KIMEUMANA! MPINA VS MWIGULU BUNGENI "HUO NI WIZI NA UFISADI, MWIGULU, MBARAWA WAKAMATWE!"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 ноя 2023
  • KIMEUMANA! MPINA VS MWIGULU BUNGENI "HUO NI WIZI NA UFISADI, MWIGULU, MBARAWA WAKAMATWE!"
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 677

  • @toney..
    @toney.. 7 месяцев назад +56

    Mbunge bora WA mwaka.... Kuwe na tuzo za wabunge bora kila mwaka jamani....

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw 7 месяцев назад +43

    mbunge wangu wa nguvu mtu makini ruhaga mpina 💪🙏

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 7 месяцев назад +55

    Daaah huyu mwamba namkubali sana yuko smart kuanzia mavazi mpaka point zake

  • @user-go2op5ql4y
    @user-go2op5ql4y 7 месяцев назад +61

    Mpina kutoka moyoni Mungu anisamehe dhambi zangu ili akubali maombi yangu kwakweli mpina Mungu akulinde sana

    • @adamukidua962
      @adamukidua962 7 месяцев назад +2

      Awe makini, wasiojulikana hawapo,mbali 😭😭😭

    • @tusajigwe7491
      @tusajigwe7491 7 месяцев назад

      Amina kwa ajili yake

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 7 месяцев назад +29

    Mh Mpina pokee 🎉🎉🎉🎉💐💐💐💐 yako ukweli utabaki ukweli maana Kila point unapigwa taarifa ili uzibwe mdomo muuu, Mungu wetu tushike mkono peke yetu hatuwezi RIP MH JPM .

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz 7 месяцев назад

      MTANZANIA ALIYEOLEWA NIGERIA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YA JUMBA LAO LA KIFAHARI HUKO.!
      ruclips.net/video/9bXTiw6Qklc/видео.html.
      MSICHANA MREMBO WA KITANZANIA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA TED JOHN ALIYEKUWA AMEOLEWA NCHINI NIGERIA NA TAJIRI MKUBWA.
      AELEZA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YAJUMBA LAO LA KIFAHARI LILIPO NCHINI HUMO KISHA KUKIMBIA NA WANAE.
      UBALOZI WA TANZANI WAMUOKOA NA KIFO KWA KUMTOROSHA USIKU NA KUREJEA TANZANIA NA WANAE WATATU, AMUOMBA RAISI SAMIA.
      WATANZANIA WOTE NA DIASPORA KUMSAIDIA KUHUSU WANAE AMBAO HAWAJUI KISHWAHILI HATA. CHEMBE.
      AONGEA NA MKOI TV, VIDEO HII HAPA, SHARE KWA KILA MTANZANIA DUNIANI KOTE ILI WAMSAIDIE DADA HUYU.
      COMMENT NA SUBSCRIBE MKOI TV ONILI AU KAMA UNA MAONI TUTAFUTE WHATSAPP NO +255713575718.
      KARIBUNI SANA

    • @georgesemakula1063
      @georgesemakula1063 7 месяцев назад

      😊😊

    • @merygodfrey3709
      @merygodfrey3709 7 месяцев назад +1

      Kwa nini mnaingilia taarifa mmeshaona anaonyesha nja za upigaji.Hongera Mpina Songa mbele.

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w 7 месяцев назад +13

    Congration mr.mpina mungu akulinde sana mpina,kwasababu nchi msema kweli hadumu.

  • @user-gb4yp3um8o
    @user-gb4yp3um8o 7 месяцев назад +40

    Hongera Sana mpina mungu akusimamie ktk uwakilishi wa nchi,wewe ni mzalendo

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 7 месяцев назад +9

    Ndo namkumbuka kauli ya ndugai iv uh wizi mpaka lini mbunge wangu bola ni mpina tu mungu akulinde sana

  • @nestor384
    @nestor384 7 месяцев назад +65

    Hii ndiyo tafsiri halisi ya mwakilishi wa wananchi.
    Wenye akili wamewekwa kando wapumbavu watuongoze!!!💔

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 7 месяцев назад +22

    Ashukuriwe mungu Hapo hakuna upinzani.

  • @kumekuchaonlinetv
    @kumekuchaonlinetv 7 месяцев назад +9

    Wabunge wetu hongereni sana kwa angalau kuonesha Uzalendo kwa nchi yetu!

  • @gwamakagwamaka
    @gwamakagwamaka 7 месяцев назад +7

    Ndugu yangu mpina ww unamoyo mzuri naunaipenda nchi yetu mungu akuwekemaisha marefu Huyu mwinguru na naibu waziri hawanauruma nanchi niwezi tu

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 7 месяцев назад +6

    Mpina Mungu akubariki

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 7 месяцев назад +11

    KWA KWELI MPINA NDIO KATIKA WAZALENDO WALIOBAKI NCHI HII , NI WACHACHE SANA , HONGERA SANA MPINA ,SISI WATANZANIA TUNAPOKUONA NI LAZIMA TUKUSIKILIZE SPICH ZAKO , HATUSIKILIZI MADUNDUKA SISI ,

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 7 месяцев назад +47

    Nilizoea sana kuangalia taarifa ya habari kufahamu yaliyojili na nchi inavyoenda lakini siku hizi hata hamu tu ya kuangalia taarifa ya habari sina kwa sababu najua kabisa naenda kupata maumivu ya moyo, hakika ipo siku wachache hawa walioamua kupuuza thamani ya jasho la wanyonge watalipa maumivu haya, iwe kwa Mungu kuwapa magonjwa yasiyotibika pamoja na wingi wa pesa zao haramu, watoto, wajukuu na vizazi vyao vyote kupata matatizo mbalimbali hapa duniani. Huwezi kupuuza maumivu na thamani ya binadamu mwenzako ukabaki salama.

    • @user-gb4yp3um8o
      @user-gb4yp3um8o 7 месяцев назад

      Wabunge wenzenu wakichangia ya maana musiwe wa kupiga makofi bila kujua mwenzenu anaongea Nini Sasa mnafurahi Sana tunapoambiwa uongo kumbukeni huyo ni mbunge anaye jitabua

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 7 месяцев назад

      Pole sana, kweli tunabeba maumivu mioyoni nwetu!

    • @omaryyusuph7877
      @omaryyusuph7877 7 месяцев назад +1

      Tupo wengi atuangalii habari

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 7 месяцев назад +1

      bora kuangalia tamthiliya tyu kuliko habari mijizi tyu inaoa wanawake kila siku 😂

    • @bahatikyomo4067
      @bahatikyomo4067 7 месяцев назад

      Kweli shauku ya kuangalia taarifa ya habari kama Kwa Magufuri haupo

  • @sadokibrasio4777
    @sadokibrasio4777 7 месяцев назад +9

    Big up mpina,unamachungu na nchi hii

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 7 месяцев назад +11

    Nilikuwa naomba kuwe na kura za maoni kuhusu mwigulu hebu jaribuni

  • @user-eg8yq7nf2m
    @user-eg8yq7nf2m 7 месяцев назад +18

    Harafu wengine wanacheka baada ya kusikitika Bungeni nomaa

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 7 месяцев назад +32

    Wabunge wanacheka nakushabikia bila kujari masirahi ya taifa yaani ni upuuzi tu .Safi Mpina wabane kabisa hao

  • @reubendofu1760
    @reubendofu1760 7 месяцев назад +5

    Keep it Up Mheshimiwa Luhaga MPINA Mchango mzuri wenye hoja na uthibitisho wa kutoka Kilichobaki ni serikali kuyafanyia Maamuzi yanayosemwa

  • @user-xn3gs9qc8u
    @user-xn3gs9qc8u 7 месяцев назад +4

    Muda wake ulikuwa haujaisha ukiondoa muda wa hizo taarifa big up muheshimiwa Mpina kwa uthubutu wa kusimamia rasilimali zetu za nchi

  • @elisifajoshua6155
    @elisifajoshua6155 7 месяцев назад +4

    Kwann taarifa nyingi sana mwachen aongee. Mungu akulinde usiogope mtetezi wako yuu hai

  • @BonepherceMichael
    @BonepherceMichael 7 месяцев назад +13

    Huyu mbunge ni hazina🎉 ya nchi, Watanzania wema na wenye mapenzi mema na Taifa letu la Tanzania tumwombee kwa MUNGU amwagizie Malaika walinzi wamulinde usiku na mchana,MUNGU AKUBARIKI AKUTUNZE NA KUKULINDA.AMINA.

  • @user-iq4px2te4o
    @user-iq4px2te4o 7 месяцев назад +3

    Mheshimiwa Mpina Mwenyezi Mungu akupe ulinzi.

  • @osumsafi2095
    @osumsafi2095 7 месяцев назад +5

    Daah mpina wewe kweli mwamba MUNGU akulinde Sana

  • @GraceShayo-mj3oc
    @GraceShayo-mj3oc 7 месяцев назад +13

    Mungu akuinue kukuweka nafasi ya juu ktk jina la Yesu

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera685 7 месяцев назад +4

    Kwa Sasa Mpina duhh ndo Mbunge wangu wa mwaka .
    Makini sana jamaa

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 7 месяцев назад +3

    Mpina ni mtu na nusu..Big up sanaaa...The Next president

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman 7 месяцев назад +4

    Muda wake mume uchukua kwa mitaarifa yenu mlipaswa mkae kimya tusikie aibu zenu mnatusababishia gharama za maisha kuwa juu kumbe pesa mnazibeba...

  • @emmanuelndone4767
    @emmanuelndone4767 7 месяцев назад +5

    Mpina much respect

  • @sikuzamwishotutaonamengira6788
    @sikuzamwishotutaonamengira6788 5 месяцев назад

    Hongera sana mh Mpina kwa uzalendo wako kwa taifa letu la tanzania... Nchi inajengwa na wanyonge inaliwa na familia za wachache serikalini inauma sanaaaaaaa

  • @toney..
    @toney.. 7 месяцев назад +17

    Mwigulu kuwa waziri WA fedha ni dharau Kwa taifa......

    • @emmanueliman7408
      @emmanueliman7408 7 месяцев назад +6

      Shangaa anajitetea kulinda upigaji alafu eti baadhi ya wabunge wanamshagilia eti.

    • @tusajigwe7491
      @tusajigwe7491 7 месяцев назад

      😂😅

    • @kisabihamadi7555
      @kisabihamadi7555 7 месяцев назад

      ​@@emmanueliman7408dah hatari sana

  • @bwilumarigo
    @bwilumarigo 7 месяцев назад +4

    Mwiguru anasitahiri kufungwa maisha ana nimwizi wa kupitiriza

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 7 месяцев назад +32

    Luhaga mpina wewe ndio mzalendo wa kweli MUNGU AKULINDE YEYE NDIE AJUAE

    • @geraldlyimo2859
      @geraldlyimo2859 7 месяцев назад +2

      Nina wasiwasi bunge lijalo watamwacha kwa kuwa hawataki mseji mkweli

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 7 месяцев назад +2

      @@geraldlyimo2859 😂😂😂 hawawez coz wakimuacha akihamia CHADEMA anapata Jimbo coz wananchi wanamkubali

  • @Gamba177
    @Gamba177 7 месяцев назад +11

    Wezi watupu mijizi ccm kazi ya kulala bungeni na kujamba ovyo bila ya kusaidia walalahoi.

  • @fredimtaze9982
    @fredimtaze9982 7 месяцев назад +5

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿Lissu alisema hawa jamaa wana tupiga kwenye mradi leli kwa kuongeza kilo mita

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 7 месяцев назад +6

    Akika mpina tunakuombea sana awa wezi tunawasubili sana 2025

  • @user-ss1ph9vp7h
    @user-ss1ph9vp7h 6 месяцев назад

    Bunge hili sasa lina wabunge wawili tu wengine chenga tu. MPINA ❤+ MSUKUMA❤

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 6 месяцев назад

    Daaa Mungu akubariki mpina aendelea kitupambania

  • @mcmetroboom530
    @mcmetroboom530 7 месяцев назад +1

    Watu wa jimboni kwa mpina uyu jamaa anawawakilisha vyema ❤️ aisee

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 7 месяцев назад +5

    Mpina pokea🎉🌹🥀💐🌹yako mapema maana umeongea point sana

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 7 месяцев назад +1

    Safi sana mpina namungu akulinde vyakutosha

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 7 месяцев назад +1

    Aisee mpina Mungu akulinde sana

  • @shabanimasue6546
    @shabanimasue6546 7 месяцев назад

    Mpina Mungu akulinde. You are excellent 👏

  • @eliudntabusi9712
    @eliudntabusi9712 3 месяца назад

    Namkubali sanaa MPINA

  • @benjaminsendula7503
    @benjaminsendula7503 6 месяцев назад +1

    Sema wasukuma tunaongoza kuwa na viongozi wenye uelewa saana bungeni

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 7 месяцев назад +14

    Mpina safi sana keki watu wanakula wachache sana

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 7 месяцев назад +8

    Hao wanao mpigia makofi mwiguru viraza kila hoja ndio mpina nakukubali sanaaa

  • @andreampemba1465
    @andreampemba1465 7 месяцев назад +5

    Kimeumana wazalendo bado wapo

  • @samwelililenga
    @samwelililenga 7 месяцев назад +9

    Nafasi ya kiongizi wa juu ifanye kazi wananchi tunaumizwa sana sana

  • @novathmsanyamsanya7702
    @novathmsanyamsanya7702 7 месяцев назад +3

    Hakuni nchi inaweza endelea kwa kufanya Importation zaidi kuliko export

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 7 месяцев назад

    Hongera mheshima a mpina wewei Kweli ni mzalendo siyo hao wengine

  • @bockerbocker8495
    @bockerbocker8495 7 месяцев назад +5

    Mpina anachokiongea anakijua,hawa wengine wanaleta porojo tu na fujo

  • @BernadethaSimba-qi4dw
    @BernadethaSimba-qi4dw 7 месяцев назад

    Asante sana M/Mungu anatenda sasa Mama Mh Samia ona mama madudu hayo walikuwa wanakudanganya hao ndiyo maana wananchi mioyo yetu inavuja damu wakati sisi hali huku mbaya wenzetu Maisha Raini vitambi vinakua kwa kodi zetu walala hoi Siyo hao tu wapo wengi tunakupigia magoti mama tenda kazi yako kwa mamlaka uliyopewa hao watu kama hao wanakuchafua sana funga hao hata kumi tu heshima yetu itarudi

  • @user-zt7dx2mw1u
    @user-zt7dx2mw1u 7 месяцев назад

    Mpina hongera

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 7 месяцев назад +1

    Mwingulu akamatwe

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 7 месяцев назад +5

    transaction ni uhamisho wa fedha, hapo waziri umekula pabaya. Transaction = uhamisho wa fedha kielectronic.

  • @user-qp2pq1uq4k
    @user-qp2pq1uq4k 7 месяцев назад +11

    Naliona giza katika nchi yetu ukweli utaongea daima, RIP Rais Magufuli

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 7 месяцев назад

    Wabunge simameni imara Wananchi tumechoka sana, Majizi wametuchosha sana, tusaidieni msiogope kuuawa.

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 7 месяцев назад

    The only man with balls CCM
    Penda sana wewe kaka na Ahsante from the bottom of my heart ❤️🙏🏾

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 7 месяцев назад +13

    Mi nikimuona Mwigulu nasikia kama aibu ya Taifa

  • @simonjnrmabula3785
    @simonjnrmabula3785 7 месяцев назад

    Mhe. Mpina 👏👏👏

  • @jumamakamba2212
    @jumamakamba2212 7 месяцев назад +1

    Hakunaga msukuma boya hongera wapoti

  • @Keyjop
    @Keyjop 7 месяцев назад +8

    Nliposikia mwigulu anaingi hiki kitengo daah ... 😢😢 Kwanchi kama Tz kuwa na kiongozi kama mh.mwiguru niaibu kwetu kama watanzania
    Kiukweli viongozi wetu mnatuangusha saana ...
    Eti transaction sio uhamisho kwahiyo English ndio lugha sanifu ya nchi now daaah ...🤣😄😄🙌

    • @tumainikomba9008
      @tumainikomba9008 6 месяцев назад

      Anafikiri tuko mbumbumbu!!! Transaction na uhamisho,,,anasujudu lugha za watu kuliko anaowaita watanzania wakat alishatuhamishia Burundi kitambo,,, shameless

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 7 месяцев назад +1

    Mbunge wa ukweli hongera mpina

  • @user-xx1jb5fq5p
    @user-xx1jb5fq5p 7 месяцев назад +2

    Usipotajirika kwenye hii serikal basi wew nimasikin wakufa

  • @DoriceSawaki-vg4sb
    @DoriceSawaki-vg4sb 7 месяцев назад +2

    Waziri wa fedha Mwizi anaimaliza nchi hii cjui kwann mama anamng'ang'ania atatufnya tuamini Wanashirikianaaa

  • @annapeter-wb6iv
    @annapeter-wb6iv 7 месяцев назад

    Mungu akubariki mpina

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py 7 месяцев назад

    mungu akulinde kamanda

  • @JoelSacta-rk5iy
    @JoelSacta-rk5iy 6 месяцев назад

    BIG UP

  • @user-sq2cw6hp6o
    @user-sq2cw6hp6o 7 месяцев назад

    Nice.

  • @teophilmbalamwezi
    @teophilmbalamwezi 7 месяцев назад

    Mpina Mungu akulinde bro,,

  • @isayakazimoto3192
    @isayakazimoto3192 7 месяцев назад

    Kazi nzuri my mpina ww ni kama magufuli hutaki madudu unapasua jipu hapo hapo.Ni wakati ss raisi alone hilo

  • @victoriamefya6287
    @victoriamefya6287 7 месяцев назад +1

    Mpina hoyeeee Mungu akulinde

  • @Emmanuelilemomo2024
    @Emmanuelilemomo2024 Месяц назад

    Mpina mungu akupe her

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 7 месяцев назад +2

    Mwenyezi mungu mwingi wa rehema, utukufu ni wako mwenyezimungu, naomba umlinde mbunge mzalendo mh. Luhaga Mpina na unusuru taifa letu dhidi ya mafisadi wa rasilimali zetu😭😭.

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 7 месяцев назад

      Mungu amlinde huwa hawatakiwi watu kama huyu.❤

    • @chandeyusufu9570
      @chandeyusufu9570 7 месяцев назад +1

      Mtu anaongea ukweli mara taarifa mnatuona hatuna akili

    • @user-cz7bd9tc5k
      @user-cz7bd9tc5k 7 месяцев назад +1

      Hapa ndio Makonda na Chongolo Waingilie kati Kama kweli Wamepewa Meno ya kung’ata

  • @isackmgema7376
    @isackmgema7376 7 месяцев назад +2

    Sasa hivi sasa ndio nimejia kwanini watu walicheka maana mvutano ulikuwa mkali

  • @user-dp9xo2jo4p
    @user-dp9xo2jo4p 7 месяцев назад

    Hongera 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nyingi kwako mpina

  • @hatari9591
    @hatari9591 7 месяцев назад +1

    Huyu jamaa ni noma sana!

  • @user-we5dz8wi6k
    @user-we5dz8wi6k 7 месяцев назад

    😢

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 7 месяцев назад +13

    Taarifa,za nini? Waziri wa fedha unapaswa usikilize hoja wabunge maana nao wana ufahamu pengine kuliko hata wa kwako.
    Wizi ukiwepo acha ujengewe hoja huo wizi.
    Mkaguzi wa hesabu za Selikali hata hujui anachochsngia mbunge Luhaga Mpina ww ni Waziri gani wa fedha ss?
    Kiatu kinakupwaya ebu Mh Raid aangaze nn anafaa kuendelea kukusaidia ktk maswala ya fedha kwa uwazi zaidi hasa tunahitaji kuingia uchaguzi wa Selikali za mitaa bila maswali tata kuhusu taarifa za ukaguzi wa mkaguzi mkuu wa hesabu za Selikali.

  • @user-nr6sk9dg9v
    @user-nr6sk9dg9v 7 месяцев назад

    Mpina Mungu akulinde

  • @EzraKwili
    @EzraKwili 7 месяцев назад +1

    Duh My country 😂

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 7 месяцев назад +1

    😂😂😂 nimependa mapendekezo yako safi sana kijana, ruhaga mpina unafaa sana. mafisadi wakamatwe washitakiwe, hasa huyo mwigulu nchembe sipendi kabisa Kazi yake!

  • @kambalakafuko7695
    @kambalakafuko7695 7 месяцев назад +1

    Hongera Mpina, lakini kwa serikali hii karibia watakupeleka kuwa balozi Msumbiji

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 7 месяцев назад +1

    Huyu mbungehaki ya mungu nawambia ni zaidi ya wabunge 200 wa ccm namfananisha na marehemu deo philikunjombe huyu jamaa asee mungu amlinde

  • @costatinendabila
    @costatinendabila 7 месяцев назад

    Safi sana

  • @salummihengo896
    @salummihengo896 7 месяцев назад

    Mpina mwenyez Mungu akuweke sanaaaa😊

  • @Mwalimuchannel208
    @Mwalimuchannel208 7 месяцев назад +14

    Watu wenye akili na fact wamewekwa kando ila waliopewa nafasi ni akina naniii.
    Very sad😢

    • @BenjaminJambo-oy5ce
      @BenjaminJambo-oy5ce 7 месяцев назад +3

      Mwazo nilikuwanga sikwelew kwa sasa nakwerewa sana mbunge wetu wa kisesa tunakpa tena miaka 5

    • @angenyalusischmidt2321
      @angenyalusischmidt2321 7 месяцев назад

      TRUE

    • @yyprint8263
      @yyprint8263 7 месяцев назад

      Wakipewa nafasi wanabadilika pia

  • @ZulfikaHussein-fl9gt
    @ZulfikaHussein-fl9gt 7 месяцев назад +2

    Wazir wa fedha ni mwizi mnambeba sana afukuzwe

  • @NtabuliMwakila
    @NtabuliMwakila 7 месяцев назад

    😢😢😢

  • @Brama_A37
    @Brama_A37 7 месяцев назад +4

    Natamani hapo angekuwepo John Heche, Tundu Lissu

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey 7 месяцев назад

      😂acha kutaman tumia ulichonacho

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 7 месяцев назад

    Wanajuana

  • @user-gx2do8ls8z
    @user-gx2do8ls8z 7 месяцев назад +2

    Africa bado sana mungu alitunyima akili katupa tamaa mtu yupo Tyr apewe pipi2 anatoa Cha thamani,na wengine mkashangilia

  • @masoudmakoe561
    @masoudmakoe561 7 месяцев назад +3

    ukiongea vitu vya mana lazima mda uishe tu.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 7 месяцев назад +1

    Wow! Hatari watu wanapinga pesa . Kweli kweli.

  • @johnsonmwesige8574
    @johnsonmwesige8574 7 месяцев назад +1

    Safi mpina

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 7 месяцев назад

    Hujui hata budget ya nchi

  • @Jovahn_company
    @Jovahn_company 29 дней назад

    Kwamba waziri hana uelewa juu ya Financial intelligent unit (FIU).

  • @rwehumbizajonathan8689
    @rwehumbizajonathan8689 7 месяцев назад +2

    Naaaaam Haya ndio mambo tunataka,sio kufichiana fichiana tu.