Kwa kweli Gea na wenzako mnachokifanya Mwenyezi Mungu atawalipa na vizazi vyenu mbarikiwe sanasana mnagusa hisia za watu inafurahisha na kuhuwisha maisha ya watu
Kwakweli kipindi hiki kinaleta faraja sana kwa familia zetu, ila ningependa au kuomba serikali angalau wasapoti kipindi hiki kwa namna yoyote ile maana kinarejesha matumaini yaliyo potea katika familia zetu, salute kwenu clous media na watangazaji wote kwa ujumla mungu atawalipa msichoke kutenda mema
Ninawaomba hata wale waliokosa wazazi au watoto mngewaweka kwenye mitandao ili watu waendelee kutafutana maana inawezekana siku kipindi kinarushwa wengine wanakuwa hawapo ili kuwajua
Mm nasemaga kila siku wa bb wadizain hii wanafungu lao kwa MUNGU laatullah mnatesa watt mnaumiza watt kana kwamba unamkomoa mama bila kumjali mtt anahak za mama yake pia, nahata huyo alie potea itakuwa lengo nikumtafuta mama yake inaumiza sana , sasa bb huko uliko upewe unachostaili kwa huu unyama ulioufanya, na MUNGU alivyo fundi kwa roho zenu mbaya hizo huwa hamuna maisha marefu kwa laana zenu za kutesa watt
Hongera dada yetu wa mbamba bay tunakupenda sana dd hongera sana kwakuwapata watoto wako hakika Mungu hunaemtumikia hamekupa kibari Asante Mungu dada kampe Mungu hutukufu wake
Nilishawakutanisha mtu na dadake walopotezana zaidi ya miaka 35. Ilikuwa hivi, nilienda Moshi kufata Cheti changu chuo nikakosa hifadhi ya kulala, aliyenipa hifadhi ya kulala lazima akuchukue maelezo. Alifurahi kusikia natoka MARA akatamka WEWE KIJANA MUNGU KAKULETA HAPA. Kumbe kule dadake alikoolewa Mimi ndiko nakotokea, niliporudi nyumbani Yani haikupita wiki Moja nikampata dadake mpaka Leo wanawasiliana na dada alokaa miaka zaidi ya 35 bila kurudi nyumbani alienda Moshi kuwasalimia.
Zingine zina hisia kali wweeeee, lakini kile ule mama wakuumwa ni kifua,,, pamoja na kuugua lakini kuna lakini ,na vile ana watoto warembo, au hanajiurumia kwa kutofikia wanae na ilikua karibu tu, au kujihukumu moyoni, ila watu wameumbika tofauti
Dahuu naitwa Rajabu Juma nipo musoma mjini, nina umri wa miaka 29 namtafuta babu yangu mzaa mama, alikuwa anafanya kazi gereza la musoma mjini miaka ya 1971 hadi 1974 akahamia gereza la tarime kisha kuamishiwa jijini mwanza, mama angu ananiambiaga babu aliondoka akiwa na miaka minne 4, na anamfaham kwa jina moja anaitwa Lasuri ni mzaliwa wa moshi, kabila lake ni mpare namtafuta kwa muda mrefu sana babu yangu, aswa mama yangu mzazi anahamu sana ya kumuona baba yake
Wapenda nawapataje na mimi namtafuta baba yangu mzazi sijawah kumuona tangu nizaliwe na mama alifariki naishi na maumivu kwa muda sasa nisaidieni nipate
Kwa kweli Gea na wenzako mnachokifanya Mwenyezi Mungu atawalipa na vizazi vyenu mbarikiwe sanasana mnagusa hisia za watu inafurahisha na kuhuwisha maisha ya watu
Bint-Habibu na mwenzio Husna wallah kazi munayoifanya kuwaunganisha watoto na wazazi ALLAH atawalipa inshallah
Nimejikuta tu nalia..Mungu mpumzishe mamaangu pema peponi. Bhoke hongera sana kumpata Mama💖
Amen
Kwakweli kipindi hiki kinaleta faraja sana kwa familia zetu, ila ningependa au kuomba serikali angalau wasapoti kipindi hiki kwa namna yoyote ile maana kinarejesha matumaini yaliyo potea katika familia zetu, salute kwenu clous media na watangazaji wote kwa ujumla mungu atawalipa msichoke kutenda mema
Wakati Wa Mungu ni sahihi siku zote.
Mungu tusaidie wamama jamaniii,tusiachane na uzao wetu🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu awabariki sna CLOUDS F.M.hakika m'nafanya KITU kikubwa sna, JAMBO ZITOOOO 😭😭🙏🙏
Ninawaomba hata wale waliokosa wazazi au watoto mngewaweka kwenye mitandao ili watu waendelee kutafutana maana inawezekana siku kipindi kinarushwa wengine wanakuwa hawapo ili kuwajua
Hata bamdogo wa bhoke ni mstaarabu sana wabarikiwe
Hii radio station ni zaid ya radio mungu huonesha nuru palupo na nuru
Dah wamemiliza sana, hongereni sana kwa kuwakutanisha Mungu awabiriki.
Ila Geah anazeeka na uzuri wake
Nani ananimenyea vitunguu machoni, wamefanana sana
Nshalia sana
Hongereni sana clouds Mungu awatunze
Jmn tunaomba na Victor atafutwe Mungu awabariki😭😭😭
Mm nasemaga kila siku wa bb wadizain hii wanafungu lao kwa MUNGU laatullah mnatesa watt mnaumiza watt kana kwamba unamkomoa mama bila kumjali mtt anahak za mama yake pia, nahata huyo alie potea itakuwa lengo nikumtafuta mama yake inaumiza sana , sasa bb huko uliko upewe unachostaili kwa huu unyama ulioufanya, na MUNGU alivyo fundi kwa roho zenu mbaya hizo huwa hamuna maisha marefu kwa laana zenu za kutesa watt
Mungu awabarik,,, naomba mumtafute nahuyo victa
Hongera dada yetu wa mbamba bay tunakupenda sana dd hongera sana kwakuwapata watoto wako hakika Mungu hunaemtumikia hamekupa kibari Asante Mungu dada kampe Mungu hutukufu wake
Wame fanana sana na mama yake❤😢
No comment huyo ni mama yake hadi umbile ni mfanano. poleni kwa kukaa mbali kwa muda huo wote.
Good job clous
Kuweni na mpangilio mzuuri wa utoaji wa taarifa zenu
Nijambo jema sana mlilofikiria la kukutanisha mama na mwana
Baba mdogo hongera sana.
Kweli hii redio ni nzur ,,Mungu Wa mbinguni aendelee kuinua,,wakati WA Mungu ni sahihii🎉🎉🎉
Kiukweli claudhi Mungu awape maisha malefu pia mwezi 1 hautoshi jamani
Mungu awajalie na victor wampate
Baba mdogo Mungu akujalie kwa kazi njema
Nawapongeza sana clouds.Jambo mnalofanya ni kubwa sana naomba serikali itambue mchango wenu kwa jamii.
Wamefanana sana Mashallah ❤
Jamani na mm namtafuta mjomba angu Toka atoke nyumbn 2018 hadi leo hajui aliko Wala mawasiliano hatuna
Mungu awakumbuke watt ambayo hajui wazazi wao wako wapi.
Nilishawakutanisha mtu na dadake walopotezana zaidi ya miaka 35. Ilikuwa hivi, nilienda Moshi kufata Cheti changu chuo nikakosa hifadhi ya kulala, aliyenipa hifadhi ya kulala lazima akuchukue maelezo. Alifurahi kusikia natoka MARA akatamka WEWE KIJANA MUNGU KAKULETA HAPA. Kumbe kule dadake alikoolewa Mimi ndiko nakotokea, niliporudi nyumbani Yani haikupita wiki Moja nikampata dadake mpaka Leo wanawasiliana na dada alokaa miaka zaidi ya 35 bila kurudi nyumbani alienda Moshi kuwasalimia.
MNGU wetu ni mwema yote hayo ni makaudi yake ili wakutane tu
Mda mwingine nawazag nikwel aya yapo asant mung kwakuniwekea wazaz wang daaa
😢😢mi Baba wadogo zangu hata hakuwaleta kwenye msiba wa mama
Jaman naombeni namba namim natafuta ndugu wa baba angu
Jamani kwakweli Mungu aitwe Mungu najikuta natoa machozi 😭🙏🏼🇲🇿
Hongera baba mdogo kwa ulezi❤❤❤❤
Kafanana na mwanae jamani
Bamdogo maashaallah. Allah atakulipa kwa ulexi
Daah clouds kweli inafungua Dunia huu nizaidi ya ubunifu ongereni sana endeleeni kusaidia watu
Nimelia mno jamn mungu awalinde wazazi wetu
Hivi process za kutaft mtu inakuwaj unaenda redion au kweny account zao
Asante sana
Malia jamani! Mungu awabariku
Nimelia kama mm ndo bhoke
Yaan Mimi nimelia Mpaka wananishangaa
@@deborahmchona5584😂😂😂ata mimi mpaka nimejiona kajinga
Hata mimi❤
Daaah sana aisee
Du walimtesa sana mama huyu kumnyanganya watoto wawili tena wadogo,huyo baba alikua katili,na mama alien muozesha pia,
Ukitaka jua Sura asili za mtu mwambie alie. Mama Amelia nikaona Sura zimebadilika tofauti na alipokua hajalia.Mungu mkubwa kweli.
Siku zote mungu awalipe Kwa msaada huu
Wamefanana sana jaman
😢😢😢gea na wenzako Mungu awalipe kheri
Sauti za wapiga story
Kumbe wakurya wote huwa mnaozeshwa na mama zenu
Zingine zina hisia kali wweeeee, lakini kile ule mama wakuumwa ni kifua,,, pamoja na kuugua lakini kuna lakini ,na vile ana watoto warembo, au hanajiurumia kwa kutofikia wanae na ilikua karibu tu, au kujihukumu moyoni, ila watu wameumbika tofauti
Jaman mie hiki kipindi hadi kiishe nitakua nimevimba macho😭😭😭😭
Yani we acha atuu😢
Yaaani basi tu
Nawashukuru san wazaz wang kua pamoja had leo
Natamani na mimi iwe kama ndoto mamaangu niweze kumuona tena mana napitia maumivu makali bila mama siwezi😢😢
imeshindwa kuzuia machozi wallah
Pumnzika kwa Amani Mama yngu
Nikimuona malehemu mze nguzo na uyu mwanae nakumbumbuka mbali sana
Baba Mudogo Katuliya Sana❤
Asante
Baba mdogo mauwa 🎉🎉🎉
Dah nimejisikia huzuni sana
Jamani hawa waandishi wana jicho gumu hata chozi
Wamezoea tena. Wamelia sana sana tena
Mtt wake wakiume hayupo mungu wangu
Wakurya, wachaga na wahaya huleta maumivu sana haswa ndoa/mahusiano zinapivunjika, kwa sababu ya mila na itikadi za kipumbavu
Mama sisi hatuachi Mali yetu nje acha kutulaumu
😂😂😂@@wamburasungura6812
Dahuu naitwa Rajabu Juma nipo musoma mjini, nina umri wa miaka 29 namtafuta babu yangu mzaa mama, alikuwa anafanya kazi gereza la musoma mjini miaka ya 1971 hadi 1974 akahamia gereza la tarime kisha kuamishiwa jijini mwanza, mama angu ananiambiaga babu aliondoka akiwa na miaka minne 4, na anamfaham kwa jina moja anaitwa Lasuri ni mzaliwa wa moshi, kabila lake ni mpare namtafuta kwa muda mrefu sana babu yangu, aswa mama yangu mzazi anahamu sana ya kumuona baba yake
alhamis hii wewe na mama yako sikilizen leo tena kuna fursa ya wanaowatafuta baba zao,labda mtaweza tuma voice note
Wamefanana mno❤😢
Jamani cloud mnajua kuniliza
Hiyo saut nyingine inaboa
Nimelia sana
Mungu awabariki sana
Hiki ni kipindi bora kuliko vyote
Baba mdogo ana hekima
mambo ya muhimu lakini bado back stage sauti ipo juu
Nimelia kwakweli
mungu awabariki mnoooooo mnooooo
Mama Bado kijanaa mwenyewe
Wamefanana sana 😢
Clouds 🔥🔥
Wapenda nawapataje na mimi namtafuta baba yangu mzazi sijawah kumuona tangu nizaliwe na mama alifariki naishi na maumivu kwa muda sasa nisaidieni nipate
Ulitakiwa ujieleze
Mimi nipo kenya🇰🇪 heko sana tena sana cloud fm kwa kazi mnayoifanya tz 🇹🇿kiukweli mko mbele e mola awabaliki👍👆👆
Kwakweli vitunguu vinawasha machoni machozi yanatoka tuuu
Hawa askari police mbona kama wana shida sana?
Mungu awabariki jamani
Da mungu ni mwema,
😢😢😢😢haki kweli mum ana nguvu
Daah hii redio ni zaidi ya redio.
Duuuuu 😢😢😢
Ba mdogo pia aheshimike sana
😭Machozi yame nitoka wallah
Wanaume ni baba zetu ni watoto wetu tunawazaa kwa uchungu lkn nyinyi ndio mnatufikisha hapa😢😢 naumia sana wallah😭😭
Sasa baba anakosa gani na hatujasikia upande wake na Alisha fariki
Mungu mkubwa hata mimi nimetokwa na mchozi sijui niseme ni yafuraha au ya huzuni
Wamama tujifunze kitu
Sauti zinaingiliana na za efm
Bhoke amaefanana na mama yake
Tunaomben mawasiliano jaman tuna shida
Jamani Damu ya mtu haipoteagi milele
Wamefanana
Mungu watu nimwema siku zote
Anafanana na mamake
Hiki kipindi kinasikitisha sana