EXCLUSIVE:MJUE LUHAGA MPINA MBUNGE MZALENDO ANAYEWASHAMBULIA MAWAZIRI na KUIKOSOA SERIKALI BILA UOGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • Makala hii inalenga Maisha Halisi ya Mbunge wa Jimbo la kisesa Mhs; LUHAGA MPINA hapa utajua Yote usiyoyajua katika Maisha Yake , Vilevile utajua Kwanini anapigwa vita Sana na MAWAZIRI na wabunge mashuhuri Tanzania
    Fuatilia Makala hii mpaka mwisho Kisha Comment tuyafahamu mawazo yako kwenye hili
    #dullysantz #santzmedia #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #efm #history #dullysantz #millardayo #ccm #santzmedia
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 156

  • @NicolasiLuhende
    @NicolasiLuhende 3 дня назад +18

    😢 hongera sana mheshimiwa mpina wewe ndiyo kiongozi wa kweli

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 2 дня назад +12

    Jibu hoja Bashe mpina tunamfuatilia sana uko safi

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 дня назад +11

    Mpina oyeeeeeeee, your the best, time will tell.

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 2 дня назад +3

    Hongera mpina,,, hata ukiandamwa, ,wasema kweli selikarini tunawajua...endelea
    Mungu yupo pamoja na wewe

  • @Dominaevance
    @Dominaevance 2 дня назад +13

    Hongera Sana Mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina, Uonevu WA Spika Juu Yako uko hadharani, Piga Moyo Konge Sisi kama Watanzania tumeona, Ni Bora wakufukuze kuliko kukubali Uonevu Huu WA hadharani.

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya 2 дня назад +1

      Mashaalah mungu akulinde

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 День назад +1

      Wapiga makofi hapo Bungeni na huyo spika wao 99% watabaki kupiga makofi mitaani 2025 hawawakilishi wananchi ila wanamwakilisha spika ambaye nae hakuchaguliwa na wananchi

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 3 дня назад +8

    Mpina Yuko vinzuri sana anaitetea haki na ndiye tunaempenda yaani anasema ukweli mtupu

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 День назад +2

    Namuomba mwenyezi Mungu yanayotokea kenya yasitokee kwetu. Lakini hali sivyo. Mpina anatetea wananchi

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 2 дня назад +13

    Tanzania nzima hakuña mbunge mwenye akili na uthubutu kama luhaga Mpina, yaani CCM yote hakuna

    • @frankmaeda4284
      @frankmaeda4284 2 дня назад +1

      Mpina the Great

    • @tumainimayala8187
      @tumainimayala8187 2 дня назад +1

      Hakuna..yamejaa machawa wakiongozwa na kupe wao Speaker🤯

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 22 часа назад

      ​@@tumainimayala8187😂😂😂😂😂😂

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 22 часа назад

      ​@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 22 часа назад

      ​@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga3458 2 дня назад +3

    Acheni hizooo jibuni hoja zake,,,,mpina ❤

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 2 дня назад +4

    Luhanga mtu mzuri sana jembe sana yaani wewe spka hufai kabisa wewe puuu

  • @jamesmboneko2952
    @jamesmboneko2952 День назад +1

    Mpina uko juu sana. Watanzania tupo nyuma yako

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf 2 дня назад +3

    Mm nampenda kwasbb ni mapema kweli na anajalo maslah ya Nchi yake

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 2 дня назад +4

    Hakika mpina ni mwanga wa Taifa ila bashe ipo siku tutakuwajibisha.

  • @mwinyisaruni8974
    @mwinyisaruni8974 День назад +1

    Haya bwana jembe pambana ulibakia ukiwapambania Tz mungu akutangulie,

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 2 дня назад +3

    Spina atapigwavita vitality Sanaa kwakuwa mdadisi na watadharilika wengine kwa kumuhandama

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 День назад +2

    Mpina ni mzalendo, wasimpeze.

  • @user-ub3gy5od1m
    @user-ub3gy5od1m 3 дня назад +5

    Bunge lifanywe kuwa pango la wabunge kuwa chawa kwa ajili ya kujipatia kipato, kila atimize jukumu la kuwasemea wananchi kwa maslahi ya wote

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 День назад +2

    Mpina keep on

  • @AmosKachatiro
    @AmosKachatiro 2 дня назад +3

    Nakukubali mheshimiwa

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p 2 дня назад +3

    Wamebakia wachache sana hapa tanganyika

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t 2 дня назад +2

    Viva LUHAGA MPINA

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7o 2 дня назад +1

    Mweshiwa mpina tunakupenda Sana, ww Ni mbunge mzalendo mungu atakulinda

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 День назад +1

    Mheshimiwa Mpina hatua wa(level of understanding) uelewa ni kubwa mno, ndiyo maana unapata shida wabunge kumuelewa, kwani wengi wale wa kujua kuso.a na kuandika tu.

  • @abdallahmakange6173
    @abdallahmakange6173 День назад +1

    Ccm tumewachoka sasa hondokeni muhiba sana

  • @ChristinaWengae-ps5jr
    @ChristinaWengae-ps5jr 2 дня назад +1

    Hongera sana kaka yangu mung akusaidie

  • @MartiniJohn-ew6us
    @MartiniJohn-ew6us День назад +1

    Mheshimiwa Mbunge Mpina tetea wafugaji na wakulima ndio walio kuchagua Mungu tu ndio asikufungie njia ya mbingu

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x День назад +1

    Mpina tunakupenda sana

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 2 дня назад +8

    Viva mpina Wewe ni mwamba

  • @JoshuakaruJoshu-pk3es
    @JoshuakaruJoshu-pk3es 2 дня назад +2

    Mpina wanamwanza tukopamoja nawewe muache spika awalinde wahalifu

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 2 дня назад +2

    MPINA ni bingwa aliyebeba sifa kubwa sana kwa wananchi kwa UHODARI , wewe msomali BASHE unazungumza kwa kuremba na kakiingereza , lakini MPINA wengi wamemkubali . SPIKA ameenda mbio mno kumhukumu na ameonyesha woga wa kuumbuka kwa washirika wake .

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 День назад +1

    Huwezi kufuata utaratibu ndani ya mwenendo usio na utaratibu!!!

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 День назад +2

    Huo ushahidi aliouta mbona haukuwekwa wazi bungeni?

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 2 дня назад +3

    MZALENDO

  • @awadhkannah6587
    @awadhkannah6587 2 дня назад +3

    Kweli kweli, watu unapinga kuingiza sukari kwa wingi wakati Wananchi wanahaha na sukari, alitaka tuendelee kununua bei ya juu, anatetea wafanya biashara wanaoficha sukari,, mzalendo wake upo wapi?

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 2 дня назад

      Hapo hata mimi nashangaa mtu anayepinga kuingiza sukari kwa wingi ili bei ishuke anaonekana eti mzalendo ujinga mtupu

  • @francischaula5215
    @francischaula5215 День назад +1

    Hoja za mh mpina zingewashilishwa na vyama pinzani serikali wangetafuta majibu Tatizo tumekaa bungeni sisi wenyewe ni mtazamo wangu kama kada wa ccm

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 2 дня назад +2

    Luhaga Mpina Ni Mzalendo Wa Kwer Akutakiwa Kua Chama Cha Ccm Ccm Wezi Tu Hawapendi Wabunge Wanaowatetea WANANCHI MBONA WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA

  • @piusjaphet2760
    @piusjaphet2760 День назад +1

    Visheria vya Tanzania ndio zinalitia umasikini wa mawazo na woga

  • @paulmabena5684
    @paulmabena5684 День назад +1

    Spikaaaa na wenzetu hapo hamjatenda haki kwa Mpnia ,angalieni matendo yenu

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 День назад +1

    Huyu ni Traule wa Tanzania

  • @FadhiliMesha-pd2th
    @FadhiliMesha-pd2th 2 дня назад +3

    bunge humo Kuna bunge au bunge la ccm

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k День назад +1

    Iko siku mambo yatabadilika kama kenya

  • @SuleimanMussa-x5i
    @SuleimanMussa-x5i День назад +1

    Nyinyi amuna lolote mama ana piga kz muasheni kisa ni mzanzbar endekuw mbara mwenzenu munge mpaa sifa zote ila ss wazanzbr muna tubagua kwanza muna tunyonya hatutaki tna kuw nanyi

  • @DiscowKajojo-no2up
    @DiscowKajojo-no2up 2 дня назад +1

    Well done

  • @IdiMihambo
    @IdiMihambo 2 дня назад +1

    Hiyo spika ajihuzulu hatufai

  • @mosesfrancois752
    @mosesfrancois752 2 дня назад +1

    Kinachosikitisha wabunge wengi pamoja na spika ni watanzania ambao ndugu jamaa na marafiki ni watu wanaonunua sukari hiyohiyo ambayo inaletewa siasa...ubinadamu umeisha kweli, ni kama hawataki watu wanywe chai 😢

  • @mosesfrancois752
    @mosesfrancois752 2 дня назад +1

    Yani Spika ni mwanasheria ,yani kasoma ili aje atufanyie hivyo kweli ...yani ukimsikiliza unatamani umuombee kwa Mungu ...angejua biashara za mama lishe zinavyoangaika na bei za sukari ...dah aya bwana ,mnyonge atasaidiwa na Mungu ngoja tusubiri

  • @abdallahmakange6173
    @abdallahmakange6173 День назад +1

    Tanzania inchi ya ajabu sana mtu aneongea hukweli ndio mungo.😢😢muhongo ndio mkweli....😢😢😢😢

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf День назад +1

    Ila mpina anahaki ya kutuliza na kukosoa kwake asiwe ni mkorofi

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 День назад +1

    Speaker ni wa bunge au speaker wa serikali nisaideni?

  • @eddahkobong271
    @eddahkobong271 2 дня назад +2

    Kila msema ukweli siku zote ni mbaya.

  • @user-qx4pc3rx8g
    @user-qx4pc3rx8g 2 дня назад +1

    Umeanza vzr unamalizia upuuzi sasa kutopewa nafasi nakutetea masrah

  • @user-jm3ms2ry5v
    @user-jm3ms2ry5v 14 часов назад +1

    Mpina bana Hadi penarty

  • @josephmadukashambalawokovu642
    @josephmadukashambalawokovu642 2 дня назад +1

    Bora kumkosea heshima spika kuliko kuwakose heshima wananchi, mpina tunamuelewa Sana wananchi

  • @MilloWamilonga-ft8ir
    @MilloWamilonga-ft8ir День назад +1

    Mpina hana ulaji ndio shida yote, mpeni uwaziri atulize kichwa chake cha ovyo.

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u 2 дня назад +2

    Angalia picha zote za bashe anatucheka watanzania kuwa hatuna akili!!!!!

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 3 дня назад +2

    Msema ukweli ni Mpz wa Mungu peke yake tu.ila Duniani Kwa sisi binadamu inakuwa ngumu.but Tumuachie Mungu ndo muweza wa yote.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 дня назад

      Ahsante Sana kwa maoni yako Rafiki 🙏

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 День назад +1

    Mpina mkweli

  • @mussanyanda3451
    @mussanyanda3451 День назад +1

    Mpina kama Anko Magu

  • @isayasimwinga2854
    @isayasimwinga2854 2 дня назад +1

    Spika hana kosa, amefanya sehemu yake.

  • @user-zx9mk6pr1c
    @user-zx9mk6pr1c 12 часов назад +1

    Manyang'hau hawataki kusikia ukweli komaa mheshimiwa

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 2 дня назад +1

    Ukirejea elimu yake, utajua kuwa masomo aliyosoma Mpina si masomo ya mtu mwenye akili ndogo, mtu mvivu na mtu mwenye afya mgogolo. Hivyo ili kumuelewa Mpina inakutaka uwe na vigezo sawa au zaidi ya vigezo nilivyo vitaja hapo juu. Wanasiasa wengi hawana vigezo hivyo na bahati Mbaya sana Nchi yetu haija zipa taasisi kuwa vinara wa taaluma na taaluma hizo kulindwa. Kinyume chake tuna haribu, dharirisha taaluma muhimu kwa maendeleo ya Nchi Kinyume na matarajio ya kitaalamu. Nchi ikielendelea kwa aina hii ya utendaji na utoaji maamuzi, ni vigumu kujikwamua ktk maendeleo shindanishi tuliyomo kama sehemu ya dunia. Sasa siasa ikiendeshwa kama porojo au funika jamvi twende, Tuna weka rehani maisha ya Vijana na viazazi vijacho. Pls STOP THIS FOR GOOD.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 дня назад +1

    BASHE asikusumbue huyu watu wapo nyuma yake!!subiri muda si mrefu watajitokeza!!

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 День назад +1

    Kama mpina anakisomo chote hicho kwa nini hamumuita dakta badala yake MJ naita watu walionunua phd kumbe kuna watu wasomo kabisa inaonekana phd mnapeana kama njugu kwenye mikutano ya kisiasa acheni na hizo phd zilizotolewa bila utarabu unatakikana zifutwe wako wrngi mno na wengi wao ni wanasiasa

  • @saulimmbaga.safisana9556
    @saulimmbaga.safisana9556 14 часов назад +1

    Raisi mtarajiwa huyu

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma2870 16 часов назад +1

    Tanzaaaani ndio nini

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 2 дня назад +1

    NA MPINA ATAFUKUZWA KIMEZENGWE KAMA ALIVYOFUKUZWA NDUGAI

  • @RajabuSikabwe-rp1lj
    @RajabuSikabwe-rp1lj 2 дня назад +1

    Tatizo labashe nimadawa yakugandamizawatu wamsikilizetu hatamulikuwa munamsubili akiongeya wotekimya sioni sioni anachokifanya Bashe akikasikuoni ilawalewasiojuwa mutampongeza wakinamsukuma

  • @nguruwekikwete1635
    @nguruwekikwete1635 19 часов назад +1

    Watu kama hao yule viongozi wapumbavu awawapendi kuwapa uongozi anateua washenzi na kuwalinda ktk kila ushenzi wafanyao

  • @mwinyisaruni8974
    @mwinyisaruni8974 День назад +1

    Anayepingwa angali anaona ukweli basi yeye ajuaye ukweli atatenda yake ,

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 День назад +1

    Kila la Kheri Mhe: Mpina kukaa kwako nje ya Binge. Igeuze hiyo Changamoto kuwa Fursa.

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur1922 21 час назад +1

    😢

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri 2 дня назад +1

    HUYO MBUNGE KAMA ALISOMA KWA GARAMA YA SEREKALI NI HASARA TUPU NAHISI DARASANI ALIKUWA ANAVUTA BANGITU HATA HAWO WAPIGA KURA WAKE NIHASARA TU

  • @mwinyisaruni8974
    @mwinyisaruni8974 День назад +1

    Hatuna chakukusaidia Ila tunakuombea jembe,

  • @rehemakayuga7051
    @rehemakayuga7051 День назад +1

    Mnyika Na Sugu Waliingia Walikuwa Wabunge Kwa Mara Ya Kwanza 2010 Sio 2005 Fanya Utafiti Vizuri

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  День назад +1

      Ahsante Sana kwa maoni yako Rafiki 🙏

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 2 дня назад +2

    MPINA MZALEDO WA SAN TZ MEDIA ANATUMIWA NA MABEPARI WAKUBWA KILA MTU ANAJUWA LAKINI SASA HIVI KAKWAMA UJANJA UMEMUWISHIA

  • @mchwikesenior4221
    @mchwikesenior4221 День назад +1

    Huyu mwamba

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 2 дня назад +1

    Nyaraka zilisemaje?tunataka hapo,usipotezee hiyo mada humo😅

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 2 дня назад +1

    " lt is very danger.." kiingereza cha Bashe.... Bashe say " lt is very dangerous........kweli watanzania hatujui kiingereza

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 дня назад +1

      😆😆

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 День назад

      Bashe ndo anajiona sana anajua lugha ya malikia..mara kwa mara huwa anaongea maneno ya kiingereza bila sababu yoyote.. lakini hawezi kutengeneza sentence ya kiingereza

  • @user-rm8fd3wh3w
    @user-rm8fd3wh3w 2 дня назад +1

    Tulia you you said nonsense.mpina he is done right to people

  • @zacharialtd9519
    @zacharialtd9519 2 дня назад +1

    Mbona miaka mnamuwekea michache sana

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 День назад +1

    Mpina akili kubwa

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 3 дня назад +1

    Hivo inatakiwakua kusimamia haki hata kama watatoa roho yako siku itafika yakitikea kama ya kenya utabaki salama wrwe na familia yako ole wa hao wachumia tumbo kitakua kilio na kusaga meno

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 15 часов назад +1

    Tunazo chembechembe za magu

  • @gabrielsanya3278
    @gabrielsanya3278 2 дня назад +1

    CCM ukiwakoso kwa maovu wanayo fanya utashambuliwa kuanzia Katibu Kata hadi ngazi za JUU kwani unakuwa umetoa SIRI zao. Bunge lenyewe ni DHAIFU halitaki wabunge wanao ikosoa na kutoa siri za maovu yao.

  • @yahayahussein3224
    @yahayahussein3224 2 дня назад +1

    Hana uzalendo wowote zaidi ya kuwa Fitina

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 2 дня назад

      😂😂😂fuvu lako halina uwezo wa kupima mambo ya kitaifa! Kula tu vya konakona

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 5 часов назад +1

    acha uwongo wewe, sio university of scotland, hicho ni chuo kingine. alisomea univ of Strathclyde, Glasgow, scotland.

  • @janiaoma7093
    @janiaoma7093 19 часов назад +1

    Kelele nyigi mpina wataka nenda chadema mwazo msigwa hapedezewa ukaeda ccm na wewe hukupededezewa hamamia chadema usileie tabu mtu moja wewe nani

  • @MsafiriKadege
    @MsafiriKadege День назад +1

    Ka mkubwa nakupenda mpaka naumwa na nataka kuwa kama wewe

  • @salumnassornassor9733
    @salumnassornassor9733 3 дня назад +1

    Haiki itabakia kua haki uyo speaker atakiongea unajua kua anatetea uovu

  • @GeofreyMwandanji-ot2lf
    @GeofreyMwandanji-ot2lf 2 дня назад

    Jemedali wakweli

  • @MatesoMatanga-bs3bt
    @MatesoMatanga-bs3bt День назад +1

    Ila nyie

  • @raphaelondego7703
    @raphaelondego7703 2 дня назад +1

    Agomee sasa urais.

  • @HabibuSaid-up5sn
    @HabibuSaid-up5sn 3 дня назад +2

    Mzalendo gani anauchungu atamani kurudiswa uwaziri tatizo ya watanzania munajisahau 2 SI alitesa Wa vuvi huyu igekuwa afaa magu asigemtoa

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 дня назад

      😥

    • @joctanmtambi895
      @joctanmtambi895 2 дня назад

      Alikamata wavuvi washenzi anaovua kwa kutumia nyavu zenye sumu nakuzichoma Moto nyavu zote haramu​@@Santzmedia

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 2 дня назад

      ACHA KUPOTOSHA. KAMA HUELEWI NYAMAZA

    • @user-gv8yn9lg1i
      @user-gv8yn9lg1i 2 дня назад

      Wabunge wakipiga makofi" ndioooo" mnasema bunge la ndioooo, akipatikana mbunge KAMA MPINA, pia hamtaki, sasa msimamo wako ni upi????

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 День назад +1

    Huyo ataka umarufu huyo mpina sio alikua waziri mbona alishindwa

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 дня назад +1

    Serikali ya CCM haitaki wabunge wasomi na wenye kuelewa. Wabunge wengi ueleo wawo ni mudogi sana. Kazi yao ni kukubali kila kitu kwa kusema NDIYO. Kwa kifupi watanzania hatuna wawakirishi. Na tuna chama cha siasa kimoja na demokrasia ya bandia.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 дня назад +1

    Speaker dictator. Huyu mama amelibeba bunge hili kama mali yake. Huyu Bashe asituletee kiingereza chake cha Kenya.

  • @msafirimaulidi5054
    @msafirimaulidi5054 2 дня назад +1

    Lkn uyu si alikuw wazir wa ccm

  • @user-sx3ys1gs9p
    @user-sx3ys1gs9p 2 дня назад +1

    Bashe alikua yule wa magufuri ila huyu wa Sasa hamna kitu

  • @MatesoMatanga-bs3bt
    @MatesoMatanga-bs3bt День назад +1

    Bc two

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 День назад +1

    spika na kisomari cha mchongo vyote ni panya road