Kma mtu una akili timamu asaa na unamuamini Mungu huwez kuamini ujingaa kma huu ata kwa bahati mbaya cz hakuna kitu kma hicho kua mtu afe hlf kafufuka agh hakuna kitu kma hicho
@@abduljaffar875 mpaka uwe ni mwenye kukubali kuwa kuna Mungu mkuu anaewapenda bunadamu wote na kuwarudishia tumaini wanapo dhulumika hakika yeye anauwezo wakufanya jambo lolote asiloweza mwanadamu na yeye sidhalimu wala hako na madhalimu ila upendo wake mkuu hufanya madhalimu waone kama hawajui wala hatambui ila siku yaja....
@Daniel thomas Msigwa dada hii dunia ucje ukasema ety pepo mchafu huyo m2 akupenda awe hivyo,,afu unasema asikae na wa2 sasa ulitaka akae na nani??? Kuwa na akili bax
Sifa na utukufu zimrudie Mwenyezi Mungu wewe Mungu uliyemrudisha huyu kijana tunaamini utamfungua na kuwa na afya njema na lipo kusudi lako ndani ya maisha yake 🙏🙏
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Kuna binadamu wanataka kuingilia kazi yamungu waifanye wao!kwenye njia na mipango yamungu hakuna wakuweka ukuta,mungu amemtetea huyu kijana ili aendelee kuishi.
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Haya ni maajabu ya Mungu huyu kijana kutokeza duniani , watu wanajifanya wana ujuzi wa kuchukua misukule wenzao, MUNGU atawalaani wachawi hawataiona pepo kwa nguvu zake MUUMBA kwa kuwatesa na kuwadhulumu viumbe ikiwa kwa makosa au bila makosa .
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Yesu ni bwana jina lake litukuzwe ...Nakupenda Mungu wangu maana unaniepusha na mengi ...nakuomba uzidi kumsaidia kijana huyu...aki machozi yanitoka tu
Nimeshtuka Sana hadi nikakumbuka watoto wangu wawili jameni 😢😢 walifariki kiajabu ajabu Sana mpaka leo mm huwa naamini wako wanatumika. Mwanyezi Mungu halali haki pole sana mamangu 😢😢
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Kupitia video hii nimeamini sasa kilichotokea nchini kwetu CONGO 🇨🇩 nimehakikisha kwamba story tuliyonayo hapa ya Mathieu Badjoko ambae nae pia alizikwa, baada ya miaka mitatu akarudi kumbe ni story ya kweli. Basi mpelekeni kanisani nae pia ataongea. *MUNGU NI MKUBWA !*
@@luludaudi6416 oooh km una uhakika aliondoka kwa utata amua kusimama na Mungu sawasawa shirikisha Watumishi unaowaamini guseni pale mlipomuhifadhi bila woga na mseme wewe ardhi tapika mama yetu anaeteseka tunaamuru kwa jina la Yesu
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
God is good,,he does like God and no one can stop God,,Ndugu zangu Mungu yupoo...Ukifanyia mtoto ya mtu mazigaombwe,jua Mungu anaona na atatenda kama Mungu,let God be praise Forever...
Sasa awe msukule awe nn si kila mtu alijua amekufa so wataka watu wasemeje wakati walizika na wakajua amekufa...kwa sisi binadamu wa kawaida amechukuliwa msukule hajafa na tunaona amekufa tumelea tezika wataka watu wasema nn
God is good. N God's tym is the best.soo torching .blood is thicker the water. May Gods hands n his angels keep on surrounding hm with the blood of Jesus. The God who has brought hm back will c him prosper in Jesus name. SHEDDING TEARS. Love u young boy#prayers #254
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Mushukuru mungu sana kuwa naimani atakuja kuongea na tena nawapongesa sana hii familia kumpokea kijna wao juu ingekuwa familia ingine wange mutoro lakini sifa na shukurani murutishieni bwana 😭😭natwakwa na majozi ya furaha jina lakini mungu lipewe safa🙏🙏🙏
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Nimesikia uchungu sana ndugu yangu alirogwa akafariki hii mwaka mwisho july..alileta ndoto akisema anateseka sana ako tu duniani..wachawi mbona mnakatizia mtu maisha yake
Wachawi jamani mungu anawaona najua ata umu mpo mutasoma hii comment yangu mjue ipo siku isiyo julikana mtazalilika na mtajuta kufanya iyo kazi isiyo na faida
Nashauri wapime DNA ya mama na mtoto pia wachimbue kaburi wapime DNA ya maiti ili kujua kuwa ukweli ni upi. Maana tunaweza tukawa na imani za ushirikina wakti kwa karne hii ya 21 technology tulionayo haiongopi.
Kama unaamini mungu yupo gonga like hapa uki reply amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Amen
Amen
Amina
Maashaallh Mungu ni mkubwa jamani
Kama unakubali kuwa Mungu mtenda miujiza gonga like hapo chini
@Daniel thomas Msigwa 😆😆😆😆😆
Kma mtu una akili timamu asaa na unamuamini Mungu huwez kuamini ujingaa kma huu ata kwa bahati mbaya cz hakuna kitu kma hicho kua mtu afe hlf kafufuka agh hakuna kitu kma hicho
Yesu anaweza
@@ludacrissrangiyabank3737 labda alitoloka warikuwa wanamtumikisha
Name of Jesus
Kama unaamini yupo Mungu kwaajili yetu gonga like hapa
Mungu ni mwema wakat wote Yani wachawi Jamn Daah utafikili wenyewe awafi daah mungu anawaona na wachukia sana 🤮🤮
Ioo
Mungu atulinde jaman inahuzunisha sana
Mungu ni yule yule Jana hata leo milele habadiliki......LOVE U LORD JESUS
Daah 😥 kwel MUNGU 🙏 ni mkubwa wacha tuendelee kumuomba MW/MUNGU kwa kila Jambo
@kilele martine 🙏🙏🙏
@kilele martine 🙏🙏🙏
Mungu alie mleta tena duniani ndie atakae mfungua kinywa tena AMEN
Amena
Amen
Kila kitu kinawezekana kwa uwezo was mungu by marry
Kila kitu kinawezekana kwa uwezo was mungu by marry
@@daudimakima6974 amen
Eeeh Mungu uliefanya huyu arudi na ewe Mfalme wa wafalme warudishe na hao wengine ..asante Mungu kwa kumfanyia huyu mama muujiza😢😢
Uongo mtupu nyinyi mnaamini t
@@abduljaffar875 mpaka uwe ni mwenye kukubali kuwa kuna Mungu mkuu anaewapenda bunadamu wote na kuwarudishia tumaini wanapo dhulumika hakika yeye anauwezo wakufanya jambo lolote asiloweza mwanadamu na yeye sidhalimu wala hako na madhalimu ila upendo wake mkuu hufanya madhalimu waone kama hawajui wala hatambui ila siku yaja....
Mungu wangu anisaidie na mimi
Ila nyie Millard ayo mnajua kufatilia mambo mpo vizur ma brother
Jamaa akikuambia story ndo hii kweli ndn panakuwa Hakuna chenga ndani ake
Millard namuita LEGENDI sasa hivi
Ukirogwa ahufi, unahamishwa tu na wachawi. In fact, ukifa naturally, uwezirudi tena.
Kweli kabsaa uyu msukulee,. Wanasherekea ujingaa,kizazi chaishaa, unachukua msukulee unaeka ndan? Kitasafisha kizaziii uyu n msukulee
Very true
@Daniel thomas Msigwa dada hii dunia ucje ukasema ety pepo mchafu huyo m2 akupenda awe hivyo,,afu unasema asikae na wa2 sasa ulitaka akae na nani??? Kuwa na akili bax
Huyu alichukuliwa kichawi mbona haongei alikatwa ulimi
Uko sawa waache sanaaa
Mungu yu mwema kila wakati ....gonga like twende saw
Sifa na utukufu zimrudie Mwenyezi Mungu wewe Mungu uliyemrudisha huyu kijana tunaamini utamfungua na kuwa na afya njema na lipo kusudi lako ndani ya maisha yake 🙏🙏
Mungu alietenda kwenye familia hii atende kwa familia nyngne pia
@@scolamsisi9306 0pp
Hakuna kinachoshinda MAOMBI.......TUKESHE TUKIOMBA HUKU TUKISUBIR
apelekwe maombi jmn atakaa sawa Mungu ni mwaminifu sana tumrudie Yeye
Amen
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Amen
Kabisa
Amen
Akiombewa atafunguka vizuri zaidi , Mungu atukuzwe
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Washamkata ulimi jamani
Huyu kuongea ni miujiza myengine.ila ni wenyewe hao
Apelekwe ufufuo na uzima. Pastor Gwajima ni kiboko
@@estasage498 Mungu yuko popote ,imani tuu, watamrudusha , waombe bila kuchoka
Kama uliskiliza hii story kwenye radio twende pamoja apo
Ndio
WACHAWI WOTE MUNGU AENDELEE KUWALAANI LEO KESHO NA MILELE AAAMIN🙏🏻
Mungu ni yeye yule jana leo na milele,hakika matendo yake ni makuu.
Amen
Ameeeen
Alikuwa gamboshi,huyo Hana kivuli
Mtafuteni zabroni C. Mwita, Hana kivuli
@@geraldtarimo9960 🙄🙄🙄🙄🙄😳😳😳
Uhimidiwe Mungu wetu
Kwa uwezo wa Allah wote waliokufa kwa nguvu za giza watarejea
Mie pia mtoto wa mama yangu mdogo naisi kabisa wala ajafa ila wanga ni watu wabaya sana 🥲
Amin 😢
Amin
Daaah 1994 mimi ndyo nazaliwa mpk sasa 2020 nina miaka 26 ni parefu jmn Mungu mwema
Inauma
Saana
2020 tutaona mengi ila mung atusaidie tuumalize salama.
21ndoo hatar mpaka marekan utasikia wamefufuka
Kigoma mwisho wa reli utaikubali
Sikuizi watu wanafufuka😂😂😂Yesu mwenyewwe alifufuka kwa siku tatu lakini siku hizi wanafufuka bahada ya mika 20 😂😂 kuja ujione Yesu
🤣🤣🤣👍
Kweli
Wachawi jamanii..!! Basi Ni wengi wamekufa lakini hawajafa
Wengi mno wamechukuliwa misukule asee inauma mno, unadhan mzaz wako amekufa kumbe yupo sehemu anatumikishwa na kuteswa huko
Hahahaha wamekufa lakini hawajafa hahahaha umetisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimeogopa sana
Jamani kamupeleke kwa pastor Gwajima ufufuo na uzima. Please, take him to pastor Gwajima so he could be prayed for.
Unaongelea gwajima yupi?
Gwajima ni tapeli kama matapeli wengine alie Mungu pekee alie mrudisha ndio atamulinda
Ahhh gwajima mbunge ndio aombe eh
wampeleke kwa mwamposa!!
Kuna binadamu wanataka kuingilia kazi yamungu waifanye wao!kwenye njia na mipango yamungu hakuna wakuweka ukuta,mungu amemtetea huyu kijana ili aendelee kuishi.
Labda boss wao alikufa Sasa wakakosa mtu wakuwapa chakula Mumgu anawaona wachawi 😭😭
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Sure inawezekana alichukuliwa na wachawi
Milado ayo wewe ni mziki mnene, mi nakupa Big Up sana
Inawezekana hata ndugu zake wapo huko wamegeuzwa misukule 😢 ee mungu nilinde mja wako na kizazi changu epusha haya yasijetokea' ameen.
Amina
Haya ni maajabu ya Mungu huyu kijana kutokeza duniani , watu wanajifanya wana ujuzi wa kuchukua misukule wenzao, MUNGU atawalaani wachawi hawataiona pepo kwa nguvu zake MUUMBA kwa kuwatesa na kuwadhulumu viumbe ikiwa kwa makosa au bila makosa .
Amina mungu tusaidie tuepushe na haya majaribu
@@merikizedeckmwaniwe5358 Wala hatukunusurika, mungu mkubwa tu. Itafika siku tutawaona waliolaanika.
Ameeen 🙏
Kama unaamin kwa mungu kila kitu kinawezekana gonga like yako hapo
mmh!dunia hii,basi tu,Acheni Mungu aitwe Mungu.
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Wallah
Nashauri wakapime DNA kabla Ili tuishangaze dunia
Walimchukua msukule
Huu mwaka wa maajabu ni mwaka ambao utakumbukwa kwa mengi sana
Si huu tu bdo inakuja mibaya zaidi
Siku za mwisho hizi
Amina
Kweli dah!
Ukute hata hao wachawi wapo hapo wanapika na kufurahi pia🙌🙌🙌
Inawezekana😆😅😅
Hujakosea binadamu ni nyokooo
Eliza mmmh kweli
Duu Allah ni mueza wa kila kitu.
Mungu anazidi tuonyesha majab. Kama mnamini gonga like zenu apa.
amen
Mimi nimkazi wakigoma wilaya ya Kasulu mjini matukio kama haya nimengi sana mungu atusimamie 🙏
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Ameen
Mungu amlejeze kijana huyu kila kilichopotea
Amina mtumishi
Amen da Tumaini napenda sana kazi yako 🥰🥰🥰🥰 nyimbo zako huwa zina nijenga sana
Ameen
Mungu yupo ndugu zang mama endelea kuomba wote watalud
Mungu nipo hapa nasubiri ile siku brayoo wangu anarudi nasubiri kwa imani sana
Kigoma hiyo aisee hakika Mungu simama na kigoma
Sana sana mmmh
Vp mp
😉😈😬
Napaliza sauti Kwa nguvu zangu zote kuwa Mungu yupo na kwake hakuna linaloshindikana hakika Kwa Iman tutashinda Allahuakbar Allahuakbar X1000
Ameeen
Ee MUNGU tusaidie vizazi vyetu na watoto wetu. Amen
Ameen
Is
Yesu ni bwana jina lake litukuzwe ...Nakupenda Mungu wangu maana unaniepusha na mengi ...nakuomba uzidi kumsaidia kijana huyu...aki machozi yanitoka tu
Amena
Daaa! Kweli mungu Mimi umenipendelea Sana kumbe kuna watu wanapitia magumu Asante mungu
Watu tunadhambi nyingiii sana..Mungu aliachilia Corona ili kutupunga ila bdo hatukomii tu jmn..wachawi wanatesa watu jmn duuuh 😥😥😥😥😥😥
Juju juju juju juju juju juju juju juju juju I
Haleluya jina lako Bwana lihimidiwe nakusihi Bwana na Mimi nirdudishie baba yangu arudi maana kifo chake kilikuwa na mkono WA mtu
Nimeshtuka Sana hadi nikakumbuka watoto wangu wawili jameni 😢😢 walifariki kiajabu ajabu Sana mpaka leo mm huwa naamini wako wanatumika. Mwanyezi Mungu halali haki pole sana mamangu 😢😢
Pole sana Mungu anajua
Pole sana
Ooh
Pole sana
Maskin pole sana jaman
⚘🥰...All thanks and Praise be to God forever. Amen
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Amen Mungu amfungue huo ulimi
Mungu anilinde mm na kizazichangu pamoja na familiya yangu japokua bado sijawa na familiya
Mungu baba tusaidie magufuri tuna kazi nae Tulelee🙏
Kupitia video hii nimeamini sasa kilichotokea nchini kwetu CONGO 🇨🇩 nimehakikisha kwamba story tuliyonayo hapa ya Mathieu Badjoko ambae nae pia alizikwa, baada ya miaka mitatu akarudi kumbe ni story ya kweli. Basi mpelekeni kanisani nae pia ataongea.
*MUNGU NI MKUBWA !*
Gwajima akihubiri misukule ipo mnapinga, Aya oneni wenyewe, jamani uchawi upo na misukule ipo
Misukule ipo na ndo wanaowafanyia kazi wafanyabiashara kariakoo madukani mwao
Amen
@@elicegeorge9991 Amen
I receive it in the name of Jesus amen wapo
Huyo alikuwa gamboshi, mtafuteni zabroni C,mwita,akarudishiwe kivuli
Pole Sana mamaangu Atukuzwe Mungu aliemrejesha ndugu yetu
Mungu ulie mrudisha mtoto wako hakika utamfungua knywa chake na vyote walivyo mfunga hakika mungu wewe unaweza asante yesu🙏🙏
Akika Mungu yupo na anatenda kwa wakati🙏
Natamani ingekuwa dada yangu ndo arudi
Tuombe Mungu na kufunga ukimaanisha inawezekana hasa km alikufa kwa utata
Mi nataman mama angu alud jaman
@@luludaudi6416 oooh km una uhakika aliondoka kwa utata amua kusimama na Mungu sawasawa shirikisha Watumishi unaowaamini guseni pale mlipomuhifadhi bila woga na mseme wewe ardhi tapika mama yetu anaeteseka tunaamuru kwa jina la Yesu
Kama mimi
Kama unaamini wachawi ni wapuuzi gonga like
Kwa mungu akuna kinacho shindikana mungu kibowao ww kama una ana amini mungu ana tenda miujiza gonga like mungu ata baliki njia za maisha zetu Amina
nahisi hata hao wengine wanaweza kurudi one day, naanza kuelewa concept ya misukule ipo...
Amina
Walimchukua msukule sasa mungu kamtoa huko alikuwa amewekwa.
Aletwe Dar kwa Mtumishi wa Mungu Sunbella Kyando, Ataombewa naamini atakaa vizuri
Asante Mungu kwa muujiza wako juu ya huyu kijana
Duuh mjomba sio poa ,
Katika awamu hii mengi tutayaona
Mpakaa wafu wana...
Great
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Eee! Maajabu jamani
Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Mungu ni Mkubwa kwa hakika.
Hello
Msekule hakunq anaekufa mara2 lbd kama sio muisilam
Aseee tuleteeni mwendelezo wahii story asee mpaka mwisho 🌍🇹🇿📖
Kigoma hiyo noma sana aisee
Sijui tunapoelekea ni wapi
Allah atunusuru in shaa Allah
But hata kimtazamo tu ni mama yake, wamefanana sana
Yassin Saidi kwele wamefanana
Mungu mfufue na dada yangu Mimi arudi nyumbani kwa jina la yesu
Mmh mungu yupo
Kigomaaa shikaamooooo
he mtihani jamanni
Mungu anawez then sawaa na ni sha Allah mungu athafungua kauli yke..soth tyumuamin mungu na anatenda
Subhaana Allah
Tegemea kwa mungu kwa imani yote yanawezekana amin
Mungu ulie tenda muujiza huu nitendee namim Baba yangu arudi Haman😭😭😭😭😭
God is good,,he does like God and no one can stop God,,Ndugu zangu Mungu yupoo...Ukifanyia mtoto ya mtu mazigaombwe,jua Mungu anaona na atatenda kama Mungu,let God be praise Forever...
Glory to God if this is true. Basi atakapoongea naomba mleteni atusimulie ilikuaje!
Eee mungu wakumbuke na wengne walikufa kifo Cha dhuluma watoe huko waliko kwa uwezo wako ww ni mungu usieshindwa jina lako libarikiwe
Ameen ameen
Tuwaombeeni wote waliodhulumiwa
Amen mpendwa lkn mda mwingine ukumbuke Mungu kuanza kwa heruf kubwa co mungu
Ameen
Kwel kbsaa km bimkubwa bdo nayey yup hai
Eee Mungu! Naomba uthihirishe michawi yote.Mungu ona tunavyoteseka.
Maaajabu gani yadunia MUNGU atuponye🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Kama unamwamini Mungu. Gonga like cz Mungu ni muweza
Hajafa uyo aliekufa harudi
Kabisaa
@@iraqgirl2143 nikweli kabisa alie Kufa kafa uyo akufa aliwekwa msukule
Haswa
Sasa awe msukule awe nn si kila mtu alijua amekufa so wataka watu wasemeje wakati walizika na wakajua amekufa...kwa sisi binadamu wa kawaida amechukuliwa msukule hajafa na tunaona amekufa tumelea tezika wataka watu wasema nn
@@mishibaron5021 Hawakuzika mtu walizika mgomba huyo aliekwa msukule
God is good. N God's tym is the best.soo torching .blood is thicker the water. May Gods hands n his angels keep on surrounding hm with the blood of Jesus. The God who has brought hm back will c him prosper in Jesus name. SHEDDING TEARS. Love u young boy#prayers #254
Watanzania n wachawi mwanadamu akifua akifufuka haongeangi kuna jama mmoja alikufua badae akafufuka bt hakuwai ongea glory to God 🙏🙏🙏🙏
Mungu ni mwemaa wakat wote ,,ya rabby mwingi wa rehma mjaalie apone vyema tunusulu na mabaya yote Amin 🙏
Big up ayo TV godbless more ur channel,,,,tunaziona hustle zako bro,,,,
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Mushukuru mungu sana kuwa naimani atakuja kuongea na tena nawapongesa sana hii familia kumpokea kijna wao juu ingekuwa familia ingine wange mutoro lakini sifa na shukurani murutishieni bwana 😭😭natwakwa na majozi ya furaha jina lakini mungu lipewe safa🙏🙏🙏
Pole Sana mama mungu akutangulie maana ni mambo mazito haya.
Eeh mungu nataman ungemludisha mama angu😭😭😍😍
Pole sana
Tufatilie vizuri huwenda wengine wapo huko tuzame kimaombi
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ruclips.net/video/M4GyEil-nAo/видео.html
Amen
Amen
😂😂😂
Kweli ,tuombe
Mungu ni mwema kila wakati🙏
Nimesikia uchungu sana ndugu yangu alirogwa akafariki hii mwaka mwisho july..alileta ndoto akisema anateseka sana ako tu duniani..wachawi mbona mnakatizia mtu maisha yake
God is good 🙏
Nimeelewa kwnn baba levo kakatalia dar hatak kurudi kigoma daaaah
😂😂😂😂😂
Half kweli aisee
😂😂😂😂
😄😄😄😄
Wachawi jamani mungu anawaona najua ata umu mpo mutasoma hii comment yangu mjue ipo siku isiyo julikana mtazalilika na mtajuta kufanya iyo kazi isiyo na faida
Mungu ni mwema Kama unamwamini yesu wambinguni gonga like
Everlasting father i trust in you🙏🙏🙏🙏
Nashauri wapime DNA ya mama na mtoto pia wachimbue kaburi wapime DNA ya maiti ili kujua kuwa ukweli ni upi. Maana tunaweza tukawa na imani za ushirikina wakti kwa karne hii ya 21 technology tulionayo haiongopi.
God is great mungu atufungue macho tuweze kuona na kufichua hiki kitenda wili cha wachawi. Wame chukua watu wengi tukindanganyika wamekufa
Mtu kazaa kuku(Uvinza-kigoma),Mtu kafufuka(Bugaga-Kigoma)
Kigoma FILE LENU tunalo
Mmmh allah atulinde na wachaw
🤣🤣🤣🤣🤣👋🏽
😂😂
Nafikiri tutaelewana kwa karibu ile taaluma ya Bishop Gwajima.
Ewe Mungu mfufue dada yangu ili arudi kuwalea watoto wake ....
Mungu ndie mtenda miujiza gonga LIKE na kusema AMEN.
Huyo kaka atakuja kuwa kiongozi mkubwa wa dini
I wish ungetokea muujiza mume wangu na mdogo angu wakarud jmn😭😭😭
Pole sanaa sanaa dear
Mungu mkubwa dear kazana kuomba tu atajibu maombi kipenz
Pole
Pole sana dear
pole dada yang ina umiza sana