MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 389

  • @MuwadhiYakubu
    @MuwadhiYakubu Месяц назад +2

    Hongera Sanaa spika wetu Tanzania tuna spika mzurii mungu ambariki na Sisi pia atubarik.

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi Год назад +9

    Yaani speaker Tulia unajua sana na hongera sana upo vizuri sana ,yaani wewe dada upo vizuri sana nakupenda bure ,unajibu hoja vizuri sana

  • @zephreinsuleimanpriciselyu5223
    @zephreinsuleimanpriciselyu5223 9 месяцев назад +11

    Mpina ni mbunge wangu
    Wa jimbo la kisesa,
    Hongera sana
    Saizi ushakuwa jembe
    Usiogope tuko nyuma yako❤❤

  • @GeraldLembris-jr3yz
    @GeraldLembris-jr3yz Год назад +3

    Hongera sana dr tulia.
    Nafasi alokupa mungu inakustahili kabs, pia mpina mungu akuongezee confidence ulonayo kutetea wananchi

  • @mokeya
    @mokeya Год назад +2

    Bunge hili jmn kidg nitukane walah mungu nipe uvumiliv .
    Limekuw bunge lakutetea viongoz na cy lakutetea wananchi . Mpina mungu akulinde sana upo sahihi

  • @AllyMohammedi-u1o
    @AllyMohammedi-u1o Год назад +5

    Hongera mbunge mplna tungewapa watano kama nyingi tuko mbali sana

  • @GeraldRamogi
    @GeraldRamogi 7 месяцев назад +1

    Spika wetu nakupenda Sana asa unapotoa maelekezo nimempenda upivyomjibu jenista muagama huyu kazi yake ni kuwazuia wabunge kusema!!! Hongera mh spika wetu!!!

  • @daudwilliam2326
    @daudwilliam2326 7 месяцев назад +1

    Dr Tulia is one of best speaker in this country big up madam ur right mauwa yako chukua una umakini ulio pitiliza mpina yupo right tulia yupo right ila hao wengine wame rukia gar kwa mbele na kukosa umakini hasa huyu jenista kwanza ana poteza mda😂😂😂😂😂

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Год назад +13

    Hongera Mpina hapa wabunge wengine hata kufuatilia cho chote. Wanataka kuwa wachawa tu kwa kweli hali ya hili bunge lake ni dharau tu wanatutendea maovu mengi.

  • @Luhende1
    @Luhende1 Год назад +15

    Hongera Mhe Mpina,
    Hakika una uwezo mkubwa sana, umewapiga kwa hoja mpaka wametulia!
    Na hongera kwa Mhe Spika wa Bunge, unachambua hoja vizuri sana!

    • @pendokimathi99
      @pendokimathi99 Год назад +1

      Mpina kuna watu pia wanauwawa ngorongoro pia hao uwazungumzie hongera kwa mada yako

    • @gagalinodenatrick1652
      @gagalinodenatrick1652 10 месяцев назад

      Kiukweli huyu spika akigombea urais naenda kupiga kura anatenda sana haki

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 Год назад +4

    Ndo nimegundua kuwa ili bunge limejaa wa kupiga makofi bila kuelewa Nini kinaongeleka
    Hongera sana Mpina lkn Pia Speaker mtu makini sana salute kwako

  • @SillinusNyanda
    @SillinusNyanda 7 месяцев назад +2

    Hongera sana Mbunge Mpina.Tunahitaji kuwa wakweli na wawazi sio makofi tu.Haileti maana yoyote.Hatutajenga Taifa hili kwa style hiyo

  • @DealDeskPro
    @DealDeskPro Год назад +1

    Hapa nimemkubali sana Mh. Spika, kwanza ni msikilizaji mzuri sana, ilibidi nirudi nyuma kusikiliza hoja ya Mh.Mpina vizuri..She is so much brilliant. Yaani hoja ni moja tu kama kama maelekezo yalitolewa na Waziri Mkuu yamefatwa ama laa

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 7 месяцев назад +2

    Mungu akubariki Mh Mpina.

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Год назад +12

    Wabunge wanafanya utoto😢😢😢

  • @MasanyiwaDeus
    @MasanyiwaDeus 9 месяцев назад

    Mpina ubunge unautendea kazi mungu akubariki ,,,bila kksahau spika wa bungu you are so bright at all

  • @danielmkulat1598
    @danielmkulat1598 Год назад +4

    Hongera Mh.sipika kwa uchambuzi wa kina

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf 7 месяцев назад

    Professional speaker i love you my dear good day you stand with Tanzanias citizen

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 Год назад +2

    Jenista soma hata mitandaoni uone uachoeleza na Cha mpina, we unge tulia tyuuu mama angu, na Mungu akupe umri haraka haraka Ili.....

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Год назад +4

    Huyo mama jenista kazi yake kubwa ni hii kweli...ameumia sana kuhusu kauli hiyo

  • @JosephLukumaiLukumai
    @JosephLukumaiLukumai Год назад +3

    Mh. Yuko sahihi ujawahi shindwa mungu akubariki

    • @Msafirimzigwa
      @Msafirimzigwa 8 месяцев назад

      Mim ninaiman kunawabunge awajielewi na awajui majukum yao

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 7 месяцев назад +1

    Sasa kama waziri mkuu anatoa maagizo arafu hayatekerezeki na yeye nimmoja wao Kwenye tatizo ndomana ndomana hayatekelezeki🎉

  • @AbeliKatemani
    @AbeliKatemani 4 месяца назад

    Uko vizuri mama rais wa mabunge duniani is

  • @zesootv6726
    @zesootv6726 Год назад +4

    Mpina upo vizuri hla nchi yetu hii utakufa mapema ukiwa na msimamo kama huo ndugu yangu ww chakufanya jaribu kula na kipovu kwasababu hao hao wanao piga makofi ndiyo wasaliti .

  • @emmanuelkahangamabula6527
    @emmanuelkahangamabula6527 5 месяцев назад

    Hongera Luhaga lakini Msemakweli kwa tanzania yetu huwa hadumu angalia majambazi wezi watakuuwa

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 7 месяцев назад +1

    SAFI SANA SPIKA UKO SAHIHI.SIMAMIA HAKI NA UKWELI.MUNGU AKUBARIKI

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 11 месяцев назад

    Mpina wetu,Hongera sana!!!

  • @herielinassary3645
    @herielinassary3645 Год назад +1

    Asante mh spika apo ni sawa

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 8 месяцев назад +2

    Muhagama anapoteza muda wa mh Mpina. Spika umeelewaka vizuri sana.

  • @ahmadmlima8155
    @ahmadmlima8155 Год назад +1

    Uko vizuri sana Mhe.spika

  • @jumahamisi-w2k
    @jumahamisi-w2k 4 месяца назад

    Hongera Tulia Akson

  • @Yohanarhobi
    @Yohanarhobi 6 месяцев назад

    Hongera mhe mpina kusimamia ukweli ni bora kuliko makofi mengi!

  • @andrew29468
    @andrew29468 Год назад

    Safi sanaaa spikaa
    Umeongea vzr.Lazima kuwatetea wabunge wanaotoa hoja nzr zina na hata km zinamgusa kiongozi ndio demokrasia hiyo tuvumilie

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Год назад +4

    Wewe Ndumaro siku zote unapenda kuongerea kujipendekeza na wote ni wapiga makofi tu. Sasa hapa kuna bunge au ni vitu vya ajabu sana. Hata sisi wanainchi hatuoni kama tuna wabunge wakiwa hatuna wawakilishi wo wote. Mpina ndiye peke yake anakumbuka wanainchi waliowapeleka bungeni lakini wengine hamna habari na sisi wanainchi

  • @robinsonpaschal8550
    @robinsonpaschal8550 9 месяцев назад

    Spika uko vizuri umemjibu vizuri jenesta muhagama. Jenesta muhagama anatetea kiti na si point. Mawaziri wameisha jijengea tabia ya kuteteana bila kujali matakwa ya inchi

  • @maxtz1089
    @maxtz1089 5 месяцев назад +1

    Jenista anatetemeka jamani
    damu za watanzania ni zito

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Год назад +1

    Hongera ndugu mbunge Mpina

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 Год назад +3

    Waziri wa Mali Asili na Utalii alitakiwa kumpa Mbunge taarifa ya hoja...siyo kazi yake kumtetea Waziri Mkuu...waziri Mkuu analindwa na Kanuni.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 10 месяцев назад

    Asante mh Spika kwa kukitendea haki kiti Ongera

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 8 месяцев назад

    Hongera sana Mh.Spika uko vizuri sana.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 7 месяцев назад

    Mungu aipe Tanzania viongozi wakuwatetea watanzania. Kwa woga tulio nawo viongozi wengi hawafanyi Kazi zawo kwa faida ya watanzania, bali kutetea nafasi zawo na kujishibisha wenyewe. Wabunge walizko bungeni kwa kutetea haki za watanzania kimya. Hawana hata AIBU kupiga męża kumpinga Mpina mutetezi wa watanzania. Hawa jeśli tuwaite vyula viziwi.

  • @JOSHUAJeremiah-y2m
    @JOSHUAJeremiah-y2m Год назад

    Spika tulia maua yako 🎉 unajua mpina si mwamini sana lakini spika umetenda haki safi sana hongera

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Год назад

    Asante mbunge kutusemea wafugaji

  • @Trys6254
    @Trys6254 Год назад +5

    spika kwel kaiva kisawa sawa kwakwel nakubali sana

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy Год назад +1

    Hongera spika hongera mpina

  • @CharlesMajahasy
    @CharlesMajahasy Год назад +2

    😂😂😂😂😂 nicheke mie, eti bunge tukufuu!! Wote wezi watupu.

  • @manaxelukama2926
    @manaxelukama2926 7 месяцев назад

    Ni mmoja ya mbuge ambaye wananchi wake wanajivunia kuwa na mbunge imara na mtulivu hongera saana damu ya kisukuma kwa utumishi mzur

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 Год назад

    Ahsante sana muheshiwa spika

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Год назад +2

    Safi sana spika makini .

  • @gustavrwekaza802
    @gustavrwekaza802 9 месяцев назад

    🎉yaani spika umepewe maua yako katika hila ,Jenesta Mungu anakuona

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd Год назад

    HONGERA SANA MH.TULIA KWA SASA UNAITENDEA HAKI TAALUMA YAKO HONGERA SANA!!! URAIS WAKO WA DUNIA UNAKUSTAHILI SANA.

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 7 месяцев назад

    Mnalindana kisa vyeo mpeni lukusa mpina mpina hongera mungu akulinde

  • @emmanuelshija9402
    @emmanuelshija9402 7 месяцев назад

    mpina na wanyama mtamkoma waulize wasukuma wa kwa joseph nyavu zao😂😂😂😂

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Год назад +1

    Leo ndio imedhihirisha Wabunge wetu wengi hovyo ila Spika yupo vizuri sana

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 7 месяцев назад

    Asante sana sipika kuto kuwa na upande

  • @sarahkingunza1516
    @sarahkingunza1516 7 месяцев назад

    Ubarikiwe sana spika

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Год назад +1

    Kweli kabisa nakuelewa vizuri kwa sababu wabunge wengine wako kama wachawa tu. Kama ninyi mmetuchoka wanainchi ondokeni bungeni tuweke wengine kabisa. Sasa katika hayo tatizo la Mpina amekosea wapi?

    • @pendokimathi99
      @pendokimathi99 Год назад +1

      Umo ndani kuna wabunge vichaaaa na chawa wa viongozi sasa tunalitumia bunge ujumbe tukutane mtaani 2025 mpina waache wakae wakijua mbabe bado yupo anachoongea mpina yupo sahihiiiiii

  • @laurentmichael8124
    @laurentmichael8124 7 месяцев назад +1

    Tulia ni kiongozi bora sana

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Dhuluma haijengi haifai kudhulumu muogopeni mungu

  • @Trys6254
    @Trys6254 Год назад +1

    namuona mheshimiwa mwigulu anavyopiga makofi kuona jamaa yake mpina anabanwa mbavuuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nicksonnziku
    @nicksonnziku 8 месяцев назад

    mmm🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 Год назад +6

    Mpina usirudi nyuma, ni wengi mno tunaokuunga mkono

    • @mpajibinaisa7238
      @mpajibinaisa7238 Год назад

      Big up sana kwako spikia kwa ufafanuzi huo nimekuelewa sana

  • @Charlesmarco248
    @Charlesmarco248 9 месяцев назад

    Hongera kipenz Cha watu

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 7 месяцев назад

    SAFI MPINAAAA

  • @ommyregga5829
    @ommyregga5829 Год назад +1

    Safi mpina

  • @abdulismail6072
    @abdulismail6072 Год назад

    Moina ❤

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 7 месяцев назад

    Hongera spika nakufutilia kwa karibu sana hebu wamuache mpinaachngie jamani

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA Год назад +1

    Mh. spika Wabunge Waelewe Mpina Anazungumza Ukweli , Chaguzi Zetu Kama Waziri , Anajibizana na Mbunge Hoja Aslimia Kubwa Huku Mitaani kila Mtu Anafanya Kazi.

  • @geey7893
    @geey7893 Год назад +1

    Mpina mmoja ni wa Wabunge 250😂😂

  • @daudwilliam2326
    @daudwilliam2326 7 месяцев назад

    Mpina ni kinanda 😂😂😂😂 ina maana mbunge wa chadema ni mpina peke yakeee humo bungeniii😂😂😂

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 Год назад +3

    Jenista Umepuyanga kipumbavu mno

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 7 месяцев назад

    Spika uko vizuri

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 11 месяцев назад

    Kama hayo ni kweli mhe Mpina hakika uko sahihi na Mungu atakulipa.

  • @alfredmbwilo7354
    @alfredmbwilo7354 Год назад +1

    MPINA😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @PaulMadatta
    @PaulMadatta Год назад +2

    Wapinzani wanatuchelewesha🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ManaseJubilate-kk2gz
    @ManaseJubilate-kk2gz Год назад +2

    Bunge fuata upepo, so sad kwa kweli 😮,hebu tuwe wakweli wananchi waliopo huku field ndo tunajua ukweli wa mambo,hv tuna mawaziri na wabunge wasiyojua kupambanua mambo kwa kiasi hiki!?

  • @MwalimuD
    @MwalimuD Год назад

    Asante sana Madam Speaker

  • @GeraldRamogi
    @GeraldRamogi 7 месяцев назад

    Akina getere awa ni moja ya kazi mbaya iliofanywa na jpm kuleta wabunge ambao wapo tu,wafugaji wa nchi hii wanatumia Sana!!! Mpina yupo sahihi!!!

  • @josephkmarwa7425
    @josephkmarwa7425 7 месяцев назад

    Mpina..unapingania..haki..ya..wanyonge .lakini..wengi..wenu..mnatunyoga..kona..mpina.kila.siku..wafugaji..wataifishwa..mfugo..yao..na..kubaki..masikini.😭😅😭😭🙏

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 6 месяцев назад

    Mpina hapo hakuna wabunge wapo maga tu😁😁

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA Год назад +1

    Waheshimiwa Wabunge Wetu , Anachorenga Mbunge , Hoja Ya Mpina Ni Ukweli Watendaji Walioko Huku Wamejikita Kwenye Utaratibu Wao , Hata Aridhi kunavitu Haviko Sawa Mpina Anacholengo Waziri Mkuu Amri Yake Watendeji Wanapuuza , Wanachofanya Wabunge Ni mambo Ya Hovyo Kwa Viongozi Tunaamini Unakinzana Kwa Fujo kumzuia Mtu Kuwakilisha Wanannchi

  • @ahmadmlima8155
    @ahmadmlima8155 Год назад

    Kikubwa kinacho takiwa ni utekelezaji wa Maagizo ya viongozi wa juu Maagizo Yana tolewa Mhe waziri wetu Mkuu. Haya tekelezwi.

  • @MihamboFrancis
    @MihamboFrancis 2 месяца назад

    Mpina ni jembe, wengine humo ndani wapo wapo tuu, na ushabiki ambao hauna faida kwa wananchi hivi tutapata wapi wabunge kama mpina heche na musukuma hawa ndo wazalendo wenye uchungu, Mungu uwape maisha marefu hawa watu.

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko5101 Год назад +1

    Huyu mama ni mnafiki sana na habadiliki ninafikiri unafiki huo alizaliwa nao

  • @nangugu1657
    @nangugu1657 Год назад +1

    HakiKa mpina uko vizuli kwelikweli Upo makini na unaonesha ni kiongozi mahili usiye ogopa sula ya Mtu na unajikita Kwenye haki kwelikweli

  • @najimmakongoro8024
    @najimmakongoro8024 Год назад +1

    Spika 🤝🙌🏽

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Год назад +1

    Watu wengine wapo kama watu sijui kwa nini hao watu wapo

  • @vusumuzi_mathumo
    @vusumuzi_mathumo 2 месяца назад

    Watanzania hawajui kiingereza 😅😅😅😢

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Год назад +1

    Jenista kikwazo sana. Kuna mawaziri shida na mizigo.

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Год назад

    Nakwelewa sana mbunge wangu ww pekee ndo mtetezi wetu

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Год назад +3

    Tanzani ya Samia imekuwa mateso kwa watu wa chini. Viongozi wetu ikiwa pamoja na wabunge hawawajali kabisa watu wa chini.

  • @WitoKevela-ex2bp
    @WitoKevela-ex2bp 9 месяцев назад

    Mh. Spika wa bunge nakukubali sana

  • @SmithJamesMalumalu-gj9sn
    @SmithJamesMalumalu-gj9sn 5 месяцев назад

    😮Mpina kawa Mwiba kwa ccm yao wenyewe!!

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 Год назад +5

    Mpina ndiye mbunge pekee aliyebaki mwenye ideology ya Magifuli ya kuwatetea wananchi.

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 Год назад

      Kabisa. Samahani nikisema karibu wabunge wote ni mazuzu. Hawako bungeni kutetea wananchi zaidi ya matumbo yawo

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 7 месяцев назад +1

    Hivi kwanini? Mpange kununua tugoma twangozi hamoni kwamba wengine wanaiga kupiga ngoma

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 6 месяцев назад

    Shida sana Hawa,hiko ndo walichokiona,hapa mbona rahisi tu,kama rrais kakataza kwa cheo chake alichonacho,na kitu hiko bado kinafanyika basi raisi karuhusu,

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od Год назад +1

    Mm nawashangaa wabunge wa Tanzania wanashabikia ujinga

  • @timothalex3249
    @timothalex3249 Год назад +2

    Spika anaakili sana

  • @jumamwengwa5841
    @jumamwengwa5841 Год назад

    Mh mpina ili undelete kuwa vvip ktk bunge basi usikosoe ili tu upate uwazi or teuzi yeyote,fanya kazi ya utetezi kwa wananchi. Viongozi wa ngazi ya chini huwa wakishirikiana na watendaji kunyanyasa wananchi

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 7 месяцев назад

    Huyu ndiye Mbunge wa kweli kweli, wengi ni vilaza, Hawajami shida za wananchi kabisa. Mpina watanzania wakenya haki kwa wote wanakupenda. Endelea kutetea Tanzania na watu wake.