MUSUKUMA AMCHANA PROF JANABI BUNGENI" USHIKE BREKI, MIMI DAKTARI MWENZIO, ANAHESHIMIKA SANA AJIELEWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 май 2024

Комментарии • 427

  • @JoyceAlfred-dv6cw
    @JoyceAlfred-dv6cw 10 дней назад +17

    Hongera sana Mh Msukuma,msema kweli Mpenzi wa Mungu,big Mb

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw 4 дня назад +2

    Hakuna kizuri mpaka mwisho wala kibaya mpaka mwisho. Mwerevu ni yule anayetambuwa uzuri kwenye kibaya pia kutambuwa ubaya kwenye kizuri. Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 13 дней назад +5

    Tanzania yangu. Profesa watamuelewa wenye ufahamu mkubwa. Ila kwa upande wangu nampongeza Prof Janabi kwa elimu kubwa aliyotupa.

  • @MsafilymsafilyChaless
    @MsafilymsafilyChaless 14 дней назад +29

    Sema kiongoz wetu tuko pamoja,

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 14 дней назад +9

    Safi sana Dr. Mm ni mwanafunzi wa SUA umenena vyema .... Wanaotufundisha wengi hawapractice n hawafahamu vizuri kinachoendelea mjini well..... Research is everything in a developing country well said....

  • @b1vevo
    @b1vevo 6 дней назад +1

    The leader he know how to protect the citizens, thanks Dr. msukuma

  • @benety.
    @benety. 3 часа назад +1

    Msukuma noma sana😂😂

  • @SimbaM2kufu
    @SimbaM2kufu 14 дней назад +36

    This guy is very much on point. We need to be self-reliant. We can't just sit and wait for westerners to bring us their misleading research.

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 14 дней назад +2

      wao ndo wanaogoza research kubwa kuubwa zpte duniani research ni investment do we invest au porojo? hakuna research za kukalili lazima uingie field na uinvest wenzetu wana invest

    • @Soon815
      @Soon815 14 дней назад

      Well said

    • @SimbaM2kufu
      @SimbaM2kufu 14 дней назад +1

      @@ChoroTesla Rukia kusoma comment yangu. I didn't say we have invested in research, I said we need to.

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 14 дней назад

      @@SimbaM2kufu i got you sasa msukuma anataka vitu vijiiibue ajue wenzetu wanashinda maaabara sie tunashinda tiktok na instagram mama anaupiga mwingi

    • @tolisso4287
      @tolisso4287 14 дней назад

      😂😂 we jamaa

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dg 10 дней назад +6

    Msukuma anachosema yuko sawa kwa kiasi furani. matikiti maji yanayodungwa sindano na kuku wa wiki tatu ukila vinaadhiri mwili kwa kiasi gani?? I love you Msukuma you are so geneous.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 14 дней назад +33

    😂😂😂😂😂 Msukuma yuko sahihi saana kwa Wakulima na wafanya mazoezi chakula hakikai, ushawahi muona mchezaji wa Mpira Ana kitambi , ila wakiacha mazoezi waendelee na diet

    • @RamadhaniJitelani
      @RamadhaniJitelani 14 дней назад

      Janabi hataki mazoezi unayoyasema wewe

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 14 дней назад

      ​@@RamadhaniJitelanikwa hiyo anataka nini

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 14 дней назад +9

    Jamaa Yuko vizuri sana

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff 3 дня назад

    Hongera sanaa musukuma

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 14 дней назад +2

    Ee yesu yasn msukuma umeongea mnoo mpaka nimelia uwiii😢😢safi.mnoo sijui itafatiliwa jamani

  • @user-uy6ht1mt9l
    @user-uy6ht1mt9l 14 дней назад +32

    Mbunge Msukuma kaongea point ambazo ingefaa zichukuliwe kama zilivyo kwenye utekelezaji!!!!
    Hapo Kuna wasomi uchwara wanajua hayo ila sjuwi nani aliyewaloga😢😢

    • @user-sm4jq6hq1t
      @user-sm4jq6hq1t 14 дней назад

      Huyu mtu ni darasa la Saba lakini anapointi zilozo sheheni nondo za kutosha

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 13 дней назад +1

      Mkiumwa mfateni msukuma awatibu

    • @user-uy6ht1mt9l
      @user-uy6ht1mt9l 13 дней назад

      @@mustaphahassan589 ukitaka kuuua mti kata mizizi sio kukata majan na kuacha mzizi.....
      Mf.ukipunguza wanga halaf ukala Nyama ya Kuku aliyekuzwa mwezi au wiki kipi bora

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495 3 дня назад

    Excellent argument

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 14 дней назад +31

    Professor Janabi kaeleza vizuri, shule yake ni kwa wale wasiofanya mazoezi au wasiokuwa na kazi nzito wasile hovyo.

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 14 дней назад +1

      ndo wabunge wetu hao... anakuja bila tafiti chanjo hiizi hua zinakuja kutokana na idadi ya ugonjwa kwenye records za hospitali zilivyo haziiibuki kuhusu bajeti punguzeni matumizi ya serikali uanzishe maaabara na nyie mlioko bungeni mnawashambulia wataaalamu.

    • @jahatvonline
      @jahatvonline 12 дней назад +1

      Dr Janabi anazungumza tafiti yupo makini sana

    • @reynaaalrawahi4137
      @reynaaalrawahi4137 10 дней назад

      Dokta yupo vizuri alichosema. 🎉🎉🎉

    • @dominickmahela1581
      @dominickmahela1581 7 дней назад

      Huyu jamaa leo ndo kaongea pumba tu pengine anaangaliaga meme kuhusu Janabi na hajawahi kumsikiliza😂

    • @phakundigervas1360
      @phakundigervas1360 5 дней назад

      Kwa Mbunge huyo kila asichokipenda YEYE ni Suomi fake lakini ni mjinga wa bangi believe it.

  • @alexdukes5547
    @alexdukes5547 14 дней назад +2

    Msukuma hajuwi kumbe hii nchi inaongozwa Kwa wahisani,mmoja tu aliekataa huu upuuzi wa kufanyiwa majaribio,laeo hii hayupo tumebaki kama mbayu mbayu,janabi anatufundisha vizuri,ukitaka kuchagua tunza hela uje uzitumie kwenye matibabu au tunza Afya uje utumie afya yako vizuri...chagua we mwenyewe.

  • @bakarishabani5538
    @bakarishabani5538 14 дней назад +11

    Kweli msukuma kuna baadhi ya mambo hayahitaji ufike hata chuo.sijui kwanini hatuwezi kutumia akili.Watoa maamuzi mtusaidie.

  • @evancegidion9155
    @evancegidion9155 19 часов назад

    Shida kubwa iko kwenye usumbufu wenu ninyi wanasiasa maana kila utafiti unapofanyika watu wanatumia vyeo vyao na utaalamu hamna kisa kimtu ni kiwaziri basi ni kuamlisha mambo tu ila mtajichumia laana kwa kutuangamiza wananchi kwa kuizinisha na kubariki mambo ya hovyo kuja kwa wananchi na kubishia majibu ya wataalamu mnayopewa na kutumia siasa kwenye mambo yanayohitaji utaalam kutumika

  • @pascaldomel1551
    @pascaldomel1551 4 дня назад

    Mzee unasema kweli,nani kasema msukuma siyo msomi.Mimi naona msukuma anasema ukweli wote ambao sasahivi Tz tumekuwa kama pango la kuletewa chanjo za kila aina.Kama nchi tusipoangali tunaweza kumalizwa na hawa wenzetu kutoka magharib,kwani kumekuwa na magonjwa ya kila aina,mengine hayana majina kumbe ni kwa sababu ya vyakula na chanjo zisizo thibitishwa na wataalamu wetu.

  • @claudiussilas
    @claudiussilas 2 дня назад

    Ni kweli mbunge unachozungumza .kama ufuatiliaji hautakuwepo watu wataangamizwa na viwanda bubu mtaani vinavyotengeneza pombe na hatujui ubora wa vinywaji hivyo .

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 14 дней назад +20

    Mbona professor janabi anasaidia watu wengi sana, kupitia mitandao,, naomba mwacheni mzee wetu afanye kazi kuelimisha, na kuboresha afya za watanzania. Msimtengenezee kinyongo,,, serikali inapaswa kuwapa kipaumbele watu kama professor janabi. Na sio kwenda tofauti nao.

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 14 дней назад +1

      Hujamwelewa mbunge msukuma je wewe unakula kijiko kimoja kama mlo wako wa siku?

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 14 дней назад

      @@samsonhamery3809 kwani dr alisema watu wale kijiko kimoja.

    • @ramadhanijuma4130
      @ramadhanijuma4130 13 дней назад

      Ukiwa hujaelewa ni vema ukanyamaza au ukaomba kueleweshwa.

    • @fatmaallyabdul1732
      @fatmaallyabdul1732 13 дней назад +1

      Tatizo letu huwa tunapenda kuleta negativity kwenye ukweli,ni kwa vile tumetofautiana miili yetu mwingine hata ale vipi hanenepi ,mbunge hapo aametoa mfano wa mtu anayefanya kazi ngumu what about Mimi ninaeshinda ofisini??Mimi Niko pamoja na professor Janabi katika hili kwa mustakbari wa afya yangu,sina muda/nafasi ya kufanya mazoezi basi acha nifuate kanuni za ulaji bora

    • @farajachiwile7388
      @farajachiwile7388 12 дней назад

      Ila ni kweli ukipungua wakati wa ujana, utateseka uzeeni. Mtu akifika miaka 50 anapungua muscle na mwili unalegea. Unabaki mifupa.

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 14 дней назад +34

    Hii tanzania tunaweza letewa sumu na tusijue tukala na TBS ndo imepitisha tule

    • @misangasaidih8764
      @misangasaidih8764 14 дней назад +4

      Kabisaaa

    • @simasima8084
      @simasima8084 14 дней назад +1

      Sbb yy ni pr..

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 14 дней назад

      @@simasima8084 hasa hizi matirial ya vinywaji vikali ni hatari sana waliambiwa tuipitishe gongo bungeni ili ipikwe kiasili zaidi nadhani tungekunwa vitu original sana tusingeugua mafigo na maini tungekula vitu vya asili kabisa

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 14 дней назад

      @@misangasaidih8764 Gongo haram sumu zinazotoka nje halali na TBS wanapitisha wanakwambia hii imepimwa hii nchi tunauwana wenyewe kwa wenyewe

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 14 дней назад

      sio tanzania ni Tanzania

  • @abdullyjadu7723
    @abdullyjadu7723 6 дней назад

    Janabi mpuuuzi hyo elim mbovu kichwani

  • @masoudabdi6076
    @masoudabdi6076 13 дней назад +2

    Mungu akupe maisha Msukkuma...
    Hawa viongozi ni shidaa sanaaa....hatuna kiongozi anaetetea Maisha ya Mtanzania

  • @hezekiamtera3559
    @hezekiamtera3559 14 дней назад +4

    Wabunge zungumzie bima ya afya kupitia mashuleni.Vigezo vilivyowekwa havitekelezeki.Wanafunzi wengi wana bima kupitia wazazi wao ambao ni waajiriwa.Idadi iliyowekwa haitekelezeki

  • @KahambasDaughterTherock
    @KahambasDaughterTherock 12 дней назад +2

    chanjo kweli zimezidi😂😂😂Msukuma bwana😂😂

  • @abudulingasa6413
    @abudulingasa6413 5 дней назад

    Mungu akupe miaka ming dunian uwatumikie wana nchi

  • @Shaban-hy5rx
    @Shaban-hy5rx 6 дней назад

    Hawa ndio watu wenye mawazo chanya tanzania tena ni wazarendo .

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 14 дней назад +3

    Janabi ni mtu ganii Kwa mjomba Sasa nimemjua Mungu akupe maisha maref Janabi tundu la sindano

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 12 дней назад

    Hongera mh msukuma na Esther Leo mmeonggeea. Kitu chamaa maana sn kweli kunnatatizo mahala kweny vinywaji. Hivi vipo vvya ovyo vingi. Viina itwa. Smart gynni vinyywajji. Gani hivvii. Ni. Ovyo kwa kkweli

  • @b1vevo
    @b1vevo 6 дней назад

    Nahisi Hata Sumu tushakula na kunywa na hazikutuua kwa sababu tushakula Sumu nyingi mpaka zishakuwa Antibiotics 😂

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 8 дней назад

    Chanjo ni janga la taifa. Tunchanjwa kama kuku. Sijui viongozi wanapewa hela na mabeberu

  • @saidabdallah2649
    @saidabdallah2649 14 дней назад +4

    😂😂aisehh sio lazima usome sana kikubwa nikujiuliza kabla ya kusema kitu jamaa anajua sana huyu

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 8 дней назад

    Hapa ndio unapata picha halis ya ujinqa wa baadhi ya waTZ.
    Na wenqine ndio km hawa wako kwenye vyombo va kutunqa sheria
    Unaanzaje mfuqaji au mkulima kubishana na mtaalam na profesor wa masuala ya afya.

  • @MojamojaMojamoja-lw2ph
    @MojamojaMojamoja-lw2ph 14 дней назад +5

    Ni kweli hatiwezi kula kijiko kimoja ugali kutwa mara 3 janabi tusamee😂

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 6 дней назад

    Allah jaalia kila mwenye majungu allah amtie nguvu

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 3 дня назад

    Niache kumsikiliza Prof Janabi nimsikilize LY ? Kweli watanzania hatuna akili

  • @geofreykayombo401
    @geofreykayombo401 11 дней назад

    Musukuma yupo vizuri sana,kweli bhana south africa hawana hata haya machanjo,mama akitoka hospitali imetoka hiyo,ukirudi ni checking za kawaida

  • @JumaNjiku-df1fd
    @JumaNjiku-df1fd 12 дней назад

    Musukuma ni mbunge kwa maana halisi ya ubunge! Wengine wanazingatia maokoto tu!! Hafanyi kazi ya kuisimamia na kuikosoa serikali. Ni akina ndiyooooh! Ipite hivyohivyo!

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp 8 дней назад

    Professors yupo sahihi kabisa kulingana na mzingila na kazi ya mtu anayofanya, Mimi nimojawapo ninayemfuatilia sana, msukuma nendapole.

  • @IssaMwinamila-vj5wy
    @IssaMwinamila-vj5wy 9 дней назад

    Namuga mukono mbunge mana hata kwetu wapo uku kijiji cha chikuti wilaya ya ulanga wananchi tunaumia sana kwenye kandi zakiliniki tunauziwa kabisa naoba mutusaidie

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d 9 дней назад

    Ongelea ma energy drink na mafuta ya kula yaani watu wengi tunaumwa GERD

  • @elifariji
    @elifariji 14 дней назад +11

    Da! Kweli "Bunge" halina mipaka. Hata Professor Janabi mwamsasambua? Hapana!! No! No! No. Nitafurahi Sana nikisikia mumemuomba radhi. Yaani "Wabunge" mnahitaji Sana elimu ya Dr Janabi maana mnashinda mmekaa na %kubwa mna vitamin vya kutisha. Ingekua Bora Sana Kama mngemkaribisha akawapiga darasa siku moja

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 14 дней назад

      Hili jinga linatumia kipaza sauti vibaya kutukana wenye taaluma zao!haifikii hata nukta alichokisomea profesa janabi!amuombe radhi hadhi ya janabi haifii hata kwa ukucha!Toka apewe udaktari wa funza chooni basi amekua namadharau sana bungeni Lenyewe halikwenda shule sasa linataka na wengine waonekane wajinga kama yeye! Nashangaa sana kila likiongea nikuwashusha wengine utadhani yeye kafanya la maana huko jimboni kwake madudu matupu!limekuwa natabia likifika bungeni kukosoa wengine

    • @HalimaJuma-hz4qe
      @HalimaJuma-hz4qe 9 дней назад +1

      Hahahha akakufundishe nyumbani kwako sie tunajua

    • @johndeogratias8099
      @johndeogratias8099 9 дней назад

      Ukiwa na kichwa kigumu huwezi elewa kamwe alichosema msukuma

    • @JosephMpangala-wd5mp
      @JosephMpangala-wd5mp 8 дней назад

      Nikweli ukosahihi.

  • @zephanialuangwaeliatosha9723
    @zephanialuangwaeliatosha9723 4 дня назад

    Kwahiyo mheshimiwa msukuma unataka vijana wasitahiriwe😂

  • @AbdillahiNdashwa11
    @AbdillahiNdashwa11 8 дней назад

    Allah akujalie inshallah

  • @djkmantz7622
    @djkmantz7622 4 дня назад

    Hila hizi pombe zinatumaliza sana

  • @MahmoudMohamed-gx1fk
    @MahmoudMohamed-gx1fk 14 дней назад +6

    Dr janabi amefafanuw vzr watu wanofany kaz ngumu wale vp watu wa ofisin wale vp yani zikilizen vzr ufafanuzi wa daktari ,

  • @user-tv8ub4fk5i
    @user-tv8ub4fk5i 14 дней назад

    Namuelewa sana my msukuma anasema anaeishi korogwe ni kweli kabisa amewahi kuniuzia viatu,naomba Bunge limlinde na kumtunza ana maoni ya mbali atatufikisha pazuri speed nafasi zaidi

  • @EmmanuelMlawa-ee3oq
    @EmmanuelMlawa-ee3oq 14 дней назад +7

    Akuna Cha pointi uchaguzi umekaribia

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro4801 14 дней назад +1

    Niko pamoja na wewe mkuu wangu umesema kweli kabisa Mungu Akubariki

  • @reginas1832
    @reginas1832 14 дней назад +1

    KATIBA MPYA NI SASA. Kuingia bungeni lazima uwe na degree atleat ya sheria. Acheni kudhalilisha wasomi

  • @user-gw8wv2zf2g
    @user-gw8wv2zf2g 14 дней назад +1

    Bunge ni mara chache sana kusimamia vitu vyenye maslahi muhimu kwa nchi ila vyenye shinikizo la kutoka nje hapo kwa mzungu bado hatujachomoka chanjo hizo ndo vifo vya ghafla haviji kuisha. Msukuma Mungu akusaidie umeongea unaloweza kuongea kwa kifupi umenawa. Tanzania nani wa kuisemea nani wa kuiokoa na mikono ya mabeberu 😭😭

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 14 дней назад +1

    Upo sahihi Pro. Janabi sijamwelewa

  • @patricksebastian3593
    @patricksebastian3593 14 дней назад +1

    Doctor Msukuma nakubari sana kazi yako

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 14 дней назад

      Kazi gani ameifanya ikaonekana na kusifiwa? tuambie nasi tumsifie

  • @TimotheoPeter-pr3ve
    @TimotheoPeter-pr3ve 12 дней назад +2

    Nice speach

  • @innocentyusuph7762
    @innocentyusuph7762 14 дней назад

    Hongera mh, Msukuma

  • @thabititv3783
    @thabititv3783 10 дней назад +1

    Msukuma da!! eti sipingani nae dada angu kwakuwa yeye ni mteja wa hvyo vitu

  • @suleymanimixkatafighter2669
    @suleymanimixkatafighter2669 13 дней назад

    msukuma anaongea fact sana msukuma yupo vizuri sana elimu sio vyeti kabisa msukuma anahekima na akili sana ,Elimu sio vyeti kamaratasi kichwani unanini .UMUKUMA YUPOI vizuri sana anaongea kuliko walioenda shule

  • @mkakapower4022
    @mkakapower4022 9 дней назад

    Uyu jamaa yuko vizuri sana.

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 14 дней назад +4

    Swala la chanjo hapo mr pm mungu akubariki sana endelea kuwa muwaz na kusema bila kigugumiz maana hali n mby saanaaaa tunaumia

  • @wilfredywilhelm1426
    @wilfredywilhelm1426 9 дней назад

    In Bwege's voice! Haya sasa tufanye kuwa uchaguzi ujao mnaingia bungeni ninyi wenyewe! Hakuna upinzani! Mtaanza kushikana mashati ninyi wenyewe! Mara paap wamepitishana.... wapinzani walikua wanachelewesha maendeleo.... mwaka wa nne huu hapa... wapo wenyewe... maendeleo ndio kama mnavyoona nao wananyooshana kisawasawa.. Hapa msukuma kasema watu wanaona sawa. Lakn kama kungekua na upinzani halafu mpinzani akasema hili lugha ingekua ingine kabisaaaa

  • @erastonyoka5021
    @erastonyoka5021 5 дней назад

    Mweshimiwa msukuma hanaga mambo ya kupinfisha maneno yuko sahihi sana

  • @maribaisack2097
    @maribaisack2097 14 дней назад

    Prof janab ni daktari by professional, wewe ni daktari wa heshima... heshimu shule za watu wewe mzee

  • @MassunzuMashaka
    @MassunzuMashaka 9 дней назад

    Dk janabi akiona akisikia ata cheka sana

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 9 дней назад

    ASANTE MSUKUMA HII INAONYESHA
    SERIKALI HATUNA

  • @user-tx7df1lk9k
    @user-tx7df1lk9k 13 дней назад

    Na kwanini chanjo za watoto mnawachanja shule bila kishirikisha wazazi?

  • @ndarujames3036
    @ndarujames3036 14 дней назад

    Bigbrain Broo msukuma

  • @johnkapesula122
    @johnkapesula122 2 дня назад

    Kweli kabisa

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 7 дней назад

    Tanzania shambalabibi++..

  • @EmmanuelPaul-kn8qb
    @EmmanuelPaul-kn8qb 6 дней назад

    Wewe kinala MH msukuma

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 6 дней назад

    Huyo Janabi mm simuelewagi,anachokisema na muonekano wake,duuu!!

    • @abdullyjadu7723
      @abdullyjadu7723 6 дней назад

      Yeye mwenyew ngozi yake imezoofuu afu anashauri watu ujinga yeye

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 14 дней назад +3

    Akili za Janabi changanya na zako

  • @jemaidamdengede9697
    @jemaidamdengede9697 11 дней назад

    Well said

  • @abdulymaeda2697
    @abdulymaeda2697 8 дней назад

    Janabi miyeyusho

  • @user-es5hj7dj5i
    @user-es5hj7dj5i 7 дней назад

    Kwa hili msukuma yuko sahihi kwa maneno ya ajabu ajabu ya huyu Prof. Janabi mf. wakati wa uhaba wa sukari anasema eti hii iwe ni fursa kwa wananchi kuacha kutumia sukari hii ni siasa maybe anataka kuwa mwanasiasa huyu Daktari ni aibu kwake!!

  • @gastondaniel8306
    @gastondaniel8306 5 дней назад

    KADI ZA WAJAWAZITO MTENGENEZAJI KUNA VITU HAKUWEKA HASA MAMA BAADA YA KUJIFU GUA

  • @African511
    @African511 14 дней назад +17

    Alooooo msukuma umegonga kwenye mshono,hahahhaaa aloooooo❤❤❤

  • @jeffreywilliams1171
    @jeffreywilliams1171 13 дней назад

    Hii point muhimu sana, mkiendelea kuwafingulia milango hao watu weupe huko kwa uchu natamaa za chapaa,kweli mtaisha mtakuwa mapunga mpaka mtu usiyetarajia,mpango wa hao watu ni kurithi rasilimali ambazo nyie mpaka leo hamzioni

  • @user-fi6sh5qd2p
    @user-fi6sh5qd2p 14 дней назад +2

    Akılı kubwa sana

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 14 дней назад

    Kumjadili mtu ambaye hamnaye kwenye mkutano ni kumnyima haki yake ya msingi! Aidha, udaktari wa Msukuma nauliza ni wa fani ipi au ni ule uganga wa kienyeji make tunaambiwa ni Witchdoctor!

  • @fundimadishiarusha4828
    @fundimadishiarusha4828 12 дней назад

    bunge lote kuacha upinzan msukuma ndie mtetez wa kwel

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 14 дней назад

    Kwa ishu ya kutalii mh umeongea uongo kwa kutalii kuna haja ya kufanya utafiti kweli??

  • @Juddy1017
    @Juddy1017 8 дней назад

    Umesema point mweshimiwa, hakuna organic products

  • @RechoMasunga-rp9dr
    @RechoMasunga-rp9dr 8 дней назад

    Msukuma wewe ni jembe nakuombea mungu akubariki Sana

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 13 дней назад

    Ni kweli wakati mwingine prof awe makini na sayansi yake, nakumbuka kwenye sukari eti upungufu wa sukari nchni una faida, sikubaliani

  • @adamkilembwe.
    @adamkilembwe. 7 дней назад

    Kweli

  • @zephanialuangwaeliatosha9723
    @zephanialuangwaeliatosha9723 4 дня назад

    Hahaa awaeleze wanao kula tambi

  • @danielndilili7525
    @danielndilili7525 9 дней назад

    Au bass msukuma njoo nikupe ng'ombe make unanigusaga kwakwel

  • @user-cf3fe3cu8v
    @user-cf3fe3cu8v 13 дней назад

    Msukuma umetsha baba😂😂 hongera

  • @user-ff7hl3mh3h
    @user-ff7hl3mh3h 14 дней назад

    Chi gwaa na shingwaa mbona kichina,duuh watanzania tunamalizwa hivi hivi,chanjo daah😢😢

  • @martinlalika7253
    @martinlalika7253 5 дней назад

    Ni kweli yeye kila kitu kibaya

  • @KahambasDaughterTherock
    @KahambasDaughterTherock 12 дней назад

    chanjo kweli zimezidi😂😂😂

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 14 дней назад +1

    Kweli msukuma chanzo zimezidi Sana.

  • @user-rt9us2jm7w
    @user-rt9us2jm7w 8 дней назад

    Awa ndo wabunge ambao tumewachagua kutetea hoja zetu sisi wananchi ifike mahali ata wabunge tuwe na standard at least awe na ata degree tu itatosha sana Kwa kweli yani najisikia vibaya sana wanapewa Hela nyingi halafu pointless

  • @hemedallyabdallah133
    @hemedallyabdallah133 10 дней назад

    Kaka uko juu
    Mi nakuelewa hongera sana

    • @LatwifSued
      @LatwifSued 10 дней назад

      Kwakweli msukuma uko vizuri, sana sana, ninatamani nikuone nikae na wewe angalau wiki moja, .kwakweli mungu akulipe.

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 14 дней назад +8

    Wasukuma huwa wanapointi nzuri

  • @immaknight4414
    @immaknight4414 14 дней назад

    Apooo kwenye chanzoo nomaa Sanaa ckupingi DR MSUKUMA 😂😂😂😂😂

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn 14 дней назад

    hivi kwanini serikali wanashindwa kuzuia hizi energy drinks maana sikuhizi hadi watoto wanakunywa,,bora tukose kodi kwenye energy drinks kuliko kuangamiza uzao wa baadae ,,,,

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 14 дней назад +1

    Dr msukuma ww ni magufuli uliyebakia wachane bhana