Bali inahitaji prophet kama malisa ili kunudishia nafisi yake may prophet Mungu, ukupe myaka nyingi uedere kuponya mana watu wengi wameinbiwa Isaya 42:22
Nimegundua shetani huwa anafwatilia sana wakina Neema hata mimi Mungu anisaidie kabisa mbna huyu ni mimi kabisa jamaniiii na mimi nina tatizo hilo hilo.
YESU anaweza sanaaa Nguvu ya Mungu wa madhabahu ya Ukombozi na Mimi anitoe kwenye utumwa wowote ninaotumikishwa na maadui zangu wote anitoe kwenye mashimo ya wachawi kwa jina la YESU
Shida kubwa iko kwa hao manabii wa kisasa tukisoma mwanzo hadi ufunuo hakuna nabii hata mmoja aliye wahi kutumia shida za watu kama matangazo bali walinena neno la mungu na kutabili
Kama hujawahi kupata shida na Mungu akakuponya, basi unaweza usiamini. Ila kwa sisi ambao tulisha ona Nguvu Ya Mungu kwa njia ya YESU KRISTO, TUNAAMINI 100%
@@japhethgeriad4519 jina lako ni la ki kristo, hivyo naamini wewe pia ni mkristo. Ukisoma kitabu cha 2Wafalme 2:19 utaona namna Elisha alivyotumia maji kwa kumuomba Mungu ayabariki na yakaponywa magonjwa na mapooza mbalimbali.
Praise God namshukuru mungu kwa uponyaji . Nami pia niko kenya county ya meru naomba unisaidie na maombi kwa ajili ya familia yangu adui wametuinukia kuturudisha nyuma I need ur pray pastor & u pray will help me a lot.
mchungaji Hongera kwa kazi ya mungu ukovizur ila kunatatizo nmeliona kwako unawapelekesh san mpak wanashndwa kkuelewesh vzr chunguz hilo na lifnyie kaz Ameen
Polen sana watumishi wa mungu mnaolitangaza neno lake na me kweny familia yetu mdg ang amenitoka af sielewi mpaka leo eee mungu tunusulu kondoo wako amenii
Mim ni msilam lkn napenda Sana kukufatilia mtumishi WA Mungu natamani nami nipokee uponyaji kila nikiingia kwenye mahusiano sidumu kila nikipata pesa sifanikiwiii maisha yang nimagu sana niponye Baba
Yesu ni mambo yote nda n ya roh ukimpata yye umepata vyootee ameen mtumish mungu azidi kukupa nguvu Ila kuna mdgo wng Wang alikufa kimuhigiza Kenya mungu sijui tutampat jamn
Asante sana mchungaj mungu aeendelee kukupa nguv za kutusaidia cc tunaoteseka na shida mbalmbal 18:10
Bali inahitaji prophet kama malisa ili kunudishia nafisi yake may prophet Mungu, ukupe myaka nyingi uedere kuponya mana watu wengi wameinbiwa Isaya 42:22
Nimegundua shetani huwa anafwatilia sana wakina Neema hata mimi Mungu anisaidie kabisa mbna huyu ni mimi kabisa jamaniiii na mimi nina tatizo hilo hilo.
Watching from Lubumbashi Congo Mungu asifiwe
Mungu waukombozi nikombowe kiafya kiuchumi ngunvu za mapepo majini zote chini Kwa jina layesu
Mungu wa Nabii BG malisa atukuzwe huyu binti kwa mchungaji wa kawaida hawezi kumuludisha aliko fungwa
Watching from saudi Arabia
Uinuliwe mchungaji kwa miujiza inayoendana Mungu akusimamie ktk kazi yako
YESU anaweza sanaaa Nguvu ya Mungu wa madhabahu ya Ukombozi na Mimi anitoe kwenye utumwa wowote ninaotumikishwa na maadui zangu wote anitoe kwenye mashimo ya wachawi kwa jina la YESU
Mungu mwema
Shida kubwa iko kwa hao manabii wa kisasa tukisoma mwanzo hadi ufunuo hakuna nabii hata mmoja aliye wahi kutumia shida za watu kama matangazo bali walinena neno la mungu na kutabili
Kama hujawahi kupata shida na Mungu akakuponya, basi unaweza usiamini. Ila kwa sisi ambao tulisha ona Nguvu Ya Mungu kwa njia ya YESU KRISTO, TUNAAMINI 100%
Evance Don daa sawa kabisa kaka yangu
kaka ulitatua shida yako wapi
Sasa anampulizia hiyo ili iweje?
@@yonakipe4917 Kama unataka kujua kwa nia ya mm kukusaidia upate kusaidiwa, nipe namba zako, nitakuelekeza ndugu.
@@japhethgeriad4519 jina lako ni la ki kristo, hivyo naamini wewe pia ni mkristo. Ukisoma kitabu cha 2Wafalme 2:19 utaona namna Elisha alivyotumia maji kwa kumuomba Mungu ayabariki na yakaponywa magonjwa na mapooza mbalimbali.
Praise God namshukuru mungu kwa uponyaji . Nami pia niko kenya county ya meru naomba unisaidie na maombi kwa ajili ya familia yangu adui wametuinukia kuturudisha nyuma I need ur pray pastor & u pray will help me a lot.
mchungaji Hongera kwa kazi ya mungu ukovizur ila kunatatizo nmeliona kwako unawapelekesh san mpak wanashndwa kkuelewesh vzr chunguz hilo na lifnyie kaz Ameen
Mungu akubariki Niko kighali Rwanda nafwata baraka hizo na uponyaji mchungaji ubarikiwe
Huyomchungaji mungu amzidishie pamoja na wasaidizi wake mimi niliponea kwenye kanisalake hapo mwanza mchungwani kikubwa ni imani
Mungu aendelee nabii wa bwana napenda kufuatilia sana ibaada zako baba mimi niko sumbawanga kalambo
Nimejikuta nalia kwa mapito ninayo yapitia naamini Mungu aliye mpinya neema ndio atakae iponya familia yangu Amina
amina
My
My
Amen hakika Mungu ni muweza wa yote
Hakuna kama mungu, watching from Dubai
Shukran sana mtumishi wa mungu hiki kitu kimenigusa mungu amtetee, MUNGU Mwema sana.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu azidi kuku ongezee kipaji iyo yaunabii wachawi wakuogope. Nawashindwee kwanguvu za keeyeye yesu
Mungu ni kwema atatatua shida zetu sote Amen 🙏
Naomba mungu atupe ama n subra yake siku zote za maisha yetu n atushushie baraka zake mpka madui washagae wajue kuna mungu yu hai Amen
Mungu yupo kwa wamtumikiae na anaponyaaa haleluyaa ndan ya ukomboziii
Mungu mwema kila wakati
God is good, na mm naomba uponyaji,na kibali katika kazi
Nabii Marisa nakumkubali Sana mungu azidi kukupatia maono na upako wa ajabu ,..
Ameen mungu abariki masom yang kila tareh mby ifunikwe wa dam ya yes krist
Polen sana watumishi wa mungu mnaolitangaza neno lake na me kweny familia yetu mdg ang amenitoka af sielewi mpaka leo eee mungu tunusulu kondoo wako amenii
Mungu ndo muweza wa yote
Ubarikiwe mchungaj
Amen Sana pastor wang. Nimelia Sana Kwan kuna watu wengi kama hao. Yesu Yupo yupo Amen Sana pastor wang. Mungu akubariki Sana Amen
Mim ni msilam lkn napenda Sana kukufatilia mtumishi WA Mungu natamani nami nipokee uponyaji kila nikiingia kwenye mahusiano sidumu kila nikipata pesa sifanikiwiii maisha yang nimagu sana niponye Baba
Kwanza mpokee Yesu Kristo kama mwokoze na mfalme wa maisha yako
Kazi nzuri sana ubarkiwe na mungu
Glory to Lord. Mungu n mwema. Watching from Nairobi Kenya almost crying
Mungu wewe nimwema endelea kutenda miujiza kupitia kwa watumishi wako na iwe hivo!! Amen
Mungu hashindwi kitu
Hallelujah utukufu apewe YESU
Mungu akuongoze mtumishi wa Mungu uokoe watu wengi zaid
Hakuna asichoweza yesuu utukufu kwako Mungu wangu
Vp
Watched from kenya almost cried.. I Love JESUS.
Yesu ni mambo yote nda n ya roh ukimpata yye umepata vyootee ameen mtumish mungu azidi kukupa nguvu Ila kuna mdgo wng Wang alikufa kimuhigiza Kenya mungu sijui tutampat jamn
@@cathetarimo5841 x x
axx
Ax v. ideo
Mwache mungu aitwe mungu na matendo yake Amina.
Amen 🙏 baba yangu Mungu akupe maisha marefu
Oooh Mungu ni mkuu hakuna linaloshindikana kwake nimeguswa sana jaman Mungu u mwema 😭😭🙏🙏
Amine 🙏🙏
Mungu mkubwa nimejikuta machozi mungu anisaidie kweri mungu yupo Asante baba yetu
Amen!! Mchungaji naomba maombi kwa ndugu yangu,
God is great,thank your
Amen mchungaji naomba maombi kweny familia yetu
Naamini huu ushuhuda , Mungu ni mwema
🤚🤚🤚🤚🤚AMEN and AMEN from.saudia. aribia
Amen MUNGU akubariki sana mchungaji nafuraha sanaa ninapoona uponyaji asante YESU MUNGU akubariki sanaa mchungaji
Amina sana mchungaji umenifanya niamini sana japo nilikua siamin kwa hilo
Mungu ni mwema ,kumcha mungu ni chanzo.cha maarifa
Yesu nisaidie nipate kazi mwaka huu nguvu ya ukombozi inisaidie nipate kaziii nisaidieeee
Ubarikiwe na bii mungu azidi kuku bariki
Asante kwa uponyaji Mungu wa ukombozi
Nikweri mungu anaweza yani mimi nafurahi kuriko kwakuna kwako dada mungu adifiwe
Mungu wa ukomboZ anajibu kwa mto mkal sana
Mchungaji niguse nami.Amina
Amen j'abite à Au Congo presisment à Bukavu 🇨🇩
Jamn ndugu zangu tumwamin yesu anaweza
Hakika Mungu yupo, Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu azidi kukuinua katika huduma yako
Ameniiii mungu
Amen barikwa
Asante yesu mkozi
YESU nitendeye ulivyo mtendeya binti huuuu amina
mkono w mungu n mrefu kwa kuponya atukuzwe mungu
Mungu akuxaidie mpendwa daaa
Anakula wali aleluya anakunywa na sodaa 😂😂😂😂😂😂 kuokoka Raha sanaaaaa
Amina👏👏👏
Ubarikiwe mtumishi
Amen man of God
Garry to God mungu asifiwe
Pole mungu atakusaidia
I love what the power of God can do. Amen amen. Glory to Jesus
Mmh cna lakusema kwakwel Kama Ni yesu basi Amina
Amina
Yesu anaweza
May GOD bless you
Hakuna lisilowezekana Kwa Yesu ni kuamini tuu
Jina la Bwana yesu kristo wa nazareth Libarikiwe
Mungu tusimamie watoto wetu kila mahali waliko bwana yesu
GLORY TO GLORY.. MUNGU WA UKOMBOZI NI FIREEEEEEE.
Riko wapi hili kanisa
Yaani kizazi hiki kinapenda miujiza sana yaani ibada nzima ni miujiza tu neno la Mungu kwa uchache
Naona walewale tu utawajua ukiwa unajielewa kama mimi, hupenda sifa, hakuna maombi bali kuamuru, mapastor wa nguvu za kuzimu, jamani watambueni😢😢😢😢😢😢
Hakika mungu aendelee kukutumia kwa viwango
Iman yako inakuponya mungu mkuu
Mungu yu mwema nimenguswa sana
Ahh by names am Martin from Nairobi yesu ni mungu ku mufufua huyo nbiti how I can gate your church
Mungu.wa ukombozi anaponya zaidi
Misukule mnene kweli alukua sehemu nzuri naona
rahma shabani alikuwa anakula nyama
rahma shabani 😂😂
Akili huna Mpumbavu mkubwa
Mungu anayenda kwa jina la yesu
Mungu mkubwa asante yesu umeonekana kwa neema
With God everything is possible
Shuguri hii gharama ni kiasi gani ndugu mtumishi wa mungu
Nabiii wabwana malissa tunakupenda sana washirika wako kwahudumanzuli namkeo Suzan
Kanisa ii wapi?
Hakika yesu yupo na anaweza na anatenda. Yesu nitendeeeeeeee
Ukombozi tivii
Hema la kijani la ukombozi ni fire
Huyo dada kajitahid kufanya filamu mmulipe hela yake. Akimaliza hapo
Acha kushindana na mungu we dada rohh
Amen.. enyewe wacha tusngalie msalaba
Napokea uponyaji katik familia yangu mungu mponye baba angu
Mung tuxaidie
Naomba MUNGU uniponye nami jinsi ulivyo mponya huyu binti asante mungu kwa uponyaji
Mlisema Askofu Gwajima ansdanganya leo vipi tena Gwajima mtumishi wa kweli
Amen ....kwa kweli mungu anaweza
Mungu atukuzwe
Ooh lord your is fire
Mungu ni mwema baba