EXCLUSIVE:MJUE LUHAGA MPINA MBUNGE MZALENDO ANAYEWASHAMBULIA MAWAZIRI na KUIKOSOA SERIKALI BILA UOGA
HTML-код
- Опубликовано: 4 июл 2024
- Makala hii inalenga Maisha Halisi ya Mbunge wa Jimbo la kisesa Mhs; LUHAGA MPINA hapa utajua Yote usiyoyajua katika Maisha Yake , Vilevile utajua Kwanini anapigwa vita Sana na MAWAZIRI na wabunge mashuhuri Tanzania
Fuatilia Makala hii mpaka mwisho Kisha Comment tuyafahamu mawazo yako kwenye hili
#dullysantz #santzmedia #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #efm #history #dullysantz #millardayo #ccm #santzmedia - Развлечения
😢 hongera sana mheshimiwa mpina wewe ndiyo kiongozi wa kweli
Kweli kabisa
Sahihi ☑️
🤝🇹🇿
Jibu hoja Bashe mpina tunamfuatilia sana uko safi
Mpina oyeeeeeeee, your the best, time will tell.
👊
Hongera mpina,,, hata ukiandamwa, ,wasema kweli selikarini tunawajua...endelea
Mungu yupo pamoja na wewe
Hongera Sana Mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina, Uonevu WA Spika Juu Yako uko hadharani, Piga Moyo Konge Sisi kama Watanzania tumeona, Ni Bora wakufukuze kuliko kukubali Uonevu Huu WA hadharani.
Mashaalah mungu akulinde
Wapiga makofi hapo Bungeni na huyo spika wao 99% watabaki kupiga makofi mitaani 2025 hawawakilishi wananchi ila wanamwakilisha spika ambaye nae hakuchaguliwa na wananchi
Mpina Yuko vinzuri sana anaitetea haki na ndiye tunaempenda yaani anasema ukweli mtupu
Sahihi 🤝
Namuomba mwenyezi Mungu yanayotokea kenya yasitokee kwetu. Lakini hali sivyo. Mpina anatetea wananchi
Tanzania nzima hakuña mbunge mwenye akili na uthubutu kama luhaga Mpina, yaani CCM yote hakuna
Mpina the Great
Hakuna..yamejaa machawa wakiongozwa na kupe wao Speaker🤯
@@tumainimayala8187😂😂😂😂😂😂
@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂
@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂
Acheni hizooo jibuni hoja zake,,,,mpina ❤
Luhanga mtu mzuri sana jembe sana yaani wewe spka hufai kabisa wewe puuu
Mpina uko juu sana. Watanzania tupo nyuma yako
Mm nampenda kwasbb ni mapema kweli na anajalo maslah ya Nchi yake
Hakika mpina ni mwanga wa Taifa ila bashe ipo siku tutakuwajibisha.
Haya bwana jembe pambana ulibakia ukiwapambania Tz mungu akutangulie,
Spina atapigwavita vitality Sanaa kwakuwa mdadisi na watadharilika wengine kwa kumuhandama
Mpina ni mzalendo, wasimpeze.
Bunge lifanywe kuwa pango la wabunge kuwa chawa kwa ajili ya kujipatia kipato, kila atimize jukumu la kuwasemea wananchi kwa maslahi ya wote
Mpina keep on
Nakukubali mheshimiwa
Wamebakia wachache sana hapa tanganyika
Viva LUHAGA MPINA
Mweshiwa mpina tunakupenda Sana, ww Ni mbunge mzalendo mungu atakulinda
🇹🇿
Mheshimiwa Mpina hatua wa(level of understanding) uelewa ni kubwa mno, ndiyo maana unapata shida wabunge kumuelewa, kwani wengi wale wa kujua kuso.a na kuandika tu.
Ccm tumewachoka sasa hondokeni muhiba sana
Hongera sana kaka yangu mung akusaidie
Mheshimiwa Mbunge Mpina tetea wafugaji na wakulima ndio walio kuchagua Mungu tu ndio asikufungie njia ya mbingu
Mpina tunakupenda sana
Viva mpina Wewe ni mwamba
The great
Mpina wanamwanza tukopamoja nawewe muache spika awalinde wahalifu
MPINA ni bingwa aliyebeba sifa kubwa sana kwa wananchi kwa UHODARI , wewe msomali BASHE unazungumza kwa kuremba na kakiingereza , lakini MPINA wengi wamemkubali . SPIKA ameenda mbio mno kumhukumu na ameonyesha woga wa kuumbuka kwa washirika wake .
Huwezi kufuata utaratibu ndani ya mwenendo usio na utaratibu!!!
Huo ushahidi aliouta mbona haukuwekwa wazi bungeni?
MZALENDO
Kweli kweli, watu unapinga kuingiza sukari kwa wingi wakati Wananchi wanahaha na sukari, alitaka tuendelee kununua bei ya juu, anatetea wafanya biashara wanaoficha sukari,, mzalendo wake upo wapi?
Hapo hata mimi nashangaa mtu anayepinga kuingiza sukari kwa wingi ili bei ishuke anaonekana eti mzalendo ujinga mtupu
Hoja za mh mpina zingewashilishwa na vyama pinzani serikali wangetafuta majibu Tatizo tumekaa bungeni sisi wenyewe ni mtazamo wangu kama kada wa ccm
Luhaga Mpina Ni Mzalendo Wa Kwer Akutakiwa Kua Chama Cha Ccm Ccm Wezi Tu Hawapendi Wabunge Wanaowatetea WANANCHI MBONA WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA
Visheria vya Tanzania ndio zinalitia umasikini wa mawazo na woga
Spikaaaa na wenzetu hapo hamjatenda haki kwa Mpnia ,angalieni matendo yenu
Huyu ni Traule wa Tanzania
bunge humo Kuna bunge au bunge la ccm
Iko siku mambo yatabadilika kama kenya
Nyinyi amuna lolote mama ana piga kz muasheni kisa ni mzanzbar endekuw mbara mwenzenu munge mpaa sifa zote ila ss wazanzbr muna tubagua kwanza muna tunyonya hatutaki tna kuw nanyi
Well done
Hiyo spika ajihuzulu hatufai
Kinachosikitisha wabunge wengi pamoja na spika ni watanzania ambao ndugu jamaa na marafiki ni watu wanaonunua sukari hiyohiyo ambayo inaletewa siasa...ubinadamu umeisha kweli, ni kama hawataki watu wanywe chai 😢
Yani Spika ni mwanasheria ,yani kasoma ili aje atufanyie hivyo kweli ...yani ukimsikiliza unatamani umuombee kwa Mungu ...angejua biashara za mama lishe zinavyoangaika na bei za sukari ...dah aya bwana ,mnyonge atasaidiwa na Mungu ngoja tusubiri
Tanzania inchi ya ajabu sana mtu aneongea hukweli ndio mungo.😢😢muhongo ndio mkweli....😢😢😢😢
Ila mpina anahaki ya kutuliza na kukosoa kwake asiwe ni mkorofi
Speaker ni wa bunge au speaker wa serikali nisaideni?
Kila msema ukweli siku zote ni mbaya.
Umeanza vzr unamalizia upuuzi sasa kutopewa nafasi nakutetea masrah
Mpina bana Hadi penarty
Bora kumkosea heshima spika kuliko kuwakose heshima wananchi, mpina tunamuelewa Sana wananchi
🤝
Mpina hana ulaji ndio shida yote, mpeni uwaziri atulize kichwa chake cha ovyo.
Angalia picha zote za bashe anatucheka watanzania kuwa hatuna akili!!!!!
Msema ukweli ni Mpz wa Mungu peke yake tu.ila Duniani Kwa sisi binadamu inakuwa ngumu.but Tumuachie Mungu ndo muweza wa yote.
Ahsante Sana kwa maoni yako Rafiki 🙏
Mpina mkweli
Mpina kama Anko Magu
Spika hana kosa, amefanya sehemu yake.
Manyang'hau hawataki kusikia ukweli komaa mheshimiwa
Ukirejea elimu yake, utajua kuwa masomo aliyosoma Mpina si masomo ya mtu mwenye akili ndogo, mtu mvivu na mtu mwenye afya mgogolo. Hivyo ili kumuelewa Mpina inakutaka uwe na vigezo sawa au zaidi ya vigezo nilivyo vitaja hapo juu. Wanasiasa wengi hawana vigezo hivyo na bahati Mbaya sana Nchi yetu haija zipa taasisi kuwa vinara wa taaluma na taaluma hizo kulindwa. Kinyume chake tuna haribu, dharirisha taaluma muhimu kwa maendeleo ya Nchi Kinyume na matarajio ya kitaalamu. Nchi ikielendelea kwa aina hii ya utendaji na utoaji maamuzi, ni vigumu kujikwamua ktk maendeleo shindanishi tuliyomo kama sehemu ya dunia. Sasa siasa ikiendeshwa kama porojo au funika jamvi twende, Tuna weka rehani maisha ya Vijana na viazazi vijacho. Pls STOP THIS FOR GOOD.
BASHE asikusumbue huyu watu wapo nyuma yake!!subiri muda si mrefu watajitokeza!!
Kama mpina anakisomo chote hicho kwa nini hamumuita dakta badala yake MJ naita watu walionunua phd kumbe kuna watu wasomo kabisa inaonekana phd mnapeana kama njugu kwenye mikutano ya kisiasa acheni na hizo phd zilizotolewa bila utarabu unatakikana zifutwe wako wrngi mno na wengi wao ni wanasiasa
Raisi mtarajiwa huyu
Tanzaaaani ndio nini
NA MPINA ATAFUKUZWA KIMEZENGWE KAMA ALIVYOFUKUZWA NDUGAI
Tatizo labashe nimadawa yakugandamizawatu wamsikilizetu hatamulikuwa munamsubili akiongeya wotekimya sioni sioni anachokifanya Bashe akikasikuoni ilawalewasiojuwa mutampongeza wakinamsukuma
Watu kama hao yule viongozi wapumbavu awawapendi kuwapa uongozi anateua washenzi na kuwalinda ktk kila ushenzi wafanyao
Anayepingwa angali anaona ukweli basi yeye ajuaye ukweli atatenda yake ,
Kila la Kheri Mhe: Mpina kukaa kwako nje ya Binge. Igeuze hiyo Changamoto kuwa Fursa.
💌
😢
HUYO MBUNGE KAMA ALISOMA KWA GARAMA YA SEREKALI NI HASARA TUPU NAHISI DARASANI ALIKUWA ANAVUTA BANGITU HATA HAWO WAPIGA KURA WAKE NIHASARA TU
Hatuna chakukusaidia Ila tunakuombea jembe,
Mnyika Na Sugu Waliingia Walikuwa Wabunge Kwa Mara Ya Kwanza 2010 Sio 2005 Fanya Utafiti Vizuri
Ahsante Sana kwa maoni yako Rafiki 🙏
MPINA MZALEDO WA SAN TZ MEDIA ANATUMIWA NA MABEPARI WAKUBWA KILA MTU ANAJUWA LAKINI SASA HIVI KAKWAMA UJANJA UMEMUWISHIA
Mhh....?
Huyu mwamba
Nyaraka zilisemaje?tunataka hapo,usipotezee hiyo mada humo😅
" lt is very danger.." kiingereza cha Bashe.... Bashe say " lt is very dangerous........kweli watanzania hatujui kiingereza
😆😆
Bashe ndo anajiona sana anajua lugha ya malikia..mara kwa mara huwa anaongea maneno ya kiingereza bila sababu yoyote.. lakini hawezi kutengeneza sentence ya kiingereza
Tulia you you said nonsense.mpina he is done right to people
Mbona miaka mnamuwekea michache sana
Miaka gani Rafiki
Mpina akili kubwa
Hivo inatakiwakua kusimamia haki hata kama watatoa roho yako siku itafika yakitikea kama ya kenya utabaki salama wrwe na familia yako ole wa hao wachumia tumbo kitakua kilio na kusaga meno
⚖️ ndio tatizo
Tunazo chembechembe za magu
CCM ukiwakoso kwa maovu wanayo fanya utashambuliwa kuanzia Katibu Kata hadi ngazi za JUU kwani unakuwa umetoa SIRI zao. Bunge lenyewe ni DHAIFU halitaki wabunge wanao ikosoa na kutoa siri za maovu yao.
Hana uzalendo wowote zaidi ya kuwa Fitina
😂😂😂fuvu lako halina uwezo wa kupima mambo ya kitaifa! Kula tu vya konakona
acha uwongo wewe, sio university of scotland, hicho ni chuo kingine. alisomea univ of Strathclyde, Glasgow, scotland.
Kelele nyigi mpina wataka nenda chadema mwazo msigwa hapedezewa ukaeda ccm na wewe hukupededezewa hamamia chadema usileie tabu mtu moja wewe nani
Ka mkubwa nakupenda mpaka naumwa na nataka kuwa kama wewe
Haiki itabakia kua haki uyo speaker atakiongea unajua kua anatetea uovu
🤝🇹🇿
Jemedali wakweli
Ila nyie
Agomee sasa urais.
Mzalendo gani anauchungu atamani kurudiswa uwaziri tatizo ya watanzania munajisahau 2 SI alitesa Wa vuvi huyu igekuwa afaa magu asigemtoa
😥
Alikamata wavuvi washenzi anaovua kwa kutumia nyavu zenye sumu nakuzichoma Moto nyavu zote haramu@@Santzmedia
ACHA KUPOTOSHA. KAMA HUELEWI NYAMAZA
Wabunge wakipiga makofi" ndioooo" mnasema bunge la ndioooo, akipatikana mbunge KAMA MPINA, pia hamtaki, sasa msimamo wako ni upi????
Huyo ataka umarufu huyo mpina sio alikua waziri mbona alishindwa
🤣
Serikali ya CCM haitaki wabunge wasomi na wenye kuelewa. Wabunge wengi ueleo wawo ni mudogi sana. Kazi yao ni kukubali kila kitu kwa kusema NDIYO. Kwa kifupi watanzania hatuna wawakirishi. Na tuna chama cha siasa kimoja na demokrasia ya bandia.
🤝
Speaker dictator. Huyu mama amelibeba bunge hili kama mali yake. Huyu Bashe asituletee kiingereza chake cha Kenya.
Lkn uyu si alikuw wazir wa ccm
Ndiyo
Hata magu alikuwa ccm
Kwa hiyo inakuwaje sasa.
Bashe alikua yule wa magufuri ila huyu wa Sasa hamna kitu
Kwanini??!!
Bc two
spika na kisomari cha mchongo vyote ni panya road
😆😆😆