MWABUKUSI AMVAA MWANASHERIA MKUU/ASEMA SIOGOPI, SIISHI KWA VYETI, AMTAJA CHONGOLO, HAMJUI MSANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Комментарии • 145

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 Год назад +15

    Mimi sichoki kumsikiliza mwambukus namuelewa saaana 💪👍🙏🤝

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 Год назад +15

    safi sanaaa! Boniface Anyisile kajunjumele Mwabukusi.

  • @abdyissaabdi108
    @abdyissaabdi108 Год назад +14

    Ujengewe sanam wakili😂😂🎉🎉🎉

  • @aikandeshoo5354
    @aikandeshoo5354 Год назад +8

    Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Mungu hatakuacha, simamia hapohapo na taaluma yako inakulinda

  • @florianakhweso5749
    @florianakhweso5749 Год назад +8

    Asanteeeee Mheshimiwa wewe ndo Mheshimiwa na sio hao vichaa walio logwa WA ccm

  • @user-eq9lw9ju1l
    @user-eq9lw9ju1l Год назад +8

    Uko vizur bon mungu atakusimamia na wataanzania wote wanao jua haki zao na uzalendo wa nchi Yao.

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 Год назад +15

    AG kachemka hapo, bora anyamaze maana watanzania tunaelewa kinacho endelea. Bandari zetu haziuzwi. Tutasimama na Mwambukusi hadi kieleweke

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 3 месяца назад +5

    Mwabukusi uko vzr sana ila kwakuwa watu wanaona wote ni mbulula watanza

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Год назад +3

    Hongera ndugu kazi yako Mungu anaiona,umejitoa sadaka Kwa akili yetu sisi wanyonge Mungu akuinue ktk jina kuu la Bwana Yesu,

  • @silverrichard1211
    @silverrichard1211 Год назад +15

    Safi huyu ndie mzarendo wa kweli

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 месяца назад +1

      Wazalendo wazuri katika nchi hii wanayosifa. ya kupuuza ushauri was watu ambao siyo viongozi CCM na serikalini wanajua familia zao tu na wale machawa wanaojipendeza kwao ambao ni wachahe sana hawafiki hats milioni mbili walipobaki wanaonekana ni mbumbumbi hwaskilizwi

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 Год назад +10

    Ukiona baba anauza nyumba alafu watoto Wanashangilia kununuliwa Mandazi,Hao watoto sio Bure ni Machizi na Mateja

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 Год назад +5

    Wafundishe Bro Big Up

  • @MeshackMwangwale
    @MeshackMwangwale Месяц назад +3

    Wewe songa mbele tunakuombea hatuna pakusemea MUNGU Akulinde.

  • @IbuGang
    @IbuGang 23 дня назад

    Mimi sichoki kumsikiliza Mwabukusi ni mkweli na yupo wazi Mungu amlinde na amtuze na kila roho ya upinzani inayomfatilia ishindwe Katika jina la Yesu kristo ameen

  • @pillykimenyi846
    @pillykimenyi846 Год назад +5

    Mungu awe pamoja nawe nasi tunakuombea watanganyika tuko pamoja

  • @violetn.finnvik373
    @violetn.finnvik373 Год назад +2

    🇹🇿🙏🙏😭.Mungu ibariki Tanzania. Kaka ubalikiwe🙏❤️

  • @JosephinaLuoga-lo9os
    @JosephinaLuoga-lo9os 9 месяцев назад +2

    UmewAzidi wote bro hakika wewe ni mzalendo. Pamoja sana

  • @sadallahbataza1906
    @sadallahbataza1906 Год назад +5

    Ubarikiwe kakaa ulikuwa wapi ww miaka yote hii?!

  • @jumannesalumu8290
    @jumannesalumu8290 Год назад +3

    Hongera sana tupamoja towatamko

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t Месяц назад +1

    Barikiwa baba Mungu aendelee kukuinuwa tena viwango vya juu

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Год назад +3

    Mwambukusi kiboko Uko vizuri

  • @ezammwakisambwe-t8u
    @ezammwakisambwe-t8u 23 дня назад

    Makini sana kiongozi wetu tunakukubali mzee unatemaga madini TU aisee!! May God protect you

  • @success-only
    @success-only Год назад +5

    Aisee, mwanaume na nusu
    Vyeti ni vithibitisho vya kwenda shule,
    Na siyo lazima uwe umesoma ndipo uishi na kuwa utashi kama Binadamu

  • @elizabethringo7154
    @elizabethringo7154 Год назад +3

    Kwenye haki ya nchi sema ukweli mungu akutetee

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Год назад +5

    Daaaaah aibu imshukie huyo wakili mkuu Boniface hata mkimfungia vyeti haitowasaidia chochote tutasimama Na ukweli,nimeiona Tunduma iliposimama Na Boniface pale walipobomolewa nyumba Zai mpakani watu walilipwa fidia zao huyu kaka anamsimamo wenye manufaa makubwa ✍️

    • @balthazarkilasi9825
      @balthazarkilasi9825 Год назад

      Wakili wa Serkali amesema mkataba huo DP wamesema ktk. Kipengele kimoja ya kuwa TPA au WATANZANIA tukitaka kuendeleza Bandari yeyote nje ya tulizokubaliana. "LAZIMA TUWAARIFU" ....wao DP sikukuelewa,jee ni kweli tunatakiwa kufanya hivyo na ni utaratibu? tuelimisheni!

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 25 дней назад

    Safi sana, nakukubali sana, uko viziri mwamba

  • @AbdalaKitangoma
    @AbdalaKitangoma 22 дня назад

    Jamani mungu ametuletea mkombozi mwingine tumshike mkono namungu amlinde

  • @ClemoohPeter
    @ClemoohPeter 2 месяца назад

    Safi sana baba tutetee sisi ambao hatuna wa kutusemea hayo mana hawa viongozi sijui hili taifa wanataka kufilisi

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 25 дней назад +1

    Hakika ninhekuwa na ulinzi ningekuwekea .Ila nimekuwekea ulinzi wa MUNGU UNATOSHA KWA MAISHA YAKO YOTE.

  • @hanscmakerdm9943
    @hanscmakerdm9943 Год назад +7

    Respect 🙌

  • @karushakamusa5525
    @karushakamusa5525 Год назад +2

    Safi sana msomi

  • @lunjeramadhani1295
    @lunjeramadhani1295 Год назад +1

    Mwenyezungu akupenguzaidi kaka

  • @festoasanga5572
    @festoasanga5572 Год назад +4

    Nakupenda bure msemaji wawanyonge

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende7637 Год назад

    Yani naomba kabxa, thanks alot,kila mmoja ana haki

  • @YoakimMsuha
    @YoakimMsuha 25 дней назад

    I see new TANZANIA

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Год назад +4

    Tungepata hata watz 5 tu kama huyu, daaah tz ingenyoka

  • @MartinSiimay-jj9jk
    @MartinSiimay-jj9jk Год назад +1

    Safi sana kamanda

  • @gibsonsilungwe685
    @gibsonsilungwe685 Год назад +2

    People of Tanzania. I can assure you that ccm they are deeply devoted to God, but their devotion is not based on true knowledge. They have not known the way in which God puts people in right with himself, and instead, they have tried to set up their own way, and they did not submit themselves to God's way putting people right. Waroma 10vs1-4

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg Год назад +1

    ❤❤❤❤❤ san ww ni kichwa

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende7637 Год назад

    Mungu yupo nasi,ubarikiwe,sana

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 6 дней назад

    Bora

  • @Clement-px8eg
    @Clement-px8eg Год назад

    Mungu akubariki sana

  • @rogattemba
    @rogattemba 21 день назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @kessydieselengineers3205
    @kessydieselengineers3205 24 дня назад +1

    Wanategemea police ndiyo wanawapa jeuri

  • @hamisiomari-k9z
    @hamisiomari-k9z 25 дней назад

    sana boss

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 9 дней назад

    Kiongozi Wa Bala Akienda Zanzibar Anaenda Kutalii Lakini Wa Zanzibari Akija Bala Anakuja Kupiga Kazi Acheni Wana Shelia Wacheze Ngoma Tuone Washindi Kuliko Kupiga Mazogo Vijiweni Kupitia Wasomi Bola Tutajua Wapi Kunavuja Lakini Raisi Wetu Anapiga Kazi Hela Anatoa Lakini Waliochini Yake Ndio Tatizo

  • @JohnMagweiga-uu8fv
    @JohnMagweiga-uu8fv Год назад +1

    Usimwogope mwanadamu

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej Месяц назад +1

    Baba pambana tuko nyuma yako wameanza muda mrefu sana haya mambo Yao ya wizi

  • @AkleyNziku-cv9lt
    @AkleyNziku-cv9lt Год назад +1

    Mwabukusi Mungu awe na Wewe Daima

  • @SamweliHozza
    @SamweliHozza 26 дней назад

    Hili lijanaa ni very smart

  • @amosbirusha952
    @amosbirusha952 Год назад

    Kiongozi mzuri sana ni yule anaesikiliza maono ya anaowaongoza,na si vinginevyo

  • @lalosalamanca7131
    @lalosalamanca7131 Год назад +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @AshrafuMwalongo-km5fd
    @AshrafuMwalongo-km5fd 10 месяцев назад

    Mungu akupe maixha malefu

  • @thomasmmoka4884
    @thomasmmoka4884 Год назад +2

    Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!

  • @robinilomo2887
    @robinilomo2887 Год назад

    Asante bro,kati ya Wasomi wachache Tanganyika wewe umo,Endelea na Mapambano tupo na wewe,Wameshazoea kutishana hao wachumia Tumbo,Wasomi wa Tanganyika wengi hawajitambui wanaendeshwa kwa tamaa sio Weledi cha ajabu wanajiita Maprofesa na Madokta

    • @yussuffadhil4522
      @yussuffadhil4522 Год назад

      Hahaha babdari itauzwa tuu

    • @yussuffadhil4522
      @yussuffadhil4522 Год назад

      Hahaha bandari itauzwa tuu...... na leo mnatambua km kuna Tanganyika?

    • @robinilomo2887
      @robinilomo2887 Год назад

      @@yussuffadhil4522 Kichwa Maji we hujitambui,kati ya hao majuha niliyowaongelea

    • @robinilomo2887
      @robinilomo2887 Год назад

      Tofauti ni kwamba we hujasoma,Failure

  • @swalehemusa4546
    @swalehemusa4546 11 дней назад

    Wananchi pamoja na police badala ya kupambana na viongozi ambao wanaturudisha nyuma wao wanapambana na chadema

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n Месяц назад +1

    uwoga wetu haujawahi kutusaidia

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg Год назад +1

    Damu ya yesu ikufunike

  • @jumarobert4929
    @jumarobert4929 11 месяцев назад

    God blass you baba

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 Год назад +3

    Hawa ndio wanatakiwa kua viongozi sio wapga dili miaka yote wawekezaji hawana msaada wowote kwnn maden yanaongezeka kila cku waache bandali kama wameshindwa watoto zetu watakuja kuiendesha

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende7637 Год назад

    Mungu yupo nawe kabxa,

  • @michaelkimweri1074
    @michaelkimweri1074 Год назад +2

    Kaka uko viziri hatuna hamu na ccm,tupo nyuma yako kimaonbi,hii no haki yeti.

  • @AbdulOthman-gy7nu
    @AbdulOthman-gy7nu 24 дня назад

    Unafaa kuwa rais wa Tanzania

  • @evaemil856
    @evaemil856 Год назад

    Amen

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej 27 дней назад

    Hivi watanganyika nao wanahuziria kwenye vikao vya zanzabr loo soyati ?

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Год назад +2

    bora mwanasheria mkuu wa serikali angekua mwabukusi anaeleweka kuliko.huyo swaza wa.mkatabata wakimagumashi, tunekuelewa mwabukushi❤

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Год назад +1

    Mainzi kijani watanzania tunamweleea San wakili mtajua hamjui

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Год назад +1

    Mimi kama mtanganyika nikopamoja nawewe wakili musomi

  • @barakamusapolekidoti957
    @barakamusapolekidoti957 23 дня назад

    Mkuu heshima kwako

  • @user-nt4lp9dy6i
    @user-nt4lp9dy6i Год назад +1

    Haki yetu haki yetu haki Mali zetu uzalendo na Katina mpya vyote viwe wazi tutetee kaka yetu hatutaki tena kuwa watumwa

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Год назад

    Gwajima,Yuko wapi mbona Yuko kimya

  • @Nancy-z8h
    @Nancy-z8h Год назад +1

    Watuachie bandari yetu titatusiadia katika muungano wa one african na putin wetu

  • @edithmwasulama7005
    @edithmwasulama7005 Месяц назад

    Mnyakyusa hapelekwi pelekwi kipuuzi hana unafiki na woga

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 24 дня назад

    MWABUKUSI UNAOTA AU VIPI WAZANI KUNAMTU AU WATU WANAKUOGOPA WAMEPITA WATUKAMAWEWE NAKUPITA WEWE WEWENANI NIMUGU

  • @user-bx3em9jc6m
    @user-bx3em9jc6m 11 месяцев назад

    Mungu yu pamoja nawe hao ccm hawana dini

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 Год назад +1

    Mapambano ya haki huwa haiombwi bro uko fiti ,okoa bandari zidi ya genge la wahuni serekalini.

  • @legendmmari8094
    @legendmmari8094 Год назад +1

    Kudra anatumika vibaya kwenye lipi soma mkataba acha kuwa mbumbumbu

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus Год назад +1

    Kweli kabisa Hata MAMA amekubali kwamba wanasheria wake wanaogopa wazungu ndiyo maana wakienda kututetea kimataifa wanashindwa kesi. Inavyoonekana hata katika kusaini mikataba wanaogopa wazungu hawasomi kilichomo wanasaini tu ndiyo maana wamesaini bila kusoma na kusababisha TZ yetu kuingia kwenye taaluki. Mchague Bwabukusi awe AG ambaye hawaogopi wazungu tuweze kushinda hizo kesi zingine zilizoko kwenye mahakama za kimataifa. MWABUKUSI OYEEEEE.

  • @danielchacha1305
    @danielchacha1305 Год назад +2

    Hawa watu hawana aibu wala huruma hata kidogo.Kama wazee wetu waliilinda nchi yetu kwa gharama kubwa hadi uhai wao na ndio maana leo wanakula na kuendesha magari makubwa na wamejiona kuwa miungu isiyokosolewa! Daw ni kuwatoa madarakani kwa nguvu ya uma.

  • @jumannesalumu8290
    @jumannesalumu8290 Год назад +1

    tukopamoja tumechoka kuongopa

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda9214 Год назад

    Wenzio walikataa SGR,bwawa la mwalimu nyerere wakamkataa na magufuli , amekufa upepo umebadilika leo wanataka magufuli awepo?

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Год назад

    Hakika tunaitaji kuamka izo nchi za kiarabu kipindi tunapata uhuru zilikuwa na Hali mbaya kuliko sisi na ukilinganisha rasilimali zao ,ila Leo sababu waneendelea tuendelee kuwategemea ili tuendelee kuwa watumwa wa fikra ukweli watanzania wenzangu hii haiko sawa hata Kwa mtu yeyote chini kule huu mkataba wa bandari na mikataba mingine kuhusu Mali asili ,nishati za umeme , jeshi ipitiwe waarabu wamepenya ndani wameweza Sasa wakichukua na bandari ...ni mfano wa mwizi kaingia ndani na kapata ufunguo wa mlango mkubwa wa sebureni ule wa kutoka nje ....watanzania wengi nimeongea nao wanasema tuache tu tunaathirika na nin mbona hiko ivyo toka zamani najisikia vibaya maan uchumi tulionao sio sawa na hata maendeleo ya sekta zetu zote Bado afya,elimu, miundo mbinu na nk na Bado mtu unasema sawa aloooho tuamke sio sababu ya chochote ila tuweze kutoka katika Giza hili na kujua haki zetu onene wenzetu uko mbele wanavyoishi we need to change our mind tuondoe hofu

    • @muuminikidunda9214
      @muuminikidunda9214 Год назад

      Mbona wazungu wanamiliki migodi mingi ya dhahabu na kuendesha mashirika yanayosupport ushoga hao mawakili wapo kimya

  • @BoniventureMagina
    @BoniventureMagina Месяц назад

    Huyu mwamba shikamooo

  • @digostjafety6070
    @digostjafety6070 Год назад

    Wanatumia pesa zetu vibaya wanawapa alikiba na diamond ili watu tusahau kusikiliza vitu vya msingi

  • @user-rp1ys6pw9f
    @user-rp1ys6pw9f 11 месяцев назад

    Mbona kila ukiongea siogopi ni mtanzania yupi uliomuona anaogopa unajiita msomi kweli umeenda shule lakini huna hekima na pia hujui kupanga maneno kuna watu wenye hekima wanakufatilia kukusikiliza ila tunahisi kuwa ww unaogopa sababu ajenda uliyopewa na wateja wako kimekuzidi uzito

  • @AbdalaKitangoma
    @AbdalaKitangoma 22 дня назад

    Mwamvukusi nunua maik unawajua mtani tumepata jembe

  • @fatmaabdullah7516
    @fatmaabdullah7516 Год назад

    Mungu akulinde wewe na muheshimiwa bashe nyinyi ni wazalendo

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 Год назад

    Nchi hii hivi ,Vihiyo na vipaza mpaka lini

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 Год назад

    Umeongea kweli alutakontinua mapambano yaendelee

  • @kingngojea
    @kingngojea Год назад

    Mwabukus saluti kwako mwamba wewe mtanzania wewe nakutukana wewe ni litanzania uliezaliwa Tanzania utakufa kwaajiri ya nchi Yako mtanzania mkubwa wewe

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 13 дней назад

    Mwamba huyuuu

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda9214 Год назад

    Tatizo njaa mnataka kitonga bandarini kuna wizi mkubwa ndio maana bandari kubwa maendeleo hakuna. Wacha waarabu wawanyooshe nyie wezi mawakili .hamtaki waarabu wawafundishe jinsi ya kuendesha bandari

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda9214 Год назад

    Tembelea upepo kaka, wenzio watakuacha upepo ukivuma upande mwingine

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Год назад

    Watu wa Pwani watu wa hovyo sana. Kinachoisumbua nchi hii ni ushenzi wa watu wa Pwani…..wapuuzi wanaocheka cheka huku wakiuza nchi. Mbwa kabisa wale

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Год назад

    Sasa wewe mnafiki huu ushujaa wote ulionao ulikuwa wapi wakati magufuli anafungia watu kwenye viroba,ulikuwa wapi wakati magufuli akiamuru tundu lissu auliwe. Watu rabish kama huyu hawezi kunishawishi chochote

  • @luckMwamwage
    @luckMwamwage Год назад

    Kyala aje nanungwe nkulumba.

  • @kingngojea
    @kingngojea Год назад

    Tungekua na watu 50kama awa daaa

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 Год назад

    Huyu bwana ha ha ha ha ha ha

  • @senyagwadickson9084
    @senyagwadickson9084 5 месяцев назад

    Wakili msomi waambie hao wasomi wajinga tu

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale 24 дня назад

    Hamasisha usichoke kuwaelimisha watanganyika baba tupo pa1 hatuogopi matisho!!!