Nilipotezana na mama yangu miaka 23 iliyopita | Bhoke Nimeolewa nina watoto watatu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 165

  • @hellenlimo3208
    @hellenlimo3208 4 месяца назад +16

    Kwa kweli Gea na wenzako mnachokifanya Mwenyezi Mungu atawalipa na vizazi vyenu mbarikiwe sanasana mnagusa hisia za watu inafurahisha na kuhuwisha maisha ya watu

  • @RamadhanMohamedi-j3d
    @RamadhanMohamedi-j3d 3 месяца назад +2

    Bint-Habibu na mwenzio Husna wallah kazi munayoifanya kuwaunganisha watoto na wazazi ALLAH atawalipa inshallah

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 4 месяца назад +10

    Nimejikuta tu nalia..Mungu mpumzishe mamaangu pema peponi. Bhoke hongera sana kumpata Mama💖

    • @Gersah
      @Gersah 4 месяца назад

      Amen

  • @zachariasimkanzye445
    @zachariasimkanzye445 Месяц назад

    Kwakweli kipindi hiki kinaleta faraja sana kwa familia zetu, ila ningependa au kuomba serikali angalau wasapoti kipindi hiki kwa namna yoyote ile maana kinarejesha matumaini yaliyo potea katika familia zetu, salute kwenu clous media na watangazaji wote kwa ujumla mungu atawalipa msichoke kutenda mema

  • @anorldmarandu4725
    @anorldmarandu4725 4 месяца назад +15

    Wakati Wa Mungu ni sahihi siku zote.

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 4 месяца назад +6

    Mungu tusaidie wamama jamaniii,tusiachane na uzao wetu🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu awabariki sna CLOUDS F.M.hakika m'nafanya KITU kikubwa sna, JAMBO ZITOOOO 😭😭🙏🙏

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 4 месяца назад +26

    Ninawaomba hata wale waliokosa wazazi au watoto mngewaweka kwenye mitandao ili watu waendelee kutafutana maana inawezekana siku kipindi kinarushwa wengine wanakuwa hawapo ili kuwajua

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 4 месяца назад +8

    Hata bamdogo wa bhoke ni mstaarabu sana wabarikiwe

  • @alfamgayatv872
    @alfamgayatv872 4 месяца назад +13

    Hii radio station ni zaid ya radio mungu huonesha nuru palupo na nuru

  • @janetmushi4689
    @janetmushi4689 4 месяца назад +2

    Dah wamemiliza sana, hongereni sana kwa kuwakutanisha Mungu awabiriki.

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 4 месяца назад +11

    Ila Geah anazeeka na uzuri wake

  • @lusticabernad9982
    @lusticabernad9982 4 месяца назад +12

    Nani ananimenyea vitunguu machoni, wamefanana sana

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 2 месяца назад

    Hongereni sana clouds Mungu awatunze

  • @faridabilly379
    @faridabilly379 4 месяца назад +4

    Jmn tunaomba na Victor atafutwe Mungu awabariki😭😭😭

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 4 месяца назад +5

    Mm nasemaga kila siku wa bb wadizain hii wanafungu lao kwa MUNGU laatullah mnatesa watt mnaumiza watt kana kwamba unamkomoa mama bila kumjali mtt anahak za mama yake pia, nahata huyo alie potea itakuwa lengo nikumtafuta mama yake inaumiza sana , sasa bb huko uliko upewe unachostaili kwa huu unyama ulioufanya, na MUNGU alivyo fundi kwa roho zenu mbaya hizo huwa hamuna maisha marefu kwa laana zenu za kutesa watt

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 4 месяца назад

    Mungu awabarik,,, naomba mumtafute nahuyo victa

  • @HappyKaboma
    @HappyKaboma 4 месяца назад

    Hongera dada yetu wa mbamba bay tunakupenda sana dd hongera sana kwakuwapata watoto wako hakika Mungu hunaemtumikia hamekupa kibari Asante Mungu dada kampe Mungu hutukufu wake

  • @AminaJuma-r4y
    @AminaJuma-r4y 4 месяца назад +14

    Wame fanana sana na mama yake❤😢

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 4 месяца назад +4

    No comment huyo ni mama yake hadi umbile ni mfanano. poleni kwa kukaa mbali kwa muda huo wote.

  • @ABDULShq-wv6st
    @ABDULShq-wv6st 3 месяца назад

    Good job clous

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 4 месяца назад +4

    Kuweni na mpangilio mzuuri wa utoaji wa taarifa zenu

  • @salimngajoga3407
    @salimngajoga3407 4 месяца назад

    Nijambo jema sana mlilofikiria la kukutanisha mama na mwana

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 4 месяца назад +2

    Baba mdogo hongera sana.

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 4 месяца назад

    Kweli hii redio ni nzur ,,Mungu Wa mbinguni aendelee kuinua,,wakati WA Mungu ni sahihii🎉🎉🎉

  • @KaniOfficio-lk1rk
    @KaniOfficio-lk1rk 4 месяца назад

    Kiukweli claudhi Mungu awape maisha malefu pia mwezi 1 hautoshi jamani

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 4 месяца назад +1

    Mungu awajalie na victor wampate

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 4 месяца назад

    Baba mdogo Mungu akujalie kwa kazi njema

  • @pamelafidelis6102
    @pamelafidelis6102 4 месяца назад +1

    Nawapongeza sana clouds.Jambo mnalofanya ni kubwa sana naomba serikali itambue mchango wenu kwa jamii.

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 4 месяца назад +2

    Wamefanana sana Mashallah ❤

  • @MiriamEzekiel-d1p
    @MiriamEzekiel-d1p 3 месяца назад

    Jamani na mm namtafuta mjomba angu Toka atoke nyumbn 2018 hadi leo hajui aliko Wala mawasiliano hatuna

  • @Gloriousministriesforallnation
    @Gloriousministriesforallnation 4 месяца назад

    Mungu awakumbuke watt ambayo hajui wazazi wao wako wapi.

  • @chachawambura4030
    @chachawambura4030 4 месяца назад +3

    Nilishawakutanisha mtu na dadake walopotezana zaidi ya miaka 35. Ilikuwa hivi, nilienda Moshi kufata Cheti changu chuo nikakosa hifadhi ya kulala, aliyenipa hifadhi ya kulala lazima akuchukue maelezo. Alifurahi kusikia natoka MARA akatamka WEWE KIJANA MUNGU KAKULETA HAPA. Kumbe kule dadake alikoolewa Mimi ndiko nakotokea, niliporudi nyumbani Yani haikupita wiki Moja nikampata dadake mpaka Leo wanawasiliana na dada alokaa miaka zaidi ya 35 bila kurudi nyumbani alienda Moshi kuwasalimia.

    • @JaneBihagala
      @JaneBihagala 4 месяца назад

      MNGU wetu ni mwema yote hayo ni makaudi yake ili wakutane tu

  • @HappyAsajile
    @HappyAsajile 4 месяца назад +5

    Mda mwingine nawazag nikwel aya yapo asant mung kwakuniwekea wazaz wang daaa

    • @HusnaSharifu
      @HusnaSharifu 4 месяца назад

      😢😢mi Baba wadogo zangu hata hakuwaleta kwenye msiba wa mama

  • @jamilamsafiri2501
    @jamilamsafiri2501 4 месяца назад

    Jaman naombeni namba namim natafuta ndugu wa baba angu

  • @djcashwanakidiry9158
    @djcashwanakidiry9158 4 месяца назад +1

    Jamani kwakweli Mungu aitwe Mungu najikuta natoa machozi 😭🙏🏼🇲🇿

  • @ZekaniS
    @ZekaniS 4 месяца назад +1

    Hongera baba mdogo kwa ulezi❤❤❤❤

  • @caritaskabyemela1530
    @caritaskabyemela1530 4 месяца назад +7

    Kafanana na mwanae jamani

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 4 месяца назад

    Bamdogo maashaallah. Allah atakulipa kwa ulexi

  • @OmarySamata
    @OmarySamata 4 месяца назад

    Daah clouds kweli inafungua Dunia huu nizaidi ya ubunifu ongereni sana endeleeni kusaidia watu

  • @Denatha50
    @Denatha50 4 месяца назад

    Nimelia mno jamn mungu awalinde wazazi wetu

  • @madammbago9787
    @madammbago9787 4 месяца назад

    Hivi process za kutaft mtu inakuwaj unaenda redion au kweny account zao

  • @sengendotwaha9333
    @sengendotwaha9333 4 месяца назад

    Asante sana

  • @SharifaMohammed-el3ug
    @SharifaMohammed-el3ug 4 месяца назад

    Malia jamani! Mungu awabariku

  • @Neemaismaily-kb4ho
    @Neemaismaily-kb4ho 4 месяца назад +23

    Nimelia kama mm ndo bhoke

    • @deborahmchona5584
      @deborahmchona5584 4 месяца назад +1

      Yaan Mimi nimelia Mpaka wananishangaa

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 4 месяца назад

      ​@@deborahmchona5584😂😂😂ata mimi mpaka nimejiona kajinga

    • @Peace-x6s
      @Peace-x6s 4 месяца назад

      Hata mimi❤

    • @OmarySamata
      @OmarySamata 4 месяца назад

      Daaah sana aisee

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 4 месяца назад

    Du walimtesa sana mama huyu kumnyanganya watoto wawili tena wadogo,huyo baba alikua katili,na mama alien muozesha pia,

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 4 месяца назад +2

    Ukitaka jua Sura asili za mtu mwambie alie. Mama Amelia nikaona Sura zimebadilika tofauti na alipokua hajalia.Mungu mkubwa kweli.

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya 4 месяца назад

    Siku zote mungu awalipe Kwa msaada huu

  • @valentinamjindo5374
    @valentinamjindo5374 4 месяца назад

    Wamefanana sana jaman

  • @HusnaSharifu
    @HusnaSharifu 4 месяца назад

    😢😢😢gea na wenzako Mungu awalipe kheri

  • @ahmedronga7583
    @ahmedronga7583 4 месяца назад +1

    Sauti za wapiga story

  • @edvinaselestine712
    @edvinaselestine712 3 месяца назад

    Kumbe wakurya wote huwa mnaozeshwa na mama zenu

  • @Mamas-06k
    @Mamas-06k 4 месяца назад

    Zingine zina hisia kali wweeeee, lakini kile ule mama wakuumwa ni kifua,,, pamoja na kuugua lakini kuna lakini ,na vile ana watoto warembo, au hanajiurumia kwa kutofikia wanae na ilikua karibu tu, au kujihukumu moyoni, ila watu wameumbika tofauti

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 4 месяца назад +3

    Jaman mie hiki kipindi hadi kiishe nitakua nimevimba macho😭😭😭😭

  • @ibraoman2745
    @ibraoman2745 4 месяца назад

    Nawashukuru san wazaz wang kua pamoja had leo

  • @jolyPoly-qm9fb
    @jolyPoly-qm9fb 4 месяца назад

    Natamani na mimi iwe kama ndoto mamaangu niweze kumuona tena mana napitia maumivu makali bila mama siwezi😢😢

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 4 месяца назад +4

    imeshindwa kuzuia machozi wallah

  • @skilindaissa5441
    @skilindaissa5441 4 месяца назад

    Pumnzika kwa Amani Mama yngu

  • @abasiabdulabi5430
    @abasiabdulabi5430 4 месяца назад +1

    Nikimuona malehemu mze nguzo na uyu mwanae nakumbumbuka mbali sana

  • @AngeKazege-sy1ok
    @AngeKazege-sy1ok 4 месяца назад

    Baba Mudogo Katuliya Sana❤

  • @IgnasiaNdunguru-hr5ep
    @IgnasiaNdunguru-hr5ep 4 месяца назад +1

    Asante

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 4 месяца назад

    Baba mdogo mauwa 🎉🎉🎉

  • @lucypatrick7830
    @lucypatrick7830 4 месяца назад

    Dah nimejisikia huzuni sana

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 4 месяца назад +1

    Jamani hawa waandishi wana jicho gumu hata chozi

    • @mshambaused3840
      @mshambaused3840 4 месяца назад

      Wamezoea tena. Wamelia sana sana tena

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 4 месяца назад +1

    Mtt wake wakiume hayupo mungu wangu

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 4 месяца назад

    Wakurya, wachaga na wahaya huleta maumivu sana haswa ndoa/mahusiano zinapivunjika, kwa sababu ya mila na itikadi za kipumbavu

    • @wamburasungura6812
      @wamburasungura6812 4 месяца назад

      Mama sisi hatuachi Mali yetu nje acha kutulaumu

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 4 месяца назад

      😂😂😂​@@wamburasungura6812

  • @RajabJuma-e9e
    @RajabJuma-e9e 4 месяца назад

    Dahuu naitwa Rajabu Juma nipo musoma mjini, nina umri wa miaka 29 namtafuta babu yangu mzaa mama, alikuwa anafanya kazi gereza la musoma mjini miaka ya 1971 hadi 1974 akahamia gereza la tarime kisha kuamishiwa jijini mwanza, mama angu ananiambiaga babu aliondoka akiwa na miaka minne 4, na anamfaham kwa jina moja anaitwa Lasuri ni mzaliwa wa moshi, kabila lake ni mpare namtafuta kwa muda mrefu sana babu yangu, aswa mama yangu mzazi anahamu sana ya kumuona baba yake

    • @salmangwila8062
      @salmangwila8062 4 месяца назад

      alhamis hii wewe na mama yako sikilizen leo tena kuna fursa ya wanaowatafuta baba zao,labda mtaweza tuma voice note

  • @careenlouis8563
    @careenlouis8563 4 месяца назад

    Wamefanana mno❤😢

  • @JackMalima
    @JackMalima 4 месяца назад

    Jamani cloud mnajua kuniliza

  • @HildaMlay
    @HildaMlay 4 месяца назад

    Hiyo saut nyingine inaboa

  • @rehemamangara6795
    @rehemamangara6795 4 месяца назад

    Nimelia sana

  • @BahatiSego
    @BahatiSego 4 месяца назад

    Mungu awabariki sana

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 4 месяца назад +2

    Hiki ni kipindi bora kuliko vyote

  • @EMANUELMgaya
    @EMANUELMgaya 4 месяца назад

    mambo ya muhimu lakini bado back stage sauti ipo juu

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 4 месяца назад

    Nimelia kwakweli

  • @wilddogztz3101
    @wilddogztz3101 4 месяца назад

    mungu awabariki mnoooooo mnooooo

  • @JackMalima
    @JackMalima 4 месяца назад

    Mama Bado kijanaa mwenyewe

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 4 месяца назад

    Wamefanana sana 😢

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 4 месяца назад

    Clouds 🔥🔥

  • @EvaMalijo-wb2vs
    @EvaMalijo-wb2vs 4 месяца назад

    Wapenda nawapataje na mimi namtafuta baba yangu mzazi sijawah kumuona tangu nizaliwe na mama alifariki naishi na maumivu kwa muda sasa nisaidieni nipate

  • @eliudnjenga9385
    @eliudnjenga9385 4 месяца назад

    Mimi nipo kenya🇰🇪 heko sana tena sana cloud fm kwa kazi mnayoifanya tz 🇹🇿kiukweli mko mbele e mola awabaliki👍👆👆

  • @JohnBaruti-m2k
    @JohnBaruti-m2k 4 месяца назад

    Kwakweli vitunguu vinawasha machoni machozi yanatoka tuuu

  • @RebecaMackenzi
    @RebecaMackenzi 4 месяца назад

    Hawa askari police mbona kama wana shida sana?

  • @felistafundi4559
    @felistafundi4559 4 месяца назад

    Mungu awabariki jamani

  • @PendoUrassa-xm7ru
    @PendoUrassa-xm7ru 4 месяца назад

    Da mungu ni mwema,

  • @mamuumamuu7743
    @mamuumamuu7743 4 месяца назад

    😢😢😢😢haki kweli mum ana nguvu

  • @JumaDea
    @JumaDea 4 месяца назад

    Daah hii redio ni zaidi ya redio.

  • @IreneMasunzu
    @IreneMasunzu 4 месяца назад

    Duuuuu 😢😢😢

  • @PendoUrassa-xm7ru
    @PendoUrassa-xm7ru 4 месяца назад

    Ba mdogo pia aheshimike sana

  • @ShadyAbdallah-vu7iu
    @ShadyAbdallah-vu7iu 4 месяца назад

    😭Machozi yame nitoka wallah

  • @norakaima1644
    @norakaima1644 4 месяца назад

    Wanaume ni baba zetu ni watoto wetu tunawazaa kwa uchungu lkn nyinyi ndio mnatufikisha hapa😢😢 naumia sana wallah😭😭

    • @wamburasungura6812
      @wamburasungura6812 4 месяца назад

      Sasa baba anakosa gani na hatujasikia upande wake na Alisha fariki

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 4 месяца назад +4

    Mungu mkubwa hata mimi nimetokwa na mchozi sijui niseme ni yafuraha au ya huzuni

  • @assumptamwilanga5504
    @assumptamwilanga5504 4 месяца назад

    Wamama tujifunze kitu

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 4 месяца назад +1

    Sauti zinaingiliana na za efm

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 4 месяца назад +1

    Bhoke amaefanana na mama yake

  • @ClaraMakoye
    @ClaraMakoye 3 месяца назад

    Tunaomben mawasiliano jaman tuna shida

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 4 месяца назад

    Jamani Damu ya mtu haipoteagi milele

  • @DeboraChediely
    @DeboraChediely 4 месяца назад

    Wamefanana

  • @azeezaya8510
    @azeezaya8510 4 месяца назад

    Mungu watu nimwema siku zote

  • @janemhangomhango5841
    @janemhangomhango5841 4 месяца назад

    Anafanana na mamake

  • @AnethVenansi
    @AnethVenansi 4 месяца назад +1

    Hiki kipindi kinasikitisha sana