MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA
HTML-код
- Опубликовано: 10 ноя 2022
- MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Asante mheshimiwa spika. Taifa hili tunahitaji watu wakweli ili tufike. Dr. Tulia Mungu akutunze mama yangu😍...Msukuma tunakupa PhD nyingine tena😍
Mweshimiwa sipika sisi tunakushukuru kwa pointi
Wewe acha ujinga unatoa ela hizo ela ni zako wewe ela ni zetu za walipa kodi
Dr.Tulia Akson ..big up,so smart
dada tulia mungu akulinde nakupenda tu
Tulia unafanya watu wajivunie watoto wa kike
Mh. Tulia wewe ni mlezi na mwenye haki moyoni mwako.
Hongera sana Mh. Spika kwa kutokukubali uongo wa baadhi ya mawaziri kama walivyozoea business as.....
Bila kua muongo nchi hii utateseka sana hongera Sana spika
I see the bright future for this woman...May God bless her
KUNAKITU NINAKIONA HAPA KIZURI SANA NAOMBA ENDELEA HIVYO HIVYO ILI UJE KUWA HAFITHI NZURI KATIKA TAIFA Ila utakuwa MWANAMKE wa 1 MZALENDO mpaka Sasa unakaribia Ila MUNGU akujalie kwa Imani yako mama angu hongera Ila ww NI MZALENDO unakaribia MUNGU akujalie usije ukawa upande wa hao majambazi hongera sana
Tulia sio kwa kumnyuka hivyo mwiguru😂😂atakuwa akikuona anatamani kulia😂😂
Acha alie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lazma aanze kumuogopa, maana siku zile alihojiwa hadi tukapata ile trab na trant...leo tena kajaa kwenye 18 tena
🤣🤣🤣🤣
@@allykamanga4366 haahaha
This Lady is future Head of State!!
Kweli ...hili ni jembe
Big up sana Dr.Tulia Akson, speaker wa bunge la Tanzania. Tungepata pia na wabunge hata 7 wa upinzani ambao ni machachari hakika tungefika mbali sana.
Upinzani ndo nini we nae! Mlishajiaminisha mtu kua mpinzani ndo anakua mkweli? Humo ndani huwaoni wabunge walio machachali kutetea wananchi? We unawaza upinzani tu, mpinzani ni mTanzania na hao CCM ni waTanzania
@@georgemassebu2083usifikili kuwa kila mtu anayesema wawepo na wapinzani ukahisi na yeye ni mpinzani. Inabidi uangalie mbali ni kwanini huyu mtu kasema hivyo. Ipo siku utakubaliana nami.
Muda wote waliokuwemo mlifika wapi au unaleta ushabiki wa kitoto tu hapa
Ile kulewa mpaka kuvunjika miguu?
Unaona ee!!! big up sana asee!!!!
dr Tulia your the best and you deserve to be in that position
Hii ndio raha ya kuwa na Spika Daktari wa Sheria, Big up sana Mama Speaker, Uishi miaka mingi bungeni mama👏👏👏🙌🙌🙌🤝🤝🤝🙏🙏🙏
Raha ya kuwa na kiongozi mwanamke( mama🥰) anayejua uchungu wa kubeba ndoo
Nakupenda mpk naumwa🥰🥰
Hongera sana Mheshimiwa spika kwa elimu unayotowa mara kwa mara kwa mawaziri na wabunge wanaojifanya wajuaji!
Sijajua Mwigulu anashindwa wapi kumwelewa Spika
Mwigulu kaelewa ila hana jibu la uhakika
Huyu jamaa mchumi lakin 🫥 kabisa
Huyo jamaa hakuna kitu kabisa
Alafu anajifanya mbishi anajua kila kitu ..
Mwakaaa huu ni wake
Huyu hadi ndanj kwa mkewe ni boya mpumbavu huyu
TRAB NA TRAT😎🎼🎶🎵🎧
Akuna kitu hapo hyooo msanii tyu
🤣🤣
Nakumbuka Magufuli aliwahi kumpiga gwala toka siku ile ndio nikatambua kabisaa ya kwamba Magufuli anaona mbali sana 🤣🤣
Hapo ndiyo unafahamu kwamba spika ni msomi anasimamia haki hatetei ujinga
Asante madam Kama Jimbo letu la kibamba ni asilimia moja tu ya watu wanaopata maji asilimia 99 hatujui maji ya bomba tunatumia maji chumvi je uko vijijini si ndio kabisa
Mzimu wa magufuli umemuingia Tulia Acson . Big up mama
Mwigulu bwana!!! Hoja IPO wazi,,,,,msukuma anaweza kuwa mbunge no 1 kwa hoja ambazo Ni real
Ubarikiwe sana Mhe.Spika Tulia Akson. Ninaiman na wewe kwa haki unayointenda katika nafasi yako.
Mama yetu Dr. Tulia you have wisdom God bless you mum🇹🇿
Huu siyo u daktar wa darasani. Tuna madoctors wengii Tanzania. Huo ni udoctor wa damu. Anajua kutetea haki na ukweli bila kigugumizi. Hongera sana dada Yetu na Spika wa Bunge la 🇹🇿 Nimeupenda msimamo na hoja zake.🙏
You are so smart madam Speaker..all the best
Punguzeni Saisa nchi mnaitia hasara kubwa
Congratulations sana mama yetu Dkt.Tulia, waziri ameshindwa kuelewa swali kabisa kabisa
Huyu mama kiboko
Asante spika Tulia. Nimekukubali kwa kusimamia hoja. Keep it up💪💪👍
Dr Tulia 🔥
Mwigulu ni tatizo sijuwi sijawahi kumwelewa kabisa
Mama amtoe huyu mtu watu wanamshambulia sana uwezo wake wa kutatua mambo ni mdogo
....Trab na trat 😂😂😂😂
Huyu Mwigulu atupishe kazi imemshinda
Nashangaa Raisi sijui kwa nini anambeba mtu hawezi kabisa
Yaan huyu jamaa huwa simuelewi Haki ya Mungu asee huyu jamaaa liwekwe jiwe na yeye bora nichague jiwe kuliko huyu jamaa asee
Hata mimi sijawahi kumwelewa. Ni kilaza kufa mtu 😃😃😃😃
Hongera sana mh tulia mana umetusaidia nasisi wananchi kujua/ kupata ufafanuzi zaidi ubalikiwe sana.
Uyo waziri hafai kabisa
Msukuma😂😂😂😍
Unajua Haya majibu ya serikali lzm ya we yanajitosheleza. Naona Kama Waziri hayuko happy sana kubanwa hivyo.
Mzee wa TRAT na TRAB anazingua
Shauri yake kubanwa. Ndiyo maana kuwa waziri wa michongo. Mwigulu ni tunda bovu.
Yan mwaka huu, kiukwery aisee dah😥😥😥yan hata kwenye maj bado watu wanajing'ata ng'ata eeh mungu weeeeh😥😥😥
Tena mbunge na waziri mwenye dhamana kubwa.
Mzee wa trab na trat big up Dr Tulia unatufurahisha
TRAB na TRAT...🙄
Trab na trat imejaa longolongo😂😂😂
Mwigulu has attended the class in a Parliament Meeting Hall. Congratulations Dr. Tulia Ackson
Huna uwezo kuwa sipka huna huruma
😂😂😂 Siku akiwa kwenye kiti Docter Tulia Nafurahi sana kulitazama Bunge Maana sio Spika Wamchongo hata kidogo
huyu mwanamke saiz kabadilika aiseee 🤣🤣🤣 ahsant sana 🙏
🤣🤣🤣
Tulia anaupiga mwingi kuliko mama yenu
Huyu akigombea urais nampigia kura
SURE 💯
dah tunapigwa sana waziri hajui kit
Huyu mwigulu dah
Dr Tulia anaupiga mwingi sana
Asate mweshimiwa
MWIGULU UNACHEMKA, WAKATI WENZAKO WANAWATETEA WANANCHI WEWE UNATETEA MASLAHI YAKO BINAFSI UTAFIKIRI KIJIJINI KWENU HAWANA SHIDA KABISA....Yaani kila kitu kwako ni "TRAB & TRAT" tu.
Yaani mwingulu ndo Rais.
Mnasumbua kile alichoagizwa kuyatekeleza na namna ya kuyajibu.
Mheshimiwa Tulia Mungu wa mbinguni akutunze🙏
ivi uyu tulia ame olewa jaman
Mwigulu na Makamba hawaaminiwi na wananchi wengi
weka na nape hao watu ni wa mchongo...
KWELI TUNAPIGWA AISE😭😭😭😭😭😭😭😭
Hatari Sana hwa Mawaziri
I like her. Give this woman the presidency.
Nafasi yake ni kubwa zaidi ya hiyo ya urais
Hongera spika uongo hauna nafasi
We we we usithubutu kabisa
Huyu mwizi huyu Yani Nchi Inaviongozi wa hovyo sana
Mh spika🔥🔥
I love you mama
Hatuna waziri wafedha tanzania
Mwigulu awe waziri wa Nchi za mchongo tu kwanza Jeuri sana huyo na kauli zake zakejili kwa raia
Tulia huyu mhuuuuuh 😁😁😁😁😁😁😁😁atawanyoosha afu inaonekana anamalengo mapana kuliko hako kausipika
mwigulu amezoea kutudanganya😂😂😂😂😂😂😂leo kapatikana,i appreciate you tulia ackson
Safi sana Dr Tulia 🙏🙏🙏
Kazi ipo
Huyu waziri ni zero!
Yan Katka viongoz huyu mweshimiwa sjawaig kukuelewa.🙇🙇🙇🙇
Asante sana
Tulia umejuwa kumnyuka huyu mpuuzi mwigulu vizuri sana... Anaongea off point ajui anachokiongea kabisaa
Huyu dada tulia anajua xana pia ni anajielewa sana
Kwa kweli mwenyewe nimekuelewa spika toka mwanzo maana haihitaji kwenda shule kuelewa concept hizo mbili ziko sahihi kulingana na kila mmoja anapovutia sema waziri wa fedha kwa hapo kazingua.
Wazir wa fedha ni ziro hakuna kitu
Spika Mungu akulinde
tuwe tu wastaarabu jamani kwa suala la waziri wa fedha tumepigwa, naomba kuwasilisha.
Upinzani ulikua unachangamsha bunge bwana🤣🤣🤣🤣 hili bunge limepoa sana
Big up mama uko vizuri👏👏
Tulia Trust I respect you
Huyu mwingulu nasemaga kila siku hakunaga kitu kwenye kichwa chake nakama anajua achokifanya Basi huyu ni mwanasiasa
Safi Sanaa Do Rulia umemwuliza swali gumu kwa mwugulu. Ana Cha kujibu.
Tulia very smart!! 😊
Mheshimiwa Raisi mtoe huyu Waziri wa Fedha hafai hata kidogo kwa nini unamngangania nini?anakutia aibu tu kwani msomi ni yeye tu
Waziri bwana😂😂 mama Tulia Ackson ni 🔥🔥🎻🎷🎷🎷🎸
Safi Mh Tulia big up kwako King,maswali mazuri tunaitaji watu kama nyinyi
Ongera sana mh speaker your excellent
Mbegu yamagufur
Huyu ni mbishi tu! Uhalisia wa takwimu za maji kitaifa sio sahihi!
Mh .Spika barikiwa Sana hawa mawazir hawatatufikisha
Asante xana spika mh. Tulia ackson kwa kuendelea kuendexha bunge la jamhur ya muungano ya Tanzania. Kazi iendeleee🙏🙏🙏🙏🙏
Spika nimekupenda sana mwigulu hafai ni mpigani,
Mwiguru huyo
Dr tulia I salute you are the best
Spika Dr. Tulia unakuwa wa kupoteza mda. Asilimia ya takwimu za maji kitaifa amwatajia. Tena akasema jimboni kwake kwa anayelalamikia maji aende kwa watu husika kuulizia yeye ana takwimu za kitaifa . Hapo atasema nini zaidi.
Yan Dr tulia anaakili Sana Mungu akubariki Sana ! Huyo mwingine anajiita dokta wa hesabu ona sasa udaktar wake sasa zero plus
Mwigulu kama daktari wa uchumi mbona anaiaibisha Serikali???? Anashindwaje kuelezea kea takwimu ya KITAIFA ni wastani wa kiwango cha upatikanaji wa Maji maeneo mbalimbali. Kuna maeneo upatikaji wa Maji ni asilimia 100 na mengine yapo chini ya kiwango hicho.
Tulia ndio kiongozi tunaowataka sio zungu mpigaji tu na hana faida yeyote bungeni afukuzwe
Anaubabe wa kjnga kwanza zungu
Madame speaker your doing an amazing job na hongera sana kwa kweli.
Jamaa point hana kabisa
MSUKUMA Kasheku asante sana
Hivi huyu mvaa tai ya bendera ya Taifa kasona kweli mjinga huyu
Hapo Dr Tulia umeonesha wewe ni bora kuliko huyu waziri
Du! Nimeamin kweli tulia ni zaidi ya NDUGAI
Asante Spika. Uko sawa kabisa
Mwigulu mpaka umueleze vzr madame spika uwazir uliupataje pataje😎😎😂😂😂
😂
MAMA YENU HUYO KAMUWEKA KIJANA WAKE
Amesoma kweli huyo Mzee, au dhambi za watanzania inamsokota.
Spika endelea na mkazo wa namna hiyo ili wawe wanajibu hoja walengwa
Nakubali Sana huyu mama
Waheshimiwa wekeni wazi. Ahsanteee mheshimiwa tulia. Ila wananchi tunaumia makato kila Kona jamani majengo mitandao. Jamani hata wazee jamani kulipia nyumba kila mwezi ameshindwa hili na niwaziri wa fedha? Atolewe awekwe mwingine. Jamani
Hongera sana Spika wetu. Unasimamia ukweli. Hicho kiti kinakutosha sana. 👏👏👏👏
Mpeleke darasani Dada upo vizuri saana.
Nice mama
Waziri kachemka huyo ndio waziri huyo..... Mhuu kazi kweli kweli