Hakuna kizuri mpaka mwisho wala kibaya mpaka mwisho. Mwerevu ni yule anayetambuwa uzuri kwenye kibaya pia kutambuwa ubaya kwenye kizuri. Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.
Safi sana Dr. Mm ni mwanafunzi wa SUA umenena vyema .... Wanaotufundisha wengi hawapractice n hawafahamu vizuri kinachoendelea mjini well..... Research is everything in a developing country well said....
wao ndo wanaogoza research kubwa kuubwa zpte duniani research ni investment do we invest au porojo? hakuna research za kukalili lazima uingie field na uinvest wenzetu wana invest
Msukuma anachosema yuko sawa kwa kiasi furani. matikiti maji yanayodungwa sindano na kuku wa wiki tatu ukila vinaadhiri mwili kwa kiasi gani?? I love you Msukuma you are so geneous.
😂😂😂😂😂 Msukuma yuko sahihi saana kwa Wakulima na wafanya mazoezi chakula hakikai, ushawahi muona mchezaji wa Mpira Ana kitambi , ila wakiacha mazoezi waendelee na diet
Mbunge Msukuma kaongea point ambazo ingefaa zichukuliwe kama zilivyo kwenye utekelezaji!!!! Hapo Kuna wasomi uchwara wanajua hayo ila sjuwi nani aliyewaloga😢😢
@@mustaphahassan589 ukitaka kuuua mti kata mizizi sio kukata majan na kuacha mzizi..... Mf.ukipunguza wanga halaf ukala Nyama ya Kuku aliyekuzwa mwezi au wiki kipi bora
ndo wabunge wetu hao... anakuja bila tafiti chanjo hiizi hua zinakuja kutokana na idadi ya ugonjwa kwenye records za hospitali zilivyo haziiibuki kuhusu bajeti punguzeni matumizi ya serikali uanzishe maaabara na nyie mlioko bungeni mnawashambulia wataaalamu.
Msukuma hajuwi kumbe hii nchi inaongozwa Kwa wahisani,mmoja tu aliekataa huu upuuzi wa kufanyiwa majaribio,laeo hii hayupo tumebaki kama mbayu mbayu,janabi anatufundisha vizuri,ukitaka kuchagua tunza hela uje uzitumie kwenye matibabu au tunza Afya uje utumie afya yako vizuri...chagua we mwenyewe.
Shida kubwa iko kwenye usumbufu wenu ninyi wanasiasa maana kila utafiti unapofanyika watu wanatumia vyeo vyao na utaalamu hamna kisa kimtu ni kiwaziri basi ni kuamlisha mambo tu ila mtajichumia laana kwa kutuangamiza wananchi kwa kuizinisha na kubariki mambo ya hovyo kuja kwa wananchi na kubishia majibu ya wataalamu mnayopewa na kutumia siasa kwenye mambo yanayohitaji utaalam kutumika
Mzee unasema kweli,nani kasema msukuma siyo msomi.Mimi naona msukuma anasema ukweli wote ambao sasahivi Tz tumekuwa kama pango la kuletewa chanjo za kila aina.Kama nchi tusipoangali tunaweza kumalizwa na hawa wenzetu kutoka magharib,kwani kumekuwa na magonjwa ya kila aina,mengine hayana majina kumbe ni kwa sababu ya vyakula na chanjo zisizo thibitishwa na wataalamu wetu.
Ni kweli mbunge unachozungumza .kama ufuatiliaji hautakuwepo watu wataangamizwa na viwanda bubu mtaani vinavyotengeneza pombe na hatujui ubora wa vinywaji hivyo .
Mbona professor janabi anasaidia watu wengi sana, kupitia mitandao,, naomba mwacheni mzee wetu afanye kazi kuelimisha, na kuboresha afya za watanzania. Msimtengenezee kinyongo,,, serikali inapaswa kuwapa kipaumbele watu kama professor janabi. Na sio kwenda tofauti nao.
Tatizo letu huwa tunapenda kuleta negativity kwenye ukweli,ni kwa vile tumetofautiana miili yetu mwingine hata ale vipi hanenepi ,mbunge hapo aametoa mfano wa mtu anayefanya kazi ngumu what about Mimi ninaeshinda ofisini??Mimi Niko pamoja na professor Janabi katika hili kwa mustakbari wa afya yangu,sina muda/nafasi ya kufanya mazoezi basi acha nifuate kanuni za ulaji bora
@@simasima8084 hasa hizi matirial ya vinywaji vikali ni hatari sana waliambiwa tuipitishe gongo bungeni ili ipikwe kiasili zaidi nadhani tungekunwa vitu original sana tusingeugua mafigo na maini tungekula vitu vya asili kabisa
Wabunge zungumzie bima ya afya kupitia mashuleni.Vigezo vilivyowekwa havitekelezeki.Wanafunzi wengi wana bima kupitia wazazi wao ambao ni waajiriwa.Idadi iliyowekwa haitekelezeki
Hongera mh msukuma na Esther Leo mmeonggeea. Kitu chamaa maana sn kweli kunnatatizo mahala kweny vinywaji. Hivi vipo vvya ovyo vingi. Viina itwa. Smart gynni vinyywajji. Gani hivvii. Ni. Ovyo kwa kkweli
Hapa ndio unapata picha halis ya ujinqa wa baadhi ya waTZ. Na wenqine ndio km hawa wako kwenye vyombo va kutunqa sheria Unaanzaje mfuqaji au mkulima kubishana na mtaalam na profesor wa masuala ya afya.
Musukuma ni mbunge kwa maana halisi ya ubunge! Wengine wanazingatia maokoto tu!! Hafanyi kazi ya kuisimamia na kuikosoa serikali. Ni akina ndiyooooh! Ipite hivyohivyo!
Namuga mukono mbunge mana hata kwetu wapo uku kijiji cha chikuti wilaya ya ulanga wananchi tunaumia sana kwenye kandi zakiliniki tunauziwa kabisa naoba mutusaidie
Da! Kweli "Bunge" halina mipaka. Hata Professor Janabi mwamsasambua? Hapana!! No! No! No. Nitafurahi Sana nikisikia mumemuomba radhi. Yaani "Wabunge" mnahitaji Sana elimu ya Dr Janabi maana mnashinda mmekaa na %kubwa mna vitamin vya kutisha. Ingekua Bora Sana Kama mngemkaribisha akawapiga darasa siku moja
Hili jinga linatumia kipaza sauti vibaya kutukana wenye taaluma zao!haifikii hata nukta alichokisomea profesa janabi!amuombe radhi hadhi ya janabi haifii hata kwa ukucha!Toka apewe udaktari wa funza chooni basi amekua namadharau sana bungeni Lenyewe halikwenda shule sasa linataka na wengine waonekane wajinga kama yeye! Nashangaa sana kila likiongea nikuwashusha wengine utadhani yeye kafanya la maana huko jimboni kwake madudu matupu!limekuwa natabia likifika bungeni kukosoa wengine
Namuelewa sana my msukuma anasema anaeishi korogwe ni kweli kabisa amewahi kuniuzia viatu,naomba Bunge limlinde na kumtunza ana maoni ya mbali atatufikisha pazuri speed nafasi zaidi
Bunge ni mara chache sana kusimamia vitu vyenye maslahi muhimu kwa nchi ila vyenye shinikizo la kutoka nje hapo kwa mzungu bado hatujachomoka chanjo hizo ndo vifo vya ghafla haviji kuisha. Msukuma Mungu akusaidie umeongea unaloweza kuongea kwa kifupi umenawa. Tanzania nani wa kuisemea nani wa kuiokoa na mikono ya mabeberu 😭😭
msukuma anaongea fact sana msukuma yupo vizuri sana elimu sio vyeti kabisa msukuma anahekima na akili sana ,Elimu sio vyeti kamaratasi kichwani unanini .UMUKUMA YUPOI vizuri sana anaongea kuliko walioenda shule
In Bwege's voice! Haya sasa tufanye kuwa uchaguzi ujao mnaingia bungeni ninyi wenyewe! Hakuna upinzani! Mtaanza kushikana mashati ninyi wenyewe! Mara paap wamepitishana.... wapinzani walikua wanachelewesha maendeleo.... mwaka wa nne huu hapa... wapo wenyewe... maendeleo ndio kama mnavyoona nao wananyooshana kisawasawa.. Hapa msukuma kasema watu wanaona sawa. Lakn kama kungekua na upinzani halafu mpinzani akasema hili lugha ingekua ingine kabisaaaa
Kwa hili msukuma yuko sahihi kwa maneno ya ajabu ajabu ya huyu Prof. Janabi mf. wakati wa uhaba wa sukari anasema eti hii iwe ni fursa kwa wananchi kuacha kutumia sukari hii ni siasa maybe anataka kuwa mwanasiasa huyu Daktari ni aibu kwake!!
Hii point muhimu sana, mkiendelea kuwafingulia milango hao watu weupe huko kwa uchu natamaa za chapaa,kweli mtaisha mtakuwa mapunga mpaka mtu usiyetarajia,mpango wa hao watu ni kurithi rasilimali ambazo nyie mpaka leo hamzioni
Kumjadili mtu ambaye hamnaye kwenye mkutano ni kumnyima haki yake ya msingi! Aidha, udaktari wa Msukuma nauliza ni wa fani ipi au ni ule uganga wa kienyeji make tunaambiwa ni Witchdoctor!
Awa ndo wabunge ambao tumewachagua kutetea hoja zetu sisi wananchi ifike mahali ata wabunge tuwe na standard at least awe na ata degree tu itatosha sana Kwa kweli yani najisikia vibaya sana wanapewa Hela nyingi halafu pointless
hivi kwanini serikali wanashindwa kuzuia hizi energy drinks maana sikuhizi hadi watoto wanakunywa,,bora tukose kodi kwenye energy drinks kuliko kuangamiza uzao wa baadae ,,,,
Hongera sana Mh Msukuma,msema kweli Mpenzi wa Mungu,big Mb
Hakuna kizuri mpaka mwisho wala kibaya mpaka mwisho. Mwerevu ni yule anayetambuwa uzuri kwenye kibaya pia kutambuwa ubaya kwenye kizuri. Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.
Tanzania yangu. Profesa watamuelewa wenye ufahamu mkubwa. Ila kwa upande wangu nampongeza Prof Janabi kwa elimu kubwa aliyotupa.
Sema kiongoz wetu tuko pamoja,
Safi sana Dr. Mm ni mwanafunzi wa SUA umenena vyema .... Wanaotufundisha wengi hawapractice n hawafahamu vizuri kinachoendelea mjini well..... Research is everything in a developing country well said....
The leader he know how to protect the citizens, thanks Dr. msukuma
Msukuma noma sana😂😂
This guy is very much on point. We need to be self-reliant. We can't just sit and wait for westerners to bring us their misleading research.
wao ndo wanaogoza research kubwa kuubwa zpte duniani research ni investment do we invest au porojo? hakuna research za kukalili lazima uingie field na uinvest wenzetu wana invest
Well said
@@ChoroTesla Rukia kusoma comment yangu. I didn't say we have invested in research, I said we need to.
@@SimbaM2kufu i got you sasa msukuma anataka vitu vijiiibue ajue wenzetu wanashinda maaabara sie tunashinda tiktok na instagram mama anaupiga mwingi
😂😂 we jamaa
Msukuma anachosema yuko sawa kwa kiasi furani. matikiti maji yanayodungwa sindano na kuku wa wiki tatu ukila vinaadhiri mwili kwa kiasi gani?? I love you Msukuma you are so geneous.
😂😂😂😂😂 Msukuma yuko sahihi saana kwa Wakulima na wafanya mazoezi chakula hakikai, ushawahi muona mchezaji wa Mpira Ana kitambi , ila wakiacha mazoezi waendelee na diet
Janabi hataki mazoezi unayoyasema wewe
@@RamadhaniJitelanikwa hiyo anataka nini
Jamaa Yuko vizuri sana
Hongera sanaa musukuma
Ee yesu yasn msukuma umeongea mnoo mpaka nimelia uwiii😢😢safi.mnoo sijui itafatiliwa jamani
Mbunge Msukuma kaongea point ambazo ingefaa zichukuliwe kama zilivyo kwenye utekelezaji!!!!
Hapo Kuna wasomi uchwara wanajua hayo ila sjuwi nani aliyewaloga😢😢
Huyu mtu ni darasa la Saba lakini anapointi zilozo sheheni nondo za kutosha
Mkiumwa mfateni msukuma awatibu
@@mustaphahassan589 ukitaka kuuua mti kata mizizi sio kukata majan na kuacha mzizi.....
Mf.ukipunguza wanga halaf ukala Nyama ya Kuku aliyekuzwa mwezi au wiki kipi bora
Excellent argument
Professor Janabi kaeleza vizuri, shule yake ni kwa wale wasiofanya mazoezi au wasiokuwa na kazi nzito wasile hovyo.
ndo wabunge wetu hao... anakuja bila tafiti chanjo hiizi hua zinakuja kutokana na idadi ya ugonjwa kwenye records za hospitali zilivyo haziiibuki kuhusu bajeti punguzeni matumizi ya serikali uanzishe maaabara na nyie mlioko bungeni mnawashambulia wataaalamu.
Dr Janabi anazungumza tafiti yupo makini sana
Dokta yupo vizuri alichosema. 🎉🎉🎉
Huyu jamaa leo ndo kaongea pumba tu pengine anaangaliaga meme kuhusu Janabi na hajawahi kumsikiliza😂
Kwa Mbunge huyo kila asichokipenda YEYE ni Suomi fake lakini ni mjinga wa bangi believe it.
Msukuma hajuwi kumbe hii nchi inaongozwa Kwa wahisani,mmoja tu aliekataa huu upuuzi wa kufanyiwa majaribio,laeo hii hayupo tumebaki kama mbayu mbayu,janabi anatufundisha vizuri,ukitaka kuchagua tunza hela uje uzitumie kwenye matibabu au tunza Afya uje utumie afya yako vizuri...chagua we mwenyewe.
Kweli msukuma kuna baadhi ya mambo hayahitaji ufike hata chuo.sijui kwanini hatuwezi kutumia akili.Watoa maamuzi mtusaidie.
Shida kubwa iko kwenye usumbufu wenu ninyi wanasiasa maana kila utafiti unapofanyika watu wanatumia vyeo vyao na utaalamu hamna kisa kimtu ni kiwaziri basi ni kuamlisha mambo tu ila mtajichumia laana kwa kutuangamiza wananchi kwa kuizinisha na kubariki mambo ya hovyo kuja kwa wananchi na kubishia majibu ya wataalamu mnayopewa na kutumia siasa kwenye mambo yanayohitaji utaalam kutumika
Mzee unasema kweli,nani kasema msukuma siyo msomi.Mimi naona msukuma anasema ukweli wote ambao sasahivi Tz tumekuwa kama pango la kuletewa chanjo za kila aina.Kama nchi tusipoangali tunaweza kumalizwa na hawa wenzetu kutoka magharib,kwani kumekuwa na magonjwa ya kila aina,mengine hayana majina kumbe ni kwa sababu ya vyakula na chanjo zisizo thibitishwa na wataalamu wetu.
Ni kweli mbunge unachozungumza .kama ufuatiliaji hautakuwepo watu wataangamizwa na viwanda bubu mtaani vinavyotengeneza pombe na hatujui ubora wa vinywaji hivyo .
Mbona professor janabi anasaidia watu wengi sana, kupitia mitandao,, naomba mwacheni mzee wetu afanye kazi kuelimisha, na kuboresha afya za watanzania. Msimtengenezee kinyongo,,, serikali inapaswa kuwapa kipaumbele watu kama professor janabi. Na sio kwenda tofauti nao.
Hujamwelewa mbunge msukuma je wewe unakula kijiko kimoja kama mlo wako wa siku?
@@samsonhamery3809 kwani dr alisema watu wale kijiko kimoja.
Ukiwa hujaelewa ni vema ukanyamaza au ukaomba kueleweshwa.
Tatizo letu huwa tunapenda kuleta negativity kwenye ukweli,ni kwa vile tumetofautiana miili yetu mwingine hata ale vipi hanenepi ,mbunge hapo aametoa mfano wa mtu anayefanya kazi ngumu what about Mimi ninaeshinda ofisini??Mimi Niko pamoja na professor Janabi katika hili kwa mustakbari wa afya yangu,sina muda/nafasi ya kufanya mazoezi basi acha nifuate kanuni za ulaji bora
Ila ni kweli ukipungua wakati wa ujana, utateseka uzeeni. Mtu akifika miaka 50 anapungua muscle na mwili unalegea. Unabaki mifupa.
Hii tanzania tunaweza letewa sumu na tusijue tukala na TBS ndo imepitisha tule
Kabisaaa
Sbb yy ni pr..
@@simasima8084 hasa hizi matirial ya vinywaji vikali ni hatari sana waliambiwa tuipitishe gongo bungeni ili ipikwe kiasili zaidi nadhani tungekunwa vitu original sana tusingeugua mafigo na maini tungekula vitu vya asili kabisa
@@misangasaidih8764 Gongo haram sumu zinazotoka nje halali na TBS wanapitisha wanakwambia hii imepimwa hii nchi tunauwana wenyewe kwa wenyewe
sio tanzania ni Tanzania
Janabi mpuuuzi hyo elim mbovu kichwani
Mungu akupe maisha Msukkuma...
Hawa viongozi ni shidaa sanaaa....hatuna kiongozi anaetetea Maisha ya Mtanzania
Wabunge zungumzie bima ya afya kupitia mashuleni.Vigezo vilivyowekwa havitekelezeki.Wanafunzi wengi wana bima kupitia wazazi wao ambao ni waajiriwa.Idadi iliyowekwa haitekelezeki
chanjo kweli zimezidi😂😂😂Msukuma bwana😂😂
Mungu akupe miaka ming dunian uwatumikie wana nchi
Hawa ndio watu wenye mawazo chanya tanzania tena ni wazarendo .
Janabi ni mtu ganii Kwa mjomba Sasa nimemjua Mungu akupe maisha maref Janabi tundu la sindano
Hongera mh msukuma na Esther Leo mmeonggeea. Kitu chamaa maana sn kweli kunnatatizo mahala kweny vinywaji. Hivi vipo vvya ovyo vingi. Viina itwa. Smart gynni vinyywajji. Gani hivvii. Ni. Ovyo kwa kkweli
Nahisi Hata Sumu tushakula na kunywa na hazikutuua kwa sababu tushakula Sumu nyingi mpaka zishakuwa Antibiotics 😂
Chanjo ni janga la taifa. Tunchanjwa kama kuku. Sijui viongozi wanapewa hela na mabeberu
😂😂aisehh sio lazima usome sana kikubwa nikujiuliza kabla ya kusema kitu jamaa anajua sana huyu
Hapa ndio unapata picha halis ya ujinqa wa baadhi ya waTZ.
Na wenqine ndio km hawa wako kwenye vyombo va kutunqa sheria
Unaanzaje mfuqaji au mkulima kubishana na mtaalam na profesor wa masuala ya afya.
Ni kweli hatiwezi kula kijiko kimoja ugali kutwa mara 3 janabi tusamee😂
Allah jaalia kila mwenye majungu allah amtie nguvu
Niache kumsikiliza Prof Janabi nimsikilize LY ? Kweli watanzania hatuna akili
Musukuma yupo vizuri sana,kweli bhana south africa hawana hata haya machanjo,mama akitoka hospitali imetoka hiyo,ukirudi ni checking za kawaida
Musukuma ni mbunge kwa maana halisi ya ubunge! Wengine wanazingatia maokoto tu!! Hafanyi kazi ya kuisimamia na kuikosoa serikali. Ni akina ndiyooooh! Ipite hivyohivyo!
Professors yupo sahihi kabisa kulingana na mzingila na kazi ya mtu anayofanya, Mimi nimojawapo ninayemfuatilia sana, msukuma nendapole.
Namuga mukono mbunge mana hata kwetu wapo uku kijiji cha chikuti wilaya ya ulanga wananchi tunaumia sana kwenye kandi zakiliniki tunauziwa kabisa naoba mutusaidie
Ongelea ma energy drink na mafuta ya kula yaani watu wengi tunaumwa GERD
Da! Kweli "Bunge" halina mipaka. Hata Professor Janabi mwamsasambua? Hapana!! No! No! No. Nitafurahi Sana nikisikia mumemuomba radhi. Yaani "Wabunge" mnahitaji Sana elimu ya Dr Janabi maana mnashinda mmekaa na %kubwa mna vitamin vya kutisha. Ingekua Bora Sana Kama mngemkaribisha akawapiga darasa siku moja
Hili jinga linatumia kipaza sauti vibaya kutukana wenye taaluma zao!haifikii hata nukta alichokisomea profesa janabi!amuombe radhi hadhi ya janabi haifii hata kwa ukucha!Toka apewe udaktari wa funza chooni basi amekua namadharau sana bungeni Lenyewe halikwenda shule sasa linataka na wengine waonekane wajinga kama yeye! Nashangaa sana kila likiongea nikuwashusha wengine utadhani yeye kafanya la maana huko jimboni kwake madudu matupu!limekuwa natabia likifika bungeni kukosoa wengine
Hahahha akakufundishe nyumbani kwako sie tunajua
Ukiwa na kichwa kigumu huwezi elewa kamwe alichosema msukuma
Nikweli ukosahihi.
Kwahiyo mheshimiwa msukuma unataka vijana wasitahiriwe😂
Allah akujalie inshallah
Hila hizi pombe zinatumaliza sana
Dr janabi amefafanuw vzr watu wanofany kaz ngumu wale vp watu wa ofisin wale vp yani zikilizen vzr ufafanuzi wa daktari ,
Namuelewa sana my msukuma anasema anaeishi korogwe ni kweli kabisa amewahi kuniuzia viatu,naomba Bunge limlinde na kumtunza ana maoni ya mbali atatufikisha pazuri speed nafasi zaidi
Akuna Cha pointi uchaguzi umekaribia
Niko pamoja na wewe mkuu wangu umesema kweli kabisa Mungu Akubariki
KATIBA MPYA NI SASA. Kuingia bungeni lazima uwe na degree atleat ya sheria. Acheni kudhalilisha wasomi
Bunge ni mara chache sana kusimamia vitu vyenye maslahi muhimu kwa nchi ila vyenye shinikizo la kutoka nje hapo kwa mzungu bado hatujachomoka chanjo hizo ndo vifo vya ghafla haviji kuisha. Msukuma Mungu akusaidie umeongea unaloweza kuongea kwa kifupi umenawa. Tanzania nani wa kuisemea nani wa kuiokoa na mikono ya mabeberu 😭😭
Upo sahihi Pro. Janabi sijamwelewa
Doctor Msukuma nakubari sana kazi yako
Kazi gani ameifanya ikaonekana na kusifiwa? tuambie nasi tumsifie
Nice speach
Hongera mh, Msukuma
Msukuma da!! eti sipingani nae dada angu kwakuwa yeye ni mteja wa hvyo vitu
msukuma anaongea fact sana msukuma yupo vizuri sana elimu sio vyeti kabisa msukuma anahekima na akili sana ,Elimu sio vyeti kamaratasi kichwani unanini .UMUKUMA YUPOI vizuri sana anaongea kuliko walioenda shule
Uyu jamaa yuko vizuri sana.
Swala la chanjo hapo mr pm mungu akubariki sana endelea kuwa muwaz na kusema bila kigugumiz maana hali n mby saanaaaa tunaumia
In Bwege's voice! Haya sasa tufanye kuwa uchaguzi ujao mnaingia bungeni ninyi wenyewe! Hakuna upinzani! Mtaanza kushikana mashati ninyi wenyewe! Mara paap wamepitishana.... wapinzani walikua wanachelewesha maendeleo.... mwaka wa nne huu hapa... wapo wenyewe... maendeleo ndio kama mnavyoona nao wananyooshana kisawasawa.. Hapa msukuma kasema watu wanaona sawa. Lakn kama kungekua na upinzani halafu mpinzani akasema hili lugha ingekua ingine kabisaaaa
Mweshimiwa msukuma hanaga mambo ya kupinfisha maneno yuko sahihi sana
Prof janab ni daktari by professional, wewe ni daktari wa heshima... heshimu shule za watu wewe mzee
Dk janabi akiona akisikia ata cheka sana
ASANTE MSUKUMA HII INAONYESHA
SERIKALI HATUNA
Na kwanini chanjo za watoto mnawachanja shule bila kishirikisha wazazi?
Bigbrain Broo msukuma
Kweli kabisa
Tanzania shambalabibi++..
Wewe kinala MH msukuma
Huyo Janabi mm simuelewagi,anachokisema na muonekano wake,duuu!!
Yeye mwenyew ngozi yake imezoofuu afu anashauri watu ujinga yeye
Akili za Janabi changanya na zako
Well said
Janabi miyeyusho
Kwa hili msukuma yuko sahihi kwa maneno ya ajabu ajabu ya huyu Prof. Janabi mf. wakati wa uhaba wa sukari anasema eti hii iwe ni fursa kwa wananchi kuacha kutumia sukari hii ni siasa maybe anataka kuwa mwanasiasa huyu Daktari ni aibu kwake!!
KADI ZA WAJAWAZITO MTENGENEZAJI KUNA VITU HAKUWEKA HASA MAMA BAADA YA KUJIFU GUA
Alooooo msukuma umegonga kwenye mshono,hahahhaaa aloooooo❤❤❤
Hii point muhimu sana, mkiendelea kuwafingulia milango hao watu weupe huko kwa uchu natamaa za chapaa,kweli mtaisha mtakuwa mapunga mpaka mtu usiyetarajia,mpango wa hao watu ni kurithi rasilimali ambazo nyie mpaka leo hamzioni
Akılı kubwa sana
Kumjadili mtu ambaye hamnaye kwenye mkutano ni kumnyima haki yake ya msingi! Aidha, udaktari wa Msukuma nauliza ni wa fani ipi au ni ule uganga wa kienyeji make tunaambiwa ni Witchdoctor!
bunge lote kuacha upinzan msukuma ndie mtetez wa kwel
Kwa ishu ya kutalii mh umeongea uongo kwa kutalii kuna haja ya kufanya utafiti kweli??
Umesema point mweshimiwa, hakuna organic products
Msukuma wewe ni jembe nakuombea mungu akubariki Sana
Ni kweli wakati mwingine prof awe makini na sayansi yake, nakumbuka kwenye sukari eti upungufu wa sukari nchni una faida, sikubaliani
Kweli
Hahaa awaeleze wanao kula tambi
Au bass msukuma njoo nikupe ng'ombe make unanigusaga kwakwel
Msukuma umetsha baba😂😂 hongera
Chi gwaa na shingwaa mbona kichina,duuh watanzania tunamalizwa hivi hivi,chanjo daah😢😢
Ni kweli yeye kila kitu kibaya
chanjo kweli zimezidi😂😂😂
Kweli msukuma chanzo zimezidi Sana.
Awa ndo wabunge ambao tumewachagua kutetea hoja zetu sisi wananchi ifike mahali ata wabunge tuwe na standard at least awe na ata degree tu itatosha sana Kwa kweli yani najisikia vibaya sana wanapewa Hela nyingi halafu pointless
Kaka uko juu
Mi nakuelewa hongera sana
Kwakweli msukuma uko vizuri, sana sana, ninatamani nikuone nikae na wewe angalau wiki moja, .kwakweli mungu akulipe.
Wasukuma huwa wanapointi nzuri
Apooo kwenye chanzoo nomaa Sanaa ckupingi DR MSUKUMA 😂😂😂😂😂
hivi kwanini serikali wanashindwa kuzuia hizi energy drinks maana sikuhizi hadi watoto wanakunywa,,bora tukose kodi kwenye energy drinks kuliko kuangamiza uzao wa baadae ,,,,
Dr msukuma ww ni magufuli uliyebakia wachane bhana