MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
HTML-код
- Опубликовано: 2 май 2023
- MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mpina ni mbunge wangu
Wa jimbo la kisesa,
Hongera sana
Saizi ushakuwa jembe
Usiogope tuko nyuma yako❤❤
Hongera Mpina hapa wabunge wengine hata kufuatilia cho chote. Wanataka kuwa wachawa tu kwa kweli hali ya hili bunge lake ni dharau tu wanatutendea maovu mengi.
Yaani speaker Tulia unajua sana na hongera sana upo vizuri sana ,yaani wewe dada upo vizuri sana nakupenda bure ,unajibu hoja vizuri sana
Bunge hili jmn kidg nitukane walah mungu nipe uvumiliv .
Limekuw bunge lakutetea viongoz na cy lakutetea wananchi . Mpina mungu akulinde sana upo sahihi
Mh. Yuko sahihi ujawahi shindwa mungu akubariki
Wabunge wanafanya utoto😢😢😢
Hongera Mh.sipika kwa uchambuzi wa kina
Hongera mbunge mplna tungewapa watano kama nyingi tuko mbali sana
Hongera Mhe Mpina,
Hakika una uwezo mkubwa sana, umewapiga kwa hoja mpaka wametulia!
Na hongera kwa Mhe Spika wa Bunge, unachambua hoja vizuri sana!
Mpina kuna watu pia wanauwawa ngorongoro pia hao uwazungumzie hongera kwa mada yako
Kiukweli huyu spika akigombea urais naenda kupiga kura anatenda sana haki
Wewe Ndumaro siku zote unapenda kuongerea kujipendekeza na wote ni wapiga makofi tu. Sasa hapa kuna bunge au ni vitu vya ajabu sana. Hata sisi wanainchi hatuoni kama tuna wabunge wakiwa hatuna wawakilishi wo wote. Mpina ndiye peke yake anakumbuka wanainchi waliowapeleka bungeni lakini wengine hamna habari na sisi wanainchi
Huyo mama jenista kazi yake kubwa ni hii kweli...ameumia sana kuhusu kauli hiyo
Jenista soma hata mitandaoni uone uachoeleza na Cha mpina, we unge tulia tyuuu mama angu, na Mungu akupe umri haraka haraka Ili.....
Mpina ubunge unautendea kazi mungu akubariki ,,,bila kksahau spika wa bungu you are so bright at all
Hongera sana dr tulia.
Nafasi alokupa mungu inakustahili kabs, pia mpina mungu akuongezee confidence ulonayo kutetea wananchi
Muhagama anapoteza muda wa mh Mpina. Spika umeelewaka vizuri sana.
Waziri wa Mali Asili na Utalii alitakiwa kumpa Mbunge taarifa ya hoja...siyo kazi yake kumtetea Waziri Mkuu...waziri Mkuu analindwa na Kanuni.
Ndo nimegundua kuwa ili bunge limejaa wa kupiga makofi bila kuelewa Nini kinaongeleka
Hongera sana Mpina lkn Pia Speaker mtu makini sana salute kwako
Mpn Doo mmbunge peke yake
Yaani kama huyu
Anaejiita Jenister ni hovyoo kabisa
Mpina excellent
Mpina upo vizuri hla nchi yetu hii utakufa mapema ukiwa na msimamo kama huo ndugu yangu ww chakufanya jaribu kula na kipovu kwasababu hao hao wanao piga makofi ndiyo wasaliti .
Haya makofi, yana maana gani?
spika kwel kaiva kisawa sawa kwakwel nakubali sana
Spika uko vizuri umemjibu vizuri jenesta muhagama. Jenesta muhagama anatetea kiti na si point. Mawaziri wameisha jijengea tabia ya kuteteana bila kujali matakwa ya inchi
Hapa nimemkubali sana Mh. Spika, kwanza ni msikilizaji mzuri sana, ilibidi nirudi nyuma kusikiliza hoja ya Mh.Mpina vizuri..She is so much brilliant. Yaani hoja ni moja tu kama kama maelekezo yalitolewa na Waziri Mkuu yamefatwa ama laa
Speaker,of course she's bright leader
🎉yaani spika umepewe maua yako katika hila ,Jenesta Mungu anakuona
Mh. spika Wabunge Waelewe Mpina Anazungumza Ukweli , Chaguzi Zetu Kama Waziri , Anajibizana na Mbunge Hoja Aslimia Kubwa Huku Mitaani kila Mtu Anafanya Kazi.
Mpina wetu,Hongera sana!!!
Hongera ndugu mbunge Mpina
Mpina ndiye mbunge pekee aliyebaki mwenye ideology ya Magifuli ya kuwatetea wananchi.
Kabisa. Samahani nikisema karibu wabunge wote ni mazuzu. Hawako bungeni kutetea wananchi zaidi ya matumbo yawo
Mpina usirudi nyuma, ni wengi mno tunaokuunga mkono
Big up sana kwako spikia kwa ufafanuzi huo nimekuelewa sana
Hongera kipenz Cha watu
Tanzani ya Samia imekuwa mateso kwa watu wa chini. Viongozi wetu ikiwa pamoja na wabunge hawawajali kabisa watu wa chini.
Ilindio tatizo lawabinge uchwara yanimbunge mwenzao anachangia vituvinavyo wakwaza wananchi wanampinga kwavituvyaukweli hawandio wabunge tunao wategemeakweli sibola hatatusiwe lawabinge kamahawa
Hongera spika hongera mpina
Safi sanaaa spikaa
Umeongea vzr.Lazima kuwatetea wabunge wanaotoa hoja nzr zina na hata km zinamgusa kiongozi ndio demokrasia hiyo tuvumilie
Kamati ya ulinzi, napendekeza huyu Mh Mpina apewe ulinzi mkubwa sana, cc wananchi tunamhitaji aweze kufichua uozo ndani ya serikali. Ni kiumbe muhimu sana kwa faida ya nchi hii.Bunge limenoga mfano la wakati ule akina Lissu na timu yake wakiwepo, M'mungu katuletea huyu kiumbe kwa makusudi maalumu. Sijui nimeeleweka?
Safi sana spika makini .
Huyu mama ni mnafiki sana na habadiliki ninafikiri unafiki huo alizaliwa nao
Asante mh Spika kwa kukitendea haki kiti Ongera
Spika Uko Sawa Mh Mpina Hajakisea MH Waziri Mkuu Afatilie Maelekezo Yake kama Yanafuatwa Au Laa.
Mm nawashangaa wabunge wa Tanzania wanashabikia ujinga
Asante mbunge kutusemea wafugaji
Asante mh spika apo ni sawa
Uko vizuri sana Mhe.spika
Bunge fuata upepo, so sad kwa kweli 😮,hebu tuwe wakweli wananchi waliopo huku field ndo tunajua ukweli wa mambo,hv tuna mawaziri na wabunge wasiyojua kupambanua mambo kwa kiasi hiki!?
Waheshimiwa Wabunge Wetu , Anachorenga Mbunge , Hoja Ya Mpina Ni Ukweli Watendaji Walioko Huku Wamejikita Kwenye Utaratibu Wao , Hata Aridhi kunavitu Haviko Sawa Mpina Anacholengo Waziri Mkuu Amri Yake Watendeji Wanapuuza , Wanachofanya Wabunge Ni mambo Ya Hovyo Kwa Viongozi Tunaamini Unakinzana Kwa Fujo kumzuia Mtu Kuwakilisha Wanannchi
Dhuluma haijengi haifai kudhulumu muogopeni mungu
HakiKa mpina uko vizuli kwelikweli Upo makini na unaonesha ni kiongozi mahili usiye ogopa sula ya Mtu na unajikita Kwenye haki kwelikweli
Kweli kabisa nakuelewa vizuri kwa sababu wabunge wengine wako kama wachawa tu. Kama ninyi mmetuchoka wanainchi ondokeni bungeni tuweke wengine kabisa. Sasa katika hayo tatizo la Mpina amekosea wapi?
Umo ndani kuna wabunge vichaaaa na chawa wa viongozi sasa tunalitumia bunge ujumbe tukutane mtaani 2025 mpina waache wakae wakijua mbabe bado yupo anachoongea mpina yupo sahihiiiiii
Kama hayo ni kweli mhe Mpina hakika uko sahihi na Mungu atakulipa.
Ndugu mpina alipokuwa waziri wa mifugo alisimamia uchomaji wa vifaranga na ng'ombe walikamatwa na kuuzwa bila utaratibu, sasa anajifanya mtetezi wa watu baada ya kuwafilisi, dhambi inamtafuna
Watu wengine wapo kama watu sijui kwa nini hao watu wapo
Mawaziri hawezi kujibu maswali. Wabunge wanapiga makofi kwa kila jambo yaan hawaeleweki lipj wanalipigania lipi wanahitaji. Hatuna bunge. It is just a meeting of a few people making money for nothing . It is shameful.
Jenister tupe maelezo kama tulia alivyoeleza napata wasiwasi na kiwango cha elimu yake ninavyoona huyu anapalilia unga wake
Ahsante sana muheshiwa spika
Leo ndio imedhihirisha Wabunge wetu wengi hovyo ila Spika yupo vizuri sana
Tunahitaji wabunge wanaotetea kusemea wananchi magumu wanayoyapitia sio wabunge wapiga makofi.
Spika tulia maua yako 🎉 unajua mpina si mwamini sana lakini spika umetenda haki safi sana hongera
Mnapiga makofi watu wanaumia na mali zao nadhani kuna uwezo wa kiutendaji na uwezo wa kufikiri kwa pamoja tembeleeni maeneo na wananchi husika ndio muongee
Kuna watoto ndani ya ukumbi wa bunge Mazezeta yanafunga meza badala ya kutetea hoja
😂😂😂😂😂 nicheke mie, eti bunge tukufuu!! Wote wezi watupu.
Kuna wakati ukifanya.maamuzi.kama kiongozi usiangalie kule kuna mtoto wa shangazi ilimradi anasimamia utumbo wa kuangamiza wengi zibua don't accept double standard mtavuna laana badala ya baraka
Piga kaz mh Mpina kaz yako njema sana ila haoooo wabuge wezako wamichongo ww sema kweli Mungu yupo na ww
Spika wa bunge wazaz wako washukuriwe maana ela ya shule waliitoa kwa jasho lao sio za kuchota kama wengneo swaaa
Kabisaaa
Yaan natamani kuwa namtoto wahivi mimi
Mpina mpina mpina! Leo unapata nguvu ya kukosoa kweli au unadhani watu tumesahau?!
Unapomnyooshea kidole waziri mkuu hebu kumbuka uliingia mpaka vyumbani kwa watu bila kibali ukiwa waziri wa uvuvi
Yaani Mpina kwa kiwango cha ukomavu na hekima aliyonayo inawezekana hajawahi kupigapiga dawati yeye hutafakari jinsi ya kujenga hoja za haki na kweli na siyokujivika aibu ya kuingia bungeni kupigapiga dawati na kisha kuondoka bila hata kuchangia hoja zilizoshiba.
Kikubwa kinacho takiwa ni utekelezaji wa Maagizo ya viongozi wa juu Maagizo Yana tolewa Mhe waziri wetu Mkuu. Haya tekelezwi.
Niseme nzuri ya kushughulikia matatizo kama hayo ni wakubwa kutoa namba za simu kwa Wananchi juu ya kile wanachofanyiwa na watendaji.
Mpina upo sahihi pamoja namachawa kuwa wemgi
Spika anaakili sana
Safi mpina
Mh. Spika wa bunge nakukubali sana
Alicho kifanya mwigwilu 7:38 Mhhh
HONGERA SANA MH.TULIA KWA SASA UNAITENDEA HAKI TAALUMA YAKO HONGERA SANA!!! URAIS WAKO WA DUNIA UNAKUSTAHILI SANA.
Kabisa kaka
bunge limejaa wapiga makofii,ni aibu...as if ni kikundi flan cha watu waliojimilikisha nchi
Mpina Yuko sahihi kuwa maelekezo ya waziri mkuu hayafuatwi na mtoa maelekezo kanyamaza
Jenista Umepuyanga kipumbavu mno
Naichukia ccm kwasababu unapokuwa upande wa wananchi ndipo tatizo linaanzia hapo.. Ongera Muadilifu Mh.Mpina...
tuna spika mwenye akili sana
Kweli tulia
SAWA KABISA MAMA. WATOA TAARIFA NI KOMBI.
Mpina hoyeee
Mh mpina ili undelete kuwa vvip ktk bunge basi usikosoe ili tu upate uwazi or teuzi yeyote,fanya kazi ya utetezi kwa wananchi. Viongozi wa ngazi ya chini huwa wakishirikiana na watendaji kunyanyasa wananchi
mpina unatapata tabu sana hapa ndipo mtawakumbuka wapinzani
Mpina na tulia nko sawa sawa wengine wapiga makofi ni wasindikizaji
Mnaongea nadhani hamjui hivi inakuaje mtu unamiliki mifugo bila kua na shamba la kufugia, hawa wenye mifugo niwakorafi kuliko unavyo jua sasa mnaowafia hajakutana nao anaweza lisha mifugo yake kwenye shamba la mtu nakaona nisawa tu jambo hilo sio sawa kabisa
Bunge lachama kimoja halina maana kwa sababu mtu akisema ukweli munampinga mpina nimbunge anae jitambua mungu ukulinde unajitahidi kaka
Bunge la hovyo bunge ndio.
Kusifia sifia upumbavu. . tungepata wazalendo 5o tu kama mpina tungepiga hatua kubwa mno
Hayo majuha yanapiga makofi hata kuchangia hayachangii .
Mbona mh mpina anakatishwa asiongee hoja za msingi bungeni ili sisi tuliomchagua tumelewe.
spika anafaa sana
mmm🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Watu wanalindana tu.Uchaguzi ujao hakuna kuwachagua Hawa machawa
Jenester hana hoja, maelezo ya spika kuhusu mchango wa Mpina yapo sawa.
Mpina hapo umenena, kama jambo linafanyika na waziri mkuu yupo ni kutoa ridhaa kwenyewe.
Spika nimekuelewa sana
Tuna viongozi mshahara, critical thinking hakuna
Msukuma kutoka Mwandu itinje HONGERA SANA Mpina
Binafsi tulia anafaa kuw spika miak 100 maan wabunge wengine hakumuelew mpina hadi wazir wa nchi hajamuelewa bali alitak kumuhukum kweny kanuni za mbunge mpina yuk sahihi nyinyi viongoz mko ofisin wafugaji wak polin na vijijin hivyo kuwen makin nayale yanayo semwa na wabunge sio kutetea ugali 2015 .
Wakati wabunge la msaada wa CAG juu ya upoteaji wa fedha wamatrioni je fedha hizo zimerudishwa? Kwa kweli bunge la ccm linatuudhi sana wananchi mlijadili mambo mazuri sana lakini mpaka Leo hakuna hata trioni iliyorudishwa serikali majizi wabunge ni darasa la tatu hawana upeo wa kuongoza bunge na kufatilia daily yanawaza tu y achaguliwe tena🎉
Mpina mmoja ni wa Wabunge 250😂😂
Hili nibunge kweli mbona munamambo yaajabu sana
Mpina always anamaliziwa mda wake akiwa ana jambo la maana