Kisa Wasanii, Msukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июн 2019
  • Kisa Wasanii, Musukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa
    MSUKUMA Alivyoibua SHANGWE Kwa WASANII, Ailipua TRA Kwa JPM
    Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Joseph Kasheku Msukuma ameibua shangwe katika kikao cha wafanyabiashara kilichofanyika ikulu na Rais Magufuli kwa kusema "Mimi ni balozi wa wasanii hapa nchini, wasanii wanaazungushwa na kusumbuliwa sana.
    #MSUKUMA#JPM
    /GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 59

  • @deograthiusalphonce6977
    @deograthiusalphonce6977 5 лет назад +13

    Akili ya kuzaliwa ya Kisukuma

    • @venancemagodi5913
      @venancemagodi5913 5 лет назад +2

      Kwakweli kuwa wazili sikujuwa kuongea ,hongela msukuma:

  • @punguwasasa7975
    @punguwasasa7975 5 лет назад +6

    Maana unavyojilipua kwa ukaribu sana na kufatilia sema ulishatuacha pale kwenye ngo'mbe,ukaenda kwenye madini akuenda kwenye mabasi ukamalizia CD ndo ikawa kwikwi apo ila uko nyuma pia kwikwi mh kweli msukuma upo vizuri ulivyopangilia asee Allah akulinde na husda na akupe mwisho mwema msukuma kwa kuongea ukweli kutoka moyoni inshaallah

  • @fidelismukandara932
    @fidelismukandara932 5 лет назад +5

    Safi Sana'a Msukumaa true definition of leader

  • @zenaamani371
    @zenaamani371 5 лет назад +13

    Kwa kweli Wafanyabiashara wengi wamefunga biashara kwa sababu ya watu wa TRA.

  • @deusmgema1204
    @deusmgema1204 5 лет назад +16

    Msukuma uko vizuri unauwezo mkubwa wa kutengeneza hoja na kuisimamia hongera sana

  • @yangoshatv5327
    @yangoshatv5327 5 лет назад +6

    bado hawajauheshimu uongozi uncle magu

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 5 лет назад +7

    Yaani ni kweli kabisa uonevu ili wachukue hela,hawana fair tena wanakwambia nenda hata kwa waziri.

  • @ALOYCE007
    @ALOYCE007 5 лет назад +7

    Msukuma asante kabisa

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 лет назад +4

    Watanzania wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu kwa mwenyez MUNGU azidi kuwaongoza vyema

  • @user-cl2jr3re4s
    @user-cl2jr3re4s 5 лет назад +5

    Thanx President magu bless you 😁

  • @fabianfaustine444
    @fabianfaustine444 5 лет назад +7

    Wekeni vijana haya mazee yameishanyonya sana Mali za watu

  • @gottacheckintorehab7697
    @gottacheckintorehab7697 5 лет назад +3

    Kumbe magu ana hotel 😱😱😱😰

  • @augustinomwakanyamale9887
    @augustinomwakanyamale9887 5 лет назад +1

    Mungu akulinde mh raisi

  • @binlubawa8387
    @binlubawa8387 5 лет назад +1

    Mungu akuweke Mh. Rais

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 5 лет назад +11

    Msukuma pamoja na kuwa darasa la saba, ningekuwa na uwezo ungekuwa waziri angalau uwe wa mifugo

  • @nyanziratatou5404
    @nyanziratatou5404 Месяц назад

    Huwa Kuna mda niache kuangaliya izi video , napatwa na uchungu sana.

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 5 лет назад +3

    Amen

  • @zakiazakia4552
    @zakiazakia4552 5 лет назад +4

    Watumbue kabisaa

  • @kelvinmarisi6825
    @kelvinmarisi6825 5 лет назад +2

    Big up msukuma

  • @athumandoka9168
    @athumandoka9168 5 лет назад +4

    Daaa uyu jamaa angekua mkoani kwangu hasimami tena jukwaani kura yangu ingekua ya milele

  • @yasinjumahamis6267
    @yasinjumahamis6267 10 месяцев назад

    Nakubar sana msukuma

  • @user-gy3bv7nm7d
    @user-gy3bv7nm7d 2 месяца назад

    Haya tutayamisi sana kuyaona dah Rip magu

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 2 года назад

    Hiii speech iendeleee iwekenii yotee

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel9576 5 лет назад +2

    It's better Rais akateua watu walio na uchungu na hii nchi sio wapigaji tu ..kuna wasomi vijana wengi tupo tu mtaani tuna hasira na maendeleo ya nchi yetu...wazee waliostaafu achana nao kidogo

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 4 месяца назад

    Baadhi ya watendaji wa serikali ni ovyoo

  • @josekaze7710
    @josekaze7710 2 года назад

    Thats why I said Musukuma his new president off Tanzania.

  • @manenoalex7453
    @manenoalex7453 5 лет назад +3

    umenena king hao T E R wanasumbua xna tena xna hasa ifakara

    • @neemalaizer1871
      @neemalaizer1871 5 лет назад

      Maneno Alex I will 8m:yy:y77th :676;u7777777:9# to get get 7u

  • @allymahamudu9492
    @allymahamudu9492 3 года назад +1

    Ujumbe umefika

  • @punguwasasa7975
    @punguwasasa7975 5 лет назад +3

    Msukuma inabid upewe uwaziri wa biashala

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 4 года назад

    😎

  • @user-ds5iw1ok1w
    @user-ds5iw1ok1w 4 месяца назад

    Emanuel saimon kasongj

  • @emanuelmuna2296
    @emanuelmuna2296 5 лет назад

    kwa kweli TRA ni kero sana! mh. Rais pole sana maana hawa walishazoea kupiga dili kuna uchafu mwingi sana kungekuwa na uwezekano ukawasikiliza na wafanyabiashara wa kati ungejua madudud mengi zaid ushaur wa msukuma kuweka jeshi ni sahihi kabisa! walau kwa mwez mmoja tu!!

  • @zackrichard3617
    @zackrichard3617 5 лет назад +1

    👏👏👏👍👍👍👍👍

    • @tomaskijigo8341
      @tomaskijigo8341 5 лет назад

      Kweli

    • @tomaskijigo8341
      @tomaskijigo8341 5 лет назад +2

      Kweli muzee magafuri nakukubari

    • @uswegemwakyusa3950
      @uswegemwakyusa3950 5 лет назад

      Umenena mr Msukuma, inasikitisha sana kuona jambo linaloleta maendeleo linapingwa na watu wachache...iyo idara ichunguzwe

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 3 года назад

    Jembe hili

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent6532 5 лет назад +1

    Musukuma nakupenda sana ispokua bangi tu ndiyo naipinga ktk maoni yako.

    • @mrope348
      @mrope348 5 лет назад +2

      Bangi ni dawa ndio inampa misimamo yakutoa nondo zote hizo, bangi ni mmea mtakatifu believe or not

    • @leilainnocent6532
      @leilainnocent6532 5 лет назад +1

      @@mrope348 no way

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 5 лет назад +1

      @@mrope348 kweli

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 5 лет назад +1

      @@mrope348 that's true👏

  • @jumannejuma4796
    @jumannejuma4796 2 года назад

    turiomariza darasa rasaba tunajitaidi kupembua mambo makubwa tena mazito tunauhujasiri natena tunaweza Kira jambo zito josefu msukuma unatosha sana

  • @godfreypaulo236
    @godfreypaulo236 5 лет назад

    Hapo umeongea msukuma

  • @menicomichael9345
    @menicomichael9345 5 лет назад +1

    Uyo jamaa wa pemben kwa msukuma ananyonga jicho

  • @niokoemahenge4312
    @niokoemahenge4312 3 года назад

    Kitu msukuma

  • @tomaskijigo8341
    @tomaskijigo8341 5 лет назад +2

    Wee

  • @SmilingBowtieCat-yn2dm
    @SmilingBowtieCat-yn2dm 6 месяцев назад

    Zuchu

  • @binlubawa8387
    @binlubawa8387 5 лет назад +1

    Mungu akuweke Mh. Rais