MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2023
  • MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 245

  • @zephreinsuleimanpriciselyu5223
    @zephreinsuleimanpriciselyu5223 Месяц назад +2

    Mpina ni mbunge wangu
    Wa jimbo la kisesa,
    Hongera sana
    Saizi ushakuwa jembe
    Usiogope tuko nyuma yako❤❤

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 7 месяцев назад +9

    Hongera Mpina hapa wabunge wengine hata kufuatilia cho chote. Wanataka kuwa wachawa tu kwa kweli hali ya hili bunge lake ni dharau tu wanatutendea maovu mengi.

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi Год назад +6

    Yaani speaker Tulia unajua sana na hongera sana upo vizuri sana ,yaani wewe dada upo vizuri sana nakupenda bure ,unajibu hoja vizuri sana

  • @mokeya
    @mokeya 3 месяца назад +2

    Bunge hili jmn kidg nitukane walah mungu nipe uvumiliv .
    Limekuw bunge lakutetea viongoz na cy lakutetea wananchi . Mpina mungu akulinde sana upo sahihi

  • @JosephLukumaiLukumai
    @JosephLukumaiLukumai 6 месяцев назад +3

    Mh. Yuko sahihi ujawahi shindwa mungu akubariki

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Год назад +8

    Wabunge wanafanya utoto😢😢😢

  • @danielmkulat1598
    @danielmkulat1598 Год назад +4

    Hongera Mh.sipika kwa uchambuzi wa kina

  • @user-gg1ef9gc3t
    @user-gg1ef9gc3t 4 месяца назад +2

    Hongera mbunge mplna tungewapa watano kama nyingi tuko mbali sana

  • @Luhende1
    @Luhende1 Год назад +11

    Hongera Mhe Mpina,
    Hakika una uwezo mkubwa sana, umewapiga kwa hoja mpaka wametulia!
    Na hongera kwa Mhe Spika wa Bunge, unachambua hoja vizuri sana!

    • @pendokimathi99
      @pendokimathi99 7 месяцев назад +1

      Mpina kuna watu pia wanauwawa ngorongoro pia hao uwazungumzie hongera kwa mada yako

    • @gagalinodenatrick1652
      @gagalinodenatrick1652 2 месяца назад

      Kiukweli huyu spika akigombea urais naenda kupiga kura anatenda sana haki

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 7 месяцев назад +4

    Wewe Ndumaro siku zote unapenda kuongerea kujipendekeza na wote ni wapiga makofi tu. Sasa hapa kuna bunge au ni vitu vya ajabu sana. Hata sisi wanainchi hatuoni kama tuna wabunge wakiwa hatuna wawakilishi wo wote. Mpina ndiye peke yake anakumbuka wanainchi waliowapeleka bungeni lakini wengine hamna habari na sisi wanainchi

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 6 месяцев назад +3

    Huyo mama jenista kazi yake kubwa ni hii kweli...ameumia sana kuhusu kauli hiyo

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 3 месяца назад +1

    Jenista soma hata mitandaoni uone uachoeleza na Cha mpina, we unge tulia tyuuu mama angu, na Mungu akupe umri haraka haraka Ili.....

  • @MasanyiwaDeus
    @MasanyiwaDeus Месяц назад

    Mpina ubunge unautendea kazi mungu akubariki ,,,bila kksahau spika wa bungu you are so bright at all

  • @GeraldLembris-jr3yz
    @GeraldLembris-jr3yz 3 месяца назад +1

    Hongera sana dr tulia.
    Nafasi alokupa mungu inakustahili kabs, pia mpina mungu akuongezee confidence ulonayo kutetea wananchi

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 6 дней назад

    Muhagama anapoteza muda wa mh Mpina. Spika umeelewaka vizuri sana.

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 Год назад +3

    Waziri wa Mali Asili na Utalii alitakiwa kumpa Mbunge taarifa ya hoja...siyo kazi yake kumtetea Waziri Mkuu...waziri Mkuu analindwa na Kanuni.

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 3 месяца назад +2

    Ndo nimegundua kuwa ili bunge limejaa wa kupiga makofi bila kuelewa Nini kinaongeleka
    Hongera sana Mpina lkn Pia Speaker mtu makini sana salute kwako

  • @zesootv6726
    @zesootv6726 Год назад +4

    Mpina upo vizuri hla nchi yetu hii utakufa mapema ukiwa na msimamo kama huo ndugu yangu ww chakufanya jaribu kula na kipovu kwasababu hao hao wanao piga makofi ndiyo wasaliti .

  • @Trys6254
    @Trys6254 Год назад +5

    spika kwel kaiva kisawa sawa kwakwel nakubali sana

  • @robinsonpaschal8550
    @robinsonpaschal8550 Месяц назад

    Spika uko vizuri umemjibu vizuri jenesta muhagama. Jenesta muhagama anatetea kiti na si point. Mawaziri wameisha jijengea tabia ya kuteteana bila kujali matakwa ya inchi

  • @hayeshimpeziy
    @hayeshimpeziy Год назад +1

    Hapa nimemkubali sana Mh. Spika, kwanza ni msikilizaji mzuri sana, ilibidi nirudi nyuma kusikiliza hoja ya Mh.Mpina vizuri..She is so much brilliant. Yaani hoja ni moja tu kama kama maelekezo yalitolewa na Waziri Mkuu yamefatwa ama laa

  • @gustavrwekaza802
    @gustavrwekaza802 Месяц назад

    🎉yaani spika umepewe maua yako katika hila ,Jenesta Mungu anakuona

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA 7 месяцев назад +1

    Mh. spika Wabunge Waelewe Mpina Anazungumza Ukweli , Chaguzi Zetu Kama Waziri , Anajibizana na Mbunge Hoja Aslimia Kubwa Huku Mitaani kila Mtu Anafanya Kazi.

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 3 месяца назад

    Mpina wetu,Hongera sana!!!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 7 месяцев назад +1

    Hongera ndugu mbunge Mpina

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 Год назад +5

    Mpina ndiye mbunge pekee aliyebaki mwenye ideology ya Magifuli ya kuwatetea wananchi.

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 Год назад

      Kabisa. Samahani nikisema karibu wabunge wote ni mazuzu. Hawako bungeni kutetea wananchi zaidi ya matumbo yawo

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 Год назад +6

    Mpina usirudi nyuma, ni wengi mno tunaokuunga mkono

    • @mpajibinaisa7238
      @mpajibinaisa7238 6 месяцев назад

      Big up sana kwako spikia kwa ufafanuzi huo nimekuelewa sana

  • @charlesmarco248
    @charlesmarco248 Месяц назад

    Hongera kipenz Cha watu

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Год назад +3

    Tanzani ya Samia imekuwa mateso kwa watu wa chini. Viongozi wetu ikiwa pamoja na wabunge hawawajali kabisa watu wa chini.

  • @user-oc9zo3bo6y
    @user-oc9zo3bo6y 4 месяца назад +1

    Ilindio tatizo lawabinge uchwara yanimbunge mwenzao anachangia vituvinavyo wakwaza wananchi wanampinga kwavituvyaukweli hawandio wabunge tunao wategemeakweli sibola hatatusiwe lawabinge kamahawa

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 6 месяцев назад +1

    Hongera spika hongera mpina

  • @andrew29468
    @andrew29468 7 месяцев назад

    Safi sanaaa spikaa
    Umeongea vzr.Lazima kuwatetea wabunge wanaotoa hoja nzr zina na hata km zinamgusa kiongozi ndio demokrasia hiyo tuvumilie

  • @AlhadjtwahaMbululo
    @AlhadjtwahaMbululo Месяц назад

    Kamati ya ulinzi, napendekeza huyu Mh Mpina apewe ulinzi mkubwa sana, cc wananchi tunamhitaji aweze kufichua uozo ndani ya serikali. Ni kiumbe muhimu sana kwa faida ya nchi hii.Bunge limenoga mfano la wakati ule akina Lissu na timu yake wakiwepo, M'mungu katuletea huyu kiumbe kwa makusudi maalumu. Sijui nimeeleweka?

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Год назад +2

    Safi sana spika makini .

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko5101 6 месяцев назад +1

    Huyu mama ni mnafiki sana na habadiliki ninafikiri unafiki huo alizaliwa nao

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 2 месяца назад

    Asante mh Spika kwa kukitendea haki kiti Ongera

  • @tobiasmsabila856
    @tobiasmsabila856 13 дней назад

    Spika Uko Sawa Mh Mpina Hajakisea MH Waziri Mkuu Afatilie Maelekezo Yake kama Yanafuatwa Au Laa.

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od Год назад +1

    Mm nawashangaa wabunge wa Tanzania wanashabikia ujinga

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 6 месяцев назад

    Asante mbunge kutusemea wafugaji

  • @herielinassary3645
    @herielinassary3645 6 месяцев назад

    Asante mh spika apo ni sawa

  • @ahmadmlima8155
    @ahmadmlima8155 Год назад

    Uko vizuri sana Mhe.spika

  • @ManaseJubilate-kk2gz
    @ManaseJubilate-kk2gz Год назад +2

    Bunge fuata upepo, so sad kwa kweli 😮,hebu tuwe wakweli wananchi waliopo huku field ndo tunajua ukweli wa mambo,hv tuna mawaziri na wabunge wasiyojua kupambanua mambo kwa kiasi hiki!?

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA 7 месяцев назад +1

    Waheshimiwa Wabunge Wetu , Anachorenga Mbunge , Hoja Ya Mpina Ni Ukweli Watendaji Walioko Huku Wamejikita Kwenye Utaratibu Wao , Hata Aridhi kunavitu Haviko Sawa Mpina Anacholengo Waziri Mkuu Amri Yake Watendeji Wanapuuza , Wanachofanya Wabunge Ni mambo Ya Hovyo Kwa Viongozi Tunaamini Unakinzana Kwa Fujo kumzuia Mtu Kuwakilisha Wanannchi

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Dhuluma haijengi haifai kudhulumu muogopeni mungu

  • @nangugu1657
    @nangugu1657 6 месяцев назад +1

    HakiKa mpina uko vizuli kwelikweli Upo makini na unaonesha ni kiongozi mahili usiye ogopa sula ya Mtu na unajikita Kwenye haki kwelikweli

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 7 месяцев назад +1

    Kweli kabisa nakuelewa vizuri kwa sababu wabunge wengine wako kama wachawa tu. Kama ninyi mmetuchoka wanainchi ondokeni bungeni tuweke wengine kabisa. Sasa katika hayo tatizo la Mpina amekosea wapi?

    • @pendokimathi99
      @pendokimathi99 7 месяцев назад +1

      Umo ndani kuna wabunge vichaaaa na chawa wa viongozi sasa tunalitumia bunge ujumbe tukutane mtaani 2025 mpina waache wakae wakijua mbabe bado yupo anachoongea mpina yupo sahihiiiiii

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 3 месяца назад

    Kama hayo ni kweli mhe Mpina hakika uko sahihi na Mungu atakulipa.

  • @hassanmitayo1875
    @hassanmitayo1875 Месяц назад

    Ndugu mpina alipokuwa waziri wa mifugo alisimamia uchomaji wa vifaranga na ng'ombe walikamatwa na kuuzwa bila utaratibu, sasa anajifanya mtetezi wa watu baada ya kuwafilisi, dhambi inamtafuna

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 6 месяцев назад +1

    Watu wengine wapo kama watu sijui kwa nini hao watu wapo

  • @letustalk.tuongee2186
    @letustalk.tuongee2186 Год назад +2

    Mawaziri hawezi kujibu maswali. Wabunge wanapiga makofi kwa kila jambo yaan hawaeleweki lipj wanalipigania lipi wanahitaji. Hatuna bunge. It is just a meeting of a few people making money for nothing . It is shameful.

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 11 дней назад

    Jenister tupe maelezo kama tulia alivyoeleza napata wasiwasi na kiwango cha elimu yake ninavyoona huyu anapalilia unga wake

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 3 месяца назад

    Ahsante sana muheshiwa spika

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Год назад +1

    Leo ndio imedhihirisha Wabunge wetu wengi hovyo ila Spika yupo vizuri sana

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 4 месяца назад +1

    Tunahitaji wabunge wanaotetea kusemea wananchi magumu wanayoyapitia sio wabunge wapiga makofi.

  • @user-gu3yc1gw3v
    @user-gu3yc1gw3v 3 месяца назад

    Spika tulia maua yako 🎉 unajua mpina si mwamini sana lakini spika umetenda haki safi sana hongera

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 7 месяцев назад +1

    Mnapiga makofi watu wanaumia na mali zao nadhani kuna uwezo wa kiutendaji na uwezo wa kufikiri kwa pamoja tembeleeni maeneo na wananchi husika ndio muongee

  • @FrankNzombo-ps8gw
    @FrankNzombo-ps8gw 10 месяцев назад +1

    Kuna watoto ndani ya ukumbi wa bunge Mazezeta yanafunga meza badala ya kutetea hoja

  • @user-sr6tr7ko7w
    @user-sr6tr7ko7w Год назад +2

    😂😂😂😂😂 nicheke mie, eti bunge tukufuu!! Wote wezi watupu.

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 7 месяцев назад +1

    Kuna wakati ukifanya.maamuzi.kama kiongozi usiangalie kule kuna mtoto wa shangazi ilimradi anasimamia utumbo wa kuangamiza wengi zibua don't accept double standard mtavuna laana badala ya baraka

  • @musashadrack1164
    @musashadrack1164 3 месяца назад

    Piga kaz mh Mpina kaz yako njema sana ila haoooo wabuge wezako wamichongo ww sema kweli Mungu yupo na ww

  • @diomedesmwesiga4007
    @diomedesmwesiga4007 Год назад +4

    Spika wa bunge wazaz wako washukuriwe maana ela ya shule waliitoa kwa jasho lao sio za kuchota kama wengneo swaaa

  • @aboubakarothman
    @aboubakarothman 3 месяца назад

    Mpina mpina mpina! Leo unapata nguvu ya kukosoa kweli au unadhani watu tumesahau?!
    Unapomnyooshea kidole waziri mkuu hebu kumbuka uliingia mpaka vyumbani kwa watu bila kibali ukiwa waziri wa uvuvi

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 3 месяца назад

    Yaani Mpina kwa kiwango cha ukomavu na hekima aliyonayo inawezekana hajawahi kupigapiga dawati yeye hutafakari jinsi ya kujenga hoja za haki na kweli na siyokujivika aibu ya kuingia bungeni kupigapiga dawati na kisha kuondoka bila hata kuchangia hoja zilizoshiba.

  • @ahmadmlima8155
    @ahmadmlima8155 Год назад

    Kikubwa kinacho takiwa ni utekelezaji wa Maagizo ya viongozi wa juu Maagizo Yana tolewa Mhe waziri wetu Mkuu. Haya tekelezwi.

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 3 месяца назад

    Niseme nzuri ya kushughulikia matatizo kama hayo ni wakubwa kutoa namba za simu kwa Wananchi juu ya kile wanachofanyiwa na watendaji.

  • @jofreysaimoni4964
    @jofreysaimoni4964 3 месяца назад +1

    Mpina upo sahihi pamoja namachawa kuwa wemgi

  • @timothalex3249
    @timothalex3249 Год назад +2

    Spika anaakili sana

  • @ommyregga5829
    @ommyregga5829 Год назад +1

    Safi mpina

  • @WitoKevela-ex2bp
    @WitoKevela-ex2bp Месяц назад

    Mh. Spika wa bunge nakukubali sana

  • @badruyassin7157
    @badruyassin7157 Год назад +2

    Alicho kifanya mwigwilu 7:38 Mhhh

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 3 месяца назад

    HONGERA SANA MH.TULIA KWA SASA UNAITENDEA HAKI TAALUMA YAKO HONGERA SANA!!! URAIS WAKO WA DUNIA UNAKUSTAHILI SANA.

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 Год назад +2

    bunge limejaa wapiga makofii,ni aibu...as if ni kikundi flan cha watu waliojimilikisha nchi

  • @EzekielMpemba
    @EzekielMpemba 18 дней назад

    Mpina Yuko sahihi kuwa maelekezo ya waziri mkuu hayafuatwi na mtoa maelekezo kanyamaza

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 7 месяцев назад +1

    Jenista Umepuyanga kipumbavu mno

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 7 месяцев назад

    Naichukia ccm kwasababu unapokuwa upande wa wananchi ndipo tatizo linaanzia hapo.. Ongera Muadilifu Mh.Mpina...

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 Год назад +3

    tuna spika mwenye akili sana

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Месяц назад

    Kweli tulia

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy Месяц назад

    SAWA KABISA MAMA. WATOA TAARIFA NI KOMBI.

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo4662 Год назад +1

    Mpina hoyeee

  • @jumamwengwa5841
    @jumamwengwa5841 Год назад

    Mh mpina ili undelete kuwa vvip ktk bunge basi usikosoe ili tu upate uwazi or teuzi yeyote,fanya kazi ya utetezi kwa wananchi. Viongozi wa ngazi ya chini huwa wakishirikiana na watendaji kunyanyasa wananchi

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py Месяц назад

    mpina unatapata tabu sana hapa ndipo mtawakumbuka wapinzani

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b Месяц назад

    Mpina na tulia nko sawa sawa wengine wapiga makofi ni wasindikizaji

  • @onesphorymgedzi995
    @onesphorymgedzi995 6 месяцев назад

    Mnaongea nadhani hamjui hivi inakuaje mtu unamiliki mifugo bila kua na shamba la kufugia, hawa wenye mifugo niwakorafi kuliko unavyo jua sasa mnaowafia hajakutana nao anaweza lisha mifugo yake kwenye shamba la mtu nakaona nisawa tu jambo hilo sio sawa kabisa

  • @thabitimadabali1726
    @thabitimadabali1726 3 месяца назад

    Bunge lachama kimoja halina maana kwa sababu mtu akisema ukweli munampinga mpina nimbunge anae jitambua mungu ukulinde unajitahidi kaka

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Год назад +1

    Bunge la hovyo bunge ndio.
    Kusifia sifia upumbavu. . tungepata wazalendo 5o tu kama mpina tungepiga hatua kubwa mno

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 4 месяца назад +1

    Hayo majuha yanapiga makofi hata kuchangia hayachangii .

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 4 месяца назад

    Mbona mh mpina anakatishwa asiongee hoja za msingi bungeni ili sisi tuliomchagua tumelewe.

  • @zakariamigeto3543
    @zakariamigeto3543 Год назад +2

    spika anafaa sana

  • @nicksonnziku
    @nicksonnziku 12 дней назад

    mmm🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Год назад +1

    Watu wanalindana tu.Uchaguzi ujao hakuna kuwachagua Hawa machawa

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 11 дней назад

    Jenester hana hoja, maelezo ya spika kuhusu mchango wa Mpina yapo sawa.

  • @josephmajembe3090
    @josephmajembe3090 3 месяца назад

    Mpina hapo umenena, kama jambo linafanyika na waziri mkuu yupo ni kutoa ridhaa kwenyewe.

  • @LeonardLyuma
    @LeonardLyuma Месяц назад

    Spika nimekuelewa sana

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 7 месяцев назад +1

    Tuna viongozi mshahara, critical thinking hakuna

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 Год назад +1

    Msukuma kutoka Mwandu itinje HONGERA SANA Mpina

  • @emmanuelphabian1980
    @emmanuelphabian1980 3 месяца назад

    Binafsi tulia anafaa kuw spika miak 100 maan wabunge wengine hakumuelew mpina hadi wazir wa nchi hajamuelewa bali alitak kumuhukum kweny kanuni za mbunge mpina yuk sahihi nyinyi viongoz mko ofisin wafugaji wak polin na vijijin hivyo kuwen makin nayale yanayo semwa na wabunge sio kutetea ugali 2015 .

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 6 месяцев назад

    Wakati wabunge la msaada wa CAG juu ya upoteaji wa fedha wamatrioni je fedha hizo zimerudishwa? Kwa kweli bunge la ccm linatuudhi sana wananchi mlijadili mambo mazuri sana lakini mpaka Leo hakuna hata trioni iliyorudishwa serikali majizi wabunge ni darasa la tatu hawana upeo wa kuongoza bunge na kufatilia daily yanawaza tu y achaguliwe tena🎉

  • @geey7893
    @geey7893 11 месяцев назад +1

    Mpina mmoja ni wa Wabunge 250😂😂

  • @FadhiliMgalla-ds9fx
    @FadhiliMgalla-ds9fx 7 месяцев назад +1

    Hili nibunge kweli mbona munamambo yaajabu sana

  • @karlschrader4026
    @karlschrader4026 3 месяца назад

    Mpina always anamaliziwa mda wake akiwa ana jambo la maana