Mbarikiwa ahoji. Je kikwete atakamatwa na simu yake...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 973

  • @OnesmoStephano-mk8wj
    @OnesmoStephano-mk8wj 26 дней назад +6

    Wambie nass tunajua kila Mungu atawanyosha tu..awa ndo.watakua kuni tupate joto uko mbinguni na wachukue dhambi zetu mahana wana of ya Mungu ila wakae wajue.kwamungu ajui ulikua nani duniani Mungu anajua tu.mtumishi.ubarikiwe

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Год назад +5

    Human beings of this caliber are very few and they're ever straight away, discerned and very strong in their spiritual world......he literally speaks from his very bottom of his heart and He's been injured internally please jmn mwacheni Aishi vizuri kama watanzania wengine.#let Mr mbarikiwa live peacefully and let's not hold grudges over each other please please please 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @HamzaFamily-sw4td
    @HamzaFamily-sw4td Год назад +14

    Machungu ya wa Tanzania 🇹🇿 yatajibiwa na mungu asiye lala .

  • @WillBat-gc9ex
    @WillBat-gc9ex 3 месяца назад +1

    Mbarikiwa kakaangu umtumishi wa mungu wa walio hai mungu akulinde sana watoto wako wako salama kwa jina la yesu usihangaike nao maumivu uliyo nayo ni makali sana najua unafahamu kwa habari ya mungu wa dunia hii hagai alishaongea mungu anasema usiogope

  • @davisnkoba2683
    @davisnkoba2683 Год назад +24

    Mtumishi wa BWANA Mbarikiwa Daniel wa sasa God be with you in all in Jesus mighty name amen

    • @user-ie2to4iz8m
      @user-ie2to4iz8m Год назад +3

      Taarifa kwa yeyete aliyeshiriki kifo Cha mtoto huyu wa mtumishi huyu malipo haya hapa hapa duniani😢

    • @agustinohizza1395
      @agustinohizza1395 Год назад +1

      Kama unauwezo wa kuona mbali muiteni mmalizane kutatokea kitu kibaya mbele

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Год назад +17

    Ameeen yawarudie wenyewe kwakweli🙏🤲

  • @mzuandamlalli8654
    @mzuandamlalli8654 Год назад +14

    🎉❤baba mungu yupo nasi

  • @NokorenKuluo-xd7wn
    @NokorenKuluo-xd7wn Год назад +14

    Pole San mtumishi wamungu kwaunayo yapitia hao wote mungu atawajibu kwayote yanayo fanya kwa mtumishi wa mungu na kwa watanzania wote mungu yu hai

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Месяц назад +3

    Wengine wanaona kama kichekesho ila subiri majibu ya mungu atakavyojibu. Rco mwogope mungu jitafakali.

  • @emanuelkinoko9126
    @emanuelkinoko9126 Год назад +6

    Huyu ndo mtumishi wa Mungu sasa siyo hao wengine wasaka tonge! Hakuna wa kukugusa mtumishi watakufa wao kwa jina la YESU MWANA WA MUNGU ALIYE HAI.

  • @NellyMadeni-yv6fd
    @NellyMadeni-yv6fd Год назад +2

    Mbarikiwa ni mtu mwenyehaki, Mungu hawezi kumwacha. Poleni mnyemtesa mtu huyu kwakua hamjui nguvu ya Mungu, mtajuta sana

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Год назад +35

    Kikwete ni mtu mbaya sana ila mungu atasimama juu ya nchi hii

    • @khalfaniutaly1303
      @khalfaniutaly1303 Год назад +2

      wewe ni mtu jeuri mwache mzee apumzike acha roho mbaya itakusaidia nn

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 Год назад +27

    Huyu Mchungaji,alifiwa na mwanae ,badala ya kuliwazwa aliendelea kuchomwa moyo.anahitaji sana kutulizwa na kusikilizwa kwa ukaribu.

  • @SamweliZaburi
    @SamweliZaburi Год назад +9

    Wape vidonge vyao kwani serikali hii inaonea sana kuanzia serikali kuu hadi vijijini mungu anawaona

  • @user-uo9tv6cb2z
    @user-uo9tv6cb2z 4 месяца назад +1

    Pole Sana mtumishi wa mungu japo mungu yuko upande ya watumishi wake soma yeremia 29,11 usijali mungu yuko upande wako

  • @rawhiyasultan5778
    @rawhiyasultan5778 4 дня назад

    Amina kubwa mtumishi wa mungu,Mungu ibariki Tanzania

  • @GeraldYamoya-hx3wc
    @GeraldYamoya-hx3wc Год назад +4

    Pole sana kuishi kwetu ni Kristo kufa ni faida usiogope

  • @jacksoncharles5411
    @jacksoncharles5411 Год назад +46

    Walikuwepo watu kama HERODE nk,but mwisho wao haukuwa mzuri,hakuna aliyewaumiza watu wa MUNGU wakabaki salama,R.C.O mbeya na wenzako mnaotumia vyeo vyenu kuwaumiza watu kwa nia OVU,kuna haja ya kujitafakari,hayo madaraka hamjazaliwa nayo,hivyo hamtakufa nayo,kumbukeni nje ya vyeo kuna maisha mengine.NB:Mmezaa na mnavizazi,hawa mnaowatesa nao wamezaa na wanavizazi,kuweni makini sana ktk kila mfanyalo juu ya bin Adam wenzenu,yatakuja kuwaghalimu ninyi au vizazi vyenu.

  • @alipomwamahonje
    @alipomwamahonje 8 дней назад

    Mwenyezi Mungu iponye nchi ya TANZANIA ponya na wanasiasa
    Ponya maumivu ya watanzania
    Mwenyezi Mungu inua viongozi watakao ongoza Taifa hili kwa haki

  • @PMMakula
    @PMMakula Год назад +3

    Zaburi 89:7
    [7]Mungu huogopwa sana barazani pa watakatifu,
    Ni wa kuhofiwa kuliko wote wanaomzunguka.

    • @RobertGwelela
      @RobertGwelela Год назад +3

      Hiyo Zaburi 89:7 Mungu huogopwa Sana barazani pa watakatifu wake.Anachomaanisha hapa Ni kwamba Mungu anaheshimiwa Sana.Mtu wa haki hatakiwi kuwa mwoga.2Tim 1:7 Mungu hakutupa roho ya woga.hata ufunuo 21:8 Mungu anawakataa waoga.Sisi tunatakiwa tuogope kutenda dhambi ila Mungu tumheshimu Sana.Mtu utamwogopa Mungu endapo unatenda dhambi,,Kama ni mwema Basi Mungu utamheshimu na kumfurahia Sana,na hauwezi kumfurahia unayemuogopa.Hata ktk familia mtoto anayemuogopa sana baba ni yule anayetenda mabaya lkn anayetenda mema Sana anakuwa rafiki mkubwa wa baba.Mungu anapenda sisi tuwe huru Sana kwake kwa maana ya kwamba kila tunaloliona gumu kwetu tuwe radhi kumweleza ili atusaidie,Sasa tutamwelezaje Kama tunamuogopa?.Hata falsafa pastor aliyosema ame copy kwa Marehemu Ruge Mtahaba kuwa Muogope Sana Mungu na teknolojia,Maana yake tumuheshimu Mungu,yaani tuwe makini na tunayoyafanya ili tusikosane na Mungu.Lkn tuziheshimu teknolojia kwa maana ya kwamba tuwe makini na tunayoyafanya kwenye teknolojia kwakuwa yanaweza kuhifadhi kumbu kumbu za tuliyowahi kuyafanya kwenye teknolojia.Kama yalikuwa ni mabaya kisha sisi tukakataa basi teknolojia inaweza kuyaonyesha kwa dunia nzima.hata ukisikia mtu anakwambia wewe uwe na hofu ya Mungu,anamaanisha Mheshimu Mungu,au uwe makini ktk matendo yako usimkosee au usimkere Mungu,Maana unayemshimu ni lazima utapenda utendee mema sio mabaya.

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Год назад

      Mungu huogopwa na waovu ila wema humsogelea na amesema maovu ya wanadamu ndio hufanya Mungu aonekane ni mbaya.

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u 2 месяца назад

      Amina

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Год назад +17

    Serikali ingeyamaliza tu na huyu Pastor; UPANGA unaokuja mbele ni HATARI!!!

    • @Pharadge
      @Pharadge Год назад

      kama ya Mackenzie

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Год назад

      ​​@@Pharadgea Mackenzi amekujaje hapa??

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Год назад

      @@sifawayesu7079 Amekuja kwa bajaji😆😆😆

    • @mohdsaid7488
      @mohdsaid7488 Год назад

      Sasa wewe mungu humuogopi then yeye tu ndie atakaekuokoa hebu tuliza fuvu kwanza

    • @yohanayohana5558
      @yohanayohana5558 3 месяца назад

      Hakika huyu baba ameongea kwa ukali sana

  • @shahiidabdallah3579
    @shahiidabdallah3579 Год назад +2

    Hakuna tatizo hapo tatizo niufahamu walugha ,mchungaji afunzwe kiswahili,na sanaa yalugha.

    • @user-dv8lm4ko5i
      @user-dv8lm4ko5i 3 месяца назад

      Kaka Mchungaji amechanganyikiwa

    • @user-cd2mf2vf8r
      @user-cd2mf2vf8r Месяц назад

      Huyu mchungaj kavulugwa huyu mzee jakaya mbona yuko sawa kabisa

  • @user-on3sb4fn7w
    @user-on3sb4fn7w Год назад +2

    Mungu akutangulie mtumishi pole sana kwa pito lako mwachie mungu ashugulikenao🙏

  • @ThadeoJohn-or2uw
    @ThadeoJohn-or2uw Год назад +10

    Kweli mtumishi wa mungu hawatakuwa salama na hio bandali maana wananchi wengi wameumizwa

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Год назад

      Sema bandari siyo bandali

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 Год назад

      Tumeumizwa sana wa Tz mioyo yetu inavuja damu.lkn mwenye dunia yake yupo,naye ni Mungu naye atahukumu kwa haki.Amen

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Год назад +24

    R c o mbeya yatakurudia sio muda.

  • @abrahamnyagawa1304
    @abrahamnyagawa1304 Год назад +1

    Asante Sana, mtumishi wa MUNGU aliye juu!Kwamba,who are they,by the way,unanitia nguvu na ujasiri mkuu.keep it up, God's there,with you endeed!

  • @IsmailKitundu
    @IsmailKitundu 15 дней назад

    Yakaisali muachie kaisali nayamungu muachie mungu kazi yakuhukum sio yako kwanini unajivika jukum ambalo sio lako muache mungu afanye kazi yake

  • @gloriousmwankotwa882
    @gloriousmwankotwa882 Год назад +2

    Vita si yenu bali ni ya Bwana , Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya. Nyamaza kimya mtumikie Mungu aliyekuita naye atapigana vita yako mtumishi wa Bwana. Haya yanatokea kukutoa kwenye mstari, mwache Mungu akutetee.

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Год назад

      Mbona sasa wewe haujanyamaza na komenti haijajiweka yenyewe??

    • @gloriousmwankotwa882
      @gloriousmwankotwa882 Год назад

      Ni neno LA Mungu ndo linasema hivyo mpendwa, kwamba Bwana atatupigania nasi tutanyamaza kimya, sio maneno yangu.

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Год назад +24

    Wamemkosea Mtumishi wa Mungu Sasa watakula ujinga wao tuko pamoja mtumishi

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright1938 Год назад +20

    Huyu msoga anacheza kete anajua kuwa swala la a bandari limenuka na litawalipukia na anatafuta mahala pa kujinasua yeye na familia na genge lake.

    • @aristidesvedasto7855
      @aristidesvedasto7855 Год назад +5

      Kabisa kanafiki tu kumbe unakajua eee!

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Год назад +1

      Pamoja na yoooote anayohusishwa kikwete lkn ktk utawala wake alitoa Uhuru wa kukosolewa Kwa SERIKALI yake

    • @getitdoneright1938
      @getitdoneright1938 Год назад +5

      @@mashramadhani1989 uhuru wa kukosolewa hautoki kwa raisi bali katiba ndiyo inayoruhusu freedom of speech

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      @@getitdoneright1938 kweli, ila wakati wa magufuli hakuna freedom of speach. Jee katiba ilibadilika au?

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Год назад

      Ni sasa unamsikiliza??

  • @Justinmwamasage
    @Justinmwamasage 28 дней назад +2

    Achan nasiasa simam naiman yak utapotezwa Kam mtot wak siasa inawenyew wee hay😅😅😅😅

    • @YonaMgata
      @YonaMgata День назад

      ACHA unafiki wewe ninani uongee upumbavu huoni uovu ndani yanchii siasa unaijua wewe

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Год назад +7

    Mungu mkubwa, Tunakaribia kufika, na tuta fika kwa kishindo kikubwaaa.

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Год назад +9

    Amen mtumishi wa mungu, ongea mtu wa mungu,,

  • @AnordyChavala
    @AnordyChavala 14 дней назад

    Pole Kaka mungu amesikia kilio chako

  • @stevennjalika-in1fo
    @stevennjalika-in1fo Год назад +2

    Baba mungu atasimama kwa RCO na wenzake hao mungu yupo ,mungu yupo,,,,,,,,,!

  • @psgospel3490
    @psgospel3490 Год назад +7

    Mtumishi wa Mungu, Mungu akutie nguvu zaidi ulivuke hili nalo. Naweza pata mawasiliano yako kama hutojali🙏

  • @laurentngussa1735
    @laurentngussa1735 Год назад +5

    Apandaye ubaya atavuna ubaya anaoupanda kwa wakati asioutarajia, Mungu ni mhukumu wa haki siku zote.

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 Год назад +2

    Huyo RCO Mbeya anashindana na Mungu mwenyewe na apandae ubaya atavuna ubaya alioupanda.

  • @eleonorabokewarioba4420
    @eleonorabokewarioba4420 Год назад +10

    Sikutegemea kama Tanzania inaweza kutesa wana inchi wake kwa namna hiyo juteni kabla siku za Bwana hazijatimia kwani Bwana alisema ukiua kwa upanga kwa upanga itakufa

  • @prisilakimario2102
    @prisilakimario2102 11 месяцев назад +2

    Kila mtu aombe kwa iman yake,maan MUNGU ndo hana mpinzan.Nimwanzo na mwisho.🙏🙏

  • @user-pd1kk3xd4u
    @user-pd1kk3xd4u Год назад +5

    Samia ni dictator na ni jambazi alishauza nchi hii long time

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Год назад +1

    Shujaa wa Mungu hongera sana. Hao watu tunawatumia kitu kizito chenye ncha kali toka kwa Mungu

  • @nurdinahmed9063
    @nurdinahmed9063 Год назад +1

    Wallahi wabillahi naapa mbele za Allah hii himaya Ni uovu utupu na Mungu tupe majibu kwa mahasdi wa tz

  • @nurdinahmed9063
    @nurdinahmed9063 Год назад +2

    Huyo rcu mbeya mwisho wake mbaya na Mungu atampiga pigo kubwa sana Ila!

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 Год назад +22

    Hawa watu wanataka kujamba wajambe wao Tu, tukijamba Sisi tunaharisha

  • @jawahiriaelmy
    @jawahiriaelmy 3 месяца назад

    Huyu jamaa ni chizi au shetani lome mvaa kw kimsingizia kristo😅😅😅 hovyo sana

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Год назад +12

    Watanganyika waoga. Muche ni mbarikiwa atememadini

    • @PiusMapunda-gx8pu
      @PiusMapunda-gx8pu 2 месяца назад

      Na woga wetu ndio unaotuumiza,Nchi inatawaliwa na wapemba. jamani watznia tuamke wachache wanauza Nnchi jamani tuamke.tuamke.

    • @PiusMapunda-gx8pu
      @PiusMapunda-gx8pu 2 месяца назад

      Rais wa katika huyo hatufai hatujamchagua cc.Oooh Bai bai Tanzania tukija kushtuka hatuna kitu.

  • @titonsimbazi5532
    @titonsimbazi5532 Год назад +16

    Mikataba ya badali hatuitaki.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Год назад +1

    Kumbe Hata Rais Kikwete anajua Kuna Kukamatana Kuzuia Watu wasitoe Maoni, Kwa Hiyo Anajua Watu Wanagogwa!

  • @mohammedgogo3327
    @mohammedgogo3327 Год назад +2

    Shida ni kwamba shamba la Bwana heri, ng' ombe za Bwana heri, majani ya Bwana heri, mwendesha mashitaka ni Bwana heri, mtoa hukumu ni Bwana heri, mahakama ni ya Bwana heri, kwahiyo watanzania hatuthaminiwi Ila asiye na mtu ana Mungu. Wana wa Israeli walilia mbele za Mungu baada ya mateso, lakin Bwana wa majeshi aliwasikia kilio chao na hatimaye Mungu aliunyosha mkono wake. Wakawa guru.

  • @user-oh8sk4wy3r
    @user-oh8sk4wy3r Год назад +8

    Ila huyu mwamba nimeekuwa nikimfatilia kwa karib sana ila mwisho wa siku kwa udogo wa elimu yang na ufaham wang nahis huwenda afya yake ya akil haiko vizur ,sawa umefanyiwa ubaya lakn ww umekuwa mtu wa kulaum kila siku ,na siku zote unaambiwa unapo laumu usimalize maneno mana kuna siku utashindwa pa kuanzia ,we n mtu mzima eb kuna mambo jarb kuyapotezea mana hata mtu akikufatilia inafikia hatua anakuchoka mana unaongea upumbavu ,ni mtu wa guru chuki zimekujaa ww eb tupumzishe mchunguj unazingua...hata hy clip ukiangalia n ya mda sana ila una ungamisha unganisha ili kuwaaminisha watu na unachokieleza

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Год назад +1

      @user-oh8sk4wy3r. Yeye katuma ujumbe wewe unaanza kumsikiliza si utakuwa mpumbavu? Ukiona clip yake we pita. Hivi kuna haja gani kumfuatilia mtu anaye kukera?

    • @philemonkageleja3858
      @philemonkageleja3858 11 месяцев назад +3

      Kaa kimya kuhusu Mwakipesire wewe! Tunampenda na wamtoe gerezani haraka sana!.

    • @GraceMhoja-zc7yg
      @GraceMhoja-zc7yg 7 месяцев назад

      Mungu ndo ajuaye

  • @user-ny1tf2gg8g
    @user-ny1tf2gg8g Год назад +3

    Mungu wangu akulinde na maadui kila wakati mtumishi wa Mungu, vita ni vya Bwana mwenyewe

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Год назад

    mashetana tutawakabili kwa dua za mangamizi ALLAH atadilili nao madamu watu wana dai haki NAWAKABIZI KWA, ALLAH ANAJUA KULIPAMACHUNGU MWENYE NGUVU ANAYEBIGA MAPIGO MAZITO YASIO NA MFANO AMEEN

  • @KabonekeFathili
    @KabonekeFathili 4 месяца назад

    Dah,,,,, mbarikiwa baba MUNGU akutunze mtumishi,, jaribu ni kipimo Cha imani yakupasa uvumilie mtumishi kwa uchungu nakuskiliza 😢😢

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Год назад +2

    Huyu mwamba aise anaongea kwa hisia sn

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Год назад +7

    Brother mi nakushauri kitu kimoja haya mambo ungeyaacha tu, utapotea pastor!

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Год назад +3

      Kweli kabisa

    • @PASTOR_SHITINDI
      @PASTOR_SHITINDI Год назад +1

      Wameua mtoto wake hawezi KUNYAMAZA hata kama ningekua mimi

    • @mestonisimzosha203
      @mestonisimzosha203 Год назад +1

      Tangu walipo uwa MTOTO wake walimpoteza hawezi kunyamaza

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Год назад +5

      @@mestonisimzosha203 mtoto wake aliuwawa akiwa kakaa kinya au akiongea!?. Na akiendelea kuongea ndio wataogopa wakae kimya!?. Dsasa endeleeni kumpa moyo yakimkuta mabaya sijui kama na nyie yatawahusu

    • @kiatu
      @kiatu Год назад

      Kuna kitu bongo hakiko sawa.

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 5 месяцев назад +2

    Sijui ndugu yangu kama ni Mungu kakutuma...ila kwa maoni yangu ungefanya kazi ya Mungu uliyoitiwa...

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 3 месяца назад

      Kama ipo sauti na maoni ya Mungu juu ya anachofanya hakuna wa kumzuwia ndugu

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe4118 Год назад

    Mbn cjamuelewa huyu!!!kikwete ameongea Baya gani hapo😂😂😂😂

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Год назад

      Sikiliza full kupitia link hii ameulizwa nini kuhusu nani na kajibu nini. Ndipo ufananishe na vitendo vya askari wa samia kuwaumiza wanaokosoa ruclips.net/user/livexrP98R31iDc?feature=share

  • @NywageTv
    @NywageTv Год назад +5

    R c o mbeya mabaya haya anayopitia mchungaji huyu yatakua juu yako

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Год назад +3

    Tanzania tunakoelekea kubaya wazi wananchi walishaumia sana na wizi mkubwa kwa mali ya umma na hasa pale wanapoona baadhi ya viongozi wanashiriki kuhujumu uchumi

    • @abi-onlinetv4181
      @abi-onlinetv4181 Год назад

      Ndugu yangu. Unafuata hizi propaganda bila kujua

    • @Jal210
      @Jal210 Год назад

      Hasa hao walikuwa wakiendesha nchi hapo awali

    • @mnanasuly2585
      @mnanasuly2585 Год назад

      Yes tena kanisa katoliki wapetuibia sana kwa kupitisha vitu vingi bandarini bila kulipa kodi

  • @LovelyPalette-kq9xt
    @LovelyPalette-kq9xt 24 дня назад

    pole mtumish kushndana kwetu sis SI juu ya dam na nyama

  • @RoberthBilikule-mt4yn
    @RoberthBilikule-mt4yn 14 дней назад +1

    kuna wafia dini wanasema mungu atawalipa kwa kula nchi.
    swali nani kasema mungu anaitetea tanzania kama tunaila sisi wenyewe kwanini tusiitetee wenyewe??

  • @mghuna
    @mghuna Год назад +6

    Huyu r.c.o analalamikiwa sana ajiangalia sana hata km ni kiongozi watachokaa watu

  • @JosephKulwa-rc7en
    @JosephKulwa-rc7en Год назад +4

    Utawala ulikua kwa magufuli saivi maumivutu

  • @gloryngowo2663
    @gloryngowo2663 10 месяцев назад

    Wewe mwenyewe umesema haumwogopi mungu na wewe ni mtumishi wa mungu je wao wanawezaje kumwogopa mungu mmmmmmm

  • @ShukuruHashim-re4kb
    @ShukuruHashim-re4kb Год назад +1

    pole sana pastor kwa mapito yote

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Год назад +9

    Viongozi wa serkali wanacheka watanganyika wanalia

  • @GabrielPetro-qj2mk
    @GabrielPetro-qj2mk Год назад +3

    Amen masihi wa mungu

  • @prophetislael5265
    @prophetislael5265 Год назад +1

    Daaaaa machoz yananitoka nilivyokuwa nampenda huyu mtumishi sasa hv kila nikimfatilia ana pambana nawatu Mungu amsaidie sana

    • @caljersilverhabor464
      @caljersilverhabor464 Год назад

      Yea. angeendelea tu kuhubiri injili aachane na watu....Yesu pia alifanya vibaya kwa kukemea wafarisayo na wasadukayo. Angeubiri tu na anyamaze bila kusema watu. Mbona alivutana na watu mpaka wakamuua? Paulo mwenyewe ndo huyo huyo. Alikemea wagalatia mpaka akawaita wajinga.😁😁. Angeachana nao aubiri tu mungu. Umesema kweli. Tumuombee mbarikiwa asikemee yeyote na asiseme juu ya mtu yeyote. Alitufurahisha wakati alikuwa anaubiri tu mungu. Ata sijui aliubiri mungu lini. Huyu si amekuwa akikemea watu mwazo mwisho. Tumuombee aachane na watu juu dhambi za watu hazituhusu sisi kama walokole wa sasa.

    • @user-ou9sq6dl9b
      @user-ou9sq6dl9b 6 месяцев назад

      Ána maumivu makali Hadi ameshindwa kujizuia anahitaji neema ya MUNGU.

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Год назад +1

    Mungu akuponye na hasira Mch.

  • @kombo8785
    @kombo8785 Год назад +3

    Aaaaaa hii Sasa Ni hatari nikwa ajili ya tamaa.ila bwana mjue hakuna aliye juu ya wote

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 Год назад +7

    Kikwete alisema kweli kbsa

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt 10 месяцев назад

    Mungu akutie nguvu mtumishi wa bwana akuwezeshe kushinda hayo unayopitia

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 11 месяцев назад +1

    Wachungaji wa mbeya Wana majungu 🤣🤣🤣🤣

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 Год назад +3

    Hii tabia ya police kunyang'a cm ipo Tanzania tu pekee

    • @user-vi3xx5ew5i
      @user-vi3xx5ew5i Год назад +1

      Nchi zingine haina haja ya police kuchukuwa cmu wao wanadukiwa cmu tuu na kuchukuwa ushaidi na km wakichukuwa kesi ikiisha au ukimaliza kifungo wanarudisha cmu yaani lever ya kuiba cmu hakuna

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Год назад +2

      Labda wanafidia na kulipa hasira zote kwa raia yaani hawatosheki na mishahara yao.

    • @alfrediaugustino1026
      @alfrediaugustino1026 Год назад

      Wana singizia et wanaenda kufanya uchunguzi kwenye cm kama unawasiliana na wahalifu wakija wanakuambia eti ulikuwa ulikuwa unawasiliana na magaidi kwaiyo cm yako utaacha Kwa uchunguzi zaidi .yaani hii nchi mahaskari wengi ni wezi Sana vituoni wanakuibia bila kukunyang'a cm unawapa mwenye, kituo cha mbagala maturubai nimeacha cm kituoni na laini yake Hadi leo sijarudishiwa toka mwaka 2016 na ukipiga haipatikani yaani hii nchi ujinga mwingi upo Kwa mahasikari wengi wao ni wezi wananyang'anya Mali ya mwananchi kupitia nafasi ya uongozi alionayo kuonea watanzania sababu hawana nguvu ya dola .

  • @mohdkhamis1031
    @mohdkhamis1031 Год назад +4

    Mbona makanisa yanatoka povu kipindi hiki😂😂😂

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 Год назад +4

      Acha watoe povu shida yako nini

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 Год назад +3

      Makanisa
      Ni jingo
      Wananchi wamechoka ufisadi tangu uhuru
      Sasa ndugu tetea haki . Pigania haki za Taifa hili
      Serikali yetu mikataba hovyo kila kukikucha sasa tusimame pamoja. HAKUNA WA KUTUTETEA
      TUSIMAME WENYEWE KUOKOA TAIFA LETU

    • @abi-onlinetv4181
      @abi-onlinetv4181 Год назад

      Wamechanganyikiwa hawa

    • @agustinohizza1395
      @agustinohizza1395 Год назад +1

      Yanaong'ozwa na roho wa bwana nyinyi mnaongwa na nani.

    • @janethpallangyo3855
      @janethpallangyo3855 Год назад

      ​@@abi-onlinetv4181 na wewe je???????

  • @GabrielPetro-qj2mk
    @GabrielPetro-qj2mk Год назад +2

    Amen San, masihi wa mungu

  • @LusajoMwajeka-tf1nj
    @LusajoMwajeka-tf1nj 8 месяцев назад

    Daah loho yangu inauma kumfunga mtu kama mbalikiw daaa hakik mungu anajua

  • @masoudamini8623
    @masoudamini8623 Год назад +3

    Mbarikiwa una mapepo ya chadema
    Una mapepo ya chadema
    Nenda ukaombewe😂😂😂

    • @user-pz1qn7re3b
      @user-pz1qn7re3b 19 дней назад

      Wewe unajua .uchungu wa kufiwa na mtoto tena utubu

  • @issaabdi9129
    @issaabdi9129 Год назад +2

    Wewe nyamaza acha kutafuta umaarufu. Baki sehemu yako ulipo.

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 Год назад +1

      TUNALAANI UGANDAMIZAJI NCHINI
      WATANZANIA
      TUNALAANI UFISADI NCHINI
      TUNALAANI UBADILIFU WA FEDHA ZA UUMA
      TUNALAANI MKATABA WA DPW USIOKUWA NA TIJA KWA
      WATANZANIA HATUTARUDI NYUMA KUTETEA TAIFA HILI
      WIZI WA MALI YA UMMA TUTASIMAMA WANAMAPINDUZI NI WATANZANIA

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Год назад

      Mbona haujanyamaza wewe chawa??

    • @IbrahimuJaphet-hx2ns
      @IbrahimuJaphet-hx2ns Год назад

      Wewe hauna haki ya kumyamazisha mtu anapo onesha hisia na maumivu aliyopewa Kwa udharimu wa serikali wewe ni nani umyamazishe mtu unahaki gani,?

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 Год назад

    Pimwa akili kwanza. Yaani kupewa uhuru wa kuabudu mnajidai kumaliza amani ya nchi. Acheni ubinafsi kwani mambo hayaongeleki. Acha zako😊😊😊😊😊

  • @user-jf1yq9fc6d
    @user-jf1yq9fc6d 11 месяцев назад

    Umechanganyikiwa jaribukuwa mtulivu bro

  • @user-fr2op2ss6v
    @user-fr2op2ss6v Год назад +3

    Wewe Acha kupiga mikwara povu la nini? Unamapepo? Mtu mzima unaongea hovyo? Acha afande afanye kazi yake kama unamakosa uachwe?

    • @fredrickjohnson2692
      @fredrickjohnson2692 Год назад

      wewe unaongea hivo kwakuwa usha kufa, na unakufa sikusio nyingi.
      ajari, bunduki, magonjwa ya kansa, na wanyama pori, mbwa mwitu, vitakutafuna

    • @MUSSAPAUL-qo8hj
      @MUSSAPAUL-qo8hj Год назад

      Nyie bila shaka chakula chenu ni Damu za watu et!!!?????? Nyie ndio mapepo na majini Wala Damu ila Mungu wa kweli wa haki atayalipa tu

    • @josimo7083
      @josimo7083 Год назад

      Kakojoe kalale

    • @janethpallangyo3855
      @janethpallangyo3855 Год назад

      Mpumbavu wewe

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Год назад

      Sawa mtakatifu usie na mapepo unaeiwazia mema Tanzania hata hutoi mapovu kama yeye

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Год назад +3

    Broo inatosha nyamaza

    • @williamsenkoro2210
      @williamsenkoro2210 Год назад

      Kauliwa mtoto wake mkuu

    • @noeleliasi8401
      @noeleliasi8401 Год назад

      akinyamanza mawe yataongea

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Год назад

      Mbona haujanyamaza wewe na komenti yako ya kipumbavu hapa??

    • @juliusjohnii7823
      @juliusjohnii7823 Год назад

      ​​@@sifawayesu7079ibu kistahaa mpendwa sifa. comment ya huyu ndugu haina ubaya wowote, hata Mimi ningemshauri mtumishi wa Mungu kuwa tabu hii sasa inatosha,, hivyo tumlilie Mungu wetu pekee , twende mbele zake kwa hoja tumkumbushe tunavyo simama upande wake siku zote,na yeye sasa asimame upande wetu ye ni mwaminifu anafanya kabisaaaaa sawa na haja zetu.
      Kuliko kuwapigia gitaa mbuzi, wasipocheza tunawaona wapuuzi. Wakati wao hawaelewi mziki.
      Tunakosa maarifa, fahamu wengine hawamjui Mungu wetu kama farao, hivyo wataendelea kupingana na mapenzi ya Mungu,,
      hawa wanahitaji saaana miujiza inayo tokana na maombi makuuuu ya kumlilia Mungu bila mzaha.

  • @tielyelibariki8958
    @tielyelibariki8958 Год назад +1

    Mungu akatende bandari yetu haiwekezwe wenye nchi pamoja na wanasheria wetu tumegoma

    • @popekatalango9409
      @popekatalango9409 Год назад

      ni ujinga mtupu,mmejazwa kwa ujinga wenu,TICTS waliomaliza mda wao pale bandarini walikuwa ni wawekezaji wamedumu pale kwa miaka 30 wameingia toka utawala wa mkapa wamemaliza mkataba wao juzi tu hapa walikuwa ni wawekezaji wewe mbumbumbu hilo ulikuwa hujui

  • @zakariakapinga9862
    @zakariakapinga9862 14 дней назад

    pole sana mtu wa mungu

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 Год назад +3

    Huyu ni mgojwa anaumwa akili.

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS
    @USACAUDIOVISUALMATERIALS Год назад +3

    AFYA YA AKILI IKITETEREKA UNAJISIKIA KUROPOKA TU.

  • @user-sr3vb7fs9y
    @user-sr3vb7fs9y Год назад

    Ni lazima uteswe kama kristo achilia umpe Mungu nafasi akujibie wala usijitaabishe maana kisasi chetu ni Bwana atulipiae ebu nyamaza Mungu akuonyeshe namna anashughulika na mambo yetu

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 11 месяцев назад

    Manabiii wa mbeya🤣🤣🤣🤣🤣wachungaji wa hovyo

  • @popekatalango9409
    @popekatalango9409 Год назад +3

    kuna mtu anaweza kunieleza uhusiano wa clip ya kikwete na hiki anachozungumza huyu bwana? kauli ya kikwete ilikuwa ni kupinga na kukosoa wale wenye kuzuia mawazo ya watu kifupi wale wenye tabia ya kuwanyima watu uhuru wa kutoa mawazo yao,na yeye ndivyo alivyokuwa hakuwanyima watu fursa ya kutoa mawazo yenu,sasa kosa la kikwete ni lipi hapo? jiepusheni na chuki zisizo na msingi, chuki ikizidi huondoa maarifa, kama kuna mambo yalimpata huyo bwana pole zake lkn amejaa chuki na ghadhabu tena inazielekeza au kuzihusinisha na clip ambayo haina uhusiano wowote na anachokizungumza,wengi humu wanasapoti na kupongeza eti sababu anaezungumza ni mchungaji au ni shekh,tukatae haya mambo kama shekh au mchungaji amezungumza lililo sawa yapasa kulipokea kama sio la sawa yatapasa tulikatae,sio kupongeza tu sababu ni mchungaj

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga3939 Год назад +3

    Pastor bora ungehubiri tu siasa itakuponza huiwezi waachie wanasiasa wewe hubiri tu ndugu

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Год назад

      Kweli

    • @modestapeter2997
      @modestapeter2997 Год назад +2

      wewe unajua maana ya neno siasa? au umekalili tu hata hujui kua hata baba yako au wewe kama unafamilia na kunamambo una amua basi nawewe ni mwanasiasa

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Год назад +1

      @@modestapeter2997 neno hubadilika maana linapokuwa kwenye sentesi fulani. Alicho kikushudia ni serikali. Anamaanisha aache kuisema serikali ahubili dini yake.

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Год назад +1

      Ujuacho wewe kuwa ni siasa mimi najua ni injili. Kwani kwangu injili ni kupinga ubaya tu mwanzo mwisho. Hivyo hicho ujuacho wewe kuwa ni injili hubiri wewe.

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Год назад +1

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile nitumie link ya video zako nione na wewe mahubili yako ili niweze kuelewa kweli na wewe unapenda injili

  • @TumainiNgonyani
    @TumainiNgonyani 15 дней назад

    Mungu akulinde sema ukweli

  • @manjoriwakunesa7006
    @manjoriwakunesa7006 Год назад +3

    Ninegundua wewe nimwehu

  • @kombomakame5778
    @kombomakame5778 Год назад +16

    Mchungaji gani ambaye huna adabu kama unajisifu unajisifu humuogopi Mungu,unaonekana hata akili inahitaji kupimwa, Mtumishi feki uliyejaa hasira na chuki, unatoa povu lisiloisha, umeshindwa hata kuficha chuki zako, una gubu kama mwanamke, unatoa clip ya kikwete ambayo haina uhusiano na Mh.Rais Samia, hiyo habari inahusiana na uongozi wa mwenda zake. Utawatisha wasiojielewa, huna lolote, njaa inakusumbua, Mungu hapangiwi kwa utumbo wako.

    • @luganomunuwavanu9369
      @luganomunuwavanu9369 Год назад +6

      Kama huyu ni mchungaji feki basi tunayo kazi ngumu kuwapata wachungaji wa kweli

    • @user-hd7nf3xs1r
      @user-hd7nf3xs1r Год назад +6

      Huyu ndiye mchungaji wakweli siwengine watafuta ugali

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Год назад +9

      Kaifuatilie full ukaone maswali alikuwa anaulizwa kuhusu nani? Adamu alimwogopa Mungu kwa sababu ya dhambi. Hata wewe unamwogopa Mungu kwa sababu ya midhambi. Ila kwa watu wake ametaka wasimuogope bali wamkaribie. Mwogope Mungu ikiwa unatenda midhambi.
      Fuatilia clip nzima uone swali lilihusisha uongozi wa samia au Magufuli
      ruclips.net/user/livexrP98R31iDc?feature=share

    • @wilfredlukowo9476
      @wilfredlukowo9476 Год назад +1

      Mpumbavu huchangia kipumbavu.yuko sahihi

    • @allylumba8860
      @allylumba8860 Год назад +3

      BASI SASA NASEMA BADALA YA .MTUMISHI WA MUNGU MBARIKIWA NIMELAAN MAISHA YAKO MAGONJWA NA TAAB YATAKUWA JUU YAKO USIMGUSE MASIHI WA BWANA

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Год назад

    Asanteni wa Tanganyika hatujielewi hatuwawezi hawa mungu atusaidie Tena Kama mwaka uleee,

  • @StewartUkason
    @StewartUkason 4 месяца назад

    Duuuh ... Kwa kweli huyu mtu ameamua kujitoa mhanga.

  • @ShepherdMfuse
    @ShepherdMfuse Год назад

    Mtu wa Mungu yaache Haya Mambo hayana Manufaa Kwako wala kwa Watu wa Kanisani Kwako kama Unahitaji Kuingia kwenye Siasa sawa ila Kama hauna Maono na Siasa tuendelee kuihubiri Injili tuliyoagizwa haya ya Siasa hata Samweli aliyempaka Sauli Mafuta ya Ufalme alikaa nayo Mbali

  • @abdillahiabdallah438
    @abdillahiabdallah438 Год назад +1

    Nyinyi mnataka nchi isitawalike RCO hongera wewe upo kazini Fanya kazi kisawasawa , na Mkuu wa mkowa wa huko usitetereke wasikutetemeshe

    • @MUSSAPAUL-qo8hj
      @MUSSAPAUL-qo8hj Год назад

      Tunataka itawaliwe na haki sio umalaya, wizi na ulevi

    • @albertmbise2670
      @albertmbise2670 Год назад

      It is matter of time Tu ila ku na siku kitanuka na hao unawambia waone watu kwa kigezo cha kufanya kazi basi juu kuna siku kitakukuta wewe au mmoja wa familia zako

    • @MUSSAPAUL-qo8hj
      @MUSSAPAUL-qo8hj Год назад

      @@salimmalaka256 wewe ni shetani na unaishi kuzimu UFUNUO 9:11

    • @janethpallangyo3855
      @janethpallangyo3855 Год назад

      Wewe ni wale wanywa damu za watu

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Год назад

      Aaaah kumbe kazi yake ndio hiyo???
      Sawa ......mwenzake

  • @winnyleonardkapere661
    @winnyleonardkapere661 Год назад +2

    Tusicheze na mtumishi wa Mungu!