EXCLUSIVE:MJUE LUHAGA MPINA MBUNGE MZALENDO ANAYEWASHAMBULIA MAWAZIRI na KUIKOSOA SERIKALI BILA UOGA
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Makala hii inalenga Maisha Halisi ya Mbunge wa Jimbo la kisesa Mhs; LUHAGA MPINA hapa utajua Yote usiyoyajua katika Maisha Yake , Vilevile utajua Kwanini anapigwa vita Sana na MAWAZIRI na wabunge mashuhuri Tanzania
Fuatilia Makala hii mpaka mwisho Kisha Comment tuyafahamu mawazo yako kwenye hili
#dullysantz #santzmedia #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #efm #history #dullysantz #millardayo #ccm #santzmedia Развлечения
Wasukuma gonga like tujuane🎉🎉🎉
Mpina oyeeeeeeee, your the best, time will tell.
👊
😢 hongera sana mheshimiwa mpina wewe ndiyo kiongozi wa kweli
Kweli kabisa
Sahihi ☑️
🤝🇹🇿
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤@@wadeelegbogun3015
Mpina ❤❤❤❤❤ Mungu akutangulie sana ktk safari yako maisha
Hongera mpina,,, hata ukiandamwa, ,wasema kweli selikarini tunawajua...endelea
Mungu yupo pamoja na wewe
Hongera Sana Mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina, Uonevu WA Spika Juu Yako uko hadharani, Piga Moyo Konge Sisi kama Watanzania tumeona, Ni Bora wakufukuze kuliko kukubali Uonevu Huu WA hadharani.
Mashaalah mungu akulinde
Wapiga makofi hapo Bungeni na huyo spika wao 99% watabaki kupiga makofi mitaani 2025 hawawakilishi wananchi ila wanamwakilisha spika ambaye nae hakuchaguliwa na wananchi
Jibu hoja Bashe mpina tunamfuatilia sana uko safi
Mungu akurinde kwa kujitoa kusema ukeri ! Mungu akupiganie sana tunaomba
Mpina ni Mwamba kuliko wapiga Makofi 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪
Acheni hizooo jibuni hoja zake,,,,mpina ❤
It's great Men, let him be and God bless him and protect him,
Viva LUHAGA MPINA
viva luhanga mpina tunakuombea we ni jembe
Mpina Mungu akubariki usikate tamaa songa mbele Mungu yuko na wewe.
Nakukubali mheshimiwa
mpina ❤❤❤
Mpina oyeee uko vizuri sana unatumia elimu yako vzr na una msimamo wewe mwanaume
Viva Luhaga Mpina mzalendo wetu
Mpina apewe nchi, awe rais
huyu jamaa nishida sana
Viva mpina Wewe ni mwamba
The great
Www utakuwa mtetezi wetu mpina
Mungu akulinde na mabaya yote , na Mungu atakuinua sana
mpina yuko sawa
Yani kwakweli naona mpina kua rais mwenye Maslayi ya nch mungu tutulindie kiongozi shupavu
Namuomba mwenyezi Mungu yanayotokea kenya yasitokee kwetu. Lakini hali sivyo. Mpina anatetea wananchi
Kama atahamia chadema litakuwa pigo kwa ccm wafanye wanavyoweza mwamba asiende 😮😮
Mm nampenda kwasbb ni mapema kweli na anajalo maslah ya Nchi yake
Mpina jembe tunamuelewa sana mawaziri nadala ya kumjibu hojazake wanakasirika mjibuni mzalendo hiyo
Tanzania nzima hakuña mbunge mwenye akili na uthubutu kama luhaga Mpina, yaani CCM yote hakuna
Mpina the Great
Hakuna..yamejaa machawa wakiongozwa na kupe wao Speaker🤯
@@tumainimayala8187😂😂😂😂😂😂
@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂
@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂
Mpina na makonda wanauzalendo wa dhati kwa taifa lao
10:20
Mpina ww ni kaka wa taifa mungu akutangulie
Mpina Yuko vinzuri sana anaitetea haki na ndiye tunaempenda yaani anasema ukweli mtupu
Sahihi 🤝
Mpina keep on
Lete part two
🙄💭
Well done
Hongera sana kaka yangu mung akusaidie
Mpina Ni mwiba was ccm hawajui tu.
Maker hapendwi na wezi
Huyu ni Traule wa Tanzania
Kweli kweli, watu unapinga kuingiza sukari kwa wingi wakati Wananchi wanahaha na sukari, alitaka tuendelee kununua bei ya juu, anatetea wafanya biashara wanaoficha sukari,, mzalendo wake upo wapi?
Hapo hata mimi nashangaa mtu anayepinga kuingiza sukari kwa wingi ili bei ishuke anaonekana eti mzalendo ujinga mtupu
Kuagiza sukari nje co shida, shida ni utaratibu uliotumika kuagiza umefuata utaratibu?! Au ni kwa faida ya wachache!!!
Mpina uko juu sana. Watanzania tupo nyuma yako
Mpina ni mzalendo, wasimpeze.
Tanzania inchi ya ajabu sana mtu aneongea hukweli ndio mungo.😢😢muhongo ndio mkweli....😢😢😢😢
Mweshiwa mpina tunakupenda Sana, ww Ni mbunge mzalendo mungu atakulinda
🇹🇿
Jambo la kuaminiwa kwamba uwezo wa Mpina ni mkubwa kulinganisha na spika Tulia, ujanja wa Hussein Bashe ni mkubwa sana unahitaji akili nyingi kama za Mpina.
uongozi kaz sana eti ndo kiongozi spika africa sijui ndo duniani yan kiongozi anauzalendo ila elimu yupo vizur ndo nn sasa
Haya bwana jembe pambana ulibakia ukiwapambania Tz mungu akutangulie,
Tapeli ,mtu mwenye Phd huitwa Dr yeye mbona hana hivho vheo
Spina atapigwavita vitality Sanaa kwakuwa mdadisi na watadharilika wengine kwa kumuhandama
Mungu atakulinda mwehshimiwa mpina upo kwajili ya wanchi wanyonge na wasio wanyonge? Hkn Mt Amby anafanya kitu bila kuchungz nawrio wengi bungeni wapo Kwa juli ya maslhi Yao kwahy lazm upgwe mkwara ila usiogpe chcht mung yko naw!
Ukimo wa ccm umefika kwahali hii
Binadam huwa hataki ukweli daima ndo maana watu wapenda kuangali movie kuliko taarifa ya hanar
Wabeja xana luhaga.
Kwer ni mzarendo
sugu 2010 broh
Bunge lifanywe kuwa pango la wabunge kuwa chawa kwa ajili ya kujipatia kipato, kila atimize jukumu la kuwasemea wananchi kwa maslahi ya wote
Visheria vya Tanzania ndio zinalitia umasikini wa mawazo na woga
Luhanga mtu mzuri sana jembe sana yaani wewe spka hufai kabisa wewe puuu
Ccm tumewachoka sasa hondokeni muhiba sana
Hatuna chakukusaidia Ila tunakuombea jembe,
Tukonae pamoja
wabunge waige kwa mpina ili bunge lirejeshe nguvu yake kwenye serikali
Hakika mpina ni mwanga wa Taifa ila bashe ipo siku tutakuwajibisha.
Luhaga mpina amekosea kufuta sheria angepaswa asubiri maelekezo ya spika hivyo sheria ifuate mkondo kumpa adhabu anayostahili
Hilo ndo bunge letu bwaana, hajasoma alicho kiwasilisha Mpina.
Nchi hii ukiwa mzalendo tu umekwisha
Uingereza hakuna chuo kikuyu kinachitwa Scotland.
True
Chadema
Mheshimiwa Mpina hatua wa(level of understanding) uelewa ni kubwa mno, ndiyo maana unapata shida wabunge kumuelewa, kwani wengi wale wa kujua kuso.a na kuandika tu.
Mpina tunakupenda sana
Ukirejea elimu yake, utajua kuwa masomo aliyosoma Mpina si masomo ya mtu mwenye akili ndogo, mtu mvivu na mtu mwenye afya mgogolo. Hivyo ili kumuelewa Mpina inakutaka uwe na vigezo sawa au zaidi ya vigezo nilivyo vitaja hapo juu. Wanasiasa wengi hawana vigezo hivyo na bahati Mbaya sana Nchi yetu haija zipa taasisi kuwa vinara wa taaluma na taaluma hizo kulindwa. Kinyume chake tuna haribu, dharirisha taaluma muhimu kwa maendeleo ya Nchi Kinyume na matarajio ya kitaalamu. Nchi ikielendelea kwa aina hii ya utendaji na utoaji maamuzi, ni vigumu kujikwamua ktk maendeleo shindanishi tuliyomo kama sehemu ya dunia. Sasa siasa ikiendeshwa kama porojo au funika jamvi twende, Tuna weka rehani maisha ya Vijana na viazazi vijacho. Pls STOP THIS FOR GOOD.
MPINA ni bingwa aliyebeba sifa kubwa sana kwa wananchi kwa UHODARI , wewe msomali BASHE unazungumza kwa kuremba na kakiingereza , lakini MPINA wengi wamemkubali . SPIKA ameenda mbio mno kumhukumu na ameonyesha woga wa kuumbuka kwa washirika wake .
Wamebakia wachache sana hapa tanganyika
Yuko vzuri
Nyie watanzania ni makuma sana ukweli unauma
" lt is very danger.." kiingereza cha Bashe.... Bashe say " lt is very dangerous........kweli watanzania hatujui kiingereza
😆😆
Bashe ndo anajiona sana anajua lugha ya malikia..mara kwa mara huwa anaongea maneno ya kiingereza bila sababu yoyote.. lakini hawezi kutengeneza sentence ya kiingereza
Duuu
❤❤❤❤❤❤Mpina
Hako la spika nako Nika wapi sijui.
Yure hawezi mpenda timu mgufuli
Uzalendo sio kutoa shutuma Kwa wenzio bila ushahid, Bunge sio sehem kuleta chuki, hasad, na wivu bila hoja, wako pale kuwakilisha Wananchi na kutunga Sheria sio majungu, adhabu aliopewa iwe fundisho Kwa wengine, leta hoja zenye mashiko sio mihemko, maana jamaa bado anaota awamu ya tano tu
Ww ni pumba za mpunga hujui chochote maana Kama umeshindwa kuelewa hoja alizotoa mpina na ushahidi kautoa mbele ya bunge unataka ushahidi aina gani ww hata darasani unaonekana ilikuwa ziro
Wapumbavu kama wewe ndiyo mmetufanya tuwe masikini maisha magumu Tanzania hii !!!! Km hujuwi kaa kimya, Pumbavu sana.
Mpina bana Hadi penarty
Wezi tu wanabebana hawa
🤩
Mheshimiwa Mbunge Mpina tetea wafugaji na wakulima ndio walio kuchagua Mungu tu ndio asikufungie njia ya mbingu
MPINA MZALEDO WA SAN TZ MEDIA ANATUMIWA NA MABEPARI WAKUBWA KILA MTU ANAJUWA LAKINI SASA HIVI KAKWAMA UJANJA UMEMUWISHIA
Mhh....?
wewe usituchafulie msukuma wetu
Msema ukweli ni Mpz wa Mungu peke yake tu.ila Duniani Kwa sisi binadamu inakuwa ngumu.but Tumuachie Mungu ndo muweza wa yote.
Ahsante Sana kwa maoni yako Rafiki 🙏
Mbona miaka mnamuwekea michache sana
Miaka gani Rafiki
Unajua nakuelewa sana mpina ?
Mpina hana ulaji ndio shida yote, mpeni uwaziri atulize kichwa chake cha ovyo.
VIONGOZI NA KIONGOZI WAO SIO WAZALENDO MPINA KOSA LAKE LIKO WAP I HAPO YAN
MC4
Hoja za mh mpina zingewashilishwa na vyama pinzani serikali wangetafuta majibu Tatizo tumekaa bungeni sisi wenyewe ni mtazamo wangu kama kada wa ccm
Hana uzalendo wowote zaidi ya kuwa Fitina
😂😂😂fuvu lako halina uwezo wa kupima mambo ya kitaifa! Kula tu vya konakona
Serikali ya CCM haitaki wabunge wasomi na wenye kuelewa. Wabunge wengi ueleo wawo ni mudogi sana. Kazi yao ni kukubali kila kitu kwa kusema NDIYO. Kwa kifupi watanzania hatuna wawakirishi. Na tuna chama cha siasa kimoja na demokrasia ya bandia.
🤝
Kinachosikitisha wabunge wengi pamoja na spika ni watanzania ambao ndugu jamaa na marafiki ni watu wanaonunua sukari hiyohiyo ambayo inaletewa siasa...ubinadamu umeisha kweli, ni kama hawataki watu wanywe chai 😢
Huo ushahidi aliouta mbona haukuwekwa wazi bungeni?
Mpina ni mwamba pekee anaeishi
Komaa 0:50
Lkn uyu si alikuw wazir wa ccm
Ndiyo
Hata magu alikuwa ccm
Kwa hiyo inakuwaje sasa.
Huwezi kufuata utaratibu ndani ya mwenendo usio na utaratibu!!!
Luhaga Mpina Ni Mzalendo Wa Kwer Akutakiwa Kua Chama Cha Ccm Ccm Wezi Tu Hawapendi Wabunge Wanaowatetea WANANCHI MBONA WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA