Mpina Aunguruma Baada ya Kusimamishwa Bunge, Asema Yupo Imara. Aahidi Kwenda Mahakamni Kudai Haki

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • Mbunge wa Kisesa kupitia CCM, Luhanga Mpina amezungumza kwa mara ya kwanza tangu asimamishwe kuhudhuria vikao 15 vya Bunge hadi Novemba 2024.
    Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari Juni 29, 2024, Mpina amesema kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kamati ya Bunge haikumtendea haki katika sakata lilopelekea adhabu ya kusimamishwa Bungeni.
    Mpina ameeleza kuwa atampeka pia Mahakamani Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kwa madai ya kuvunja Sheria katika kutoa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi.
    Katika hatua nyingine ameeleza kuwa, kitendo cha kusimamishwa ubunge hakijamvunja moyo na kusisitiza kuwa lazima mapambano yaendelee.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 162

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 7 месяцев назад +8

    Hongera sana mpina, wananchi tupo na wewe. Adui zako wote Mungu atawaondoa....endelea

    • @HASSANSACHU-zu1gv
      @HASSANSACHU-zu1gv 6 месяцев назад

      😢

    • @TuntufyeBrayson
      @TuntufyeBrayson 6 месяцев назад

      Adui wa mpina ANATAKIWA kuwa adui wetu kwasababu adui wa rafiki ako ni adui yako

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 6 месяцев назад

      Maneno yakomupina yangekuwa Natijakama ungeongea kubadrisha katibampya pamoja nasheriambovu lakini kwavile watzwenginivilaza hawaelewi kinachoendelea

  • @LatifaAbbas-f3m
    @LatifaAbbas-f3m 5 месяцев назад +1

    Namtabiria uraisi 🇹🇿❤❤❤

  • @FaustineKingu-w8d
    @FaustineKingu-w8d 7 месяцев назад +3

    Mh Mpina uko vizuri sana tunakuunga mkono hatutakubali ufukuzwe ccm wengi wapigaji sana

  • @NoahPhilbeth
    @NoahPhilbeth 6 месяцев назад +1

    Jipe moyo utashinda kaka yetu mpendwa Kila anaefanya kilicho chema Mungu yupo nae mda wote wala usikatee tamaa tunakupenda Kwa kazi zako nzuri

  • @mlulomugema3025
    @mlulomugema3025 7 месяцев назад +2

    Mpina ni mbunge wa Jimbo langu la kisesa kwa kweli wananchi wa Jimbo la kisesa tumeonewa sana kwa kutuondolea mwakilishi wetu bungeni kwa kipondi hicho mungu ni mwema atakulinda utarudi bungeni kutuwakilisha wanakisesa kisesa oyeeeeeeees,mpina safiiiii

  • @barakavalencendola1117
    @barakavalencendola1117 6 месяцев назад

    Daa nimekubali sana mheshimiwa

  • @LeahKazeni
    @LeahKazeni 7 месяцев назад +2

    Ukoo vzr sana Mungu akutunze

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 6 месяцев назад

    Hongera tena niliona wabunge wote wa CCM
    Walifurahia kusimamisha kwako, mpaka wabunge wengine waliongeza siku za kufungiwa kwako tena kwa makofi.

  • @vicentLusana
    @vicentLusana 6 месяцев назад

    Hongera Sana mhe tuko pamoja

  • @claudshuya3243
    @claudshuya3243 7 месяцев назад +1

    Pole sana tuko pamoja

  • @RojaRojas-o7g
    @RojaRojas-o7g 7 месяцев назад +1

    ISHA ALLAH MUNGU YUPAMOJA NAWE HII NDIO DUNIA KUNA WATU WANAJIANGALIA WAO VYOTE TUTAACHA APAHAPA

  • @ajmalhassan8848
    @ajmalhassan8848 6 месяцев назад +1

    Allah atakusimamia kaka

  • @chrispinechristian238
    @chrispinechristian238 7 месяцев назад

    Uko sawa kabisa mweshimiwa

  • @LesiJama
    @LesiJama 6 месяцев назад

    Pamoja sanaa kamanda

  • @emmanuelpeter9744
    @emmanuelpeter9744 7 месяцев назад +4

    Stay strong 💪 MPINA, we are with you and keep living the truth ✌️

  • @iddyamana545
    @iddyamana545 6 месяцев назад

    Pamoja sanaaa nakukubaliiii

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd 6 месяцев назад

    Yaani mimi sijakubaliana yaani watanzania tuharibikiwe kwa sababu ya hiyo wanasema heshima ya bunge sisi wanainchi ndio tuliowapa heshima

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq 6 месяцев назад

    Hongera sana mpina kwakutetea wananchi wako niviongoz wache kama wewe

  • @fauluonlinetv
    @fauluonlinetv 7 месяцев назад +2

    Duuuuh hatar sana Spika badala awe refa anakuwa wa upande flan

  • @AthumanMatitu
    @AthumanMatitu 6 месяцев назад

    Pambana upo pamoja na mungu

  • @EnjoyKato
    @EnjoyKato 6 месяцев назад

    Pore sana mh penye ukweli uongo hujitenga usikate tamaaa endeleaaaa

  • @VolvoMwamakula-ci2we
    @VolvoMwamakula-ci2we 6 месяцев назад

    Umeonewa sn bro pole sn

  • @israelzakayo5179
    @israelzakayo5179 7 месяцев назад

    Mwachie mungu ndie mueza yote. Ataingilia kati mungu.

  • @Dr.LAZARO-j2e
    @Dr.LAZARO-j2e 6 месяцев назад

    Nimekupenda bule kwa Hilo mpina

  • @ShijaMayunga
    @ShijaMayunga 7 месяцев назад

    Jembe kabisa hili

  • @SelemanMhana-ol7tk
    @SelemanMhana-ol7tk 7 месяцев назад +1

    Jamani nisaidieni mimi sina cha kufanya juu ya Mh.Mpina lakini nisaidieni ni namna gani 2025 nikampigie kura halafu nirudi jimboni kwangu

  • @Sebastian-l9n
    @Sebastian-l9n 6 месяцев назад

    Mr mpina nakukubali tutetee watanzania tutajupa nini watanzania hongera san

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 7 месяцев назад

    Mzee pole sana

  • @mondayfadhili-li5qm
    @mondayfadhili-li5qm 7 месяцев назад

    Hongera sana mh.mpina kweli wewe niMwana TANU halisi,kwani Viongozi wa TANU walikuwa kama wewe Wana TANU Walijali sana Masilahi ya Wananchi kwanza.Umewataja Bw.Yesu Mtume Mohamadi SAW umemsahau MAGUFULI Nae pia ni wakujifunza kwake.Pambana tupo pamoja ktk Kweli.Mungu akujaze NGUVU_:Amin

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 7 месяцев назад

      Acha kumuweka Magofuli na mitume Ya Allah hivi uyo Magofuli ww alikupa nn

  • @ChristantusNyambo
    @ChristantusNyambo 7 месяцев назад

    Hatari sana

  • @leahkathure5759
    @leahkathure5759 6 месяцев назад

    Simama na aki mtu mungu atakubariki wengi wako pale juu ya tumbo zhao

  • @rahma6189
    @rahma6189 7 месяцев назад

    Mungu atakutetea

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 7 месяцев назад +1

    Wapiga kura kwa Mpiga hingereni sana kutuletea kijana huyu.Sasa wale wa Bashe na spika na wale wote waliyomsulubu kijana huyu watanzania tunawaangalia

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 6 месяцев назад

    Mpina uko sawa wapeleke mahakamani kaka

  • @esronyuba2575
    @esronyuba2575 7 месяцев назад

    Mungu akulinde kiongozi ukweli utabaki kuwa kweli

  • @HamisiSheka-lr4vh
    @HamisiSheka-lr4vh 6 месяцев назад

    Mpina mungu yupo

  • @mwajabuYusuph
    @mwajabuYusuph 7 месяцев назад

    Aiseeee ni aibu 😢😢😢😢😢

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368 6 месяцев назад +1

    Bashe hahusiki na tuhuma ya sukari,anayepaswa kuwajibishwa ni aliyekuwa waziri wa biashara na viwanda .

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 7 месяцев назад +6

    Toa namba tukutumie Hera walizokuta wanainchi tunakuelewa

  • @mwajumaadam6068
    @mwajumaadam6068 7 месяцев назад +1

    Mimi nasema hii nchi itapigwa mnada kama ndugai alivyosema maana wezi ni wengi sana huko serekalini

    • @AmiriAmiri-x2z
      @AmiriAmiri-x2z 7 месяцев назад

      hujakosea inch itapigwa mnada viongoz wakubwa wamekuwa maharani wa inch.ndio maana luhaga mpina kafanyiwa zengwe.

  • @hashakishabani4896
    @hashakishabani4896 6 месяцев назад

    Kaka mpina naimani allah ashindwi na chochote atakusimamia.tunaumia sana watanzania ila allah atatenda kazi yake kwa hao wanaojiona tanzania ni yao.

  • @GastoAlbano-g8t
    @GastoAlbano-g8t 6 месяцев назад

    Wa unge wote wange kua kama mpina kwkwel taifa lisinge kua Lina ibiwa asilimali za taifa

  • @ramadhan122
    @ramadhan122 6 месяцев назад

    Mpina umekosea sana hiya sio samaria uliyo pima kwa yule aliyo pima samaria kwa rula

  • @barakavalencendola1117
    @barakavalencendola1117 6 месяцев назад

    Mzalendo sana huyu jamaa

  • @gkanyanda1173
    @gkanyanda1173 6 месяцев назад

    Wamekuonea!!...lazima uwahoji ili wajibu..hawana hoja wamekuonea

  • @michaelmtale-fi9ze
    @michaelmtale-fi9ze 7 месяцев назад +3

    Nakukubali sana mpina unaupiga mwingi km maguguli unaitetea nchi

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd 7 месяцев назад

    Kama jambo hilo ni la haku Kwa watanzania basi Mungu hatasimama

  • @DouglasChuwa-ec7mv
    @DouglasChuwa-ec7mv 7 месяцев назад

    Nimnafiki wameona utawaumbua wapigaji mpina mungu anakulinda

  • @EmanuelyMaiko-cd8vm
    @EmanuelyMaiko-cd8vm 7 месяцев назад +1

    Makufuri mpya

  • @ramadhan122
    @ramadhan122 4 месяца назад

    Mpina umeropoka ujinga unastahili kabisa hiyo adhabu

  • @lekishonmolele1859
    @lekishonmolele1859 7 месяцев назад

    Pole sana mtumishi wetu lakini wachana na hao machawa choo chadema ndio tuwasumbue kwasababu ww unaweza kutetea wanyonge

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 7 месяцев назад

    Wanyooshe wezi haooo

  • @OmaryHussen-td4ok
    @OmaryHussen-td4ok 6 месяцев назад

    Spika hatuna

  • @dismasmasaga.3581
    @dismasmasaga.3581 7 месяцев назад

    Fact sana

  • @Samweli-zt4yl
    @Samweli-zt4yl 6 месяцев назад

    Serikali yetu imezoeawizi

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 7 месяцев назад +1

    Mi niko Dsm ila naomba uzima 2025 niende jimboni kwa Mpina nikampigie kura arudi

  • @MartinYakobo-io1og
    @MartinYakobo-io1og 7 месяцев назад

    Mbele kwa mbelr

    • @AMENMUSHI-wt4li
      @AMENMUSHI-wt4li 6 месяцев назад

      Mungu ahusike na wabunge wa namna kama Tulia

    • @AMENMUSHI-wt4li
      @AMENMUSHI-wt4li 6 месяцев назад

      Bado areas zsngu na nauli za mizigo mm Mstaafu

  • @IddyIssa-eq9xs
    @IddyIssa-eq9xs 5 дней назад

    CCM nzima mbunge ni mmoja tu mpina wengine ni wapambe hawana hoja kazi kubwa wanayofanya ni kusifia

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 7 месяцев назад

    Mm ni chadema damu lkn watu kama mpina wanaotetea nchi nawakubali sana kama magufuli alivyokua hataki kuwapa wazungu ama waraabu kupewa mali zetu na wakati cc tupo hoi

  • @YohanaMathayo-r7p
    @YohanaMathayo-r7p 7 месяцев назад

    Tunaomba namba yako tukutumie hela ya maji mungu akupiganie

  • @gerardyoung1707
    @gerardyoung1707 5 месяцев назад

    Huyu ccm kwel au ni mpizani ongera kaka

  • @OmariMbwana-o8k
    @OmariMbwana-o8k 6 месяцев назад

    Mpina pambana kk ukweli hua hautakiwi na wengene maana utawahalibiakuala

  • @YOHANAMADATI
    @YOHANAMADATI 6 месяцев назад

    Ummmm

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 6 месяцев назад

    Nyinyi ccm wajanja tu hamna lolote😊

  • @BunzariSisa-bi8jl
    @BunzariSisa-bi8jl 7 месяцев назад

    Yani inauma sana kufukuza mbunge

  • @NicksonAlphacapitalGroup
    @NicksonAlphacapitalGroup 6 месяцев назад

    Tatzo Spika hatuna...

  • @WinfordMosha-x7y
    @WinfordMosha-x7y 7 месяцев назад

    Waburuze mahakani hats mm nitachangia Mia yangu mafisadi wakubwa

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 7 месяцев назад

    Mpina Bima ya Afya kama alivyoshauri Mh Shabby Moro shaurini

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 7 месяцев назад

    Nenda kaka ccm Hawa watu wanasaidia chama chenu kuleta maendeleo

  • @NicholausManyama
    @NicholausManyama 6 месяцев назад

    Hao ndivyo walivyo wanasimamia matumbo yao

  • @EzekielDiyame
    @EzekielDiyame 7 месяцев назад

    Huyo ni mzalendo wa nchi hii.

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 7 месяцев назад

    Hivi inawezekana kupiga Kura jingine? Mm Niko tayari kwenda Kisesa nikampigie Kura ,nipe jibu

  • @AbdullatifMbago-cn3pc
    @AbdullatifMbago-cn3pc 7 месяцев назад +2

    Kuna siku mheshimiwa bwege alisema ipo siku bunge litakuwa halina upinzani Mtasokolana wenyewe kwa wenyewe

    • @RehemaMagoire
      @RehemaMagoire 7 месяцев назад

      Aisee bwege aliona mbali sana,Sasa wanasokorana wenyewe

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 7 месяцев назад

    Hata samia hana lolote atawafukuza hata watu wakigoma ulizeni watu wakia na ngororo mungu wangu

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 6 месяцев назад

    Kutabiri kwa lemA kumetimia tayari, SASA ngoja tuone watakavyozidi kutafunana eemungu tusaidiye utujariye umakini ktk nchihii

  • @AbasiMadege-ot2of
    @AbasiMadege-ot2of 7 месяцев назад

    Mungu mkubwa ipo siku yataisha tuwe na subra tu

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 7 месяцев назад

    Tulia alikua kipind cha magufur na dhan tulia yule ame ondoka na magufur sasa ukiwa na pesa uko na haki zote😢😢

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 6 месяцев назад

    Mpina tuko pamoja nawe na ulionewa sana huyu mama ni mchawa wa serikali hasa mama yake, Mwigulu kwa hii Tulia yeye yupo kwa ajili ya mafisadi.

  • @christophermahava3826
    @christophermahava3826 6 месяцев назад

    Ok

  • @UfalmewaMungu
    @UfalmewaMungu 7 месяцев назад

    Una hoja za Msingi za kuliokoa Taifa,,,, ila tunasikitika Bunge letu limekuwa la ndio mzee.

  • @OmaryHussen-td4ok
    @OmaryHussen-td4ok 6 месяцев назад

    Yani huyo spika anatuboa wananchi, kwa hiyo anataka tuwakilishwe na ndugu zake, huyo spika andoke au ajuzulu.

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 7 месяцев назад

    Mpina hii awamu ya sita ni ufisadi tu,hata useme nini, mafisadi ndiyo wanalindwa, RIP JPM

  • @eliaskitundu7377
    @eliaskitundu7377 7 месяцев назад

    Pole Mzee tutakuwa pamoja

  • @SebastianModesti-y7r
    @SebastianModesti-y7r 7 месяцев назад

    Mpina endelea kupambana tunakuunga mkono MUNGU naakupiganiye sana

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 6 месяцев назад

    Mpina uko viziri, ndiomaana ulipendwa na Magufuli

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 7 месяцев назад

    Spika hana shida ni Wa mbunge wezako

  • @johnmayeka8957
    @johnmayeka8957 7 месяцев назад

    Wabuluze hao wote mahakani kama ni pesa za kuendesha kesi tutakuchangia.

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 7 месяцев назад

    Narejea tana maneno ya wa2 wazima kuwepo kwa wabunge wa cmm pekee bungeni bc watalana wenyewe kwa wenyewe

  • @IssahSaidy-s5l
    @IssahSaidy-s5l 6 месяцев назад

    Mpina taja nambayako tukutumie pesa blaza kwa kututetea watanzania wengi apo mabogas

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368 6 месяцев назад

    Acha unafiki ulikuwa waziri nn kilikutoa

  • @ZaidHamasiZaid
    @ZaidHamasiZaid 7 месяцев назад

    Kweli Bongo ikaitwa Bongo😅😅

  • @barushegpsonlinetv4711
    @barushegpsonlinetv4711 7 месяцев назад

    Hapa ukitumia tafakari ya kina kuna kitu kinagundulika ambacho kimekuwa kikitokea kila inapokalibia mwaka wa uchaguzi.
    KITU AU SIRI HII ITAONEKANA MUDA MFUPI UJAO.

  • @MelkizedeckORRI
    @MelkizedeckORRI 5 месяцев назад

    Umefuata nini CCM na bado

  • @hamisially-c4x
    @hamisially-c4x 4 месяца назад

    Hii nnchi ningumu

  • @TumainiMashamba
    @TumainiMashamba 6 месяцев назад

    Mm sikusapoti hata kidogo uliumiza sana wavuvi

  • @christosiadanieli6512
    @christosiadanieli6512 6 месяцев назад

    wagonjwa wengi wanaenda kwenye maombi dawa ni ghali sana

  • @DouglasChuwa-ec7mv
    @DouglasChuwa-ec7mv 7 месяцев назад

    Mpina kumbuka kwenye msafala wa mamba hata kenge wp

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 6 месяцев назад

    AAccm siyo baba yako au mama yako toka huko unamkumbuka kolimba? 3:17

  • @MichaelPeter-gh9yv
    @MichaelPeter-gh9yv 7 месяцев назад

    Nenda chadema

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 7 месяцев назад

    Au itisha maandamano