Musukuma: "Faini ya Bodaboda iwe Elfu 2 au Buku I Rais Samia Ametoa Milioni 500 Kila Jimbo"
HTML-код
- Опубликовано: 13 июн 2021
- "Nampongeza sana Mheshimiwa Rais kwa kazi nzuri anayoendelea kuifanya lakini pia kwa usikivu, sisi wabunge tumekuwa na mambo mengi na tumelalamika kwa muda mfupi na kwa muda mchache aliokaa madarakani ameanza kutekeleza, kila mbunge hapa amepata milioni 500 kwenye jimbo."
"Nilikuwa najiuliza wachumi wetu mko namna gani, inawezekanaje bodaboda inayobeba abiria wawili inakuwa na faini sawa na basi linalobeba abiria 65, mimi nashauri hata hiyo elfu 10 bado ni nyingi tungeweka hata elfu 2, lengo letu sio faini, lengo ni kuwawezesha watu watoke kwenye bodaboda wanunue magari, hakuna mtu anapenda kuendesha bodaboda miaka 5 anaumia kifua. Tumeanza vizuri kwenye elfu 10 lakini nashauri tufikirie kwenda kwenye elfu mbili au hata "buku" kwani kuna shida gani, nchi ina pesa nyingi"
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates - Видеоклипы
musukuma namkubali san ,kama na we unamkubali msukuma gonga like ata mja
Nakukubali sana king msukuma, chapa kazi
Huyu baba mungu amlinde tu
Nakukubali Sana msukuma
Uyu msukuma mungu ambaliki sana
Jaman kusema ukwel msukuma nikiongonz wakuingwa ❤❤❤❤❤❤mungu akulinde
Kama kawaida mzee wa kutema madini. Penda sana Mh. Msukuma
Uko sawa. Mbunge wetu kwa icho
Asante sana Msukuma unastahir kuitwa professor
Musukuma upo vizuri
Point sana mh msukuma🤝
Akili mingi sana Msukuma
Musukuma hongera nakupenda sana piga kaz
Ubarikiwe msukuma nimependa sana
Nakupenda.sana.we.baba
Msukuma we jembe endelea hivyohvyo mungu atakusimamia
Hongera sana msukuma tukomboe
Hongera Kaka angu MH Msukuma umetiisha Kwa maelezo kuh mafutaaa
Huyu jamaaa mkumbuke nimtoto wa mkulima anajua maisha nini mungu akupe miaka 1000
msukuma Oye
Aweeeeee raisi
Fact
Msukuma unavyopambania wanachi hata mungu anapenda uongozi huo atakulinda Allah na kila lililo baya
Nikweli mweshimiwa msukuma bodaboda tupunguziwe faini
Msukuma katisha apo kwa bodaboda 🏍️🏍️🏍️
Sana musukuma umeongea vizuri mwanazengo dhahabu Mali zetu ni
Msukuma upo vizur
Mmmmh! Nilifikiri faini ni kwa ajili ya kuwafanya wawe makini kwenye kufanya makosa ya kizembe? Anyway kila mtu na mawazo yake!
Kweli machinga wengine wamesoma na wana vyeti lakini ajira hamna.
Musukuma nakuelewaga sana
Naomba gombea uraisi watanzania tunaku kubali sana
Kweli boda sio kazi... Kiukweli
Hunger msukuma kwa kuwatetea bodaboda
We jamaa mung akubalik pia uko mbelen uje kuwa rais utatetea sana wananch
Safi sana msukuma unique member of parliament
Hapo sawa ngosha
Pamoja msukuma
Msukuma unajua
Ila msukuma unaakili Sana sema bado hawajakugundua tu saf Sana hasa swala la fain za ngombe
Mihuwa na kukubali msukuma siku zote
Dad nikiona picha yako tu najuaga Ni wew...Nice
Msukuma uko 💯👍 unaipenda wana nchi yako san
Dah! Hili swala la faini sasa naona linapelekwa kisiasa zaidi kuliko kimkakati
Kweli Wah Madiwani walipwe mishahara na marupurupu ya pension kila miaka 5 sawa na Wah wabunge wao. Madiwani ndio mhimili mkubwa ktk kata.
Kwel
Safi sana msukuma 🎉🎉
Asante Msukuma
Bodaboda nao wajielew baadh yao wanatend makosa kusud n kusababisha madhara kwa raia
Msukuma were ni MZALENDO
Hapo kwenye faini sidhani kama Mheshimiwa amefafanua vizuri sababu ya kutoza faini! Faini sio njia ya kukusanya mapato tu bali ni kumuonyesha mtenda kosa ubaya wa jambo alilolifanya, sidhani kama kuna uhusiano wa ukubwa wa chombo na adhabu. Kama kuna watu hatari na wanaosababisha ajali za barabarani ni bodaboda na bajaji (baadhi).
Kumbuka hata ajila nyingi zipo bodaboda maana serikali haitoi ajila na hii ni zaidi ya miaka sita sasa
Harika tebrikler ❤❤
Wanaomchukia msukuma ndani ya bunge wote ni wezi tupu
Unaona mbali sana kodi zikipanda matajiri watahamia nchi za jirani je kutakuwa naongezeko lakodi au!!
Pamoja sana
Msukuma uko sawa wambie
Uweeeeeeeee raisi mama na wengne makumaaaaàà
musukuma wew ndo Mbunge humo ndani mwenye akili peke akoo hao wengine ni ............ 😢
Yaaani musukuma ana akil nyingi kama redio ya mbao
Msuka nakukubali Sana unajua shida za watu
hakika mheshiwa msukum MUNGU alikuandaaa kutetea viumbe wakoo
Very talented MP much respect 2 u
Mbona wananchi ni maskini hoehae.
.Wakilipa buku watavunja sheria sana na ajali zitakuwa nyingi.
👏👏👏👏👏👏👏
@fettychina
Mheshimiwa Kasheku Msukuma ktk Mchango Wako Hapo Kwenye Ng'ombe kwa Kweli Umechemsha.
Haiwezekani Ng'ombe Waingizwe Mbugani Halafu waachwe.(Wtachwe tu.
uyu jamaa angepewa nafasi ya uwazirii yuko vizuri sana tena uwazirii mkuu siku yoyote
Hiki kitulia bn
sikuzote msukuma noma sana
Njooooo nanyumbu hao makumaaaaaaaà usimwachishe.
Njooooooo mtombe mpaka mariuumm
Hawa jamaa ni wezi tu hapo mnakwepa kikokotoo tu
Bado police wanakamata kwa mfano maeneo wanayokama ni Tazara na mataa ya veta kalibu na sheli ya oil com . je bunge mnalifikiliaje juu ya hilo Rais mama samia mimi pia Bodaboda inanuhuma sana
Namkunali sana mbunge msukuma unaongea pwenti tupo nambie hao
Msukuma ni miongoni mwa wabunge walio na akili nyingi sana kuliko elimu yao. This guy is very well exposed. Ni wazo zuri sana kuzuia magari kuingia eneo lote lililo karibu na Kariakoo sokoni. Maeneo ya sokoni kisiingie chombo cha moto.well done MSukuma
Yaan msukuma weunatakiw uwe rahisi wa Tanzania,wenikama magufuli tuu
Ukosahihi,msukuma ni jiniazi
Hahahaha msukuma noma akili nyingi sana
🥺🥺🥺🥺🥺🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Safiii failiniI've 2000 mimi ni katibu wa boda singinda mungu akubariki kariba singida
Vizur sana upo makn sana ongeren sana jamn.mwombeen huyu mbunge wenu
Yupo Saw msukuma na anafaa uongoz mkumbwa hap Bungen hat uwazi au supika
Anatakiw kuw rahisi wa nchi hii
Bodaboda ndo inafanya polisi kuwa wababe
😅
Taf wah wabunge pamoja na kuwatetea bodaboda ebu pia wakemewe waache wizi WA kukwapua Mali za watu barabarani na matendo maovu waliyo nayo mf ubakaju na mauaji hs wale ma_day workers ! Wakemewe waache kabisaaa
😂😂😂😂😂😂😂
Dogo
Hawa boda boda ukiwaekea fain ya buku, wataingia nazo mpaka ikulu😂😂😂
Kwa hiyo mtasubscribe channel yangu au nijiue
Jiue ila kabla ya kujiua chimba kaburi,nunua jeneza,nunua suti,uwalipe watu wa kuosha maiti na pia unitumie pesa ya kuendeshea msiba ili watu wasipate shida msibani
Kufa tu jinyonge na buibui
@@davidjames8345 👏👏👏 kaka nakujengea sanamu lako
Jiue
Safi ngoxha
Fact