090 2 месяца назад

    Jerry, Slaa ulimpatia kwenye uwaziri wa ardhi,ardhi,ardhi tuimeiona kazi yake mama tuomba umrudishe like ni jembe haswaaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz 2 месяца назад +2

    Mungu ulihurumie taifa letu. Aliyeshiba hamjui mwenye njaa jamani. Uongozi ni kutumika na wala sio kutumikiwa. Mungu tuhurumie wanyonge wako. . Apendaye fedha hatashiba fedha. Na ndivyo ilivyo. Asante mungu wewe iliyemtetezi wa kweli. Anaamini uko pamoja nasi.

  • @AjiaMohamed-rt5pb
    @AjiaMohamed-rt5pb 2 месяца назад +13

    Hvi kwani mpaka ahojiwe mxee makamba kwani hii nchi ya kwake ufala huu

  • @awazioga1823
    @awazioga1823 2 месяца назад +10

    Mama kazingua silaa wizara ya upumbavu baada ya wizara ya wanyonge ardhi? Ni nani ana mshauri huyu mama?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 месяца назад +1

      Ni kitu kilinishangaza kweli lakini nampa haki ya kusikilizwa anaweza kutoa maelezo kwa nini akafanya hivyo.

  • @charleshousedecoration8679
    @charleshousedecoration8679 2 месяца назад +1

    Hizo niswanga TU wenye hakiri tunajuwa kinachoendelea mama hawezi kutoa nguzo zake harafu aweke ngunzo ya mpapai never for one day 😂😂😂

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад +3

    Licha ya kuwa tunampongeza rais kwa hatua yake ya kumtengua Nape ila kwa upande mwingine jambo kuu na muhimu ni kumuomba Rais Samia akomeshe wizi wa kura unaosemekana unafanywa na chama chake kila chaguzi zinapofanyika nchini.Nape sio wa kwanza kutoa kauli ya jinsi CCM inavyoiba kura wakati wa uchaguzi,pia Ally karume alishasema kuwa huko visiwani Zanzibar kila chaguzi zinapofanyika CCM haijawahi kushinda.Hivyo kauli ya Nape na Ally karume na uchaguzi ulioporwa wa 2019 na 2020 unathibitisha kuwa CCM wana hulka hiyo ya kuiba kura kwa kuendesha siasa za kihaini na zisizo na HAKI.Hapa inabidi pia tumshukuru Nape kwa kuongea ukweli jinsi wizi unavyofanyika.Pia tumuombe na kumsihi sana Rais wetu aachane na akomeshe kabisa wizi wa kura uliokuwa unafanywa na chama chake.kwa sasa awe na hofu na Mungu na aendeshe chaguzi zijazo Kwa HAKI.Nina imani Rais Samia hana tabia hiyo ya wizi wa kura ila aangalie wapambe wake walio chini yake ambao ni mafisadi wakubwa kwani wao inawezekana ndio wanaofanya tabia hiyo ya wizi wa kura na kuendesha siasa za hovyo.Kauli ya Nape sio ya kuipuuza na hii rais aitumie kuwafundisha wana CCM uzalendo na haki ya kila mtanzania kuchaguliwa kwa haki.Hao wanaoiba kura ndio hao hao wakiwa serikalini ndio huwa mafisadi,wala rushwa,majambazi,wezi na wabadhirifu wakubwa na hawanabuzalendo wowote zaidi ya matumbo yao.Tunapenda pia kumshukuru Nape kwa kuongea ukweli kwani katoa siri ya kweli ya nini kinafanyika katika kila chaguzi.katoa siri ya chumbani hadharani ni mpango wa Mungu tu.Mungu kawaumbua.

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 2 месяца назад

      Panya ni panya tu kaka, desturi yao ni Moja, CCm ni Ile Ile,siku tukipata Tume huru ndio tutakuwa na uchaguzi wahaki, fikilia pamoja na mjomba magu kufanya vizuri lakin kwenye uchaguzi wa 2020 Kila mwenye macho na akili timamu alijionea vizuri, pia kauli zake zakusema mkurungezi nakuteua Mimi,gari nakupa Mimi namshahara nakulipa Mimi Sasa nione unamtangaza mpinzani kashinda, yote haya yalifanyika mama akiwa makamu wake ,

    • @AzizMangara
      @AzizMangara 2 месяца назад +1

      Upo sahihi.

  • @revpiusedward5942
    @revpiusedward5942 2 месяца назад +12

    Si unajua tena wazuri huwa hawafi

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 месяца назад

    Acha kuwapongeza wezi kama huyo mwanao 😢😢Alaaniwe kwa wizi wa kimataifa Alipe mali yote na afungwe maisha😢😢

  • @SmithJacob-f2r
    @SmithJacob-f2r 2 месяца назад +3

    Jamaaa jelly alikuwa anafanya vizurii kwenye Ardhi jmn

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 месяца назад

      Labda kawagusa 😂😂😂

  • @dochikibaraza2944
    @dochikibaraza2944 2 месяца назад

    HONGERA SANA MZEE MAKAMBA, NI MTU WA BUSARA SAAANA NA HEKIMA.
    ALLAH ATUJAZE MOYO WA SUBRA NA HEKIMA

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 2 месяца назад +6

    Wazuri hawatenguliwi

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 2 месяца назад

    Hakika mama uko vizuri sana ❤❤❤❤

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk 2 месяца назад +1

    Jery Slaa angeachwa wizara iliyokuwepo. Maana hiyo wizara ni moja ya wizara inayotesa wananchi. Jery ni mtu alosomea sheria na ile wizara inachangamoto nyingi sana. Hii panga pangua inafanya utendaji unazorota. Jery angeachwa pale pale

  • @AlickoSamson
    @AlickoSamson 2 месяца назад

    Hawa hawafai kabisa katika serikali ya jamhuri ya Muungano.mimi nashukuru nakupongeza kinafiki tu.Mama Samia adumu kazi nzuri anayoifanya haangalii wewe nimtoto wa nani "wabaya ndiyo wanakufa "

  • @mkombozifreshoil
    @mkombozifreshoil 2 месяца назад +1

    Laah slaa angebagi ardhi.

  • @kingmrume
    @kingmrume 2 месяца назад

    Sijui alipotoka Jerry,ataletwa nani,maana alpamudu vizuri,,
    Kama vipi alipotoka Jerry awekwe makonda.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 месяца назад

    Pongezi kwa wizi. Makamba hakumusaidia mama. Makamba kaifrisi nchi. Musiweke mpira kwenye uongozi wa nchi. Ni mateso kwa watanzania

  • @MoiseMutarami
    @MoiseMutarami 2 месяца назад

    USIPONGEZE HUKU INAUMA..... WAZURI HAWAFI😂😂😂😂

  • @richardswai5206
    @richardswai5206 2 месяца назад

    Huyu mzee Toka aseme wazuri hawafi nilimchukia sana nikaona hana timamu

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 2 месяца назад

    Mzee mtoto wako umemlea katika misingi mibovu sana hapa Bado watuondolee mwigulu nchemba sasa mambo yataenda vizuri

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 месяца назад

    Pengine pumzi zimeisha ama ajali za kisiasa pia zipo. Kweli Mh Rais hapangiwi. Yeye atamweka amfae kwa wakati muhimu. Mambo ya kifua yanatoka wapi? Kwani walizaliwa na vyeo? Hao wengine wanaotolewa hawana wazazi? Nao mkawahoji basi wazazi wao. Why Mzee Makamba tu?

  • @LitoDossani
    @LitoDossani 2 месяца назад +14

    Babu mbona km nyodo zimeisha walenyuki waojenga kwenye Shamba la bibi yako vp bado wapo 😂😂😂😂😂

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn1809 2 месяца назад +1

    Toto lako makamba limefukuzwa lilikua linazingua likizani limefika toka

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 2 месяца назад +1

    Wazuri hawatolewagi Mzee makamba.

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz 2 месяца назад

    Ukweli ni kwamba januari ni mzigo kwa CCM bali Wana CCM hawajalijua hili bado hata ubunge Wa bumbuli ni tatizo tu

  • @MezdDimoso-j1j
    @MezdDimoso-j1j 2 месяца назад

    Rais ni kocha

  • @ConfusedFrog-lc9db
    @ConfusedFrog-lc9db 2 месяца назад

    Tanzania bado sana kisiasa hii energy yote wangetumia kuutengeza uchumi wa nchi

  • @robertlary6007
    @robertlary6007 2 месяца назад

    Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
    #NasimamanaSamia

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 месяца назад +1

    Hata hivyo tumekula hasara walihitajika kutumbuliwa muda mrefu,ila mzee kwa kupiga debe,

  • @AnethMushi-c3e
    @AnethMushi-c3e 2 месяца назад +1

    Watanzania wana kumbukumbu!!😅😅😅

  • @mukhtarnasser6837
    @mukhtarnasser6837 2 месяца назад +3

    Now We Tz , who is MZEE MAKAMBA , just old ya Mzee like all old man , might nothing

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 2 месяца назад +1

    Hiyo ni geresha tu ili wapinzani waone kuwa Rais anawasikiliza hasa aliyotamka Nape lakini mimi naona taabu iko palepale wadau mpo?

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад

    KILA MTU RAIS RAIS RAIS, MMEWEKWA MFUKONI MWA RAIS

  • @DannyEliudmsangi
    @DannyEliudmsangi 2 месяца назад

    Mzee makamba uko sawa

  • @mcback4384
    @mcback4384 2 месяца назад

    Magufuli alivyowatumbua Samia aliona wameonewa, bado na Kinana atamtumbua

  • @Wambula..deogratias
    @Wambula..deogratias 2 месяца назад +1

    Mbona mzee makamba anasema wamepumzishwa watarudishwa je wengine hawapo

  • @bahatimanyilizu8213
    @bahatimanyilizu8213 2 месяца назад

    Fact mxee makamba umenena

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 месяца назад

    Katika watu huyu Mama Samia anatakiwa kuwanao makini ni Januari na Nape . Hiko kikosi kazi ndio kilimtukana JPM na akawasamehe kitu ambacho sio kibaya lkn alitakiwa awaweke 1000 kms away . Hawa wanaamini wao tu ndio wanadeserve everywhere.

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 2 месяца назад +1

    huo ni ujinga kawaweka miaka 4 wameiba pesa zote ndio anawatoa wakale walizoiba kisha atawarydisha tena hamna hata is maana samia kalifanya zaid kuwachezea akili masikin

  • @nasranasra5348
    @nasranasra5348 2 месяца назад

    Mama umefanya mmakosa sana kumtoa jerry slaa huyo ndie angekuo gezea kura kwzni anadili na wnyonge wanao nyaswa na wenye pesa

  • @nathanpallangyo5244
    @nathanpallangyo5244 2 месяца назад

    WANATOLEWA WANARUDISHWA WANATOLEWA WANARUDISHWA KAULI TATA YA MZEE MAKAMBA SIASA NI MCHEZO MBAYA😢

  • @GideonWilson-i5d
    @GideonWilson-i5d 2 месяца назад

    January makambaaa

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 2 месяца назад +1

    Ni sawa kuwatengua, lakini mama kwa Nini umemgusa Jerry?

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 2 месяца назад

    MZEE makamba ni mkomavu kisiasa amekujibu vizuri sana mwandishi

  • @neemaadam9256
    @neemaadam9256 2 месяца назад

    Sawa Mzee! Msema kweli ni Mpenzi wa MUNGU

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 месяца назад

    Mzee Yusufu Makamba wazuri ndiyo wanatolewa. Hongera January Makamba baba yako anakupongeza sana. Kwa kazi ya kupoteza mapesa. Kwahiyo una fanya uchawa ili mwanao arudishwe?

  • @veronicabwamukuru1265
    @veronicabwamukuru1265 2 месяца назад

    Bado mnaingia na kutoka wakati wapo watu nje wana sifa za hiyo kazi lakini hawapati nafasi mnapeana wenyewe, mtajibu kesho

  • @zakeoleonard440
    @zakeoleonard440 2 месяца назад +1

    Mpaka mwanae atumbuliwe ndo afunguke mbona teuzi zingine huwa anapiga kimya kama hayupo

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 2 месяца назад +1

      Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadam mchungu

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 месяца назад +1

    Eti wazuri hawafi #NONSENSE wewe mzee na mwanao

  • @AbdulkarimKazungu
    @AbdulkarimKazungu 2 месяца назад +1

    Chonde mh Rais tunakuomba Waziri wa Ardhi Silaa umrudishe ktk hawamu sita huyo nimtendaji mzri asilimia 85

  • @BrightShumbusho-i4y
    @BrightShumbusho-i4y 2 месяца назад

    Hayo maneno wakati wa magufuli hukuyasema...sasa ngoja tuone asiporudishwa ndani ya miezi sita kama baba yake huyu makamba hajaenda kuiandama ikulu😂😂😂😂mzee tunakujua vizuri sana wewe...

  • @mbegembege
    @mbegembege 2 месяца назад

    Safi mama

  • @salama1113
    @salama1113 2 месяца назад

    Mmmh ngoja ninyamazi 😂😂😂😂

  • @gerraldbukelebe7775
    @gerraldbukelebe7775 2 месяца назад

    Maneno mengi lkn ndo hivyo tena wabaya wamekufa...Mzee hii kauli itakutesa mno

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 2 месяца назад +5

    Kanaongea lkn kameumia Sana Hana lolote

  • @fidelisjoseph-tt9zl
    @fidelisjoseph-tt9zl 2 месяца назад

    Makamba urais halaujii hvyo.‘.,.’😂

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 2 месяца назад +1

    Hawa watu wasirudi tena serikalini. Rais ulichelewa.

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 2 месяца назад +1

    Rais amefanya mamuzi sahihi sana kwa ustawi wake mwenyewe na nchi, Bado mchwa au viwavi jeshi wengine paleee kwenye 'maokoto' anatakiwa mtu mweledi sana, muangalifu na muadilifu ktk kuendesha uchumi wa Kodi na Fedha.
    Nchi iendelee kupambana na Rushwa,ukwepaji Kodi, Ubadhirifu Mali ya umma,uharibifu wa mazingira,ukosefu wa haki nchini, Imarisha institution independence, achague watu sahihi maeneo sahihi, ni makosa kudhani wasaidizi wote wa Magufuli walikuwa wabaya, Matokeo yake Wana recycle wakati Rais ana pool kubwa ya kuchagua watu wenye akili kubwa sana.
    Mfumo wake wa kutambua watu sahihi kwa kwenye maeneo strategic una mapungufu sana.
    Alichofanya Rais ni jambo kubwa sana na sahihi tutegemee wengi Sasa hivi kuheshimu mamlaka na kuweka mikia kati kati ya miguu Yao.
    Unajenga Nairobi Kenya nyumba nzuri kwetu midabwada Nonsense brother!

  • @JosephChacha-kq6ki
    @JosephChacha-kq6ki 2 месяца назад

    Mzee hatari sana huyu,

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 месяца назад

    makamba kakuambia raisi anajifanya kocha subirini muone show

  • @emanuelelias2082
    @emanuelelias2082 2 месяца назад

    Amebaki kijana wa kikwete ukipiga panga na huyo mama mimi 2025 roho yangu safiii

  • @danielbugwema6969
    @danielbugwema6969 2 месяца назад +1

    Waandishi wa habari bhan a😂 mnampa umaarufu bure mlitaka aongeeaje huyo mzee mwacheni yeye anashiba na familia yake mnaboa sana

  • @GeoffreyNgonyani
    @GeoffreyNgonyani 2 месяца назад

    Mzee makamba waliotoka hawastahili kupongezwa kwa sababu wameharibu ndiyo maana wametolewa tena wamechelewa kutolewa kwa faida ya nchi.

  • @bahatimanyilizu8213
    @bahatimanyilizu8213 2 месяца назад

    Pole mzee makamba

  • @ThomasMakarius-x9n
    @ThomasMakarius-x9n 2 месяца назад

    Kuna vijana wengi wenye weledi ndani ya CCM ,hao watafute kazi za kufanya siyo uteuzi tena byee

  • @abdirazakmadhar2000
    @abdirazakmadhar2000 2 месяца назад

    Excellent mzee perfect speech.Mzee mkamba yupo 100%=Busara za wazee.

  • @RichardKabenje
    @RichardKabenje 2 месяца назад

    Kujifanya waho wanajua kilakitu nakumbe nchi wanaiweka gizani mama usihishie hapo waone wengine na kuwatumbua hili wakujue kua wewe ni rais wanchi tunakushukuru sana mungu akupe mahono zaidi

  • @fikiriadriano4251
    @fikiriadriano4251 2 месяца назад

    Makamba , Nape, Rizione, hao wote hupewa uwaziri Kwa fadhira tu"🤣

    • @yusufismail3116
      @yusufismail3116 2 месяца назад

      Wewe mbona hupewi hizo fadhila!

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 2 месяца назад

      ​@@yusufismail3116 baba yake hajulikani

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 2 месяца назад

    Makamba ametuliz komweeeee 😂😂😂 mwanae kibaka tu mar 2 zote anatenguliwa

  • @revocatusreuben4605
    @revocatusreuben4605 2 месяца назад

    Hapo kwenye kocha wa simba ipo powa lakn mambo mengne hupo zero

  • @KanutiJoseph
    @KanutiJoseph 2 месяца назад

    Pole Nzee Yusufu Makamba maana ndoto yako ya Urais wa mtoto wako inaanza kufifia.

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 2 месяца назад

    Wazuri hawatolewi yusuph acha kuzunguka

  • @kingkube5000
    @kingkube5000 2 месяца назад

    Mzee anafitina huyo anaitaji ikulu mwanae apate simkubali sana

  • @AnethMushi-c3e
    @AnethMushi-c3e 2 месяца назад +1

    Mashat ya kijan hayo yanamsumbua!