Mi mkenya toka mji wa Eldoret ,watanzania laiti mgelijua tunavyomtamani mhs Msukuma😢 , ana hoja za kuijenga nchi ,duh mungu akuongoze sina la kuongeza .
Kweli Mimi kama Mimi nasema tu wewe ndio ungekua rais Tanzania ingefika mbali tena sana point yako inasemeka mungu akubaliki ikaje kua rais tu kwanza ww ni zaid ya rais kabisa
Ahsante sana Rais wa Hoja za msingi hongera sana . NATAKA KUJUA MBUNGE WA JIMBO LA KYERWA KAGERA Alipewa Ubunge kutalii bungeniii au anafanya nini bungeni. OFFICIAL JB NAULIZA.
Good morning musukum uko sawa uko kwa bungeni nakupenda san unasemanga ukweli lkin musomeeni uyo mama wakambo aache ujinga kuusa nch kwel tutakuj kuliman
Mi mkenya toka mji wa Eldoret ,watanzania laiti mgelijua tunavyomtamani mhs Msukuma😢 , ana hoja za kuijenga nchi ,duh mungu akuongoze sina la kuongeza .
Ngosha baba huna Baya miaka yote👏👏👏👏👏
Lasba A kweli wewe ni dr, mungu akujalie maisha malefu. Ikibidi ccm ikuamini kiti cha juu inch itaenda vizuri sana. Napenda sana swaga zako bungeni,
Akili nyingi, elimu ndogo, hongera san msukuma
Hivi ni lin watamwelewa Mh.Msukuma point zake na anastahili tuzo ya Heshima🔥very genius 👊
Wasomi wetu ndio adui wetu tanzania! Ni watu wa ovyoo sana&ole wako wakujue we ni mulala hoi & umetoboa! Wanakomesha.
Huwa natumia Bando langu kumwangalia Msukuma wengine matumbo kushiba kisa wana Degree
kaka msukuma nakukubali sana kaka ongera kwa uongozi wako
Huyu ni dume la simba❤
Salute sana kiongozi wa kweli kura yangu haikwenda bure dadec💪💪💪....mwamba ndo huyu.
Natamani huyu jamaa awe kiongozi wa nchi
Msukuma oyeee lasaba A❤️
Mskuma unawakilisha tunakuelewa sanaa
Kweli Mimi kama Mimi nasema tu wewe ndio ungekua rais Tanzania ingefika mbali tena sana point yako inasemeka mungu akubaliki ikaje kua rais tu kwanza ww ni zaid ya rais kabisa
Mwamba hauko mbali na magufuli pambana ungekuwa magu tungekuita baba mwisho pambania jimbo lako magu tunateseka
Kwer msukuma ongera san
Mbunge msukuma huwa anaongea point sana,Mimi Sina mengi zaidi ya kukupa 💐🌹🌿🌹 mapema.
Moja yakiongoz bola nikujiamin nakusemea kile wananchi wake wanachokihtaj nahvy sku yamwish kiongoz asokuw mwadilif atakiona chamoto
musukuma mungu akulinde sana
❤❤ very nice musukuma
Honggela sana msukuma
Wananchi wa geita wana raha sana hili ni Jembe
Hongera msukuma Kwan hoja tunatamani uwe raise wa tanzania
Tuko nyuma ya msukuma kweli ni Kama maghufuli wa pili Asante msukuma wetu
Usimfananishe msukuma na jitu lenye roho mbaya
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤@@omaryramdhani9823
Mbunge wa Jimbo la korogwe vijijini mkoa Tanga hatumsikiii Yani anakera huyo
Uko sawa Kwa hoja nzuri hongera sana
Mbarikiwa mwakipesile
Mungu atusaidie Tanzania ipate rais kama uyuu kaka msukuma
Hongera
Kazi iendelee
Ahsante sana Rais wa Hoja za msingi hongera sana . NATAKA KUJUA MBUNGE WA JIMBO LA KYERWA KAGERA Alipewa Ubunge kutalii bungeniii au anafanya nini bungeni. OFFICIAL JB NAULIZA.
😂😂😂
JAMII ZA KIFUGAJI WANAKITU WASIKILIZWE.
msukuma Remain In Power (R.I.P) forever
Asante sana mh.Msukuma kwa kuwasilisha ujuzi wako kwa jamii
Kaka msukuma hongera wewe nimchesh sana nataifa tunakutegemea chapa kaz brooo❤❤❤❤
Huyu jamaa kwanini Asipewe wizara jamani Mnyonge Mnyonge I Hakiake Apewe😂😂
Msukuma jamni like uncle maguu natamni uchukue 📜🙆🙆
Mubunge musukuma hakikaa huna weza baba
Mufindi -Mgololo tunaomba lami na sisi ' Hii ni barabara muhimu sana kwa uchumi wa Taifa
Mwamba huyu hapa namkubalia sana Msukuma
Uko vizuri , Mungu akuongezee miaka mingine ya ubunge, maana maendeleo huletwa na wageni sio wenyeji na wenyeji tunaiga kutoka kwao
Wakuu salam za dhati ziwafikie huko mliko kwa kazi mzuri mnaofanya kwa taifa letu tanzania
This should be all afrikan parliament speak our local languages keep it up my tz brothers and sisters
Pambana msukuma nakuelewa sanaaaaa
Big up saaana msukuma ,,darasa la saba materials with more inteligent points
Musukuma ako na point 🔥🔥🔥
Fratei masay kiboko bungeni,
👍👍 ilo ndo bunge letu
hahahaha nimekuelewa msukuma vizuri sanaa
Mambo vp wapendwe
Amsukuma u are a got sent and we thank magufuli for recruiting u.. As a member of the parliament ❤
Msukuma uko sawa Sana wewe ni mtetezi wa wawanyonge mungu aendelee kukupa hekima zaidi,🌹🌹🌹
Msukuma Mungu akulinde
Aaaaaaaaaaa nataman nitafte kiwanja geita Nike msukuma
Msukuma tutetee wanyonge baba
Namuelewaga Sana tuu, hawa wa hivi ni wachache,
Makonda yuko Arusha, site, anatupambania wana Arusha.❤
Huyu msukuma apewe pongezi huwa naongea ukweli mara nyingi (facts)despite the fact that ametoka kijijini
Msukuma eti nilikaona kabinti nilikaomba na namba🤣🤣🤣🤣,mke wako anakusikiliza.
Yuko vizuri sana
Uko vizuri sana kutetea watu wako
Pambana mtu WANGU
Hongera sana Kaka Msukuma kuwa Kiongozi bora lazima ujisimamie... wewe ni Kiongozi bora sana uliokamilika
Yan msukuma namkubali sana nataman angekuwa jimbon kwetu kalenga nahisi kalenga ingenyoka sana kwakweli??????
Wewe ni walasaba lakini unaakili kuliko hao wasomi❤❤❤💪💪💪
Msukuma mbabe na anajiamini atokee mbunge choko atoe taarifa aone wamenyamaza kimya wanamsikiliza mbabe%
Wasukuma huwa wana katabia ka ubabe
@@-kagerayetubw9jxmnoooooo
I salute you musukuma
Mhh msukuma nimekuelewa umepiga mkwala mpaka jamaa kanyamaza kutoa taarifa
Hii chuma naikubali sana.. Keep it up Msukuma
Kuna wabunge na kuna huyu msukuma
One of the intelligence minds without education, big up msukuma all the way fro Kenyan
Good morning musukum uko sawa uko kwa bungeni nakupenda san unasemanga ukweli lkin musomeeni uyo mama wakambo aache ujinga kuusa nch kwel tutakuj kuliman
Allah nijaalie niwe mama bora na niwe ni mwenye kuomba mema kwa wenzangu sio mabaya
Amiina
Madini tupuuuu🙌🙌🙌😂
Risk assessment, mchakato, upembuzi yakinifu,,,,,ni sehemu Tu za upigaji fedha!!
Daah bunge tamu sana
M/h Msukuma ujasiri ulio nao Mungu akubariki
Kwakweli msukuma uko vizuri ht kama haujasoma verry guddy brothers
Msukuma ana kitu na madini kichwani nampenda kuzid ata mbunge wangu
Na huyu speaker (mwenyekiti) HUWA ana sauti kama mstaafu job ndugai..
Genius kweli,pokea maua yako 💐🌹🌹❤️
Tukiwa n wabunge km Mh.Msukuma,kumi tuh tunaeza fika. Mbali
Hahaha hili lijamaa bhna hili eti tuweke mada kwenye TV tumeteme material tuone nani zaidi hahaha linajiamini balaa
Ukweli msukuma umeongea point Sana, Kuna watu wako kwa ajili ya upigaji tuu ndio maan wanatafuta kamati za ovyo vya kumpoteza mda na pesa
Mungu akujalie msukuma
Anapongezwa, waziri badala ya kuwapa pongezi wenye nchi walipao kodi,
mh musukuma weewe nikiongozi mwemaa❤
Siku zote wasukuma wana hakili ndogani munabisha sasa 😜
Goood msukuma
Eti sehemu ya kuogea mizimu🤣🤣
Hv mbunge wakilindi mbona hasikiki kabisa mabarabara mabovu Yupo kimya shida nn
Asante mungu wabariki viongozi wote wa tanzania
Hongera sana musukuma
Msukuma safi mtu akiingia kwenye 18 mpe hapohapo umenifurahisha sana
Naomba pokea Salam ZANGU na KWAMBA ninakufuatilia kila mara na kusema kweli umeupiga mwingi... NATAMANI SIKU MOJA NIKUTEMBELEE BUNGENI
Msukuma uko vzr sana
Nakupenda sana mpambanaji na msema ukweli
Msukuma hawawahi kuangusha😂
Kumbe namimi naweza kua Mubunge kama hali ndo hii duuu😢😢😮😮
❤❤Maua kwako msukuma maana unaongea fact sana huna pindapinda broo❤❤❤
Good nice
Kwan hapo bungen mbuge wa kalenga yupo kweli mbona simsikiii
Ngosha yupo vzr sana
Kazi nzuri
Mbona kisukari sana nahuyo jamaa hapo kutakuwa na kitu.
Mwambien awaongeze mshahara😂😂