MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 ноя 2022
  • MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 806

  • @shilatusabuni89
    @shilatusabuni89 Год назад +42

    Asante mheshimiwa spika. Taifa hili tunahitaji watu wakweli ili tufike. Dr. Tulia Mungu akutunze mama yangu😍...Msukuma tunakupa PhD nyingine tena😍

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Mweshimiwa sipika sisi tunakushukuru kwa pointi

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Wewe acha ujinga unatoa ela hizo ela ni zako wewe ela ni zetu za walipa kodi

  • @emmanuelgeorge3262
    @emmanuelgeorge3262 Год назад +22

    Dr.Tulia Akson ..big up,so smart

  • @jumaseseme1654
    @jumaseseme1654 Год назад +20

    dada tulia mungu akulinde nakupenda tu

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 Год назад +33

    Tulia unafanya watu wajivunie watoto wa kike

  • @nurunewz103
    @nurunewz103 Год назад +28

    Mh. Tulia wewe ni mlezi na mwenye haki moyoni mwako.

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 Год назад +26

    Hongera sana Mh. Spika kwa kutokukubali uongo wa baadhi ya mawaziri kama walivyozoea business as.....

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 Год назад

      Bila kua muongo nchi hii utateseka sana hongera Sana spika

  • @drKanti865
    @drKanti865 Год назад +58

    I see the bright future for this woman...May God bless her

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv1067 Год назад +13

    KUNAKITU NINAKIONA HAPA KIZURI SANA NAOMBA ENDELEA HIVYO HIVYO ILI UJE KUWA HAFITHI NZURI KATIKA TAIFA Ila utakuwa MWANAMKE wa 1 MZALENDO mpaka Sasa unakaribia Ila MUNGU akujalie kwa Imani yako mama angu hongera Ila ww NI MZALENDO unakaribia MUNGU akujalie usije ukawa upande wa hao majambazi hongera sana

  • @mosesmwita7906
    @mosesmwita7906 Год назад +35

    Tulia sio kwa kumnyuka hivyo mwiguru😂😂atakuwa akikuona anatamani kulia😂😂

  • @taichi5370
    @taichi5370 Год назад +22

    This Lady is future Head of State!!

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Год назад +44

    Big up sana Dr.Tulia Akson, speaker wa bunge la Tanzania. Tungepata pia na wabunge hata 7 wa upinzani ambao ni machachari hakika tungefika mbali sana.

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 Год назад +2

      Upinzani ndo nini we nae! Mlishajiaminisha mtu kua mpinzani ndo anakua mkweli? Humo ndani huwaoni wabunge walio machachali kutetea wananchi? We unawaza upinzani tu, mpinzani ni mTanzania na hao CCM ni waTanzania

    • @malugukushaha6764
      @malugukushaha6764 Год назад

      @@georgemassebu2083usifikili kuwa kila mtu anayesema wawepo na wapinzani ukahisi na yeye ni mpinzani. Inabidi uangalie mbali ni kwanini huyu mtu kasema hivyo. Ipo siku utakubaliana nami.

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Год назад

      Muda wote waliokuwemo mlifika wapi au unaleta ushabiki wa kitoto tu hapa

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 Год назад +1

      Ile kulewa mpaka kuvunjika miguu?

    • @ibutilehyila9146
      @ibutilehyila9146 Год назад +1

      Unaona ee!!! big up sana asee!!!!

  • @besttrendingcovers1838
    @besttrendingcovers1838 Год назад +25

    dr Tulia your the best and you deserve to be in that position

  • @ibutilehyila9146
    @ibutilehyila9146 Год назад +34

    Hii ndio raha ya kuwa na Spika Daktari wa Sheria, Big up sana Mama Speaker, Uishi miaka mingi bungeni mama👏👏👏🙌🙌🙌🤝🤝🤝🙏🙏🙏

    • @auntdorah9141
      @auntdorah9141 Год назад

      Raha ya kuwa na kiongozi mwanamke( mama🥰) anayejua uchungu wa kubeba ndoo
      Nakupenda mpk naumwa🥰🥰

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 Год назад

      Hongera sana Mheshimiwa spika kwa elimu unayotowa mara kwa mara kwa mawaziri na wabunge wanaojifanya wajuaji!

    • @henrychaula1174
      @henrychaula1174 Год назад

      Sijajua Mwigulu anashindwa wapi kumwelewa Spika

    • @banzimtizii5020
      @banzimtizii5020 Год назад +2

      Mwigulu kaelewa ila hana jibu la uhakika

    • @edigarfurumericus3745
      @edigarfurumericus3745 Год назад

      Huyu jamaa mchumi lakin 🫥 kabisa

  • @nelsonludovick3360
    @nelsonludovick3360 Год назад +16

    Huyo jamaa hakuna kitu kabisa

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 Год назад +29

    TRAB NA TRAT😎🎼🎶🎵🎧

    • @godwinananias5358
      @godwinananias5358 Год назад +2

      Akuna kitu hapo hyooo msanii tyu

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Год назад +1

      🤣🤣

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Год назад +2

      Nakumbuka Magufuli aliwahi kumpiga gwala toka siku ile ndio nikatambua kabisaa ya kwamba Magufuli anaona mbali sana 🤣🤣

    • @sebastianzongoro8915
      @sebastianzongoro8915 Год назад

      Hapo ndiyo unafahamu kwamba spika ni msomi anasimamia haki hatetei ujinga

    • @annastellalugayana8454
      @annastellalugayana8454 Год назад

      Asante madam Kama Jimbo letu la kibamba ni asilimia moja tu ya watu wanaopata maji asilimia 99 hatujui maji ya bomba tunatumia maji chumvi je uko vijijini si ndio kabisa

  • @subirajohn8298
    @subirajohn8298 Год назад +19

    Mzimu wa magufuli umemuingia Tulia Acson . Big up mama

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Год назад +25

    Mwigulu bwana!!! Hoja IPO wazi,,,,,msukuma anaweza kuwa mbunge no 1 kwa hoja ambazo Ni real

  • @RafikimediaTZ
    @RafikimediaTZ Год назад +8

    Ubarikiwe sana Mhe.Spika Tulia Akson. Ninaiman na wewe kwa haki unayointenda katika nafasi yako.

  • @edwardnatharyblessed7067
    @edwardnatharyblessed7067 Год назад +7

    Mama yetu Dr. Tulia you have wisdom God bless you mum🇹🇿

  • @poolkingservices6928
    @poolkingservices6928 Год назад +5

    Huu siyo u daktar wa darasani. Tuna madoctors wengii Tanzania. Huo ni udoctor wa damu. Anajua kutetea haki na ukweli bila kigugumizi. Hongera sana dada Yetu na Spika wa Bunge la 🇹🇿 Nimeupenda msimamo na hoja zake.🙏

  • @abdulabdy6822
    @abdulabdy6822 Год назад +10

    You are so smart madam Speaker..all the best

    • @kazembe987
      @kazembe987 Год назад

      Punguzeni Saisa nchi mnaitia hasara kubwa

  • @edwardnatharyblessed7067
    @edwardnatharyblessed7067 Год назад +5

    Congratulations sana mama yetu Dkt.Tulia, waziri ameshindwa kuelewa swali kabisa kabisa

  • @goodwellmutambo7607
    @goodwellmutambo7607 Год назад +11

    Huyu mama kiboko

  • @celinamutta5058
    @celinamutta5058 Год назад +17

    Asante spika Tulia. Nimekukubali kwa kusimamia hoja. Keep it up💪💪👍

  • @clevisaboytz544
    @clevisaboytz544 Год назад +13

    Dr Tulia 🔥

    • @obeidmpombwe9951
      @obeidmpombwe9951 Год назад

      Mwigulu ni tatizo sijuwi sijawahi kumwelewa kabisa

    • @amanichuwa6687
      @amanichuwa6687 Год назад

      Mama amtoe huyu mtu watu wanamshambulia sana uwezo wake wa kutatua mambo ni mdogo

  • @pitysimon9731
    @pitysimon9731 Год назад +16

    ....Trab na trat 😂😂😂😂

  • @williamchongeraj
    @williamchongeraj Год назад +7

    Huyu Mwigulu atupishe kazi imemshinda

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад

      Nashangaa Raisi sijui kwa nini anambeba mtu hawezi kabisa

  • @josephdidas325
    @josephdidas325 Год назад +10

    Yaan huyu jamaa huwa simuelewi Haki ya Mungu asee huyu jamaaa liwekwe jiwe na yeye bora nichague jiwe kuliko huyu jamaa asee

  • @ladislauslyagula4096
    @ladislauslyagula4096 Год назад +16

    Hongera sana mh tulia mana umetusaidia nasisi wananchi kujua/ kupata ufafanuzi zaidi ubalikiwe sana.

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 Год назад +11

    Msukuma😂😂😂😍

  • @joelmwanza6009
    @joelmwanza6009 Год назад +12

    Unajua Haya majibu ya serikali lzm ya we yanajitosheleza. Naona Kama Waziri hayuko happy sana kubanwa hivyo.

    • @jacobmsigwa383
      @jacobmsigwa383 Год назад

      Mzee wa TRAT na TRAB anazingua

    • @machaggechacha3422
      @machaggechacha3422 Год назад

      Shauri yake kubanwa. Ndiyo maana kuwa waziri wa michongo. Mwigulu ni tunda bovu.

  • @amiria.mustafa9859
    @amiria.mustafa9859 Год назад +16

    Yan mwaka huu, kiukwery aisee dah😥😥😥yan hata kwenye maj bado watu wanajing'ata ng'ata eeh mungu weeeeh😥😥😥

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Год назад +18

    Mzee wa trab na trat big up Dr Tulia unatufurahisha

  • @lusticendokole9385
    @lusticendokole9385 Год назад +33

    Mwigulu has attended the class in a Parliament Meeting Hall. Congratulations Dr. Tulia Ackson

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Год назад +7

    😂😂😂 Siku akiwa kwenye kiti Docter Tulia Nafurahi sana kulitazama Bunge Maana sio Spika Wamchongo hata kidogo

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 Год назад +11

    huyu mwanamke saiz kabadilika aiseee 🤣🤣🤣 ahsant sana 🙏

  • @abdullherry3072
    @abdullherry3072 Год назад +6

    Tulia anaupiga mwingi kuliko mama yenu

  • @mikemollel8396
    @mikemollel8396 Год назад +5

    dah tunapigwa sana waziri hajui kit

  • @isayakatuwa9482
    @isayakatuwa9482 Год назад +1

    Huyu mwigulu dah

  • @hhurbert
    @hhurbert Год назад +4

    Dr Tulia anaupiga mwingi sana

  • @IssaMwinamila-vj5wy
    @IssaMwinamila-vj5wy 20 дней назад +1

    Asate mweshimiwa

  • @misanjolivigha2396
    @misanjolivigha2396 Год назад +2

    MWIGULU UNACHEMKA, WAKATI WENZAKO WANAWATETEA WANANCHI WEWE UNATETEA MASLAHI YAKO BINAFSI UTAFIKIRI KIJIJINI KWENU HAWANA SHIDA KABISA....Yaani kila kitu kwako ni "TRAB & TRAT" tu.

  • @bahatib.kidesela5423
    @bahatib.kidesela5423 Год назад +1

    Yaani mwingulu ndo Rais.
    Mnasumbua kile alichoagizwa kuyatekeleza na namna ya kuyajibu.

  • @makoye8388
    @makoye8388 Год назад +3

    Mheshimiwa Tulia Mungu wa mbinguni akutunze🙏

  • @daudichirstopher6173
    @daudichirstopher6173 Год назад +1

    ivi uyu tulia ame olewa jaman

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Год назад +3

    Mwigulu na Makamba hawaaminiwi na wananchi wengi

    • @joeaub2185
      @joeaub2185 Год назад +1

      weka na nape hao watu ni wa mchongo...

  • @ramazonejohnson2831
    @ramazonejohnson2831 Год назад +5

    KWELI TUNAPIGWA AISE😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @adkajisi4536
    @adkajisi4536 Год назад +4

    Hatari Sana hwa Mawaziri

  • @joshuamassawe2474
    @joshuamassawe2474 Год назад +27

    I like her. Give this woman the presidency.

  • @iddykivu1336
    @iddykivu1336 Год назад +1

    Huyu mwizi huyu Yani Nchi Inaviongozi wa hovyo sana

  • @immapeter640
    @immapeter640 Год назад +5

    Mh spika🔥🔥

  • @pelegrinmwamba1594
    @pelegrinmwamba1594 Год назад +1

    I love you mama

  • @ludoviclymo2044
    @ludoviclymo2044 Год назад +2

    Hatuna waziri wafedha tanzania

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Год назад +1

    Mwigulu awe waziri wa Nchi za mchongo tu kwanza Jeuri sana huyo na kauli zake zakejili kwa raia

  • @mbakijonas6792
    @mbakijonas6792 Год назад +4

    Tulia huyu mhuuuuuh 😁😁😁😁😁😁😁😁atawanyoosha afu inaonekana anamalengo mapana kuliko hako kausipika

  • @juliusjoseph4889
    @juliusjoseph4889 Год назад +3

    mwigulu amezoea kutudanganya😂😂😂😂😂😂😂leo kapatikana,i appreciate you tulia ackson

  • @kusigwamakoye1300
    @kusigwamakoye1300 Год назад +2

    Safi sana Dr Tulia 🙏🙏🙏

  • @nimrodmareges3131
    @nimrodmareges3131 Год назад +1

    Kazi ipo

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 Год назад +1

    Huyu waziri ni zero!

  • @victorkalolo9517
    @victorkalolo9517 Год назад +3

    Yan Katka viongoz huyu mweshimiwa sjawaig kukuelewa.🙇🙇🙇🙇

  • @NurudiniNdoka
    @NurudiniNdoka 15 дней назад

    Asante sana

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Год назад +1

    Tulia umejuwa kumnyuka huyu mpuuzi mwigulu vizuri sana... Anaongea off point ajui anachokiongea kabisaa

  • @meddydoubledi1675
    @meddydoubledi1675 Год назад +11

    Huyu dada tulia anajua xana pia ni anajielewa sana

  • @maryshirima1234
    @maryshirima1234 Год назад +11

    Kwa kweli mwenyewe nimekuelewa spika toka mwanzo maana haihitaji kwenda shule kuelewa concept hizo mbili ziko sahihi kulingana na kila mmoja anapovutia sema waziri wa fedha kwa hapo kazingua.

  • @ajuayelubano9595
    @ajuayelubano9595 Год назад +3

    tuwe tu wastaarabu jamani kwa suala la waziri wa fedha tumepigwa, naomba kuwasilisha.

  • @waltertesha3312
    @waltertesha3312 Год назад +2

    Upinzani ulikua unachangamsha bunge bwana🤣🤣🤣🤣 hili bunge limepoa sana

  • @rosemary3816
    @rosemary3816 Год назад +2

    Big up mama uko vizuri👏👏

  • @simonjohn2784
    @simonjohn2784 Год назад +1

    Tulia Trust I respect you

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 Год назад +2

    Huyu mwingulu nasemaga kila siku hakunaga kitu kwenye kichwa chake nakama anajua achokifanya Basi huyu ni mwanasiasa

  • @kishakisha730
    @kishakisha730 Год назад

    Safi Sanaa Do Rulia umemwuliza swali gumu kwa mwugulu. Ana Cha kujibu.

  • @silvanusngelageza7240
    @silvanusngelageza7240 21 день назад

    Tulia very smart!! 😊

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +2

    Mheshimiwa Raisi mtoe huyu Waziri wa Fedha hafai hata kidogo kwa nini unamngangania nini?anakutia aibu tu kwani msomi ni yeye tu

  • @emmanuelkisusu2465
    @emmanuelkisusu2465 Год назад +3

    Waziri bwana😂😂 mama Tulia Ackson ni 🔥🔥🎻🎷🎷🎷🎸

  • @stevemedard
    @stevemedard 6 месяцев назад

    Safi Mh Tulia big up kwako King,maswali mazuri tunaitaji watu kama nyinyi

  • @user-qx4gi5tx7h
    @user-qx4gi5tx7h 3 месяца назад

    Ongera sana mh speaker your excellent

  • @eliwandoakituku3713
    @eliwandoakituku3713 Год назад +3

    Mbegu yamagufur

  • @michaelmachango3730
    @michaelmachango3730 Год назад +1

    Huyu ni mbishi tu! Uhalisia wa takwimu za maji kitaifa sio sahihi!

  • @happymarchiusnjungani1138
    @happymarchiusnjungani1138 Год назад

    Mh .Spika barikiwa Sana hawa mawazir hawatatufikisha

  • @OloningoKatende
    @OloningoKatende Месяц назад

    Asante xana spika mh. Tulia ackson kwa kuendelea kuendexha bunge la jamhur ya muungano ya Tanzania. Kazi iendeleee🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 Год назад

    Spika nimekupenda sana mwigulu hafai ni mpigani,

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 Год назад +1

    Mwiguru huyo

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 Год назад +1

    Dr tulia I salute you are the best

  • @eppiemodest
    @eppiemodest Год назад +1

    Spika Dr. Tulia unakuwa wa kupoteza mda. Asilimia ya takwimu za maji kitaifa amwatajia. Tena akasema jimboni kwake kwa anayelalamikia maji aende kwa watu husika kuulizia yeye ana takwimu za kitaifa . Hapo atasema nini zaidi.

  • @simoncharles683
    @simoncharles683 Год назад +1

    Yan Dr tulia anaakili Sana Mungu akubariki Sana ! Huyo mwingine anajiita dokta wa hesabu ona sasa udaktar wake sasa zero plus

  • @gabrielsaelie8091
    @gabrielsaelie8091 Год назад +1

    Mwigulu kama daktari wa uchumi mbona anaiaibisha Serikali???? Anashindwaje kuelezea kea takwimu ya KITAIFA ni wastani wa kiwango cha upatikanaji wa Maji maeneo mbalimbali. Kuna maeneo upatikaji wa Maji ni asilimia 100 na mengine yapo chini ya kiwango hicho.

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Год назад +3

    Tulia ndio kiongozi tunaowataka sio zungu mpigaji tu na hana faida yeyote bungeni afukuzwe

  • @dismassmariki6985
    @dismassmariki6985 Год назад +2

    Madame speaker your doing an amazing job na hongera sana kwa kweli.

  • @sengengemangae3698
    @sengengemangae3698 Год назад

    Jamaa point hana kabisa

  • @sifathyunusu871
    @sifathyunusu871 Год назад

    MSUKUMA Kasheku asante sana

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Год назад +1

    Hivi huyu mvaa tai ya bendera ya Taifa kasona kweli mjinga huyu

  • @asajilepiusmahenge5729
    @asajilepiusmahenge5729 Год назад +1

    Hapo Dr Tulia umeonesha wewe ni bora kuliko huyu waziri

  • @lordsmenas3267
    @lordsmenas3267 Год назад +2

    Du! Nimeamin kweli tulia ni zaidi ya NDUGAI

  • @zenj1986
    @zenj1986 Год назад +1

    Asante Spika. Uko sawa kabisa

  • @manasentazi5692
    @manasentazi5692 Год назад +7

    Mwigulu mpaka umueleze vzr madame spika uwazir uliupataje pataje😎😎😂😂😂

  • @Rletayai15
    @Rletayai15 Год назад +1

    Nakubali Sana huyu mama

  • @alichengilangwa1361
    @alichengilangwa1361 29 дней назад

    Waheshimiwa wekeni wazi. Ahsanteee mheshimiwa tulia. Ila wananchi tunaumia makato kila Kona jamani majengo mitandao. Jamani hata wazee jamani kulipia nyumba kila mwezi ameshindwa hili na niwaziri wa fedha? Atolewe awekwe mwingine. Jamani

  • @poolkingservices6928
    @poolkingservices6928 Год назад +1

    Hongera sana Spika wetu. Unasimamia ukweli. Hicho kiti kinakutosha sana. 👏👏👏👏

  • @kennethngoleka
    @kennethngoleka Год назад

    Mpeleke darasani Dada upo vizuri saana.

  • @rukiadede5129
    @rukiadede5129 3 месяца назад

    Nice mama

  • @babujinga5819
    @babujinga5819 Год назад +2

    Waziri kachemka huyo ndio waziri huyo..... Mhuu kazi kweli kweli